Mama Ipyana Kibona amuasa na kumuombea mtoto wake Dr.Ipyana - FULL VIDEO
Музыка
#dripyana
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Mtumishi wake Mama Kibona aliyetumika kwenye Ibada ya The Tabernacle kutufafanulia nini haswa inamaanisha kuwa MASKANI ya Mungu.
Mama alitoa darasa lilitofunza kuhusu unyeyekevu kama kigezo cha msingi sana ili Mungu aishi ndani yetu. Imetupasa tupungue, ili Yesu aongezeke ndani yetu.
#TheTabernacle sio Ibada tu, ni maisha ya kila siku
#DrIpyana
#TheTabernacle
Пікірлер: 183
Kutoka kenya nimetamani mama yangu angekuwa hai aninene maneno ya mbinguni kama mama Dr ipyana. May our good lord bless you mama am a praise teamet in our church and I love to sing your songs , mungu akupeleke mbali ndungu yangu kutota Tanzania, Mimi Sina ndundu mungu kamchukua mama heko kwako nimejifunza kutabili maneno ya baraka kwa wanangu
I have cried, what a wonderful mum she is his intercessor. May God bless her she is bold and full of wisdom.
God is still raising the dead, doctors know, mothers know. My siter lied dead in front of our eyes, my dad gave up, my mom prayed up after a five hours straight of no any sign of breath, she coughed and the rest is history! Mungu ni kweli!
Asante Mungu kuniwezesha kumsikiliza mama ipyana nimekumbuka ninavyomwambia mwanangu amtangulie Mungu kwa kila Jambo mtoto akimjua Mungu ktk roho na kweli ni Raha Sana Mungu naomba unisaidie wanangu wakujue na kutambua kuwa wewe ni mwokozi wa maisha yao na akatawale ndani yao
Sina mengi ya kusema, Dr Ipyana ndo mwimbaji wa gospel nampenda, namba mbili kutoka kwa mke wangu muimbaji pia. From kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu mama ana roho wa MUNGU na ana nguvu za MUNGU sio kawaida na ndo amemuambukiza na mwanae kuwa hivi YESU awatunze 🙏🙏🙏
Nilikuwepo iyo siku ila nimerudi kuangalia tena kuna mambo mengi yananigusa sana nimekuja kujua bila mama Ipyana asingekuwa kwenye wito wake
@yusuphluyungu8142
5 сағат бұрын
Amina
The joy of a mother is to see her children doing well. I salute you mother. Dr Ipyana ..nyimbo yakoya ya umefa hili umefanya Lile umenipa jina Baba Nina kushukuru.. Baraka zako zako hasiesabiki...neema Yako haizoeleki...😭😭😭😭😭 Machozi yanitoka. Barikiwa sana.🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🙏🙏
Mama mwenye uhafamu wa kiMungu natamani na mm Mungu anipe ufahamu wake niishi maisha ya kumtumaini kristo na watoto wangu kuwalea katika maisha yakumjua kristo wawe na upendo kwa watu wote na wamuheshimu Mungu na watu rika zote pasipo kuangalia uwezo wao Kingine nimejifunza nikiwa kama mama naweza kutengeneza kesho ya wanangu kwa maombi nakuwatamkia baraka katika kila jambo lililo jema. Nimelia sana nikafika mbali nikamuogopa Mungu kupitia clip hii Itoshe kusema asante Mungu kwa yote
@judyngowi391
4 күн бұрын
Unavyoramani hivyo na Mungu atakupa kadri ya matamanio yake
Touching and loving words Mungu nijalie kuwa mama mzuri kwa watoto wangu wakujue wewe Mungu wa kweli na kushika njia zako
Wazazi wote wangekua hivi kwa kweli tusingeteseka sana katika laana.😭😭Mungu nisaidie nitamkie wanangu baraka nakuwalea vyema
@judyngowi391
4 күн бұрын
Kweli kabisa dear
@cristamelahashimu3679
2 күн бұрын
Aiseee kweli kabisa
@helinahenry2363
2 күн бұрын
Kabisaaa, Sisi vijana tujifunze kumtumikia Mungu
@HAAM670
2 сағат бұрын
Nimeliaaaaa weeee, mwanzo hadi mwisho wa Maombi ya mama Ipyana. Sijui hata nalia nini. Thank you Lord Jesus
Uhimidiwe MUNGU wewe wa ajabuuu matendo yako makuuu sanaa , nipe na nguvu naujasiri wakuwalea wanangu kwa njia inayokupendeza Mungu wanguuu,, Ipyana you're blessed 🙌 such a mom a wonderful mom 😢laiti wazazi wote wangalikuwa namna hii ooh God ,, nipe nguvu nikawe kielelezo kwa wanangu.....baraka tele
Asante Mama kwa ushuhuda mzuri nimejifunza kitu.Mungu aendelee kukuongoza mtumishi wa Mungu
More love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mama ameongea mambo ambayo yamenifunza sana Mungu akutunze mtumi shi wa Mungu amtumze na Mama nimetamani sana Mama yangu angekuwa hai alikiwa anapenda kunipa maneno ambyo Leo yamekuwa msaada kwangu
Kenyan love ipyana🎉 You are a Blessing mum
@lilyabel2320
4 күн бұрын
We love you too Kenyan people❤
Kwamaombi kama hayo Mutumishi haataweza kuogopa chochote hata kama nisimba ama mlima gani mbele yake kwasababu amebalikia namama ake 😢 Oooh Jehovah God it touched my soul
Wow, Najifunza kutoka kwa MAMA. Mafunzo mazito, Mungu akuhifadhi mama Ipyana. Uishi miaka mingi na uzidi kuzungumza kwa hekima za Mungu.
