USHUHUDA:NILITEMBELEWA NA MALAIKA AKIWA KATIKA UMBO LA BINADAMU/NILIKUWA WA KWANZA KUOKOKA KIJIJINI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 124
Ushuhuda umenibariki mno... Yesu kristo alijitokeza kwako kama “Mtu wa huzuni nyingi” kwa kiingereza yaani “Man of sorrows” ndio maana uliona shingo yake imekaa upande kwa huzuni. Hii inapatikana unaposoma “Isaya 53:3” ni kweli dhambi zetu zimamhuzunisha sana Bwana Yesu... Mungu tusaidie sana kuishinda na kung’oa mizizi ya dhambi maishani mwetu katika Jina la Yesu kristo... Amen
@user-vc1hx7mw7c
Жыл бұрын
Amen
Maisha siyo kuzaliwa paka Ulaya. Maisha ni kuzaliwa upya katika Kristo.
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Ila ulaya Kuna raha yake bhana
@esterpeter8556
8 ай бұрын
Haaaahaa,Ila wapendwa khaaa
Nimejifunza kupitia ushuhuda huu, Mungu akubariki sana.
Hongera Mtumishi wa Mungu kwa kazi nzuri uliyofanya ukiwa Mwanafunzi. Hongera kwa utumishi wa Mungu ulioufanya na unaoendelea kufanya. Hongera kwa ushuhuda huu mzuri wa kujenga na kuhuisha roho za watu. Mungu akubariki sana sana.
Glory to God amina promover tv
Mtumishi barikiweninsana kwa ushuhuda mzuri.huyu mtumishi ana ushuhuda mkubwa tatizo ana hofu aseme tuu kuhusu kuzimu wengine hawaelewi sana lugha yabmafumbo alafu inabidi atushuhudie tuu kwa kirefu naona bado ana vitu vingi ameskip.Mungubawabariki sana
@swagatdebracy6447
3 жыл бұрын
Je ni vema kujishughulisha na mambo mabaya au yasiyofaa..!?
Mimi nimekuelewa mtumishi wa Mungu, ubarikiwe Sana
Hallelujah
Amina ushuhuda wa baraka sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.
Amen
Mbona mnasema ni jini kwani Mungu hana watumishi wake Malaika ni wengi sana kwa wanao ishi maisha matakatifu Kila siku anawaongoza watu wake
Nimebarikiwa na ushuhuda huu. Asante God bless you.
Mungu atusaidie sana
Barikia sana mtumishi wamungu
Mungu akubariki sana kweli Kristo ananjia zake bali ulikubali kuenenda
Ulikuwa hauoti ulikuwa unachukuliwa katika ulimwengu wa roho, wanaobeza achana nao, ila wa kiroho atakuelewa unachoelezea
Yaani umeelezea vzr mno mtumishi, Barikiwa sana
NAJIKUTA NAGUSWA NA MANENO YAKO... NINAHISI NA MIMI NI MMOJA W wale walioandikwa jina kwenye kitabu chekundu.
Mtumishi wa MUNGU nakubaliana na wewe 100% huo ndiyo ukweli either wanakubali au hawakubali
Amina mtumishi
What a great testimony ❤️❣️
Asante kwa shuhuda hii kaka
Ameen
Ufahi kabisa unaficha ficha mambo tu
Amina
@olivajohnkipala1674
3 жыл бұрын
Kama umekoka , kweli mtoto wa Mungu mbona ushuhuda wako unakatisha katisha sana hauko wazi unaogopa au unaficha siri za kuzimu ? Mungu amesema watakayowambia silini yawekeni juu ya paa ww vp unaficha ficha vitu ?
Asante kwa hip ushuhuda mzuri
🙆🙆🙆 kweli Yesu hakuna siku shingo yake itainuka Sasa wewe vile Mungu alikua anakutumia ukaamua kuenda kwa shetani
Wewe Kaka umetunyima ushuhuda hujashuhudia yote Mungu anakuona
Barikiwa
@lilinyota3881
3 жыл бұрын
Amen
Ubalikiwe sanaaaa mtumish nimeelewa kitu
Ila kaka nisikufiche nmejisikia vbaya sana kwa kuoneshwa mengi na mungu lakn tena ukarudi nyuma yani ulipata neema sana. Alaf shuhuda unaficha ficha tu.
