Part1_USHUHUDA VICTORIA MSOMALI ALIYEOKOKA KWA MBINDE"Yesu alinitokea,ilibidi aje mwenyewe kuniokoa"
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak5W0jXI0M1eX
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 1 522
Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX
@FouziaFarah-jw5kq
Жыл бұрын
Wow God bless you my sister keep on preaching may God protect you In Jesus Christ Amen 🙏🙏🙏🙏
@ahmedelalawy639
Жыл бұрын
Hizo namba sisi za nini kama anataka sadaka akatafute shamba singida alime. Huyu mama muongo sio muislamu na hana ndugu muislamu. Kasema kaishi somalia na hakuna msomali hajui kisomali kaulizwa maswali kwa kisomali yamemshinda. Mkiristo ndugu amkeni musiwe wajinga kiasi hicho .walaini kudanganywa
@tinamasawe5851
Жыл бұрын
L.
@frankmpembu
Жыл бұрын
Ungeficha namba zake watu wabaya wasije wamtisha, kumtafuta na kumuua.
@shirugaks7464
Жыл бұрын
Most amazing testimony, I am so ecouraged. Asante Victoria for sharing about your personal story with Jesus christ.
Mungu Yuko na YESU ndiye njia ya kweli na uzima Dada endelea na Imani utamuona Mungu inshaalla
BWANA YESU KRISTOR anawatu wake awatakufa awajajuwa yeye ni njia ya uzima ubarikiwe sana
@theafricaiknow6615
Жыл бұрын
Amen
Kwakweli Neema hii Sisi wakristo tunaichezea Sana...Mungu aturehemu na kutusaidia kulijua pendo lake na kulithamini❤
@janetdundul3858
Жыл бұрын
Kabisa 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@mariemkarama1811
Жыл бұрын
❤ ukweli we are jokers not Real
@aminahgrace
Жыл бұрын
Kweli msamaha kwetu Baba
@hassanislam1796
Жыл бұрын
The only somali who is lost,may Allah guide her
@officialjr2283
Жыл бұрын
Umepotea kuja kwa islamu
❤❤nimependa sana hii shuhuda,na mimi nipo njiani kutoa shuhuda yangu ingawa mimi ni muislamu ila napitia magumu sana😢 yani nilifugwa rizki hasa ktk mahusiano na bini yangu mama yake mdg mama,nilipata mchumba toka CANADA mtanzania lakini ghafla akanitumia sms niendelee na maisha yangu na niliwahi kuwa na mume 2011 tukaachana 2016 sasa niko uarabuni nafanya kazi yani bila kuombewa nisingefika huku ahsante YESU.
@zeinabmaneno81
Жыл бұрын
Rudi kwa Allah dada na unitafute tafadhali ❤
@geofreyg.mtensa4559
Жыл бұрын
@@zeinabmaneno81 kwaiyo uyo Allah ni nani na Yesu ni nani...?
@mosesjohnswilla9926
Жыл бұрын
Mungu akusaidie sana dadangu. Karibu kwa Yesu anakupenda sana.
@nininahazwedonavine3349
Жыл бұрын
Amen karibu sana kwa Yesu Kristo tena ukimbie ufike shetani anatamani akurudishe nyuma nanyuma sasa nikubaa kutakuwa ma mbwa na wachawi finally kwa Yesu upate uzima wa milele Amen
@shuwehaharuna6309
Жыл бұрын
Astagharillah
Alooo very wonderful testimony, I can only imagine how she has been through, coz I've been like that more or less, coz am from Muslim back ground too, my dad's side is Muslim and my mom's side christine thnx to my mom was born again and I followed that path by the grace of God, He manifested himself to me then I accepted Him as my Lord and person saviour to God be the glory 🙏🤲🏽👏🔥
Allahamdullilah I’m Muslim Allah is great
@m.e.k3172
Жыл бұрын
allah is blackstone in kaba. open your eyes before its too late
@davidwalker2144
Жыл бұрын
As for those who commit evil ignorantly ˹or recklessly˺, then repent afterwards and mend their ways, then your Lord is surely All-Forgiving, Most Merciful.
