Mungu atusaidie wanawake na manywele bandia na mawigi haya tunayovaa, Namshukuru Mungu mimi binafsi kupitia shuhuda na kusoma biblia nimeacha situmii chochote cha mapambo wala bandia kwenye mwili wangu .Mungu wasaidie wanawake wenzangu wabadilike wakujue weww ulie mkuu zaidi ya yote .
Tujikaze sana katika hii safari,hakika sio rahisi😢Mwenyezi Mungu atusaidie.❤🎉
@maryamayitsa61812 жыл бұрын
Mungu tusaidie kuona mbali nautupe nguvu 🇰🇪🇰🇪.
@prophetsayitv1541 Жыл бұрын
Ujumbe mzito Sana, Na unaelimisha vizuri Sana, kwa wenye haki tunaelewa vizuri.
@user-uq4wg1hm3t2 ай бұрын
Mungu azidi kufanya njia ktk midia hii,,,nazidikubalikiwa Amen
@gadielshedaffa3333 Жыл бұрын
Lazima tuwe makini sana jinsi shetani anavyofanya kazi[Jina la Yesu lina nguvu hivyo lazima tujuea sana Neno la Mungu![ Wanamuziki wanaoonekana mastaa wanatumiwa na ufalme wa Giza
@barnabasmboya76884 жыл бұрын
Amen nimejifunza mengi. Kazi yako ni njema
@sophiamakani6133 Жыл бұрын
Jina la YESU Christo lipewe sifa Asante sana mutumishi wa Mungu kwa shuhuda hizi
@bethuelchrist16334 жыл бұрын
Ndio maana Raisi alikataa misaada ya vifaa vya tiba kipindi cha corona. Ni kwasababu anafahamu siri ya Mungu. Na corona ikakwisha.
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Ndiyo kweli amen kwa jina la Yesu Kristo
@josephinemumbua159
4 жыл бұрын
Kweli amen
@dokasa91762 жыл бұрын
Amen,nimejifunza mengi nisioyajua, Mungu akufunike na damu ya Yesu kristo
@adriandanford208 Жыл бұрын
Kitakase Kila kitu Kwa dam ya Yesu kabla ujakitumia
@doricemrema21772 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI ZAID NA ZAIDI 🙏, kanisa la kweli ni lip natamani kujiunga ila sijui😭 please nisaidie
@thehopetv62994 жыл бұрын
Ameeen nimesikia lakini nimejifunza na nimegundua upinzani na nguvu ya MUNGU ilivyo halisi
@josephinemumbua1594 жыл бұрын
Jacktan mungu akubariki Kwa kazi zuri unayo tufuza kutuepusha na na zigo ya shetani
@failaprince9250 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana
@ipyanadanny71734 жыл бұрын
Mungu Baba unisaidie
@marychristiansen29904 ай бұрын
Kweli ni kubaya,shetani yuko kazini 24/7 Ewe Mungu endelea kutusitiri🙏
@emmanuelsinduhije14914 жыл бұрын
Barikiwa sana Mungu akuinue. By Pastor Emmanuel Sinduhije
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
Barikiwe sana kaka yetu wa kiroho
@eunicehezron3481
4 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana pastor.
@IdahNambelasiwala-qs3su4 ай бұрын
Amen
@richardesther67384 жыл бұрын
Amina barikiwa sana Jactan msafiri Mungu akutunze sana na sana
@paulines.36314 жыл бұрын
Songa mbele kaka,, kazi yako ni njema sanaaa
@lydiamichael55093 жыл бұрын
BARIKIWA SANA MCHUNGAJI JACTON KUTUFUNULIA MENGI YENYE TULIKUA HATUJUI MUNGU AKULINDE
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Ee Mungu turemu maana watu wako tumekua na shingo ngumu, asante Bwana kwa kunibadilisha na kunionyesha yakwamba ulivyo niumba inatosha na kuniweka mbali na uraibu wowote wa urembo hakika nakushukuru Mungu Mungu wangu endelea kuniongoza, lkn waongoze na wale ambao hawaja jikubali ulivyo waumba 🙏🙏🙏🙏
@penuelfullsalvationchurch33502 жыл бұрын
Ee Mungu nakushukuru juu ya yote ambayo nmeyaacha na sasa naifata njia ya kristo YESU
@jackobokiishweko49382 жыл бұрын
Hadi mbu
@plastidiacasmiry2234 Жыл бұрын
Kumbe!
