#MNATUCHANGANYA

Hii ndiyo ilikuwa staili ya uimbaji wetu,siyo kama ninyi mnavyo imba utafikiri umeshikwa na degedege

Пікірлер: 318

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina99803 жыл бұрын

    tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote

  • @khalfanifarisy7398

    @khalfanifarisy7398

    3 жыл бұрын

    Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)

  • @mariamjuma2908

    @mariamjuma2908

    3 жыл бұрын

    Kwa hiyo kuimba ni dhambi au

  • @richardsikazwe9197

    @richardsikazwe9197

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba

  • @danielofcars2920

    @danielofcars2920

    Жыл бұрын

    Tu ungane tu

  • @kennethkasese1933

    @kennethkasese1933

    Жыл бұрын

    @@khalfanifarisy7398 11

  • @ifakisetumbaboy3749
    @ifakisetumbaboy37494 ай бұрын

    Amen 1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani?? 2 Tembea Na Jesus haleluya Amen. 3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena. 4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya

  • @modesteessau8032
    @modesteessau80323 жыл бұрын

    Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe

  • @metridamihama3087
    @metridamihama30873 жыл бұрын

    Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua

  • @saudakabogo
    @saudakabogo3 жыл бұрын

    Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale94993 жыл бұрын

    SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .

  • @gadielshedaffa3333

    @gadielshedaffa3333

    3 жыл бұрын

    Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel

  • @user-pt1sc4hc1k
    @user-pt1sc4hc1k6 күн бұрын

    Mungu akutunze mtumishi

  • @jimmlnsn4123
    @jimmlnsn41233 жыл бұрын

    Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule

  • @ELIPHAZAMON-ex9zc

    @ELIPHAZAMON-ex9zc

    4 ай бұрын

    Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache

  • @user-ni1vi3oh5p
    @user-ni1vi3oh5p4 ай бұрын

    Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu

  • @traffedrdc3585
    @traffedrdc35853 жыл бұрын

    Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste. Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo. Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille Amina

  • @ombenimathias5275
    @ombenimathias52753 жыл бұрын

    Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....

  • @rizikimshindo2177

    @rizikimshindo2177

    3 жыл бұрын

    Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa

  • @dieudonneniyokwizera3124

    @dieudonneniyokwizera3124

    3 жыл бұрын

    Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale

  • @stevenomanga4637

    @stevenomanga4637

    3 жыл бұрын

    Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,

  • @ombenimathias5275

    @ombenimathias5275

    3 жыл бұрын

    Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense

  • @twinkleeddy9263

    @twinkleeddy9263

    11 ай бұрын

    Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako

  • @josephsibale4283
    @josephsibale42833 жыл бұрын

    Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .

  • @isayajuliuskaombwe4675
    @isayajuliuskaombwe4675Ай бұрын

    Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn84713 жыл бұрын

    🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi

  • @johnfaustinechannel746

    @johnfaustinechannel746

    3 жыл бұрын

    Ni kweli

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    @soloartist_ivanvespalusind1609

    3 жыл бұрын

    Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1bАй бұрын

    Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo74473 жыл бұрын

    Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni17633 жыл бұрын

    Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana

  • @furahamwemera4570
    @furahamwemera45703 жыл бұрын

    Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!

  • @atukuzwegwayovye8504
    @atukuzwegwayovye85042 жыл бұрын

    Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke32583 жыл бұрын

    Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9

  • @irakozefrancine4611
    @irakozefrancine46113 жыл бұрын

    He can preach indeed.. God bless him

  • @mariamchimbombwe2571
    @mariamchimbombwe25712 жыл бұрын

    What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro69303 жыл бұрын

    😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏

  • @khalfanifarisy7398

    @khalfanifarisy7398

    3 жыл бұрын

    Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.

  • @agnesminja9612

    @agnesminja9612

    3 жыл бұрын

    Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu

  • @user-cc3vs5di6y
    @user-cc3vs5di6y3 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan

  • @fredkitigwa436
    @fredkitigwa4363 жыл бұрын

    Nakuelewa sana Mch. Maghembe.

  • @pastorjamesmajaliwa7843
    @pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын

    Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu

  • @nicholauslaurent5454
    @nicholauslaurent54543 жыл бұрын

    Hahahahahahahaha, akakubembeleze babu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @phubusa2022
    @phubusa2022 Жыл бұрын

    Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!

  • @isokoyubugingoofficial626
    @isokoyubugingoofficial6263 жыл бұрын

    Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia

  • @MTWEVELENNARD
    @MTWEVELENNARD15 күн бұрын

    Mzeè Bwana akutie nguvu unafanya sahihi

  • @FlorenceKirigo
    @FlorenceKirigoАй бұрын

    Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys

  • @irenesimon9107
    @irenesimon91073 жыл бұрын

    Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki

  • @martinkisha6307
    @martinkisha63073 жыл бұрын

    Pastor machachari Sana

  • @nellisongodfrey5847
    @nellisongodfrey58473 жыл бұрын

    Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli

  • @mkushiinafricatvonline3309
    @mkushiinafricatvonline33093 жыл бұрын

    Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa

  • @tumainielia5750

    @tumainielia5750

    3 жыл бұрын

    Hatari sanaaaa aiseee dah

  • @JoelyMtewele
    @JoelyMtewele2 ай бұрын

    Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa

  • @mrambaalphonce2164
    @mrambaalphonce21643 жыл бұрын

    Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira

  • @celestinoluis1326
    @celestinoluis13262 жыл бұрын

    Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale94993 жыл бұрын

    MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE

  • @samuelmdota8452
    @samuelmdota84523 жыл бұрын

    Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.

