Bwana ninajua-Nitangulie Bwana-Hakuna Mungu mwingine by pst Collins Khisa.
Жүктеу.....
Пікірлер: 262
@alfredjohn569324 күн бұрын
Hatimae nimeupata huu wimbo baada ya Albert Chalamila kupost akiucheza🙏❤️
@shaffihsiraji3141
23 күн бұрын
😁 ndiyo
@zalewotv3441
22 күн бұрын
Tuko wengi ndugu
@carlosturan990
15 күн бұрын
Me too😅
@SilvanoLenjima-ou7nh
14 күн бұрын
😊
@janemlelwa8618
13 күн бұрын
Tupo wengi hakika ni.mzuri na unabariki
@irenekimaro65235 күн бұрын
Tuliokuja kuutafuta bahada ya muheshimiwa chalamila kupost akicheza tujuane kwa like
@carolkegendo8772Ай бұрын
Nitangulie bwana Kwa kazi zote za mikono yangu....I need u more than ever
@ruthdaudi66996 күн бұрын
Wimbo huu umeponya moyo wangu nilikuwa katika mawazo mengi sikuwa najua nifanye nini katika hali ninayopitia lakini nikiposikiza wimbo huu nikapona na kupata furaha moyoni mwangu.ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU.
@jecintamutisya3295Ай бұрын
Hakika hakuna Mungu mwengine kama Jehovah, inuliwa Baba yetu wa mbinguni
@CalvinChivatsiАй бұрын
Hakika mungu wa mbinguni akubariki Sana mtumishi wa mungu nyimbozako ,zimenisaidia Sana barikiwa saana
@jamesrono8848
Ай бұрын
❤such powerful worship.God bless you man of God
@duncankibiwott419517 күн бұрын
Singing this song with understanding and seriousness really opens heaven's for those who mean it
@reginahdavid7949Ай бұрын
Hakika kunaye Mungu anayeinua wasiojiweza barikiwa Sana mtumishi .
@Solomonmutisya-fj8hw
21 күн бұрын
Hakika wimbo huu umenigusa moyoni najua Mungu ako nampango mwema Amen.
@ThierryAvoci
19 күн бұрын
Mon redapteur et vivant
@NeemaMatelekaАй бұрын
Jamani baba anasauti ya baraka na inapenya ndani ya mioyo yetu inuliwa baba amina
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Glory to God
@user-dk1df2me9j2 күн бұрын
Nitagulie bwana kwa maisha yangu ,kwa wokovu wangu kwa kila njambo bwana siwezi bila weweee😭😭😭😭😭
@beatricechepkurui9161Ай бұрын
Amen i receive in Jesus name please pray for me this morning i receive in Jesus name amen 🙏🙏🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
@edithokello8365Ай бұрын
You have been a blessing to me with your worship in
@MICHAELDESIGNER-fl2umАй бұрын
Ameen man of God ninabarikiwa Sana na huduma yako❤❤❤🤝🙏
@user-dj3nq8mm3dАй бұрын
Hakika mungu anatuwazia mema glory to God 🙏🙏
@user-pz9gj8ry1eАй бұрын
So encouraging, may God bless you and your team
@aughstusmasila8673Ай бұрын
Ukweli kabisaaa mungu uyuko amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen
@rommykiwia998213 күн бұрын
same here nmeupata baada ya Rc kuupost..Be blessed pastor
@tituscheruiyot7011Ай бұрын
Ameeen hakuna mungu aliye kama wewe
@FalaceOgeto-mn8ic2 күн бұрын
Wimbo mzuri mtumishi Bwana najua wakiwazuia mema barikiwa sana
@MusunguproductionАй бұрын
Napenda hizi nyimbo,,sauti ya malaika na beat za mbinguni, God bless you for this composition.
@user-allan448Ай бұрын
Nababarikiwa sana na hizi worship zako mtumishi wa Mungu,hebu Mungu akuinue kiwango cha mataifa🎉🎉🎉🎉🎉
@user-nc7zt1nh4l
Ай бұрын
I wonder sjaimskia before. He's a great servant of God. Mungu akazidi kumuinua🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
@faithmutheu389310 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi,...nyimbo zako zinanibariki Kila mara...naomba mungu akanitangulie kwa Kila jambo ....
