KWA MSAADA WA MAOMBI | MASWALI NA USHAURI-0767 379737
Жүктеу.....
Пікірлер: 144
@LodvolaLameck-jl5vsАй бұрын
Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya
@EZEKIAMGWILANGA-hj4hj2 ай бұрын
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi
@EdinaWawa-mx3ed2 ай бұрын
Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
@dativarichard1987Ай бұрын
Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya
@esthermliga48752 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
@michaelwanyanga2 ай бұрын
Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!
Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako
@RodahAdonice-dz4smАй бұрын
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
@GRACEOFJESUSCHANNEL3573 күн бұрын
Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi
@Gaen-cz4kp2 ай бұрын
Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.
@RehemaNchimbi-ki2ed2 ай бұрын
Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli
@JacklineJackson-pu4bvАй бұрын
Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji
@roseyongolo3022 ай бұрын
Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,
@boscomhenusi78442 ай бұрын
Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi
@AgnessIbrahim-nt1kr2 ай бұрын
Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,
@user-zq9dm2kw6c2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen
@rebeccamaunde4085Ай бұрын
Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake
@tausimwinuka2 ай бұрын
Injili isiyogoshiwa..ndio hii
@KiboJoseph-cc5eu2 ай бұрын
nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.
@edimondhatangimana60312 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.
@NathanielJeksta2 ай бұрын
Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa
@kizandume30153 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@user-vz4xv7lg3x2 ай бұрын
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
@uzimakwayesutv2 ай бұрын
Amen Baba Wasaidie
@emmanuelmbae18 күн бұрын
Pastor be blessed you are preaching the facts
@user-ez6cy4pj8z19 күн бұрын
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
@fatumaremy15 күн бұрын
Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu
@user-cd6vh5yk1m2 ай бұрын
Asante baba nimekuelewa
@lindakapongo842114 күн бұрын
asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe
@raphaelmwamakimbula964215 күн бұрын
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
@FelixOchieng-ue6cnАй бұрын
Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.
@obadiambilinyi272 ай бұрын
Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu. Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka
@wakulampekazadi298723 күн бұрын
Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤
@JoyceWakio-pw1hfАй бұрын
Amen Hallelujah Barikiwa sana 🙏 🙌 mtumishi wa Wa Mungu alie na sikio na asikie neno hili .
@winniemugaliza667610 күн бұрын
Asante Sana mtumishi
@Kanyawela2 ай бұрын
Mungu akubariki Sana tunataka injili ya mitume na manabii Kama hii tusamee MUNGU wetu
@FloranceNabwileАй бұрын
Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe
@user-un5gv5zp1p2 ай бұрын
SEMA tupote mtumishi wa Mungu ubarikiwe
@tagcdcchurch60312 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, huu ndo ukweli hata kama wengi hawaukubali.
@ernesterkasumba9742 ай бұрын
Aminaaa kweli kanisa limevamiwa ila hai wachungaji siamini kama wameitwa na Mungu sema kweli mtumishi aliye wa Mungu atapona
@luthgadeschrispin65542 ай бұрын
Hongera mtumishi Mungu kwa mafundisho mazuri kanisa litapona sasa
@Tunumwamafupa-vr4kq9 күн бұрын
Amen ubarkiwe baba
@AidaRaphael8 күн бұрын
Barikiwa mtumishi
@user-cr9rp7fl8j11 күн бұрын
Amina watumishi
@thestandardoflivingchurchi213Ай бұрын
Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.
@juliethmshanga2 ай бұрын
pastor ni kweli kabisa Mungu akubariki sana
@monicahnjambi3240Ай бұрын
Thanks pastor na ukweli usemwe watu wawe huru
@sarahmdindile43012 ай бұрын
Amen, kweli tupu Mungu azidi kukutumia zaidi
@FemidaHebronАй бұрын
Amen baba angu mungu aendelee kukutumia
@rizikidada9790Ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nimepona
@abbygaelsharon49729 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@FurahaNtuyeАй бұрын
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
@sapispaha443013 күн бұрын
Nimebarikiwa
@RoseMbwawa26 күн бұрын
Mungu akubariki🙏🙏🙏
@helenshehele1902Ай бұрын
May God bless you man of God...good information for all christians
@tigiranlulu506512 күн бұрын
Amina
@janengaga2928Ай бұрын
Amina baba mchungaji barikiwa sana.