@frankmpembu
Жыл бұрын
Njoo kwa Yesu kabla hujafa
@Mina.15
Жыл бұрын
@@frankmpembu yesu ndio nana ❓😂😂😂
@gatembowanjiru5374
Жыл бұрын
@@Mina.15 mwenye atatumwa tena siku ya kiama,iko kwa Korani na kwa Biblia atakuja kuchukua watakatifu.Niliposoma kwa Korani kuhusu prophet Issa I knew this man had greater manifestation before the creator if He will again at end time and this is the saviour and the way to heaven
Ninafuraha sana kusikiliza ushuda hai wa Mungu aliye hai.Kwa kweli ukisoma Yohana 3:16 utakuja kujua kuwa Kristo alikujia Kila mwanadamu wala sio madhebu.Mungu ibariki sana kampuni iliojitwika kufanya kazi hii nzuri, kupeperusha makala haya.Ahsanteni sana na Mungu awabariki.
Huyu dada anajua anacho kifanya, Allah akujalie ufahamu ili urudi nyuma na ufanye tobah inshallah
@abdullahiyarso6130
Жыл бұрын
Ameeen thuma Ameeen
@hiboabdi350
Жыл бұрын
Amiiin as a somali this breaks my heart😢🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@mauleenkiwia6022
Жыл бұрын
Pole zako hapo ndio imetoka. Yesu ndio njia kweli na Uzima. Hakuna namna
@johndealberto3237
Жыл бұрын
"Allah akujaalie... urudi nyuma" 😂😂😂 Ni kweli kabisa kurudi kwenye Uislam, ni KURUDI NYUMA!!
@piuspaschal2964
Жыл бұрын
Hata wewe unamhitaji Yesu. Hakuna atakayemwona Mungu bila Yesu
Alhamdulullah I'm happy to be Muslim
@mumlidaywa8196
Жыл бұрын
nakupenda sana yesu
@alvaamisse7510
Жыл бұрын
you are happy but you are going to hell if you can not received Jesus as you saviour.
@alvaamisse7510
Жыл бұрын
@@mumlidaywa8196 sio yesu lakini Yesu kwasababu yesu atakua wa kenya.
@maryaugustor6983
Жыл бұрын
Yesu ni Bwana na njia ni kristor peke yake.
@yvefay620
Жыл бұрын
Others are also Happy with their Faith
Ushuhuda wako,unafundisho YESU Yupo kuokoa na anaishi.ahsante kwa kumtukuza YESU UBARIKIWE sana Dada.
@magrethmbaga1089
Жыл бұрын
Barikiwa Dada ushuhuda wako. Unatupandisha Imani.
HASBUNALLAH WANEEMAL WAKEEL
Inallillah waina illeyhi rajicuun .Hakuna waku abudiiwa kwa haki ila Allah. ❤❤
Ushuhuda wahuyu mama wanotia machozi😩Kila mahali kuna mwanahalusi wa YESU Mungu azidi kukuongeza nguvu za kuinjili wokovu kutoka kwa YESU KRISTO natamani ningemuona huyu dada musomalia amenifulahisha sana
Kampoteza mama yake siku za Mwisho 😢😢hata uso hauna nuru ya uwislam mungu tupe Mwisho mwema utufishe kuwa wa Islam na wa toto wetu
@khaleelrakim
Жыл бұрын
God knows best I'm just a human being I dont judge.... Wachia Mungu kazi yake..
