Hata mimi niliposikia ujumbe wa mapambo niliingia katika funga ,na Roho wa Mungu akaniambia hiyo makanisa yote yenye haihubiri kuhusu kujistiri kwa wanawake yapeleka watu kuzimu,wacha mwenye sikio asikie vile Roho ayambiayo makanisa amen.😊
@jumakilaga6493 Жыл бұрын
Vipige vita vya Imani salama tukakutane mbinguni ubarikiwe Sana mwalim
@lajivukivamba95073 жыл бұрын
Bwana Yesu mkumbuke jaktani kwenye changamoto zote anazokutana nazo ndani ya dunia hii mtie nguvu
@rowenalilie993Ай бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu Jaktan na uzidi kubarikiwa sanaa
@dokasa91762 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Jacktan ubarikiwe sana , umekomboa roho nyingi kutoka kwa upotevu hata mm mwenyewe asante
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen 🙏
@kefasoneliakimumkeyembo18044 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Endelea kuufungua ufahamu wetu na tuzidi kukua kiroho.
@zakariawafula3156 Жыл бұрын
Promover muinuliwe,tumejifunza mengi kwenu.
@nelsonyandilo37974 жыл бұрын
Yesu Kristo ni Bwana
@kalangwapaschal77184 жыл бұрын
Wanawake unawambia hawaskii, vipodozi na mapambo ni sehemu ya maisha yao, mtu anaona bora ajipambe badala ya kununua Bible
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa yani Mungu aturehemu
@Neemakilimba
2 жыл бұрын
Ambao hawasikii nawapa pole Mimi ndo nilikuwa mama mapambo lakini Mungu Akisema Nami bila chenga nilisalenda Kwa Bwana Yesu
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Mambo ya rohoni ni kazi mno
@farajantakirutimana8590
Жыл бұрын
Ni kweli, unatamwona mwanamke amejipamba mapambo ya dhamani kubwa lakini nenda ungalie watoto wake na mahali anapoishi, ni wachafu/pachafu mpaka utashangaa.
@joylynenalija47954 жыл бұрын
Ubarikiwe sn mtumish wa Mungu kwa ushuhuda mzur na unaofunua yaliyo sirini, hakika unayo thawabu yko mbinguni🙏
@failaprince9250 Жыл бұрын
Shetani ashidwe kwa jina la YESU KRISTO
@fei36684 жыл бұрын
😭😭dunia ni nzito Mungu azidi kukutunza jacktan
@unyakuotv.1391
4 жыл бұрын
YAKOBO 4 7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
@adriandanford208 Жыл бұрын
Kuzim Iko bize na makanisa na siyo misikiti lakin bhado watu wamefungwa akili kujua ipi ni njia sahih inayoelekea Kwan mungu wa kweli
@edmundrobert27402 жыл бұрын
Baba Yesu akubalik sana kwa ujumbe huo nakushukulu sana ole wetu wachungaj tunaoluhusu Mambo hayo
@mawazobayndulwa19094 жыл бұрын
Eh Mungu wangu uniyepushe na dunia hii yazambi niyepukane na mapambo yote tena Mungu bariki mtumishi wako na zaidi ni Asant
@maryamayitsa61812 жыл бұрын
Mungu nisaidie nieze kukuishia we tu.🇰🇪🇰🇪.
