USHUHUDA:NILITEMBELEWA NA MALAIKA AKIWA KATIKA UMBO LA BINADAMU/NILIKUWA WA KWANZA KUOKOKA KIJIJINI

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 124

  • @brightonshedrack5018
    @brightonshedrack50183 жыл бұрын

    Ushuhuda umenibariki mno... Yesu kristo alijitokeza kwako kama “Mtu wa huzuni nyingi” kwa kiingereza yaani “Man of sorrows” ndio maana uliona shingo yake imekaa upande kwa huzuni. Hii inapatikana unaposoma “Isaya 53:3” ni kweli dhambi zetu zimamhuzunisha sana Bwana Yesu... Mungu tusaidie sana kuishinda na kung’oa mizizi ya dhambi maishani mwetu katika Jina la Yesu kristo... Amen

  • @user-vc1hx7mw7c

    @user-vc1hx7mw7c

    Жыл бұрын

    Amen

  • @allhailkingjesus6484
    @allhailkingjesus64843 жыл бұрын

    Maisha siyo kuzaliwa paka Ulaya. Maisha ni kuzaliwa upya katika Kristo.

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Ila ulaya Kuna raha yake bhana

  • @esterpeter8556

    @esterpeter8556

    8 ай бұрын

    Haaaahaa,Ila wapendwa khaaa

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana97913 жыл бұрын

    Nimejifunza kupitia ushuhuda huu, Mungu akubariki sana.

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko16603 жыл бұрын

    Hongera Mtumishi wa Mungu kwa kazi nzuri uliyofanya ukiwa Mwanafunzi. Hongera kwa utumishi wa Mungu ulioufanya na unaoendelea kufanya. Hongera kwa ushuhuda huu mzuri wa kujenga na kuhuisha roho za watu. Mungu akubariki sana sana.

  • @isayanyingi6387
    @isayanyingi6387 Жыл бұрын

    Glory to God amina promover tv

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza76613 жыл бұрын

    Mtumishi barikiweninsana kwa ushuhuda mzuri.huyu mtumishi ana ushuhuda mkubwa tatizo ana hofu aseme tuu kuhusu kuzimu wengine hawaelewi sana lugha yabmafumbo alafu inabidi atushuhudie tuu kwa kirefu naona bado ana vitu vingi ameskip.Mungubawabariki sana

  • @swagatdebracy6447

    @swagatdebracy6447

    3 жыл бұрын

    Je ni vema kujishughulisha na mambo mabaya au yasiyofaa..!?

  • @esterpeter8556
    @esterpeter85568 ай бұрын

    Mimi nimekuelewa mtumishi wa Mungu, ubarikiwe Sana

  • @alex_vincent
    @alex_vincent8 ай бұрын

    Hallelujah

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki46793 жыл бұрын

    Amina ushuhuda wa baraka sana

  • @rmaryp6269
    @rmaryp62693 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.

  • @malaikamedia8323
    @malaikamedia83233 жыл бұрын

    Amen

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84903 жыл бұрын

    Mbona mnasema ni jini kwani Mungu hana watumishi wake Malaika ni wengi sana kwa wanao ishi maisha matakatifu Kila siku anawaongoza watu wake

  • @veronicastanley3955
    @veronicastanley39553 жыл бұрын

    Nimebarikiwa na ushuhuda huu. Asante God bless you.

  • @Injiliyakweliifikedunianipote
    @Injiliyakweliifikedunianipote Жыл бұрын

    Mungu atusaidie sana

  • @erianne494
    @erianne4943 жыл бұрын

    Barikia sana mtumishi wamungu

  • @susankitila8684
    @susankitila86843 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana kweli Kristo ananjia zake bali ulikubali kuenenda

  • @victorianchimbi8640
    @victorianchimbi86403 жыл бұрын

    Ulikuwa hauoti ulikuwa unachukuliwa katika ulimwengu wa roho, wanaobeza achana nao, ila wa kiroho atakuelewa unachoelezea

  • @richmom4959
    @richmom49593 жыл бұрын

    Yaani umeelezea vzr mno mtumishi, Barikiwa sana

  • @elrachum3866
    @elrachum38663 жыл бұрын

    NAJIKUTA NAGUSWA NA MANENO YAKO... NINAHISI NA MIMI NI MMOJA W wale walioandikwa jina kwenye kitabu chekundu.

