Hii ndiyo ilikuwa staili ya uimbaji wetu,siyo kama ninyi mnavyo imba utafikiri umeshikwa na degedege
Жүктеу.....
Пікірлер: 318
@mosesmhina99803 жыл бұрын
tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote
@khalfanifarisy7398
3 жыл бұрын
Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)
@mariamjuma2908
3 жыл бұрын
Kwa hiyo kuimba ni dhambi au
@richardsikazwe9197
3 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@danielofcars2920
Жыл бұрын
Tu ungane tu
@kennethkasese1933
Жыл бұрын
@@khalfanifarisy7398 11
@ifakisetumbaboy37494 ай бұрын
Amen 1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani?? 2 Tembea Na Jesus haleluya Amen. 3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena. 4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya
@modesteessau80323 жыл бұрын
Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe
@metridamihama30873 жыл бұрын
Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua
@saudakabogo3 жыл бұрын
Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman
@yohanamgomambeyale94993 жыл бұрын
SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .
@gadielshedaffa3333
3 жыл бұрын
Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel
@user-pt1sc4hc1k6 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi
@jimmlnsn41233 жыл бұрын
Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule
@ELIPHAZAMON-ex9zc
4 ай бұрын
Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache
@user-ni1vi3oh5p4 ай бұрын
Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu
@traffedrdc35853 жыл бұрын
Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste. Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo. Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille Amina
@ombenimathias52753 жыл бұрын
Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....
@rizikimshindo2177
3 жыл бұрын
Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa
@dieudonneniyokwizera3124
3 жыл бұрын
Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale
@stevenomanga4637
3 жыл бұрын
Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,
@ombenimathias5275
3 жыл бұрын
Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense
@twinkleeddy9263
11 ай бұрын
Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako
@josephsibale42833 жыл бұрын
Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .
@isayajuliuskaombwe4675Ай бұрын
Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻
@johanesjohn84713 жыл бұрын
🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi
@johnfaustinechannel746
3 жыл бұрын
Ni kweli
@soloartist_ivanvespalusind1609
3 жыл бұрын
Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!
@user-sy3qw2zk1bАй бұрын
Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.
@williamuphilipo74473 жыл бұрын
Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana
@furahamwemera45703 жыл бұрын
Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!
@atukuzwegwayovye85042 жыл бұрын
Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.
@lukakyauke32583 жыл бұрын
Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9
@irakozefrancine46113 жыл бұрын
He can preach indeed.. God bless him
@mariamchimbombwe25712 жыл бұрын
What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji
@patientlazaro69303 жыл бұрын
😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏
@khalfanifarisy7398
3 жыл бұрын
Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.
@agnesminja9612
3 жыл бұрын
Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu
@user-cc3vs5di6y3 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan
@fredkitigwa4363 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mch. Maghembe.
@pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын
Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu
Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!
@isokoyubugingoofficial6263 жыл бұрын
Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia
@MTWEVELENNARD15 күн бұрын
Mzeè Bwana akutie nguvu unafanya sahihi
@FlorenceKirigoАй бұрын
Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys
@irenesimon91073 жыл бұрын
Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki
@martinkisha63073 жыл бұрын
Pastor machachari Sana
@nellisongodfrey58473 жыл бұрын
Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli
@mkushiinafricatvonline33093 жыл бұрын
Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa
@tumainielia5750
3 жыл бұрын
Hatari sanaaaa aiseee dah
@JoelyMtewele2 ай бұрын
Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa
@mrambaalphonce21643 жыл бұрын
Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira
@celestinoluis13262 жыл бұрын
Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe
@yohanamgomambeyale94993 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE
@samuelmdota84523 жыл бұрын
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.
@user-jl1db6lc1w2 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor.
@mgoledaudi60513 жыл бұрын
Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏
@mrsdeborahurio3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!
@paul.shilagi65373 жыл бұрын
Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa
@nikodemmwahangila33343 жыл бұрын
Leo you tube ipo kipindi hicho vilikua havipo Lakini vinanda vilikua havipo. Magita dram Leo Mungu ameongeza maalifa saaana tutaona mengi lakini vyote nikwajili ya utukufu wa Mungu hatuwezi fanana. Mungu atusaidie tunamtaka Bwana
@stevenomanga4637
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa Baba,, labda kama hawapendi hawa waimbaji wa leo,, pia kila zama na watu wake,, sio lazima wote tuimbe kama zamani,, sasa huo wimbo wa rozi muhando nibembeleze Yesu unashida gani,, huku ni kujihesabia haki nakuona yeye ndo yuko sawa kuliko wengine,, tatizo la mzee wetu magembe yuko aggressive sana,, injili ni upendo
@isaacbangaya8354
3 жыл бұрын
Mdundo sio tatzo tunaangalia nyimbo imebeba ujumbe gan ndo mtumish anachoongelea
@tusubilegemtafya55323 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishii...
@carolynadhiambo25433 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu
@IreneWatson32 жыл бұрын
2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani. 2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana. 2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.
@micamathew25953 жыл бұрын
Mchungaji Bwana akubariki sana!!!
