Part_2 MKAKATI WA MALKIA WA PWANI DHIDI YA KANISA|Maono ya kutisha

#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 92

  • @richardesther6738
    @richardesther67384 жыл бұрын

    Mungu atusaidie wanawake na manywele bandia na mawigi haya tunayovaa, Namshukuru Mungu mimi binafsi kupitia shuhuda na kusoma biblia nimeacha situmii chochote cha mapambo wala bandia kwenye mwili wangu .Mungu wasaidie wanawake wenzangu wabadilike wakujue weww ulie mkuu zaidi ya yote .

  • @lilianluhasi5053

    @lilianluhasi5053

    4 жыл бұрын

    Amen mpendwa wangu

  • @preciousgrayson2021

    @preciousgrayson2021

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @dominicgreyson9010

    @dominicgreyson9010

    4 жыл бұрын

    ongera sana my sister

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    4 жыл бұрын

    Heri wanyenyekevu wakisikia wanaacha ubarikiwe Ma'am

  • @miriammwambungu4507

    @miriammwambungu4507

    4 жыл бұрын

    Amen mama mm mwenyew nimeacha kupitia shuhuda

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Жыл бұрын

    Tujikaze sana katika hii safari,hakika sio rahisi😢Mwenyezi Mungu atusaidie.❤🎉

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa61812 жыл бұрын

    Mungu tusaidie kuona mbali nautupe nguvu 🇰🇪🇰🇪.

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 Жыл бұрын

    Ujumbe mzito Sana, Na unaelimisha vizuri Sana, kwa wenye haki tunaelewa vizuri.

  • @user-uq4wg1hm3t
    @user-uq4wg1hm3t2 ай бұрын

    Mungu azidi kufanya njia ktk midia hii,,,nazidikubalikiwa Amen

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Жыл бұрын

    Lazima tuwe makini sana jinsi shetani anavyofanya kazi[Jina la Yesu lina nguvu hivyo lazima tujuea sana Neno la Mungu![ Wanamuziki wanaoonekana mastaa wanatumiwa na ufalme wa Giza

  • @barnabasmboya7688
    @barnabasmboya76884 жыл бұрын

    Amen nimejifunza mengi. Kazi yako ni njema

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Жыл бұрын

    Jina la YESU Christo lipewe sifa Asante sana mutumishi wa Mungu kwa shuhuda hizi

  • @bethuelchrist1633
    @bethuelchrist16334 жыл бұрын

    Ndio maana Raisi alikataa misaada ya vifaa vya tiba kipindi cha corona. Ni kwasababu anafahamu siri ya Mungu. Na corona ikakwisha.

  • @lilianluhasi5053

    @lilianluhasi5053

    4 жыл бұрын

    Ndiyo kweli amen kwa jina la Yesu Kristo

  • @josephinemumbua159

    @josephinemumbua159

    4 жыл бұрын

    Kweli amen

  • @dokasa9176
    @dokasa91762 жыл бұрын

    Amen,nimejifunza mengi nisioyajua, Mungu akufunike na damu ya Yesu kristo

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Жыл бұрын

    Kitakase Kila kitu Kwa dam ya Yesu kabla ujakitumia

  • @doricemrema2177
    @doricemrema21772 жыл бұрын

    MUNGU AKUBARIKI ZAID NA ZAIDI 🙏, kanisa la kweli ni lip natamani kujiunga ila sijui😭 please nisaidie

  • @thehopetv6299
    @thehopetv62994 жыл бұрын

    Ameeen nimesikia lakini nimejifunza na nimegundua upinzani na nguvu ya MUNGU ilivyo halisi

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua1594 жыл бұрын

    Jacktan mungu akubariki Kwa kazi zuri unayo tufuza kutuepusha na na zigo ya shetani

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Жыл бұрын

    MUNGU akubariki sana

  • @ipyanadanny7173
    @ipyanadanny71734 жыл бұрын

    Mungu Baba unisaidie

  • @marychristiansen2990
    @marychristiansen29904 ай бұрын

    Kweli ni kubaya,shetani yuko kazini 24/7 Ewe Mungu endelea kutusitiri🙏

  • @emmanuelsinduhije1491
    @emmanuelsinduhije14914 жыл бұрын

    Barikiwa sana Mungu akuinue. By Pastor Emmanuel Sinduhije

  • @dennismwenje7041

    @dennismwenje7041

    4 жыл бұрын

    Barikiwe sana kaka yetu wa kiroho

  • @eunicehezron3481

    @eunicehezron3481

    4 жыл бұрын

    MUNGU akubariki Sana pastor.

