2hours 40mins. SWAHILI WORSHIP SONGS BY DANIEL SIFUNA. DAMU YA YESU, MAISHA YANGU, ANGALIA BWANA.
NYIMBO ZA MAABUDU/KUABUDU NA KUMTUKUZA MUNGU
NYIMBO ZA KUKUFARIJI NA KUKUTULIZA MOYO
ILI UENDELEE MBELE NA KUMWANI MUNGU LICHA YA YOTE UNAYOPITIA.
#Alone with God.
#relaxing worship songs
#relaxing Tenzi za rohoni
#Tenzi za rohoni mix
#nyimbo za wokovu mix
#Kenya Tanzania best praise and worship songs
peaceful Tenzi za rohoni
#Daniel Sifuna
Facebook Daniel Sifuna
Tiktok Daniel Sifuna
Instagram Daniel Sifuna
CALL/ SUPPORT 0746298853
GOD BLESS YOU
Пікірлер: 724
Nikiwa manyara nimebarikiwa na nyimbo zako hakika maisha yangu ni wewe unajua baba
Mungu wangu unajua maumivu ya roho yangu nisikie ee mungu wangu
Hakika bwana unajua maisha yangu ya ujane barikiwa sana mchugaji mungu akuinue zaidi AMINA
Hakika,Mungu ni mkuu na atukuzwe milele katika Yesu Kristo mwokozi,heshima na nuru tele kwetu♥️🇹🇿🇮🇱💯
Be blessed my brothers nimebarikiwa sana kwa nyimbo za maombi ❤❤❤❤❤❤
Be blessed so much your songs usually touch my heart so much continue praising God❤❤❤
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen❤❤❤❤
Asante pastor kwa nyimbo za kuleta imani yetu kwa kristo
Aki hisi zako bro sinamibariki Sana wakati nmekwasika huwa zinijenga najibata Niko Sawa God blessed you pastor end continue to your talent 🙏🙏🙏👏
@danielsifuna7377
9 күн бұрын
Aaaaaamen
Mungu unikumbuke Kwa Yale magonjwa yanayoniandama naamini ya kwamba wewe ndio daktari mkuu eee mungu uniponye.Amen
@benjaminkisavi9017
24 күн бұрын
Hzi moyo😮
@secregen7219
23 күн бұрын
Amen
@user-vu9kf3ki5q
23 күн бұрын
have faith in your prayer and God will answer your prayer
@Abigael-jd8dy
7 күн бұрын
Pokea uponyanji Kwa jina la yesu
Uinuliwe viwango vingine mtumishi wa mungu
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen🙏🙏🙏❤❤❤
@glorianaftal3012
24 күн бұрын
Honestly this mix is making me change my ways....be blessed mtumishi 🙏🙏🙏
@Mwalimumkare-tq2hp
13 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu bwana akuinue viwango vingine
😢😢ooh yesu sikia maombi yangu Hallelujah 🙌 yesu ndio kimbilio langu usiniwache 😢😢
Mungu akubariki sana kaka,kwa kipaji chako na sauti tamu inayonitia moyo wa kusikiza nyimbo zako,ninappsikia nyimbo zako nasahau shida zangu na kuamini kwamba kuna siku nitafanikiwa na nitapanguzwa machozi yng 🙏🙏🙏🙏🙏🙏barikiwa kakangu
@danielsifuna7377
6 күн бұрын
Aaaaaaamen amen❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Daniel mungu aendelee kukuongeza nguvu nyimbo zako uwa zanijenga sana barikiwa sana sana
@salomemuresia9507
9 күн бұрын
You are a God send to deliver broken hearted souls😊
I salute the Kingdom of heaven Kwa sauti tamu uliopewa
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen❤❤❤
Number 8 and 26 aki ninabarikiwa sana mtumishi wa mungu ubarikiwe pia AMEN LORD 😅😅
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaaaamen❤❤❤❤
@JudithChebet-wj3ir
25 күн бұрын
God bless their children who worship Him
Wow nimependa sana kuabudu hizo nyimbo zanibariki sana tuned from doha Qatar 🇶🇦
Praise God pst....naposikiza hizo worship zako, najipata nikiwa connected na zinanisaidia kuflow kwa maombi sana. May God bless you na Mungu akusidishiye neema ya kufanya kazi yake zaidi na zaidi
Barikiwa sana man of God
@danielsifuna7377
29 күн бұрын
Amen amen my brother
Unatusogeza mbele za MUNGU Kwa hisia kweli. Akutumie Kwa matakwa yake yeye aliye JUU ya vyote. Barikiwa Sana.