I came across the song : Bwana minakushukuru first week of June 2024 and it has lifted up my soul and am grateful to God. Though i don't understand much Tanzanian Swahili am watching this testimony from Zambia 🇿🇲 am a single mother of four and am learning something from our mom🙏🙏 i believe the first prophet of a child is the mother 🙌🙌🙏
What a motherly love. Mother's love is very important 🙏
Wakristo tujifunze na huyu mama nimekupenda sana mama yetu mungu akulinde nauedelee kutuombea pia sisi tunaye fuatilia mahumbili na mwanao pia yy twampenda sana na yy pia mungu wetu amlinde asante mama kwa somo lako nimejifunza kitu kutoka kwako..
Nimetokwa na machozi nimejifunza kitu kikubwa sana na nimebarikiwa .Mungu akutunze mama Ipyana.Dr Ipyan Umebarikiwa sana sana Mungu akutunze na akuinue zaidi na zaidi kwaajili ya Utukufu wa Mungu.
Dr Ipyana is really blessed ,much love from Burundi ❤
nimelia sana 😢😢😢😢 Mungu akubariki sana mama ipyana R.I.P mama yangu Mungu akupe pumziko zuri🙏🙏🙏🙏
Mjue sana Mungu ili uwe na Amani Oh hallelujah Mama Asante hakika Mungu mama yu nawe nimemuona Mungu pia nimejazwa Roho mtakatifu kwa kuangalia video KZread hakika Yesu unaishi ndani Yetu
Aiseee nami nimelia sana...namimi mwanangu aliungua wakati baba yake hayupo.....Amina lakini Mungu alinishindia pia
Twaitaji huu ujumbe kwenye tiktok tukasambaze tafadhali ❤
What an inheritance from the mum To Dr Ipyana, this is the greatest of all.. Jesus Christ the hope of Glory
BEING A PARENT IT'S A CALL
Wooooow😭😭😭😭😭😭😭😭. What a Testimony❤❤❤❤❤❤❤. Man of God Dr Ipyana,you're God's Seed.....Thank you Mama Ipyana for your GREAT FAITH Since his Childhood!!!
Mama nzuri sana, Mungu akubariki mama
From Kenya so touched 😭😭😭😭 may God be glorified 🙏🙏🙏
aaaaawwww...my heart is full. They are both lucky to have each other. I came to know Daktari through his song "kama sio mkono wako". May God continue using you to bless us
mum your surely annointed..,i love you mama..
Mungu Ni mkuu Sana - Mama Mungu AKUBARIKI na atunze hii neema kwa Dr
Mama Mungu akubariki sana Kwa upendo wako,umenibariki sana Mungu akuongezee maisha marefu
Ipyana alinishuhudia huku Marekani kuwa aliungua vibaya sana..karibu are akiwa na miaka miwili..Kweli Mungu ni wa ajabu alimponya.
My humble request is to consider translating kiseahili for the international audience 🙏😢
Najiungamanisha na hii neema ya maombi ya mama Ipyana kwa jina la Yeau.❤❤
I just see God in this testimony🥺
Mama asante sana . MUNGU akubariki mama yangu❤❤❤
Asante sana Mama Ipyana kwa maneno ya hekima na maarifa. Dr Ipyana ukawe baraka daima uwe mnyenyekevu
Like mother like son, be blessed man of God
Asante Mama umenipa nguvu ya kusonga mbele kama Mama wa familia😢😢😢
Ee BWANA YESU nijalie niwe kama mama huyu kwa watoto wangu🙌🙌🙌🙏
Ubarikiwe mama Mungu amekupa hekma ya hali ya juu .Let God protect you 🙏 watching from USA
This day was amazing aisee ,Mungu aliniudumia mapema Sana,Glory and Honour belong to God Almighty
Barikiwa mno Mtumishi wa Mungu! Una Imani kubwa sana
Hallelujah. Proud of you mom. Mungu awabariki family ya Mzee Kibona
Kama mama nimejifunza jambo Zuri sana barikiwa mama ipyana
Mungu Na ambariki huyu mama Na mtoto wake dr.ipyana
So touching! Mungu akubariki mama Ipyana kwa hizi shuhuda.❤ Dr Ipyana umebarikiwa sana. Mungu aendelee kukutumia
This got me. Thank you, Mama, for teaching us today. Honouring God brings peace.