@prophetrichard76692 жыл бұрын
Nakupata vyema kutoka Kenya
@dorsandollah33844 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi hakika Mungu anatupenda sana
@sophiajonas86183 жыл бұрын
Mungu nisaidie nishinde nifike kwako
@mwlayubueliudimsyani78043 жыл бұрын
aminaaaaaa!!!
@aminaally41634 жыл бұрын
MUNGU ATUSAIDIE SOTE BILA YEYE HATUWEZI.
@tigerchristmas54914 жыл бұрын
Ni upendo wa Mungu baba na neema ya Yesu tu itatuwezesha kuvuka, Amen
@annagerald87793 жыл бұрын
uu ushuhuda ulisha pita me ndo naupata sasa nataka kusaidiwa sisi wauza maduka ya dawa mnatusaidiyaje apo apo
@jacintambatha82494 жыл бұрын
Asente kwa kazi yako jema
@nelsonyandilo37974 жыл бұрын
Jacktan barikiwa sana
@anaiskafilleaineedejesus36423 жыл бұрын
Mungu aku bariki sana
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Kwaiyo Baga na pizza ni vyakula vya kishetani??
@mtumumishielisha49114 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi 🙏
@magrethmollel10783 жыл бұрын
Tunaponea wapi Mungu tutetee baba yetu
@queenesther26392 жыл бұрын
We unyakuo vipi tena? Au sikuelewa! Na km nimekuelewa mm sijui ww km ni nabii wa kweli!
@janengaga2928 Жыл бұрын
Mweee😭😭😭😭😓😓🥱🙆🤦🤦🤦🙆🙆🙆😯😮
@lovenesswalter66504 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@ireneferdinand84594 жыл бұрын
Uwa nabarikiw sana aiseee
@sarahmwasyoge18302 жыл бұрын
Nina Diwali ndugu @promover tv mbona kwenye bible kuna mtumishi ni doctor Luka alieandika kitabu cha injili luka ni daktari pia Bwana Yesu alitoa mfano wa yule ndugu aliye jeruiwa akawa amelala njiani hajiwezi wakapita waandishi na mafarisayo hawakumsaidia ila alivyo pita msamalia alimsaidia akampeleka kwa matabibu wamtibu hadi wapone ktk ule mfano wa mtu alimuuliza bwana Yesu ndugu yako ni nani? Pia Timotheo aliambiwa na mtume paul atumie mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lake alikuwa anaumwa tumbo
@millicentayangokunting37284 жыл бұрын
Eeeeh mungu tuhurumie kwa sababu dunia nzima imenaswa
@eliarichard92184 жыл бұрын
Lakini muda mwingi unaongelea Sana'a kuhusu wachungaji na wainjiristi INA mahana hao ndiyo watumishi wa kweli wengine siyo wa kweli na hawana ushuhuda kweli na wao hapo tyuu nauliza.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Wengine hao akina nani
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz mitume na manabii na walimu.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
@@eliarichard9218 unataka tuwaongeleeje maana kama sijaelewa kabisa swali
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz ndiyo nawao unge waongelea kwani hawana ushuhuda maana naona wachungaji na wainjiristi tyuu na hao pia naitaji kusikia kwao au wewe huoni kama una bagua hapo au nawao siyo wa kweli
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
@@eliarichard9218 wewe siyo mfuatiliaji mzuri,unachokisema hakipo maana hao wote unaowataja waneshatoa Ushuhuda hapa hapa
@mariachannelke97694 жыл бұрын
Mbona unatuangusha sana siku hizi jactani? Wapi part 3 ya hii jameni? 🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Maria si unajua mpaka ashuhulikie inahitaji vimchango vyetu dear
@mariachannelke9769
4 жыл бұрын
@@pericykiko6198 I thought he always prepares all the parts bfr bringing them as a testimony🤔
@ennamongi98124 жыл бұрын
Ubarikiwe
@ibrahimhumbotv
3 жыл бұрын
Napenda sana ushuhuda wajacktan mungu akubaliki
@loraumuhire47554 жыл бұрын
Ndio arakini hata kama shetani anatumika fasi yote, Roho Mutakatifu yupo pamoa na si kira dakika kuturinda
@aminaally41633 жыл бұрын
MUNGU wetu TUSAIDIE wanao hatuwezi bila wewe.Emen
@sarahkaombwe79864 жыл бұрын
Asante jehovayh kwa kutuonyesha majibu ya mitihani tunakuomba type neema ya kushinda majaribu amen!
