Part17_ACD(Ufanye nini kuimarisha mamlaka ya imani)|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 373

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende97402 жыл бұрын

    Asiye kuamini akalale,atuachiye YESU wetu aendelee kutuponya kupitiyaa Amieli katekera,ubarikiwe Jactan ,kazi iendelee.mlingoti chuma bendera chuma.

  • @officialmubytz1076

    @officialmubytz1076

    2 жыл бұрын

    Sahihiii

  • @neemamosha8715

    @neemamosha8715

    2 жыл бұрын

    Mungu Azidi Kukupigania Hakika kupitia ushuhuda huu Mungu amenifundisha Mengi niliyokuwa najiuliza sana, Tunashukuru kwa Maarifaa hayaa

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen34442 жыл бұрын

    kweli pastor sio kazi raisi kama tunavyo fikiria ila kwa uwezo wa Mungu tunaweza yote katika yeye atutiaye nguvu nimekuelewa

  • @sharonwalubengo9507
    @sharonwalubengo95072 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua vitu vingi Sana from day one niki mu watch tu pap nika mpenda Sana God bless you pastor amieli

  • @user-cp1tc3io3w

    @user-cp1tc3io3w

    8 ай бұрын

    Nashukuru Mungu akubariki kwakutufundisha

  • @Flavy_ao

    @Flavy_ao

    3 ай бұрын

    Very sharp and smart guy, na ndo sababu adui alimtumia sana.

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84902 жыл бұрын

    Gwajima Kila weekend anazunguka Kila mikoa ya Tanzania akitoa misukule mapangoni the man has great faith

  • @emmanuelsamwel741

    @emmanuelsamwel741

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    2 жыл бұрын

    Hakika Gwajima Jasusii la Mbinguni .Yesu Awatienguvu

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    @@lucykapinga369 yaaaaap masomo yake ni fayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @apostleleshan2183
    @apostleleshan21832 жыл бұрын

    Tangu nianze kumsikilza mtumishi huyu nimeinuka sana kiroho . Mbarikiwe sana

  • @emanuelmargwe7087

    @emanuelmargwe7087

    2 жыл бұрын

    Hii channel iko vzr Sana. Kuna video nyingine inaitwa milango 351 ya kuzimu. Aise Kuna ushuuda mzuri sana

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula48702 жыл бұрын

    Mtumishi achana nao Mtumikie YESU KRISTU aliyekuita kwa utumishi Mwanadamu asikusumbuwe. Atengeneze naye ya kwake, Tuambie sisi tunakusikiliza Songa mbele 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @marymatekwa6867
    @marymatekwa6867 Жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe Sana mtumishi wa Mungu nakutakia nguvu kabisa kabisa kabisa ya kufanya kasi ya Mungu, may your life be prolonged natamani Sana kukutuma Ma Wewe ana Kwa ana nimekufuatilia Sana yote unasema nimeuona Nina Shida nahitaji unisaidie mimi niko Saudi Arabia kasi ya nyumba, ni mkenya WA western amani ya Bwana mtumishi endelea mbele ktk jina Bwana wetu YESU CHRISTO Ubarikiwe pia wewe Sana sana

  • @elizabethopere2784
    @elizabethopere27842 жыл бұрын

    Amen achana na watu wa ajabu mtumishi hata yesu alidhihakiwa...hawa ni binadamu tu

  • @shilpakhtar7197
    @shilpakhtar7197 Жыл бұрын

    AMEN tangu nianze kuskiza huu ushuhuda siko km nilivyo kuwa pstr MUNGU akubariki na azidi kukulinda na mishale yote🙏

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula48702 жыл бұрын

    Mtumishi achana nao hao BWANA YESU ALIYEHAI amekutuma kwa watu wake Tunafunguliwa tunapokea Endelea kutufundisha, MUNGU ALIYEHAI akubariki na aendelee kukusimamia na PTOMOVERTV mtumishi Jactan mbarikiwe sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤

  • @mariakalama3014
    @mariakalama30147 ай бұрын

    Amazing story May god’s blessings and continue to preach the gospel to the world through Jesus Christ 🙏

  • @samwelsimon6842
    @samwelsimon68422 жыл бұрын

    kiukweli Mtumishi wa Mungu umenikomboa maisha yangu maana nilikuwa nimedumbukia kwenye dhambi na mitego ya shetani. Mungu wa mbinguni awabariki sana Promover tv na mzidi kutenda kazi ya Bwana . Amen

  • @barryhezron2764
    @barryhezron27642 жыл бұрын

    Asiyekuamini mchawi!!na ukweli wanaujua,anajitahidi kupotosha umma,amechelewa

  • @lindamongi6315
    @lindamongi63152 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwasimamia na kuwaongoza katika kuitangaza injili, piga injili Mtumishi kazi iendelee..

