Part1_USHUHUDA VICTORIA MSOMALI ALIYEOKOKA KWA MBINDE"Yesu alinitokea,ilibidi aje mwenyewe kuniokoa"

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak5W0jXI0M1eX
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 1 522

  • @PromovertvTz
    @PromovertvTz Жыл бұрын

    Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX

  • @FouziaFarah-jw5kq

    @FouziaFarah-jw5kq

    Жыл бұрын

    Wow God bless you my sister keep on preaching may God protect you In Jesus Christ Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @ahmedelalawy639

    @ahmedelalawy639

    Жыл бұрын

    Hizo namba sisi za nini kama anataka sadaka akatafute shamba singida alime. Huyu mama muongo sio muislamu na hana ndugu muislamu. Kasema kaishi somalia na hakuna msomali hajui kisomali kaulizwa maswali kwa kisomali yamemshinda. Mkiristo ndugu amkeni musiwe wajinga kiasi hicho .walaini kudanganywa

  • @tinamasawe5851

    @tinamasawe5851

    Жыл бұрын

    L.

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Ungeficha namba zake watu wabaya wasije wamtisha, kumtafuta na kumuua.

  • @shirugaks7464

    @shirugaks7464

    Жыл бұрын

    Most amazing testimony, I am so ecouraged. Asante Victoria for sharing about your personal story with Jesus christ.

  • @MruuKarisa
    @MruuKarisa Жыл бұрын

    Mungu Yuko na YESU ndiye njia ya kweli na uzima Dada endelea na Imani utamuona Mungu inshaalla

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Жыл бұрын

    BWANA YESU KRISTOR anawatu wake awatakufa awajajuwa yeye ni njia ya uzima ubarikiwe sana

  • @theafricaiknow6615

    @theafricaiknow6615

    Жыл бұрын

    Amen

  • @sifuelylyamuya9698
    @sifuelylyamuya9698 Жыл бұрын

    Kwakweli Neema hii Sisi wakristo tunaichezea Sana...Mungu aturehemu na kutusaidia kulijua pendo lake na kulithamini❤

  • @janetdundul3858

    @janetdundul3858

    Жыл бұрын

    Kabisa 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @mariemkarama1811

    @mariemkarama1811

    Жыл бұрын

    ❤ ukweli we are jokers not Real

  • @aminahgrace

    @aminahgrace

    Жыл бұрын

    Kweli msamaha kwetu Baba

  • @hassanislam1796

    @hassanislam1796

    Жыл бұрын

    The only somali who is lost,may Allah guide her

  • @officialjr2283

    @officialjr2283

    Жыл бұрын

    Umepotea kuja kwa islamu

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Жыл бұрын

    ❤❤nimependa sana hii shuhuda,na mimi nipo njiani kutoa shuhuda yangu ingawa mimi ni muislamu ila napitia magumu sana😢 yani nilifugwa rizki hasa ktk mahusiano na bini yangu mama yake mdg mama,nilipata mchumba toka CANADA mtanzania lakini ghafla akanitumia sms niendelee na maisha yangu na niliwahi kuwa na mume 2011 tukaachana 2016 sasa niko uarabuni nafanya kazi yani bila kuombewa nisingefika huku ahsante YESU.

  • @zeinabmaneno81

    @zeinabmaneno81

    Жыл бұрын

    Rudi kwa Allah dada na unitafute tafadhali ❤

  • @geofreyg.mtensa4559

    @geofreyg.mtensa4559

    Жыл бұрын

    @@zeinabmaneno81 kwaiyo uyo Allah ni nani na Yesu ni nani...?

  • @mosesjohnswilla9926

    @mosesjohnswilla9926

    Жыл бұрын

    Mungu akusaidie sana dadangu. Karibu kwa Yesu anakupenda sana.

  • @nininahazwedonavine3349

    @nininahazwedonavine3349

    Жыл бұрын

    Amen karibu sana kwa Yesu Kristo tena ukimbie ufike shetani anatamani akurudishe nyuma nanyuma sasa nikubaa kutakuwa ma mbwa na wachawi finally kwa Yesu upate uzima wa milele Amen

  • @shuwehaharuna6309

    @shuwehaharuna6309

    Жыл бұрын

    Astagharillah

  • @peacesirajudin589
    @peacesirajudin589 Жыл бұрын

    Alooo very wonderful testimony, I can only imagine how she has been through, coz I've been like that more or less, coz am from Muslim back ground too, my dad's side is Muslim and my mom's side christine thnx to my mom was born again and I followed that path by the grace of God, He manifested himself to me then I accepted Him as my Lord and person saviour to God be the glory 🙏🤲🏽👏🔥

  • @safiamohamud1222
    @safiamohamud1222 Жыл бұрын

    Allahamdullilah I’m Muslim Allah is great

  • @m.e.k3172

    @m.e.k3172

    Жыл бұрын

    allah is blackstone in kaba. open your eyes before its too late

  • @davidwalker2144

    @davidwalker2144

    Жыл бұрын

    As for those who commit evil ignorantly ˹or recklessly˺, then repent afterwards and mend their ways, then your Lord is surely All-Forgiving, Most Merciful.

