Part14_UKIONA DALILI HIZI TAMBUA NYOTA YAKO IMEKAMATILIWA|ALIYEEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI
4,500$ inahitajika ili kufanikisha safari ya mtumishi wa Mungu Aston Mbaya nchini Kenya.Tafadhali wezesha safari hii ya injili kwa kuchangia pesa yoyote uliyonayo.Tumia namba hizi kuchangia ama kwa mawasiliano.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
$ 4,500 is needed to make the journey of God's servant of God Aston Mbaya to Kenya. Please facilitate this gospel journey by donating whatever money you have. Use these numbers to donate/communication.
M-Pessa: +255766294335
Airtel Money: +255784074462
WesternUnion/MoneyGram:Jacktan Arbogast Msafiri
City:Mwanza
Country:Tanzania
KUJIUNGA NA GROUP MAALUM LA WHAT'SAPP LA SAFARI YA ASTON MBAYA NCHINI KENYA, BONYEZA LINK HII chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Kama unashindwa kujiunga mwenyewe tuma kwa What'sApp neno "Niunge Promover tv Kenya" kwenda No. +255784074462 .Kama unahitaji kuungwa Tafadhali hakikisha umetuma ujumbe kwenye What'sApp usitume kwa ujumbe wa kawaida yaani sms.
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 209
MUNGU akubariki sana kwa hio maneno hata Mimi Kuna wakati niliambiwa na mtumishi wa Mungu sikuwa nafaa kuwa nateseka nilikuwa nafaa niwe Europe but nimeelewa hio mambo
Haya ni mafundisho mazito sana na yandani sana, Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Tutaomba mpaka kieleweke. Luka 10:19
Barikiwa sana na Bwana kwamafundisho mazuri
Asante mch amiel damu ya Yesu iendelee kukufunika umenigusa kwenye ndoa nahitaji ukombozi
Kwa kila jambo Mungu Analo sababu litende,ni Mungu mwenyewe aliruhusu shetani akatuma yale mapepo yakakuchukua kuzimu hili kisha baadaye akutoe huku uje kutufundisha,na lengo lake tujue yaliyo rohoni na jinsi ya kuomba
@miriamtutorial
2 жыл бұрын
Very true
@dorkasjohn688
Жыл бұрын
Yes
Hey mtumishi sichoki kukuskiliza ...mafundisho yako n ya Hali ya njuu saana waiting for next part how take back our stars
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, tunaomba uandike vitabu vya material ya shuhuda hizo. Asante sana.
Thanks alot Pastor.. you are revealing alot of things we didn't know. And you are helping us on how to fight our spiritual battles.
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu hakika nimengi tumejifunza tusiojua kazi nzuri Mola awazidishie
Ahsante Mungu kwa kumpeleka mtumishi wako kule ili azijue siri za kuzimu na kuja kutufunulia mtunze ee BWANA. Barikiwa sana mtumishi Jactan kwa kazi njema 🇰🇪
@laurenciarobert6953
Жыл бұрын
AMINA, ABARIKIWE SANA.
God's blessings to Amiel na Jacktan. Sasa naelewa kwanini waganga utizama mkono wasome nyota. Naninasubiri hapo kwa kurudusha nyota, na pia mitume na nanabii wa uongo..
Asante kwa ushuuda huu,,apa kwa nyota kwakweli Mungu saidiya familia yetu kwakweli maisha tunayo yapitia tume ibiwa nyota Mungu tusaidiye
@bahatijohn1958
Жыл бұрын
Na Mungu anaenda kuwasahidia Kwa jina la Yesu kristo
Juzi nliota wanataka kukata kidole changu Cha mamlaka nkapigana nao mpk nkapata nafasi yakutoroka leo nimepata maana yake Asante Sana mchungaji
God bless u pastor kwa hushuda wako gisi umesema pembe ya kusikiya nikweli mimi mama mukwe wangu Ana nisikiya sana nikiseme kitu kweli anafata
asante sana kama mimi nina biashara sasa nina miezi mbili zijafungua nikiamua kwenda mwili utaki
You are a blessing . Asante sana brother.
🔥Aduwi mudjipangeeeeee madjeshi ya YESU inafufukaaaa🔥🔥❤️❤️❤️💃💃
Pastor Amieli Mungu Aendelee kukutunza Barikiwa sana. Jacktan Mungu akulinde na Akubariki sana
Asante sana we need more of this
You have helped us alot n may God bless you
Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho amboyo, yametusaidia ndani ya maisha yetu. Na zaidi ya yote, naitaji msaada wa maombi yako kwangu.
