Lini Utapita kwangu - Mch. Abiud Misholi (Official Music Video).
Watch,hear the Message and Share "NILIMWITA BWANA" (Gospel Song).
#AbiudMisholi#NilimwitaBwana#
SIKILIZA NYIMBO ZA MCH. ABIUD MISHOLI KUPITIA LINK HIZI.....
Spotify - open.spotify.com/artist/4ZCBt...
Boomplay - www.boomplay.com/artists/6301...
Mdundo.com - mdundo.com/a/259766
Amazon Music - www.amazon.com/s?k=Abiud+Mish...
KWA MSAADA WA MAOMBI NA USHAURI WASILIANA KWA ....
Simu - +255754045328
Email - abiudmishori500@gmail.com
Пікірлер: 822
Pita kwangu BABA 2024 nione mkono wako.😭🙏 Wenye Munaamini kwamba Mungu atafanya njia jamen tujuane
@barakamatovu4277
5 ай бұрын
Amina🙏
@user-zu1mh1pp7t
4 ай бұрын
Emen
@estherkamera4118
3 ай бұрын
Amen
@winifridajohn9226
2 ай бұрын
Amen
@silviawayera5362
2 ай бұрын
Amen
mimi ni muislam walakini nyimbo zako zaniponya kiroho na mwanyazi mungu akujaalie na kheri juu yako naitwa shafii khalifa mussa
@sofiahassan7568
Жыл бұрын
Yesu atakukomboa wakati wake ukifika
@amanielie2932
Жыл бұрын
Mungu akubariki muchungaji
@marianahermes6301
Жыл бұрын
Shafii mpe Yesu maisha Yako Sasa atakushangaza sana katika Yale mambo uliyoyasubiri muda mreffu.
@winifrida-nz8tv
Жыл бұрын
Naitwa win yohana nabalikiwa sana nanyimbo zako mungu akubariki sana
@eliyasanga6374
11 ай бұрын
Ongera kaka shafiii
Leo mara ya kwanza kusikiza huu wimbo nikiwa mgonjwa mda wa miezi mitatu, ila naamini leo mungu atatenda
Leo naomba upite kwangu mwaka 2024 ukawe mwaka wa shuhudaaa
Naacha comment hii hapa, ili siku moja nirudi na ushuhuda LINI UTAPITA KWA FAMILIA YANGU, GOD your power are limitless ,your grace is sufficient, Nagusa pindo naomba usikie mguso wa kipekee ... Tabu yangu iondoe YESU KRISTO 🙏
@johnmenjo7404
Ай бұрын
Soon my sister
@DorrineWeru
Ай бұрын
i dont know how but i feel its closer than ever,keep pushing in prayers dont hesitate in your dream
Mungu huu mwaka upite kwangu baba, nimeitwa majina mengi baba, Mungu nisiwe mama wa makaburi bali nilee mtoto 😢😢😢😢
@perismueni7462
Ай бұрын
May God remember you
@ClarisShiaka
Ай бұрын
God is with you and he hear all your heart desires
@JevlineShali
Ай бұрын
God ll bless you with the child who ll stay in Jesus name 🙏
@user-pc1sw3pp8z
Ай бұрын
Kwa Imani mungu atatenda amni tu
Leo upite kwangu yesuu🙏tabu zimenichosha yesu wang mzigo umenichosha eeeh bwanaa😭🙌
@mch.abiudmisholi
Жыл бұрын
Neema ya Mungu ikuwezeshe na kukupigia
@user-op8oh5nq2g
7 ай бұрын
❤
@prophetCR
3 ай бұрын
amen mimi naipokea wakwanza
@AnnahWanjala
22 күн бұрын
Mungu ni Mwaminifu ata tenda
Wimbo huu unapoimbwa nasikia Tu Yesu amepita Kwangu unafungua mahali ambaponilona kuna Giza nakuona mwanga.Mungu wabinguni na amubariki na Amani ya Bwana iwe nanyi Amen 🙏
@TatuOmar-wg5hj
9 ай бұрын
God bless you
@victoriasezi2469
9 ай бұрын
You too......