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Njoo kwa Yesu kabla hujafa

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    ​@@frankmpembu yesu ndio nana ❓😂😂😂

  • @gatembowanjiru5374

    @gatembowanjiru5374

    Жыл бұрын

    ​@@Mina.15 mwenye atatumwa tena siku ya kiama,iko kwa Korani na kwa Biblia atakuja kuchukua watakatifu.Niliposoma kwa Korani kuhusu prophet Issa I knew this man had greater manifestation before the creator if He will again at end time and this is the saviour and the way to heaven

  • @nicolasoduor7695
    @nicolasoduor7695 Жыл бұрын

    Ninafuraha sana kusikiliza ushuda hai wa Mungu aliye hai.Kwa kweli ukisoma Yohana 3:16 utakuja kujua kuwa Kristo alikujia Kila mwanadamu wala sio madhebu.Mungu ibariki sana kampuni iliojitwika kufanya kazi hii nzuri, kupeperusha makala haya.Ahsanteni sana na Mungu awabariki.

  • @anwarmohammed8009
    @anwarmohammed8009 Жыл бұрын

    Huyu dada anajua anacho kifanya, Allah akujalie ufahamu ili urudi nyuma na ufanye tobah inshallah

  • @abdullahiyarso6130

    @abdullahiyarso6130

    Жыл бұрын

    Ameeen thuma Ameeen

  • @hiboabdi350

    @hiboabdi350

    Жыл бұрын

    Amiiin as a somali this breaks my heart😢🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @mauleenkiwia6022

    @mauleenkiwia6022

    Жыл бұрын

    Pole zako hapo ndio imetoka. Yesu ndio njia kweli na Uzima. Hakuna namna

  • @johndealberto3237

    @johndealberto3237

    Жыл бұрын

    "Allah akujaalie... urudi nyuma" 😂😂😂 Ni kweli kabisa kurudi kwenye Uislam, ni KURUDI NYUMA!!

  • @piuspaschal2964

    @piuspaschal2964

    Жыл бұрын

    Hata wewe unamhitaji Yesu. Hakuna atakayemwona Mungu bila Yesu

  • @KhamisKhamis-xy1vc
    @KhamisKhamis-xy1vc Жыл бұрын

    Alhamdulullah I'm happy to be Muslim

  • @mumlidaywa8196

    @mumlidaywa8196

    Жыл бұрын

    nakupenda sana yesu

  • @alvaamisse7510

    @alvaamisse7510

    Жыл бұрын

    you are happy but you are going to hell if you can not received Jesus as you saviour.

  • @alvaamisse7510

    @alvaamisse7510

    Жыл бұрын

    ​@@mumlidaywa8196 sio yesu lakini Yesu kwasababu yesu atakua wa kenya.

  • @maryaugustor6983

    @maryaugustor6983

    Жыл бұрын

    Yesu ni Bwana na njia ni kristor peke yake.

  • @yvefay620

    @yvefay620

    Жыл бұрын

    Others are also Happy with their Faith

  • @user-nk3pw2ym6l
    @user-nk3pw2ym6l Жыл бұрын

    Ushuhuda wako,unafundisho YESU Yupo kuokoa na anaishi.ahsante kwa kumtukuza YESU UBARIKIWE sana Dada.

  • @magrethmbaga1089

    @magrethmbaga1089

    Жыл бұрын

    Barikiwa Dada ushuhuda wako. Unatupandisha Imani.

  • @HamidaAhmed-jp5ur
    @HamidaAhmed-jp5ur Жыл бұрын

    HASBUNALLAH WANEEMAL WAKEEL

  • @ashaaweis4516
    @ashaaweis4516 Жыл бұрын

    Inallillah waina illeyhi rajicuun .Hakuna waku abudiiwa kwa haki ila Allah. ❤❤

  • @winnyroda7558
    @winnyroda7558 Жыл бұрын

    Ushuhuda wahuyu mama wanotia machozi😩Kila mahali kuna mwanahalusi wa YESU Mungu azidi kukuongeza nguvu za kuinjili wokovu kutoka kwa YESU KRISTO natamani ningemuona huyu dada musomalia amenifulahisha sana

  • @KayagoAziza
    @KayagoAziza Жыл бұрын

    Kampoteza mama yake siku za Mwisho 😢😢hata uso hauna nuru ya uwislam mungu tupe Mwisho mwema utufishe kuwa wa Islam na wa toto wetu

  • @khaleelrakim

    @khaleelrakim

    Жыл бұрын

    God knows best I'm just a human being I dont judge.... Wachia Mungu kazi yake..

  • @xstn8

    @xstn8

    Жыл бұрын

    Uislamu una nuru? 😅

  • @KayagoAziza

    @KayagoAziza

    Жыл бұрын

    @@xstn8 kubwa sana

  • @bahatishabani1392

    @bahatishabani1392

    Жыл бұрын

    Hakuna dini mbaya, zote zinatuelekeza Kwa mwenyezi Mungu! Na dini zote zina Nuru

  • @khanatrahmad127

    @khanatrahmad127

    Жыл бұрын

    Amiin Yaarabbi

  • @owikesibonike
    @owikesibonike Жыл бұрын

    MUNGU Naomba Nitunzie Promover TV. Namm Siku Moja Naamini Nitawatumia Kwa Jina la YESU Kristo.. ,🙏🙏♥️

  • @afredmwatate8128
    @afredmwatate8128 Жыл бұрын

    Ooh my!!, Yesu ni Bwana, my sister Mungu akulinde na azidi kukutumia. Nimeishi na wasomli miaka Saba, anacho kusema ni ukweli but our God is Great🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏👏👏👏👏

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Жыл бұрын

    Upendo wako Yesu ni wa ajabu sana, hongera sana Victoria kwa kupata neema ya kutembelewa na Yesu mwenyewe. Ni bahati ambayo ni nadra sana mtu kuipata.