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen❤❤❤
Amen glory to God in Jesus neme 🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen amen❤❤❤
Eeei mm sichoki kuskiza hizi nyimbo ❤❤glory be to God thanks a lot man of God
Glory to God, baba angalia sisi wanawako
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen
Praise God mtumishi wa mungu... ak nabarikiwa ninaposikia hizi worship songs acha Mungu akuinue kiwango hadi kiwango. Be blessed.
@danielsifuna7377
9 күн бұрын
Amen amen amen
Nitembelee bwana pamoja na jamii yangu naomba amen
Lord we need you never leave us nor abandon us. You are the Father over the Fatherless.
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen
I love this songs very much 💟💟
Amen ,n'a furayi sana kwa nyimbo zinazo tu tia ki roho zaidi mungu apewe sifa kwa uduma ame kupa ku ubiri ndani ya wimbo
@DeborahKitheka
9 күн бұрын
❤🎉 Amen Amen Amen Amen Amen Amen
@JanepherKemuma-ot7io
8 күн бұрын
Ubarikiwe sana
Kwa safari yangu 😢Eh Bwana naomba uniangalie usiniache pekee yangu siwezi😢Niangalie Eh Bwana vile ulivyoangalia wanawaisraeli jagwani 😢mbele ya Faraho ukajitukuza ya kwamba wewe ni Mungu 😢 Yehovah Jire😢
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen amen
Aki ninasikia hizi nyimbo i feel niko kwa church, kumbe niko kwa nyumba ya mwarabu, na zinanitia nguvu za kufanya kazi hata kama nakaribia kukata tamaa,...ubarikiwe sana kaka 🙏🙏🙏🙌🙌
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen
@SharonOndonga
22 күн бұрын
The same with me here sister,,let's believe in him all is well....tutarudi salama🎉
@PatrickMwangi-lx7xg
20 күн бұрын
God as with you don't bother yourself
@RomonahMmboka
20 күн бұрын
Very touching messages aki..❤❤❤❤😢😢😢🧎♀️🧎♀️🧎♀️🙏🏼🙌🏽🙌🏽 tuangalie Bwana aki
@user-fi8ou2ld3v
19 күн бұрын
l am blessed nikisikia izi wimbo ata kaa nimekaa 2years bila kuenda Church namini too mungu ako nami uku gulf l wish nikifika kenya nijoin your Church
Amen mungu akubariki akupe mahisha marefu amen 🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔥🇦🇺🎻🎻💃🏿💃🏿
@RachelSteven-kx3ml
13 күн бұрын
😊
Mungu akubariki sana sana mwanangu kwa Utumishi huu kuna jambo kuu bwana anataka kukupandisha viwango❤❤❤❤barikiwa
nimekubali bwana imenibariki...na imeweza be blessed mtumishi
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen❤❤❤❤❤
@MagretIsige
15 күн бұрын
Amen 🙏
Umepakwa mafuta kijana Mungu akuinue zaidi hizi ndio maombi uniinua nikiwa Chini .....be blessed more
@danielsifuna7377
19 күн бұрын
Aaaamen amen
Mungu anae peana akuzidishie unanbariki sana kwa nyimbo zako
Tuangalie Baba wewe ndiwe kila kitu kwetu. Nice song❤❤
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen🙏❤❤❤
God bless u my brother ur songs are blessing to many be blessed
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen❤❤❤❤
Hali nyimbo zako zina ni bariki ak mungu akuzitishe pasta
Asante mungu kwa kunibalika nafurahi mungu ♥️♥️♥️♥️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mungu akubariki Kwa huduma yako true medicine lazima hapa tupone Kwa Jina la yesu amen.