@gadielshedaffa3333 Жыл бұрын
Shetani ni baba wa uongo nao wafuatao uongo hufanya ya shetani
@qatarmania75984 жыл бұрын
Asante sana kwa ushuhuda huu, Mungu akutendee mema zaidi nimejifunza mengi
@fatumaminyeko75532 жыл бұрын
Mungu tusamee tuishi kuligana na mapenzi yako yesu🙏🙏
@IdahNambelasiwala-qs3su4 ай бұрын
Amen
@eunicehezron34814 жыл бұрын
Kweli Wewe ni Dactari wa roho
@byboytrezor53392 жыл бұрын
Safi mwalimu asante kwamafundisho
@lilianluhasi50534 жыл бұрын
Barikiwa Sana kwa kutufingua kwa jina la Yesu Kristo
@polinepoline28634 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri.naomba mungu anhurumie me mdhaifu
@leahenockmrina53812 жыл бұрын
Mh Bwana Yesu Kristo uturehemu
@lindalinda97963 жыл бұрын
Pray for everything before you eat, wear, try on or put on. We can’t avoid all evil unless we die. As long as we live we will experience all these. You can avoid the hair but miss the dressing
@quinnmeles901
3 жыл бұрын
Very true he have to be careful always and pray always
@user-tz9ic7jn4j4 жыл бұрын
Amina kwakutufunguwa maca Mangu atuwezeshe
@hassankombo44754 жыл бұрын
Wachungaji feki wameruhusiwa kutumia jina la yesu pindi wafanyapo maombi
@gloryemmanuel2962 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@lovenesswalter66504 жыл бұрын
Aseh ubarikiwe sana kakaangu.
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Eee Mungu mwenye enzi kuu JEHOVAH turemu na tuongoze katika njia ya kweli
@bettykageza19644 жыл бұрын
Kazi nzuri
@jacintambatha82494 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa kazi hii
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
God bless you
@susannganganganga47293 жыл бұрын
Bwana Yesu atufunike kwa Damu yake,
@georgevicent68493 жыл бұрын
Bwana akubariki Sanaa .
@adamscott26013 жыл бұрын
Mungu akusaidie na wewe Kaka usituonye sisi wewe ukaishia kufanya Kama Kaz ukashindwa kumpendeza Mungu
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen,ni kweli kabisa,asante kunikumbusha
@phoustinekhaindi98594 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@maryshilla8194 Жыл бұрын
Jamn, hatari kwelikweli
@doricemrema21772 жыл бұрын
Dunia imejaaa unajisi, Mungu atupiganie asituache tunao mlilia 😭😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😭😭
@nathaliemabala44544 жыл бұрын
Asante Mungu kwa upendo unawo tupenda
@demaa2183 Жыл бұрын
God bless you
@theresiamaganga50752 жыл бұрын
For real your the best Mr.Jactan thank you so much
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
@judithminja7703 жыл бұрын
YESU akulinde kaka maana kazi unayofanya si ndogo 🙏
@janetjanet86692 жыл бұрын
Mm nmesikia hata ni na kufa tayar Mungu nsaidie nijue ishara ya huyu mawnamke🙏🙏
@sophiajonas86183 жыл бұрын
Mungu wangu tusaidie ili tushinde
@carlossenja9622 жыл бұрын
Amen Amen God bless you for this revelation
@dennismokua87043 жыл бұрын
Naitachi maeleso saidi
@unyakuotv.13914 жыл бұрын
YAKOBO : 4 7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
@judithcha-mushala88523 жыл бұрын
Damu ya watakatifu hawezi kupata
@laxaacnewton61314 жыл бұрын
Oooooh MUNGU wangu nifinyange utakavyo
@capteinchuimchafu78943 жыл бұрын
Mashetani Wana vituko Sana 😁😁😁😁😁😁
@lucykapinga369 Жыл бұрын
Marko 13,22
@castrokassoga72712 жыл бұрын
Jactan ufunuo inaongelea kurudi kwa Yesu mara ya pili tu vita mbinguni kuna mbingu ngapi ??ziko tatu soma 2wakorintho 12:1-3 na mbingu ya kwanza itatoweshwa kipindi cha kurudi Yesu mara ya pili soma ufunuo 21:1- ufunuo ni kitabu cha kinabii wa kurudi kristo mara ya pili.
@bonifasiemanueli27083 жыл бұрын
We unafaa kwa uandishi wa habali na si mengineyo
@mariachannelke97694 жыл бұрын
Wapi Part 2?