  • @lavesharmulla7205
    @lavesharmulla720510 ай бұрын

    Mtumishi wa MUNGU nakubaliana na wewe 100% huo ndiyo ukweli either wanakubali au hawakubali

  • @editarichard1967
    @editarichard19673 жыл бұрын

    Amina mtumishi

  • @blessedmama5367
    @blessedmama53673 жыл бұрын

    What a great testimony ❤️❣️

  • @EmmaFrancis14
    @EmmaFrancis143 жыл бұрын

    Asante kwa shuhuda hii kaka

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe72483 жыл бұрын

    Ameen

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98983 жыл бұрын

    Ufahi kabisa unaficha ficha mambo tu

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga53353 жыл бұрын

    Amina

  • @olivajohnkipala1674

    @olivajohnkipala1674

    3 жыл бұрын

    Kama umekoka , kweli mtoto wa Mungu mbona ushuhuda wako unakatisha katisha sana hauko wazi unaogopa au unaficha siri za kuzimu ? Mungu amesema watakayowambia silini yawekeni juu ya paa ww vp unaficha ficha vitu ?

  • @ruthmasila3004
    @ruthmasila30043 жыл бұрын

    Asante kwa hip ushuhuda mzuri

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84903 жыл бұрын

    🙆🙆🙆 kweli Yesu hakuna siku shingo yake itainuka Sasa wewe vile Mungu alikua anakutumia ukaamua kuenda kwa shetani

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84903 жыл бұрын

    Wewe Kaka umetunyima ushuhuda hujashuhudia yote Mungu anakuona

  • @lispamagu5810
    @lispamagu58103 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @lilinyota3881

    @lilinyota3881

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @elishajailosy8346
    @elishajailosy83463 жыл бұрын

    Ubalikiwe sanaaaa mtumish nimeelewa kitu

  • @elizabethopere2784
    @elizabethopere27842 жыл бұрын

    Ila kaka nisikufiche nmejisikia vbaya sana kwa kuoneshwa mengi na mungu lakn tena ukarudi nyuma yani ulipata neema sana. Alaf shuhuda unaficha ficha tu.

  • @basilisamsaka8469

    @basilisamsaka8469

    Жыл бұрын

    Ujaelewa

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz71143 жыл бұрын

    Jacktan Barikiwa sana media yote ya Promover TV 📺. Huyu kaka nimemuelewa sana Abarikiwe sana kwa Ushuhuda huu. Amen

  • @chris-td8wd
    @chris-td8wd3 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Mtumishi

  • @netekal1780
    @netekal17803 жыл бұрын

    Jacktani ushuhuda huu kama unaweza mrudie atusimulie jinsi mwalimu alivyomwingiza kwenye kikundi cha kishetani na wenzie ili kupata mafanikio kielimu tuone mapito hayo pamoja na vile alivyovushwa

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Sawa

  • @iddyjumanne2624
    @iddyjumanne26243 жыл бұрын

    unacho simulia hakina mashiko niyaleletu kwani kanisani alishindwa nini kwenda kama kutembea anatembea wewe anakuacha nyama wenzenu wanatafuta wafuasi kwakutumia akili ndogotu: hiyoni zugatu nguvu gani alikuanae kama sio mazingaubwe wacheni kumtania Mungu:atakae fumilia mpaka mwisho ndio atakae okoka wewe hujafika mwisho unasemaje umeokako hembe mtafuteni mungu aliekuumba

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi87903 жыл бұрын

    Mungu akusimamie katika maishayako

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92393 жыл бұрын

    Hilo kanisa hslina nguvu ya Mungu,ndo shtani akaingia hapo.

  • @MilliumSwai-sy3qr
    @MilliumSwai-sy3qr Жыл бұрын

    Kaka uyu ushuhuda wake haujakamilika anaficha mambo mengi anavywasem watu wasdanganyike mbna yye alidanganyika atueleze alipatwa nni uko kweny giza aliendaje akqtokaje tujifnze zaid anatangaz sana mema aliytenda zaman anaficha ficha maovu afunguke zaid tujifunz zaid

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi21073 жыл бұрын

    Wewe fafanua NDO twelewe vizuri

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph17553 жыл бұрын

    unachekesha sana bother

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    🤣🤣😏😏

  • @josephatjoseph1755

    @josephatjoseph1755

    3 жыл бұрын

    @@millicentayangokunting3728 mbona wacheka

  • @jessekusipa7325
    @jessekusipa73253 жыл бұрын

    Kanzi njema kaka

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Asante

  • @drnow1528
    @drnow15283 жыл бұрын

    Kaka Jacktan fanya kazi yako tutachambua wenyewe

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen, asante kwa maoni mazuri

  • @leonardinabalenzi4005

    @leonardinabalenzi4005

    3 жыл бұрын

    Mungu akubariki kwa kumtia moyo

  • @viviandon192
    @viviandon1923 жыл бұрын

    Kwani msabato na mrokore tofauti yao ni nn

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92393 жыл бұрын

    Malaika wa Mungu hawezi kufanya ngono,ulizini na jini,omba msamaha kwa Mungu kumfhalilisha.

