Jacktan Msafiri kazi yako ni njema Sana naipenda Bwana Yesu Kristo hatakusahau hakika kazi kubwa umefanya.
@josephsirikwa200
4 жыл бұрын
Tuisapoti huduma isonge mbele kwa kuchangia hata kidogo unachopata ushiriki baraka za Jacktan
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Ameen
@fridachuwa8622
4 жыл бұрын
@@PromovertvTz part 2 pls
@frankyengu58804 жыл бұрын
Mungu, Baba wa utukufu,Kristo Mfalme wetu Mtakatifu,tunaomba REHEMA zako. Tunaomba,NEEMA ya kutubu,na kutubu,na kutubu na nguvu zako za kutubadilisha,ili tukuishi wewe ulie kufa kwa ajili yetu. Damu ya Yesu ya Agano Jipya ilio amliwa na Mungu, inene mema juu yetu. Katika Jina la Yesu Kristo, Amina.
@judithnaboth76204 жыл бұрын
Ni maneno mazito kwa kweli yamenigusa Mungu anipe Neema ya kushinda ndambi hizo
@MariaMaria-gq4kd4 жыл бұрын
Naomba mungu anipe upofu nisione mambo ya dunia nikaitazame njia yake yesu kristo
@mercyjesus6637
4 жыл бұрын
Kabisaaaaaa
@highzacknnko4002
3 жыл бұрын
Utashinda mdogo wangu
@micamathew25952 жыл бұрын
Kuna dada mmoja nilimwambia acha kabisa tabia ya kujipamba yaan kusuka nywele na mapambo ya aina yoyote katika mwili wako,. Unajua alinijibuje??? Kwanza kwa kiburi na matusi juu nilipewa, alinichukia kwa kiasi kikubwa sana. Lkn bado nasema ee Bwana Yesu tuokoe. Jmn tumheshimu Mungu jmn.
@MmMm-tt1wi4 ай бұрын
Asante Mungu kwakutuokoa Amen
@naomytemba43484 жыл бұрын
Hakika unaonya Mungu waokoe wanawake
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Mkumbuke na mwanao pia
@masalagulangwa37024 жыл бұрын
JAMANI inaogopesha sana nisamehe MUNGU sitavaa wigi ten da asante sana umeniponya nirehemu miminaomba nikuoneYesu Yesu nirehemu baba
@lauriansaid5964
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@hiltrudanjau1944
3 жыл бұрын
Ll
@hiltrudanjau1944
3 жыл бұрын
Ll
@hiltrudanjau1944
3 жыл бұрын
L
@latefalatefa55944 жыл бұрын
Asante sana kwakunifungua macho ya rohoni ushuhuda huu hauna utofauti na ushuhuda wa Mama nyisaki chaula
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Unafanana pia na ushuhuda wa vyumba 351 vya kuzimu sehem 18 unafanana pia na ushuhuda wa mchungaji Margareth
@magdalenapeter6106
2 жыл бұрын
@@sarahmdindile4301 yaan kabisa MUNGU anatusisitiza ndo maana adhabu ni kubwa kwa wakaidi
@stevennyoni4762 ай бұрын
AMEN hallelujah praise the Lord
@rehemathomas11604 жыл бұрын
nimejikut naogopa maana kusu vilivyo tajwa kuhusu wanawak namimi.nimo eeeemungu nisaidie mimi
@kelvinmashauri92154 жыл бұрын
Mungu atushindiye kbsa atuhepushe nakuzimu kbsa
@mackynicky58324 жыл бұрын
Mungu wetu wa Mbinguni akubariki kaka Jacktan
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Ameen barikiwa pia
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Wale wa kusema MUNGU ANATAZAMA MOYO TU SI MWILI mmmmh. Ubalilia kusuka nywele na kwenda kukaa jehanamu milele kisa ubishi na MUNGU anisaidie mm mwenye dhambi
@fei36684 жыл бұрын
mi kibeat tu icho cha backgroung❤️
@bmwamikazi7164 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana ushuhuda huu unanipanguvu yakusonga mbele
@neemajackson5548 Жыл бұрын
Amina jamani barikiwa sana umenijenga sana
@innocentmunga9304 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kutohokowa
@user-ky8hh7ce2g9 ай бұрын
Amini usiamini, kusuka ni dhambi 1st Timothy 2:8
@GibsonAbas
2 ай бұрын
Ata nywele ya mkono
@obbykimbale98424 жыл бұрын
Jackton barikiwa sana
@millicentayangokunting37284 жыл бұрын
Asante kwa huu ushuda
@anicethabwenge41204 жыл бұрын
Asante Sana kwa kuutafsiri barikiwa.
