Part17_ACD(Ufanye nini kuimarisha mamlaka ya imani)|USHUHUDA WA ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 373
Asiye kuamini akalale,atuachiye YESU wetu aendelee kutuponya kupitiyaa Amieli katekera,ubarikiwe Jactan ,kazi iendelee.mlingoti chuma bendera chuma.
@officialmubytz1076
2 жыл бұрын
Sahihiii
@neemamosha8715
2 жыл бұрын
Mungu Azidi Kukupigania Hakika kupitia ushuhuda huu Mungu amenifundisha Mengi niliyokuwa najiuliza sana, Tunashukuru kwa Maarifaa hayaa
kweli pastor sio kazi raisi kama tunavyo fikiria ila kwa uwezo wa Mungu tunaweza yote katika yeye atutiaye nguvu nimekuelewa
Huyu jamaa anajua vitu vingi Sana from day one niki mu watch tu pap nika mpenda Sana God bless you pastor amieli
@user-cp1tc3io3w
8 ай бұрын
Nashukuru Mungu akubariki kwakutufundisha
@Flavy_ao
3 ай бұрын
Very sharp and smart guy, na ndo sababu adui alimtumia sana.
Gwajima Kila weekend anazunguka Kila mikoa ya Tanzania akitoa misukule mapangoni the man has great faith
@emmanuelsamwel741
2 жыл бұрын
Kabisa
@lucykapinga369
2 жыл бұрын
Hakika Gwajima Jasusii la Mbinguni .Yesu Awatienguvu
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
@@lucykapinga369 yaaaaap masomo yake ni fayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tangu nianze kumsikilza mtumishi huyu nimeinuka sana kiroho . Mbarikiwe sana
@emanuelmargwe7087
2 жыл бұрын
Hii channel iko vzr Sana. Kuna video nyingine inaitwa milango 351 ya kuzimu. Aise Kuna ushuuda mzuri sana
Mtumishi achana nao Mtumikie YESU KRISTU aliyekuita kwa utumishi Mwanadamu asikusumbuwe. Atengeneze naye ya kwake, Tuambie sisi tunakusikiliza Songa mbele 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Bwana yesu asifiwe Sana mtumishi wa Mungu nakutakia nguvu kabisa kabisa kabisa ya kufanya kasi ya Mungu, may your life be prolonged natamani Sana kukutuma Ma Wewe ana Kwa ana nimekufuatilia Sana yote unasema nimeuona Nina Shida nahitaji unisaidie mimi niko Saudi Arabia kasi ya nyumba, ni mkenya WA western amani ya Bwana mtumishi endelea mbele ktk jina Bwana wetu YESU CHRISTO Ubarikiwe pia wewe Sana sana
Amen achana na watu wa ajabu mtumishi hata yesu alidhihakiwa...hawa ni binadamu tu
AMEN tangu nianze kuskiza huu ushuhuda siko km nilivyo kuwa pstr MUNGU akubariki na azidi kukulinda na mishale yote🙏
Mtumishi achana nao hao BWANA YESU ALIYEHAI amekutuma kwa watu wake Tunafunguliwa tunapokea Endelea kutufundisha, MUNGU ALIYEHAI akubariki na aendelee kukusimamia na PTOMOVERTV mtumishi Jactan mbarikiwe sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
Amazing story May god’s blessings and continue to preach the gospel to the world through Jesus Christ 🙏
kiukweli Mtumishi wa Mungu umenikomboa maisha yangu maana nilikuwa nimedumbukia kwenye dhambi na mitego ya shetani. Mungu wa mbinguni awabariki sana Promover tv na mzidi kutenda kazi ya Bwana . Amen
Asiyekuamini mchawi!!na ukweli wanaujua,anajitahidi kupotosha umma,amechelewa
Mungu azidi kuwasimamia na kuwaongoza katika kuitangaza injili, piga injili Mtumishi kazi iendelee..
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Am blessed mutumishi wa mungu
Mungu akubariki mtumishi wa mungu ,kweli wewe umeokoka ,mungu akufunike na damu ya yesu iwe juu yako
shetani ni roho na anatumia mwli ili kukuvunja moyo.mtumish hyo aliekoment achana nae endelea kupiga injili you are serving the living God
Mch.mngu wambiguni akubariki sana unazidi kutufanya tumshuhudie yesu aliyekutoa huko Imani nyingi zinaimarishwa ! Enderea shujaa wabwana usikatishwe tamaa
Songa mbele mch Amiel wakati wa bwana ukifika hakuna wa kuzuia.asante Mungu kwa upendo wako kwetu👏👏👏
Inatia MOYO Sana shuhuda hii Hongera Sana kaka jacktani msafili kwa tafiti nzuri
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Mwenye masikio na asikie Mtumishi wa Mungu tunakuombea usikate tamaa na hao wanaopinga wasijue wanamsaidia shetani. Injili yako inasaidia watu wengi sanaa Mungu akubaliki
Anayeona wafanya Kiki naye aanze yake..... Mbona binadam tunakasolo kiasi hichi..... Mungu akujalie neema ufike viwango vikubwa....... Mtumishi
Unanifunza mengi Sana haswa Kwa Mimi ninae jiandaa kuenda kuihubiri injili ya YESU na kuzikomboa nafsi zilizopotea zikapate kurudi kwa YESU na kuingia mbinguni
Jamayangu unapiga kwa uchungu kwani ulikuwa pabaya zaidi hivo bira kutumia neno la mamraka watanzania wamesha shikwa wengi Mimi nakuonea huruma sana kwani hawataki watu wajue juu ya huo ufalme wagiza ulivo teka makanisa VP kuhusu mama wa Mungu kwenye ule ufalme aliitwaje?tusaisie ili tujitwgue mapema Amina
Groly to almighty God I believe together with you man ofGod
Naishiwa na maneno ya kuongea....barikiwa mchungaji...nazi tuombee tuongezewe na nguvu ya imani zaidi na zaidi....kutoka Kenya
Be blessed mtumishi Jesus Messiah thank you Umenibariki
Mtumishi wa Mungu wee songa mbele ,kusema ukweli sio kazi rahisi lazima utapingwa,Bwana Yesu akutetee
Nawapenda sana. Nasubiri hiyo clip yenu na Omari kwani Omar nimejifunza sana kupitia yeye
Ahsante sana major, Waliokaa ktk giza kuu sasa wameona nuru ya uzima wa milele . BWANA akutunze na kujitukuza ndani yako man of God
Mungu Awalinde kwa Jina La Yesu. Pastor Amieli Barikiwa sana. Kaka Jacktan Barikiwa sana
Mungu azidi kukubariki mchungaji uduma ihendelee.
Thank you, Jesus. Wow powerful...Jesus all the way.
Nenda Nguruka na kilinge kimwone Bwana Yesu.
Karibu sana tunangoja kwa hamu na shauku kubwa ya Kristo.
Barikiwa sana mchungaji maana umenijenga shuhuda huu umebadilisha maisha ya watu wengi sana
Nakuelewa pastor katekela, kumbe ndo maana tuliweza kumkomboa ndugu yetu mmoja, akakombolewa, alikuwa mlevi amehasi kbs Imani, tulifunga na kukaa miguuni mwa Mungu siku 3
Another part man of God am following you from the beginning amen
Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU wambinguni 🙏🙏🙏 MUNGU wambinguni azidi kukuinua kiwango hadi kingine 🙏
Mungu akumbariki kwa kazi unayo fanya tunazidi kuongeza imani
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye hai
Tunakupenda na tunakuamini mchungaji,wanaokupinga usibishane nao,acha Yesu Kristo akufunike mtumishi 🙏
Hii ndio maana ya watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, ukifanikiwa kusikia hizi shuhuda lazima upate maarifa ya kuku vusha
Asante ndugu Litimie neno la Mungu Luka 12:2 Tutawabomoa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Amina amina kwakweli Mungu akubariki sana mtumishi kwa huduma hii 🔥🔥🔥🙏
Nimejifunza vitu vingi sana kwako mtumishi
Ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu. Naomba tujulishe mbinu wanazotumia kubadilisha nguvu zao. Kama wakiona nimewashinda kwa namna fulani
Kweli umenifungua binafsi ufaham sana na Mungu aendelee kukutumia kwa viwango Ameni
Mtumishi Amiel Mungu akulinde sana, shuhuda kubwa sana hizi
Jactan ,nauliza hivi siku hizi kuna viti ,site ya mgogo ni virefu kama vya malkia siku hizi ,viko hata makanisani watumishi wanavikalia ,na kupita mkuu ,anaufahamu juu ya hivi huku Kenya 🇰🇪 viko sana kwa Church sana
Najiisi na barikiwa sana na hushuuda huu asante sana Mungu wangu niepuche na hatayi ya hii dunia
HAKIKA YESU AMEJITWALIA MTAUWA WAKE MUNGU WA MBINGUNI ALIYE HAI NA MWAMINIFU AKUBARIKI NA KUKULINDA SIKU ZOTE MCH AMIELI
Mungu akuwezeshe na kukupa ulinzi uifanye kazi yake mengi tunajifunza na Mimi naamini atanifungua kabisa.amina
Am so much blessed man of God emieli, may our good God protect n bless you abundantly
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Mutumishi wa mungu mambo ya watu yasikutishe songa mbele na wenye tunaamini, hii ushuhuda ni ya kipekee lazima upigwe vita, mungu ndie atakuelewa be blessed
Sisi Tunakuelewa Tunapata Mabadiliko na Nguvu Mpya.. asiekuelewa Tunamuombea MUNGU amfungue ufahamu Kwa Jina La YESU..
Amen Amen ubarikiwe sana kwa kumrudia Yesu
Hehee tunakuombea uende mchungaji nawao waokolewe kama wewe neno la Mungu linasema Mungu metupa roho yaujsiri sio yauoga sasa Mungu azidi kukujaza roho wake
Asante kwa mafundisho mchungaji...Kila jambo linalotekea lina kusudi lake. Sifa na utukufu kwake Mfalme Yesu Kristu. Wachawi wote mshindwe kwa jina la Mfalme Yesu Kristu. Asante kwa kusaidia wa 🇰🇪 na misukule itarudi
Mchungaji amieli kwa kweli Mungu akubariki dana kwa moyo wa unyenyekevu Mungu amekupa karama hiyo itunze umei uliwa sana baba
AMEN AMEN neno la Yesu kristo liende mbele mungu awe pamoja na nyinyi
Mtumishi Amiel wewe mungu akutunze uendele kutuubiria , mafundisho yako ni moto moto
Mchungaji mungu akuinue Sana Ila naomba utufunze kuhusu manabii DA uwongo
Mtumishi mungu akutunze naomba uje morogoro utusaidie
Paster asante sana kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki sana.
Naendelea kubarikiwa ashante Kwa kufichua hizi Siri
Barikiwa sana sana, Hata Yesu alitemewa mate , alidhihakiwa kwa kila namna lakini Hakuacha kazi yake ya Ukombozi , Naamin Mungu anakusudi na wewe kwa wateule wake , Amekutuma ili wateule wake tusipotee . Barikiwa mno.
Ni kweli mtumishi wewe Mungu amekutuma kwa kweli sasa wao wnataka kukuzima lakini aliekuchagua kuokoa watu ni Mungu na hawawezi kukupta teena hee Mungu ni mwem kweli mi nafurahia sana sana na siku ingine kweli mimi nawalika kitale kenya mrudi tena muendeleee kuokoa wengi
Amen ubarikiwe mtumishi
God bless you man of God.
mtumishi nabii hapati heshima kwao huyo ni wa tanzania,sisi wakenya tunakuamini tunamuona Mungu kupitia kwako,usichoke mtumishi endelea mbele na Mungu akutie nguvu,promover team msichoke kuchangamana na mtumishi injili isonge mbele
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana. Yesu Kristu akulinde.
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Siyo Kristu No, Ni 👉 Kristo
Ubarikiwe mtumishi kazi unayoifanya nikubwa sana
Hongera Sana kwa ushuhuda mzuri Sana, waliookoka jifunzeni
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu tokea nikufuatilie hata mimi nimeinuka viwango vingine...
AMEEEEN AMEEEEN AMEEEEN, mtumishi wa mungu, Umenifundisha kitu katika ulimwengu wa Roho. Mungu akubariki sana na akutende mema mtumishi wa mungu Pastor Jacktan .
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
God bless u amieli umenifungua macho kweli mungu akubariki ninamrudia mungu shetani amenifunga mda mrefu
Mungu akubariki sana mchungaji...unatufungua macho kweli
YESU Yuko pamoja nawe Mtumishi
Nafurahi napoona watu was Mungu wanatoka utumwani jaman ubarikiwe sana Mchungaji.
Mtumishi wa Mungu, nikusalimu kwa jina la Yesu Bwana asifiwe, kulingana na mm,kamatulivio binadamu hatupendi ukweli, najua wanataka uogope ndio usikamilishe kazi ya Mungu aliye kutuma, nakukumbusha kua usife moyo, ww nimti wenye matunda usiogope mawe, endelea kuaimulia makuu ya Mungu ,ili mioyo ya wengi ipate kupona, nitakufata hadi umalize,na siku moja naomba mungu nitakuja siku nitakuja nikuone kwakua nahitaji msahada wako 🇰🇪🇰🇪🙏Amen
@massawegod5942
2 жыл бұрын
🙏🙏amiina
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Góód póínt
Amina Mungu akulinde
Mimi sikujui Mimi ni Mkenya lakini kwa Yale maneno mazito unayo ongea kuhusu kuzimu Mimi na kuamuni kabisa mtumishi achane nae usipoteze mda kujibishanae nae sisi tupo hapo tuna subiri uhondo
Upo vizuri sana mtumishi Amiel
Amen Mungu akubariki.
AMEN AMEN AMEN! Mchungaji Amiel tafadhali husitiswe umetumwa hapa kwetu Kenya ukomboe so misukure katika Jina la Yesu Kristo. Na kupitia usuhuda wako wengine waokolewe na Damu ya Yesu.
Nimebarikiwa sana na ushududa huu Bwana Yesu akulinde mch. Katekela.
Amina pastor, Amieli katekela naona unanihubiri mimi tu,Mungu akubariki
AMEN AMEN jina la Yesu liende mbele AMEN
Mch usivunjwe nguvu na comments ya ma agents wakuzimu , wana kundi kubwa, watakufatiliya munjiya tofauti, ionekane izosiri zakuzimu niuongo, tunaamini ni kweli , kwatarifa ya habari , Yesu haya wayi shindwa, siri zilisha toka ingeeee 💪💪💪🤪🤣🔥🔥🔥🔥
Barikiwa
Mch Amiel usitetereke fanya kaz aliyokutuma MUNGU,,anayesema unatafuta Kiki yeye ndo anaitafuta,,kwa yote uliyoyaeleza hd leo kuna cha kujifunza kwa mwenye kuelewa kupitia wewe mchungaji ataelewa asiyetaka ataeleweshwa na roho mtakatifu🙏🙏
Aah asante Yesu kutuletea wakuupindua ulimwemgu kwetu Africa .
Barikiwa sana tumishi nimebarikiwa kwa kukusikiliza
Mwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo wako tupo pamoja
Amen amen mutumishi wa bwana mungu nimukubwa sana nimebarikia
Hawo nmajeti wa kuzimu wasikusumbue mtumishi mungu yupamoja nawe
Ubarikiwe sana mungu azidi kukutetea.
Safi sana mungu akubariki sana kweli
Mungu tusaidie. sikuhizi ni vigumu sana kupata watu wakukuombea kufunga na kuomba kwa ajili ya mtu mwingine .
This man is a great blessing, Ohooo I pray for him 🙏
@neema123moris4
2 жыл бұрын
Sana nmeamini shetani hachukuagi vilaza, ana upeo wa juu Sana, vitu anavyovifundisha vimelitesa Sana kanisa kwa muda mrefu. Hizi ni siri za wokovu hakika. Neema ya Mungu izidiyo isikupungukie Pastor Amiel.
Amina amina