Huu wimbo nikama uliimbwa kwa ajili yangu...❤❤❤❤...am too deep in to this encouraging song
Mungu azidi kukutu mia
Pita kwangu yesu fungua njia zangu mungu wangu 🙏🙏🙏
Pita kwangu leo yesu wangu unifanyie wepesi katika yote yaliyokua magumu kwangu kwa akili za kibinadamu yakawezekane kwa nguvu za mungu🙏
mungu nakuomba uzidi kupita maishani mwangu na kwenye familia yangu🙏🙏
Emen mungu nashukul ulipita kwangu na shukul nilipofika nanilipo kua baba utukuzwe mbingun na duniani Emen
Yesu Simama pamoja nami fungua njia zangu Eeeh Yesu wangu
Yesu ninataka kugusa pindo lako nimechoka n haya mateso mungu yangu
Pastor na ule wa Uje Yesu Naomba utuekee Uku
Mungu ume pata kwangu,Nashukuru lakini hili Baba laniumiza naomba nipate amani Mungu wangu
Abuid MUNGU Asikuache Ktk Utumishi Wako Hakika Kazi Yako Sio Bure MUNGU Akukumbuke Sana Sana Pamoja Na Familia Yako Asiiache Na Hayo Ndiyo Maombi Yangu Kwa MUNGU Ameen.
Kwa namna hii, mbingu IPO wazi........ Mungu akubariki sana Mchungaji wetu wa Tanzania yote. Unabariki maisha yangu
Nimaliziye madeni yangu na ya familia yangu sina amani pita kwangu rafiki mwema maliza sasa aya mashozi
Badilisha maisha yangu yesu🙏🙏🙏🙏😭
Wimbo huu umefanyika baraka sana maishani mwangu, hakika tunahitaji kutembelewa na Mungu
@eunicezawadi9844
Жыл бұрын
Tabu zimenichosha
@christinekitonga4491
Жыл бұрын
QqQ
@arthurmichaeljunior7799
5 ай бұрын
Amen 🙏
Ee Mungu naomba upite katika maisha ya familia yangu,uchumi wangu,familia yangu,afya yangu na Shule yangu.Naomba upite kwenye uchumi wangu hii June nitimize yote niliyokuomba Bwana Yesu.Naomba upite kwangu ili nije kutoa ushuhuda hapa.
Nyimbo zako hunijaza sana hata kama mimi ni Muslim bt zinaniinua na kunijenga kiroho.ubarikiwe mchungaji
Lini utapita kwangu me nataka niguze pindo lako yesu 🙏🙏🙏🙏
Zidi kupita kwangu,,thankyou lord for all u r doing in my family,,ur daughter is grateful.
Lini utapita kwangu...nisamehe dhambi zangu YESU, asante MUNGU MWENYE NGUVU
@jesca6057
Жыл бұрын
pita kwangu Baba
Lini utapita kwangu....im patiently waiting you Jesus
Naomba upite kwangu hii mwaka mungu 😭😭
Bwana naomba unsaidie nimalze mwendo salama
Kweli hii nyimbo inatia moyo sana mungu akubariki sana mutumishi
Yesu azidi kupitia watoto wake
Bwana yesu asifie watakao soma ujumbe huu miika mbiri irio pita nirikiwa nikiutaza wimbo huu moyo wangu ukiuimba Kwa ndani Kwa yale mambo nilikuwa nikipita Kwa mwangu mambo magumu siwezinikaereza na nilikuwa na imba wimbo nikiuliza mungu nilini utapita
Mungu wangu ni lini utabita kwangu nabtia magumu tena tunadharauliwa kwa umaskini mungu pita kwangu nije nibadilishe kwetu angalau tuonekane mungu😭😭😭😭😭
Nyimbo hizi huniponya, hunifariji sana na kunitia moyo na kuanza safari upya
Amen ubarikiwe Sana mtumishi wa Bwana wimbo huu kweli unabariki
Nashukuru Mungu Kwa ajili ya huu wimbo! Umebariki moyo wangu Sana. Hallelujah. Amen.