  • @user-jl1db6lc1w
    @user-jl1db6lc1w2 ай бұрын

    Mungu akubariki sana pastor.

  • @mgoledaudi6051
    @mgoledaudi60513 жыл бұрын

    Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio3 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!

  • @paul.shilagi6537
    @paul.shilagi65373 жыл бұрын

    Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila33343 жыл бұрын

    Leo you tube ipo kipindi hicho vilikua havipo Lakini vinanda vilikua havipo. Magita dram Leo Mungu ameongeza maalifa saaana tutaona mengi lakini vyote nikwajili ya utukufu wa Mungu hatuwezi fanana. Mungu atusaidie tunamtaka Bwana

  • @stevenomanga4637

    @stevenomanga4637

    3 жыл бұрын

    Nikweli kabisa Baba,, labda kama hawapendi hawa waimbaji wa leo,, pia kila zama na watu wake,, sio lazima wote tuimbe kama zamani,, sasa huo wimbo wa rozi muhando nibembeleze Yesu unashida gani,, huku ni kujihesabia haki nakuona yeye ndo yuko sawa kuliko wengine,, tatizo la mzee wetu magembe yuko aggressive sana,, injili ni upendo

  • @isaacbangaya8354

    @isaacbangaya8354

    3 жыл бұрын

    Mdundo sio tatzo tunaangalia nyimbo imebeba ujumbe gan ndo mtumish anachoongelea

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya55323 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishii...

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo25433 жыл бұрын

    Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu

  • @IreneWatson3
    @IreneWatson32 жыл бұрын

    2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani. 2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana. 2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.

  • @micamathew2595
    @micamathew25953 жыл бұрын

    Mchungaji Bwana akubariki sana!!!

  • @josiahbota8983
    @josiahbota89833 жыл бұрын

    Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.

  • @focuseric4109
    @focuseric41093 жыл бұрын

    Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!

  • @floramajor3381

    @floramajor3381

    3 жыл бұрын

    Umeona anachekeshaaa

  • @elizafumbuka8668

    @elizafumbuka8668

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @srkkishimbo1558

    @srkkishimbo1558

    3 жыл бұрын

    Ok. Ila hata kuhubiri ni Sanaa pia

  • @silvanusjeremiah8256
    @silvanusjeremiah825616 күн бұрын

    Kina Magembe wamebakia wachache sana wengi ni mbwamwitu tu

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage24622 ай бұрын

    Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo

  • @kawayarajabu3446
    @kawayarajabu34463 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @sarahmathias1067
    @sarahmathias10673 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia

  • @LevisOdongi
    @LevisOdongi8 күн бұрын

    Hadi mimi pia

  • @stevenomanga4637
    @stevenomanga46373 жыл бұрын

    Nibembeleze yesu ni wimbo mzuri Sana,, sasa yesu akikubembeleze Kuna kosa gani,, we mzee unazeeka vibaya,, pia sio lazima nyimbo zifanane, kweli we kichaa,,, pia hata hizo za kitabuni zilitungwa na watu,,, halafu mambo yamebadilika, hata uko zamani hawakuvaa kama ulivyovaa leo, maana ake ata wewe umebadilika, usitake watu wafanye kama zamani ndo ujue watu wanaimba

  • @YohanaBanaba
    @YohanaBanaba2 ай бұрын

    Ubarikiwe mzee

  • @sifaelkikoti3141
    @sifaelkikoti31412 жыл бұрын

    Wawooohoo najifunza vingi sana kwako

  • @johnayubusaidi4514
    @johnayubusaidi45143 жыл бұрын

    Mchungajo magembe. Natamani utembee Tanzania yote ulifundishe kanisa maana hatujauona utukufu wa hekalu la Kwanza.

  • @danynishimwe818

    @danynishimwe818

    3 жыл бұрын

    Eee kwasasa okomvu hauna hâta cembe ya utam 🇧🇮

  • @user-cl9tl5zn2y
    @user-cl9tl5zn2y4 ай бұрын

    Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.

  • @esteredward6980
    @esteredward69803 жыл бұрын

    Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego72602 жыл бұрын

    Amina mchungaji. Sasa hivi kuna kazi.

  • @ewhite2806
    @ewhite28063 жыл бұрын

    Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno

  • @elizafumbuka8668
    @elizafumbuka86683 жыл бұрын

    Huyu mzee ana asili ya conedy ndani yake

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Ni aibu Tupu sikuhizi.kona Rose mpaka wakakaliwa na mapepo sababu ya mauno utadhania wazaire! Mungu hachezewi hivo huku watu wakikwazika!!