@basilisamsaka8469
Жыл бұрын
Ujaelewa
Jacktan Barikiwa sana media yote ya Promover TV 📺. Huyu kaka nimemuelewa sana Abarikiwe sana kwa Ushuhuda huu. Amen
Mungu akubariki sana Mtumishi
Jacktani ushuhuda huu kama unaweza mrudie atusimulie jinsi mwalimu alivyomwingiza kwenye kikundi cha kishetani na wenzie ili kupata mafanikio kielimu tuone mapito hayo pamoja na vile alivyovushwa
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Sawa
unacho simulia hakina mashiko niyaleletu kwani kanisani alishindwa nini kwenda kama kutembea anatembea wewe anakuacha nyama wenzenu wanatafuta wafuasi kwakutumia akili ndogotu: hiyoni zugatu nguvu gani alikuanae kama sio mazingaubwe wacheni kumtania Mungu:atakae fumilia mpaka mwisho ndio atakae okoka wewe hujafika mwisho unasemaje umeokako hembe mtafuteni mungu aliekuumba
Mungu akusimamie katika maishayako
Hilo kanisa hslina nguvu ya Mungu,ndo shtani akaingia hapo.
Kaka uyu ushuhuda wake haujakamilika anaficha mambo mengi anavywasem watu wasdanganyike mbna yye alidanganyika atueleze alipatwa nni uko kweny giza aliendaje akqtokaje tujifnze zaid anatangaz sana mema aliytenda zaman anaficha ficha maovu afunguke zaid tujifunz zaid
Wewe fafanua NDO twelewe vizuri
unachekesha sana bother
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
🤣🤣😏😏
@josephatjoseph1755
3 жыл бұрын
@@millicentayangokunting3728 mbona wacheka
Kanzi njema kaka
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Asante
Kaka Jacktan fanya kazi yako tutachambua wenyewe
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, asante kwa maoni mazuri
@leonardinabalenzi4005
3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kumtia moyo
Kwani msabato na mrokore tofauti yao ni nn
Malaika wa Mungu hawezi kufanya ngono,ulizini na jini,omba msamaha kwa Mungu kumfhalilisha.
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Na shangaa pia
Unaogopa kutoa Siri za shetani
Hapo kwa vitabu vyeusi na yekundu sijaelewa
Watakatifu walio duniani ndio niaopendezwa nao ! Halleluya . Yesu Damu yako uendelee kututakasa kila dakika ili tukupendeze .
Ushuhuda wako haueleweki
IBRAHIMU ALITOKEWA NA WATU WATATU LAKINI WALIKUWA NI MALAIKA, YAKOBO ALITOKEWA NA MTU AKASHINDANA NAYE MPAKA ASUBUHI NDIPOSA AKAMPIGA YAKOBO MSULI WA PAJA ILI MUACHIE LAKINI ALIKUWA MALAIKA. MALAIKA WAKIJA KIMWILI WANATUMIA MWILI WA BINADAMU
@apostleoscarnyakungachuma3510
3 жыл бұрын
Asañte Sana maraika watutembelee Hakika
@keeptimenimrod3770
3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@apostleoscarnyakungachuma3510 chumaaaaaa
uzikwe katikati ya pilau pilau
Khaa maraika anadondoka Ni kweli mbona haiji
@christopherbomola4151
3 жыл бұрын
Mbona hushangai malaika aliteguliwa mguu na Yakobo baada ya kuvutana sana usiku!
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Aisee hii pasua kichwa
@daudlangson5639
3 жыл бұрын
@@christopherbomola4151 ndugu yangu acha nanao hao hao ndo wanakulupuka biblia hawaisomi
Uliyetokewa naye sio malaika ni jini aliye vaa umbo LA malaika
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Hata mimi nimeelewa hivyo
Wewe achakumthaki mungu wewe
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Kiaje🙄🙄🙄🙄
@emmanuelyairwise6391
3 жыл бұрын
Acha kumthihaki mungu we baba
Daaah,ss nimejua kwa nini,rais wetu kaondoka.hajaenda kusaini kuzimu
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Wacha ujinga wako wewe siku yako ya kufa ikifika utakufa tu
@epifaniamilinga2848
3 жыл бұрын
@@millicentayangokunting3728 hata mm nakuona mjinga
@vumiliawambula1716
3 жыл бұрын
Je kanisa katoliki Awana okovu? sijuwe naomba nijuwe
@augustinebright1369
3 жыл бұрын
@@vumiliawambula1716 hakuna...
