Nimejifunza, kazi yangu inapaswa imwabudu Mungu yaani iwe sehem ya watu kumwona Mungu na kuachilia sifa zao kwa Mungu....eeeh Mungu nisaidie niwafundishe hawa watoto kwa upendo km ulivyojitoa kwangu
@jacksonmrema47373 ай бұрын
I miss That Place 😢 I attend Service nilipokuwa Chuo Mbeya University Waooh!! Mungu awabariki watumishi na watenda kazi wa Madhabahu hii...Daah! Asante Mungu kwa neema ya kumpenda na kwa watumishi wako wote...heri kumjua Yesu Bwana ❤❤ That a Grace.
@IloveJesus-nd7sw4 ай бұрын
Nakupenda saaaaaana, what a lesson . Ulikuwa unamsifu Mungu si yeye kukupa chochote no. Ukijisikia kumpenda. Nimebarikiwa sana.Utukufu kwa Mungu
@thomaskiponda60793 ай бұрын
WANAOJIFUNZA SOMO HILI LIVE WANAFAIDI SANA MAANA NI SOMO UMUHIMU SANA JAPO KUWA UPATIKANAJI WAKE NI HADIMU❤❤❤❤❤❤❤❤
@JanethZefania4 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana Yesu roho wa Bwana amenifundisha kitu. Ubarikiwe sana Bwana aendelee kukutumia kwa viwango vya juu mno
@annmutongu36672 ай бұрын
A true worshipper God bless you and keep you am in the medical profession and God really reveals Himself through medics who fear God.Your worship is so encouraging
@paschaltimotheo54414 ай бұрын
Nimebarikiwa mno, ubarikiwe sana man of God Dr. Ipyana kwa ujumbe mzuri
@marthandenuka7903Ай бұрын
Nilikuwa nahitaji ujumbe huu asubuhi hii, asante sana Mtumishi wa Mungu kwa neno lenye nguvu na faraja.
@marykibali75684 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi leo nimejifunza kitu hallelujah
@magrethwillson20213 ай бұрын
Sito mkatia tamaa Mtakatifu wa Israeli kwenye maisha yangu na watoto wangu Najua unani imarisha Mungu wangu 😭😭 🙏🙏.
@magrethmkemwa928722 күн бұрын
Mungu akubariki,somo adimu Sana Kwa kizazi hiki
@rebeccabrown51353 ай бұрын
Asanti Mungu naomba na mimi unipee kibali changu
@user-xk7vt1ic4mАй бұрын
Asante Bwana Yesu
@angelmsuya74233 ай бұрын
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu
@MSM3744 ай бұрын
Amina from USA
@joyceallan27584 ай бұрын
Asante Mwana Wa MUNGU YESU KRISTO , KWA SOMO HILO DEAR LORD HELP ME TO HAVE IT, TO WORSHIP YOU EVERY DAY, EVERY HOUR, EVEN MY JOY MAY ALSO WORSHIP YOU
@mwl.peternjau11014 ай бұрын
From Nairobi kenya
@JustineMlambie2 ай бұрын
Mungu akutumie sawa na mapenzi yake
@StephenNdegwa-mb7qwАй бұрын
❤ hii ibada ni ya maana nguvu 😂na 🎉nyingi sana za mungu
@BenadethDagharo3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi nyimbo zako zina niponya nakunipa hatua fulani kiroho kabla hata sijawahi kukuona nikiwa na sikiliza nyimbo tu naponwya Mungu akupe hatua
@pendojosephmagadula4828Ай бұрын
Amen
@JoyceNdossaАй бұрын
Yesu nisaidie
@petermkare27902 ай бұрын
God bless u man of God
@SuzanaNghelembi4 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana
@marcelastephen42472 ай бұрын
Yesu chukua madhaifu yangu yote in Jesus name
@hopemaish984 ай бұрын
Waabuduo wawe nauwezo wa kumpeleka Yesu wao mtaani...may God help me 😮😢
@talentshow20242 ай бұрын
Be blessed a man of God I got spirit healing now
@JUDITHAMONDI3 ай бұрын
Shukran sana kwa hii mafundisho, nimehisi kunyenyekea zaidi na zaidi. Ubarikiwe mno.
@marystephen11834 ай бұрын
Mungu akubariki sana we baba yaani sijui niseme nini ila asifiwe sana Yesu kwaajili yako
@Eng.MillyG.4 ай бұрын
I am truly blessed. This teaching is deep.
