Part1_MKAKATI WA MALKIA WA PWANI DHIDI YA KANISA|Maono ya kutisha

#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 92

  • @marywanjiru438
    @marywanjiru43811 ай бұрын

    Hata mimi niliposikia ujumbe wa mapambo niliingia katika funga ,na Roho wa Mungu akaniambia hiyo makanisa yote yenye haihubiri kuhusu kujistiri kwa wanawake yapeleka watu kuzimu,wacha mwenye sikio asikie vile Roho ayambiayo makanisa amen.😊

  • @jumakilaga6493
    @jumakilaga6493 Жыл бұрын

    Vipige vita vya Imani salama tukakutane mbinguni ubarikiwe Sana mwalim

  • @lajivukivamba9507
    @lajivukivamba95073 жыл бұрын

    Bwana Yesu mkumbuke jaktani kwenye changamoto zote anazokutana nazo ndani ya dunia hii mtie nguvu

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993Ай бұрын

    Mungu azidi kukutia nguvu Jaktan na uzidi kubarikiwa sanaa

  • @dokasa9176
    @dokasa91762 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu Jacktan ubarikiwe sana , umekomboa roho nyingi kutoka kwa upotevu hata mm mwenyewe asante

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @kefasoneliakimumkeyembo1804
    @kefasoneliakimumkeyembo18044 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Endelea kuufungua ufahamu wetu na tuzidi kukua kiroho.

  • @zakariawafula3156
    @zakariawafula3156 Жыл бұрын

    Promover muinuliwe,tumejifunza mengi kwenu.

  • @nelsonyandilo3797
    @nelsonyandilo37974 жыл бұрын

    Yesu Kristo ni Bwana

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal77184 жыл бұрын

    Wanawake unawambia hawaskii, vipodozi na mapambo ni sehemu ya maisha yao, mtu anaona bora ajipambe badala ya kununua Bible

  • @hebronsdaughter1661

    @hebronsdaughter1661

    3 жыл бұрын

    Umesema kweli kabisa yani Mungu aturehemu

  • @Neemakilimba

    @Neemakilimba

    2 жыл бұрын

    Ambao hawasikii nawapa pole Mimi ndo nilikuwa mama mapambo lakini Mungu Akisema Nami bila chenga nilisalenda Kwa Bwana Yesu

  • @gadielshedaffa3333

    @gadielshedaffa3333

    Жыл бұрын

    Mambo ya rohoni ni kazi mno

  • @farajantakirutimana8590

    @farajantakirutimana8590

    Жыл бұрын

    Ni kweli, unatamwona mwanamke amejipamba mapambo ya dhamani kubwa lakini nenda ungalie watoto wake na mahali anapoishi, ni wachafu/pachafu mpaka utashangaa.

  • @joylynenalija4795
    @joylynenalija47954 жыл бұрын

    Ubarikiwe sn mtumish wa Mungu kwa ushuhuda mzur na unaofunua yaliyo sirini, hakika unayo thawabu yko mbinguni🙏

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Жыл бұрын

    Shetani ashidwe kwa jina la YESU KRISTO

  • @fei3668
    @fei36684 жыл бұрын

    😭😭dunia ni nzito Mungu azidi kukutunza jacktan

  • @unyakuotv.1391

    @unyakuotv.1391

    4 жыл бұрын

    YAKOBO 4 7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Жыл бұрын

    Kuzim Iko bize na makanisa na siyo misikiti lakin bhado watu wamefungwa akili kujua ipi ni njia sahih inayoelekea Kwan mungu wa kweli

  • @edmundrobert2740
    @edmundrobert27402 жыл бұрын

    Baba Yesu akubalik sana kwa ujumbe huo nakushukulu sana ole wetu wachungaj tunaoluhusu Mambo hayo

  • @mawazobayndulwa1909
    @mawazobayndulwa19094 жыл бұрын

    Eh Mungu wangu uniyepushe na dunia hii yazambi niyepukane na mapambo yote tena Mungu bariki mtumishi wako na zaidi ni Asant

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa61812 жыл бұрын

    Mungu nisaidie nieze kukuishia we tu.🇰🇪🇰🇪.