@tuzakavera5344 жыл бұрын
Kazi nzuri Jacktan
@user-vc1hx7mw7c Жыл бұрын
Mungu wangu tusamehee
@aidaraphael1956
Жыл бұрын
MUNGU tusaidie tujikubari. Jinsi tulvyo,
@lukasemmanuel46144 жыл бұрын
Amina Mungu awabariki
@godrivercaaron814 жыл бұрын
🙏🙏🙏 nashukuru Mungu kwa hili nimevuka maana hizo vitu zilinitawala mno
@millymaj762 Жыл бұрын
Promover TV, tunawapenda lakini mujichunge sana na Paul na Linda Rika, angalia end times truth TV mnigeria pia kwani amesema ukweli mingi tu juu ya hawa wawili. Naomba muwachunguze sana Hawa waubiri sana kutoka Nigeria kwa vile wengi ni wapotovu. Naomba mwenyezi Mungu awafungue macho ya ndani na hili jambo. Mbaki na Amani ya Bwana wetu Yesu Christu.
@mariamswedi1140
Жыл бұрын
Ufalme wa shetani hauwezi kujifitinisha ww ndio inakupasa kujiangalia
@naominafftali3874
Жыл бұрын
Very true, this testimony opened my eyes
@dianakyando5133 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@aminaally41633 жыл бұрын
Amen
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Asante
@medadiissa3244 жыл бұрын
Eee Mungu tusamehe naomba utuokoe
@thebloodofjesusisuponme9897 Жыл бұрын
Juzi alisema kuwa ushuhuda wake ulikua wa uwongo. Akusanya testimony za watu wengi akajifanya no yake
@jennjaja15864 жыл бұрын
Mungu tusaidie🙏
@reemamwangi91924 жыл бұрын
Mungu nisaidie
@neemabeatrice16724 жыл бұрын
Barikiwa sana mama
@neemajackson5548 Жыл бұрын
Ee mungu tusaidie
@simbawayuda23284 жыл бұрын
Halleluyah!!
@mercyjesus66374 жыл бұрын
Amina
@sarayusto6776
4 жыл бұрын
Namtukuza mungu kwa upendo wake kwetu hsdi ameamua kusema nasi waziwazi Nina LA jehova liinuliwe aleluyah!
@trophywilson72112 жыл бұрын
Jamani Jamani mpaka nakosa cha kusema
@saviourkasekwa64364 жыл бұрын
Mungu atuepushe na haya yote
@joelfufulu4 жыл бұрын
Eeeeh! Mungu tushinde hii vita.
@ericmartin8451
4 жыл бұрын
mungu atuhurumie wanawake
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
My God bless u
@godrivercaaron814 жыл бұрын
Wanawake tupone jamani
@mariachannelke97694 жыл бұрын
Where is part 2🇰🇪🇰🇪presentation
@salomemukani16274 жыл бұрын
EE E MUNGU NI SAIDIE NISIKIFE KATIKA THAMBI. KUPITIA JINA LA YESU.