@EllyMasam3 ай бұрын
Mungu aendelee kutunza huduma aliyoweka ndani yako
@gift_of_worship_mada_madulu4 ай бұрын
AMEEEEN. THANK YOU FOR REVELATION. GLORY TO GOD
@annamagawa3995Ай бұрын
Sifa na utukufu tunakurudishia Bwana
@taupenisanshimirimana4754 ай бұрын
Wakwazaa ebu nipeni like hata moja 😭
@user-zq3xt3ib3n4 ай бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
@elizabethmgina9453 ай бұрын
Barikiwa sana dr ip
@rosejemima35524 ай бұрын
Hallelujah 🙌
@user-om3jd6kq4p2 ай бұрын
MAY 2024 #TUKO_PAMOJA ! ASANTE SANA !
@lebeccachalamila69564 ай бұрын
Amena hakika kunakitu cha kujifunza
@rosejemima35524 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@REBECCAMOLLEL-ex7zu4 ай бұрын
Amenii utukufu Kwa Mungu
@BabyConstble3 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe na uzidi kuinuliwe maana unafungua wengi
@vickymoshi60384 ай бұрын
Sifa na Utukufu ni zako Jehova
@EggysDiary4 ай бұрын
Amina
@Jujan12353 ай бұрын
😊najifunganisha na neema hiyo
@felistervenance88634 ай бұрын
God help me to preach you through my attitude,action whether it's home or working area,,,
@enockmusyoka14 ай бұрын
Nimebarikiwa sana 😢
@devothaalfredlwinga69324 ай бұрын
🙌🏽
@nicetoknow274 ай бұрын
Nimefunuliwa kitu kupitia mahubiri haya
@wamagata20234 ай бұрын
Watching from kenya
@shedrackrukwetu49083 ай бұрын
Ubalikiwe saana kuna sehemu umenivusha kupitia mafundisho yako ❤❤❤❤❤❤
@felistervenance88634 ай бұрын
Regardless the situation is ,,the circumstances around me is::Those doesnot remove your divinity God .....
@Apostlepetermusungu4 ай бұрын
Nakufwatilia sana . Kila hatua unayofanya nipo...sitachoka
@rispercharo8104 ай бұрын
Sante mtumishi wa Mungu.
@jameskuguru62664 ай бұрын
This time sound system not tht clear Abit noisy
@shaddybmc83424 ай бұрын
Pastor maboko👏👏
@anethfredy9864 ай бұрын
Hawa watu mbona nimabosi sana KwA huo uwepo wa Mungu wamekaza kwenye viti no kusimama wala hawashughuliki Bwana tusaidie
@ImanMwakyeja-cw3ty
4 ай бұрын
Upo sahihi nami nimewaona 😂😂😂😂 Dr ana abudisha hata hawajitikisi. Naona mmoja wawili flani ivi ndo angalau wanatikisika. Khaaa!
@jobwikismedia
3 ай бұрын
No, something mafundisho yanaweza kuugusa moyo wako ukabaki umeduwaa.
@doreenmueke
3 ай бұрын
Aki hata nashangaa, nikama wamechoka😂😂😂😂
@doreenmueke3 ай бұрын
Teaching is about worship and the congregation can't stand to worship 😂or they're standing in the spirit 😂😂😂
@DinahKasemire2 ай бұрын
Amen
@user-zq3xt3ib3n4 ай бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
@SuzanaNghelembi4 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana
Пікірлер: 66
Libarikiwe tumbo lililo kuzaa mtummishi wa mungu. nabarikiwa nkisikiliza mahubiri yako.
Nimejifunza, kazi yangu inapaswa imwabudu Mungu yaani iwe sehem ya watu kumwona Mungu na kuachilia sifa zao kwa Mungu....eeeh Mungu nisaidie niwafundishe hawa watoto kwa upendo km ulivyojitoa kwangu
I miss That Place 😢 I attend Service nilipokuwa Chuo Mbeya University Waooh!! Mungu awabariki watumishi na watenda kazi wa Madhabahu hii...Daah! Asante Mungu kwa neema ya kumpenda na kwa watumishi wako wote...heri kumjua Yesu Bwana ❤❤ That a Grace.
