Part3_USHUHUDA:MAONO YA MBINGUNI NA KUZIMU KWA MCH.ABRAHAM YAKUBU NIGERIA ALIYEKUFA KWENYE AJALI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 74
Mungu niongoze kwa njia ya mbinguni ..asante saana kwa ushuhuda,niliona hii ushuhuda mwaka wa 2017 baadaye nilienda kulipa deni ya mwenye nyumba ya kupangisha,asante kwa ujumbe mzuri
Mungu atusameha Zambi zetu Asante Kwa ushuhuda
God bless this servant of God from Nigeria Kwa muendelezo mzuri oh my God bless promover Tv for us please and lift them up in Jesus name
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Asante Mungu tusaidie kulud Kwetu nyumban
Mbarikiweeeeee MPKA basi Watumishi mbarikiwee SANA Jackatan Doctor wa Rohoo barikiwaa SANA kaka Katika Kristo Jesus Christ loves you soo much more than
Mm nijiona mwenye bahati kuifahamu promover tv ukweli napata chakula Cha kiroho more than in our church oooh my Goodness 😭😭😭nmebadikika kitabia nmeacha mapambo through promover tv God bless so much Jacktan abarikiwe wazazi wako aliyekuzaa nimekuta nabarikiwa Kila siku pia nahubiria watu wanabishia Sana kuhusu mapambo wakisema niinjili za kizamani naumia Sana baadhi wananielewa Tena hunijibu mbona wapo madhahuni waombea watu mm roho wa BWANA alinieleza Luka 10:19 tumepewa mamraka but Luka 10:19 msifurahi kwakuwa mapepo yanawatii, hivyo kikubwa majina yakiandikwa mbunguni.
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Amen amen amen
Amen
Jesus have mercy😢😢4 us before we die to HV restitution with u or anybody we HV offended😢
Jameni nimebarikiwa sana na shuhuda hii.hakika nivyema kila wakati tuwe tunatubu na kuishi kutenda mema.barikiweni sana,na asanteni kwa maombi yenu kwetu,...kwangu am blessed nashukuru sana🙏.
Ooh my this is bold God help me... blessings to this God's servants you are doing a great job🙏
Hakika sio rahisi kupita yatupasa tujinyime kwa vyovyote ndiposa tuone huo ufalme
Asante sana mtume wa Bwana kwa ushuhuda huu umeniinua kiwango kingine
Asante kwa ushuhuda Nina Imani ,,nitafika
And God bless you pastor yakbu
@user-cv2ep2gl9z
Жыл бұрын
Amen Amen.
Asante Kwa ushuhunda May God bless you hakika umenitoa mbali♥️
Mungu awabakisana promover tv munafanya kazi zuri sana mungu atawalipa tunabarikiwa sana
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Barikiweni watumishi wa mungu tunaitaji muendelezo nimebarikiwa sana
Amen Amen
Very much blessed. To the crew promover thank you and be blessed
Nimebarikiwa sana na ushuhuda BWANA awabariki sana watumishi wa BWANA. Nawapata kutoka Nairobi God bless you
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Tumebarikiwa Sana🇰🇪
Duuh kuingia mbinguni Sio mchezo inaitaji Yesu mwenyewe akuongoze
JESUS IS SO KINDLY
I thank God for this testmony
Thank you for your testimonial, God bless you 🙏 ❤
Be blessed man of living God
Wonderful testimony.. Pastor ibrahim should tell us how he was sent back to the Earth
Jacktan Mungu akiwapatia Neema tuleteeni ushuhuda wote. Barikiweni sana. Asante kwa kazi nzuri.
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Mtume wa Mungu, Asante kwa ushuhuda mzuri. Napenda kufahamu uliridi vipi huko pepeni?
Amen 🙏
AMEN amen Aminaaa
Amina mbarikiwe watumishi wa Mungu
Glory be to the High Most
Ushuhuda wa kusisimua, lakini mbona hajaeleza vile alirudi duniani? i think theres part4
By the way is he Abraham yokubu ..nemesikia hiyo sauti .nashawahi msikia ...anaushuhuda mzuri Sana
@elizabethbarasa1035
2 жыл бұрын
Nilimsikia nikiwa mdogo .kwani alikuja Kenya .. nakumbuka kwaule ushuhuda akisema about restitution ma ule holyness and righteous pastor alikuwa anafunga dry for 7 days but aliambiwa depart kwa sababu ya kukasirika
@gordonomondi7161
2 жыл бұрын
Ngumu sana kuingia Mbinguni.
Mbarikiwe sana, tujitakase kila wkt
Bwana Yesu tuokoe utupe nguvu zitokazo mbinguni tunahitaji msaada wako maana peke yetu hatuwezi
Asant Yesu kwa hushuhuda wa mbinguni na jehanamu kulkjifuza mengi na Mungu hatusaidie ili tubadilike Asant sana Erike swali langu ni mwanamke kusimama mbele ya manzabahu kubiri ni zambi? Swali hiyo hisikose jamani zahidi ni Asantt
@flourishing_wilderness6072
7 ай бұрын
Haifai mwanamke kuhuburi madhabahuni. Bali anahubiri Kwa jinsi anavyoishi kanisani ajifunze katika ukimya
Anapaswa aje tumuulize maswali
Thanks for the encouraging testimony, I ask the servant of God this;I am born again but,there might be a sin that I can not remember of to repent on it,so what I can I do to be forgiven from it,without proclaiming for it.
Ameeeeeeeen
Hell is scary 😢
Mnanibariki
Amina wajungaji nimebarikiwa sana kujengeka kiroho
@vumiliawambula1716
2 жыл бұрын
Amen Mungu tuwezeshe bila wewe atuwezi
Father God have Macry
Ameeeeeeeeeen utukufu kwa BWANA
Barikiwa jactan
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Mungu awabariki sana kwa kazi! Yenu njema na azidi kuwainua juuu zaidi, barikiwa sana mtumishi wa Mungu Kwa shuhuda.tunatamani kupata makanisa huku kwetu inayofuata imani hizi hata hatujui twende wapi ila najua Ipo siku Mungu atafanya njia.Amen
@lydiajoseph2571
2 жыл бұрын
Rabi naweza kukuelekeza Mahali unapoweza kupata kanisa Kama hilo,la mafundisho ya Haki na utakatifu. Kama hutajali naomba namba yako
@rabilubinza7661
2 жыл бұрын
Naomba nielekeze nipo Singida Tanzania
@lydiajoseph2571
2 жыл бұрын
Naomba namba yako
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
Kuna Mwalim Mgisa Mtebe haya ndio mafundisho yake
@tumubaraka6686
Жыл бұрын
EaGT temeke
Jactan msafiri nauliza part 11 ya miaka 990 kuzimu unataka kusikia mambo ya ma benki please jactan nimeitafuta zipati
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Bonyeza link hii kzread.info/head/PLXTmPgeqbJ0l38OhPzq-3u8YPhdJ1_bf-
Je uyu mchungaji amemaliza?
Binafsi shuda zenu zimenibadilisha sana
BWANA tuokoe na dhambi
Amen Amen Karibu Tanzania
@mayalapaul5658
2 жыл бұрын
Amina
Amen
Amen
Amen