@briannzukiАй бұрын
Bwana nitangulie kwa kila kazi ya mikono yangu dadiii
@ChristinMulongo-vn7hvАй бұрын
Nitangulie Bwana kwa hii country ya wenyewe Natamani kufika kwa country yangu nikutumikie. Baba yangu
@johnmaramba3057Ай бұрын
Indeed God is good. His goodness has located me for ever.
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Hallelujah
@passionatequeenofhrt525215 күн бұрын
Nimebarikiwa na wimbo huu,ahsante Mungu najua mawazo unayoniwazia ni mema
@gracewambui20417 күн бұрын
Hallelujah more grace mtumishi Bwana naijua mawazo unayoniwazia ni ya mema❤
@NaomiNanjala-fp5hoАй бұрын
Bwana naijua mawazo unayoniwazia ni mema,pastor nyimbo zako zabariki sana may the lord bless you and your team🙏🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Glory to God
@jovinkamuri5624Ай бұрын
Great praises🎉🎉🎉🎉 continue with thät ministries
@aughstusmasila8673Ай бұрын
Hakika yeye mungu akuna mwingine kama yeye amen amen
@HenryMwinami-ky7lrАй бұрын
Hakuna Mungu mwingine aliye kama wewe,Baba na mama, ni ukweli kabisa
@vivianakinyi1858Ай бұрын
God is always good... Anatuwazia mema🙏🙏
@gracemwinzi538Ай бұрын
The kind of worship i like,God bless this man of God
@chezariboyАй бұрын
Safi sana mtumishi, real worshiping song, be blessed servant of living God.
@PhilomenaNamukuruamu18 сағат бұрын
Licha ya yale napitia jambo moja najua mawazo ya mungu kwangu ni mema
@lawreneetoleesilaba3533Ай бұрын
Amen Mungu anayejua mema anaweza yote
@alice-sd1svАй бұрын
These worship songs always touches my soul.
@oderoadu3267Ай бұрын
I'm learning with age that my breath and entirety is dependent on Christ Jesus! 🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Hallelujah
@user-po1ch8mv3jАй бұрын
Man of God you have blessed my life with hte nice worship. May the almighty God uplift you higher.
@DicksonKorir-nm7ce21 сағат бұрын
Be blessed pastor,hakuna mungu kama yesu...nimebarikiwa sana
@ongomaskills2390Ай бұрын
Praise God paster...hiyo wimbo Ina bariki sana..God bless you
@JenniferKisekimunathi-vc8lxАй бұрын
Powerful worship God bless you,, amen amen
@KAIYENTRANSPORTERS-SMCLTDАй бұрын
Thanks for wonderful worship God bless you greatly
@praisesoundsonlineАй бұрын
Wow! Barikiwa sana. Asante kwa kunisaidia kufika 100k subs. Amen
@passionatequeenofhrt525215 күн бұрын
Hakuna Mungu mwingine aliyekama wewe..Ahsante Mungu
@achiengvelinda94012 сағат бұрын
Only God knows how I love this song 🙏🙏🙏🙏
@dainamanase9322Ай бұрын
HAKIKA MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU BARIKIWA SANA FORM TANZANIA
@apostlepaulobure5716Ай бұрын
Am really blessed by your ministration. God bless u man of God.
@user-yq2ot1rs9sАй бұрын
Ooh hallelujah,am much blessed
@ChrissOllenavarro24 күн бұрын
Ooooohhh Hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏 Very Powerful Worship Song 😢
@pastorcollinskhisa5862
24 күн бұрын
Amen
@AliceKiarie-t2j8 күн бұрын
Am blessed Have never bumped into this great worship but God’s spirit led me here today Be blessed man of God
@user-qu2nr4fp7h5 күн бұрын
What a worship hakika Hakuna Mungu mwingine kama wewe
@aughstusmasila867314 күн бұрын
Barikiwa sana pastor wimbo iko safi sana amen amen
@janetwatiangu7409Күн бұрын
am really blessed..Dear Lord remember me😭😭😭
@josephatmwangangi131429 күн бұрын
Umenibariki sana wakati huu akika ninamwitaji mungu zaidi.