@xstn8
Жыл бұрын
Uislamu una nuru? 😅
@KayagoAziza
Жыл бұрын
@@xstn8 kubwa sana
@bahatishabani1392
Жыл бұрын
Hakuna dini mbaya, zote zinatuelekeza Kwa mwenyezi Mungu! Na dini zote zina Nuru
@khanatrahmad127
Жыл бұрын
Amiin Yaarabbi
MUNGU Naomba Nitunzie Promover TV. Namm Siku Moja Naamini Nitawatumia Kwa Jina la YESU Kristo.. ,🙏🙏♥️
Ooh my!!, Yesu ni Bwana, my sister Mungu akulinde na azidi kukutumia. Nimeishi na wasomli miaka Saba, anacho kusema ni ukweli but our God is Great🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏👏👏👏👏
Upendo wako Yesu ni wa ajabu sana, hongera sana Victoria kwa kupata neema ya kutembelewa na Yesu mwenyewe. Ni bahati ambayo ni nadra sana mtu kuipata.
@syphrosewangila8522
Жыл бұрын
This is my desire to see Jesus himself
Huyu mdada atamuona MUNGU kwa kiwango ya juu sana ..hadi mavazi yake inampendeza MUNGU
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Hayo mavazi ya kuvaa siku azitakazo? Yupo na kilemba tu huyo mtandaoni baadhi ya sehemu.
Uongezeke Yesu!! Asante promover
Alhamdhulillah am a Muslim Allah Akubar
@elizabethneema5213
Жыл бұрын
Jesus Christ the Prince of peace, mfalme wa amani ndio maana wakristo ni wapenda amani
@sambosco11
Жыл бұрын
We umepotea
Such a great testimony… thank you Jesus for showing your self to this woman… Nakupenda sana Yesu wangu
@m.e.k3172
Жыл бұрын
amen, Jesus is lord
@asaddahir5538
Жыл бұрын
@@m.e.k3172 i wonder if jesus is lord who is his grand father and great grand father?
@felixogembo8280
Жыл бұрын
@@asaddahir5538 You can confirm that in the Holy Quran, His linage is clearly written there unless you don't believe in Allah.... do you?
@asaddahir5538
Жыл бұрын
@@felixogembo8280 brother in islam God has no father,has no mother,has no family ,he is not created.
@asaddahir5538
Жыл бұрын
@@felixogembo8280 God created ADAM without amother without a father and created hawa or EVE from the rips of ADAM and created ISSA OR JESUS with mother and no father and tell me in the bible where jesus says i am God?
Nimeipenda hy y jenga makanisa, nitakucheki kw hilo brother Jactani kw neema y Mungu, n Mungu w mbingu n nchi awakumbuke ktk ufalme wake n kuwaonekania🙏🤲🏽👏🔥
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Hakika na mim nimeipenda hii ya kujenga makanisa
@peacesirajudin589
Жыл бұрын
@@consolatamedard6593 yaaan kw neema y Mungu atuwezeshe kuchangia n kuwa sehemu y kw kadri tutakavyojaliwa💖🔥
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
@@peacesirajudin589 Amina Mamy
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Ww unafikiri Ana pesa ya kujenga Kanisa huyo? Kishajua ni njia ya kupata michango ya bure.
SubhanaAllah😢 may Allah forgive you
Ifra Allah atakurudisha kwenye imani yako halisi...shida hukupatiwa nafasi ya kumjua Allah mmoja asie na mshirika...tunakuombea sana dada
@estherkabebe4307
Жыл бұрын
ALLAH IS NOT GOD WHO CREATED THE UNIVERSE AS MANY MUSLIM AND EVEN CHRISTIAN THINK BCZ CHRIST IS THE ONLY WAY TO GOD
@OnesmoMwacha-wp4bo
10 ай бұрын
Mnamuombea amuache yesu. Unajua wale, vichaa walioko hodini huwa wanamuona doctor ni kichaa?. Ndio kama wewe unvyomuona huyu dada.Mungu akupe neema
Alhamdulilah, I am s Muslim.
@m.e.k3172
Жыл бұрын
search for the truth. allah and Satan are one. allah is a deciever, satan is also a deciever. allah makr where makr means deciever. makr is one of 99 names of LAH.