@capteinchuimchafu78943 жыл бұрын
Hivi naomba kuuliza na ndugu zetu waislam wapo Katika kundi gan hasa
@lucykapinga369
Жыл бұрын
mmmh! Shuhuda Ya,Siporah Wamezungumziwa ni Dini ipoo kama zawa Abudu sanamuu na wahindi pia changamoto Jina La YESU litasonga Daima
@mahershalalhashbazi2189
Жыл бұрын
Allah ni Hub'al aka Sini,aka Baali
@josephinechaildofgod5371
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@lilianluhasi50534 жыл бұрын
Naomba namba yako mtumishi, asante barikiwa Sana
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
0784074462
@neemaeliaselias3061
3 жыл бұрын
Barkiwa mtumishi, kupitia shuhuda zako nmeokoka upya na nmeacha madude ya urembo yote na suruali,lakini hapo kwa hosptl na madawa mmh mungu smama'nna op mbili sasa za uzazi na nategemea nyingine soon mmh nifanyeje,au niombe nkivitakase,before
@erickcharlse4084 жыл бұрын
Sasa tutaishi vp mtumishi...tuache kwenda hospitalini eti?
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Tukimtii Mungu na kudumu ktk maombi Yale ya kuzimu hayatatupata usihofu dearest
@user-tz9ic7jn4j4 жыл бұрын
Mungu tusayidie nabizazi vyetu
@maryamayitsa61812 жыл бұрын
Mungu tusaidie kuona mbali nautupe nguvu 🇰🇪🇰🇪.
@doricemrema21772 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI ZAID NA ZAIDI 🙏, kanisa la kweli ni lip natamani kujiunga ila sijui😭 please nisaidie
Пікірлер: 92
Mungu atusaidie wanawake na manywele bandia na mawigi haya tunayovaa, Namshukuru Mungu mimi binafsi kupitia shuhuda na kusoma biblia nimeacha situmii chochote cha mapambo wala bandia kwenye mwili wangu .Mungu wasaidie wanawake wenzangu wabadilike wakujue weww ulie mkuu zaidi ya yote .
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Amen mpendwa wangu
@preciousgrayson2021
4 жыл бұрын
Ameen
@dominicgreyson9010
4 жыл бұрын
ongera sana my sister
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Heri wanyenyekevu wakisikia wanaacha ubarikiwe Ma'am
@miriammwambungu4507
4 жыл бұрын
Amen mama mm mwenyew nimeacha kupitia shuhuda
Tujikaze sana katika hii safari,hakika sio rahisi😢Mwenyezi Mungu atusaidie.❤🎉
Mungu tusaidie kuona mbali nautupe nguvu 🇰🇪🇰🇪.
