Part14_UKIONA DALILI HIZI TAMBUA NYOTA YAKO IMEKAMATILIWA|ALIYEEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

4,500$ inahitajika ili kufanikisha safari ya mtumishi wa Mungu Aston Mbaya nchini Kenya.Tafadhali wezesha safari hii ya injili kwa kuchangia pesa yoyote uliyonayo.Tumia namba hizi kuchangia ama kwa mawasiliano.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
$ 4,500 is needed to make the journey of God's servant of God Aston Mbaya to Kenya. Please facilitate this gospel journey by donating whatever money you have. Use these numbers to donate/communication.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
KUJIUNGA NA GROUP MAALUM LA WHAT'SAPP LA SAFARI YA ASTON MBAYA NCHINI KENYA, BONYEZA LINK HII chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Kama unashindwa kujiunga mwenyewe tuma kwa What'sApp neno "Niunge Promover tv Kenya" kwenda No. +255784074462 .Kama unahitaji kuungwa Tafadhali hakikisha umetuma ujumbe kwenye What'sApp usitume kwa ujumbe wa kawaida yaani sms.
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 209

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oi2 ай бұрын

    MUNGU akubariki sana kwa hio maneno hata Mimi Kuna wakati niliambiwa na mtumishi wa Mungu sikuwa nafaa kuwa nateseka nilikuwa nafaa niwe Europe but nimeelewa hio mambo

  • @anitasamson7850
    @anitasamson78502 жыл бұрын

    Haya ni mafundisho mazito sana na yandani sana, Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Tutaomba mpaka kieleweke. Luka 10:19

  • @mwavithaniyburana932
    @mwavithaniyburana9323 күн бұрын

    Barikiwa sana na Bwana kwamafundisho mazuri

  • @happykajeli5453
    @happykajeli54532 жыл бұрын

    Asante mch amiel damu ya Yesu iendelee kukufunika umenigusa kwenye ndoa nahitaji ukombozi

  • @dokasa9176
    @dokasa91762 жыл бұрын

    Kwa kila jambo Mungu Analo sababu litende,ni Mungu mwenyewe aliruhusu shetani akatuma yale mapepo yakakuchukua kuzimu hili kisha baadaye akutoe huku uje kutufundisha,na lengo lake tujue yaliyo rohoni na jinsi ya kuomba

  • @miriamtutorial

    @miriamtutorial

    2 жыл бұрын

    Very true

  • @dorkasjohn688

    @dorkasjohn688

    Жыл бұрын

    Yes

  • @irenek7280
    @irenek72802 жыл бұрын

    Hey mtumishi sichoki kukuskiliza ...mafundisho yako n ya Hali ya njuu saana waiting for next part how take back our stars

  • @barakakubalyenda683
    @barakakubalyenda6832 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, tunaomba uandike vitabu vya material ya shuhuda hizo. Asante sana.

  • @nicholaskiragu2797
    @nicholaskiragu27972 жыл бұрын

    Thanks alot Pastor.. you are revealing alot of things we didn't know. And you are helping us on how to fight our spiritual battles.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55092 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu hakika nimengi tumejifunza tusiojua kazi nzuri Mola awazidishie

  • @helenbahati8038
    @helenbahati80382 жыл бұрын

    Ahsante Mungu kwa kumpeleka mtumishi wako kule ili azijue siri za kuzimu na kuja kutufunulia mtunze ee BWANA. Barikiwa sana mtumishi Jactan kwa kazi njema 🇰🇪

  • @laurenciarobert6953

    @laurenciarobert6953

    Жыл бұрын

    AMINA, ABARIKIWE SANA.

  • @frankinspired6486
    @frankinspired64862 жыл бұрын

    God's blessings to Amiel na Jacktan. Sasa naelewa kwanini waganga utizama mkono wasome nyota. Naninasubiri hapo kwa kurudusha nyota, na pia mitume na nanabii wa uongo..