  • @syphrosewangila8522

    @syphrosewangila8522

    Жыл бұрын

    This is my desire to see Jesus himself

  • @shalomkind4575
    @shalomkind4575 Жыл бұрын

    Huyu mdada atamuona MUNGU kwa kiwango ya juu sana ..hadi mavazi yake inampendeza MUNGU

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    Жыл бұрын

    Hayo mavazi ya kuvaa siku azitakazo? Yupo na kilemba tu huyo mtandaoni baadhi ya sehemu.

  • @jessemach4459
    @jessemach4459 Жыл бұрын

    Uongezeke Yesu!! Asante promover

  • @estherwaigwe1949
    @estherwaigwe1949 Жыл бұрын

    Alhamdhulillah am a Muslim Allah Akubar

  • @elizabethneema5213

    @elizabethneema5213

    Жыл бұрын

    Jesus Christ the Prince of peace, mfalme wa amani ndio maana wakristo ni wapenda amani

  • @sambosco11

    @sambosco11

    Жыл бұрын

    We umepotea

  • @jesusisthewaytoheaventv5353
    @jesusisthewaytoheaventv5353 Жыл бұрын

    Such a great testimony… thank you Jesus for showing your self to this woman… Nakupenda sana Yesu wangu

  • @m.e.k3172

    @m.e.k3172

    Жыл бұрын

    amen, Jesus is lord

  • @asaddahir5538

    @asaddahir5538

    Жыл бұрын

    @@m.e.k3172 i wonder if jesus is lord who is his grand father and great grand father?

  • @felixogembo8280

    @felixogembo8280

    Жыл бұрын

    @@asaddahir5538 You can confirm that in the Holy Quran, His linage is clearly written there unless you don't believe in Allah.... do you?

  • @asaddahir5538

    @asaddahir5538

    Жыл бұрын

    @@felixogembo8280 brother in islam God has no father,has no mother,has no family ,he is not created.

  • @asaddahir5538

    @asaddahir5538

    Жыл бұрын

    @@felixogembo8280 God created ADAM without amother without a father and created hawa or EVE from the rips of ADAM and created ISSA OR JESUS with mother and no father and tell me in the bible where jesus says i am God?

  • @peacesirajudin589
    @peacesirajudin589 Жыл бұрын

    Nimeipenda hy y jenga makanisa, nitakucheki kw hilo brother Jactani kw neema y Mungu, n Mungu w mbingu n nchi awakumbuke ktk ufalme wake n kuwaonekania🙏🤲🏽👏🔥

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    Hakika na mim nimeipenda hii ya kujenga makanisa

  • @peacesirajudin589

    @peacesirajudin589

    Жыл бұрын

    @@consolatamedard6593 yaaan kw neema y Mungu atuwezeshe kuchangia n kuwa sehemu y kw kadri tutakavyojaliwa💖🔥

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    @@peacesirajudin589 Amina Mamy

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    Жыл бұрын

    Ww unafikiri Ana pesa ya kujenga Kanisa huyo? Kishajua ni njia ya kupata michango ya bure.

  • @maryanabdinoor4769
    @maryanabdinoor4769 Жыл бұрын

    SubhanaAllah😢 may Allah forgive you

  • @zainudinmohamed306
    @zainudinmohamed306 Жыл бұрын

    Ifra Allah atakurudisha kwenye imani yako halisi...shida hukupatiwa nafasi ya kumjua Allah mmoja asie na mshirika...tunakuombea sana dada

  • @estherkabebe4307

    @estherkabebe4307

    Жыл бұрын

    ALLAH IS NOT GOD WHO CREATED THE UNIVERSE AS MANY MUSLIM AND EVEN CHRISTIAN THINK BCZ CHRIST IS THE ONLY WAY TO GOD

  • @OnesmoMwacha-wp4bo

    @OnesmoMwacha-wp4bo

    10 ай бұрын

    Mnamuombea amuache yesu. Unajua wale, vichaa walioko hodini huwa wanamuona doctor ni kichaa?. Ndio kama wewe unvyomuona huyu dada.Mungu akupe neema

  • @AhmedAli-gw7ht
    @AhmedAli-gw7ht Жыл бұрын

    Alhamdulilah, I am s Muslim.

  • @m.e.k3172

    @m.e.k3172

    Жыл бұрын

    search for the truth. allah and Satan are one. allah is a deciever, satan is also a deciever. allah makr where makr means deciever. makr is one of 99 names of LAH.