Mungu akubaiki sana nyimbo Zina bariki
@danielsifuna7377
28 күн бұрын
Amen amen
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu,,,,naunikumbuke kwa maombi huu wakati wa shinda
Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri na sauti nzuri mungu akutie nguvu na hakupe afya nzuri hinzi nyimbo zinatutia moyo ya kwamba mungu ukweli mungu anatujua maumivu yetu
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Aaamen🙏🙏🙏❤❤❤
Hizi nyimbo zinanibariki kweli kweli mungu akubariki sana
Amen izo nyimbo zako zinanifuraisha ssna pst Daniel Sfuna
Great job for sure nyimbo zako zinabariki wengi pongezi sana bishop.
No .3 ...maisha yangu mungu ndo anajua....nimepitia kilio kiingi sana ...najua mungu anajua haya yote na nitakua mshindi naamini he will change My situation 🙏🙏🙏
Hallelujah Hallelujah 🙌 Amen Asante bwana Asante yesu you are soo wonderful Lord of God tushike mkono yesu tusisame na majaribu ya dunia, tusaidie 😢😢ooh yes Hallelujah 🙌 ninasababu ya kukuabudu Asante baba
Asante ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU hizi nyimbo huwa zinanibariki na kunuinua IMANI yngu wakati nko kwenye kazini hpa saudi Arabia
Hakika nyimbo zako ni dawa ya kudharauliwa,kujiona mmpweke,kukata tamaa ya maisha ninaposikiliza moyo kama ulikua umekatikakatika vipande unapona asante uzidi kutu bariki kupitia nyimbo mtumishi 🙏🙏🙏
Amen🙏🙏🙏mungu azidi kukuinua hakika nyimbo zako zinanijenga kiroho
Praise the lord, we all need to be saved surely.
Tenda yesu wajue kuwa ww ni mungu wangu
God bless you,,,napenda nyimbo zako sana
Ameena amena mtumishi hapa niko mkazi na ninaburudika Mungu apewe sifa kwa haya unayotusaidia. Asante sana❤❤
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen amen❤❤❤❤
Kweli nimebalikiwa sana , Mwenyezi Mungu akuongezee mafuta
Kwa hakika nyimbo zako zinanikuza moyoni mwangu,Wacha mungu akuinue viwango vya juu zaidi brother
Baba ni wewe unanijua kuliko wazazi wangu 🙏🙏🙏🙏🙏
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen❤❤❤
Kweli maisha yangu ni wewe unajua ubarikiwe sana.
Ubarikiwe saaana na Mungu akukumbuke katka siku ile iliyo kuu ya kufunuliwa kwake
Hongera kwa kazi nzuri ya kumtumikia Mungu Mtumishi
Mungu akubariki sana nyimbo zako zinanibariki
Thank you Jesus magonjwa zote sikaweza kushidwa katika jina la yesu amen 🙏 thank u 🙏 lord
Ooooh yesu wangu nimekumbali mbwana tawala maisha yangu yesu
Kwa hakika nyimbo zako n dawa ya roho yangu,,,be blessed
Mtumishi wa Bwana Daniel ubarikiwe mno hakika ww ni baraka kwetu
Mungu Akukumbuke mtumishi wa mungu sifa ni kwa bwana Ameeen
Hapa ni kumrundia mungu tu maanake ziko na upako wa Hali ya juu
Nasikia Kama Niko mbinguni mungu akubariki sana mtumishi wa mungu ni Sarah Niko kwa kibada nikenjoi polele
Hallelujah......nyimbo hizi cnanifanya nasongea karibu na Muumba wangu Mola.