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari81602 жыл бұрын

    Asante kwa ushuuda huu,,apa kwa nyota kwakweli Mungu saidiya familia yetu kwakweli maisha tunayo yapitia tume ibiwa nyota Mungu tusaidiye

  • @bahatijohn1958

    @bahatijohn1958

    Жыл бұрын

    Na Mungu anaenda kuwasahidia Kwa jina la Yesu kristo

  • @patricianyale
    @patricianyale Жыл бұрын

    Juzi nliota wanataka kukata kidole changu Cha mamlaka nkapigana nao mpk nkapata nafasi yakutoroka leo nimepata maana yake Asante Sana mchungaji

  • @glodynkondo9800
    @glodynkondo98002 жыл бұрын

    God bless u pastor kwa hushuda wako gisi umesema pembe ya kusikiya nikweli mimi mama mukwe wangu Ana nisikiya sana nikiseme kitu kweli anafata

  • @janetndonye7709
    @janetndonye7709 Жыл бұрын

    asante sana kama mimi nina biashara sasa nina miezi mbili zijafungua nikiamua kwenda mwili utaki

  • @prosmutonyi3706
    @prosmutonyi37062 жыл бұрын

    You are a blessing . Asante sana brother.

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika9072 жыл бұрын

    🔥Aduwi mudjipangeeeeee madjeshi ya YESU inafufukaaaa🔥🔥❤️❤️❤️💃💃

  • @tamarali8325
    @tamarali83252 жыл бұрын

    Pastor Amieli Mungu Aendelee kukutunza Barikiwa sana. Jacktan Mungu akulinde na Akubariki sana

  • @noelashaoona
    @noelashaoona2 жыл бұрын

    Asante sana we need more of this

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs88142 жыл бұрын

    You have helped us alot n may God bless you

  • @kashindiibrahim9788
    @kashindiibrahim9788 Жыл бұрын

    Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho amboyo, yametusaidia ndani ya maisha yetu. Na zaidi ya yote, naitaji msaada wa maombi yako kwangu.

  • @emmaaugustine5606
    @emmaaugustine5606 Жыл бұрын

    Hakika Mungu ni mwaminifu uwa anafanya kazi na watu wale walodharauliwa umwinua mtu toka mavumbini na kumketisha na wakuu hakika Mungu hakutie nguvu uzidi kutupa siri hizi

  • @siwemaful
    @siwemaful2 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu mungu akubariki sana kwa haya mafundisho

  • @apostlerebeccamunguaniinul7073
    @apostlerebeccamunguaniinul7073 Жыл бұрын

    Hakika Mungu ana watu wake ambao ana funulia siri zilizo fichwa Yesu Kristo aka sema na enda mbiguni nita watumia roho mutakatifu naye ata wafunulia mengi kuliko niliyo wa funulia mimi barikiwa mutumishi wa Mungu

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi80502 жыл бұрын

    Asante sana kwa kutuelimisha sana barikiweni sana mtumishi na promover tv

  • @Grace-zw5jj
    @Grace-zw5jj Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.

  • @isayanyingi6622
    @isayanyingi66222 жыл бұрын

    Be blessed the whole team eimee

  • @magrethtuma5843
    @magrethtuma5843 Жыл бұрын

    Kwakweli kila linalotokea ni mpango wa Mungu,huyu pastor mungu akimpeleka kuzimu na kufanya kazi huko ili baadae aje afichue sir za shetani,man tusingeweza kujua haya yote Mungu ambariki sana

  • @neemalekey4138

    @neemalekey4138

    3 ай бұрын

    Umewaza kama mimi

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54002 жыл бұрын

    Jamani leo umenifurahisha sana mchungaji from oman

  • @aloycemary1968
    @aloycemary19682 жыл бұрын

    Ahsante kwa maarifa

  • @charigrace5993
    @charigrace59932 жыл бұрын

    May the LORD fill and supply to all this vessels good work. Tich maber

  • @millicentochieng5740

    @millicentochieng5740

    Жыл бұрын

    🙏

  • @kakadkarima2448
    @kakadkarima24482 жыл бұрын

    Mchungaji ni more fire. Umetisha sana

  • @DignaMeela-gs8vi
    @DignaMeela-gs8vi9 ай бұрын

    Mchungaji please nyoa nywele zako kawaida unatuchanganya🙏

  • @janetnzai9866
    @janetnzai98662 жыл бұрын

    Bwana akubariki sana Pastor

  • @abrahamjuma9761
    @abrahamjuma9761 Жыл бұрын

    Asifiwe,Yesu kristo mtumishi,naomba nijue nivipi yaya nyota yanaweza kurudishwa ajee....