@user-tl8cj8gw6p
Жыл бұрын
@@m.e.k3172..... Yani wewe hakika umesema maneno mazito Sana ety Allah na sheitani are one!!! Ukosawa kweli wewe!!! Basi nmm namuomba huyohuyo Allah ulie muita sheitani azidi kukunonesha ndio uzidi ujeuri zaidi na uendelee kumpata nguvu yakusema vitu isio vijua🙏😢
@paulkamau5589
Жыл бұрын
Mungu akutumie ndugu pia ujue ukweli
@millmillie5226
Жыл бұрын
Jesus christ loves you Ahmed Ali
@officialjr2283
Жыл бұрын
@@m.e.k3172welkm to Islam you are lost,we muslim love Jesus but we don't worship Jesus. Jesus He is only a messenger.
I am muslim Alhamdulillahi. Proud to be a Muslim.
@m.e.k3172
Жыл бұрын
stop worshipping blackstone. seek for the truth
@Ommyjames313
Жыл бұрын
Kabisa tuombe Allah atujaalie mwisho mwema
@frankmpembu
Жыл бұрын
Njoo kwa Yesu kabla hujafa. Yesu ndiye Njia Kweli na Uzima
@user-tl8cj8gw6p
Жыл бұрын
@@m.e.k3172.... Truth ndio gani hiyo???
@wycliffenyongesa3845
Жыл бұрын
What makes you proud to be Muslim?
Thanks for this testimony am in arab countries andd i am convinced that muslim is the right way but i thank God for this woman ill never convert i serve a living God thankyou Jesus now known you are the way the truth and the life Amina
Surah Al-Kafirun Surah Al-Kafirun بِسْمِ اللّٰهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيْمِ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ Sema: Enyi makafiri! لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ Siabudu mnacho kiabudu; وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ Wala sitaabudu mnacho abudu. وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
@lionofjudah1786
Жыл бұрын
All you have wrote is vanity seek Christ....Jesus speak to people
Wallah wewe ni muongo mwenyezimungu atakulipa In sha ALLAH, muogope aliye kuumba
Thank you Jesus,you are alive forever more.
Dada yangu Ubarikiwe Sana umenitia moyo sana kwakweli muda umekwisha tumtumikie MUNGU maana YESU Kristo anarudi tena amina.
Sijamaliza kuangalia shuhuda lakini kuna neno linaniijia ya Yeremia 1:5 SRUV Kabla sijakuumba katika tumbo nilikujua, na kabla hujatoka tumboni, nilikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
Asante Yesu kwa kumuonyesha njia iliyo sahihi✝️✝️
@Muhamed_mo
Жыл бұрын
Huyo ni laanatul llah, Allah amuhid
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
NJIA ipi?
Asante Yesu kwakuwa wewe ndiye njia,kweli na uzima umechagua njia sahihi Binti mzuri nakuomba msikilize. Mungu
Huyu ni Mungu amemsaidia akajua njia sahihi ya kwenda asante yesu uwasaidie wengi wanaokutafuta Kama hawa.hate neno la Mungu linasema wana wa urithi wamepotea wakapokea mataifa.asante Victoria Amen.
Mungu ni muweza na hajawahi kushindwa ,humokoa yeyote amtakaye,. Hongera dada Victoria kumpokea yesu!
HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 📢📢📢📢📢🎶🎶🎶🎶🎸🎸🎸👏👏👏👏📯📯📯📯📯
Mungu pamoja nawe dada...yesu ndie njia ya kwenda kwa baba wetu wa mbinguni
Haleluya. Mungu ni mwema. Asante sana Kwa ushuhuda huu mzuri sana. Mungu azidi kukubariki.