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Жыл бұрын

    Shetani ni baba wa uongo nao wafuatao uongo hufanya ya shetani

  • @qatarmania7598
    @qatarmania75984 жыл бұрын

    Asante sana kwa ushuhuda huu, Mungu akutendee mema zaidi nimejifunza mengi

  • @fatumaminyeko7553
    @fatumaminyeko75532 жыл бұрын

    Mungu tusamee tuishi kuligana na mapenzi yako yesu🙏🙏

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3su4 ай бұрын

    Amen

  • @eunicehezron3481
    @eunicehezron34814 жыл бұрын

    Kweli Wewe ni Dactari wa roho

  • @byboytrezor5339
    @byboytrezor53392 жыл бұрын

    Safi mwalimu asante kwamafundisho

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50534 жыл бұрын

    Barikiwa Sana kwa kutufingua kwa jina la Yesu Kristo

  • @polinepoline2863
    @polinepoline28634 жыл бұрын

    Ushuhuda mzuri.naomba mungu anhurumie me mdhaifu

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina53812 жыл бұрын

    Mh Bwana Yesu Kristo uturehemu

  • @lindalinda9796
    @lindalinda97963 жыл бұрын

    Pray for everything before you eat, wear, try on or put on. We can’t avoid all evil unless we die. As long as we live we will experience all these. You can avoid the hair but miss the dressing

  • @quinnmeles901

    @quinnmeles901

    3 жыл бұрын

    Very true he have to be careful always and pray always

  • @user-tz9ic7jn4j
    @user-tz9ic7jn4j4 жыл бұрын

    Amina kwakutufunguwa maca Mangu atuwezeshe

  • @hassankombo4475
    @hassankombo44754 жыл бұрын

    Wachungaji feki wameruhusiwa kutumia jina la yesu pindi wafanyapo maombi

  • @gloryemmanuel296
    @gloryemmanuel2962 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66504 жыл бұрын

    Aseh ubarikiwe sana kakaangu.

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Eee Mungu mwenye enzi kuu JEHOVAH turemu na tuongoze katika njia ya kweli

  • @bettykageza1964
    @bettykageza19644 жыл бұрын

    Kazi nzuri

  • @jacintambatha8249
    @jacintambatha82494 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana kwa kazi hii

  • @dennismwenje7041

    @dennismwenje7041

    4 жыл бұрын

    God bless you

  • @susannganganganga4729
    @susannganganganga47293 жыл бұрын

    Bwana Yesu atufunike kwa Damu yake,

  • @georgevicent6849
    @georgevicent68493 жыл бұрын

    Bwana akubariki Sanaa .

  • @adamscott2601
    @adamscott26013 жыл бұрын

    Mungu akusaidie na wewe Kaka usituonye sisi wewe ukaishia kufanya Kama Kaz ukashindwa kumpendeza Mungu

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen,ni kweli kabisa,asante kunikumbusha

  • @phoustinekhaindi9859
    @phoustinekhaindi98594 жыл бұрын

    Mungu atusaidie

  • @maryshilla8194
    @maryshilla8194 Жыл бұрын

    Jamn, hatari kwelikweli

  • @doricemrema2177
    @doricemrema21772 жыл бұрын

    Dunia imejaaa unajisi, Mungu atupiganie asituache tunao mlilia 😭😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😭😭

  • @nathaliemabala4454
    @nathaliemabala44544 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa upendo unawo tupenda

  • @demaa2183
    @demaa2183 Жыл бұрын

    God bless you

  • @theresiamaganga5075
    @theresiamaganga50752 жыл бұрын

    For real your the best Mr.Jactan thank you so much

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @judithminja770
    @judithminja7703 жыл бұрын

    YESU akulinde kaka maana kazi unayofanya si ndogo 🙏

  • @janetjanet8669
    @janetjanet86692 жыл бұрын

    Mm nmesikia hata ni na kufa tayar Mungu nsaidie nijue ishara ya huyu mawnamke🙏🙏

  • @sophiajonas8618
    @sophiajonas86183 жыл бұрын

    Mungu wangu tusaidie ili tushinde

  • @carlossenja962
    @carlossenja9622 жыл бұрын

    Amen Amen God bless you for this revelation

  • @dennismokua8704
    @dennismokua87043 жыл бұрын

    Naitachi maeleso saidi

  • @unyakuotv.1391
    @unyakuotv.13914 жыл бұрын

    YAKOBO : 4 7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.

  • @judithcha-mushala8852
    @judithcha-mushala88523 жыл бұрын

    Damu ya watakatifu hawezi kupata

  • @laxaacnewton6131
    @laxaacnewton61314 жыл бұрын

    Oooooh MUNGU wangu nifinyange utakavyo

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu78943 жыл бұрын

    Mashetani Wana vituko Sana 😁😁😁😁😁😁

  • @lucykapinga369
    @lucykapinga369 Жыл бұрын

    Marko 13,22

  • @castrokassoga7271
    @castrokassoga72712 жыл бұрын

    Jactan ufunuo inaongelea kurudi kwa Yesu mara ya pili tu vita mbinguni kuna mbingu ngapi ??ziko tatu soma 2wakorintho 12:1-3 na mbingu ya kwanza itatoweshwa kipindi cha kurudi Yesu mara ya pili soma ufunuo 21:1- ufunuo ni kitabu cha kinabii wa kurudi kristo mara ya pili.

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli27083 жыл бұрын

    We unafaa kwa uandishi wa habali na si mengineyo

  • @mariachannelke9769
    @mariachannelke97694 жыл бұрын

    Wapi Part 2?

  • @emellah716
    @emellah7164 жыл бұрын

    Na amini haya niya kweli kabisa

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki9803 жыл бұрын

    NTAMPATA WAPI MTUNZI WA KISANGA HIKI

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w4 жыл бұрын

    Doh😣😣😣

  • @alice446
    @alice4464 жыл бұрын

    I like your programs, zinaelimisha but kaka jaribu kuangalia your intro inachukua mda mwingi na umejirudia sana.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 жыл бұрын

    Asante kwa maoni, naufanyia kazi

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa55664 жыл бұрын

    Natamani kuwa mhubiri nihbiriye ukweli utakaomkwaza mdhambi

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    haswaaaaaaa Inatakiwa

  • @PatrickMathias-cs9qc

    @PatrickMathias-cs9qc

    Ай бұрын

    Mm nilihubiri na marafiki zangu wote wakanitenga

  • @josephsirikwa200
    @josephsirikwa2004 жыл бұрын

    Jamani naombeni mnijuze. Mwanamke anatakiwa afanyeje nywele zake. Niliskia kwamba hawapaswi kusuka nywele bandia lkn vipi kuhusu natural hair ukisuka ufunike?

  • @venancemwalukasa6197

    @venancemwalukasa6197

    3 жыл бұрын

    Dada nywele za bandia ni za kuzimu Mungu hakukosea kumuumba

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    natural pia Usizisuke maana ata twende kilioni zambiii tyufunike napia muhimu sana tyukiwa tyuna sali kichwa kiwe kimefunikwaaa

  • @clementmaseme5240

    @clementmaseme5240

    8 ай бұрын

    Kweliii tunatakiwa kufunika kichwaaa mda wotee, hauruhusiwi kusuka nywele Aina yeyotee hata twende kilionii

  • @luciadominik1626

    @luciadominik1626

    12 күн бұрын

    Kweli 1wakorinto 11

  • @baudrycleaner9277
    @baudrycleaner92774 жыл бұрын

    Biblia yako mtumishi ina tafsiri isiyo sahihi

  • @abbyadams8691

    @abbyadams8691

    4 жыл бұрын

    Kweli hata mimi nmegundua.Hizo Ni Biblia za mitandaoni Ufunuo 12 badala ya kusema Nae akapigana nao,yeye amesoma Nae akashambuliana nao.

  • @rehemakalabaheleye7445

    @rehemakalabaheleye7445

    4 жыл бұрын

    Ubarkiwe

  • @issacdaudi3408

    @issacdaudi3408

    3 жыл бұрын

    Wewe mtafuta sababu jiangalie Sana,, hajaelewa kitu gani hapo yaani ujumbe wote kumbe ulikuwa unafatilia kuhusu biblia aliyo tumia kunukuu wee mtu wa Mungu Mungu akusaidie.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    Жыл бұрын

    ​​@@issacdaudi3408iblia ya Jehovah's witnesses ni ya kushangaza sana haimtambui Roho Mtakatifu Wala haitambui Jehanam swali je wanahubiri nini?

  • @veronicamahende3718
    @veronicamahende3718 Жыл бұрын

    Kwahy walengwa ni wakristo tu vip kuhusu islam

  • @hassanrashid8182

    @hassanrashid8182

    Жыл бұрын

    Waislam Ni wa huko huko

  • @PatrickMathias-cs9qc

    @PatrickMathias-cs9qc

    Ай бұрын

    Waislam wamekwisha kupotea ndugu

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50534 жыл бұрын

    Naomba namba yako

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    0784074462

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    YESU NI MSHINDI DAIMA DEAR

  • @joylynenalija4795
    @joylynenalija47954 жыл бұрын

    Ubarikiwe sn mtumish wa Mungu kwa ushuhuda mzur na unaofunua yaliyo sirini, hakika unayo thawabu yko mbinguni🙏

  • @gunnarramon6224

    @gunnarramon6224

    2 жыл бұрын

    i guess im asking randomly but does any of you know of a tool to log back into an Instagram account?? I stupidly forgot the account password. I would appreciate any tricks you can offer me

  • @benjamenshepa1000
    @benjamenshepa10004 жыл бұрын

    Amen

Келесі