  • @catemacharia8499
    @catemacharia84992 жыл бұрын

    Following so much 🇰🇪🇰🇪

  • @sallymumia8425
    @sallymumia84252 жыл бұрын

    O Lord Jesus Christ continue,using pastor,Amiel,and the whole promover Tv,more blessings, teaching us, what Jesus Christ,wanted us to know,in this time.

  • @mpesastatements2265

    @mpesastatements2265

    Жыл бұрын

    Amen

  • @rachelnasimiyu4296
    @rachelnasimiyu42962 жыл бұрын

    Mungu awabariki kwa kutuelimisha

  • @BernadoAbeid-mi7cs
    @BernadoAbeid-mi7cs Жыл бұрын

    Thanks for..... Respect for you

  • @dadaz4653
    @dadaz46532 жыл бұрын

    Yan nimeelewa kuna mtu Yan anahama mikoa Hadi siyo vzr,, kwao kigoma,,akaja dar kakaa ,karud kwao tena katoka huko kwenda tanga, katoka huko kaenda Moro , katoka huko kaenda kigoma, ,katoka kaenda tena Mwanza ,mara geita mara kwao tena mara Moro mara kwao saiv yupo tabora

  • @auntyjossycounsels
    @auntyjossycounsels Жыл бұрын

    Thank you so much for this. It is the truth

  • @aivanalexander
    @aivanalexander Жыл бұрын

    Ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu

  • @colethakahemela3713
    @colethakahemela3713 Жыл бұрын

    Be blessed,nimejua kitu leo

  • @antlucifermovement7276
    @antlucifermovement7276 Жыл бұрын

    Asante sana duu ndo maana niliteseka sana

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @deusmiburo8735
    @deusmiburo8735 Жыл бұрын

    Mungu akuongezee uhai mtumishi wa Mungu.

  • @mindenlightenment
    @mindenlightenment2 жыл бұрын

    Your a blessing 🤍🙌🙌😂 , thank you jacktan and pastor Amiel

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @hakizimanaphilemon9968
    @hakizimanaphilemon99682 жыл бұрын

    Kuliko tukimbilie kujitakasa ,tutakimbilia kutafuta nyota zetu,jiadhari sana.Kristo ndio mfalme,tujitakase tutakua mbali na shetani ndugu atatukimbia

  • @vumiliawambula1716

    @vumiliawambula1716

    2 жыл бұрын

    Amen mtumishi hio nikweli kumbi kila mtu Ana ndowa

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula37852 жыл бұрын

    Asante YESU, bila YESU haya maisha sijui yangekuwaje ?

  • @AbelLucas-ho3be
    @AbelLucas-ho3be2 ай бұрын

    Amina sana

  • @user-po1vi4du6h
    @user-po1vi4du6h11 ай бұрын

    Balikiwaa sana baba me nahitaji maombi yako niliota nimechukuliwa kidole changu cha katikati mkono wa kushoto sielewi hata

  • @Esperancia-jo8pm
    @Esperancia-jo8pm Жыл бұрын

    Mbarikiwe sana tunaelimika sana, naomba mawasiliano ya huyo mt.

  • @jackswat
    @jackswat Жыл бұрын

    Ahsante promover tv, lakini ninapata picha ya kusudi la Mungu kwa mpendwa wetu huyu - Mungu alimkusudia kama alivyofanya kwa mtume Paulo - amemtenga na ulimwengu huo, akamuokoa ili atufunulie na kuudhihirisha ufalme huo wa giza katika zama hizi zilizojawa na uharibifu mbaya - ni zama za hatari. Namshukuru Mungu kwa kutuletea neema hii, Jina la Bwana libarikiwe.

  • @patriciafabiani1938
    @patriciafabiani1938 Жыл бұрын

    Asante mtumishi

  • @rusimackems9820
    @rusimackems98202 жыл бұрын

    Duu eee Yesu tufungue, yaani me siamini ni mambo mapya kwangu, narudia kusikiliza mara mbilimbili.

