PART 4 MAMBO YA KUTISHA WAKATI PARAPANDA ITAKAPOLIA USHUHUDA WA GRACIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 55
@peterkarimu00 Жыл бұрын
BWANA YESU NISAIDIE MIMI NISIKENGEUKE, NA KUIACHA NJIA YAKO NYEMBAMBA YA UTAKATIFU, USHUHUDA HUU UMENITIA NGUVU SANA YA KUENDELEA KUYAISHI MAISHA MATAKATIFU, NA KUJITOA KWA MALI ZANGU KUIFANYA KAZI YAKO BWANA YESU.
@rowenalilie993
Жыл бұрын
Ameen. Usizimie moyo!Bwana Yesu anarudi upesi
@jacksonnjoroge7120
Жыл бұрын
Yesu yuarudi
@jacksonnjoroge7120
Жыл бұрын
Asante kwa kutukumbusha kujakwake yesu
@YusuKisingile-fs4hv
Жыл бұрын
Tuzid kumcha bwana tusijichanganye na mambo ya dunia hii. Ameen!!
@janethmwihumbo1289
3 ай бұрын
Amina Amina
@dinairenge23 күн бұрын
Eeee Bwana yesus christon wanazareth alie hai tusamehee sisiwakosaji samehe ulimwenguwote mzima baba sameh wa mama sameh wa baba vijana na watoto samehee wote kwadamu yako iliomwangika msalabani sameh watumishiwako wote hapo dunia uwarudisha kwanjia yako iliosahihi samehe waimbaji wa injili bwana samehe. Dunia nzima kupitia ushuudahii yakutisha bwana tusamee sisiwote namafamilia zetu zote tusamee eeee christon yesus
@VIJANAWAYESU127 ай бұрын
Amen MUNGU wangu nisahidiy kuacha kutenda dhambi nijeninyakulikuwe siku hiy ya mwisho 🙏
@mpokimwakaje8178 Жыл бұрын
Haleluya Roho Mtakatifu anashuhudia ndani yangu Safari yetu imeiva ,omba Sana Neema ya kunyakuliwa
@ScholarMsakiАй бұрын
Amen mungu atusaidie tusikie nebo lake, ktk neema yake.
@Maluda_richard4 ай бұрын
Mungu nisaidie na unichungu ili siku ya mwisho niwe tiyari kwenda mbinguni kwa jina la yesu amen!!!
@janethmwihumbo1289 Жыл бұрын
Heri wazifuao nguo zao,wawe amri kuuendea mti wa uzima niwajibu wetu kujitakasa ,barikiwa mtumishi
@user-ce1is6yo9h29 күн бұрын
Ee BABA wa Yesu kristo nijalie jina langu lidumu kwenye kitabu Cha uzima
@stephenmwanza6905 Жыл бұрын
Yesu jina langu lidumu kwenye kitabu cha uzima,na unisaidie kuhubiri ukweli
@lillianwakesho2588 ай бұрын
Niwezeshe kuishi maisha matakatifu,ee Yesu.
@emmykyando Жыл бұрын
Napenda roho yangu ambayo nimepewa na Bwana Yesu Kristo Amen Amen Amen Amen Amen 😇
@nangongolukundula9367 Жыл бұрын
Eee YESU BWANA wangu wewe wajua hatuwezipekeyetu lakini kwakoyoteyawezekana unisaidie kazininayo kutumikia isifebure Asante kwa tafsiri hii MUNGU akubariki
@mpokimwakaje8178 Жыл бұрын
Amina niliambiwa na Roho Mtakatifu tumbee kanisa nguvu ya unyakuo ,Hushuda huo nikweli,kabisa ,Mungu hawezi kufanya Jambo bila kuwajulisha wateule wake,,watu wamekuwa wagumu kuokaka ,na kufanywa upya ,Haleluya tunaondoka,
@annissdaprincess3846 Жыл бұрын
Amina hallelujah YESU kristo nimwanzo namwisho sifa nashukran na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni
@DianaKilanda-yb3zp11 ай бұрын
Mungu akubariki kwa huu ujumbe Amina
@maryandason1815 Жыл бұрын
Aiseee nilipitwa kidgo but YESU n mwemaa kabsaaa bado tuko pamoja blessed my lovely sister
@user-ti3sf6ld6q Жыл бұрын
Bwana yesu unijaliye Neena.
@DianaJanetteАй бұрын
Yes nisaidie nipite katikajia zako
@thewellministry9008 Жыл бұрын
Eeh .Mungu nakuomba nisaidie .. ninyakuliwe na watoto wangu wote wa kiroho na kimwili wooooteeee !!
@user-fe5xy1pe6f Жыл бұрын
Amen🙌mungu wang nisahidiy kuacha kutend dhambi il nij ninyakuliwe sik hiy ya mwisho🙏🙏
@dinairenge23 күн бұрын
Amen
@user-bn1wh9fp5hАй бұрын
Kweli nami ushuhuda huu umeniamsha naomba Bwana anishike mkono
@amanmalima940 Жыл бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@shalomkubali4884 Жыл бұрын
Eee mungu nisamehe zambi zangu , nitakase Yesu nisaidie Bwanawangu, nipe mwisho mwema😭😭😭😭
@friedamkiramweni9736 Жыл бұрын
Asante kwa kunipa ujumbe huu nisaidie nisikose njia ya kweli. NimlakinYesu mawinguni na kwenda pamoja naye.
@horimberepeace7376 Жыл бұрын
HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏📯📯📯📯📯📢📢📢🎸🎸🎸🎸
@alexanderbarnaba7647 Жыл бұрын
Yesu nisaidie nimalize salama
@rehemaabinelynyagawa2878 Жыл бұрын
Hakika hii ni siku ya kutisha eeeh Mungu tuhurumie na utusamehe dhambi zetu 😢😢😢tusaidie ili siku hiyo utukute tukiwa tayari wasafi wa moyo 😢😢
@christind655 Жыл бұрын
Amen 🙏mungu wangu nilehemu papa n unikumbuke
@lillianwakesho2588 ай бұрын
Amen.
@tabithajeremiah4589 Жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda mzuri sana kuna kitu nimejifunza hapa.
@ester7689 Жыл бұрын
Eee BWANA YESU naomba unisaidie nimalize mwendo wangu salama
@NimethNdelwa-zc9zj Жыл бұрын
Yesu nisaidie kukaa kwenye utakatifu
@IsayaModest-nx7kp Жыл бұрын
YESU wew ndiye njia yangu ya wokovu
@user-wv1or6ql8h Жыл бұрын
Bwanaunisaidie nimalize salama
@MaaDii-iz3ur Жыл бұрын
❤❤ Amen 🙏 jina la bwana libarikiwe milele
@ChristineMuhoga-ub2fm Жыл бұрын
Amina
@leahenockmrina5381 Жыл бұрын
BWANA WETU YESU KRISTO UNIREHEMU NA UTUREHEMU UNINYAKUE NA UTUNYAKUE BWANA
@user-mk9ii7nf5u Жыл бұрын
Wakati wa unyakuzi bwana usinipite
@liesharehema5193 Жыл бұрын
Mungu nisaidie
@rowenalilie993 Жыл бұрын
YESU NDIYE Yuko ambaye Yuko
@Nenolamaarifa Жыл бұрын
Mungu nisaidie nisikose mbingu
@thewellministry9008 Жыл бұрын
Eebwana nisaidie nishikilie mpaka mwisho !!
@amandaangie4806 Жыл бұрын
Eee YESU😭😂🙆
@pudensianamhasi5364 Жыл бұрын
Eeeee Mungu nisaaidie niuishi utakatifu.
@SafiAkinyi8361 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏
@YusuKisingile-fs4hv Жыл бұрын
Ee BWANA tusaidie tuuone ufalme wa mbinguni. Kukutumikia kwetu kusiwe bure tuone faida ya kukutumikia.
Пікірлер: 55
BWANA YESU NISAIDIE MIMI NISIKENGEUKE, NA KUIACHA NJIA YAKO NYEMBAMBA YA UTAKATIFU, USHUHUDA HUU UMENITIA NGUVU SANA YA KUENDELEA KUYAISHI MAISHA MATAKATIFU, NA KUJITOA KWA MALI ZANGU KUIFANYA KAZI YAKO BWANA YESU.
@rowenalilie993
Жыл бұрын
Ameen. Usizimie moyo!Bwana Yesu anarudi upesi
@jacksonnjoroge7120
Жыл бұрын
Yesu yuarudi
@jacksonnjoroge7120
Жыл бұрын
Asante kwa kutukumbusha kujakwake yesu
@YusuKisingile-fs4hv
Жыл бұрын
Tuzid kumcha bwana tusijichanganye na mambo ya dunia hii. Ameen!!
@janethmwihumbo1289
3 ай бұрын
Amina Amina
Eeee Bwana yesus christon wanazareth alie hai tusamehee sisiwakosaji samehe ulimwenguwote mzima baba sameh wa mama sameh wa baba vijana na watoto samehee wote kwadamu yako iliomwangika msalabani sameh watumishiwako wote hapo dunia uwarudisha kwanjia yako iliosahihi samehe waimbaji wa injili bwana samehe. Dunia nzima kupitia ushuudahii yakutisha bwana tusamee sisiwote namafamilia zetu zote tusamee eeee christon yesus
Amen MUNGU wangu nisahidiy kuacha kutenda dhambi nijeninyakulikuwe siku hiy ya mwisho 🙏
Haleluya Roho Mtakatifu anashuhudia ndani yangu Safari yetu imeiva ,omba Sana Neema ya kunyakuliwa
Amen mungu atusaidie tusikie nebo lake, ktk neema yake.
Mungu nisaidie na unichungu ili siku ya mwisho niwe tiyari kwenda mbinguni kwa jina la yesu amen!!!
Heri wazifuao nguo zao,wawe amri kuuendea mti wa uzima niwajibu wetu kujitakasa ,barikiwa mtumishi
Ee BABA wa Yesu kristo nijalie jina langu lidumu kwenye kitabu Cha uzima
Yesu jina langu lidumu kwenye kitabu cha uzima,na unisaidie kuhubiri ukweli
Niwezeshe kuishi maisha matakatifu,ee Yesu.
Napenda roho yangu ambayo nimepewa na Bwana Yesu Kristo Amen Amen Amen Amen Amen 😇
Eee YESU BWANA wangu wewe wajua hatuwezipekeyetu lakini kwakoyoteyawezekana unisaidie kazininayo kutumikia isifebure Asante kwa tafsiri hii MUNGU akubariki
Amina niliambiwa na Roho Mtakatifu tumbee kanisa nguvu ya unyakuo ,Hushuda huo nikweli,kabisa ,Mungu hawezi kufanya Jambo bila kuwajulisha wateule wake,,watu wamekuwa wagumu kuokaka ,na kufanywa upya ,Haleluya tunaondoka,
Amina hallelujah YESU kristo nimwanzo namwisho sifa nashukran na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni
Mungu akubariki kwa huu ujumbe Amina
Aiseee nilipitwa kidgo but YESU n mwemaa kabsaaa bado tuko pamoja blessed my lovely sister
Bwana yesu unijaliye Neena.
Yes nisaidie nipite katikajia zako
Eeh .Mungu nakuomba nisaidie .. ninyakuliwe na watoto wangu wote wa kiroho na kimwili wooooteeee !!
Amen🙌mungu wang nisahidiy kuacha kutend dhambi il nij ninyakuliwe sik hiy ya mwisho🙏🙏
Amen
Kweli nami ushuhuda huu umeniamsha naomba Bwana anishike mkono
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Eee mungu nisamehe zambi zangu , nitakase Yesu nisaidie Bwanawangu, nipe mwisho mwema😭😭😭😭
Asante kwa kunipa ujumbe huu nisaidie nisikose njia ya kweli. NimlakinYesu mawinguni na kwenda pamoja naye.
HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏📯📯📯📯📯📢📢📢🎸🎸🎸🎸
Yesu nisaidie nimalize salama
Hakika hii ni siku ya kutisha eeeh Mungu tuhurumie na utusamehe dhambi zetu 😢😢😢tusaidie ili siku hiyo utukute tukiwa tayari wasafi wa moyo 😢😢
Amen 🙏mungu wangu nilehemu papa n unikumbuke
Amen.
Asante kwa ushuhuda mzuri sana kuna kitu nimejifunza hapa.
Eee BWANA YESU naomba unisaidie nimalize mwendo wangu salama
Yesu nisaidie kukaa kwenye utakatifu
YESU wew ndiye njia yangu ya wokovu
Bwanaunisaidie nimalize salama
❤❤ Amen 🙏 jina la bwana libarikiwe milele
Amina
BWANA WETU YESU KRISTO UNIREHEMU NA UTUREHEMU UNINYAKUE NA UTUNYAKUE BWANA
Wakati wa unyakuzi bwana usinipite
Mungu nisaidie
YESU NDIYE Yuko ambaye Yuko
Mungu nisaidie nisikose mbingu
Eebwana nisaidie nishikilie mpaka mwisho !!
Eee YESU😭😂🙆
Eeeee Mungu nisaaidie niuishi utakatifu.
😢😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏
Ee BWANA tusaidie tuuone ufalme wa mbinguni. Kukutumikia kwetu kusiwe bure tuone faida ya kukutumikia.
ⓔⓔ ⓜⓤⓝⓖⓤ ⓝⓘⓞⓚⓞⓔ ⓝⓐⓜⓐⓣⓐⓣⓔⓩⓞ ⓨⓞⓣⓔ
Yes nisaidie nipite katikajia zako
Amen