@pastorcollinskhisa5862
28 күн бұрын
Amen
@marymusembi-hy4czАй бұрын
Hakika mungu anatuwazia mema,barikiwa sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
@Sarah-fb6rl9 сағат бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mugu
@TitusOtwane2 күн бұрын
God bless you dear servant of the most High God keep blessing your your voice is so anointed by the power of the Holy Spirit .indeed unabariki mioyo ya wengi
@jastinkimambo281216 күн бұрын
Very nice Holy spirit songs Ubarikiwe Am from Tanzania
@AnaVicenteNhota-to2sbКүн бұрын
Amina Mungu awabarik watumushi wa Mungu ❤❤❤
@user-yb3li7wb4tАй бұрын
Hakuna anayebadilisha kama yeye ameni
@aughstusmasila8673Ай бұрын
Amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen
@user-tg2me1py9bАй бұрын
Nitangulie bwana....kwa kila jambo amen amen amen...
@elijahtole1224Ай бұрын
Sifa kwa Mungu...na akubariki mno ukituinua wengi...
@danielmwalia53904 күн бұрын
Sijaona namba PST, Mungu akubariki
@pallangyofamily3 күн бұрын
Ni ujumbe mzito sana Kwa kweli
@StevenMuinde24 күн бұрын
Wow, what a nice song bwana nitangulie
@nelsonechesa220015 күн бұрын
Ooh hallelujah utukufu Kwa Bwana wetu Yesu hakika hakuna mungu mwingine kama wewe nimejikuta nimepiga magoti mwenyewe be blessed 🙏🙏
@josephatchai3611Ай бұрын
Sure hakuna Mungu kama yeye,na hatawai kuwa,Amen
@mildredndinda216026 күн бұрын
Ooh my God I feel so blessed. Barikiwa mtumishi wa Mungu
@carolineresaba7876Ай бұрын
😭😭😭😭 Amen pastor nime bariki sasa🙏🙏🙏
@janemlelwa861813 күн бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU wimbo ni mzuri sana unabariki na hakika uwepo.wa MUNGU upo.kwa kuisikiliza barikiwa sana ❤
@pastorcollinskhisa5862
12 күн бұрын
Amina
@catherinemwangi4988Ай бұрын
Mungu wangu ninajua unaniwazia mema maana hakuna Mungu mwingine kama wewe. Unitangulie Yesu safari ni ndefu ninatamani kufika. God bless you man of God for the powerful worship.
@judithlejalearnmore223626 күн бұрын
Ooh, Yes Lord Hallelujah ..
@eliyaraston10610 күн бұрын
Very powerful song that can draw closer to the Lord.
@user-yg8yo3ul8h13 күн бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana kwa nyimbo zako nimeipata baada ya kuona kwa mh chalamila akicheza 🎉🎉🎉 nimebarikiwa sana
@pastorcollinskhisa5862
12 күн бұрын
Glory
@joventjohansenmushwaimi198818 күн бұрын
Ubarikiwe sanaaa
@josephinekivuva912813 күн бұрын
Allelujah,thanks be to God
@user-eo7hr7sm6u4 күн бұрын
Nitangulie bwana na ubariki kazi ya mikoni yangu
@felixindecheАй бұрын
Amen..Hakuna Mungu mwingine aliyekama wewe
@aughstusmasila867324 күн бұрын
Bwana ninajua mibango yako kwangu amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen
@user-mh7qz8yo5p23 күн бұрын
Hakuna....Hakunaa Mungu Mwingine aliye kama Mungu
@muthokastephen6066Ай бұрын
Such a blessing song
@Antony-jv8dxАй бұрын
Kwa hakika Mungu ni muajibivu be blesse so very much mtumishi wa mungu Amen
@pastorcollinskhisa5862
28 күн бұрын
Amen
@jemmimahmumbua8330Ай бұрын
Kweli hakuna mungu mwingine a powerfull worship ❤
@user-cl3ih2mm6kАй бұрын
Very comforting n worshipping chorus!!!