Pass me not my God, nice song from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Munguakuinue zaidi katika kumtumikia nimemuona mungu kupitia wimbo huu🙏🙏
Naguswa na nyimbo huu ninapenda tuwasiliane nawe, nalwalika inchini congo D.r.c/bunia
Leo upite kwangu yesu,,,🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Am waiting Yesu upite kwangu huu mwaka ninunulia my kids plot ,that is my heart desires this year, I know you will bless me Amen
Ee yesu mwema kwa maneno kwa matendo au kwa mawazo yangu nakuzuia kupita kwangu natubu dhambi zangu,, pita kwangu pia.
@tumainiurio3644
Жыл бұрын
Hakika yesu ni BWANA
Leo upite kwangu yesu nakuomba pita katika maisha yangu mungu 👏👏
nimebarikiwa kupitia kwa huu wimbo
mjue MUNGU wa kweli akujuaye
Glory to God, Nilini utapita kwangu Mungu wangu. This year be my year!
Mungu wangu pita Kwa maisha yangu nimechoka nakudanganywa kweli
@freedomlifeministry2016
Жыл бұрын
Kwa uweza wa Mwenyezi Mungu utakuwa sawa sawa
2022July 19 Ninaomba Yesu upite kwangu.
Leo pita kwangu Yesu...nifute machozi yangu..pia Mimi nibariki Yesu..pita kwangu Yesu.
Pita kwangu mungu wangu mwaka huu ukaniguse kila mahali🙌🙌🙌
eee yesu pita kwangu unipe amani ya maisha
Wimbo wenye kuinua kiwango cha Imani kuu, nami nakiri kupitia wimbo huu Yesu niguse ili niondokane na niliyonayo.....Niguse Yesu usiniache nilivyo
Niguse na mimi mungu naomba upite na kwangu nitembelee na mimi mungu wangu nimechoka haya mateso
Mwenyezi mungu akubariki sana ujumbe unasambazwa ipasavyo
Lini MUNGU utapita kwangu katika maisha yangu
I'm blessed watched from Tiktok and turned to watch on KZread who is watching withe from Canada
@mch.abiudmisholi
Ай бұрын
Be blessed
Mungu lini utapita kwangu??😭😭😭😭😭
Ee YESU KRISTO uliye hai usinipite naomba uninguse nami nipate uponyaji na baraka
Hallelujah wimbo huu huwaunani bariki nakunitiya nguvu na moyo mungu akubariki Sana mtumishi wangu mungu eeeh mungu nahitaji nikakuone huu ya maisha yangu
Mungu awe pamoja ni sisi wote
Pita kwangu yesu,usiniache pita baba...huu wimbo unanitia moyo sana,,,,,barikiwa sana wewe uliye imba
Mimi nilikuwa nikiwa kwenye matatizo makubwa ila saii nipata nafuu kupitia nyimbo za kuabudu na kusifu kwa jina la yesu kristo ninafunguliwa kwa neema ya Mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭☝️ ☝️☝️ itafika kwangu
@AnnahWanjala
22 күн бұрын
Ita fika jibe Moyo na tumaini kwake Mungu
Bwana Yesu naomba upite kwangu
LEO upite KWANGU Yesu Tabu zimenichosha 😭😭🛐🛐
Mungu baba namimi ninguse baba shida ninyingi Simama nasibaba 😭😭😭
pita kwangu mungu kwa huu mwaka nakuomba mwenyezi mungu
Nabarikiwa xaan
Pita kwangu baba nitoe kwa mateso na kunipa kz ya amani na upendo ktk kutafuta riziki ya maisha Yesu wangu😢Nimechoka masimango na kutumikishwa kama mtumwa asiye na haki kama wanadam wengine
Ee, Mungu nimekuona mara nying ukipita kwa wengine naomba namm hii 2024 iwe zamu yangu kupita kwang, nayoyapitia yamenichosha Mungu wangu 😭😭
lini utapita kwangu ninakata kuguza pendo lako yesu fungua mlango wa ndoa in Jesus name
Natamani misholi ungekuwa msabato, barikiwa Kwa kaI ya injili
Wimbo wangu pendwa kabisaa
