MAVAZI YA MTU ALIYEOKOKA | With Mch. Abihud Misholi | SEMINA

Ойын-сауық

KWA MSAADA WA MAOMBI | MASWALI
NA USHAURI-0767 379737

Пікірлер: 144

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vsАй бұрын

    Abiudi Misholi kweli ni mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya

  • @EZEKIAMGWILANGA-hj4hj
    @EZEKIAMGWILANGA-hj4hj2 ай бұрын

    Mbarikiwe sana watu wa MUNGU.. Endeleeni kuusema ukweli sahihi

  • @EdinaWawa-mx3ed
    @EdinaWawa-mx3ed2 ай бұрын

    Wakristo, walokole wa Leo,,, nondo hiyo,,,, be blessed pastor,, nashukuru MUNGU kutumia kinywa chako kutukumbusha na kutuonya, akupe miaka mingi na nguvu zaidi Tanzania ibadirike,, 😊

  • @dativarichard1987
    @dativarichard1987Ай бұрын

    Kwa kweli injili nzuri sana na Mungu atusaidie kuyaishi haya

  • @esthermliga4875
    @esthermliga48752 ай бұрын

    Amen mtumishi wa Mungu!! Ubarikiwe sana kwa kunena iliyo kweli ya Mungu!! Ni kweli kabisa kanisa la sasa ni shida hasa kwenye mavazi, watu wanafuatisha mitindo ya kidunia, kama nywele, nguo n.k, bila kujua hyo yote ni mitego ya shetani.

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga2 ай бұрын

    Mch. Abiud Misholi, katika hili umepiga penyewe. Mungu akubariki sana na nakuombea uzidi kupata neema ya kuihubiri kweli katika kanisa la leo!!!

  • @prophetdanielmwebrania
    @prophetdanielmwebrania2 ай бұрын

    Nakufurahia mtumishi tupo wachache MBINGUNI LAZIMA UFANIKIWE Amen

  • @VicentMjema
    @VicentMjema8 күн бұрын

    Uko sahihi mtumishi wa mungu mungu akubariki sana mch misholi natamani nije kusali ktk kanisa lako

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4smАй бұрын

    Kwakweli n shida saiv mavazi yamekuwa tishio kubwa mtu ukivaa kwa stara unaonekana we mshamba sana huendi na wakati Mungu gan huyu anaekwenda na wakati kama si ushetani tu kutawqla watu wa Mungu

  • @GRACEOFJESUSCHANNEL357
    @GRACEOFJESUSCHANNEL3573 күн бұрын

    Hallelujah hallelujah ameeen NI kweli kabisa mtumishi

  • @Gaen-cz4kp
    @Gaen-cz4kp2 ай бұрын

    Ukweli kabisa injili tamu sana inayo nipa chakula cha roho mtakatifu.

  • @RehemaNchimbi-ki2ed
    @RehemaNchimbi-ki2ed2 ай бұрын

    Mungu akubariki sana bishop usiache kusema kweli

  • @JacklineJackson-pu4bv
    @JacklineJackson-pu4bvАй бұрын

    Kazia hapohapo mungu akubaliki mchungaji

  • @roseyongolo302
    @roseyongolo3022 ай бұрын

    Ubarikiwe sana,,,naomba MUNGU ALIE HAI azidi kuwapa NEEMA ya kukemea haya ndani ya makanisa,,,

  • @boscomhenusi7844
    @boscomhenusi78442 ай бұрын

    Ubarikiwe na Yesu kristo kwa semina nzuri saaana, mavazi

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr2 ай бұрын

    Amen amen, hayo ndiyo mafundisho ya kweli,

  • @user-zq9dm2kw6c
    @user-zq9dm2kw6c2 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi,Amen Amen Amen

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085Ай бұрын

    Mungu atusaidie Mavazi yametupotesa sisi wanawake

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka2 ай бұрын

    Injili isiyogoshiwa..ndio hii

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu2 ай бұрын

    nilikupenda unaimba, nakupenda ukihubiri.

