Sijikumbuki nimelia lini .. Ila Nimemuona MUNGU kupitia huyu mama . MUNGU akubariki mama Yangu nakupenda❤
@godlema610423 сағат бұрын
Video nimeiangalia mara nyingi zaid kilanikiangali natokwa na machozi
@diananampaso1803Күн бұрын
I receive a blessed name in the Name of Jesus Christ 🙏🙏
@joelkirita7501Күн бұрын
Blessed 🙏
@EliaMgesiКүн бұрын
Aminaaaana
@venerandamangore1384Күн бұрын
M A M A 🙌🙌🥺❤️
@sophiayuga3014Күн бұрын
Watu wa mungu,Mungu awainue zaidi
@ElishaMwashambwa-s4nКүн бұрын
Glory to God
@wamuyunguthari1523Күн бұрын
A mother's prayer it's so powerful and alive each day in her children's life. Ohh .. I found myself crying as her mum speak blessings, giving him wisdom and knowledge and praying over him. Be humble and God will bless you. Baraka tele from Kenya🇰🇪
@EvaEzekielКүн бұрын
Mh asant Yesu nimejifunza kitu hapo
@IloveJesus-nd7swКүн бұрын
Amen
@irankundadorcas196Күн бұрын
yes thanks GOD
@violethmtalemwa5190Күн бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo za ipyana Mama ipyana uishi umri mrefu umeongea maneno ambayo kila mtu anatamani atamkiwe na mzazi wake ubarikiwe sana mama.
@clarapachiКүн бұрын
Hallelujah
@luciamsaniКүн бұрын
You"re blessed Dr.Ipyana 🙏🙏
@ZubedaVicentКүн бұрын
Huyu mtumishi Nichonbo kilicho tengenezwa na MUNGU Mwenyewe
@judithtitomalyeta4000Күн бұрын
Amina mpatia mtoto baraka zote ipyana barikiwa sana
@Ericzdeking24Күн бұрын
Baba ninakushukuru kwa yote.Jina lako liinuliwe.
@paulinenjoki9137Күн бұрын
Nita rejea hapa kutestify kwasababu mungu atanibariki na kazi mzuri, mungu atanipa Jina amen.
@Magrethw-xp4ruКүн бұрын
Asnte Mungu napokea Neema ya Mama ❤️❤️
@fatumamimbi3126Күн бұрын
Ninamshukuru sana Mungu kwa matendo makuu kwangu,,,mbona sistahili ,,umenistahilisha hivi mimi ninani?Mungu ni mwema sana wewe ni mwaminifu wakuaminiwa.
@ailennkya892Күн бұрын
Dah Jina la Bwana liinuliwe Mama umetufunza mengi. Ubarikiwe mnoo
@ulumbieliasКүн бұрын
Hata Sasa mungu Bado mwema Sana kwako mpendwa okoka tu mama zako wapo wengi katika imani
@user-sh8nk8er7n2 күн бұрын
Kweli Dr Ipyana majina ya Mungu lazima kuanza na herufi kubwa 😇
@nicolngonga13512 күн бұрын
From Kenya so touched 😭😭😭😭 may God be glorified 🙏🙏🙏
@hurumalawrence49892 күн бұрын
Napokea hii hekima kama mama kwa jina la Yesu
@NyawiraMuiruri2 күн бұрын
This is not just a song but a prayer❤
@mercymaringa68902 күн бұрын
Mungu Na ambariki huyu mama Na mtoto wake dr.ipyana
@JoanNgoli2 күн бұрын
Wow. All glory be to God. This is powerful.
@NivessKomba2 күн бұрын
Asante YESU wangu kwa mema yote.
@yusuphluyungu81422 күн бұрын
Ubarikiwe Mama
@pilisinde88302 күн бұрын
Umenifundisha kitu kikubwa sana mama mungu akubariki
@DanielBaryakare2 күн бұрын
Good song
@perischarlse45932 күн бұрын
Wakristo tujifunze na huyu mama nimekupenda sana mama yetu mungu akulinde nauedelee kutuombea pia sisi tunaye fuatilia mahumbili na mwanao pia yy twampenda sana na yy pia mungu wetu amlinde asante mama kwa somo lako nimejifunza kitu kutoka kwako..
@angelaswai19632 күн бұрын
Aisee hadi machozi ... ndomana huwa nasema maombi ya mzazi kwa mtoto ni powerful kwa destiny ya mtoto
@dianadaudi11842 күн бұрын
Mjue sana Mungu ili uwe na Amani Oh hallelujah Mama Asante hakika Mungu mama yu nawe nimemuona Mungu pia nimejazwa Roho mtakatifu kwa kuangalia video KZread hakika Yesu unaishi ndani Yetu
@stephenodhiambooluoch89812 күн бұрын
Wernderful
@user-lx2vg7ku2n2 күн бұрын
Nime Lia machozi yakumwana mama akitamka maneno ya utukufu wa mungu kwa mwanawe
@user-lx2vg7ku2n2 күн бұрын
Kutoka kenya nimetamani mama yangu angekuwa hai aninene maneno ya mbinguni kama mama Dr ipyana. May our good lord bless you mama am a praise teamet in our church and I love to sing your songs , mungu akupeleke mbali ndungu yangu kutota Tanzania, Mimi Sina ndundu mungu kamchukua mama heko kwako nimejifunza kutabili maneno ya baraka kwa wanangu
@EdisonSafari-d8f2 күн бұрын
Aki mnanibariki😂❤
@user-wu2dj4og7i2 күн бұрын
Amen 🙏
@bushman0-yo8uf2 күн бұрын
What a motherly love. Mother's love is very important 🙏
@kossyngetich43422 күн бұрын
This was our theme song for the youth conference ACK Bungoma diocese...