@josiahbota89833 жыл бұрын
Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.
@focuseric41093 жыл бұрын
Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!
@floramajor3381
3 жыл бұрын
Umeona anachekeshaaa
@elizafumbuka8668
3 жыл бұрын
Kabisa
@srkkishimbo1558
3 жыл бұрын
Ok. Ila hata kuhubiri ni Sanaa pia
@silvanusjeremiah825616 күн бұрын
Kina Magembe wamebakia wachache sana wengi ni mbwamwitu tu
@miltonmachage24622 ай бұрын
Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo
@kawayarajabu34463 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@sarahmathias10673 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia
@LevisOdongi8 күн бұрын
Hadi mimi pia
@stevenomanga46373 жыл бұрын
Nibembeleze yesu ni wimbo mzuri Sana,, sasa yesu akikubembeleze Kuna kosa gani,, we mzee unazeeka vibaya,, pia sio lazima nyimbo zifanane, kweli we kichaa,,, pia hata hizo za kitabuni zilitungwa na watu,,, halafu mambo yamebadilika, hata uko zamani hawakuvaa kama ulivyovaa leo, maana ake ata wewe umebadilika, usitake watu wafanye kama zamani ndo ujue watu wanaimba
@YohanaBanaba2 ай бұрын
Ubarikiwe mzee
@sifaelkikoti31412 жыл бұрын
Wawooohoo najifunza vingi sana kwako
@johnayubusaidi45143 жыл бұрын
Mchungajo magembe. Natamani utembee Tanzania yote ulifundishe kanisa maana hatujauona utukufu wa hekalu la Kwanza.
@danynishimwe818
3 жыл бұрын
Eee kwasasa okomvu hauna hâta cembe ya utam 🇧🇮
@user-cl9tl5zn2y4 ай бұрын
Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.
@esteredward69803 жыл бұрын
Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel
@phinawatwego72602 жыл бұрын
Amina mchungaji. Sasa hivi kuna kazi.
@ewhite28063 жыл бұрын
Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno
@elizafumbuka86683 жыл бұрын
Huyu mzee ana asili ya conedy ndani yake
@myself41283 жыл бұрын
Ni aibu Tupu sikuhizi.kona Rose mpaka wakakaliwa na mapepo sababu ya mauno utadhania wazaire! Mungu hachezewi hivo huku watu wakikwazika!!
@msamgunda768414 күн бұрын
Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.
@nesielias3173 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kutukumbusha
@franaelisumari51083 жыл бұрын
Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.
@sangalothmusicking42923 жыл бұрын
Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.
@FurahaEliya-df5fo10 ай бұрын
Nimegundua hii dunia hakuna anayafanya vya kwake bila kumponda cha mwenzake hayo tunayaona kwa kila dini na kila dhebehebu pia tunaona kwa waimba wa aina tofauti tofauti kuwa ili nyimbo yake isikilizwe iwe na vijembe.......... Mbona hata weee naweza kukukosoa.....
@davidomari86603 жыл бұрын
Ww ni mtumishi Mungu
@lukasemmanuel46143 жыл бұрын
Ubarikiwe
@christineabel96383 жыл бұрын
Really blessed
@piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын
Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana. Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana
@EnockObed6 ай бұрын
Good I like that 🙏🙏
@winniewairimu38222 жыл бұрын
Baba barikiwa saaaana
@samsonnzisabira7683 жыл бұрын
Ooh Mungu nifutie madeni yangu!!
@glorydenis51113 жыл бұрын
Unaimba vizuri Ila mchungaji. Ila acha kuwaponda waimbaji wengine Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa
@lawrencehezronmwakalebela2738
3 жыл бұрын
Hujamuelewa mchungaji
@WitnessSamson-qc9ie
Ай бұрын
Hujaelewa alichomanisha
@Wamisangi
Ай бұрын
Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.
@robertmnyanyika5253 жыл бұрын
Mimefutiwa deni futiwa deni nimefutiwa deni mwezenu sidaiwi kabisa
@simionlutebuka29142 жыл бұрын
Mmmmmmmh, kila kanisa na majira yake na changamoto zake. Tutembee kwa mguu wakat Mungu ametupa akili ya kurahisisha safari. Kuna tofauti wakat wa Mwanzo na sasahivi, lazma tukubali kuwa kila zama zilikuwa na changamoto zake. Roho mtakatifu tusaidie tusiende kwa mihemko yetu ya miili kwenye kuimba na kuhubiri, tutaharibu kile kitu Mungu amekiweka ndani yetu.
@christinewomanoffaith54793 жыл бұрын
Mbona wimbo wa "chimbua tumtupe shetani" ni wa zamani! Hata sio wa enzi hizi
@sangalothmusicking4292
3 жыл бұрын
hoja ni kuna ujumbe gani wa kitheolojia hapo kwenye chimbua tumtupe shetani na hoja si wimbo gani wa zamani. Mchungaji anatukumbusha uimbaji unastahili kumtukuza Mungu. Kama nitakua nimekosea naomba kusahihishwa tafadhali.