@josephsirikwa2004 жыл бұрын
Kha! Hadi natoa machozi
@preciousgrayson20214 жыл бұрын
Kama kutakuwa na part 2 naisuburi sana
@dianakyando5133 Жыл бұрын
Ushauri kwa mara nyingine tunahitaji kumsikia yeye mwenyewe pamoja na tafsiri pembeni, kwa namna hii mnaonekana mmeitunga wenyewe
@joniajohn4716
Жыл бұрын
Sio kweli Just mtafute kwenye channels za youtube utamwona huyu dada Ushuhuda wake nj halisi
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Ee Mungu turemu
@carolynadhiambo25434 жыл бұрын
Wenye masikio na wasikie
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Hakika
@jessymanono20124 жыл бұрын
NA WALE WANAWAKE WANAOLEWA BIBI WAPILI? WATAHUKUMIWA?
@preciousgrayson2021
4 жыл бұрын
Watahukumiwa maana inahesabika kama uasherati
@fridachuwa86224 жыл бұрын
Part 2 pls
@ellyitete938
4 жыл бұрын
Si umeisha mpendwa
@naomioffgang1606
4 жыл бұрын
kweli umenigusa kwamengi eeh mungu nirehemu
@ellyitete938
4 жыл бұрын
@@naomioffgang1606 Mungu atuwezeshe hapa kwenye mavaz watu wanadai usasa
@shuhudazakweli34064 жыл бұрын
Shalom kamanda najua uko mwanza mimi niko dr ninavifaa yani camer naweza kusaidiana nawe ili kazi hii isonge mbele nabarikiwa sana
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Litakuwa jambo zuri sana,hebu nitafte kwa namba hizi 0784074462
@chiribagulajeanne10254 жыл бұрын
Tuko pamoja
@titinmbega41283 жыл бұрын
Mtumishi naomba no. yko ya what’s up
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
0784074462
@paschaldavidrichard26722 жыл бұрын
Jamani wanaume tunyoeje????😭
@gerardbwami4 жыл бұрын
Jais me se video
@thebloodofjesusisuponme9897 Жыл бұрын
Huyu alirudi akatubu na kus3ma hayo yote Alison yasema yalikua uwongo. Yeye na mwana Dada mwingine walipanga huu uwongo wote wakuwa na mchungaji wao ili waweke watu uwoga
@getrudaphilip7417 Жыл бұрын
Kuna mkaka nilikutana nae nikiwa na rafiki zang tulipitia njia ya mkaburini hao rafiki zangu wana jichubua nika muulza kaka huyo mbwa ulie mshika hng'ati aka twambia kaangalieni mtandaon ushuhuda wa linda lika kumbe nazan alkua ana manixha madhara ya rafk zng kuji chubua ndo najua saiv
Пікірлер: 98
Jacktan Msafiri kazi yako ni njema Sana naipenda Bwana Yesu Kristo hatakusahau hakika kazi kubwa umefanya.
@josephsirikwa200
4 жыл бұрын
Tuisapoti huduma isonge mbele kwa kuchangia hata kidogo unachopata ushiriki baraka za Jacktan
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Ameen
@fridachuwa8622
4 жыл бұрын
@@PromovertvTz part 2 pls
Mungu, Baba wa utukufu,Kristo Mfalme wetu Mtakatifu,tunaomba REHEMA zako. Tunaomba,NEEMA ya kutubu,na kutubu,na kutubu na nguvu zako za kutubadilisha,ili tukuishi wewe ulie kufa kwa ajili yetu. Damu ya Yesu ya Agano Jipya ilio amliwa na Mungu, inene mema juu yetu. Katika Jina la Yesu Kristo, Amina.
Ni maneno mazito kwa kweli yamenigusa Mungu anipe Neema ya kushinda ndambi hizo
Naomba mungu anipe upofu nisione mambo ya dunia nikaitazame njia yake yesu kristo
@mercyjesus6637
4 жыл бұрын
Kabisaaaaaa
@highzacknnko4002
3 жыл бұрын
Utashinda mdogo wangu
Kuna dada mmoja nilimwambia acha kabisa tabia ya kujipamba yaan kusuka nywele na mapambo ya aina yoyote katika mwili wako,. Unajua alinijibuje??? Kwanza kwa kiburi na matusi juu nilipewa, alinichukia kwa kiasi kikubwa sana. Lkn bado nasema ee Bwana Yesu tuokoe. Jmn tumheshimu Mungu jmn.