  • @user-tl8cj8gw6p

    @user-tl8cj8gw6p

    Жыл бұрын

    ​@@m.e.k3172..... Yani wewe hakika umesema maneno mazito Sana ety Allah na sheitani are one!!! Ukosawa kweli wewe!!! Basi nmm namuomba huyohuyo Allah ulie muita sheitani azidi kukunonesha ndio uzidi ujeuri zaidi na uendelee kumpata nguvu yakusema vitu isio vijua🙏😢

  • @paulkamau5589

    @paulkamau5589

    Жыл бұрын

    Mungu akutumie ndugu pia ujue ukweli

  • @millmillie5226

    @millmillie5226

    Жыл бұрын

    Jesus christ loves you Ahmed Ali

  • @officialjr2283

    @officialjr2283

    Жыл бұрын

    ​@@m.e.k3172welkm to Islam you are lost,we muslim love Jesus but we don't worship Jesus. Jesus He is only a messenger.

  • @mallowbrandlimited4089
    @mallowbrandlimited4089 Жыл бұрын

    I am muslim Alhamdulillahi. Proud to be a Muslim.

  • @m.e.k3172

    @m.e.k3172

    Жыл бұрын

    stop worshipping blackstone. seek for the truth

  • @Ommyjames313

    @Ommyjames313

    Жыл бұрын

    Kabisa tuombe Allah atujaalie mwisho mwema

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    Жыл бұрын

    Njoo kwa Yesu kabla hujafa. Yesu ndiye Njia Kweli na Uzima

  • @user-tl8cj8gw6p

    @user-tl8cj8gw6p

    Жыл бұрын

    ​@@m.e.k3172.... Truth ndio gani hiyo???

  • @wycliffenyongesa3845

    @wycliffenyongesa3845

    Жыл бұрын

    What makes you proud to be Muslim?

  • @chepkorir641
    @chepkorir641 Жыл бұрын

    Thanks for this testimony am in arab countries andd i am convinced that muslim is the right way but i thank God for this woman ill never convert i serve a living God thankyou Jesus now known you are the way the truth and the life Amina

  • @garatdubow3387
    @garatdubow3387 Жыл бұрын

    Surah Al-Kafirun Surah Al-Kafirun بِسْمِ اللّٰهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيْمِ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ Sema: Enyi makafiri! لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ Siabudu mnacho kiabudu; وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ Wala sitaabudu mnacho abudu. وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.

  • @lionofjudah1786

    @lionofjudah1786

    Жыл бұрын

    All you have wrote is vanity seek Christ....Jesus speak to people

  • @Latifah-hf6fu
    @Latifah-hf6fu Жыл бұрын

    Wallah wewe ni muongo mwenyezimungu atakulipa In sha ALLAH, muogope aliye kuumba

  • @macess4409
    @macess4409 Жыл бұрын

    Thank you Jesus,you are alive forever more.

  • @raymondmsigwa4821
    @raymondmsigwa48213 ай бұрын

    Dada yangu Ubarikiwe Sana umenitia moyo sana kwakweli muda umekwisha tumtumikie MUNGU maana YESU Kristo anarudi tena amina.

  • @journeywithjesus
    @journeywithjesus Жыл бұрын

    Sijamaliza kuangalia shuhuda lakini kuna neno linaniijia ya Yeremia 1:5 SRUV Kabla sijakuumba katika tumbo nilikujua, na kabla hujatoka tumboni, nilikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow6615 Жыл бұрын

    Asante Yesu kwa kumuonyesha njia iliyo sahihi✝️✝️

  • @Muhamed_mo

    @Muhamed_mo

    Жыл бұрын

    Huyo ni laanatul llah, Allah amuhid

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Жыл бұрын

    NJIA ipi?

  • @monicahango4745
    @monicahango4745 Жыл бұрын

    Asante Yesu kwakuwa wewe ndiye njia,kweli na uzima umechagua njia sahihi Binti mzuri nakuomba msikilize. Mungu

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 Жыл бұрын

    Huyu ni Mungu amemsaidia akajua njia sahihi ya kwenda asante yesu uwasaidie wengi wanaokutafuta Kama hawa.hate neno la Mungu linasema wana wa urithi wamepotea wakapokea mataifa.asante Victoria Amen.

  • @user-nl7nt8pd3s
    @user-nl7nt8pd3s Жыл бұрын

    Mungu ni muweza na hajawahi kushindwa ,humokoa yeyote amtakaye,. Hongera dada Victoria kumpokea yesu!

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Жыл бұрын

    HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 📢📢📢📢📢🎶🎶🎶🎶🎸🎸🎸👏👏👏👏📯📯📯📯📯

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Жыл бұрын

    Mungu pamoja nawe dada...yesu ndie njia ya kwenda kwa baba wetu wa mbinguni

  • @ethelgivamakota7143
    @ethelgivamakota7143 Жыл бұрын

    Haleluya. Mungu ni mwema. Asante sana Kwa ushuhuda huu mzuri sana. Mungu azidi kukubariki.

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Жыл бұрын

    😭😭 Nimelia sana Ushuhuda hauna dosari

  • @fatmakhalef3450
    @fatmakhalef3450 Жыл бұрын

    Subhanallah. Umemtia mama ako kwenye moto dakika za mwisho. Iman gani ibilisi amefanikiwa kwako. Maskin. Inna lillah waina ilayhi rajiun

  • @jacobnghwali4531

    @jacobnghwali4531

    Жыл бұрын

    Moto wa Mavi nyoko wewe

  • @FlockChief

    @FlockChief

    Жыл бұрын

    Inna lilahi wa ina ilayhi rajioun

  • @yvefay620

    @yvefay620

    Жыл бұрын

    Quel feu ?