😭😭 Nimelia sana Ushuhuda hauna dosari
Subhanallah. Umemtia mama ako kwenye moto dakika za mwisho. Iman gani ibilisi amefanikiwa kwako. Maskin. Inna lillah waina ilayhi rajiun
@jacobnghwali4531
Жыл бұрын
Moto wa Mavi nyoko wewe
@FlockChief
Жыл бұрын
Inna lilahi wa ina ilayhi rajioun
@yvefay620
Жыл бұрын
Quel feu ?
@margrethemanuel7501
Жыл бұрын
Hakuna dini yyte itakayokupeleka peponi, Dini ni mwongozo wa kutusaidia kuishi kweny Yale ya Mwenyenz Mungu, kama matendo yako ni maovu usijesingizia dini,
@margrethemanuel7501
Жыл бұрын
@@jacobnghwali4531😂😂😂
Asante kwa ushuhuda. Nguvu yangu katika imani ya Yesu ni zaidi katika mwanzo wakati Musa alipouliza Mungu: nitaambia waisraeli ni nani ananituma? Mungu alimuambia Musa: uambie waisraeli kwamba, MIMI NIKO ndiye ananituma. Hii inamaanisha kwamba katika hali yoyote tutakayo kuwa ndani ao kupatikana ndani, yeye yuko tu. Umaskini, utajiri, raha, mateso, kwenda kwa mwezi ao kwa sayari nyingine, kufa, kugonjwa, kukataa uwepo wa Mungu na ufufuko wa Yesu, etc, yuko! Na hii ndio huyo mama alijua. Hata alipounguzwa miguu na mateso nyingine, alijua yuko!
God bless you ifra you are a blessing to the house of God.❤🎉
Ooh!! YESU Ni Bwana... 🙏🙏 Akikuhitaji hata Uwe Dini Gani?? Utamfuata Tu.
@safiaothman5175
Жыл бұрын
Si kweli kwani Nabii issa/Yesu ni Muislamu.
Mungu ukuwezeshe mpaka ukafike mbinguni kwake kwa jina La Yesu christo🙏🙏👏🥰🥰🥰❤️from Rwanda.
Pole sana mtumishi WA Mungu...Mungu akupe maisha marefu uokoe wengi Kwa jina la Yesu Kristo 😢
Neema ya Mungu ilikuwa juu yako tangu mwanzo… Mungu ni mwema sana
Mungu ni mwema siku zote, Yesu ndiye kweli na uzima
@Mussajohn99
Жыл бұрын
Yohana 14:6 [6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man cometh unto the Father, but by me
Mmmh 😢😢mwashinda mkibishana hapa kwa maneno ambayo hayana maana badala muutafte ufalme wa Mungu . Kuingia watu makundi, makundi haitawapeleka mbinguni
Mungu ni mwema na ndugu zetu wasikie wajue
Subhana Allah Allah atupe mwisho mwema
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Amin Yaa Rabb
@dahirgacamey
Жыл бұрын
Aameen ya Allah
@eugene3661
Жыл бұрын
Ameen na atuhifadhi katika dini
@ashahassan2667
Жыл бұрын
Alahuma amiin
@marlonhotieno
Жыл бұрын
Come to Jesus Christ,,, Allah can't speak
Jamani part 2 please. I can’t wait… Mungu ni mkubwa sana
Roho Mtakatifu alikuwa amekuandama Dada; ndio maana uliweza kujua mambo haya yote bila kuwahi kufunzwa. Yote yawezekana kwa Mungu wetu katika jina la Yesu Kristo. Asifiwe milele na milele, Amina!!
Thank you Jesus for this wonderful testimony 🙏🙏🙏 may God bless you my sister ❤️
Ndo neno la mungu linasema wasipo amini kwa neno wataamini kwa tendo
Compassion International thumps up, keep up the good works, Ifra God bless you and keep the fire burning
Why Don't God show HIMSELF to Muslims if they feel soo Holy and devoted..... Jesus is The Way Truth And Life
Ushuhuda mzuri sana lkn waisilam wako tuu kurusha mdomo mawe kila sku kila mtu anajua Somalia ni ngome ya Muslims lkn nae kachaguliwa katikati yao wasio mjua yesu ili awaafungue macho wengne walio lala
Praise God. Your mom made the single most important decision in her entire life and committed her life to Christ. For that one decision she is not lost. You will be with her one day in heaven in the presence of God when the time comes.