@rebecakikoti374Ай бұрын
Bsrikiwa baba. Umenifurahisha aiseee
@smartmwakipesile3842Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@JaneLaizer-tb6zlАй бұрын
Asante mtumishi maan Hali ni mby
@MarthaMathew-xq6hxАй бұрын
Amina mchungaji tunaomba Tena urundi bunda
@endtimes98502 ай бұрын
Amen
@generalbeepoka15Ай бұрын
Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi
@LinetKamete15 күн бұрын
Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima
@jeremynjokaАй бұрын
God bless you man of God
@andrewkasongo1368Ай бұрын
Ameen Ameen Ubarikiwe sana
@CANAANTZ_TVАй бұрын
Tuzidi kuombeana watumishi wa MUNGU
@user-uj5iv2oi2g2 ай бұрын
Mimi n'a sema Amina,basi mungu asifiwe
@floradavid5216Ай бұрын
Mungu tufungue macho
@user-ux8be1ee1rАй бұрын
Asante mtumishi.
@KibasumbaYvonne2 ай бұрын
Umbarikiwe sanaaaa 🙌🙌🙌
@user-fy9uk4oh7xАй бұрын
Vazi alilo tupa Mungu ni vazi la wokovu mavazi ni utamaduni wa mahari
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Ай бұрын
Eden, Adam na Eva walipewa wokovu kuficha uchi wao ama ngozi?
@hoseapatrick243521 күн бұрын
Mungu huangalia mtu -ndani mpaka nje. -Kanisani mpaka nyumbani. -ukumbini mpaka sirini. Basi, watu waambiwe nini ili waelewe? WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@StephanoBatakundaАй бұрын
Muzee ubarikuwe Na Bwana
@LovelyChocolateBonbons-ok2ww2 ай бұрын
Kabisa barikiwa
@LeahMaina-lj3xkАй бұрын
I love this am for it 100percent
@MarthaMathias-ep3nt2 ай бұрын
Amina baba
@EliaPetro-zw4pdАй бұрын
Abiud BWANA akuinue
@KundaelGeorge-tv8mz2 ай бұрын
Baba ubariwe sana
@user-xs3kd6wj3uАй бұрын
Be blessed so much
@AdellaSanga2 ай бұрын
Amen baba
@user-td8xs6uj1cАй бұрын
Ubalikiwe sana baba SEMA ukweli
@user-zj6sv1id6u21 күн бұрын
Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂
@jamessila3219Ай бұрын
Akika nabarikiwa hapa kenya
@Bahati-nv8jw2 күн бұрын
Asnte kweli kwelikabisa semayote
@TupilikeMwakinyaka2 ай бұрын
AMINA
@musaliaeugene79759 күн бұрын
Ukweli mtumishi
@Martin-yz6xk15 күн бұрын
Kwa hakika mchungaji umekuza love wire.
@Martin-yz6xk
15 күн бұрын
Umekuza live wire
@GodfreyMushi-kn3nbАй бұрын
Huyu jamaa yuko serious sana kina mwakasege hawaongeagi kweli hiki ya MUNGU
@pettybrown2655Ай бұрын
Kweli kabisa Revaluation 6:11yaongelea vile mwanamke yuwapaswa kufalia
@dorcanyarangi4814Ай бұрын
Amen Amen Amen
@AizackMwamkingaАй бұрын
Great AMEN
@naimanmsawe1382Ай бұрын
asante mchungaji
@fredrickmgonaАй бұрын
Sema tupone baba
@user-jf2ep6ob3oАй бұрын
May God help me not to follow the trend but to follow Christ teaching 🙏🙏🙏
@Christine-jw6pzАй бұрын
Injili kamili..