Ujumbe mzito Sana, Na unaelimisha vizuri Sana, kwa wenye haki tunaelewa vizuri.
Mungu azidi kufanya njia ktk midia hii,,,nazidikubalikiwa Amen
Lazima tuwe makini sana jinsi shetani anavyofanya kazi[Jina la Yesu lina nguvu hivyo lazima tujuea sana Neno la Mungu![ Wanamuziki wanaoonekana mastaa wanatumiwa na ufalme wa Giza
Amen nimejifunza mengi. Kazi yako ni njema
Jina la YESU Christo lipewe sifa Asante sana mutumishi wa Mungu kwa shuhuda hizi
Ndio maana Raisi alikataa misaada ya vifaa vya tiba kipindi cha corona. Ni kwasababu anafahamu siri ya Mungu. Na corona ikakwisha.
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Ndiyo kweli amen kwa jina la Yesu Kristo
@josephinemumbua159
4 жыл бұрын
Kweli amen
Amen,nimejifunza mengi nisioyajua, Mungu akufunike na damu ya Yesu kristo
Kitakase Kila kitu Kwa dam ya Yesu kabla ujakitumia
MUNGU AKUBARIKI ZAID NA ZAIDI 🙏, kanisa la kweli ni lip natamani kujiunga ila sijui😭 please nisaidie
Ameeen nimesikia lakini nimejifunza na nimegundua upinzani na nguvu ya MUNGU ilivyo halisi
Jacktan mungu akubariki Kwa kazi zuri unayo tufuza kutuepusha na na zigo ya shetani
MUNGU akubariki sana
Mungu Baba unisaidie
Kweli ni kubaya,shetani yuko kazini 24/7 Ewe Mungu endelea kutusitiri🙏
Barikiwa sana Mungu akuinue. By Pastor Emmanuel Sinduhije
@dennismwenje7041
4 жыл бұрын
Barikiwe sana kaka yetu wa kiroho
@eunicehezron3481
4 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana pastor.
Amen
Amina barikiwa sana Jactan msafiri Mungu akutunze sana na sana
Songa mbele kaka,, kazi yako ni njema sanaaa
BARIKIWA SANA MCHUNGAJI JACTON KUTUFUNULIA MENGI YENYE TULIKUA HATUJUI MUNGU AKULINDE
Ee Mungu turemu maana watu wako tumekua na shingo ngumu, asante Bwana kwa kunibadilisha na kunionyesha yakwamba ulivyo niumba inatosha na kuniweka mbali na uraibu wowote wa urembo hakika nakushukuru Mungu Mungu wangu endelea kuniongoza, lkn waongoze na wale ambao hawaja jikubali ulivyo waumba 🙏🙏🙏🙏
Ee Mungu nakushukuru juu ya yote ambayo nmeyaacha na sasa naifata njia ya kristo YESU
Hadi mbu
Kumbe!
Nakupata vyema kutoka Kenya
MUNGU akubariki sana mtumishi hakika Mungu anatupenda sana
Mungu nisaidie nishinde nifike kwako
aminaaaaaa!!!
MUNGU ATUSAIDIE SOTE BILA YEYE HATUWEZI.
Ni upendo wa Mungu baba na neema ya Yesu tu itatuwezesha kuvuka, Amen
uu ushuhuda ulisha pita me ndo naupata sasa nataka kusaidiwa sisi wauza maduka ya dawa mnatusaidiyaje apo apo
Asente kwa kazi yako jema
Jacktan barikiwa sana
Mungu aku bariki sana
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
Kwaiyo Baga na pizza ni vyakula vya kishetani??
ubarikiwe mtumishi 🙏
Tunaponea wapi Mungu tutetee baba yetu
We unyakuo vipi tena? Au sikuelewa! Na km nimekuelewa mm sijui ww km ni nabii wa kweli!