  • @margrethemanuel7501

    @margrethemanuel7501

    Жыл бұрын

    Hakuna dini yyte itakayokupeleka peponi, Dini ni mwongozo wa kutusaidia kuishi kweny Yale ya Mwenyenz Mungu, kama matendo yako ni maovu usijesingizia dini,

  • @margrethemanuel7501

    @margrethemanuel7501

    Жыл бұрын

    ​@@jacobnghwali4531😂😂😂

  • @errabe28
    @errabe28 Жыл бұрын

    Asante kwa ushuhuda. Nguvu yangu katika imani ya Yesu ni zaidi katika mwanzo wakati Musa alipouliza Mungu: nitaambia waisraeli ni nani ananituma? Mungu alimuambia Musa: uambie waisraeli kwamba, MIMI NIKO ndiye ananituma. Hii inamaanisha kwamba katika hali yoyote tutakayo kuwa ndani ao kupatikana ndani, yeye yuko tu. Umaskini, utajiri, raha, mateso, kwenda kwa mwezi ao kwa sayari nyingine, kufa, kugonjwa, kukataa uwepo wa Mungu na ufufuko wa Yesu, etc, yuko! Na hii ndio huyo mama alijua. Hata alipounguzwa miguu na mateso nyingine, alijua yuko!

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Жыл бұрын

    God bless you ifra you are a blessing to the house of God.❤🎉

  • @owikesibonike
    @owikesibonike Жыл бұрын

    Ooh!! YESU Ni Bwana... 🙏🙏 Akikuhitaji hata Uwe Dini Gani?? Utamfuata Tu.

  • @safiaothman5175

    @safiaothman5175

    Жыл бұрын

    Si kweli kwani Nabii issa/Yesu ni Muislamu.

  • @nyambochristelle7640
    @nyambochristelle7640 Жыл бұрын

    Mungu ukuwezeshe mpaka ukafike mbinguni kwake kwa jina La Yesu christo🙏🙏👏🥰🥰🥰❤️from Rwanda.

  • @perischari3630
    @perischari3630 Жыл бұрын

    Pole sana mtumishi WA Mungu...Mungu akupe maisha marefu uokoe wengi Kwa jina la Yesu Kristo 😢

  • @jesusisthewaytoheaventv5353
    @jesusisthewaytoheaventv5353 Жыл бұрын

    Neema ya Mungu ilikuwa juu yako tangu mwanzo… Mungu ni mwema sana

  • @ministerfflekumok3221
    @ministerfflekumok3221 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema siku zote, Yesu ndiye kweli na uzima

  • @Mussajohn99

    @Mussajohn99

    Жыл бұрын

    Yohana 14:6 [6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man cometh unto the Father, but by me

  • @mystrocell2
    @mystrocell2 Жыл бұрын

    Mmmh 😢😢mwashinda mkibishana hapa kwa maneno ambayo hayana maana badala muutafte ufalme wa Mungu . Kuingia watu makundi, makundi haitawapeleka mbinguni

  • @aliemdogo
    @aliemdogo Жыл бұрын

    Mungu ni mwema na ndugu zetu wasikie wajue

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 Жыл бұрын

    Subhana Allah Allah atupe mwisho mwema

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    Жыл бұрын

    Amin Yaa Rabb

  • @dahirgacamey

    @dahirgacamey

    Жыл бұрын

    Aameen ya Allah

  • @eugene3661

    @eugene3661

    Жыл бұрын

    Ameen na atuhifadhi katika dini

  • @ashahassan2667

    @ashahassan2667

    Жыл бұрын

    Alahuma amiin

  • @marlonhotieno

    @marlonhotieno

    Жыл бұрын

    Come to Jesus Christ,,, Allah can't speak

  • @jesusisthewaytoheaventv5353
    @jesusisthewaytoheaventv5353 Жыл бұрын

    Jamani part 2 please. I can’t wait… Mungu ni mkubwa sana

  • @CherieDeDieu
    @CherieDeDieu Жыл бұрын

    Roho Mtakatifu alikuwa amekuandama Dada; ndio maana uliweza kujua mambo haya yote bila kuwahi kufunzwa. Yote yawezekana kwa Mungu wetu katika jina la Yesu Kristo. Asifiwe milele na milele, Amina!!

  • @chefjaji4225
    @chefjaji4225 Жыл бұрын

    Thank you Jesus for this wonderful testimony 🙏🙏🙏 may God bless you my sister ❤️

  • @neemakanani4346
    @neemakanani4346 Жыл бұрын

    Ndo neno la mungu linasema wasipo amini kwa neno wataamini kwa tendo

  • @ministerfflekumok3221
    @ministerfflekumok3221 Жыл бұрын

    Compassion International thumps up, keep up the good works, Ifra God bless you and keep the fire burning

  • @awinojuju8522
    @awinojuju8522 Жыл бұрын

    Why Don't God show HIMSELF to Muslims if they feel soo Holy and devoted..... Jesus is The Way Truth And Life

  • @estherwamboi7683
    @estherwamboi7683 Жыл бұрын

    Ushuhuda mzuri sana lkn waisilam wako tuu kurusha mdomo mawe kila sku kila mtu anajua Somalia ni ngome ya Muslims lkn nae kachaguliwa katikati yao wasio mjua yesu ili awaafungue macho wengne walio lala

  • @davidmwangi1420
    @davidmwangi1420 Жыл бұрын

    Praise God. Your mom made the single most important decision in her entire life and committed her life to Christ. For that one decision she is not lost. You will be with her one day in heaven in the presence of God when the time comes.