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    Na shangaa pia

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Жыл бұрын

    Unaogopa kutoa Siri za shetani

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting37283 жыл бұрын

    Hapo kwa vitabu vyeusi na yekundu sijaelewa

  • @paulpaul4551
    @paulpaul45513 жыл бұрын

    Watakatifu walio duniani ndio niaopendezwa nao ! Halleluya . Yesu Damu yako uendelee kututakasa kila dakika ili tukupendeze .

  • @godwinambani
    @godwinambani Жыл бұрын

    Ushuhuda wako haueleweki

  • @medadiissa324
    @medadiissa3243 жыл бұрын

    IBRAHIMU ALITOKEWA NA WATU WATATU LAKINI WALIKUWA NI MALAIKA, YAKOBO ALITOKEWA NA MTU AKASHINDANA NAYE MPAKA ASUBUHI NDIPOSA AKAMPIGA YAKOBO MSULI WA PAJA ILI MUACHIE LAKINI ALIKUWA MALAIKA. MALAIKA WAKIJA KIMWILI WANATUMIA MWILI WA BINADAMU

  • @apostleoscarnyakungachuma3510

    @apostleoscarnyakungachuma3510

    3 жыл бұрын

    Asañte Sana maraika watutembelee Hakika

  • @keeptimenimrod3770

    @keeptimenimrod3770

    3 жыл бұрын

    Kwel kabisa

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    @@apostleoscarnyakungachuma3510 chumaaaaaa

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph17553 жыл бұрын

    uzikwe katikati ya pilau pilau

  • @paulojigwa3983
    @paulojigwa39833 жыл бұрын

    Khaa maraika anadondoka Ni kweli mbona haiji

  • @christopherbomola4151

    @christopherbomola4151

    3 жыл бұрын

    Mbona hushangai malaika aliteguliwa mguu na Yakobo baada ya kuvutana sana usiku!

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    3 жыл бұрын

    Aisee hii pasua kichwa

  • @daudlangson5639

    @daudlangson5639

    3 жыл бұрын

    @@christopherbomola4151 ndugu yangu acha nanao hao hao ndo wanakulupuka biblia hawaisomi

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke67853 жыл бұрын

    Uliyetokewa naye sio malaika ni jini aliye vaa umbo LA malaika

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    Hata mimi nimeelewa hivyo

  • @emmanuelyairwise6391
    @emmanuelyairwise63913 жыл бұрын

    Wewe achakumthaki mungu wewe

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    Kiaje🙄🙄🙄🙄

  • @emmanuelyairwise6391

    @emmanuelyairwise6391

    3 жыл бұрын

    Acha kumthihaki mungu we baba

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28483 жыл бұрын

    Daaah,ss nimejua kwa nini,rais wetu kaondoka.hajaenda kusaini kuzimu

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    Wacha ujinga wako wewe siku yako ya kufa ikifika utakufa tu

  • @epifaniamilinga2848

    @epifaniamilinga2848

    3 жыл бұрын

    @@millicentayangokunting3728 hata mm nakuona mjinga

  • @vumiliawambula1716

    @vumiliawambula1716

    3 жыл бұрын

    Je kanisa katoliki Awana okovu? sijuwe naomba nijuwe

  • @augustinebright1369

    @augustinebright1369

    3 жыл бұрын

    @@vumiliawambula1716 hakuna...

  • @jacobmahona187

    @jacobmahona187

    3 жыл бұрын

    @@vumiliawambula1716 hawana eee

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke67853 жыл бұрын

    Lililo vaa umbo LA malaika

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24443 жыл бұрын

    Mwambie huyo atupe namba yake

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92393 жыл бұрын

    Hata kwe2 ni katolic tuuu! Hanna dhehebu lolote.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28483 жыл бұрын

    Hivi,katoliki ni kanisa la kimwili?