@emellah7164 жыл бұрын
Na amini haya niya kweli kabisa
@ijueimanikatoliki9803 жыл бұрын
NTAMPATA WAPI MTUNZI WA KISANGA HIKI
@user-me3ee4fu8w4 жыл бұрын
Doh😣😣😣
@alice4464 жыл бұрын
I like your programs, zinaelimisha but kaka jaribu kuangalia your intro inachukua mda mwingi na umejirudia sana.
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Asante kwa maoni, naufanyia kazi
@josephmusagasa55664 жыл бұрын
Natamani kuwa mhubiri nihbiriye ukweli utakaomkwaza mdhambi
Dada nywele za bandia ni za kuzimu Mungu hakukosea kumuumba
@lucykapinga369
Жыл бұрын
natural pia Usizisuke maana ata twende kilioni zambiii tyufunike napia muhimu sana tyukiwa tyuna sali kichwa kiwe kimefunikwaaa
@clementmaseme5240
8 ай бұрын
Kweliii tunatakiwa kufunika kichwaaa mda wotee, hauruhusiwi kusuka nywele Aina yeyotee hata twende kilionii
@luciadominik1626
12 күн бұрын
Kweli 1wakorinto 11
@baudrycleaner92774 жыл бұрын
Biblia yako mtumishi ina tafsiri isiyo sahihi
@abbyadams8691
4 жыл бұрын
Kweli hata mimi nmegundua.Hizo Ni Biblia za mitandaoni Ufunuo 12 badala ya kusema Nae akapigana nao,yeye amesoma Nae akashambuliana nao.
@rehemakalabaheleye7445
4 жыл бұрын
Ubarkiwe
@issacdaudi3408
3 жыл бұрын
Wewe mtafuta sababu jiangalie Sana,, hajaelewa kitu gani hapo yaani ujumbe wote kumbe ulikuwa unafatilia kuhusu biblia aliyo tumia kunukuu wee mtu wa Mungu Mungu akusaidie.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Жыл бұрын
@@issacdaudi3408iblia ya Jehovah's witnesses ni ya kushangaza sana haimtambui Roho Mtakatifu Wala haitambui Jehanam swali je wanahubiri nini?
@veronicamahende3718 Жыл бұрын
Kwahy walengwa ni wakristo tu vip kuhusu islam
@hassanrashid8182
Жыл бұрын
Waislam Ni wa huko huko
@PatrickMathias-cs9qc
Ай бұрын
Waislam wamekwisha kupotea ndugu
@lilianluhasi50534 жыл бұрын
Naomba namba yako
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
0784074462
@lucykapinga369
Жыл бұрын
YESU NI MSHINDI DAIMA DEAR
@joylynenalija47954 жыл бұрын
Ubarikiwe sn mtumish wa Mungu kwa ushuhuda mzur na unaofunua yaliyo sirini, hakika unayo thawabu yko mbinguni🙏
@gunnarramon6224
2 жыл бұрын
i guess im asking randomly but does any of you know of a tool to log back into an Instagram account?? I stupidly forgot the account password. I would appreciate any tricks you can offer me
Пікірлер: 92
Hata mimi niliposikia ujumbe wa mapambo niliingia katika funga ,na Roho wa Mungu akaniambia hiyo makanisa yote yenye haihubiri kuhusu kujistiri kwa wanawake yapeleka watu kuzimu,wacha mwenye sikio asikie vile Roho ayambiayo makanisa amen.😊
Vipige vita vya Imani salama tukakutane mbinguni ubarikiwe Sana mwalim
Bwana Yesu mkumbuke jaktani kwenye changamoto zote anazokutana nazo ndani ya dunia hii mtie nguvu
Mungu azidi kukutia nguvu Jaktan na uzidi kubarikiwa sanaa
Mtumishi wa Mungu Jacktan ubarikiwe sana , umekomboa roho nyingi kutoka kwa upotevu hata mm mwenyewe asante
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen 🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Endelea kuufungua ufahamu wetu na tuzidi kukua kiroho.