Asante Mungu kwakutuokoa Amen
Hakika unaonya Mungu waokoe wanawake
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Mkumbuke na mwanao pia
JAMANI inaogopesha sana nisamehe MUNGU sitavaa wigi ten da asante sana umeniponya nirehemu miminaomba nikuoneYesu Yesu nirehemu baba
@lauriansaid5964
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@hiltrudanjau1944
3 жыл бұрын
Ll
@hiltrudanjau1944
3 жыл бұрын
Ll
@hiltrudanjau1944
3 жыл бұрын
L
Asante sana kwakunifungua macho ya rohoni ushuhuda huu hauna utofauti na ushuhuda wa Mama nyisaki chaula
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Unafanana pia na ushuhuda wa vyumba 351 vya kuzimu sehem 18 unafanana pia na ushuhuda wa mchungaji Margareth
@magdalenapeter6106
2 жыл бұрын
@@sarahmdindile4301 yaan kabisa MUNGU anatusisitiza ndo maana adhabu ni kubwa kwa wakaidi
AMEN hallelujah praise the Lord
nimejikut naogopa maana kusu vilivyo tajwa kuhusu wanawak namimi.nimo eeeemungu nisaidie mimi
Mungu atushindiye kbsa atuhepushe nakuzimu kbsa
Mungu wetu wa Mbinguni akubariki kaka Jacktan
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Ameen barikiwa pia
Wale wa kusema MUNGU ANATAZAMA MOYO TU SI MWILI mmmmh. Ubalilia kusuka nywele na kwenda kukaa jehanamu milele kisa ubishi na MUNGU anisaidie mm mwenye dhambi
mi kibeat tu icho cha backgroung❤️
Ubarikiwe Sana ushuhuda huu unanipanguvu yakusonga mbele
Amina jamani barikiwa sana umenijenga sana
Asante Mungu kwa kutohokowa
Amini usiamini, kusuka ni dhambi 1st Timothy 2:8
@GibsonAbas
2 ай бұрын
Ata nywele ya mkono
Jackton barikiwa sana
Asante kwa huu ushuda
Asante Sana kwa kuutafsiri barikiwa.
Kazi nzuri Jacktan
Mungu wangu tusamehee
@aidaraphael1956
Жыл бұрын
MUNGU tusaidie tujikubari. Jinsi tulvyo,
Amina Mungu awabariki
🙏🙏🙏 nashukuru Mungu kwa hili nimevuka maana hizo vitu zilinitawala mno
Promover TV, tunawapenda lakini mujichunge sana na Paul na Linda Rika, angalia end times truth TV mnigeria pia kwani amesema ukweli mingi tu juu ya hawa wawili. Naomba muwachunguze sana Hawa waubiri sana kutoka Nigeria kwa vile wengi ni wapotovu. Naomba mwenyezi Mungu awafungue macho ya ndani na hili jambo. Mbaki na Amani ya Bwana wetu Yesu Christu.
@mariamswedi1140
Жыл бұрын
Ufalme wa shetani hauwezi kujifitinisha ww ndio inakupasa kujiangalia
@naominafftali3874
Жыл бұрын
Very true, this testimony opened my eyes
Nimebarikiwa sana
Amen
Asante
Eee Mungu tusamehe naomba utuokoe
Juzi alisema kuwa ushuhuda wake ulikua wa uwongo. Akusanya testimony za watu wengi akajifanya no yake
Mungu tusaidie🙏
Mungu nisaidie
Barikiwa sana mama
Ee mungu tusaidie
Halleluyah!!