  • @user-tb6uz5zy4b
    @user-tb6uz5zy4b7 ай бұрын

    Asam Asante Bwana

  • @salimaechessa8933
    @salimaechessa89332 жыл бұрын

    Barikiweni kwa mafundisho haya

  • @mkaryenyoka6853
    @mkaryenyoka68532 жыл бұрын

    Asante Kwa mwendelezo

  • @rehemaibrahim4448
    @rehemaibrahim44483 ай бұрын

    Amina

  • @danieljonkey-vh8fc
    @danieljonkey-vh8fc Жыл бұрын

    Mtumishi ubarikiwe kwa kutufungua

  • @ayetafatuu8715
    @ayetafatuu87152 жыл бұрын

    Siumenifungua mtumishi amina

  • @makoye8388
    @makoye83882 жыл бұрын

    Asante Sana pastor, kwenye pembe ya uongozi umenipatia maana naanzisha kilimo vizuri ila mwishimo mambo yanakuwa sio mazuri. Nitafuatilia mada ijayo ili nikomboe pembe yangu ya uongozi.

  • @rahabnkya8276

    @rahabnkya8276

    2 жыл бұрын

    Asante BABA kwa mafundisho . Jacktan hingera!

  • @maloleproduction1769
    @maloleproduction17692 жыл бұрын

    Nimepona Sana leo

  • @rosemarry2020
    @rosemarry20202 жыл бұрын

    Aminaaaaaa

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m4 ай бұрын

    Mungu wa kweli ukube kibali ishi miaka mingi ili usaidie watu

  • @veronicahmui6419
    @veronicahmui64192 жыл бұрын

    Tueleze pia jinsi ya kujitambua.... yaani kujua nyota yangu

  • @cecyaghabu3211
    @cecyaghabu32112 жыл бұрын

    Asanteni but tunaamini next episode ataongelea namna ya kurudisha nyota zilizoubiwa as alianza kutaka kuongelea ila mtangazaji alimbadirishia topic Mtumishi.

  • @zeldamzena9295

    @zeldamzena9295

    2 жыл бұрын

    Jacktan nae anatuondolea uhondo😆😆😆

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    @@zeldamzena9295 " sio jacktan walla mtumishi anapewa mafunuo na ROHO MTAKATIFU kwahyo cha kufundisha anapewa

  • @zeldamzena9295

    @zeldamzena9295

    2 жыл бұрын

    Asantee ndugu

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina53812 жыл бұрын

    Asante watumishi wa Mungu aliye hai Jactan na Amiel Katekela

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @simonlaizer6261
    @simonlaizer6261 Жыл бұрын

    Ameeen 🙏🙏

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92182 жыл бұрын

    AMINAAA.

  • @rebeccaomar3523
    @rebeccaomar35232 жыл бұрын

    Mafunzo mazuri sana

  • @noridamuhami3855

    @noridamuhami3855

    Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi naomba namba yako

  • @saradavirginia-kd7tn
    @saradavirginia-kd7tn Жыл бұрын

    Ni kweli mm niliolewa tulipita ktk shida mblmbl lakini aliniacha ghafula

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa77582 жыл бұрын

    N kweli mtumishi wa mungu aombe ndoa pia mm nko hivyo sija alewa

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri2572 жыл бұрын

    be blessed pastor

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92182 жыл бұрын

    AMINAA, NIPENDA SANA MFANO WAKO WA MAGUFULI.

  • @lilymwasi1221
    @lilymwasi12213 ай бұрын

    Amen

  • @egospeltz9486
    @egospeltz94862 жыл бұрын

    Halleluya

  • @tinokaroli3853
    @tinokaroli385310 ай бұрын

    ASA MIMI NAWEZA KUKUNJA VYOTE NA KINABAKI HICHO CHA MWISHO KIKO WIMA NA SIO KUSIMAMA TU HADI NAKICHEZESHA CHENYEWE NA VYOTE VIMEJIKUNJA

  • @margaretogega8836
    @margaretogega88362 жыл бұрын

    Nambari ya su ya Mch. Amiel

  • @ashuramuhammad8813
    @ashuramuhammad88135 ай бұрын

    Ameena

  • @maloleproduction1769
    @maloleproduction17692 жыл бұрын

    Nafurahia mafundisho yako

  • @motelutula3380
    @motelutula33802 жыл бұрын

    Mtumishi tunaomba utueleze pia kuhusu ndoto! Na ndoto za uharibifu zinakua zipo namna gani

  • @godfreymautta5089
    @godfreymautta50898 ай бұрын

    Nakusuta

  • @arthurmaleke8245
    @arthurmaleke8245 Жыл бұрын

    Jamani sasa tufanyeje jamani maana ni Mimi kabisaaaa

  • @TingaMedia
    @TingaMedia2 жыл бұрын

    Tunazidi Kujifunza ....!!