  • @edimondhatangimana6031
    @edimondhatangimana60312 ай бұрын

    Mungu akubariki sana Mtumishi Ubarikiwe tuonane Mbinguni.

  • @NathanielJeksta
    @NathanielJeksta2 ай бұрын

    Ubalikiwe sana mch.wengi wanavaa ovyo katka kanisa

  • @kizandume3015
    @kizandume30153 күн бұрын

    Mungu akubariki mtumishi

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x2 ай бұрын

    Mch Abiud hujawahi badilika tangu nilipokufahamu kupitia wimbo wa NIKIFIKIRI MAISHA YANGU nikiwa mdogo na baadae ukaja chuoni Tumaini Iringa...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu...hii injili dunia inaikosa sana

  • @uzimakwayesutv
    @uzimakwayesutv2 ай бұрын

    Amen Baba Wasaidie

  • @emmanuelmbae
    @emmanuelmbae18 күн бұрын

    Pastor be blessed you are preaching the facts

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z19 күн бұрын

    Huwa sina mazoeya ya kususcribe video za wachungaji kwasababu wengi wamepotea ila leo roho kanambia sikiza huyu ..ghafla alaa kumbe ni mwimbaji ninaempenda..shukuran Abiud ..Mungu akufiche usichafuke..nimesuscribe ❤❤

  • @fatumaremy
    @fatumaremy15 күн бұрын

    Amena mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri ya neno la Mungu

  • @user-cd6vh5yk1m
    @user-cd6vh5yk1m2 ай бұрын

    Asante baba nimekuelewa

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo842114 күн бұрын

    asante watumishi wa MUNGUbado mupo kaza tu usijali hata ubaki na wawili ubarikiwe

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula964215 күн бұрын

    Kwa kweli,upuuzi mwingi sana umeingia ndani ya makanisa kiasi kwamba huwezi kutofautisha walio ndani na walio nje ya Kristo wote wana mitazamo ya upotofu tu! Mungu atutetee mno👏

  • @FelixOchieng-ue6cn
    @FelixOchieng-ue6cnАй бұрын

    Amen MTU WA mungu,fundisha wanawake wawache. Kuvaa minisketi.

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi272 ай бұрын

    Hongera mtumishi, kemeeni sana kuhusu mavazi wala msiogope, mavazi ya hivyo yanaaibisha sana ukristo wetu. Kemea kemea tafadhali kemea bila kuchoka

  • @wakulampekazadi2987
    @wakulampekazadi298723 күн бұрын

    Depuis lubumbashi DRC je manque des mots á vous dire car je suis croyant simple simple mais Dieu vous ce que vous lui demander amen ❤❤❤

  • @JoyceWakio-pw1hf
    @JoyceWakio-pw1hfАй бұрын

    Amen Hallelujah Barikiwa sana 🙏 🙌 mtumishi wa Wa Mungu alie na sikio na asikie neno hili .

  • @winniemugaliza6676
    @winniemugaliza667610 күн бұрын

    Asante Sana mtumishi

  • @Kanyawela
    @Kanyawela2 ай бұрын

    Mungu akubariki Sana tunataka injili ya mitume na manabii Kama hii tusamee MUNGU wetu

  • @FloranceNabwile
    @FloranceNabwileАй бұрын

    Mon of God Am Blessed,Afadali Ukweli Usemwe Watu Wa Mungu Wakombolewe

  • @user-un5gv5zp1p
    @user-un5gv5zp1p2 ай бұрын

    SEMA tupote mtumishi wa Mungu ubarikiwe

  • @tagcdcchurch6031
    @tagcdcchurch60312 ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, huu ndo ukweli hata kama wengi hawaukubali.