Nakupenda saaaaaana, what a lesson . Ulikuwa unamsifu Mungu si yeye kukupa chochote no. Ukijisikia kumpenda. Nimebarikiwa sana.Utukufu kwa Mungu
WANAOJIFUNZA SOMO HILI LIVE WANAFAIDI SANA MAANA NI SOMO UMUHIMU SANA JAPO KUWA UPATIKANAJI WAKE NI HADIMU❤❤❤❤❤❤❤❤
Sifa na utukufu kwa Bwana Yesu roho wa Bwana amenifundisha kitu. Ubarikiwe sana Bwana aendelee kukutumia kwa viwango vya juu mno
A true worshipper God bless you and keep you am in the medical profession and God really reveals Himself through medics who fear God.Your worship is so encouraging
Nimebarikiwa mno, ubarikiwe sana man of God Dr. Ipyana kwa ujumbe mzuri
Nilikuwa nahitaji ujumbe huu asubuhi hii, asante sana Mtumishi wa Mungu kwa neno lenye nguvu na faraja.
MUNGU akubariki sana mtumishi leo nimejifunza kitu hallelujah
Sito mkatia tamaa Mtakatifu wa Israeli kwenye maisha yangu na watoto wangu Najua unani imarisha Mungu wangu 😭😭 🙏🙏.
Mungu akubariki,somo adimu Sana Kwa kizazi hiki
Asanti Mungu naomba na mimi unipee kibali changu
Asante Bwana Yesu
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu
Amina from USA
Asante Mwana Wa MUNGU YESU KRISTO , KWA SOMO HILO DEAR LORD HELP ME TO HAVE IT, TO WORSHIP YOU EVERY DAY, EVERY HOUR, EVEN MY JOY MAY ALSO WORSHIP YOU
From Nairobi kenya
Mungu akutumie sawa na mapenzi yake
❤ hii ibada ni ya maana nguvu 😂na 🎉nyingi sana za mungu
Ubarikiwe mtumishi nyimbo zako zina niponya nakunipa hatua fulani kiroho kabla hata sijawahi kukuona nikiwa na sikiliza nyimbo tu naponwya Mungu akupe hatua
Amen
Yesu nisaidie
God bless u man of God
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana
Yesu chukua madhaifu yangu yote in Jesus name
Waabuduo wawe nauwezo wa kumpeleka Yesu wao mtaani...may God help me 😮😢
Be blessed a man of God I got spirit healing now
Shukran sana kwa hii mafundisho, nimehisi kunyenyekea zaidi na zaidi. Ubarikiwe mno.
Mungu akubariki sana we baba yaani sijui niseme nini ila asifiwe sana Yesu kwaajili yako
I am truly blessed. This teaching is deep.
Mungu aendelee kutunza huduma aliyoweka ndani yako
AMEEEEN. THANK YOU FOR REVELATION. GLORY TO GOD
Sifa na utukufu tunakurudishia Bwana
Wakwazaa ebu nipeni like hata moja 😭
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
Barikiwa sana dr ip
Hallelujah 🙌
MAY 2024 #TUKO_PAMOJA ! ASANTE SANA !
Amena hakika kunakitu cha kujifunza
Amen 🙏🙏🙏
Amenii utukufu Kwa Mungu
Mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe na uzidi kuinuliwe maana unafungua wengi
Sifa na Utukufu ni zako Jehova
Amina
😊najifunganisha na neema hiyo
God help me to preach you through my attitude,action whether it's home or working area,,,
Nimebarikiwa sana 😢
🙌🏽
Nimefunuliwa kitu kupitia mahubiri haya
Watching from kenya
Ubalikiwe saana kuna sehemu umenivusha kupitia mafundisho yako ❤❤❤❤❤❤
Regardless the situation is ,,the circumstances around me is::Those doesnot remove your divinity God .....
Nakufwatilia sana . Kila hatua unayofanya nipo...sitachoka
Sante mtumishi wa Mungu.
This time sound system not tht clear Abit noisy
Pastor maboko👏👏
Hawa watu mbona nimabosi sana KwA huo uwepo wa Mungu wamekaza kwenye viti no kusimama wala hawashughuliki Bwana tusaidie
@ImanMwakyeja-cw3ty
4 ай бұрын
Upo sahihi nami nimewaona 😂😂😂😂 Dr ana abudisha hata hawajitikisi. Naona mmoja wawili flani ivi ndo angalau wanatikisika. Khaaa!
@jobwikismedia
3 ай бұрын
No, something mafundisho yanaweza kuugusa moyo wako ukabaki umeduwaa.
@doreenmueke
3 ай бұрын
Aki hata nashangaa, nikama wamechoka😂😂😂😂
Teaching is about worship and the congregation can't stand to worship 😂or they're standing in the spirit 😂😂😂
Amen
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana
Amen