May our God bless you mtumishi wa Mungu
@danielsifuna7377
28 күн бұрын
Amen amen amen
This songs one to three, eee lord l thank you for using your savant to open the broken souls, l'm in saudi bt when I put this worship l found my self crying and praying with out control until my boss can not stop me. My fellow Kenyans kweli hizi ni yakati za mwisho kama mungu anaweza take control kwa nyumba ya mwarabu ohh God glory be to you father we can't without you God, 😭😭ohh zidi kuniongeza na kusimama na mimi, 🙏🙏🙏
Unani bariki Sana mutumishi God blessed you uinuliwe
Glory to God 🙏🙏🙏
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen mtu wa Mungu
@EddahMeshack-yj6mn
Ай бұрын
Amen
Ni ww bwana akuna mwigine yesu wangu tujalie yalio mema ,,,tuodolee vita zote amen
Akh nmepata izi nyimbo nkafuraia Sana, God bless you my brother 🙏🙏🙏
Hsante sana ndugu ua nabarikiwa sana na hixi manyimbo xako ,,Kwaza hili nitamkemea shetani inanifikisha mahali
Hakika nyimbo zako zinanibariki sana najikuta nipo kwenye uwepo wa mungu nikisikiliza nyimbo hizi
UBARIKIWE mtu wa MUNGU kwa kuliinua JINA la Bwana.
Highly blessed ata mwarabu akinituc God yupo
Asante sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana na nyimbo zako uwende kiwango kingingine.
From Tanzania amen 🙏
@danielsifuna7377
29 күн бұрын
Amen amen amen🙏🙏❤❤
Glory and honor be unto Jesus Christ away maker,a promise keeper,a covenant keeper,a healer, a deliverer thank You Jesus Christ ❤❤❤
Asanteee sana mtumishi WA Mungu nabarikiwa sana na nyimbo zako,nyimbo zangu pendwa nyakati zote
Mungu azidi kukwinua mtumishi was Mungu,sauti tamu ya kuabudu Mwenzi Mungu
Hizi nyimbo ni baraka sana kwa moyo wangu
Ameeen napenda sana nyimbo zako zinanibariki zaidi Mungu ananijua zaidi ya binadamu barikiwa sana mtumishi hizi ndio nyimbo ziko kwa simu yangu nazipenda sana pia zinanibariki🙏🙏🙏
Aise kaka mungu akubariki sana yaani nyimbo zako zinagusa sana hata mm zinanifariji sana mungu akubariki sana
Your songs are too blessing to me....requrdless of hardtime am in I know one day God will do accordingly...Amen
@danielsifuna7377
9 күн бұрын
Aaamen❤❤❤🙏
Kwa kweli nyimbo zako huwa sina Ni bariki Sana🙏🔥
Amen 🙏 mtumishi wa Mungu wacha Mungu azidi kukushushia kibali asante kwa nyimbo za kuabudu 🧎
Nice songs,kipafu brother.
Asante sana mutumishi wa bwana umefungua kifua changu nlikuwa na mambo mengi moyo wangu umekuwazito, mawazo ya mesimama lakini nimefunguliwa l have peace of mind for now, thank you lord for using soul to open broken heart and soul 🙏🙏🙏🙏
@danielsifuna7377
28 күн бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Naingia mbinguni na amani barikiwa sana My son with your team
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen amen amen mum🙏🙏🙏❤❤
@EmillyAkinyi-ut4xq
8 күн бұрын
⁰0⁰0@@danielsifuna7377
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen lord amen Jesus amen in Jesus name nice song haleluyah to Glory Amen amazing 👏 🙏 🙌
@danielsifuna7377
Ай бұрын
Amen❤❤❤❤
I'm blessed in full thro' 🎉this songs nikiwa kwa gari yangu sitoi usiku wote sitoi naomba ubarikiwe
Maisha yangu n wewe unajua baba 🙏🏻🙏🏻
Nimeparikiwa zana pastor Mungu akuinue juu sana amen..
You are the best. Keep doing good.
Barikiwa zaidi love your songs....ziko🔥🔥🔥🔥