  • @ernesterkasumba974
    @ernesterkasumba9742 ай бұрын

    Aminaaa kweli kanisa limevamiwa ila hai wachungaji siamini kama wameitwa na Mungu sema kweli mtumishi aliye wa Mungu atapona

  • @luthgadeschrispin6554
    @luthgadeschrispin65542 ай бұрын

    Hongera mtumishi Mungu kwa mafundisho mazuri kanisa litapona sasa

  • @Tunumwamafupa-vr4kq
    @Tunumwamafupa-vr4kq9 күн бұрын

    Amen ubarkiwe baba

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael8 күн бұрын

    Barikiwa mtumishi

  • @user-cr9rp7fl8j
    @user-cr9rp7fl8j11 күн бұрын

    Amina watumishi

  • @thestandardoflivingchurchi213
    @thestandardoflivingchurchi213Ай бұрын

    Hii ni kweli kabisa Mungu atusaidie kwenye kizazi hiki.

  • @juliethmshanga
    @juliethmshanga2 ай бұрын

    pastor ni kweli kabisa Mungu akubariki sana

  • @monicahnjambi3240
    @monicahnjambi3240Ай бұрын

    Thanks pastor na ukweli usemwe watu wawe huru

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile43012 ай бұрын

    Amen, kweli tupu Mungu azidi kukutumia zaidi

  • @FemidaHebron
    @FemidaHebronАй бұрын

    Amen baba angu mungu aendelee kukutumia

  • @rizikidada9790
    @rizikidada9790Ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nimepona

  • @abbygaelsharon497
    @abbygaelsharon49729 күн бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @FurahaNtuye
    @FurahaNtuyeАй бұрын

    Mungu Akubariki sana mtumishi wa Mungu hubiri ukweli kuhusu mapambo kwa wanawake na suruali hadi kwa wanawake wakati imekataliwa hata kwenye biblia naomba nipate location ya kanisa hili na mm siku moja nipate kushiriki nanyi

  • @sapispaha4430
    @sapispaha443013 күн бұрын

    Nimebarikiwa

  • @RoseMbwawa
    @RoseMbwawa26 күн бұрын

    Mungu akubariki🙏🙏🙏

  • @helenshehele1902
    @helenshehele1902Ай бұрын

    May God bless you man of God...good information for all christians

  • @tigiranlulu5065
    @tigiranlulu506512 күн бұрын

    Amina

  • @janengaga2928
    @janengaga2928Ай бұрын

    Amina baba mchungaji barikiwa sana.

  • @rebecakikoti374
    @rebecakikoti374Ай бұрын

    Bsrikiwa baba. Umenifurahisha aiseee

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842Ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zlАй бұрын

    Asante mtumishi maan Hali ni mby

  • @MarthaMathew-xq6hx
    @MarthaMathew-xq6hxАй бұрын

    Amina mchungaji tunaomba Tena urundi bunda

  • @endtimes9850
    @endtimes98502 ай бұрын

    Amen

  • @generalbeepoka15
    @generalbeepoka15Ай бұрын

    Habari hii haipendwi na wengi lakini ni ukweli sana . Barikiwa mtumishi

  • @LinetKamete
    @LinetKamete15 күн бұрын

    Kwa hakika tusifiche dhambi pastors tuambie waamini ukweli kuzimu ni really wamama vaeni kieshima

  • @jeremynjoka
    @jeremynjokaАй бұрын

    God bless you man of God

  • @andrewkasongo1368
    @andrewkasongo1368Ай бұрын

    Ameen Ameen Ubarikiwe sana

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TVАй бұрын

    Tuzidi kuombeana watumishi wa MUNGU

  • @user-uj5iv2oi2g
    @user-uj5iv2oi2g2 ай бұрын

    Mimi n'a sema Amina,basi mungu asifiwe

  • @floradavid5216
    @floradavid5216Ай бұрын

    Mungu tufungue macho

  • @user-ux8be1ee1r
    @user-ux8be1ee1rАй бұрын

    Asante mtumishi.

  • @KibasumbaYvonne
    @KibasumbaYvonne2 ай бұрын

    Umbarikiwe sanaaaa 🙌🙌🙌

  • @user-fy9uk4oh7x
    @user-fy9uk4oh7xАй бұрын

    Vazi alilo tupa Mungu ni vazi la wokovu mavazi ni utamaduni wa mahari

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    Ай бұрын

    Eden, Adam na Eva walipewa wokovu kuficha uchi wao ama ngozi?

