ASKOFU MKUU DR. DANIEL KULOLA BILA HOFU NA WASIWASI AZUNGUMZA MANENO MAZITO

Askofu mkuu wa makanisa ya SEIC ameendelea kulileta kanisa lake kwa wananchi ili kupitia huduma inayotolewa na makanisa yote ya SEIC watu wahudumiwe bila kulipishwa na wala longolongo. Inatia moyo kwa makanisa ya SEIC yanazidi kupaa si kwa Tanzania pekee bali hata nje ya nchi

Пікірлер: 6

  • @martinMwangomo
    @martinMwangomoАй бұрын

    Like father like son. Mungu akubariki sana mtumishi Daniel Kulola.

  • @dianadaudi5535
    @dianadaudi55352 ай бұрын

    Hallelujah Mungu anatupenda sana 🙏 🙌 Asante Baba kuamua kuziokoa Roho za Wengi

  • @user-vv2ow1qx1s
    @user-vv2ow1qx1sАй бұрын

    Barikiwa mtumishi Dani kulola

  • @user-em1jo7cw4y
    @user-em1jo7cw4y2 ай бұрын

    Asante kiongozi

  • @edsonisrael8996
    @edsonisrael8996Ай бұрын

    Kwani hauko Tena EAGT Tena!?

  • @user-em1jo7cw4y
    @user-em1jo7cw4y2 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉

Келесі