Umemtia hasarani mama yako kawa na mwisho mbaya
@lionofjudah1786
Жыл бұрын
Ngoja ufe ndo utajua ako wapi na wewe utakua wapi
I declare and decree my family they're muslim and yet I believe God has chosen them. Amen
Mama endelea na kazi ya Mungu...Usikate tamaa na usisikize mambo ya watu...Si rahisi na usirudi nyuma
@DeoKanda-bt9gw
Жыл бұрын
Ina shaytwan lakum aduwu mubin awudhu billah mina shaytwan
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Kwakweli kafiir akisilimu utamsikia nilisoma bible, Qur-an nikabaini kua uisilam ndio dini ya haq. Lkn muisilam akiritadi utasikia jini, shaitwani, nimepitia misuko suko mingi, Yesu kanitokea nk. Kuonyesha hajasomq dini na wala hataki kusoma huko anakokwenda. Yy tamaa kaeka mbele kiasi ambacho mpaka bilisi kamvaa haoni hasikii, akilala analala nae Akila anakula nae.
@JamuhuriIsaya
3 ай бұрын
Amina Dada yangu ushuhuda huo umenifanya,nijitafakari upya ndani ya YESU Isaya 9:6 Mungu akubariki
Jamani huu ushuhuda naupenda sana Mungu wangu Asante kwa huu ujumbe
AA maskini roho yako ushapotea na unazidi kuwapoteza wapotevu, huyo Yesu kafariki jee mungu anakufa acha kujidanganya
@ChristinaSanga-pl5jm
Жыл бұрын
Pole sana Asha utasuburi sana mahali ulipo omba sana nawe update Neema ya wokovu kama aliyoipata huyu Dada
@evansrusha580
Жыл бұрын
Tafuta mda wako uanze kuliiza mungu akufunulie nani kati ya yesu na Mohamed nani ndio njia ya haki... Badala ya kukashifu mambo yenye utukufu.. Oni langu
Mungu akubariki dada Karibu Kwa safari yakwenda mbinguni
@ebenezerchurchsupremetv9490
Жыл бұрын
Uslamu unapiganiwa lakini ukristo unatetewa na Mungu mwenyewe! Hata Mimi niliapa sitorudi kwenye uislamu hata baba yangu mpaka anakufa hatukuwa na mawasiliano mazuri kwaajili hiyo
@user-sq7pz9ex5g
Жыл бұрын
@@ebenezerchurchsupremetv9490 😮😮ina maana umeokoka?! Na Mimi nipo njiani dear naona nguvu ya YESU hasa maombi nikilalal vituko San usiku ila nikiomna naamka mpya.BARIKIWA SANA
Ukisikiliza huu ushuhuda unafunza sana tuna relax sana Sisi ambao hatujapitia magumu
@geofreymulei5695
Жыл бұрын
Good job sister God bless you waelemishe hai ndungu nzako wabishi
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Na ww ulipata shuka nn kutoka kwa Yesu?
@yohanasanga3371
Жыл бұрын
@@Fear_Allah394 sidhani kama umesemwa mpendwa
@elizabethneema5213
Жыл бұрын
Very true brother, hatujalipa gharama
@goodluckmolleltennis5980
9 ай бұрын
Warumi 14:1 Kama mtu ana imani dhaifu mkaribisheni bila kubishana naye kuhusu maoni yake. Hawa ndugu zetu wanao laumu dada yetu katika imani kuona mwamga Tuwaombee tu Mungu awape mioyo ya nyama na waweze kumtambua na kumkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yao
Huyo mama ni myatima , aliye chukuliwa akiwa mdogo , na wazungu wa makanisa , wakati wa shida na ukame. Maisha ya huyu mama ni ukristo , hajui dini ya kiislamu.