  • @EliasHerman-qy4gt
    @EliasHerman-qy4gtАй бұрын

    Asant San mchungaj maneno hayo na ushuhuda huo umenigusa San baba yangu Ana dalili hizo naomba nisaidie kumuombea

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 Жыл бұрын

    Amina kwakweli nmepata maarifa hapa za kumshinda shetani 🔥🔥

  • @carendeborah5687
    @carendeborah5687 Жыл бұрын

    Star of marriage Star of possession Star of God's favour Star of good health Kingly star Na tushafunzwa hizi vitu na pastor Fulani Kenya.

  • @paschazianestorymatunda5972
    @paschazianestorymatunda5972 Жыл бұрын

    Watu wamedanganywa sana kuhusu nyota zao kwakweli

  • @sussynasimiyu8467
    @sussynasimiyu84672 жыл бұрын

    Amen Amen amen mungu akubariki mtumishi Asante kwa mafundisho poa, mungu akupe guvu ya kufanya kazi, naomba namba yako ya what'sapp pia tunaweza kuongea mengi na sio ya mdandao

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari81602 жыл бұрын

    Namba zote za mchungaji nime zitafuta kwenye WhatsApp sija mupata, pia na group lapili limeisha jaa

  • @wambuimwangi5123
    @wambuimwangi5123 Жыл бұрын

    Good teachings but kindly tell us how we can restore the stars (nyota)

  • @stanlymaingi1065
    @stanlymaingi10652 жыл бұрын

    Kutoka Kenya kwa kweli umeogea vizuri nyota ya mtu ndio yeye make Mimi naendelea kushikwa na uoga nikiona watu ata kama ni mtoto naogopa niombee please

  • @ok-hm3ph

    @ok-hm3ph

    Жыл бұрын

    ?..,

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54002 жыл бұрын

    Jamani nina swali mimi mwanangu wakwanza ni mwanaume lkn alipozaliwa ana vidole vyote lkn ulikuja upepo waajabu uka unga mlango ukabana kidole kidogo kikakatika fundo moja kikatoka kabisa kimaajabu namlango nili wekea jiwe mlango

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    Pole

  • @hasanipoy3976

    @hasanipoy3976

    2 жыл бұрын

    swali haieleweki

  • @margaretakoth6150
    @margaretakoth6150 Жыл бұрын

    Nisaidie wachawi wali chukua nyota yangu.

  • @We2k7
    @We2k7 Жыл бұрын

    Sasa Baba yoooh Vidore vyote sinaaaaaa Basi nakusubiliya virudu Kukupitiya

  • @ruthouma9449
    @ruthouma9449 Жыл бұрын

    Mchungaji Niko na swali mtoto wangu ulikuwa top five darasani lakini sahii yuko karibu na mkia shida iko wapi na nifanyeje

  • @madopriyan6576
    @madopriyan65762 жыл бұрын

    Amen nauliza mtu akilala akimka asubuhi kayolewa hio inakuaje napia Kujikomboa inakuaje naomba kijibiwa tafathar

  • @heritier5119

    @heritier5119

    2 жыл бұрын

    Omba Sana kataa kemea kabisa hapo soon utachukuliwa

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 Жыл бұрын

    Mtumishi katekela kuna kaka yangu alimshika babangu mdogo akimchanja kwa mkono... alikua na biashara vizuri saa hii amesambaratika amekua mlevi ata hajielewi

  • @asnathlaizer2126
    @asnathlaizer21262 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu nina swali kuna mtu alienda kwa mganga miaka ya nyuma kdg akachanjwa ni kama miaka 20 iliyopita sasa ameokoka lakini machanjo bado anayo mwilini msaada tafadhali.

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Hizo chale ni rada ya wachawi,kwahyo anatakiwa aende kwa mchungaji wake

Келесі