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Hallelujah
@eliudsichangi2Ай бұрын
More grace my covenant brother.... Being blessed with wonderful moment of worship
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
@lukasongera7516 күн бұрын
God bless you nyimbo zako zaninua Kirkhope sana
@aughstusmasila867329 күн бұрын
Amen amen mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen barikiwa sana amen amen
@pastorcollinskhisa5862
28 күн бұрын
Amen
@FavouredEssy-tu5liАй бұрын
Powerful worship... I'm blessed. More Grace.
@rosaliawanjiru1390Ай бұрын
Wimbo was kubariki
@user-ew1oq9ze8hАй бұрын
Ameeen 🥰🥰🥰kumbe bado kuna wenye bado wanatukuza Yesu kwa kweli si yoyoyo mbarikiwa sana
@elenanabwileАй бұрын
Amen mungu akubariki sana mutumishi
@marrietamwelu7782Ай бұрын
Nisaidie bwana Familia yangu inapitia mambo magumu bwana. Magonjwa yanatuandama kutoka kwa baba, mtoto na kwa mama. Why all this God. I need you lord, rescue us from all these challenges God. Wipe my tears lord wipe my tears my business is not working out. We are experiencing stagnation in this family why all these God. Why am I always crying lord wipe my tears and rescue my family from financial problems, stagnation and sicknesses.
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Receive your breakthrough in Jesus name
@marrietamwelu7782
Ай бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏
@brigitngashira79555 күн бұрын
Barikiwa tu sana pastor
@dorcanyarangi4814Ай бұрын
Amen Amen Amen thank you God be blessed pastor
@user-ng9vv2rj2c28 күн бұрын
Glory glorious be blessed man of God
@felistermutua1025Ай бұрын
Ameeeen powerful song
@AlfonceMary6 күн бұрын
My Heart is healed 🤲🏾🙌 Be blessed man of God
@ChristanahChristanah-oo8jnАй бұрын
Nyimbo hizi zanisongeza uweponiwa bwana barikiwa sana mtumishi kweli uliitwa ❤❤❤❤ hallelujah hallelujah hallelujah
Пікірлер: 262
Hatimae nimeupata huu wimbo baada ya Albert Chalamila kupost akiucheza🙏❤️
@shaffihsiraji3141
23 күн бұрын
😁 ndiyo
@zalewotv3441
22 күн бұрын
Tuko wengi ndugu
@carlosturan990
15 күн бұрын
Me too😅
@SilvanoLenjima-ou7nh
14 күн бұрын
😊
@janemlelwa8618
13 күн бұрын
Tupo wengi hakika ni.mzuri na unabariki
Tuliokuja kuutafuta bahada ya muheshimiwa chalamila kupost akicheza tujuane kwa like
Nitangulie bwana Kwa kazi zote za mikono yangu....I need u more than ever
Wimbo huu umeponya moyo wangu nilikuwa katika mawazo mengi sikuwa najua nifanye nini katika hali ninayopitia lakini nikiposikiza wimbo huu nikapona na kupata furaha moyoni mwangu.ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU.
Hakika hakuna Mungu mwengine kama Jehovah, inuliwa Baba yetu wa mbinguni
Hakika mungu wa mbinguni akubariki Sana mtumishi wa mungu nyimbozako ,zimenisaidia Sana barikiwa saana
@jamesrono8848
Ай бұрын
❤such powerful worship.God bless you man of God
Singing this song with understanding and seriousness really opens heaven's for those who mean it
Hakika kunaye Mungu anayeinua wasiojiweza barikiwa Sana mtumishi .
@Solomonmutisya-fj8hw
21 күн бұрын
Hakika wimbo huu umenigusa moyoni najua Mungu ako nampango mwema Amen.