Promover muinuliwe,tumejifunza mengi kwenu.
Yesu Kristo ni Bwana
Wanawake unawambia hawaskii, vipodozi na mapambo ni sehemu ya maisha yao, mtu anaona bora ajipambe badala ya kununua Bible
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa yani Mungu aturehemu
@Neemakilimba
2 жыл бұрын
Ambao hawasikii nawapa pole Mimi ndo nilikuwa mama mapambo lakini Mungu Akisema Nami bila chenga nilisalenda Kwa Bwana Yesu
@gadielshedaffa3333
Жыл бұрын
Mambo ya rohoni ni kazi mno
@farajantakirutimana8590
Жыл бұрын
Ni kweli, unatamwona mwanamke amejipamba mapambo ya dhamani kubwa lakini nenda ungalie watoto wake na mahali anapoishi, ni wachafu/pachafu mpaka utashangaa.
Ubarikiwe sn mtumish wa Mungu kwa ushuhuda mzur na unaofunua yaliyo sirini, hakika unayo thawabu yko mbinguni🙏
Shetani ashidwe kwa jina la YESU KRISTO
😭😭dunia ni nzito Mungu azidi kukutunza jacktan
@unyakuotv.1391
4 жыл бұрын
YAKOBO 4 7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
Kuzim Iko bize na makanisa na siyo misikiti lakin bhado watu wamefungwa akili kujua ipi ni njia sahih inayoelekea Kwan mungu wa kweli
Baba Yesu akubalik sana kwa ujumbe huo nakushukulu sana ole wetu wachungaj tunaoluhusu Mambo hayo
Eh Mungu wangu uniyepushe na dunia hii yazambi niyepukane na mapambo yote tena Mungu bariki mtumishi wako na zaidi ni Asant
Mungu nisaidie nieze kukuishia we tu.🇰🇪🇰🇪.
Shetani ni baba wa uongo nao wafuatao uongo hufanya ya shetani
Asante sana kwa ushuhuda huu, Mungu akutendee mema zaidi nimejifunza mengi
Mungu tusamee tuishi kuligana na mapenzi yako yesu🙏🙏
Amen
Kweli Wewe ni Dactari wa roho
Safi mwalimu asante kwamafundisho
Barikiwa Sana kwa kutufingua kwa jina la Yesu Kristo
Ushuhuda mzuri.naomba mungu anhurumie me mdhaifu
Mh Bwana Yesu Kristo uturehemu
Pray for everything before you eat, wear, try on or put on. We can’t avoid all evil unless we die. As long as we live we will experience all these. You can avoid the hair but miss the dressing
@quinnmeles901
3 жыл бұрын
Very true he have to be careful always and pray always
Amina kwakutufunguwa maca Mangu atuwezeshe
Wachungaji feki wameruhusiwa kutumia jina la yesu pindi wafanyapo maombi
Ubarikiwe mtumishi
Aseh ubarikiwe sana kakaangu.
Eee Mungu mwenye enzi kuu JEHOVAH turemu na tuongoze katika njia ya kweli
Kazi nzuri
Ubarikiwe sana kwa kazi hii
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
God bless you
Bwana Yesu atufunike kwa Damu yake,
Bwana akubariki Sanaa .
Mungu akusaidie na wewe Kaka usituonye sisi wewe ukaishia kufanya Kama Kaz ukashindwa kumpendeza Mungu
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen,ni kweli kabisa,asante kunikumbusha
Mungu atusaidie
Jamn, hatari kwelikweli
Dunia imejaaa unajisi, Mungu atupiganie asituache tunao mlilia 😭😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😭😭
Asante Mungu kwa upendo unawo tupenda
God bless you
For real your the best Mr.Jactan thank you so much
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
YESU akulinde kaka maana kazi unayofanya si ndogo 🙏
Mm nmesikia hata ni na kufa tayar Mungu nsaidie nijue ishara ya huyu mawnamke🙏🙏
Mungu wangu tusaidie ili tushinde
Amen Amen God bless you for this revelation
Naitachi maeleso saidi
YAKOBO : 4 7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
Damu ya watakatifu hawezi kupata
Oooooh MUNGU wangu nifinyange utakavyo
Mashetani Wana vituko Sana 😁😁😁😁😁😁
Marko 13,22
Jactan ufunuo inaongelea kurudi kwa Yesu mara ya pili tu vita mbinguni kuna mbingu ngapi ??ziko tatu soma 2wakorintho 12:1-3 na mbingu ya kwanza itatoweshwa kipindi cha kurudi Yesu mara ya pili soma ufunuo 21:1- ufunuo ni kitabu cha kinabii wa kurudi kristo mara ya pili.
