Mch.Katekela:TUMIA MAOMBI NA KANUNI HIZI KUVUNJA MIHURI YA KICHAWI•MUHURI WA 7•MBINU ZA KUJINASUA

KUHUSU KITABU NA JINSI YA KUKIPATA TAFADHALI WASILIANA NA MCHUNGAJI AMA PROMOVER TV UTAPATA UTARATIBU.
MAGROUP YA MARAFIKI WA MCHUNGAJI KATEKELA BONYEZA LINK KUJOIN:-
-GROUP NO.1 BONYEZA chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1...
-GROUP NO.2 BONYEZA chat.whatsapp.com/G6ymOcE6bc7...
KAMA UNASHINDWA KUJOIN AMA KWA LOLOTE UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWA NAMBA HIZI.
-Namba ya Mchungaji Katekela ni +255 756 275 511
-Namba ya promover tv ni +255784074462
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 174

  • @christinezuma5588
    @christinezuma5588 Жыл бұрын

    Navunja roho zinazo fatilia maisha yangu katika jina la Yesu.

  • @yobike9680
    @yobike968011 ай бұрын

    mtumishi naitanji maombi na hisi nguvu za giza zinanizingila katika maisha yangu naomba usaindishi kimaombi(iruma kutoka nairobi kiambu)

  • @lauraingosi1428
    @lauraingosi1428 Жыл бұрын

    Asante sana promover TV kwa kujitolea kwenu kufanikisha kazi ya Mungu.

  • @deusmiburo8735
    @deusmiburo8735 Жыл бұрын

    Mchungaji Mungu akuongezee miaka ya kuisji ili tuendelee lucina matunda yako, amen!!

  • @marymwasha3878
    @marymwasha3878 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.Nimesikiliza Mahubiri yako kwa kina.Nimejua kuwa ni hakika Mungu anakutumia ili kuharibu mateso yaliyowekwa kwa watu wa Mungu bila kujifahamu.Mungu akutunze sana,na kuimarisha huduma yako.Watu wafunguliwe katika mikatale ya mwovu shetani.

  • @happykazungumenzamenza1277
    @happykazungumenzamenza1277 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi mtumishi wa Mungu kwa kutupa elimu yakutufungua macho

  • @marymatekwa6867
    @marymatekwa6867 Жыл бұрын

    Bwana Yesu Christo apewe sifa na utukufu nikikusalamia mtumishi wa Mungu Kwa uwezo wa Mungu Baba asifiwe Sana Sana nashukuru Mungu aliyekutoa Kwa Giza ili uje kunifahamisha yale nisiyoyajua barikiwa Sana pamoja na Jamii yako, na naomba Kwa mapenzi ya Mungu Baba mafundisho yako, Kanisa lako lifike pande zote duniani nikikuombea afya njema na, nguvu na mamlaka ya kueneza injili ya Yesu Christo, Nina furaha Nyingi naesaongea Sana Ubarikiwe sana Mary kutoka Kenya Lakini wakati huu niko Saudi Arabia God bless you brother Amieli

  • @teklalumalanja1752

    @teklalumalanja1752

    Жыл бұрын

    Tutapataje vitabu? nakitabu Cha kurudisha msukule kipo? 21

  • @christinamwasota1742

    @christinamwasota1742

    Жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe mtumishi was bwana mimi Niko mbeya na napenda sana kujifunza kwako nitapataje vitabu vyako???

  • @user-cp1tc3io3w
    @user-cp1tc3io3w10 ай бұрын

    Shalom Mungu akubariki akutiye nguvu

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi maana unacho Sema ndio ninachopitia Asante kwa maelekezo wa kusimamia hivi vita

  • @jesusgirl9416
    @jesusgirl9416 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Promover na Mchungaji Amiel

  • @rebeccamunyasya6543

    @rebeccamunyasya6543

    Жыл бұрын

    Amen. Mafundisho poa wengi tumekwamia hapo hapo tu!

  • @oellyomondi

    @oellyomondi

    Жыл бұрын

    Jee mchungaji kama mtu anajikuta anapiga miayo wakati wa maombi ni ishara ya mapepo.hii hali unitatiza sana

  • @eliwajadaniford8044

    @eliwajadaniford8044

    Жыл бұрын

    @@oellyomondi pastor hicho kitabu Bei gan

  • @jack-mx8et
    @jack-mx8et Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe mtumishi mafundisho yako nimeyaelewa yananihusu mimi kabisa

  • @kalumunateonest-lc3nn
    @kalumunateonest-lc3nn Жыл бұрын

    Mungu awabaliki mr. And katekella

  • @RoselineNyachwaya
    @RoselineNyachwayaАй бұрын

    Amen

  • @laurasoka760
    @laurasoka7605 ай бұрын

    Amina

  • @irinealex559
    @irinealex559 Жыл бұрын

    Duh Mungu akubariki sana, kuanzia sasa naona mafanikio yangu kuanzia sasa na nitafanya kazi za mikono

  • @pastorypancras9010
    @pastorypancras9010 Жыл бұрын

    Yaani nakukubali sana mchungaji mungu akubaliki sana uzidi kuwepo tupate kukombolewa kutoka kuzimu nawashukuru promover mungu awabaliki sana mungu awe nasi

  • @hellenngecho4893
    @hellenngecho4893 Жыл бұрын

    Wow thanks very much man of God for sure l have leaned something may God bless you🙏🙏

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Жыл бұрын

    Mungu akufunike kwa Mbawa zake mtumishi

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa Bwana Yesu Kristo napokea baraka Mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi yako Amiel

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Жыл бұрын

    Hakika wewe ni rafiki mchungaji.pia wewe ni wa maana sana mbele ya Mungu.

  • @neemashendu

    @neemashendu

    10 ай бұрын

    Amina mtu wamungu NAMI natamsni kufunguliwa nisaidie j jkuomba😊

  • @rehemambilinyi3523
    @rehemambilinyi3523 Жыл бұрын

    Be blessed man of God for good lesson

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Жыл бұрын

    Barikiwa sana Pastor Amieli . Jacktan Barikiwa sana na Audax Barikiwa sana. Ninawapenda Bure

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Amen

  • @sallyeringo33
    @sallyeringo33 Жыл бұрын

    YOU HAVE OPEN MY EYES BE BLESSED

  • @basilisajohn4750
    @basilisajohn4750 Жыл бұрын

    Asante mtumishi Mungu amekufanya kuwa Baraka na daraja la mimi kumpa Yesu Maisha yangu , Ubarikiwe From Manyara Babati Tanzania.

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 Жыл бұрын

    Ameen Mtumishi,Mungu akubariki Sana

  • @adaadaouko3079
    @adaadaouko3079 Жыл бұрын

    God bless you n lift u 🙏 higher n higher 🙏

  • @agneskainga143
    @agneskainga143 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏 nashukuru mungu Kwa ajili yako umenifundisha Mambo mengi Sana ya kiroho

  • @nyarcenter4046
    @nyarcenter4046 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana,Mungu akupe maisha marefu

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Жыл бұрын

    Amina Asante Mtu wa MUNGU

  • @sabrinalazaro950
    @sabrinalazaro950 Жыл бұрын

    Kazi zenu Nzuri sana, nawapenda sana, shuhuda zimenisaidia sana, Barikiwa mch. Amiel katekela.

  • @adilimihinga7873
    @adilimihinga7873 Жыл бұрын

    Ahsante sana 'mchungaji mzalendo'

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni10 ай бұрын

    Amina na Amina

  • @flavianarwebangira6726
    @flavianarwebangira6726 Жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mazuri juu ya kkuvunja mihuri ya kichawi. Tunakipayaje hicho kitabu

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo mema hakika mengi nimejifunza toka kwako

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    AMINA AMINA BARIKIWA Sana Rafiki Yetu

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 Жыл бұрын

    Barikiwa sana pastor naomba maelekezo ya kupata kitabu tafadhali

  • @lilymwasi1221
    @lilymwasi1221 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏 Niko Mombasa uniombe

  • @dianawebala9381
    @dianawebala9381 Жыл бұрын

    Thank you and be blessed

  • @priscahshemkunde7256
    @priscahshemkunde7256 Жыл бұрын

    Barikiwa Sana mchungaji na mungu azidi kukubariki

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 Жыл бұрын

    Mungu akubariki na akulinde kutoka kwa mikono ya adui.

  • @veronicahkhaikwa4929
    @veronicahkhaikwa4929 Жыл бұрын

    Ameen ubarikiwe na promover TV

  • @elwinsimumba8356
    @elwinsimumba8356 Жыл бұрын

    Amen nanina shukuru Sana kwa ujumbe muzuri

  • @jamesngichiri755
    @jamesngichiri755 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana,kitabu nawezaje kukipa nikiwa kenya

  • @tuselacksiman7616
    @tuselacksiman7616 Жыл бұрын

    Asante yesu kwa neema hii hakika sitabaki Kama nilivyo,,, hakika nimekombolewa kwa Damu ya yesu

  • @antoinettendayizeye5884
    @antoinettendayizeye5884 Жыл бұрын

    Asante sana ubarikiwe

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wamungu na promover tv

  • @frankalkadokizale2536
    @frankalkadokizale2536 Жыл бұрын

    AMINAA UBARIKIWE SANAAAAA MTUSHI

  • @mwajumaamuri974
    @mwajumaamuri974 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe , na Mungu atiye nguvu

  • @adaadaouko3079
    @adaadaouko3079 Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @genovevaraphael
    @genovevaraphael Жыл бұрын

    Mchungaji Wangu Mungu akubariki mnomno nimekuwa nikikufuatilia sana nimekupata sana wew unisubiri injili isiyogoshiwa injili ya Yedu

  • @genovevaraphael

    @genovevaraphael

    Жыл бұрын

    Unahubiri

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Жыл бұрын

    Amina mtumishi wa mungu nakufatilia sana nkiwa hapa saudia

  • @ireneachieng5648
    @ireneachieng5648 Жыл бұрын

    God bless you pastor. You have opened our eyes

  • @elizabethisrael4256
    @elizabethisrael4256 Жыл бұрын

    Asante baba Katekela

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Жыл бұрын

    Shalomu watumishi wa Mungu

  • @AmidaCitegetse-fh7ps
    @AmidaCitegetse-fh7ps Жыл бұрын

    Jambo muchungaji munisaidiyeni maombi katika jina la yesu

  • @joycemmari9155
    @joycemmari9155 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Mch.

  • @christinezuma5588
    @christinezuma5588 Жыл бұрын

    Sitamilikiwa na muhuru wa damu katika jina la yesu

  • @roysaxon4870
    @roysaxon4870 Жыл бұрын

    Asante sana mtumish wa Mungu kwa mafundisho is a mazuri, Mungu akubariki na kukutunza.

  • @elizabethmambo771

    @elizabethmambo771

    Жыл бұрын

    Ukokitabu kina patikana wap

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 Жыл бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi.

  • @emanuelmsaky8074
    @emanuelmsaky8074 Жыл бұрын

    Mtumishi ubarikiwe Sana tunapataje kitabu

  • @bernedettenuru4903
    @bernedettenuru4903 Жыл бұрын

    Asante mimi Pia nataka kitabu

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 Жыл бұрын

    God bless you Pastor

  • @kundankiramungure9250

    @kundankiramungure9250

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe mwana wa YESU wakati wote. YESU. Akutunze. Akulinde Mimi. Niko KILIMANJARO. Ni mtumishi karibu Sana

  • @bashongomamlelekwa1777
    @bashongomamlelekwa1777 Жыл бұрын

    Amina kubwa

  • @mwalimubarakajustin745
    @mwalimubarakajustin745 Жыл бұрын

    Shuhuda zako zinakuza kiroho Muchungaji. Naomba Mungu wetu atuzidishie watumishi wa namna hii katika mataifa yote, kwani twaelimishwa zaidi. Ubarikiwe na Bwana, akukumbuke katika haja za moyo wako.