@ThierryAvoci
19 күн бұрын
Mon redapteur et vivant
Jamani baba anasauti ya baraka na inapenya ndani ya mioyo yetu inuliwa baba amina
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Glory to God
Nitagulie bwana kwa maisha yangu ,kwa wokovu wangu kwa kila njambo bwana siwezi bila weweee😭😭😭😭😭
Amen i receive in Jesus name please pray for me this morning i receive in Jesus name amen 🙏🙏🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
You have been a blessing to me with your worship in
Ameen man of God ninabarikiwa Sana na huduma yako❤❤❤🤝🙏
Hakika mungu anatuwazia mema glory to God 🙏🙏
So encouraging, may God bless you and your team
Ukweli kabisaaa mungu uyuko amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen
same here nmeupata baada ya Rc kuupost..Be blessed pastor
Ameeen hakuna mungu aliye kama wewe
Wimbo mzuri mtumishi Bwana najua wakiwazuia mema barikiwa sana
Napenda hizi nyimbo,,sauti ya malaika na beat za mbinguni, God bless you for this composition.
Nababarikiwa sana na hizi worship zako mtumishi wa Mungu,hebu Mungu akuinue kiwango cha mataifa🎉🎉🎉🎉🎉
@user-nc7zt1nh4l
Ай бұрын
I wonder sjaimskia before. He's a great servant of God. Mungu akazidi kumuinua🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
Barikiwa sana mtumishi,...nyimbo zako zinanibariki Kila mara...naomba mungu akanitangulie kwa Kila jambo ....
Bwana nitangulie kwa kila kazi ya mikono yangu dadiii
Nitangulie Bwana kwa hii country ya wenyewe Natamani kufika kwa country yangu nikutumikie. Baba yangu
Indeed God is good. His goodness has located me for ever.
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Hallelujah
Nimebarikiwa na wimbo huu,ahsante Mungu najua mawazo unayoniwazia ni mema
Hallelujah more grace mtumishi Bwana naijua mawazo unayoniwazia ni ya mema❤
Bwana naijua mawazo unayoniwazia ni mema,pastor nyimbo zako zabariki sana may the lord bless you and your team🙏🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Glory to God
Great praises🎉🎉🎉🎉 continue with thät ministries
Hakika yeye mungu akuna mwingine kama yeye amen amen
Hakuna Mungu mwingine aliye kama wewe,Baba na mama, ni ukweli kabisa
God is always good... Anatuwazia mema🙏🙏
The kind of worship i like,God bless this man of God
Safi sana mtumishi, real worshiping song, be blessed servant of living God.
Licha ya yale napitia jambo moja najua mawazo ya mungu kwangu ni mema
Amen Mungu anayejua mema anaweza yote
These worship songs always touches my soul.
I'm learning with age that my breath and entirety is dependent on Christ Jesus! 🙏
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Hallelujah
Man of God you have blessed my life with hte nice worship. May the almighty God uplift you higher.
Be blessed pastor,hakuna mungu kama yesu...nimebarikiwa sana
Praise God paster...hiyo wimbo Ina bariki sana..God bless you
Powerful worship God bless you,, amen amen
Thanks for wonderful worship God bless you greatly
Wow! Barikiwa sana. Asante kwa kunisaidia kufika 100k subs. Amen
Hakuna Mungu mwingine aliyekama wewe..Ahsante Mungu
Only God knows how I love this song 🙏🙏🙏🙏
HAKIKA MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU BARIKIWA SANA FORM TANZANIA
Am really blessed by your ministration. God bless u man of God.
Ooh hallelujah,am much blessed
Ooooohhh Hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏 Very Powerful Worship Song 😢
@pastorcollinskhisa5862
24 күн бұрын
Amen
Am blessed Have never bumped into this great worship but God’s spirit led me here today Be blessed man of God
What a worship hakika Hakuna Mungu mwingine kama wewe
Barikiwa sana pastor wimbo iko safi sana amen amen
am really blessed..Dear Lord remember me😭😭😭
Umenibariki sana wakati huu akika ninamwitaji mungu zaidi.