Subhanallah 🤔 umepotea kabisa na kama ni njaa siuseme? Muongo saana huyu 😂😮
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Mwenzenu kakimbia Majini kaokoka kwa Yesu raha bwana 😂😂😂😂
May Allah guide u to the right path (islam) Inshaallah
@elizabethneema5213
Жыл бұрын
Wote wafahamu kuwa Issa, jinsi mnavyo mwita mwana wa mungu, alikuwa ni nguvu nyingi, mbona mmkatae na kumkubali mwingine asiye na nguvu
Glory be to God wooooow living testimony 😢😢God is amazing ever. 🙏thank you Jesus christ son of living God 🙏🙏🙏
Hakika kunaye Mungu..sijui mbona nikaupata ushuhuda huu lakini naamini nimeupata kwa wakati unaofaa.. Asante Yesu kwa ujio wako na zaidi kwa kumdhihirikia dada huyu kwa anjili ya utukufu wako. Amen
A very powerful testimony and very touching I couldn't hold my tears knowing that most of us would had given up for fear of death but she was and is ready to curry her cross to the bitter end, and we all need to curry our cross to over come, Victoria you've touched my heart it's a challenge, God Bless you and help you finish your race as a winner.
Amen amen amen ubarikiwe sana mupendwa wa Mungu kwa Mungu wetu ni muzuri sana
Pole sana ibilis alikua kazin
@fatmakhalef3450
Жыл бұрын
Tena kamtia mama ake dakika za mwisho. Yesu ni nabii sio mungu wala mwana WA mungu. Nabii issa mtoto WA Mariam
@hawakiza6067
Жыл бұрын
@@fatmakhalef3450 yaani nimeumia sana Kumkufurisha mama yake Wakati wa mwisho wa uhai wake Kaka zake walimpiga kidogo Wangempiga sana sana sana Kanikera sana Kumritadisha mama yake
@mlulamsiliwa7123
4 ай бұрын
Niliuliza kuwa Yesu uliyemu9na alikuwa na sura ipi . ni hii tunayoiona kwenye sinema za yesu au sanamu zake. Sikujibiwa. acheni kuwafanya watu wajinga
@hawakiza6067
4 ай бұрын
@@mlulamsiliwa7123 ni mtihani kwakweli
That's how God works mesteriously, it's hard to believe when you look at it fisically,but spiritually you can see.but none believers will think is a story.i couldn't hold my tears what a testimony may our Lord Jesus strengthen you sister vicy.amen.
Ee MUNGU turehemu sisi watanzania maana tuna neema kubwa Sana 😭
Amen..waambie wajue Yesu ni Bwana.Ujumbe mzito kweli.Mungu akusaidie katika safari yako ya ukristo.
@ismailabbas4197
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 ndiomaana Pual Mackenzie anawanyonga
I thank Allah for being a Muslim, who doesn't believe in the Greco-Roman interpolation of God is 3 or God died for me! May Allah guide all humanity to the path of the truth of God is one!
