Mama Ipyana Kibona amuasa na kumuombea mtoto wake Dr.Ipyana - FULL VIDEO

Музыка

#dripyana
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Mtumishi wake Mama Kibona aliyetumika kwenye Ibada ya The Tabernacle kutufafanulia nini haswa inamaanisha kuwa MASKANI ya Mungu.
Mama alitoa darasa lilitofunza kuhusu unyeyekevu kama kigezo cha msingi sana ili Mungu aishi ndani yetu. Imetupasa tupungue, ili Yesu aongezeke ndani yetu.
#TheTabernacle sio Ibada tu, ni maisha ya kila siku
#DrIpyana
#TheTabernacle

Пікірлер: 183

  • @user-lx2vg7ku2n
    @user-lx2vg7ku2n11 сағат бұрын

    Kutoka kenya nimetamani mama yangu angekuwa hai aninene maneno ya mbinguni kama mama Dr ipyana. May our good lord bless you mama am a praise teamet in our church and I love to sing your songs , mungu akupeleke mbali ndungu yangu kutota Tanzania, Mimi Sina ndundu mungu kamchukua mama heko kwako nimejifunza kutabili maneno ya baraka kwa wanangu

  • @maedencohen9000
    @maedencohen90005 күн бұрын

    I have cried, what a wonderful mum she is his intercessor. May God bless her she is bold and full of wisdom.

  • @DatiusDeodatus-lm2gn
    @DatiusDeodatus-lm2gn4 күн бұрын

    God is still raising the dead, doctors know, mothers know. My siter lied dead in front of our eyes, my dad gave up, my mom prayed up after a five hours straight of no any sign of breath, she coughed and the rest is history! Mungu ni kweli!

  • @janethmwansasu5847
    @janethmwansasu58473 күн бұрын

    Asante Mungu kuniwezesha kumsikiliza mama ipyana nimekumbuka ninavyomwambia mwanangu amtangulie Mungu kwa kila Jambo mtoto akimjua Mungu ktk roho na kweli ni Raha Sana Mungu naomba unisaidie wanangu wakujue na kutambua kuwa wewe ni mwokozi wa maisha yao na akatawale ndani yao

  • @mambandahandofcompassion9727
    @mambandahandofcompassion97274 күн бұрын

    Sina mengi ya kusema, Dr Ipyana ndo mwimbaji wa gospel nampenda, namba mbili kutoka kwa mke wangu muimbaji pia. From kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @marryjames-wl7be
    @marryjames-wl7be3 күн бұрын

    Huyu mama ana roho wa MUNGU na ana nguvu za MUNGU sio kawaida na ndo amemuambukiza na mwanae kuwa hivi YESU awatunze 🙏🙏🙏

  • @francis0510
    @francis05105 күн бұрын

    Nilikuwepo iyo siku ila nimerudi kuangalia tena kuna mambo mengi yananigusa sana nimekuja kujua bila mama Ipyana asingekuwa kwenye wito wake

  • @yusuphluyungu8142

    @yusuphluyungu8142

    5 сағат бұрын

    Amina

  • @gisellekavira8966
    @gisellekavira89664 күн бұрын

    The joy of a mother is to see her children doing well. I salute you mother. Dr Ipyana ..nyimbo yakoya ya umefa hili umefanya Lile umenipa jina Baba Nina kushukuru.. Baraka zako zako hasiesabiki...neema Yako haizoeleki...😭😭😭😭😭 Machozi yanitoka. Barikiwa sana.🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🙏🙏

  • @aminaluoga4578
    @aminaluoga45785 күн бұрын

    Mama mwenye uhafamu wa kiMungu natamani na mm Mungu anipe ufahamu wake niishi maisha ya kumtumaini kristo na watoto wangu kuwalea katika maisha yakumjua kristo wawe na upendo kwa watu wote na wamuheshimu Mungu na watu rika zote pasipo kuangalia uwezo wao Kingine nimejifunza nikiwa kama mama naweza kutengeneza kesho ya wanangu kwa maombi nakuwatamkia baraka katika kila jambo lililo jema. Nimelia sana nikafika mbali nikamuogopa Mungu kupitia clip hii Itoshe kusema asante Mungu kwa yote

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    4 күн бұрын

    Unavyoramani hivyo na Mungu atakupa kadri ya matamanio yake

  • @estherelius9148
    @estherelius91484 күн бұрын

    Touching and loving words Mungu nijalie kuwa mama mzuri kwa watoto wangu wakujue wewe Mungu wa kweli na kushika njia zako