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Жыл бұрын

    Umemtia hasarani mama yako kawa na mwisho mbaya

  • @lionofjudah1786

    @lionofjudah1786

    Жыл бұрын

    Ngoja ufe ndo utajua ako wapi na wewe utakua wapi

  • @maryamnjagila3896
    @maryamnjagila3896 Жыл бұрын

    I declare and decree my family they're muslim and yet I believe God has chosen them. Amen

  • @alexsituma6570
    @alexsituma6570 Жыл бұрын

    Mama endelea na kazi ya Mungu...Usikate tamaa na usisikize mambo ya watu...Si rahisi na usirudi nyuma

  • @DeoKanda-bt9gw

    @DeoKanda-bt9gw

    Жыл бұрын

    Ina shaytwan lakum aduwu mubin awudhu billah mina shaytwan

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    Жыл бұрын

    Kwakweli kafiir akisilimu utamsikia nilisoma bible, Qur-an nikabaini kua uisilam ndio dini ya haq. Lkn muisilam akiritadi utasikia jini, shaitwani, nimepitia misuko suko mingi, Yesu kanitokea nk. Kuonyesha hajasomq dini na wala hataki kusoma huko anakokwenda. Yy tamaa kaeka mbele kiasi ambacho mpaka bilisi kamvaa haoni hasikii, akilala analala nae Akila anakula nae.

  • @JamuhuriIsaya

    @JamuhuriIsaya

    3 ай бұрын

    Amina Dada yangu ushuhuda huo umenifanya,nijitafakari upya ndani ya YESU Isaya 9:6 Mungu akubariki

  • @jesusisthewaytoheaventv5353
    @jesusisthewaytoheaventv5353 Жыл бұрын

    Jamani huu ushuhuda naupenda sana Mungu wangu Asante kwa huu ujumbe

  • @ashasalmin1625
    @ashasalmin1625 Жыл бұрын

    AA maskini roho yako ushapotea na unazidi kuwapoteza wapotevu, huyo Yesu kafariki jee mungu anakufa acha kujidanganya

  • @ChristinaSanga-pl5jm

    @ChristinaSanga-pl5jm

    Жыл бұрын

    Pole sana Asha utasuburi sana mahali ulipo omba sana nawe update Neema ya wokovu kama aliyoipata huyu Dada

  • @evansrusha580

    @evansrusha580

    Жыл бұрын

    Tafuta mda wako uanze kuliiza mungu akufunulie nani kati ya yesu na Mohamed nani ndio njia ya haki... Badala ya kukashifu mambo yenye utukufu.. Oni langu

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 Жыл бұрын

    Mungu akubariki dada Karibu Kwa safari yakwenda mbinguni

  • @ebenezerchurchsupremetv9490

    @ebenezerchurchsupremetv9490

    Жыл бұрын

    Uslamu unapiganiwa lakini ukristo unatetewa na Mungu mwenyewe! Hata Mimi niliapa sitorudi kwenye uislamu hata baba yangu mpaka anakufa hatukuwa na mawasiliano mazuri kwaajili hiyo

  • @user-sq7pz9ex5g

    @user-sq7pz9ex5g

    Жыл бұрын

    ​@@ebenezerchurchsupremetv9490 😮😮ina maana umeokoka?! Na Mimi nipo njiani dear naona nguvu ya YESU hasa maombi nikilalal vituko San usiku ila nikiomna naamka mpya.BARIKIWA SANA

  • @yohanasanga3371
    @yohanasanga3371 Жыл бұрын

    Ukisikiliza huu ushuhuda unafunza sana tuna relax sana Sisi ambao hatujapitia magumu

  • @geofreymulei5695

    @geofreymulei5695

    Жыл бұрын

    Good job sister God bless you waelemishe hai ndungu nzako wabishi

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    Жыл бұрын

    Na ww ulipata shuka nn kutoka kwa Yesu?

  • @yohanasanga3371

    @yohanasanga3371

    Жыл бұрын

    @@Fear_Allah394 sidhani kama umesemwa mpendwa

  • @elizabethneema5213

    @elizabethneema5213

    Жыл бұрын

    Very true brother, hatujalipa gharama

  • @goodluckmolleltennis5980

    @goodluckmolleltennis5980

    9 ай бұрын

    Warumi 14:1 Kama mtu ana imani dhaifu mkaribisheni bila kubishana naye kuhusu maoni yake. Hawa ndugu zetu wanao laumu dada yetu katika imani kuona mwamga Tuwaombee tu Mungu awape mioyo ya nyama na waweze kumtambua na kumkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yao

  • @abdulhakimhasan7673
    @abdulhakimhasan7673 Жыл бұрын

    Huyo mama ni myatima , aliye chukuliwa akiwa mdogo , na wazungu wa makanisa , wakati wa shida na ukame. Maisha ya huyu mama ni ukristo , hajui dini ya kiislamu.