Amina
@sarayusto6776
4 жыл бұрын
Namtukuza mungu kwa upendo wake kwetu hsdi ameamua kusema nasi waziwazi Nina LA jehova liinuliwe aleluyah!
Jamani Jamani mpaka nakosa cha kusema
Mungu atuepushe na haya yote
Eeeeh! Mungu tushinde hii vita.
@ericmartin8451
4 жыл бұрын
mungu atuhurumie wanawake
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
My God bless u
Wanawake tupone jamani
Where is part 2🇰🇪🇰🇪presentation
EE E MUNGU NI SAIDIE NISIKIFE KATIKA THAMBI. KUPITIA JINA LA YESU.
Kha! Hadi natoa machozi
Kama kutakuwa na part 2 naisuburi sana
Ushauri kwa mara nyingine tunahitaji kumsikia yeye mwenyewe pamoja na tafsiri pembeni, kwa namna hii mnaonekana mmeitunga wenyewe
@joniajohn4716
Жыл бұрын
Sio kweli Just mtafute kwenye channels za youtube utamwona huyu dada Ushuhuda wake nj halisi
Ee Mungu turemu
Wenye masikio na wasikie
@sarahmdindile4301
3 жыл бұрын
Hakika
NA WALE WANAWAKE WANAOLEWA BIBI WAPILI? WATAHUKUMIWA?
@preciousgrayson2021
4 жыл бұрын
Watahukumiwa maana inahesabika kama uasherati
Part 2 pls
@ellyitete938
4 жыл бұрын
Si umeisha mpendwa
@naomioffgang1606
4 жыл бұрын
kweli umenigusa kwamengi eeh mungu nirehemu
@ellyitete938
4 жыл бұрын
@@naomioffgang1606 Mungu atuwezeshe hapa kwenye mavaz watu wanadai usasa
Shalom kamanda najua uko mwanza mimi niko dr ninavifaa yani camer naweza kusaidiana nawe ili kazi hii isonge mbele nabarikiwa sana
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Litakuwa jambo zuri sana,hebu nitafte kwa namba hizi 0784074462
Tuko pamoja
Mtumishi naomba no. yko ya what’s up
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
0784074462
Jamani wanaume tunyoeje????😭
Jais me se video
Huyu alirudi akatubu na kus3ma hayo yote Alison yasema yalikua uwongo. Yeye na mwana Dada mwingine walipanga huu uwongo wote wakuwa na mchungaji wao ili waweke watu uwoga
Kuna mkaka nilikutana nae nikiwa na rafiki zang tulipitia njia ya mkaburini hao rafiki zangu wana jichubua nika muulza kaka huyo mbwa ulie mshika hng'ati aka twambia kaangalieni mtandaon ushuhuda wa linda lika kumbe nazan alkua ana manixha madhara ya rafk zng kuji chubua ndo najua saiv
@getrudaphilip7417
Жыл бұрын
Alisema ukiskia uta elewa nilkua nmanixha nn tawambia wache kuji chubua😂
M
nina swali jamani tunaambiwa Kuna wakat wa kujiokoa kwa dami baada ya kuja kwa Yesu kristo je hao waliopo sasa ivi wanateseka hawatapitia wakati huo
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Mmm hao nafikiri imetoka,Hiyo ni kwa walio hai tu kipindi kile cha Mateso makali kwa Ulimwengu
Mkatoliki hatakuelewa hata Kidogo
@Annsikoboy-ut8bs
4 ай бұрын
Kwanza watakulaani sana
Naomba nijibiwe...na mwanamke ambae ameweka dreadslocks kuna shida?
@janethbalili9264
2 жыл бұрын
nayo ni bandia mama we kaa kama ulivoumbwa
@edithnekesa2310
Жыл бұрын
Kuna Kuna dada aliyefunuliwa kuwa pia dreadlocks ni shidam.. hutakiwi .
Mungu wetu atuhurumiye 👏🏻🙇♀️
Amen