ASKOFU MKUU DR. DANIEL KULOLA BILA HOFU NA WASIWASI AZUNGUMZA MANENO MAZITO
Askofu mkuu wa makanisa ya SEIC ameendelea kulileta kanisa lake kwa wananchi ili kupitia huduma inayotolewa na makanisa yote ya SEIC watu wahudumiwe bila kulipishwa na wala longolongo. Inatia moyo kwa makanisa ya SEIC yanazidi kupaa si kwa Tanzania pekee bali hata nje ya nchi
Пікірлер: 6
Like father like son. Mungu akubariki sana mtumishi Daniel Kulola.
Hallelujah Mungu anatupenda sana 🙏 🙌 Asante Baba kuamua kuziokoa Roho za Wengi
Barikiwa mtumishi Dani kulola
Asante kiongozi
Kwani hauko Tena EAGT Tena!?
🎉🎉🎉🎉