  • @hoseapatrick2435
    @hoseapatrick243521 күн бұрын

    Mungu huangalia mtu -ndani mpaka nje. -Kanisani mpaka nyumbani. -ukumbini mpaka sirini. Basi, watu waambiwe nini ili waelewe? WASIOPENDA VYA MUNGU, AWACHE KULIKO KUARUBISHA MAFUNDISHO YA KWELI. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @StephanoBatakunda
    @StephanoBatakundaАй бұрын

    Muzee ubarikuwe Na Bwana

  • @LovelyChocolateBonbons-ok2ww
    @LovelyChocolateBonbons-ok2ww2 ай бұрын

    Kabisa barikiwa

  • @LeahMaina-lj3xk
    @LeahMaina-lj3xkАй бұрын

    I love this am for it 100percent

  • @MarthaMathias-ep3nt
    @MarthaMathias-ep3nt2 ай бұрын

    Amina baba

  • @EliaPetro-zw4pd
    @EliaPetro-zw4pdАй бұрын

    Abiud BWANA akuinue

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz2 ай бұрын

    Baba ubariwe sana

  • @user-xs3kd6wj3u
    @user-xs3kd6wj3uАй бұрын

    Be blessed so much

  • @AdellaSanga
    @AdellaSanga2 ай бұрын

    Amen baba

  • @user-td8xs6uj1c
    @user-td8xs6uj1cАй бұрын

    Ubalikiwe sana baba SEMA ukweli

  • @user-zj6sv1id6u
    @user-zj6sv1id6u21 күн бұрын

    Niguseee tenahhhh tenaaaaaaa 😂😂😂😂

  • @jamessila3219
    @jamessila3219Ай бұрын

    Akika nabarikiwa hapa kenya

  • @Bahati-nv8jw
    @Bahati-nv8jw2 күн бұрын

    Asnte kweli kwelikabisa semayote

  • @TupilikeMwakinyaka
    @TupilikeMwakinyaka2 ай бұрын

    AMINA

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene79759 күн бұрын

    Ukweli mtumishi

  • @Martin-yz6xk
    @Martin-yz6xk15 күн бұрын

    Kwa hakika mchungaji umekuza love wire.

  • @Martin-yz6xk

    @Martin-yz6xk

    15 күн бұрын

    Umekuza live wire

  • @GodfreyMushi-kn3nb
    @GodfreyMushi-kn3nbАй бұрын

    Huyu jamaa yuko serious sana kina mwakasege hawaongeagi kweli hiki ya MUNGU

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655Ай бұрын

    Kweli kabisa Revaluation 6:11yaongelea vile mwanamke yuwapaswa kufalia

  • @dorcanyarangi4814
    @dorcanyarangi4814Ай бұрын

    Amen Amen Amen

  • @AizackMwamkinga
    @AizackMwamkingaАй бұрын

    Great AMEN

  • @naimanmsawe1382
    @naimanmsawe1382Ай бұрын

    asante mchungaji

  • @fredrickmgona
    @fredrickmgonaАй бұрын

    Sema tupone baba

  • @user-jf2ep6ob3o
    @user-jf2ep6ob3oАй бұрын

    May God help me not to follow the trend but to follow Christ teaching 🙏🙏🙏

  • @Christine-jw6pz
    @Christine-jw6pzАй бұрын

    Injili kamili..

  • @NjeriEunice-dc7nw
    @NjeriEunice-dc7nw23 күн бұрын

    Hamna kudoo hapo, uasherati tu

  • @HFJ73
    @HFJ73Ай бұрын

    Naam ukweli mtupu kabisa watu wavae kulingana na bibilia

  • @Hebroni-nr2hp
    @Hebroni-nr2hpАй бұрын

    Jesus help us

Келесі