  • @magiehermess9949
    @magiehermess99494 күн бұрын

    Wazazi wote wangekua hivi kwa kweli tusingeteseka sana katika laana.😭😭Mungu nisaidie nitamkie wanangu baraka nakuwalea vyema

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    4 күн бұрын

    Kweli kabisa dear

  • @cristamelahashimu3679

    @cristamelahashimu3679

    2 күн бұрын

    Aiseee kweli kabisa

  • @helinahenry2363

    @helinahenry2363

    2 күн бұрын

    Kabisaaa, Sisi vijana tujifunze kumtumikia Mungu

  • @HAAM670

    @HAAM670

    2 сағат бұрын

    Nimeliaaaaa weeee, mwanzo hadi mwisho wa Maombi ya mama Ipyana. Sijui hata nalia nini. Thank you Lord Jesus

  • @sarahluvai6580
    @sarahluvai65803 күн бұрын

    Uhimidiwe MUNGU wewe wa ajabuuu matendo yako makuuu sanaa , nipe na nguvu naujasiri wakuwalea wanangu kwa njia inayokupendeza Mungu wanguuu,, Ipyana you're blessed 🙌 such a mom a wonderful mom 😢laiti wazazi wote wangalikuwa namna hii ooh God ,, nipe nguvu nikawe kielelezo kwa wanangu.....baraka tele

  • @evasinkamba8303
    @evasinkamba8303Күн бұрын

    Asante Mama kwa ushuhuda mzuri nimejifunza kitu.Mungu aendelee kukuongoza mtumishi wa Mungu

  • @EssieBlessedkid-u3z
    @EssieBlessedkid-u3zКүн бұрын

    More love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @DorcasTemba
    @DorcasTemba5 күн бұрын

    Mama ameongea mambo ambayo yamenifunza sana Mungu akutunze mtumi shi wa Mungu amtumze na Mama nimetamani sana Mama yangu angekuwa hai alikiwa anapenda kunipa maneno ambyo Leo yamekuwa msaada kwangu

  • @faithnasira3061
    @faithnasira30614 күн бұрын

    Kenyan love ipyana🎉 You are a Blessing mum

  • @lilyabel2320

    @lilyabel2320

    4 күн бұрын

    We love you too Kenyan people❤

  • @obeyngorima4588
    @obeyngorima45884 күн бұрын

    Kwamaombi kama hayo Mutumishi haataweza kuogopa chochote hata kama nisimba ama mlima gani mbele yake kwasababu amebalikia namama ake 😢 Oooh Jehovah God it touched my soul

  • @norwickwmandu7062
    @norwickwmandu70625 күн бұрын

    Wow, Najifunza kutoka kwa MAMA. Mafunzo mazito, Mungu akuhifadhi mama Ipyana. Uishi miaka mingi na uzidi kuzungumza kwa hekima za Mungu.

  • @matparakalenga1065
    @matparakalenga10652 күн бұрын

    I came across the song : Bwana minakushukuru first week of June 2024 and it has lifted up my soul and am grateful to God. Though i don't understand much Tanzanian Swahili am watching this testimony from Zambia 🇿🇲 am a single mother of four and am learning something from our mom🙏🙏 i believe the first prophet of a child is the mother 🙌🙌🙏

  • @bushman0-yo8uf
    @bushman0-yo8uf13 сағат бұрын

    What a motherly love. Mother's love is very important 🙏

  • @perischarlse4593
    @perischarlse45938 сағат бұрын

    Wakristo tujifunze na huyu mama nimekupenda sana mama yetu mungu akulinde nauedelee kutuombea pia sisi tunaye fuatilia mahumbili na mwanao pia yy twampenda sana na yy pia mungu wetu amlinde asante mama kwa somo lako nimejifunza kitu kutoka kwako..

  • @victoryrogers9887
    @victoryrogers98874 күн бұрын

    Nimetokwa na machozi nimejifunza kitu kikubwa sana na nimebarikiwa .Mungu akutunze mama Ipyana.Dr Ipyan Umebarikiwa sana sana Mungu akutunze na akuinue zaidi na zaidi kwaajili ya Utukufu wa Mungu.