  • @msamgunda7684
    @msamgunda768414 күн бұрын

    Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.

  • @nesielias317
    @nesielias3173 жыл бұрын

    Ubarikiwe kwa kutukumbusha

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari51083 жыл бұрын

    Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.

  • @sangalothmusicking4292
    @sangalothmusicking42923 жыл бұрын

    Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo10 ай бұрын

    Nimegundua hii dunia hakuna anayafanya vya kwake bila kumponda cha mwenzake hayo tunayaona kwa kila dini na kila dhebehebu pia tunaona kwa waimba wa aina tofauti tofauti kuwa ili nyimbo yake isikilizwe iwe na vijembe.......... Mbona hata weee naweza kukukosoa.....

  • @davidomari8660
    @davidomari86603 жыл бұрын

    Ww ni mtumishi Mungu

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel46143 жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @christineabel9638
    @christineabel96383 жыл бұрын

    Really blessed

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын

    Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana. Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana

  • @EnockObed
    @EnockObed6 ай бұрын

    Good I like that 🙏🙏

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu38222 жыл бұрын

    Baba barikiwa saaaana

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira7683 жыл бұрын

    Ooh Mungu nifutie madeni yangu!!

  • @glorydenis5111
    @glorydenis51113 жыл бұрын

    Unaimba vizuri Ila mchungaji. Ila acha kuwaponda waimbaji wengine Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa

  • @lawrencehezronmwakalebela2738

    @lawrencehezronmwakalebela2738

    3 жыл бұрын

    Hujamuelewa mchungaji

  • @WitnessSamson-qc9ie

    @WitnessSamson-qc9ie

    Ай бұрын

    Hujaelewa alichomanisha

  • @Wamisangi

    @Wamisangi

    Ай бұрын

    Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.

  • @robertmnyanyika525
    @robertmnyanyika5253 жыл бұрын

    Mimefutiwa deni futiwa deni nimefutiwa deni mwezenu sidaiwi kabisa

  • @simionlutebuka2914
    @simionlutebuka29142 жыл бұрын

    Mmmmmmmh, kila kanisa na majira yake na changamoto zake. Tutembee kwa mguu wakat Mungu ametupa akili ya kurahisisha safari. Kuna tofauti wakat wa Mwanzo na sasahivi, lazma tukubali kuwa kila zama zilikuwa na changamoto zake. Roho mtakatifu tusaidie tusiende kwa mihemko yetu ya miili kwenye kuimba na kuhubiri, tutaharibu kile kitu Mungu amekiweka ndani yetu.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54793 жыл бұрын

    Mbona wimbo wa "chimbua tumtupe shetani" ni wa zamani! Hata sio wa enzi hizi

  • @sangalothmusicking4292

    @sangalothmusicking4292

    3 жыл бұрын

    hoja ni kuna ujumbe gani wa kitheolojia hapo kwenye chimbua tumtupe shetani na hoja si wimbo gani wa zamani. Mchungaji anatukumbusha uimbaji unastahili kumtukuza Mungu. Kama nitakua nimekosea naomba kusahihishwa tafadhali.

  • @piustibanga5811

    @piustibanga5811

    10 ай бұрын

    Kwenye Biblia ni wapi Yesu alipowaambia wanafunzi wake waanze kuimba ndipo ibada yao iendelee

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48003 жыл бұрын

    huyu mzee ni komedian

  • @malindisamwel4144
    @malindisamwel41443 жыл бұрын

    Ameeee barikiwa sana

  • @bestinabenard2511
    @bestinabenard25113 жыл бұрын

    Waaaahoooooo9 Ameizng

  • @irenesimon9107
    @irenesimon91073 жыл бұрын

    Mungu akubaliki

  • @espoirmlondani-ue2fm
    @espoirmlondani-ue2fm8 ай бұрын

    Amin nimebarikwa

  • @ClementVenance
    @ClementVenance2 ай бұрын

    Mmmh mchungaji apana huduma haziko hivyo Kwani kila mtu kapewa chake

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20583 жыл бұрын

    Wanatukonfuz hawa😂😂😂

  • @charlesjacksontz267
    @charlesjacksontz2672 жыл бұрын

    Hatali sana moto uliwaka apo

  • @alamusictz
    @alamusictz3 жыл бұрын

    Amina sana barikiwaaaaa

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva82453 жыл бұрын

    😂😂😂 barikiwa mchungaji

  • @user-rr1iw7cn2m
    @user-rr1iw7cn2m4 ай бұрын

    Apo mwisho mzee kazingua kasonya

  • @faustinhaule7562
    @faustinhaule75623 жыл бұрын

    Safi Sana pastor

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo30842 жыл бұрын

    Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani

  • @chariteucoun2607
    @chariteucoun26072 жыл бұрын

    Poleni sana jamani !

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Safi sanaaaaaa

  • @aisonnjabula6662
    @aisonnjabula66622 жыл бұрын

    Injili iliyohai safi sana baba

  • @adamukiula7892
    @adamukiula7892 Жыл бұрын

    Amina sn my pastor

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem6733 жыл бұрын

    Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi