Mch.Katekela:TUMIA MAOMBI NA KANUNI HIZI KUVUNJA MIHURI YA KICHAWI•MUHURI WA 7•MBINU ZA KUJINASUA
KUHUSU KITABU NA JINSI YA KUKIPATA TAFADHALI WASILIANA NA MCHUNGAJI AMA PROMOVER TV UTAPATA UTARATIBU.
MAGROUP YA MARAFIKI WA MCHUNGAJI KATEKELA BONYEZA LINK KUJOIN:-
-GROUP NO.1 BONYEZA chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1...
-GROUP NO.2 BONYEZA chat.whatsapp.com/G6ymOcE6bc7...
KAMA UNASHINDWA KUJOIN AMA KWA LOLOTE UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWA NAMBA HIZI.
-Namba ya Mchungaji Katekela ni +255 756 275 511
-Namba ya promover tv ni +255784074462
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 174
Navunja roho zinazo fatilia maisha yangu katika jina la Yesu.
mtumishi naitanji maombi na hisi nguvu za giza zinanizingila katika maisha yangu naomba usaindishi kimaombi(iruma kutoka nairobi kiambu)
Asante sana promover TV kwa kujitolea kwenu kufanikisha kazi ya Mungu.
Mchungaji Mungu akuongezee miaka ya kuisji ili tuendelee lucina matunda yako, amen!!
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.Nimesikiliza Mahubiri yako kwa kina.Nimejua kuwa ni hakika Mungu anakutumia ili kuharibu mateso yaliyowekwa kwa watu wa Mungu bila kujifahamu.Mungu akutunze sana,na kuimarisha huduma yako.Watu wafunguliwe katika mikatale ya mwovu shetani.
Ubarikiwe sana mtumishi mtumishi wa Mungu kwa kutupa elimu yakutufungua macho
Bwana Yesu Christo apewe sifa na utukufu nikikusalamia mtumishi wa Mungu Kwa uwezo wa Mungu Baba asifiwe Sana Sana nashukuru Mungu aliyekutoa Kwa Giza ili uje kunifahamisha yale nisiyoyajua barikiwa Sana pamoja na Jamii yako, na naomba Kwa mapenzi ya Mungu Baba mafundisho yako, Kanisa lako lifike pande zote duniani nikikuombea afya njema na, nguvu na mamlaka ya kueneza injili ya Yesu Christo, Nina furaha Nyingi naesaongea Sana Ubarikiwe sana Mary kutoka Kenya Lakini wakati huu niko Saudi Arabia God bless you brother Amieli
@teklalumalanja1752
Жыл бұрын
Tutapataje vitabu? nakitabu Cha kurudisha msukule kipo? 21
@christinamwasota1742
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi was bwana mimi Niko mbeya na napenda sana kujifunza kwako nitapataje vitabu vyako???
Shalom Mungu akubariki akutiye nguvu
Ubarikiwe mtumishi maana unacho Sema ndio ninachopitia Asante kwa maelekezo wa kusimamia hivi vita
Mungu akubariki Promover na Mchungaji Amiel
@rebeccamunyasya6543
Жыл бұрын
Amen. Mafundisho poa wengi tumekwamia hapo hapo tu!
@oellyomondi
Жыл бұрын
Jee mchungaji kama mtu anajikuta anapiga miayo wakati wa maombi ni ishara ya mapepo.hii hali unitatiza sana
@eliwajadaniford8044
Жыл бұрын
@@oellyomondi pastor hicho kitabu Bei gan
Bwana Yesu asifiwe mtumishi mafundisho yako nimeyaelewa yananihusu mimi kabisa
Mungu awabaliki mr. And katekella
Amen
Amina
Duh Mungu akubariki sana, kuanzia sasa naona mafanikio yangu kuanzia sasa na nitafanya kazi za mikono
Yaani nakukubali sana mchungaji mungu akubaliki sana uzidi kuwepo tupate kukombolewa kutoka kuzimu nawashukuru promover mungu awabaliki sana mungu awe nasi
Wow thanks very much man of God for sure l have leaned something may God bless you🙏🙏
Mungu akufunike kwa Mbawa zake mtumishi
Amen mtumishi wa Bwana Yesu Kristo napokea baraka Mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi yako Amiel
Hakika wewe ni rafiki mchungaji.pia wewe ni wa maana sana mbele ya Mungu.
@neemashendu
10 ай бұрын
Amina mtu wamungu NAMI natamsni kufunguliwa nisaidie j jkuomba😊
Be blessed man of God for good lesson
Barikiwa sana Pastor Amieli . Jacktan Barikiwa sana na Audax Barikiwa sana. Ninawapenda Bure
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Amen
YOU HAVE OPEN MY EYES BE BLESSED
Asante mtumishi Mungu amekufanya kuwa Baraka na daraja la mimi kumpa Yesu Maisha yangu , Ubarikiwe From Manyara Babati Tanzania.
Ameen Mtumishi,Mungu akubariki Sana
God bless you n lift u 🙏 higher n higher 🙏
Amen 🙏🙏 nashukuru mungu Kwa ajili yako umenifundisha Mambo mengi Sana ya kiroho
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana,Mungu akupe maisha marefu
Amina Asante Mtu wa MUNGU
Kazi zenu Nzuri sana, nawapenda sana, shuhuda zimenisaidia sana, Barikiwa mch. Amiel katekela.
Ahsante sana 'mchungaji mzalendo'
Amina na Amina
Asante kwa mafundisho mazuri juu ya kkuvunja mihuri ya kichawi. Tunakipayaje hicho kitabu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo mema hakika mengi nimejifunza toka kwako
AMINA AMINA BARIKIWA Sana Rafiki Yetu
Barikiwa sana pastor naomba maelekezo ya kupata kitabu tafadhali
Amen 🙏🙏🙏 Niko Mombasa uniombe
Thank you and be blessed
Barikiwa Sana mchungaji na mungu azidi kukubariki
Mungu akubariki na akulinde kutoka kwa mikono ya adui.
Ameen ubarikiwe na promover TV
Amen nanina shukuru Sana kwa ujumbe muzuri
Ubarikiwe sana,kitabu nawezaje kukipa nikiwa kenya
Asante yesu kwa neema hii hakika sitabaki Kama nilivyo,,, hakika nimekombolewa kwa Damu ya yesu
Asante sana ubarikiwe
Ubarikiwe sana mtumishi wamungu na promover tv
AMINAA UBARIKIWE SANAAAAA MTUSHI
Bwana Yesu asifiwe , na Mungu atiye nguvu
Amen Amen
Mchungaji Wangu Mungu akubariki mnomno nimekuwa nikikufuatilia sana nimekupata sana wew unisubiri injili isiyogoshiwa injili ya Yedu
@genovevaraphael
Жыл бұрын
Unahubiri
Amina mtumishi wa mungu nakufatilia sana nkiwa hapa saudia
God bless you pastor. You have opened our eyes
Asante baba Katekela
Shalomu watumishi wa Mungu
Jambo muchungaji munisaidiyeni maombi katika jina la yesu
Mungu akubariki Mch.
Sitamilikiwa na muhuru wa damu katika jina la yesu
Asante sana mtumish wa Mungu kwa mafundisho is a mazuri, Mungu akubariki na kukutunza.
@elizabethmambo771
Жыл бұрын
Ukokitabu kina patikana wap
Barikiwa sana Mtumishi.
Mtumishi ubarikiwe Sana tunapataje kitabu
Asante mimi Pia nataka kitabu
God bless you Pastor
@kundankiramungure9250
Жыл бұрын
Ubarikiwe mwana wa YESU wakati wote. YESU. Akutunze. Akulinde Mimi. Niko KILIMANJARO. Ni mtumishi karibu Sana
Amina kubwa
Shuhuda zako zinakuza kiroho Muchungaji. Naomba Mungu wetu atuzidishie watumishi wa namna hii katika mataifa yote, kwani twaelimishwa zaidi. Ubarikiwe na Bwana, akukumbuke katika haja za moyo wako.
@ramazanassani188
Жыл бұрын
Pp
@ramazanassani188
Жыл бұрын
Pp
@ramazanassani188
Жыл бұрын
Pp
@ramazanassani188
Жыл бұрын
Pp
Watumishi Mungu awabariki watu wa bariadi tunavipataje vitabu
Amen 🙏 natamani sana 🙏 am watching through Qatar 🇶🇦 doha please help me I need those Books 📚
Amina ni kweli
Good teaching
Asante sana Mtumishi wa Mungu Mch Katekela kwa kuzifunua sili hizi za kuzimu nimesaidiwa sana na ushuhuda huu na Mungu akubaliki sana. Pia ningeomba ikiwezekana ututumie number yako ya what’s up ili tuwasiliane kwa uraisi, Mungu awe pamoja na wewe milele.
Barikiwa sana mtumishi, napata wapi hicho kitabu? Ni sh. ngapi?
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu nikikufutilia napata amani
@heriturya940
Жыл бұрын
Nitapataje hichokitabu
Ameeen
Mungu akubari sana mtumishi. Hakika nimejengeka kiroho sana kupita wewe .Mungu wetu aonaye sirini akujibu kwa wazi. Umekuwa wa baraka sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.Mungu apanue mipaka yako, ukutumie viwango vya juu kadri na mapenzi yake.Amina .
Mchungaji MUNGU akubariki na akulinde
Baba ninaomba Uyakemee mapepo yote yanayopinga mwongozo huu katoka Kina la Yesu
God bless
@zacheauskirathimo
10 ай бұрын
God bless you man of God amen
KUHUSU KITABU NA JINSI YA KUKIPATA TAFADHALI WASILIANA NA MCHUNGAJI AU PROMOVER TV UTAPATA UTARATIBU. MAGROUP YA MARAFIKI WA MCHUNGAJI KATEKELA BONYEZA LINK KUJOIN:- -GROUP NO.1 BONYEZA chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1CbSjdEGtopP -GROUP NO.2 BONYEZA chat.whatsapp.com/G6ymOcE6bc7IigyFRL1bML KAMA UNASHINDWA KUJOIN AMA KWA LOLOTE UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWA NAMBA HIZI. -Namba ya Mchungaji Katekela ni +255 756 275 511 -Namba ya promover tv ni +255784074462
@angelamugoywa4917
Жыл бұрын
Bwna yesu naasifiwe
@elizabethisrael4256
Жыл бұрын
Asante Baba Katekela na Yesu akuzidishie maisha...unatusaidia sana
@jamesngichiri755
Жыл бұрын
Niko kenya nawezaje kikipata kitabu aje
Amen.
Asante sana mtumishi wa mungu ushuhuda huu umenitia nguvu sana mungu akubariki sana nakuombeya maisha marefu
Mbarikiwe sana sana Promove Tv , nabarikiwa sana mafundisho ya Amier Katekela. Lakini naomba mtu saidie kuweka kipindi cha maswali na majibu , maana binafsi nimetuma sana maswali kwenye group lakin sijua ukweli ni upi,
Ndugu napenda ujue kwamba Imani ni mtu mwenyewe waebarnia 11:6. Soma sasa
Ww ni mtu WA maana sana
UBarikiwe
Kinawezaje.kunifkia Kenya na bei gani
Ameen
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu🙌🙏sasa ivyo vitabu tutavipata aje??
Asnt mch leo nimepata namba yako,, barikiwa sn mtumishi wa Mungu,, uje na mkoa wa SIMIYU jmn tunahitaji huduma yako tupone🙏🙏
Iyo kitabu itafika kenya 🇰🇪
Barikiwa mtumishi. Naomba kujua vitabu nitavipata wapi? Kwa Dar
Bwana Yesu asifiwe. Mchungaji Katekela. Swali langu ni hili: Nina ndugu yangu ambaye mme wake ni mchimba migodi sasa siku mmoja mume wake, alileta mganga nyumbani bila ya mke kujua. Na baada ya mmewe kumtambulisha mganga. Yule mganga akatoa maagizo ya kwamba mke avue nguo zote, na baada ya kuwa hivyo bila nguo mbele ya huyu mganga na mumewe, wakamwambia avae nguo. Ila hawakumjulisha chochote wala maana ya ili tukio. Ningeomba ufafanuzi juu ya hili Mtumishi Katekela.
Ameeeeeeeen
Bado wapo wanao pinga haya! Mimi binafsi Kuna ujmbe nimepata na nikalifanyia kazi
Jambo.nina.itaji.mucungaji.unisayidiye.kwama.ombi.yakijijuwa.wakati.wama.ombi.maramingi.najikuta.nigisimama.kati.kama.ombo.najikuta.vita.ina.inuka.mungu.anitiye.nguvu.asante.sana.kwamusada.tapata
Ningependa kupata vitabu niko nairobi kenya
UBARIKIWE MTUMISHI WABWANA USHUUDA WAKO UNIJENGA SANAAAA
Ubarikiwe mchungaji, hizi vitabu vimefika kenya?
Hapo kwenye muhuri wa majin ni mimi kabisa nimefilisiwa na majini na kuniambia nitakufa ila kwa jina la yesu nitaishi
Am following from Kenya, where can we get the book here in kenya.
barikiwa sana.. nitumie number ya nairobi nikanunue kitabu
Amina sana, je? Haya maombi yanatakiwa kufanyika Kwa mda gani au siku ngapi?.