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    2 жыл бұрын

    Am blessed mutumishi wa mungu

  • @bupemwakihaba-lj2fb
    @bupemwakihaba-lj2fb Жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu ,kweli wewe umeokoka ,mungu akufunike na damu ya yesu iwe juu yako

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas54912 жыл бұрын

    shetani ni roho na anatumia mwli ili kukuvunja moyo.mtumish hyo aliekoment achana nae endelea kupiga injili you are serving the living God

  • @magedidasameenipasta6438
    @magedidasameenipasta6438 Жыл бұрын

    Mch.mngu wambiguni akubariki sana unazidi kutufanya tumshuhudie yesu aliyekutoa huko Imani nyingi zinaimarishwa ! Enderea shujaa wabwana usikatishwe tamaa

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael79652 жыл бұрын

    Songa mbele mch Amiel wakati wa bwana ukifika hakuna wa kuzuia.asante Mungu kwa upendo wako kwetu👏👏👏

  • @nelsonmgubali4672
    @nelsonmgubali46722 жыл бұрын

    Inatia MOYO Sana shuhuda hii Hongera Sana kaka jacktani msafili kwa tafiti nzuri

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @tuntufyegwamaka2404
    @tuntufyegwamaka24042 жыл бұрын

    Mwenye masikio na asikie Mtumishi wa Mungu tunakuombea usikate tamaa na hao wanaopinga wasijue wanamsaidia shetani. Injili yako inasaidia watu wengi sanaa Mungu akubaliki

  • @modestarmuchiri5386
    @modestarmuchiri53862 жыл бұрын

    Anayeona wafanya Kiki naye aanze yake..... Mbona binadam tunakasolo kiasi hichi..... Mungu akujalie neema ufike viwango vikubwa....... Mtumishi

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84902 жыл бұрын

    Unanifunza mengi Sana haswa Kwa Mimi ninae jiandaa kuenda kuihubiri injili ya YESU na kuzikomboa nafsi zilizopotea zikapate kurudi kwa YESU na kuingia mbinguni

  • @johnmkama8074
    @johnmkama80742 жыл бұрын

    Jamayangu unapiga kwa uchungu kwani ulikuwa pabaya zaidi hivo bira kutumia neno la mamraka watanzania wamesha shikwa wengi Mimi nakuonea huruma sana kwani hawataki watu wajue juu ya huo ufalme wagiza ulivo teka makanisa VP kuhusu mama wa Mungu kwenye ule ufalme aliitwaje?tusaisie ili tujitwgue mapema Amina

  • @emmaculatenjoroge4698
    @emmaculatenjoroge46982 жыл бұрын

    Groly to almighty God I believe together with you man ofGod

  • @demaa2183
    @demaa2183 Жыл бұрын

    Naishiwa na maneno ya kuongea....barikiwa mchungaji...nazi tuombee tuongezewe na nguvu ya imani zaidi na zaidi....kutoka Kenya

  • @airrising5632
    @airrising5632 Жыл бұрын

    Be blessed mtumishi Jesus Messiah thank you Umenibariki

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai42502 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu wee songa mbele ,kusema ukweli sio kazi rahisi lazima utapingwa,Bwana Yesu akutetee

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka43192 жыл бұрын

    Nawapenda sana. Nasubiri hiyo clip yenu na Omari kwani Omar nimejifunza sana kupitia yeye

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын

    Ahsante sana major, Waliokaa ktk giza kuu sasa wameona nuru ya uzima wa milele . BWANA akutunze na kujitukuza ndani yako man of God

  • @tamarali8325
    @tamarali83252 жыл бұрын

    Mungu Awalinde kwa Jina La Yesu. Pastor Amieli Barikiwa sana. Kaka Jacktan Barikiwa sana

  • @isayamashimango7872
    @isayamashimango78723 ай бұрын

    Mungu azidi kukubariki mchungaji uduma ihendelee.

  • @margaretngugi7444
    @margaretngugi7444 Жыл бұрын

    Thank you, Jesus. Wow powerful...Jesus all the way.

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Жыл бұрын

    Nenda Nguruka na kilinge kimwone Bwana Yesu.

  • @zawadimalecela3448
    @zawadimalecela34482 жыл бұрын

    Karibu sana tunangoja kwa hamu na shauku kubwa ya Kristo.

  • @tatumluv6054
    @tatumluv60542 жыл бұрын

    Barikiwa sana mchungaji maana umenijenga shuhuda huu umebadilisha maisha ya watu wengi sana

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Жыл бұрын

    Nakuelewa pastor katekela, kumbe ndo maana tuliweza kumkomboa ndugu yetu mmoja, akakombolewa, alikuwa mlevi amehasi kbs Imani, tulifunga na kukaa miguuni mwa Mungu siku 3

  • @lokitosanya4972
    @lokitosanya49722 жыл бұрын

    Another part man of God am following you from the beginning amen

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess38462 жыл бұрын

    Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU wambinguni 🙏🙏🙏 MUNGU wambinguni azidi kukuinua kiwango hadi kingine 🙏

  • @edwardnjuguna4960
    @edwardnjuguna4960 Жыл бұрын

    Mungu akumbariki kwa kazi unayo fanya tunazidi kuongeza imani

  • @user-xw5lq7pg6u
    @user-xw5lq7pg6u11 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w5 ай бұрын

    Tunakupenda na tunakuamini mchungaji,wanaokupinga usibishane nao,acha Yesu Kristo akufunike mtumishi 🙏

  • @user-in6eg5np7l
    @user-in6eg5np7l7 ай бұрын

    Hii ndio maana ya watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, ukifanikiwa kusikia hizi shuhuda lazima upate maarifa ya kuku vusha

  • @benjaminkabebo6581
    @benjaminkabebo65812 жыл бұрын

    Asante ndugu Litimie neno la Mungu Luka 12:2 Tutawabomoa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 Жыл бұрын

    Amina amina kwakweli Mungu akubariki sana mtumishi kwa huduma hii 🔥🔥🔥🙏

  • @ipyanadanny9959
    @ipyanadanny99592 жыл бұрын

    Nimejifunza vitu vingi sana kwako mtumishi

  • @edwinjohnsonkambaine208
    @edwinjohnsonkambaine2082 жыл бұрын

    Ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu. Naomba tujulishe mbinu wanazotumia kubadilisha nguvu zao. Kama wakiona nimewashinda kwa namna fulani

  • @igmndetitv309
    @igmndetitv3092 жыл бұрын

    Kweli umenifungua binafsi ufaham sana na Mungu aendelee kukutumia kwa viwango Ameni

  • @jovinjones4777
    @jovinjones47772 жыл бұрын

    Mtumishi Amiel Mungu akulinde sana, shuhuda kubwa sana hizi

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi80502 жыл бұрын

    Jactan ,nauliza hivi siku hizi kuna viti ,site ya mgogo ni virefu kama vya malkia siku hizi ,viko hata makanisani watumishi wanavikalia ,na kupita mkuu ,anaufahamu juu ya hivi huku Kenya 🇰🇪 viko sana kwa Church sana

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub8 ай бұрын

    Najiisi na barikiwa sana na hushuuda huu asante sana Mungu wangu niepuche na hatayi ya hii dunia

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter61062 жыл бұрын

    HAKIKA YESU AMEJITWALIA MTAUWA WAKE MUNGU WA MBINGUNI ALIYE HAI NA MWAMINIFU AKUBARIKI NA KUKULINDA SIKU ZOTE MCH AMIELI

  • @tumainnyagawatz3007
    @tumainnyagawatz30072 жыл бұрын

    Mungu akuwezeshe na kukupa ulinzi uifanye kazi yake mengi tunajifunza na Mimi naamini atanifungua kabisa.amina

  • @evaodero2138
    @evaodero21382 жыл бұрын

    Am so much blessed man of God emieli, may our good God protect n bless you abundantly

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    2 жыл бұрын

    Mutumishi wa mungu mambo ya watu yasikutishe songa mbele na wenye tunaamini, hii ushuhuda ni ya kipekee lazima upigwe vita, mungu ndie atakuelewa be blessed

  • @owikesibonike
    @owikesibonike Жыл бұрын

    Sisi Tunakuelewa Tunapata Mabadiliko na Nguvu Mpya.. asiekuelewa Tunamuombea MUNGU amfungue ufahamu Kwa Jina La YESU..

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku87182 жыл бұрын

    Amen Amen ubarikiwe sana kwa kumrudia Yesu

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka2 жыл бұрын

    Hehee tunakuombea uende mchungaji nawao waokolewe kama wewe neno la Mungu linasema Mungu metupa roho yaujsiri sio yauoga sasa Mungu azidi kukujaza roho wake

  • @kacerawamami1209
    @kacerawamami12092 жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mchungaji...Kila jambo linalotekea lina kusudi lake. Sifa na utukufu kwake Mfalme Yesu Kristu. Wachawi wote mshindwe kwa jina la Mfalme Yesu Kristu. Asante kwa kusaidia wa 🇰🇪 na misukule itarudi

  • @rhemaupendo5716
    @rhemaupendo57162 жыл бұрын

    Mchungaji amieli kwa kweli Mungu akubariki dana kwa moyo wa unyenyekevu Mungu amekupa karama hiyo itunze umei uliwa sana baba

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa77582 жыл бұрын

    AMEN AMEN neno la Yesu kristo liende mbele mungu awe pamoja na nyinyi

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa67022 жыл бұрын

    Mtumishi Amiel wewe mungu akutunze uendele kutuubiria , mafundisho yako ni moto moto

  • @ericodhiambo1968
    @ericodhiambo19682 жыл бұрын

    Mchungaji mungu akuinue Sana Ila naomba utufunze kuhusu manabii DA uwongo

  • @RoseSimoni-hg4zd
    @RoseSimoni-hg4zd6 ай бұрын

    Mtumishi mungu akutunze naomba uje morogoro utusaidie

  • @pauloismail5266
    @pauloismail5266 Жыл бұрын

    Paster asante sana kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki sana.

  • @irenek7280
    @irenek72802 жыл бұрын

    Naendelea kubarikiwa ashante Kwa kufichua hizi Siri

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga71332 жыл бұрын

    Barikiwa sana sana, Hata Yesu alitemewa mate , alidhihakiwa kwa kila namna lakini Hakuacha kazi yake ya Ukombozi , Naamin Mungu anakusudi na wewe kwa wateule wake , Amekutuma ili wateule wake tusipotee . Barikiwa mno.

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka2 жыл бұрын

    Ni kweli mtumishi wewe Mungu amekutuma kwa kweli sasa wao wnataka kukuzima lakini aliekuchagua kuokoa watu ni Mungu na hawawezi kukupta teena hee Mungu ni mwem kweli mi nafurahia sana sana na siku ingine kweli mimi nawalika kitale kenya mrudi tena muendeleee kuokoa wengi

  • @aidaa8253
    @aidaa82532 жыл бұрын

    Amen ubarikiwe mtumishi

  • @JoyfulGod
    @JoyfulGod Жыл бұрын

    God bless you man of God.

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu6 ай бұрын

    mtumishi nabii hapati heshima kwao huyo ni wa tanzania,sisi wakenya tunakuamini tunamuona Mungu kupitia kwako,usichoke mtumishi endelea mbele na Mungu akutie nguvu,promover team msichoke kuchangamana na mtumishi injili isonge mbele

  • @jovinjones4777
    @jovinjones47772 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana. Yesu Kristu akulinde.

  • @yakobomkristo872

    @yakobomkristo872

    Жыл бұрын

    Siyo Kristu No, Ni 👉 Kristo

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila51422 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi kazi unayoifanya nikubwa sana

  • @musakasingo594
    @musakasingo5942 жыл бұрын

    Hongera Sana kwa ushuhuda mzuri Sana, waliookoka jifunzeni

  • @marypanwark8132
    @marypanwark8132 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu tokea nikufuatilie hata mimi nimeinuka viwango vingine...

  • @scholasticabuyika6883
    @scholasticabuyika68832 жыл бұрын

    AMEEEEN AMEEEEN AMEEEEN, mtumishi wa mungu, Umenifundisha kitu katika ulimwengu wa Roho. Mungu akubariki sana na akutende mema mtumishi wa mungu Pastor Jacktan .

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @ernestmghanga8348
    @ernestmghanga8348 Жыл бұрын

    God bless u amieli umenifungua macho kweli mungu akubariki ninamrudia mungu shetani amenifunga mda mrefu

  • @alicefikirini6570
    @alicefikirini65702 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji...unatufungua macho kweli

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74942 жыл бұрын

    YESU Yuko pamoja nawe Mtumishi

  • @letisiabudabya4030
    @letisiabudabya4030 Жыл бұрын

    Nafurahi napoona watu was Mungu wanatoka utumwani jaman ubarikiwe sana Mchungaji.

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa61812 жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu, nikusalimu kwa jina la Yesu Bwana asifiwe, kulingana na mm,kamatulivio binadamu hatupendi ukweli, najua wanataka uogope ndio usikamilishe kazi ya Mungu aliye kutuma, nakukumbusha kua usife moyo, ww nimti wenye matunda usiogope mawe, endelea kuaimulia makuu ya Mungu ,ili mioyo ya wengi ipate kupona, nitakufata hadi umalize,na siku moja naomba mungu nitakuja siku nitakuja nikuone kwakua nahitaji msahada wako 🇰🇪🇰🇪🙏Amen

  • @massawegod5942

    @massawegod5942

    2 жыл бұрын

    🙏🙏amiina

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Góód póínt

  • @RebecaMaloda-xx2qm
    @RebecaMaloda-xx2qm7 ай бұрын

    Amina Mungu akulinde

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84902 жыл бұрын

    Mimi sikujui Mimi ni Mkenya lakini kwa Yale maneno mazito unayo ongea kuhusu kuzimu Mimi na kuamuni kabisa mtumishi achane nae usipoteze mda kujibishanae nae sisi tupo hapo tuna subiri uhondo

  • @rtp9010
    @rtp90102 жыл бұрын

    Upo vizuri sana mtumishi Amiel

  • @bashongomamlelekwa1777
    @bashongomamlelekwa17772 жыл бұрын

    Amen Mungu akubariki.

  • @salomekemunto1373
    @salomekemunto13732 жыл бұрын

    AMEN AMEN AMEN! Mchungaji Amiel tafadhali husitiswe umetumwa hapa kwetu Kenya ukomboe so misukure katika Jina la Yesu Kristo. Na kupitia usuhuda wako wengine waokolewe na Damu ya Yesu.

  • @mangapaul2455
    @mangapaul24552 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana na ushududa huu Bwana Yesu akulinde mch. Katekela.

  • @upendojoseph6930
    @upendojoseph69302 жыл бұрын

    Amina pastor, Amieli katekela naona unanihubiri mimi tu,Mungu akubariki

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa77582 жыл бұрын

    AMEN AMEN jina la Yesu liende mbele AMEN

  • @prudencesumbane2886
    @prudencesumbane28862 жыл бұрын

    Mch usivunjwe nguvu na comments ya ma agents wakuzimu , wana kundi kubwa, watakufatiliya munjiya tofauti, ionekane izosiri zakuzimu niuongo, tunaamini ni kweli , kwatarifa ya habari , Yesu haya wayi shindwa, siri zilisha toka ingeeee 💪💪💪🤪🤣🔥🔥🔥🔥

  • @neemamarko176
    @neemamarko1762 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 Жыл бұрын

    Mch Amiel usitetereke fanya kaz aliyokutuma MUNGU,,anayesema unatafuta Kiki yeye ndo anaitafuta,,kwa yote uliyoyaeleza hd leo kuna cha kujifunza kwa mwenye kuelewa kupitia wewe mchungaji ataelewa asiyetaka ataeleweshwa na roho mtakatifu🙏🙏

  • @gnssamboshikalile6036
    @gnssamboshikalile60362 жыл бұрын

    Aah asante Yesu kutuletea wakuupindua ulimwemgu kwetu Africa .

  • @livinhillary9804
    @livinhillary98042 жыл бұрын

    Barikiwa sana tumishi nimebarikiwa kwa kukusikiliza

  • @happykajeli5453
    @happykajeli54532 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako tupo pamoja

  • @nadialadouce4770
    @nadialadouce47702 жыл бұрын

    Amen amen mutumishi wa bwana mungu nimukubwa sana nimebarikia

  • @mishinema8719
    @mishinema87192 жыл бұрын

    Hawo nmajeti wa kuzimu wasikusumbue mtumishi mungu yupamoja nawe

  • @gracemiyombo5642
    @gracemiyombo5642 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mungu azidi kukutetea.

  • @byamungulusambo2635
    @byamungulusambo26352 жыл бұрын

    Safi sana mungu akubariki sana kweli

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai11942 жыл бұрын

    Mungu tusaidie. sikuhizi ni vigumu sana kupata watu wakukuombea kufunga na kuomba kwa ajili ya mtu mwingine .

  • @Star-qf7ls
    @Star-qf7ls2 жыл бұрын

    This man is a great blessing, Ohooo I pray for him 🙏

  • @neema123moris4

    @neema123moris4

    2 жыл бұрын

    Sana nmeamini shetani hachukuagi vilaza, ana upeo wa juu Sana, vitu anavyovifundisha vimelitesa Sana kanisa kwa muda mrefu. Hizi ni siri za wokovu hakika. Neema ya Mungu izidiyo isikupungukie Pastor Amiel.

  • @sayunikasimiri509
    @sayunikasimiri5092 жыл бұрын

    Amina amina

Келесі