  • @ntakirutimananaomi7593
    @ntakirutimananaomi75933 күн бұрын

    Dr Ipyana is really blessed ,much love from Burundi ❤

  • @sayunilyego
    @sayunilyego4 күн бұрын

    nimelia sana 😢😢😢😢 Mungu akubariki sana mama ipyana R.I.P mama yangu Mungu akupe pumziko zuri🙏🙏🙏🙏

  • @dianadaudi1184
    @dianadaudi118410 сағат бұрын

    Mjue sana Mungu ili uwe na Amani Oh hallelujah Mama Asante hakika Mungu mama yu nawe nimemuona Mungu pia nimejazwa Roho mtakatifu kwa kuangalia video KZread hakika Yesu unaishi ndani Yetu

  • @devithabenedict4448
    @devithabenedict44485 күн бұрын

    Aiseee nami nimelia sana...namimi mwanangu aliungua wakati baba yake hayupo.....Amina lakini Mungu alinishindia pia

  • @sikitunathing9429
    @sikitunathing942918 сағат бұрын

    Twaitaji huu ujumbe kwenye tiktok tukasambaze tafadhali ❤

  • @amosmandi2303
    @amosmandi23034 күн бұрын

    What an inheritance from the mum To Dr Ipyana, this is the greatest of all.. Jesus Christ the hope of Glory

  • @michaelulisaja
    @michaelulisaja5 күн бұрын

    BEING A PARENT IT'S A CALL

  • @princeshafeen-official
    @princeshafeen-official4 күн бұрын

    Wooooow😭😭😭😭😭😭😭😭. What a Testimony❤❤❤❤❤❤❤. Man of God Dr Ipyana,you're God's Seed.....Thank you Mama Ipyana for your GREAT FAITH Since his Childhood!!!

  • @sikitunathing9429
    @sikitunathing942918 сағат бұрын

    Mama nzuri sana, Mungu akubariki mama

  • @nicolngonga1351
    @nicolngonga13513 сағат бұрын

    From Kenya so touched 😭😭😭😭 may God be glorified 🙏🙏🙏

  • @belinderoluoch4039
    @belinderoluoch403920 сағат бұрын

    aaaaawwww...my heart is full. They are both lucky to have each other. I came to know Daktari through his song "kama sio mkono wako". May God continue using you to bless us

  • @obedjillo3948
    @obedjillo39485 күн бұрын

    mum your surely annointed..,i love you mama..

  • @happymushi2219
    @happymushi22194 күн бұрын

    Mungu Ni mkuu Sana - Mama Mungu AKUBARIKI na atunze hii neema kwa Dr

  • @user-ri1by1ij4o
    @user-ri1by1ij4oКүн бұрын

    Mama Mungu akubariki sana Kwa upendo wako,umenibariki sana Mungu akuongezee maisha marefu

  • @tulibakokyoma1132
    @tulibakokyoma11323 күн бұрын

    Ipyana alinishuhudia huku Marekani kuwa aliungua vibaya sana..karibu are akiwa na miaka miwili..Kweli Mungu ni wa ajabu alimponya.

  • @majestymaurice3239
    @majestymaurice32394 күн бұрын

    My humble request is to consider translating kiseahili for the international audience 🙏😢

  • @harriethkinjoli5459
    @harriethkinjoli54592 күн бұрын

    Najiungamanisha na hii neema ya maombi ya mama Ipyana kwa jina la Yeau.❤❤

  • @isaacmwichande253
    @isaacmwichande2534 күн бұрын

    I just see God in this testimony🥺

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA4 күн бұрын

    Mama asante sana . MUNGU akubariki mama yangu❤❤❤

  • @mariawandiba6736
    @mariawandiba67364 күн бұрын

    Asante sana Mama Ipyana kwa maneno ya hekima na maarifa. Dr Ipyana ukawe baraka daima uwe mnyenyekevu

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore22364 күн бұрын

    Like mother like son, be blessed man of God

  • @salomemkeni6052
    @salomemkeni605223 сағат бұрын

    Asante Mama umenipa nguvu ya kusonga mbele kama Mama wa familia😢😢😢

  • @gladnesstemu6131
    @gladnesstemu61314 күн бұрын

    Ee BWANA YESU nijalie niwe kama mama huyu kwa watoto wangu🙌🙌🙌🙏

  • @beatricenyiro5913
    @beatricenyiro59134 күн бұрын

    Ubarikiwe mama Mungu amekupa hekma ya hali ya juu .Let God protect you 🙏 watching from USA

  • @fidelisernest3523
    @fidelisernest35234 күн бұрын

    This day was amazing aisee ,Mungu aliniudumia mapema Sana,Glory and Honour belong to God Almighty