  • @ramazanassani188

    @ramazanassani188

    Жыл бұрын

    Pp

  • @ramazanassani188

    @ramazanassani188

    Жыл бұрын

    Pp

  • @ramazanassani188

    @ramazanassani188

    Жыл бұрын

    Pp

  • @ramazanassani188

    @ramazanassani188

    Жыл бұрын

    Pp

  • @gloryfidelis7857
    @gloryfidelis7857 Жыл бұрын

    Watumishi Mungu awabariki watu wa bariadi tunavipataje vitabu

  • @adaadaouko3079
    @adaadaouko3079 Жыл бұрын

    Amen 🙏 natamani sana 🙏 am watching through Qatar 🇶🇦 doha please help me I need those Books 📚

  • @fayngovi5377
    @fayngovi5377 Жыл бұрын

    Amina ni kweli

  • @nancyokemwa2470
    @nancyokemwa2470 Жыл бұрын

    Good teaching

  • @gahunguleonidas2606
    @gahunguleonidas2606 Жыл бұрын

    Asante sana Mtumishi wa Mungu Mch Katekela kwa kuzifunua sili hizi za kuzimu nimesaidiwa sana na ushuhuda huu na Mungu akubaliki sana. Pia ningeomba ikiwezekana ututumie number yako ya what’s up ili tuwasiliane kwa uraisi, Mungu awe pamoja na wewe milele.

  • @scotiageraz4469
    @scotiageraz4469 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi, napata wapi hicho kitabu? Ni sh. ngapi?

  • @roseurassa8390
    @roseurassa8390 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu nikikufutilia napata amani

  • @heriturya940

    @heriturya940

    Жыл бұрын

    Nitapataje hichokitabu

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Ameeen

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Жыл бұрын

    Mungu akubari sana mtumishi. Hakika nimejengeka kiroho sana kupita wewe .Mungu wetu aonaye sirini akujibu kwa wazi. Umekuwa wa baraka sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.Mungu apanue mipaka yako, ukutumie viwango vya juu kadri na mapenzi yake.Amina .

  • @agnesshawa7219
    @agnesshawa7219 Жыл бұрын

    Mchungaji MUNGU akubariki na akulinde

  • @daudijacob7377
    @daudijacob7377 Жыл бұрын

    Baba ninaomba Uyakemee mapepo yote yanayopinga mwongozo huu katoka Kina la Yesu

  • @zacheauskirathimo
    @zacheauskirathimo10 ай бұрын

    God bless

  • @zacheauskirathimo

    @zacheauskirathimo

    10 ай бұрын

    God bless you man of God amen

  • @PromovertvTz
    @PromovertvTz Жыл бұрын

    KUHUSU KITABU NA JINSI YA KUKIPATA TAFADHALI WASILIANA NA MCHUNGAJI AU PROMOVER TV UTAPATA UTARATIBU. MAGROUP YA MARAFIKI WA MCHUNGAJI KATEKELA BONYEZA LINK KUJOIN:- -GROUP NO.1 BONYEZA chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1CbSjdEGtopP -GROUP NO.2 BONYEZA chat.whatsapp.com/G6ymOcE6bc7IigyFRL1bML KAMA UNASHINDWA KUJOIN AMA KWA LOLOTE UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWA NAMBA HIZI. -Namba ya Mchungaji Katekela ni +255 756 275 511 -Namba ya promover tv ni +255784074462

  • @angelamugoywa4917

    @angelamugoywa4917

    Жыл бұрын

    Bwna yesu naasifiwe

  • @elizabethisrael4256

    @elizabethisrael4256

    Жыл бұрын

    Asante Baba Katekela na Yesu akuzidishie maisha...unatusaidia sana

  • @jamesngichiri755

    @jamesngichiri755

    Жыл бұрын

    Niko kenya nawezaje kikipata kitabu aje

  • @christinezuma5588
    @christinezuma5588 Жыл бұрын

    Amen.