Nimechoka Yesu naomba upite kwangu sasa
Wangap tunasikiliza huu wimbo 2024 . Lini utapita kwangu bwana 😢😢
God's favour,,pia mh naulza ln😂😂
Pita kwangu Pita kwa wazazi wangu Pita kwa wanangu Pita kwa ndugu zangu pia Pita kwa majirani zangu baba Pita kwa mke wangu .mwenyezi
@nancyikarede7583
Ай бұрын
AMEN
Minataka niguse pindo lako Yesu ili leo upite kwangu. Niguse baba nakufanya wepesi mahali pana ugumu katika maisha yangu. Asante sana kwa wimbo huu mtumishi wa Mungu
Naomba upite na kwangu YESU
Ninapohuskia huu wimbo napokea Baraka tele 🙏🙏🙏
Bwana Yesu usinipite nibariki unipitie ee Bwana napitia mazito na uchungu mwingi nateseka baba naomba kibali Bwana usiniache
I leave this comment here so that when God will come through for me,this will remind me to give a testimony,LINI UTAPITA KWANGU....my heart is heavy, please remember me God😭😭
@saidmusa1537
Жыл бұрын
Amen
@emilyamani2016
Жыл бұрын
Maombi haya yawe ya ushidi kwa maisha yangu
@emilyamani2016
Жыл бұрын
Madeni ,taabu zote zinaenda kungunzwa na mungu
@emilyamani2016
Жыл бұрын
Leo upite kwangu
@leosins9002
Жыл бұрын
nami pia nangojea niguse pindu lake......
Bwana Yesu pita kwangu Nina uhitaji Bwana.
Naamini Baba Muumba mbingu na nchii huu Mwaka ni waushindii kwangu ukiwa ndani yangu.. amen Barikiwa mtumishi
Yesu Naomba niguse pindo lako siku ya Leo💪💪💪
Yesu nataka kugusa pendo lako katika hitaji langu nifanikiwe amen
Pita kwangu yesu unikomboe kwenye mikono ya Giza😭😭🙏
yesu kwa neema yako tutembelee😢kwa wajane, yatima na wasio na makao kufanye mkao yako baba🙏🙏🙏pita baba utuguze😢😢 for remnants will remain strong 😭
Leo pita kwangu Yesu oooooh haleluya
Mchungaji ubalikiwe huu wimbo wako umenipa falaja sana maana nilikata tamaa sana.nilikua na uvimbe kila nikienda ospitali inaongezeka.kuna siku nilisikia huu wimbo nikaudanlod ndio ukawa wimbo wangu nikaanza kufanya maombe leo nimeenda ospitali kupiga tena nyutrasaund nikakuta uvimbe hamna. Kwa kweli cna cha kusema ila mungu akupe umli mlefu uendelee kunifaliji na nyimbo zako.
Pita kwangu eeh mungu wangu nimechoka na kilio Cha kila mara pita kwangu eeh mungu wangu unanifahamu vizuri Amina.
Madeni ya kugamble nikisema nita nunua shamba lakini kila wakati madeni Mungu nime kuja kwako mwenyewe nisaidiyee ni hili jambo MunguuuuuuuuMunguuuuuuuMunguuuuuuuuMunguuuu pita kwangu yesuuuuuuuuuuu nime choka nisaidiye Baba
Yesu nipe aman kweny ndoa yang
I will be extremely glad and thankful when God will visit me tonight and bring solution to my needs because they have been a burden to me. They have been on my neck for some time...let it be in Mighty Name of Jesus Christ of Nazareth Amen.
@danielmutunga6621
9 ай бұрын
Amen
@nancyikarede7583
Ай бұрын
@@danielmutunga6621 AMEN
2023 tunaoskilza huu wimbi weka like
Mimi MWISILAMU ila nyimbo zako ua zina niliza sana
@user-yx3qd2fb2m
Ай бұрын
Kuya nayeye yesu akuinuwejina akuyitwe mukrisru
This song has realy touched me ...am now in a hard situation but i started singing this song and i hope God is going to do something in this situation
Lini utapita kwangu 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭
Jamanii najengwa sana nauu wimboo🙌🙌🙌 Ameeen