@jacobmahona187
3 жыл бұрын
@@vumiliawambula1716 hawana eee
Lililo vaa umbo LA malaika
Mwambie huyo atupe namba yake
Hata kwe2 ni katolic tuuu! Hanna dhehebu lolote.
Hivi,katoliki ni kanisa la kimwili?
@keeptimenimrod3770
3 жыл бұрын
Kanisa ni la Mungu sema tu watu wake niwakengeufu
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Ni empire ya kishetani
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@keeptimenimrod3770 katoliki sio kanisa la mungu Ni la papa na ndomaana papa anaskilizwa Sana kuliko mungu au hujui
Lilikua jini mymuna
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Akajiita mikaeli
ila wat wanakosa maalifa kabsa, yan jini kuja kukuchukua ukaona ni malaika hahahahahaa, jmn tusal sana,
@alfrednyamnini7352
3 жыл бұрын
Yaani jini akupeleke kanisani? Maajabu ya Mwaka.hayo.
@edwardjohn6597
3 жыл бұрын
Tangu lini jini kamuongoza mtu kuookoka?
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@alfrednyamnini7352 yeah inawezekana hujigeuza kuwa malaika wa nuru sometime soma nyaraka paul
@irenneaketchowate7230
3 жыл бұрын
@@edwardjohn6597 _lts good to tell God to help you be agood listener.
Jinga kabisa, unatoa shuhuda au unatuhubiria ??? Hujui kuhubr acha tu, Fanya kutoa shuhuda zako tu
@christophermazanza5887
3 жыл бұрын
Acha kuzalau Mambo ya mungu Kama hupendezwi Bora ukae kimya utaonekana mwenye busars
@michaelbengesi9838
3 жыл бұрын
@@christophermazanza5887 Sio dharau, sio kila utakaposikia Yesu, Yesu Ukajua anatajwa Yesu wa kweli, kwani wewe hujui kuwa kuna watumishi Fake ?
@medadiissa324
3 жыл бұрын
Je unajua watumishi fake? Hebu tuelezee bila kuanza kupinga.
@michaelbengesi9838
3 жыл бұрын
@@medadiissa324 hii video nimesikiliza kwa dakika 1 tu nikajua jamaa anatoa matango pori. Hata nikishuka huku chini kusoma comments za watu naona kabisa wanadai ushuhuda wenyewe niwa kijinga tu.
@xiwuyan457
3 жыл бұрын
Repent against this SIN it is very badly to the LORD JESUS CHRIST
Huyo sio malaika ni jini
@annamalingi1855
3 жыл бұрын
Jini akuambie nipleke kanisani na huyu hangeokoka kama sihuyo. Mbona ugumuwako watoamini unakupeleka upofuni! Unamwamini mungu gani. Omba mungu akufungue macho nduguyetu ili tusikupoteze.ubarikiwe sana.
@pakapakatuondoke6785
3 жыл бұрын
@@annamalingi1855 aaaa Huyo jini kashikashi
@xiwuyan457
3 жыл бұрын
Malaika wa vita michael
@huldamaduhu6901
3 жыл бұрын
Naona unampenda Mungu naomba usibweteke endelea kumtafuta Mungu na njia pekee omba roho mtakaifu akae nawe pia soma sana biblia achana na ndoto soma biblia na vitabu vya roho ya unabii
@pakapakatuondoke6785
3 жыл бұрын
@@huldamaduhu6901 nikikueleza Niko chuo cha roho mtakatifu naendelea kujifunza vitabu vya roho ya unabii ni vipi hivyo mtumishi nataka kujifunza jamani naomba naomba nielekeze
Jini huyo malaika hatembelei watu wasiojielewa kama nyinyi
@stephenmatheka8009
3 жыл бұрын
Ramys wewe haya huyaelewi nyamaza Yesu afanye Kazi yake
@kimsamespa8490
3 жыл бұрын
Huitwa jini upande wa nguvu za giza lakinii upande wa nuru huitwa Malaika naukiishi maisha ya utakatifu Kila siku hua wanakusaidiaa coz wao hupenda utakatifu
Amen
Ameen