  • @faithmangesho2081
    @faithmangesho2081Күн бұрын

    Barikiwa mno Mtumishi wa Mungu! Una Imani kubwa sana

  • @deboradaniel5285
    @deboradaniel52854 күн бұрын

    Hallelujah. Proud of you mom. Mungu awabariki family ya Mzee Kibona

  • @irenekisasembe6015
    @irenekisasembe6015Күн бұрын

    Kama mama nimejifunza jambo Zuri sana barikiwa mama ipyana

  • @mercymaringa6890
    @mercymaringa68905 сағат бұрын

    Mungu Na ambariki huyu mama Na mtoto wake dr.ipyana

  • @mirriammusilaofficial
    @mirriammusilaofficial4 күн бұрын

    So touching! Mungu akubariki mama Ipyana kwa hizi shuhuda.❤ Dr Ipyana umebarikiwa sana. Mungu aendelee kukutumia

  • @sharonkotut8080
    @sharonkotut80802 күн бұрын

    This got me. Thank you, Mama, for teaching us today. Honouring God brings peace.

  • @robertsimiyu6952
    @robertsimiyu69525 күн бұрын

    Mama wa busara , powerful

  • @sarahm316
    @sarahm31623 сағат бұрын

    Wow wow may God receive all the glory watching from Seattle

  • @royalusala8527
    @royalusala85274 күн бұрын

    Powerful indeed.. Such testimony and blessing from parents really helps

  • @maryminja1668
    @maryminja16684 күн бұрын

    I pray this grace to be upon my Son in JESUS Name!

  • @hopezawadida
    @hopezawadida3 күн бұрын

    Nimependa❤ Tafuta kuwa na amani na watu wote.Tuitazame msalaba. Nimejifunza mambo mengi kutoka kwa mama huyu mwenye busara. Mungu akubariki Dr Ipyana. Wakenya twapenda injili unayoeneza kupitia nyimbo zako.

  • @JoanNgoli
    @JoanNgoli5 сағат бұрын

    Wow. All glory be to God. This is powerful.

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu88453 күн бұрын

    Nimelia!!upendo wa mama hauna kifani!!Mungu baba naomba Nitunzie mama yangu!Mungu uwatunze wa mama wote na waliokuja kwako uwapokee!

  • @helinahenry2363
    @helinahenry23632 күн бұрын

    Hallelujah 😭😭😭😭, Mama ana madini mengi.

  • @sarahyaro4753
    @sarahyaro47533 күн бұрын

    Dr ipyana n mnyenyekevu mno, na inaonekana Mama Mungu akupe umri mrefu Dr ipyana roho azidi kukutumia kwa ajili ya taifa na ulimwengu

  • @SusanaNkoma-db3bg
    @SusanaNkoma-db3bg3 күн бұрын

    Mambo ya nguvu yakuandame mama ❤❤❤❤❤, Mungu akutunze

  • @user-sr4rn1uj2n
    @user-sr4rn1uj2n18 сағат бұрын

    Ikawe kwangu na mmi nikajazwe roho mtakatifu 😢❤

  • @edithakimario3430
    @edithakimario34303 күн бұрын

    Mungu aendelee kumlinda mtumishi Dr Ipyana .Mama Mungu akuongezee Miaka mingi

  • @EdwinNsyani
    @EdwinNsyani4 күн бұрын

    ❤❤❤TANGIBLE MANIFESTATION OF GOD'S GLORY. THIS WILL REMAIN POWERFUL FOREVER AND EVER.

  • @rinakibona
    @rinakibona2 күн бұрын

    Mungu akubariki ushuhuda mkubwa sana mama umenifundisha mengi

  • @elidachaula6903
    @elidachaula69032 күн бұрын

    Kama mama WA watoto nimejifunza kitu hapo Tunashukuru mtumish WA Mungu. Nimejikuta nabubujika mno na kulia mbele za Mungu hakika Yesu ni mwaminifu.