@user-sr4rn1uj2n2 күн бұрын
Ikawe kwangu na mmi nikajazwe roho mtakatifu 😢❤
@sikitunathing94292 күн бұрын
Twaitaji huu ujumbe kwenye tiktok tukasambaze tafadhali ❤
@sikitunathing94292 күн бұрын
Mama nzuri sana, Mungu akubariki mama
@NivessKomba2 күн бұрын
Mungu Asante kwa baraka zako nyingi. Acha tu nitafute uso wako eehee mfalme wa wafalme.
@belinderoluoch40392 күн бұрын
aaaaawwww...my heart is full. They are both lucky to have each other. I came to know Daktari through his song "kama sio mkono wako". May God continue using you to bless us
Пікірлер
❤❤❤ mama 🎉
Sijikumbuki nimelia lini .. Ila Nimemuona MUNGU kupitia huyu mama . MUNGU akubariki mama Yangu nakupenda❤
Video nimeiangalia mara nyingi zaid kilanikiangali natokwa na machozi
I receive a blessed name in the Name of Jesus Christ 🙏🙏
Blessed 🙏
Aminaaaana
M A M A 🙌🙌🥺❤️
Watu wa mungu,Mungu awainue zaidi
Glory to God
A mother's prayer it's so powerful and alive each day in her children's life. Ohh .. I found myself crying as her mum speak blessings, giving him wisdom and knowledge and praying over him. Be humble and God will bless you. Baraka tele from Kenya🇰🇪
Mh asant Yesu nimejifunza kitu hapo
Amen
yes thanks GOD
Nabarikiwa sana na nyimbo za ipyana Mama ipyana uishi umri mrefu umeongea maneno ambayo kila mtu anatamani atamkiwe na mzazi wake ubarikiwe sana mama.
Hallelujah
You"re blessed Dr.Ipyana 🙏🙏
Huyu mtumishi Nichonbo kilicho tengenezwa na MUNGU Mwenyewe
Amina mpatia mtoto baraka zote ipyana barikiwa sana
Baba ninakushukuru kwa yote.Jina lako liinuliwe.
Nita rejea hapa kutestify kwasababu mungu atanibariki na kazi mzuri, mungu atanipa Jina amen.
Asnte Mungu napokea Neema ya Mama ❤️❤️
Ninamshukuru sana Mungu kwa matendo makuu kwangu,,,mbona sistahili ,,umenistahilisha hivi mimi ninani?Mungu ni mwema sana wewe ni mwaminifu wakuaminiwa.
Dah Jina la Bwana liinuliwe Mama umetufunza mengi. Ubarikiwe mnoo
Hata Sasa mungu Bado mwema Sana kwako mpendwa okoka tu mama zako wapo wengi katika imani
Kweli Dr Ipyana majina ya Mungu lazima kuanza na herufi kubwa 😇
From Kenya so touched 😭😭😭😭 may God be glorified 🙏🙏🙏
Napokea hii hekima kama mama kwa jina la Yesu
This is not just a song but a prayer❤
Mungu Na ambariki huyu mama Na mtoto wake dr.ipyana
Wow. All glory be to God. This is powerful.
Asante YESU wangu kwa mema yote.
Ubarikiwe Mama
Umenifundisha kitu kikubwa sana mama mungu akubariki
Good song
Wakristo tujifunze na huyu mama nimekupenda sana mama yetu mungu akulinde nauedelee kutuombea pia sisi tunaye fuatilia mahumbili na mwanao pia yy twampenda sana na yy pia mungu wetu amlinde asante mama kwa somo lako nimejifunza kitu kutoka kwako..
Aisee hadi machozi ... ndomana huwa nasema maombi ya mzazi kwa mtoto ni powerful kwa destiny ya mtoto
Mjue sana Mungu ili uwe na Amani Oh hallelujah Mama Asante hakika Mungu mama yu nawe nimemuona Mungu pia nimejazwa Roho mtakatifu kwa kuangalia video KZread hakika Yesu unaishi ndani Yetu
Wernderful
Nime Lia machozi yakumwana mama akitamka maneno ya utukufu wa mungu kwa mwanawe
Kutoka kenya nimetamani mama yangu angekuwa hai aninene maneno ya mbinguni kama mama Dr ipyana. May our good lord bless you mama am a praise teamet in our church and I love to sing your songs , mungu akupeleke mbali ndungu yangu kutota Tanzania, Mimi Sina ndundu mungu kamchukua mama heko kwako nimejifunza kutabili maneno ya baraka kwa wanangu
Aki mnanibariki😂❤
Amen 🙏
What a motherly love. Mother's love is very important 🙏
This was our theme song for the youth conference ACK Bungoma diocese...
Ikawe kwangu na mmi nikajazwe roho mtakatifu 😢❤
Twaitaji huu ujumbe kwenye tiktok tukasambaze tafadhali ❤
Mama nzuri sana, Mungu akubariki mama
Mungu Asante kwa baraka zako nyingi. Acha tu nitafute uso wako eehee mfalme wa wafalme.
aaaaawwww...my heart is full. They are both lucky to have each other. I came to know Daktari through his song "kama sio mkono wako". May God continue using you to bless us
Kyala abhatule kumwanya kununu