@choppyndedah7919
Жыл бұрын
It's better than worshipping a black stone, and following a 54year old prophet who defiled a six year old in the name of marriage
@marymwai9579
Жыл бұрын
Jesus Christ is the way, truth and life. And only the way to go to the Father
@hassanzaylai4491
Жыл бұрын
@@marymwai9579 The verse you wrote, you're taking it out of context, if you read the whole thing, then you will realize Jesus is talking about representing God! Even if you take that as it is, it does not apply to you and all the Gentiles. The following is the proof: Jesus said, "I was sent only to the people of Israel! They are like a flock of lost sheep." And he is answering, said: I was not sent but to the sheep that are lost of the house of Israel. But he answered and said, I was not sent but unto the lost sheep of the house of Israel. When Moses was sent, just as other prophets before him, he too was the sole chosen representative of God to the Israelites! No one else! Your salvation, on which you pinned all hope, that Jesus died for your sins is an interpolation by Paul. If you read the bible, it contradicts Jesus's doctrine of salvation, which is as follows: "For I say unto you, that except your righteousness shall exceed the righteousness of the scribes and Pharisees, ye shall in no case enter into the kingdom of heaven." Does that sound like he is saying, "I will die for your sins?" The bible, your bible, rejects someone dying or paying for someone else's sins: " Ezekiel 18:20: The soul that sinneth, it shall die: the son shall not bear the iniquity of the father, neither shall the father bear the iniquity of the son; the righteousness of the righteous shall be upon him, and the wickedness of the wicked shall be upon him.|
Converted at young age while innocent, may Allah lead her back to the right path
Shuhuda kama hizi unipa moyo sana katika wokovu wangu
Cant stop my tears...Indeed God is faithful...Thanks Sis Victoria for your testimony.. Your are the chosen one.. Your glorious crown is waiting for you..Jesus Christ will reward you not only in the world to come but also in this world... keep preaching and testifying of his goodness and mercy. May his grace be sufficient for you..
@jedidahmusumbu7449
Жыл бұрын
Dada mungu akubari sana wokofu nisiri mungu alikufunulia shika yesu kabisa
Furaha tele moyoni mwangu Yesu ainuliwe juuu sana amen amen
Waaah,.....so touching testimony....Hadi nimeingiwa na baridi mwilini
الحمد لله على نعمة الإسلام! اللهم إني أسألك حسن الخاتمه يا ربي 😢
@miskiin236
Жыл бұрын
Aamiin sis, May Allaah guide her back to Islam . .
@fayeezabdallah2217
Жыл бұрын
sahih kbc Alhmdllh
@frank01tz
11 ай бұрын
Believe and you shall be saved
@JONATHANIMICHAEL
Ай бұрын
Yan hiyo lugha ya kiarabu mnaona kama mpo pepon kumbe kujidanganya tu
AMEN UBARIKIWE sana
Hallelujah YESU KRISTO ni BWANA 💪
@Mina.15
Жыл бұрын
NI BIBI 😂😂😂😂
@apostlezizi
Жыл бұрын
@@Mina.15 nakuombea Rehema
Asante mungu kwa kunijalia kuwa muislamu.
Bwana Yesu apewe sifa. Endelea kumtumikia yesu . Ubarikiwe Sana Victoria. Kaa na Imani Yako kwa kujiamini maana yesu ni njia.
Ila ukweli Jactan Musafiri nyinyi ni watumishi wa Mungu kwelikweli.mpaka kumbe mnawajengea watumishi makanisa jamani,mbarikiwe.
Karibu sana dada but in general UNAFAA KUWA unyakuo Tv injiri ya UAMUSHO Ina kufaa 🗣️ your strong enough to do Jesus work
Yesu anasema si ninyi mlionichagua Bali Mimi ndiyo niliowagua kwa hiyo mama umechaguliwa na Yesu
John 15:16 He always chooses us
Glory to God,Jesus is Lord, Hallelujah
Mungu niwa wote wenye mwili, Sifa kwa Yesu Kristo aokoaye
Mohammed anajua yesu do njia na uzima, mama uko Sawa usiogope, Mohammed aliuwawa kwa sababu aliua nzima ya mjombake, yesu pekee ndiye njia mwanaume wa kipekee alikufa na akafufuka, yesu akuongeze mchungaji Amina.
Great Testimony
Amen. Naamini kweli Yesu yuko hai asante sana Yesu kutuokoa na kuokoa mama huyu. Uko mkuu Yesu
this chanell ina ni bless sana aise
Njia iendayo uzimani ni nyembamba na waiendayo ni wachache,wengi wamesombwa na hanasa za kidunia na udini Yesu turehemu tunakupenda kwenye shida,kwenye kifo tusamehe🙏🙏