Hakika Mungu ni mwaminifu uwa anafanya kazi na watu wale walodharauliwa umwinua mtu toka mavumbini na kumketisha na wakuu hakika Mungu hakutie nguvu uzidi kutupa siri hizi
Asante sana mtumishi wa Mungu mungu akubariki sana kwa haya mafundisho
Hakika Mungu ana watu wake ambao ana funulia siri zilizo fichwa Yesu Kristo aka sema na enda mbiguni nita watumia roho mutakatifu naye ata wafunulia mengi kuliko niliyo wa funulia mimi barikiwa mutumishi wa Mungu
Asante sana kwa kutuelimisha sana barikiweni sana mtumishi na promover tv
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Be blessed the whole team eimee
Kwakweli kila linalotokea ni mpango wa Mungu,huyu pastor mungu akimpeleka kuzimu na kufanya kazi huko ili baadae aje afichue sir za shetani,man tusingeweza kujua haya yote Mungu ambariki sana
@neemalekey4138
3 ай бұрын
Umewaza kama mimi
Jamani leo umenifurahisha sana mchungaji from oman
Ahsante kwa maarifa
May the LORD fill and supply to all this vessels good work. Tich maber
@millicentochieng5740
Жыл бұрын
🙏
Mchungaji ni more fire. Umetisha sana
Mchungaji please nyoa nywele zako kawaida unatuchanganya🙏
Bwana akubariki sana Pastor
Asifiwe,Yesu kristo mtumishi,naomba nijue nivipi yaya nyota yanaweza kurudishwa ajee....
Following so much 🇰🇪🇰🇪
O Lord Jesus Christ continue,using pastor,Amiel,and the whole promover Tv,more blessings, teaching us, what Jesus Christ,wanted us to know,in this time.
@mpesastatements2265
Жыл бұрын
Amen
Mungu awabariki kwa kutuelimisha
Thanks for..... Respect for you
Yan nimeelewa kuna mtu Yan anahama mikoa Hadi siyo vzr,, kwao kigoma,,akaja dar kakaa ,karud kwao tena katoka huko kwenda tanga, katoka huko kaenda Moro , katoka huko kaenda kigoma, ,katoka kaenda tena Mwanza ,mara geita mara kwao tena mara Moro mara kwao saiv yupo tabora
Thank you so much for this. It is the truth
Ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Be blessed,nimejua kitu leo
Asante sana duu ndo maana niliteseka sana
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mungu akuongezee uhai mtumishi wa Mungu.
Your a blessing 🤍🙌🙌😂 , thank you jacktan and pastor Amiel
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Kuliko tukimbilie kujitakasa ,tutakimbilia kutafuta nyota zetu,jiadhari sana.Kristo ndio mfalme,tujitakase tutakua mbali na shetani ndugu atatukimbia
@vumiliawambula1716
2 жыл бұрын
Amen mtumishi hio nikweli kumbi kila mtu Ana ndowa
Asante YESU, bila YESU haya maisha sijui yangekuwaje ?
Amina sana
Balikiwaa sana baba me nahitaji maombi yako niliota nimechukuliwa kidole changu cha katikati mkono wa kushoto sielewi hata
Mbarikiwe sana tunaelimika sana, naomba mawasiliano ya huyo mt.
Ahsante promover tv, lakini ninapata picha ya kusudi la Mungu kwa mpendwa wetu huyu - Mungu alimkusudia kama alivyofanya kwa mtume Paulo - amemtenga na ulimwengu huo, akamuokoa ili atufunulie na kuudhihirisha ufalme huo wa giza katika zama hizi zilizojawa na uharibifu mbaya - ni zama za hatari. Namshukuru Mungu kwa kutuletea neema hii, Jina la Bwana libarikiwe.
Asante mtumishi
Duu eee Yesu tufungue, yaani me siamini ni mambo mapya kwangu, narudia kusikiliza mara mbilimbili.
Asam Asante Bwana
Barikiweni kwa mafundisho haya
Asante Kwa mwendelezo
Amina
Mtumishi ubarikiwe kwa kutufungua
Siumenifungua mtumishi amina
Asante Sana pastor, kwenye pembe ya uongozi umenipatia maana naanzisha kilimo vizuri ila mwishimo mambo yanakuwa sio mazuri. Nitafuatilia mada ijayo ili nikomboe pembe yangu ya uongozi.
@rahabnkya8276
2 жыл бұрын
Asante BABA kwa mafundisho . Jacktan hingera!