Mama wa busara , powerful
Wow wow may God receive all the glory watching from Seattle
Powerful indeed.. Such testimony and blessing from parents really helps
I pray this grace to be upon my Son in JESUS Name!
Nimependa❤ Tafuta kuwa na amani na watu wote.Tuitazame msalaba. Nimejifunza mambo mengi kutoka kwa mama huyu mwenye busara. Mungu akubariki Dr Ipyana. Wakenya twapenda injili unayoeneza kupitia nyimbo zako.
Wow. All glory be to God. This is powerful.
Nimelia!!upendo wa mama hauna kifani!!Mungu baba naomba Nitunzie mama yangu!Mungu uwatunze wa mama wote na waliokuja kwako uwapokee!
Hallelujah 😭😭😭😭, Mama ana madini mengi.
Dr ipyana n mnyenyekevu mno, na inaonekana Mama Mungu akupe umri mrefu Dr ipyana roho azidi kukutumia kwa ajili ya taifa na ulimwengu
Mambo ya nguvu yakuandame mama ❤❤❤❤❤, Mungu akutunze
Ikawe kwangu na mmi nikajazwe roho mtakatifu 😢❤
Mungu aendelee kumlinda mtumishi Dr Ipyana .Mama Mungu akuongezee Miaka mingi
❤❤❤TANGIBLE MANIFESTATION OF GOD'S GLORY. THIS WILL REMAIN POWERFUL FOREVER AND EVER.
Mungu akubariki ushuhuda mkubwa sana mama umenifundisha mengi
Kama mama WA watoto nimejifunza kitu hapo Tunashukuru mtumish WA Mungu. Nimejikuta nabubujika mno na kulia mbele za Mungu hakika Yesu ni mwaminifu.
Umenifundisha kitu kikubwa sana mama mungu akubariki
Mum mzuri sana 🎉🎉🎉❤ nakupenda sanaaaaa
Nimebalikiwa sana mungu akubaliki sana mama
Napokea hii hekima kama mama kwa jina la Yesu
Amina Mungu aendelee kukutumiau mtumishi wa Mungu usiende kusho kulia uangalie msalaba utakusaidia ipo neema ya msalaba
Kiukweli Mama ipyana ni mama wa kuingwa katika jamii
Amen, maombi ya mama ni very powerful
I can't wait for this
Amen Mama Mungu akutumze.
Aisee hadi machozi ... ndomana huwa nasema maombi ya mzazi kwa mtoto ni powerful kwa destiny ya mtoto
Familia Yao wote walikuwa watumishi Mzee kibona babake ipyana tuliimba nae sana ibada za hasubuh
That was very powerful and emotional
Ubarikiwe Mama
Mungu akubariki mama Ipyana❤
Mungu akubariki sana mama
Bro ipyana mungu azidi kukuinua, mama amejawa na nguvu
Nimeliaaaa. Mungu nisaidie niwe kama huyu mama na nizidi kukujua wewe Mungu.
@JudithAdonis
2 күн бұрын
😢😢😢😢
Who's cutting onions 😢❤this is uplifting ❤barikiwa sana mum ipyana kwa kutufunza njia
@JudithAdonis
2 күн бұрын
Oooh 😢😢😢
Wow j'adore ce moment Dieu soit loué
My spirit was mothered intercessory.wise for a minute
very powerful message, God bless you so Much MAMA.
Mama mungu akubariki sana
Natamani wazazi wote wangekuwa kama mama Dr ipyana
So powerful and emotional.
Amen. What a blessing! 😊
Nimeguswa sana na Shuhuda za mama na jinsi alivyo tamka baraka kwa mwanawe.Jina la Bwana Litukuzwe
Yesu Asante kwa Maisha Ya Mama Ipyana 😭🙏🏾
Namuona kama mama angu .... daaaaah RIP mama angu pumzika kwa amani
Duh! Ilikuwa wapi hii? Ushuhuda mkubwa umeniliza na kufanya imani yangu kuwa kubwa, mpaka nimeunguza chakula
God I bless you 🤲🧎🙏😭😭😭My you keep well Mon and Dr Ipyana, your servant. Amen 🙏.
Mama asante sana
Ubarikiwe mama mzuri.