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын

    Subhanallah 🤔 umepotea kabisa na kama ni njaa siuseme? Muongo saana huyu 😂😮

  • @charlesmapunda5905

    @charlesmapunda5905

    Жыл бұрын

    Mwenzenu kakimbia Majini kaokoka kwa Yesu raha bwana 😂😂😂😂

  • @xildhibaanxilkaxilka722
    @xildhibaanxilkaxilka722 Жыл бұрын

    May Allah guide u to the right path (islam) Inshaallah

  • @elizabethneema5213

    @elizabethneema5213

    Жыл бұрын

    Wote wafahamu kuwa Issa, jinsi mnavyo mwita mwana wa mungu, alikuwa ni nguvu nyingi, mbona mmkatae na kumkubali mwingine asiye na nguvu

  • @rakaieva5472
    @rakaieva5472 Жыл бұрын

    Glory be to God wooooow living testimony 😢😢God is amazing ever. 🙏thank you Jesus christ son of living God 🙏🙏🙏

  • @Blessedpeace
    @Blessedpeace Жыл бұрын

    Hakika kunaye Mungu..sijui mbona nikaupata ushuhuda huu lakini naamini nimeupata kwa wakati unaofaa.. Asante Yesu kwa ujio wako na zaidi kwa kumdhihirikia dada huyu kwa anjili ya utukufu wako. Amen

  • @angel54223
    @angel5422311 ай бұрын

    A very powerful testimony and very touching I couldn't hold my tears knowing that most of us would had given up for fear of death but she was and is ready to curry her cross to the bitter end, and we all need to curry our cross to over come, Victoria you've touched my heart it's a challenge, God Bless you and help you finish your race as a winner.

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 Жыл бұрын

    Amen amen amen ubarikiwe sana mupendwa wa Mungu kwa Mungu wetu ni muzuri sana

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 Жыл бұрын

    Pole sana ibilis alikua kazin

  • @fatmakhalef3450

    @fatmakhalef3450

    Жыл бұрын

    Tena kamtia mama ake dakika za mwisho. Yesu ni nabii sio mungu wala mwana WA mungu. Nabii issa mtoto WA Mariam

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    Жыл бұрын

    @@fatmakhalef3450 yaani nimeumia sana Kumkufurisha mama yake Wakati wa mwisho wa uhai wake Kaka zake walimpiga kidogo Wangempiga sana sana sana Kanikera sana Kumritadisha mama yake

  • @mlulamsiliwa7123

    @mlulamsiliwa7123

    4 ай бұрын

    Niliuliza kuwa Yesu uliyemu9na alikuwa na sura ipi . ni hii tunayoiona kwenye sinema za yesu au sanamu zake. Sikujibiwa. acheni kuwafanya watu wajinga

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    4 ай бұрын

    @@mlulamsiliwa7123 ni mtihani kwakweli

  • @anthonykidake4335
    @anthonykidake4335 Жыл бұрын

    That's how God works mesteriously, it's hard to believe when you look at it fisically,but spiritually you can see.but none believers will think is a story.i couldn't hold my tears what a testimony may our Lord Jesus strengthen you sister vicy.amen.

  • @amanionlinetv8678
    @amanionlinetv8678 Жыл бұрын

    Ee MUNGU turehemu sisi watanzania maana tuna neema kubwa Sana 😭

  • @fred-go8li
    @fred-go8li Жыл бұрын

    Amen..waambie wajue Yesu ni Bwana.Ujumbe mzito kweli.Mungu akusaidie katika safari yako ya ukristo.

  • @ismailabbas4197

    @ismailabbas4197

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣 ndiomaana Pual Mackenzie anawanyonga

  • @hassanzaylai4491
    @hassanzaylai4491 Жыл бұрын

    I thank Allah for being a Muslim, who doesn't believe in the Greco-Roman interpolation of God is 3 or God died for me! May Allah guide all humanity to the path of the truth of God is one!

  • @choppyndedah7919

    @choppyndedah7919

    Жыл бұрын

    It's better than worshipping a black stone, and following a 54year old prophet who defiled a six year old in the name of marriage

  • @marymwai9579

    @marymwai9579

    Жыл бұрын

    Jesus Christ is the way, truth and life. And only the way to go to the Father

  • @hassanzaylai4491

    @hassanzaylai4491

    Жыл бұрын

    @@marymwai9579 The verse you wrote, you're taking it out of context, if you read the whole thing, then you will realize Jesus is talking about representing God! Even if you take that as it is, it does not apply to you and all the Gentiles. The following is the proof: Jesus said, "I was sent only to the people of Israel! They are like a flock of lost sheep." And he is answering, said: I was not sent but to the sheep that are lost of the house of Israel. But he answered and said, I was not sent but unto the lost sheep of the house of Israel. When Moses was sent, just as other prophets before him, he too was the sole chosen representative of God to the Israelites! No one else! Your salvation, on which you pinned all hope, that Jesus died for your sins is an interpolation by Paul. If you read the bible, it contradicts Jesus's doctrine of salvation, which is as follows: "For I say unto you, that except your righteousness shall exceed the righteousness of the scribes and Pharisees, ye shall in no case enter into the kingdom of heaven." Does that sound like he is saying, "I will die for your sins?" The bible, your bible, rejects someone dying or paying for someone else's sins: " Ezekiel 18:20: The soul that sinneth, it shall die: the son shall not bear the iniquity of the father, neither shall the father bear the iniquity of the son; the righteousness of the righteous shall be upon him, and the wickedness of the wicked shall be upon him.|