  • @asminetaba253
    @asminetaba253 Жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa mungu ushuhuda huu umenitia nguvu sana mungu akubariki sana nakuombeya maisha marefu

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 Жыл бұрын

    Mbarikiwe sana sana Promove Tv , nabarikiwa sana mafundisho ya Amier Katekela. Lakini naomba mtu saidie kuweka kipindi cha maswali na majibu , maana binafsi nimetuma sana maswali kwenye group lakin sijua ukweli ni upi,

  • @mariamwita8237
    @mariamwita8237 Жыл бұрын

    Ndugu napenda ujue kwamba Imani ni mtu mwenyewe waebarnia 11:6. Soma sasa

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Жыл бұрын

    Ww ni mtu WA maana sana

  • @frorida3106
    @frorida3106 Жыл бұрын

    UBarikiwe

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 Жыл бұрын

    Kinawezaje.kunifkia Kenya na bei gani

  • @roynamwinuka6391
    @roynamwinuka6391 Жыл бұрын

    Ameen

  • @official_albertina
    @official_albertina Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu🙌🙏sasa ivyo vitabu tutavipata aje??

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 Жыл бұрын

    Asnt mch leo nimepata namba yako,, barikiwa sn mtumishi wa Mungu,, uje na mkoa wa SIMIYU jmn tunahitaji huduma yako tupone🙏🙏

  • @agneskainga143
    @agneskainga143 Жыл бұрын

    Iyo kitabu itafika kenya 🇰🇪

  • @vianneymukama6396
    @vianneymukama6396 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi. Naomba kujua vitabu nitavipata wapi? Kwa Dar

  • @ferrymalikioli9857
    @ferrymalikioli9857 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe. Mchungaji Katekela. Swali langu ni hili: Nina ndugu yangu ambaye mme wake ni mchimba migodi sasa siku mmoja mume wake, alileta mganga nyumbani bila ya mke kujua. Na baada ya mmewe kumtambulisha mganga. Yule mganga akatoa maagizo ya kwamba mke avue nguo zote, na baada ya kuwa hivyo bila nguo mbele ya huyu mganga na mumewe, wakamwambia avae nguo. Ila hawakumjulisha chochote wala maana ya ili tukio. Ningeomba ufafanuzi juu ya hili Mtumishi Katekela.

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Жыл бұрын

    Ameeeeeeeen

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 Жыл бұрын

    Bado wapo wanao pinga haya! Mimi binafsi Kuna ujmbe nimepata na nikalifanyia kazi

  • @Nshimirimanajeanine-vh7mz
    @Nshimirimanajeanine-vh7mz2 ай бұрын

    Jambo.nina.itaji.mucungaji.unisayidiye.kwama.ombi.yakijijuwa.wakati.wama.ombi.maramingi.najikuta.nigisimama.kati.kama.ombo.najikuta.vita.ina.inuka.mungu.anitiye.nguvu.asante.sana.kwamusada.tapata

  • @selinamalasi9471
    @selinamalasi9471 Жыл бұрын

    Ningependa kupata vitabu niko nairobi kenya

  • @melisakatu8668
    @melisakatu8668 Жыл бұрын

    UBARIKIWE MTUMISHI WABWANA USHUUDA WAKO UNIJENGA SANAAAA

  • @alfredonyango6429
    @alfredonyango6429 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mchungaji, hizi vitabu vimefika kenya?

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda185111 ай бұрын

    Hapo kwenye muhuri wa majin ni mimi kabisa nimefilisiwa na majini na kuniambia nitakufa ila kwa jina la yesu nitaishi

  • @gilbertsaya
    @gilbertsaya Жыл бұрын

    Am following from Kenya, where can we get the book here in kenya.

  • @mwinzilavincent3774
    @mwinzilavincent3774 Жыл бұрын

    barikiwa sana.. nitumie number ya nairobi nikanunue kitabu

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Жыл бұрын

    Amina sana, je? Haya maombi yanatakiwa kufanyika Kwa mda gani au siku ngapi?.

Келесі