  • @keeptimenimrod3770

    @keeptimenimrod3770

    3 жыл бұрын

    Kanisa ni la Mungu sema tu watu wake niwakengeufu

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Ni empire ya kishetani

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    @@keeptimenimrod3770 katoliki sio kanisa la mungu Ni la papa na ndomaana papa anaskilizwa Sana kuliko mungu au hujui

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke67853 жыл бұрын

    Lilikua jini mymuna

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Akajiita mikaeli

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo36763 жыл бұрын

    ila wat wanakosa maalifa kabsa, yan jini kuja kukuchukua ukaona ni malaika hahahahahaa, jmn tusal sana,

  • @alfrednyamnini7352

    @alfrednyamnini7352

    3 жыл бұрын

    Yaani jini akupeleke kanisani? Maajabu ya Mwaka.hayo.

  • @edwardjohn6597

    @edwardjohn6597

    3 жыл бұрын

    Tangu lini jini kamuongoza mtu kuookoka?

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    @@alfrednyamnini7352 yeah inawezekana hujigeuza kuwa malaika wa nuru sometime soma nyaraka paul

  • @irenneaketchowate7230

    @irenneaketchowate7230

    3 жыл бұрын

    @@edwardjohn6597 _lts good to tell God to help you be agood listener.

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi98383 жыл бұрын

    Jinga kabisa, unatoa shuhuda au unatuhubiria ??? Hujui kuhubr acha tu, Fanya kutoa shuhuda zako tu

  • @christophermazanza5887

    @christophermazanza5887

    3 жыл бұрын

    Acha kuzalau Mambo ya mungu Kama hupendezwi Bora ukae kimya utaonekana mwenye busars

  • @michaelbengesi9838

    @michaelbengesi9838

    3 жыл бұрын

    @@christophermazanza5887 Sio dharau, sio kila utakaposikia Yesu, Yesu Ukajua anatajwa Yesu wa kweli, kwani wewe hujui kuwa kuna watumishi Fake ?

  • @medadiissa324

    @medadiissa324

    3 жыл бұрын

    Je unajua watumishi fake? Hebu tuelezee bila kuanza kupinga.

  • @michaelbengesi9838

    @michaelbengesi9838

    3 жыл бұрын

    @@medadiissa324 hii video nimesikiliza kwa dakika 1 tu nikajua jamaa anatoa matango pori. Hata nikishuka huku chini kusoma comments za watu naona kabisa wanadai ushuhuda wenyewe niwa kijinga tu.

  • @xiwuyan457

    @xiwuyan457

    3 жыл бұрын

    Repent against this SIN it is very badly to the LORD JESUS CHRIST

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke67853 жыл бұрын

    Huyo sio malaika ni jini

  • @annamalingi1855

    @annamalingi1855

    3 жыл бұрын

    Jini akuambie nipleke kanisani na huyu hangeokoka kama sihuyo. Mbona ugumuwako watoamini unakupeleka upofuni! Unamwamini mungu gani. Omba mungu akufungue macho nduguyetu ili tusikupoteze.ubarikiwe sana.

  • @pakapakatuondoke6785

    @pakapakatuondoke6785

    3 жыл бұрын

    @@annamalingi1855 aaaa Huyo jini kashikashi

  • @xiwuyan457

    @xiwuyan457

    3 жыл бұрын

    Malaika wa vita michael

  • @huldamaduhu6901

    @huldamaduhu6901

    3 жыл бұрын

    Naona unampenda Mungu naomba usibweteke endelea kumtafuta Mungu na njia pekee omba roho mtakaifu akae nawe pia soma sana biblia achana na ndoto soma biblia na vitabu vya roho ya unabii

  • @pakapakatuondoke6785

    @pakapakatuondoke6785

    3 жыл бұрын

    @@huldamaduhu6901 nikikueleza Niko chuo cha roho mtakatifu naendelea kujifunza vitabu vya roho ya unabii ni vipi hivyo mtumishi nataka kujifunza jamani naomba naomba nielekeze

  • @ramlymohamed8923
    @ramlymohamed89233 жыл бұрын

    Jini huyo malaika hatembelei watu wasiojielewa kama nyinyi

  • @stephenmatheka8009

    @stephenmatheka8009

    3 жыл бұрын

    Ramys wewe haya huyaelewi nyamaza Yesu afanye Kazi yake

  • @kimsamespa8490

    @kimsamespa8490

    3 жыл бұрын

    Huitwa jini upande wa nguvu za giza lakinii upande wa nuru huitwa Malaika naukiishi maisha ya utakatifu Kila siku hua wanakusaidiaa coz wao hupenda utakatifu

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3su3 ай бұрын

    Amen

  • @philipojangama
    @philipojangama3 жыл бұрын

    Ameen

Келесі