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Жыл бұрын

    Converted at young age while innocent, may Allah lead her back to the right path

  • @carolinenkatha8485
    @carolinenkatha8485 Жыл бұрын

    Shuhuda kama hizi unipa moyo sana katika wokovu wangu

  • @jyn3439
    @jyn3439 Жыл бұрын

    Cant stop my tears...Indeed God is faithful...Thanks Sis Victoria for your testimony.. Your are the chosen one.. Your glorious crown is waiting for you..Jesus Christ will reward you not only in the world to come but also in this world... keep preaching and testifying of his goodness and mercy. May his grace be sufficient for you..

  • @jedidahmusumbu7449

    @jedidahmusumbu7449

    Жыл бұрын

    Dada mungu akubari sana wokofu nisiri mungu alikufunulia shika yesu kabisa

  • @petermochengo8647
    @petermochengo8647 Жыл бұрын

    Furaha tele moyoni mwangu Yesu ainuliwe juuu sana amen amen

  • @gloriamchele1095
    @gloriamchele1095 Жыл бұрын

    Waaah,.....so touching testimony....Hadi nimeingiwa na baridi mwilini

  • @hafsas.ramadhan4758
    @hafsas.ramadhan4758 Жыл бұрын

    الحمد لله على نعمة الإسلام! اللهم إني أسألك حسن الخاتمه يا ربي 😢

  • @miskiin236

    @miskiin236

    Жыл бұрын

    Aamiin sis, May Allaah guide her back to Islam . .

  • @fayeezabdallah2217

    @fayeezabdallah2217

    Жыл бұрын

    sahih kbc Alhmdllh

  • @frank01tz

    @frank01tz

    11 ай бұрын

    Believe and you shall be saved

  • @JONATHANIMICHAEL

    @JONATHANIMICHAEL

    Ай бұрын

    Yan hiyo lugha ya kiarabu mnaona kama mpo pepon kumbe kujidanganya tu

  • @ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op
    @ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op Жыл бұрын

    AMEN UBARIKIWE sana

  • @apostlezizi
    @apostlezizi Жыл бұрын

    Hallelujah YESU KRISTO ni BWANA 💪

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    NI BIBI 😂😂😂😂

  • @apostlezizi

    @apostlezizi

    Жыл бұрын

    @@Mina.15 nakuombea Rehema

  • @mallowbrandlimited4089
    @mallowbrandlimited4089 Жыл бұрын

    Asante mungu kwa kunijalia kuwa muislamu.

  • @fridamwakipamba4292
    @fridamwakipamba42924 ай бұрын

    Bwana Yesu apewe sifa. Endelea kumtumikia yesu . Ubarikiwe Sana Victoria. Kaa na Imani Yako kwa kujiamini maana yesu ni njia.

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Жыл бұрын

    Ila ukweli Jactan Musafiri nyinyi ni watumishi wa Mungu kwelikweli.mpaka kumbe mnawajengea watumishi makanisa jamani,mbarikiwe.

  • @nestorygilbert6170
    @nestorygilbert6170 Жыл бұрын

    Karibu sana dada but in general UNAFAA KUWA unyakuo Tv injiri ya UAMUSHO Ina kufaa 🗣️ your strong enough to do Jesus work

  • @GreyFransis-gd4td
    @GreyFransis-gd4td Жыл бұрын

    Yesu anasema si ninyi mlionichagua Bali Mimi ndiyo niliowagua kwa hiyo mama umechaguliwa na Yesu

  • @maryamnjagila3896
    @maryamnjagila3896 Жыл бұрын

    John 15:16 He always chooses us

  • @nancymwangi5785
    @nancymwangi5785 Жыл бұрын

    Glory to God,Jesus is Lord, Hallelujah

  • @rusimackems9820
    @rusimackems9820 Жыл бұрын

    Mungu niwa wote wenye mwili, Sifa kwa Yesu Kristo aokoaye

  • @alicekinya3428
    @alicekinya342811 ай бұрын

    Mohammed anajua yesu do njia na uzima, mama uko Sawa usiogope, Mohammed aliuwawa kwa sababu aliua nzima ya mjombake, yesu pekee ndiye njia mwanaume wa kipekee alikufa na akafufuka, yesu akuongeze mchungaji Amina.

  • @alicemasuti1737
    @alicemasuti1737 Жыл бұрын

    Great Testimony

  • @EthanKizungu-om7fd
    @EthanKizungu-om7fd Жыл бұрын

    Amen. Naamini kweli Yesu yuko hai asante sana Yesu kutuokoa na kuokoa mama huyu. Uko mkuu Yesu

  • @rebecakigutu
    @rebecakigutu Жыл бұрын

    this chanell ina ni bless sana aise

  • @JasinthaAlex
    @JasinthaAlex2 ай бұрын

    Njia iendayo uzimani ni nyembamba na waiendayo ni wachache,wengi wamesombwa na hanasa za kidunia na udini Yesu turehemu tunakupenda kwenye shida,kwenye kifo tusamehe🙏🙏

Келесі