@pastorcollinskhisa5862
28 күн бұрын
Amen
Hakika mungu anatuwazia mema,barikiwa sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa mugu
God bless you dear servant of the most High God keep blessing your your voice is so anointed by the power of the Holy Spirit .indeed unabariki mioyo ya wengi
Very nice Holy spirit songs Ubarikiwe Am from Tanzania
Amina Mungu awabarik watumushi wa Mungu ❤❤❤
Hakuna anayebadilisha kama yeye ameni
Amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen
Nitangulie bwana....kwa kila jambo amen amen amen...
Sifa kwa Mungu...na akubariki mno ukituinua wengi...
Sijaona namba PST, Mungu akubariki
Ni ujumbe mzito sana Kwa kweli
Wow, what a nice song bwana nitangulie
Ooh hallelujah utukufu Kwa Bwana wetu Yesu hakika hakuna mungu mwingine kama wewe nimejikuta nimepiga magoti mwenyewe be blessed 🙏🙏
Sure hakuna Mungu kama yeye,na hatawai kuwa,Amen
Ooh my God I feel so blessed. Barikiwa mtumishi wa Mungu
😭😭😭😭 Amen pastor nime bariki sasa🙏🙏🙏
Barikiwa mtumishi wa MUNGU wimbo ni mzuri sana unabariki na hakika uwepo.wa MUNGU upo.kwa kuisikiliza barikiwa sana ❤
@pastorcollinskhisa5862
12 күн бұрын
Amina
Mungu wangu ninajua unaniwazia mema maana hakuna Mungu mwingine kama wewe. Unitangulie Yesu safari ni ndefu ninatamani kufika. God bless you man of God for the powerful worship.
Ooh, Yes Lord Hallelujah ..
Very powerful song that can draw closer to the Lord.
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana kwa nyimbo zako nimeipata baada ya kuona kwa mh chalamila akicheza 🎉🎉🎉 nimebarikiwa sana
@pastorcollinskhisa5862
12 күн бұрын
Glory
Ubarikiwe sanaaa
Allelujah,thanks be to God
Nitangulie bwana na ubariki kazi ya mikoni yangu
Amen..Hakuna Mungu mwingine aliyekama wewe
Bwana ninajua mibango yako kwangu amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen
Hakuna....Hakunaa Mungu Mwingine aliye kama Mungu
Such a blessing song
Kwa hakika Mungu ni muajibivu be blesse so very much mtumishi wa mungu Amen
@pastorcollinskhisa5862
28 күн бұрын
Amen
Kweli hakuna mungu mwingine a powerfull worship ❤
Very comforting n worshipping chorus!!!
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Hallelujah
More grace my covenant brother.... Being blessed with wonderful moment of worship
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Amen
God bless you nyimbo zako zaninua Kirkhope sana
Amen amen mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen barikiwa sana amen amen
@pastorcollinskhisa5862
28 күн бұрын
Amen
Powerful worship... I'm blessed. More Grace.
Wimbo was kubariki
Ameeen 🥰🥰🥰kumbe bado kuna wenye bado wanatukuza Yesu kwa kweli si yoyoyo mbarikiwa sana
Amen mungu akubariki sana mutumishi
Nisaidie bwana Familia yangu inapitia mambo magumu bwana. Magonjwa yanatuandama kutoka kwa baba, mtoto na kwa mama. Why all this God. I need you lord, rescue us from all these challenges God. Wipe my tears lord wipe my tears my business is not working out. We are experiencing stagnation in this family why all these God. Why am I always crying lord wipe my tears and rescue my family from financial problems, stagnation and sicknesses.
@pastorcollinskhisa5862
Ай бұрын
Receive your breakthrough in Jesus name
@marrietamwelu7782
Ай бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏
Barikiwa tu sana pastor
Amen Amen Amen thank you God be blessed pastor
Glory glorious be blessed man of God
Ameeeen powerful song
My Heart is healed 🤲🏾🙌 Be blessed man of God
Nyimbo hizi zanisongeza uweponiwa bwana barikiwa sana mtumishi kweli uliitwa ❤❤❤❤ hallelujah hallelujah hallelujah