Nimepona Sana leo
Aminaaaaaa
Mungu wa kweli ukube kibali ishi miaka mingi ili usaidie watu
Tueleze pia jinsi ya kujitambua.... yaani kujua nyota yangu
Asanteni but tunaamini next episode ataongelea namna ya kurudisha nyota zilizoubiwa as alianza kutaka kuongelea ila mtangazaji alimbadirishia topic Mtumishi.
@zeldamzena9295
2 жыл бұрын
Jacktan nae anatuondolea uhondo😆😆😆
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
@@zeldamzena9295 " sio jacktan walla mtumishi anapewa mafunuo na ROHO MTAKATIFU kwahyo cha kufundisha anapewa
@zeldamzena9295
2 жыл бұрын
Asantee ndugu
Asante watumishi wa Mungu aliye hai Jactan na Amiel Katekela
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Ameeen 🙏🙏
AMINAAA.
Mafunzo mazuri sana
@noridamuhami3855
Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi naomba namba yako
Ni kweli mm niliolewa tulipita ktk shida mblmbl lakini aliniacha ghafula
N kweli mtumishi wa mungu aombe ndoa pia mm nko hivyo sija alewa
be blessed pastor
AMINAA, NIPENDA SANA MFANO WAKO WA MAGUFULI.
Amen
Halleluya
ASA MIMI NAWEZA KUKUNJA VYOTE NA KINABAKI HICHO CHA MWISHO KIKO WIMA NA SIO KUSIMAMA TU HADI NAKICHEZESHA CHENYEWE NA VYOTE VIMEJIKUNJA
Nambari ya su ya Mch. Amiel
Ameena
Nafurahia mafundisho yako
Mtumishi tunaomba utueleze pia kuhusu ndoto! Na ndoto za uharibifu zinakua zipo namna gani
Nakusuta
Jamani sasa tufanyeje jamani maana ni Mimi kabisaaaa
Tunazidi Kujifunza ....!!
Asant San mchungaj maneno hayo na ushuhuda huo umenigusa San baba yangu Ana dalili hizo naomba nisaidie kumuombea
Amina kwakweli nmepata maarifa hapa za kumshinda shetani 🔥🔥
Star of marriage Star of possession Star of God's favour Star of good health Kingly star Na tushafunzwa hizi vitu na pastor Fulani Kenya.
Watu wamedanganywa sana kuhusu nyota zao kwakweli
Amen Amen amen mungu akubariki mtumishi Asante kwa mafundisho poa, mungu akupe guvu ya kufanya kazi, naomba namba yako ya what'sapp pia tunaweza kuongea mengi na sio ya mdandao
Namba zote za mchungaji nime zitafuta kwenye WhatsApp sija mupata, pia na group lapili limeisha jaa
Good teachings but kindly tell us how we can restore the stars (nyota)
Kutoka Kenya kwa kweli umeogea vizuri nyota ya mtu ndio yeye make Mimi naendelea kushikwa na uoga nikiona watu ata kama ni mtoto naogopa niombee please
@ok-hm3ph
Жыл бұрын
?..,
Jamani nina swali mimi mwanangu wakwanza ni mwanaume lkn alipozaliwa ana vidole vyote lkn ulikuja upepo waajabu uka unga mlango ukabana kidole kidogo kikakatika fundo moja kikatoka kabisa kimaajabu namlango nili wekea jiwe mlango
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Pole
@hasanipoy3976
2 жыл бұрын
swali haieleweki
Nisaidie wachawi wali chukua nyota yangu.
Sasa Baba yoooh Vidore vyote sinaaaaaa Basi nakusubiliya virudu Kukupitiya
Mchungaji Niko na swali mtoto wangu ulikuwa top five darasani lakini sahii yuko karibu na mkia shida iko wapi na nifanyeje
Amen nauliza mtu akilala akimka asubuhi kayolewa hio inakuaje napia Kujikomboa inakuaje naomba kijibiwa tafathar
@heritier5119
2 жыл бұрын
Omba Sana kataa kemea kabisa hapo soon utachukuliwa
Mtumishi katekela kuna kaka yangu alimshika babangu mdogo akimchanja kwa mkono... alikua na biashara vizuri saa hii amesambaratika amekua mlevi ata hajielewi
Asante mtumishi wa Mungu nina swali kuna mtu alienda kwa mganga miaka ya nyuma kdg akachanjwa ni kama miaka 20 iliyopita sasa ameokoka lakini machanjo bado anayo mwilini msaada tafadhali.
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Hizo chale ni rada ya wachawi,kwahyo anatakiwa aende kwa mchungaji wake