@NjeriEunice-dc7nw23 күн бұрын
Hamna kudoo hapo, uasherati tu
@HFJ73Ай бұрын
Naam ukweli mtupu kabisa watu wavae kulingana na bibilia
Пікірлер: 144
Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi
Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊
Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya
Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.
Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!
Nakufurahia mtumishi tupo wachache MBINGUNI LAZIMA UFANIKIWE Amen
Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako
Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu
Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi
Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.
Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli
Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji
Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,
Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi
Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,
Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen
Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake
Injili isiyogoshiwa..ndio hii
nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.
Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.
Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa
Mungu akubariki mtumishi
Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana
Amen Baba Wasaidie
Pastor be blessed you are preaching the facts
Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤
Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu
Asante baba nimekuelewa
asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe
Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏
Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.
Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu. Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka
Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤
Amen Hallelujah Barikiwa sana 🙏 🙌 mtumishi wa Wa Mungu alie na sikio na asikie neno hili .
Asante Sana mtumishi
Mungu akubariki Sana tunataka injili ya mitume na manabii Kama hii tusamee MUNGU wetu
Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe
SEMA tupote mtumishi wa Mungu ubarikiwe
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, huu ndo ukweli hata kama wengi hawaukubali.
Aminaaa kweli kanisa limevamiwa ila hai wachungaji siamini kama wameitwa na Mungu sema kweli mtumishi aliye wa Mungu atapona
Hongera mtumishi Mungu kwa mafundisho mazuri kanisa litapona sasa
Amen ubarkiwe baba
Barikiwa mtumishi
Amina watumishi
Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.
pastor ni kweli kabisa Mungu akubariki sana
Thanks pastor na ukweli usemwe watu wawe huru
Amen, kweli tupu Mungu azidi kukutumia zaidi
Amen baba angu mungu aendelee kukutumia
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nimepona
Ubarikiwe sana
Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi
Nimebarikiwa
Mungu akubariki🙏🙏🙏
May God bless you man of God...good information for all christians
Amina
Amina baba mchungaji barikiwa sana.
Bsrikiwa baba. Umenifurahisha aiseee
Mungu akubariki sana mtumishi
Asante mtumishi maan Hali ni mby
Amina mchungaji tunaomba Tena urundi bunda
Amen
Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi
Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima
God bless you man of God
Ameen Ameen Ubarikiwe sana
Tuzidi kuombeana watumishi wa MUNGU
Mimi n'a sema Amina,basi mungu asifiwe
Mungu tufungue macho
Asante mtumishi.
Umbarikiwe sanaaaa 🙌🙌🙌
Vazi alilo tupa Mungu ni vazi la wokovu mavazi ni utamaduni wa mahari
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Ай бұрын
Eden, Adam na Eva walipewa wokovu kuficha uchi wao ama ngozi?
Mungu huangalia mtu -ndani mpaka nje. -Kanisani mpaka nyumbani. -ukumbini mpaka sirini. Basi, watu waambiwe nini ili waelewe? WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Muzee ubarikuwe Na Bwana
Kabisa barikiwa
I love this am for it 100percent
Amina baba
Abiud BWANA akuinue
Baba ubariwe sana
Be blessed so much
Amen baba
Ubalikiwe sana baba SEMA ukweli
Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂
Akika nabarikiwa hapa kenya
Asnte kweli kwelikabisa semayote
AMINA
Ukweli mtumishi
Kwa hakika mchungaji umekuza love wire.
@Martin-yz6xk
15 күн бұрын
Umekuza live wire
Huyu jamaa yuko serious sana kina mwakasege hawaongeagi kweli hiki ya MUNGU
Kweli kabisa Revaluation 6:11yaongelea vile mwanamke yuwapaswa kufalia
Amen Amen Amen
Great AMEN
asante mchungaji
Sema tupone baba
May God help me not to follow the trend but to follow Christ teaching 🙏🙏🙏
Injili kamili..
Hamna kudoo hapo, uasherati tu
Naam ukweli mtupu kabisa watu wavae kulingana na bibilia
Jesus help us