We unafaa kwa uandishi wa habali na si mengineyo
Wapi Part 2?
Na amini haya niya kweli kabisa
NTAMPATA WAPI MTUNZI WA KISANGA HIKI
Doh😣😣😣
I like your programs, zinaelimisha but kaka jaribu kuangalia your intro inachukua mda mwingi na umejirudia sana.
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
Asante kwa maoni, naufanyia kazi
Natamani kuwa mhubiri nihbiriye ukweli utakaomkwaza mdhambi
@lucykapinga369
Жыл бұрын
haswaaaaaaa Inatakiwa
@PatrickMathias-cs9qc
Ай бұрын
Mm nilihubiri na marafiki zangu wote wakanitenga
Jamani naombeni mnijuze. Mwanamke anatakiwa afanyeje nywele zake. Niliskia kwamba hawapaswi kusuka nywele bandia lkn vipi kuhusu natural hair ukisuka ufunike?
@venancemwalukasa6197
3 жыл бұрын
Dada nywele za bandia ni za kuzimu Mungu hakukosea kumuumba
@lucykapinga369
Жыл бұрын
natural pia Usizisuke maana ata twende kilioni zambiii tyufunike napia muhimu sana tyukiwa tyuna sali kichwa kiwe kimefunikwaaa
@clementmaseme5240
8 ай бұрын
Kweliii tunatakiwa kufunika kichwaaa mda wotee, hauruhusiwi kusuka nywele Aina yeyotee hata twende kilionii
@luciadominik1626
12 күн бұрын
Kweli 1wakorinto 11
Biblia yako mtumishi ina tafsiri isiyo sahihi
@abbyadams8691
4 жыл бұрын
Kweli hata mimi nmegundua.Hizo Ni Biblia za mitandaoni Ufunuo 12 badala ya kusema Nae akapigana nao,yeye amesoma Nae akashambuliana nao.
@rehemakalabaheleye7445
4 жыл бұрын
Ubarkiwe
@issacdaudi3408
3 жыл бұрын
Wewe mtafuta sababu jiangalie Sana,, hajaelewa kitu gani hapo yaani ujumbe wote kumbe ulikuwa unafatilia kuhusu biblia aliyo tumia kunukuu wee mtu wa Mungu Mungu akusaidie.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Жыл бұрын
@@issacdaudi3408iblia ya Jehovah's witnesses ni ya kushangaza sana haimtambui Roho Mtakatifu Wala haitambui Jehanam swali je wanahubiri nini?
Kwahy walengwa ni wakristo tu vip kuhusu islam
@hassanrashid8182
Жыл бұрын
Waislam Ni wa huko huko
@PatrickMathias-cs9qc
Ай бұрын
Waislam wamekwisha kupotea ndugu
Naomba namba yako
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
0784074462
@lucykapinga369
Жыл бұрын
YESU NI MSHINDI DAIMA DEAR
Ubarikiwe sn mtumish wa Mungu kwa ushuhuda mzur na unaofunua yaliyo sirini, hakika unayo thawabu yko mbinguni🙏
@gunnarramon6224
2 жыл бұрын
i guess im asking randomly but does any of you know of a tool to log back into an Instagram account?? I stupidly forgot the account password. I would appreciate any tricks you can offer me
Amen