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3su4 ай бұрын

    Amen

  • @richardesther6738
    @richardesther67384 жыл бұрын

    Amina barikiwa sana Jactan msafiri Mungu akutunze sana na sana

  • @paulines.3631
    @paulines.36314 жыл бұрын

    Songa mbele kaka,, kazi yako ni njema sanaaa

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55093 жыл бұрын

    BARIKIWA SANA MCHUNGAJI JACTON KUTUFUNULIA MENGI YENYE TULIKUA HATUJUI MUNGU AKULINDE

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Ee Mungu turemu maana watu wako tumekua na shingo ngumu, asante Bwana kwa kunibadilisha na kunionyesha yakwamba ulivyo niumba inatosha na kuniweka mbali na uraibu wowote wa urembo hakika nakushukuru Mungu Mungu wangu endelea kuniongoza, lkn waongoze na wale ambao hawaja jikubali ulivyo waumba 🙏🙏🙏🙏

  • @penuelfullsalvationchurch3350
    @penuelfullsalvationchurch33502 жыл бұрын

    Ee Mungu nakushukuru juu ya yote ambayo nmeyaacha na sasa naifata njia ya kristo YESU

  • @jackobokiishweko4938
    @jackobokiishweko49382 жыл бұрын

    Hadi mbu

  • @plastidiacasmiry2234
    @plastidiacasmiry2234 Жыл бұрын

    Kumbe!

  • @prophetrichard7669
    @prophetrichard76692 жыл бұрын

    Nakupata vyema kutoka Kenya

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah33844 жыл бұрын

    MUNGU akubariki sana mtumishi hakika Mungu anatupenda sana

  • @sophiajonas8618
    @sophiajonas86183 жыл бұрын

    Mungu nisaidie nishinde nifike kwako

  • @mwlayubueliudimsyani7804
    @mwlayubueliudimsyani78043 жыл бұрын

    aminaaaaaa!!!

  • @aminaally4163
    @aminaally41634 жыл бұрын

    MUNGU ATUSAIDIE SOTE BILA YEYE HATUWEZI.

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas54914 жыл бұрын

    Ni upendo wa Mungu baba na neema ya Yesu tu itatuwezesha kuvuka, Amen

  • @annagerald8779
    @annagerald87793 жыл бұрын

    uu ushuhuda ulisha pita me ndo naupata sasa nataka kusaidiwa sisi wauza maduka ya dawa mnatusaidiyaje apo apo

  • @jacintambatha8249
    @jacintambatha82494 жыл бұрын

    Asente kwa kazi yako jema

  • @nelsonyandilo3797
    @nelsonyandilo37974 жыл бұрын

    Jacktan barikiwa sana

  • @anaiskafilleaineedejesus3642
    @anaiskafilleaineedejesus36423 жыл бұрын

    Mungu aku bariki sana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard43923 жыл бұрын

    Kwaiyo Baga na pizza ni vyakula vya kishetani??

  • @mtumumishielisha4911
    @mtumumishielisha49114 жыл бұрын

    ubarikiwe mtumishi 🙏

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel10783 жыл бұрын

    Tunaponea wapi Mungu tutetee baba yetu

  • @queenesther2639
    @queenesther26392 жыл бұрын

    We unyakuo vipi tena? Au sikuelewa! Na km nimekuelewa mm sijui ww km ni nabii wa kweli!

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Жыл бұрын

    Mweee😭😭😭😭😓😓🥱🙆🤦🤦🤦🙆🙆🙆😯😮

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66504 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @ireneferdinand8459
    @ireneferdinand84594 жыл бұрын

    Uwa nabarikiw sana aiseee

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge18302 жыл бұрын

    Nina Diwali ndugu @promover tv mbona kwenye bible kuna mtumishi ni doctor Luka alieandika kitabu cha injili luka ni daktari pia Bwana Yesu alitoa mfano wa yule ndugu aliye jeruiwa akawa amelala njiani hajiwezi wakapita waandishi na mafarisayo hawakumsaidia ila alivyo pita msamalia alimsaidia akampeleka kwa matabibu wamtibu hadi wapone ktk ule mfano wa mtu alimuuliza bwana Yesu ndugu yako ni nani? Pia Timotheo aliambiwa na mtume paul atumie mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lake alikuwa anaumwa tumbo

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting37284 жыл бұрын

    Eeeeh mungu tuhurumie kwa sababu dunia nzima imenaswa

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92184 жыл бұрын

    Lakini muda mwingi unaongelea Sana'a kuhusu wachungaji na wainjiristi INA mahana hao ndiyo watumishi wa kweli wengine siyo wa kweli na hawana ushuhuda kweli na wao hapo tyuu nauliza.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Wengine hao akina nani

  • @eliarichard9218

    @eliarichard9218

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz mitume na manabii na walimu.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    @@eliarichard9218 unataka tuwaongeleeje maana kama sijaelewa kabisa swali

  • @eliarichard9218

    @eliarichard9218

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz ndiyo nawao unge waongelea kwani hawana ushuhuda maana naona wachungaji na wainjiristi tyuu na hao pia naitaji kusikia kwao au wewe huoni kama una bagua hapo au nawao siyo wa kweli

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    @@eliarichard9218 wewe siyo mfuatiliaji mzuri,unachokisema hakipo maana hao wote unaowataja waneshatoa Ushuhuda hapa hapa

  • @mariachannelke9769
    @mariachannelke97694 жыл бұрын

    Mbona unatuangusha sana siku hizi jactani? Wapi part 3 ya hii jameni? 🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    4 жыл бұрын

    Maria si unajua mpaka ashuhulikie inahitaji vimchango vyetu dear

  • @mariachannelke9769

    @mariachannelke9769

    4 жыл бұрын

    @@pericykiko6198 I thought he always prepares all the parts bfr bringing them as a testimony🤔

  • @ennamongi9812
    @ennamongi98124 жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @ibrahimhumbotv

    @ibrahimhumbotv

    3 жыл бұрын

    Napenda sana ushuhuda wajacktan mungu akubaliki

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire47554 жыл бұрын

    Ndio arakini hata kama shetani anatumika fasi yote, Roho Mutakatifu yupo pamoa na si kira dakika kuturinda

  • @aminaally4163
    @aminaally41633 жыл бұрын

    MUNGU wetu TUSAIDIE wanao hatuwezi bila wewe.Emen

  • @sarahkaombwe7986
    @sarahkaombwe79864 жыл бұрын

    Asante jehovayh kwa kutuonyesha majibu ya mitihani tunakuomba type neema ya kushinda majaribu amen!

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu78943 жыл бұрын

    Hivi naomba kuuliza na ndugu zetu waislam wapo Katika kundi gan hasa

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    mmmh! Shuhuda Ya,Siporah Wamezungumziwa ni Dini ipoo kama zawa Abudu sanamuu na wahindi pia changamoto Jina La YESU litasonga Daima

  • @mahershalalhashbazi2189

    @mahershalalhashbazi2189

    Жыл бұрын

    Allah ni Hub'al aka Sini,aka Baali

  • @josephinechaildofgod5371

    @josephinechaildofgod5371

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50534 жыл бұрын

    Naomba namba yako mtumishi, asante barikiwa Sana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 жыл бұрын

    0784074462

  • @neemaeliaselias3061

    @neemaeliaselias3061

    3 жыл бұрын

    Barkiwa mtumishi, kupitia shuhuda zako nmeokoka upya na nmeacha madude ya urembo yote na suruali,lakini hapo kwa hosptl na madawa mmh mungu smama'nna op mbili sasa za uzazi na nategemea nyingine soon mmh nifanyeje,au niombe nkivitakase,before

  • @erickcharlse408
    @erickcharlse4084 жыл бұрын

    Sasa tutaishi vp mtumishi...tuache kwenda hospitalini eti?

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    4 жыл бұрын

    Tukimtii Mungu na kudumu ktk maombi Yale ya kuzimu hayatatupata usihofu dearest

  • @user-tz9ic7jn4j
    @user-tz9ic7jn4j4 жыл бұрын

    Mungu tusayidie nabizazi vyetu

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa61812 жыл бұрын

    Mungu tusaidie kuona mbali nautupe nguvu 🇰🇪🇰🇪.

  • @doricemrema2177
    @doricemrema21772 жыл бұрын

    MUNGU AKUBARIKI ZAID NA ZAIDI 🙏, kanisa la kweli ni lip natamani kujiunga ila sijui😭 please nisaidie

Келесі