Mweee😭😭😭😭😓😓🥱🙆🤦🤦🤦🙆🙆🙆😯😮
Ubarikiwe sana
Uwa nabarikiw sana aiseee
Nina Diwali ndugu @promover tv mbona kwenye bible kuna mtumishi ni doctor Luka alieandika kitabu cha injili luka ni daktari pia Bwana Yesu alitoa mfano wa yule ndugu aliye jeruiwa akawa amelala njiani hajiwezi wakapita waandishi na mafarisayo hawakumsaidia ila alivyo pita msamalia alimsaidia akampeleka kwa matabibu wamtibu hadi wapone ktk ule mfano wa mtu alimuuliza bwana Yesu ndugu yako ni nani? Pia Timotheo aliambiwa na mtume paul atumie mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lake alikuwa anaumwa tumbo
Eeeeh mungu tuhurumie kwa sababu dunia nzima imenaswa
Lakini muda mwingi unaongelea Sana'a kuhusu wachungaji na wainjiristi INA mahana hao ndiyo watumishi wa kweli wengine siyo wa kweli na hawana ushuhuda kweli na wao hapo tyuu nauliza.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Wengine hao akina nani
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz mitume na manabii na walimu.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
@@eliarichard9218 unataka tuwaongeleeje maana kama sijaelewa kabisa swali
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz ndiyo nawao unge waongelea kwani hawana ushuhuda maana naona wachungaji na wainjiristi tyuu na hao pia naitaji kusikia kwao au wewe huoni kama una bagua hapo au nawao siyo wa kweli
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
@@eliarichard9218 wewe siyo mfuatiliaji mzuri,unachokisema hakipo maana hao wote unaowataja waneshatoa Ushuhuda hapa hapa
Mbona unatuangusha sana siku hizi jactani? Wapi part 3 ya hii jameni? 🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Maria si unajua mpaka ashuhulikie inahitaji vimchango vyetu dear
@mariachannelke9769
4 жыл бұрын
@@pericykiko6198 I thought he always prepares all the parts bfr bringing them as a testimony🤔
Ubarikiwe
@ibrahimhumbotv
3 жыл бұрын
Napenda sana ushuhuda wajacktan mungu akubaliki
Ndio arakini hata kama shetani anatumika fasi yote, Roho Mutakatifu yupo pamoa na si kira dakika kuturinda
MUNGU wetu TUSAIDIE wanao hatuwezi bila wewe.Emen
Asante jehovayh kwa kutuonyesha majibu ya mitihani tunakuomba type neema ya kushinda majaribu amen!
Hivi naomba kuuliza na ndugu zetu waislam wapo Katika kundi gan hasa
@lucykapinga369
Жыл бұрын
mmmh! Shuhuda Ya,Siporah Wamezungumziwa ni Dini ipoo kama zawa Abudu sanamuu na wahindi pia changamoto Jina La YESU litasonga Daima
@mahershalalhashbazi2189
Жыл бұрын
Allah ni Hub'al aka Sini,aka Baali
@josephinechaildofgod5371
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Naomba namba yako mtumishi, asante barikiwa Sana
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
0784074462
@neemaeliaselias3061
3 жыл бұрын
Barkiwa mtumishi, kupitia shuhuda zako nmeokoka upya na nmeacha madude ya urembo yote na suruali,lakini hapo kwa hosptl na madawa mmh mungu smama'nna op mbili sasa za uzazi na nategemea nyingine soon mmh nifanyeje,au niombe nkivitakase,before
Sasa tutaishi vp mtumishi...tuache kwenda hospitalini eti?
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Tukimtii Mungu na kudumu ktk maombi Yale ya kuzimu hayatatupata usihofu dearest
Mungu tusayidie nabizazi vyetu
Mungu tusaidie kuona mbali nautupe nguvu 🇰🇪🇰🇪.
MUNGU AKUBARIKI ZAID NA ZAIDI 🙏, kanisa la kweli ni lip natamani kujiunga ila sijui😭 please nisaidie