  • @pilisinde8830
    @pilisinde88305 сағат бұрын

    Umenifundisha kitu kikubwa sana mama mungu akubariki

  • @SusanaNkoma-db3bg
    @SusanaNkoma-db3bg3 күн бұрын

    Mum mzuri sana 🎉🎉🎉❤ nakupenda sanaaaaa

  • @witnesssamwely8812
    @witnesssamwely88123 күн бұрын

    Nimebalikiwa sana mungu akubaliki sana mama

  • @hurumalawrence4989
    @hurumalawrence49893 сағат бұрын

    Napokea hii hekima kama mama kwa jina la Yesu

  • @user-tf9ws7gd9g
    @user-tf9ws7gd9g4 күн бұрын

    Amina Mungu aendelee kukutumiau mtumishi wa Mungu usiende kusho kulia uangalie msalaba utakusaidia ipo neema ya msalaba

  • @eliayunga7766
    @eliayunga77664 күн бұрын

    Kiukweli Mama ipyana ni mama wa kuingwa katika jamii

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore22364 күн бұрын

    Amen, maombi ya mama ni very powerful

  • @EbenezerSafari
    @EbenezerSafari5 күн бұрын

    I can't wait for this

  • @annatoliraphael1686
    @annatoliraphael1686Күн бұрын

    Amen Mama Mungu akutumze.

  • @angelaswai1963
    @angelaswai19639 сағат бұрын

    Aisee hadi machozi ... ndomana huwa nasema maombi ya mzazi kwa mtoto ni powerful kwa destiny ya mtoto

  • @ObediAmbukuge
    @ObediAmbukugeКүн бұрын

    Familia Yao wote walikuwa watumishi Mzee kibona babake ipyana tuliimba nae sana ibada za hasubuh

  • @irenesimalike3962
    @irenesimalike39624 күн бұрын

    That was very powerful and emotional

  • @yusuphluyungu8142
    @yusuphluyungu81425 сағат бұрын

    Ubarikiwe Mama

  • @careenevans
    @careenevans5 күн бұрын

    Mungu akubariki mama Ipyana❤

  • @BernadetaMartin
    @BernadetaMartin3 күн бұрын

    Mungu akubariki sana mama

  • @shadyaomary
    @shadyaomary3 күн бұрын

    Bro ipyana mungu azidi kukuinua, mama amejawa na nguvu

  • @cristamelahashimu3679
    @cristamelahashimu36792 күн бұрын

    Nimeliaaaa. Mungu nisaidie niwe kama huyu mama na nizidi kukujua wewe Mungu.

  • @JudithAdonis

    @JudithAdonis

    2 күн бұрын

    😢😢😢😢

  • @zipporahkyeni7754
    @zipporahkyeni77544 күн бұрын

    Who's cutting onions 😢❤this is uplifting ❤barikiwa sana mum ipyana kwa kutufunza njia

  • @JudithAdonis

    @JudithAdonis

    2 күн бұрын

    Oooh 😢😢😢

  • @germainebindu1097
    @germainebindu1097Күн бұрын

    Wow j'adore ce moment Dieu soit loué

  • @merie8265
    @merie82655 күн бұрын

    My spirit was mothered intercessory.wise for a minute

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc83423 күн бұрын

    very powerful message, God bless you so Much MAMA.

  • @lovenessmtaita1879
    @lovenessmtaita18792 күн бұрын

    Mama mungu akubariki sana

  • @jovitaulomi8752
    @jovitaulomi875221 сағат бұрын

    Natamani wazazi wote wangekuwa kama mama Dr ipyana

  • @pstdee7462
    @pstdee7462Күн бұрын

    So powerful and emotional.

  • @cathrine565
    @cathrine5655 күн бұрын

    Amen. What a blessing! 😊

  • @irenemulu6655
    @irenemulu66555 күн бұрын

    Nimeguswa sana na Shuhuda za mama na jinsi alivyo tamka baraka kwa mwanawe.Jina la Bwana Litukuzwe

  • @MwagalaJr
    @MwagalaJr4 күн бұрын

    Yesu Asante kwa Maisha Ya Mama Ipyana 😭🙏🏾

  • @DanielVictor-ej4lp
    @DanielVictor-ej4lp4 күн бұрын

    Namuona kama mama angu .... daaaaah RIP mama angu pumzika kwa amani

  • @judyngowi391
    @judyngowi3914 күн бұрын

    Duh! Ilikuwa wapi hii? Ushuhuda mkubwa umeniliza na kufanya imani yangu kuwa kubwa, mpaka nimeunguza chakula

  • @julushossa4088
    @julushossa40884 күн бұрын

    God I bless you 🤲🧎🙏😭😭😭My you keep well Mon and Dr Ipyana, your servant. Amen 🙏.

  • @monicacoombes8299
    @monicacoombes82995 күн бұрын

    Mama asante sana

  • @hurumakibona3687
    @hurumakibona36875 күн бұрын

    Ubarikiwe mama mzuri.

Келесі