@piustibanga5811
10 ай бұрын
Kwenye Biblia ni wapi Yesu alipowaambia wanafunzi wake waanze kuimba ndipo ibada yao iendelee
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
huyu mzee ni komedian
@malindisamwel41443 жыл бұрын
Ameeee barikiwa sana
@bestinabenard25113 жыл бұрын
Waaaahoooooo9 Ameizng
@irenesimon91073 жыл бұрын
Mungu akubaliki
@espoirmlondani-ue2fm8 ай бұрын
Amin nimebarikwa
@ClementVenance2 ай бұрын
Mmmh mchungaji apana huduma haziko hivyo Kwani kila mtu kapewa chake
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Wanatukonfuz hawa😂😂😂
@charlesjacksontz2672 жыл бұрын
Hatali sana moto uliwaka apo
@alamusictz3 жыл бұрын
Amina sana barikiwaaaaa
@djrichsingelifreva82453 жыл бұрын
😂😂😂 barikiwa mchungaji
@user-rr1iw7cn2m4 ай бұрын
Apo mwisho mzee kazingua kasonya
@faustinhaule75623 жыл бұрын
Safi Sana pastor
@shukurukihwelo30842 жыл бұрын
Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani
@chariteucoun26072 жыл бұрын
Poleni sana jamani !
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Safi sanaaaaaa
@aisonnjabula66622 жыл бұрын
Injili iliyohai safi sana baba
@adamukiula7892 Жыл бұрын
Amina sn my pastor
@mtanzaniahalisimungunimwem6733 жыл бұрын
Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi
Пікірлер: 318
tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote
@khalfanifarisy7398
3 жыл бұрын
Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)
@mariamjuma2908
3 жыл бұрын
Kwa hiyo kuimba ni dhambi au
@richardsikazwe9197
3 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@danielofcars2920
Жыл бұрын
Tu ungane tu
@kennethkasese1933
Жыл бұрын
@@khalfanifarisy7398 11
Amen 1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani?? 2 Tembea Na Jesus haleluya Amen. 3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena. 4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya
Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe
Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua
Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman
SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .
@gadielshedaffa3333
3 жыл бұрын
Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel
Mungu akutunze mtumishi
Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule
@ELIPHAZAMON-ex9zc
4 ай бұрын
Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache
Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu
Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste. Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo. Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille Amina
Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....
@rizikimshindo2177
3 жыл бұрын
Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa
@dieudonneniyokwizera3124
3 жыл бұрын
Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale
@stevenomanga4637
3 жыл бұрын
Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,
@ombenimathias5275
3 жыл бұрын
Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense
@twinkleeddy9263
11 ай бұрын
Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako
Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .
Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻
🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi
@johnfaustinechannel746
3 жыл бұрын
Ni kweli
@soloartist_ivanvespalusind1609
3 жыл бұрын
Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!
Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.
Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.
Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana
Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!
Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.
Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9
He can preach indeed.. God bless him
What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji
😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏
@khalfanifarisy7398
3 жыл бұрын
Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.
@agnesminja9612
3 жыл бұрын
Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu
Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan
Nakuelewa sana Mch. Maghembe.
Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu
Hahahahahahahaha, akakubembeleze babu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!
Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia
Mzeè Bwana akutie nguvu unafanya sahihi
Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys
Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki
Pastor machachari Sana
Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli
Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa
@tumainielia5750
3 жыл бұрын
Hatari sanaaaa aiseee dah
Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa
Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira
Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe
MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.
Mungu akubariki sana pastor.
Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏
Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!
Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa
Leo you tube ipo kipindi hicho vilikua havipo Lakini vinanda vilikua havipo. Magita dram Leo Mungu ameongeza maalifa saaana tutaona mengi lakini vyote nikwajili ya utukufu wa Mungu hatuwezi fanana. Mungu atusaidie tunamtaka Bwana
@stevenomanga4637
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa Baba,, labda kama hawapendi hawa waimbaji wa leo,, pia kila zama na watu wake,, sio lazima wote tuimbe kama zamani,, sasa huo wimbo wa rozi muhando nibembeleze Yesu unashida gani,, huku ni kujihesabia haki nakuona yeye ndo yuko sawa kuliko wengine,, tatizo la mzee wetu magembe yuko aggressive sana,, injili ni upendo
@isaacbangaya8354
3 жыл бұрын
Mdundo sio tatzo tunaangalia nyimbo imebeba ujumbe gan ndo mtumish anachoongelea
Ubarikiwe mtumishii...
Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu
2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani. 2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana. 2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.
Mchungaji Bwana akubariki sana!!!
Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.
Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!
@floramajor3381
3 жыл бұрын
Umeona anachekeshaaa
@elizafumbuka8668
3 жыл бұрын
Kabisa
@srkkishimbo1558
3 жыл бұрын
Ok. Ila hata kuhubiri ni Sanaa pia
Kina Magembe wamebakia wachache sana wengi ni mbwamwitu tu
Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia
Hadi mimi pia
Nibembeleze yesu ni wimbo mzuri Sana,, sasa yesu akikubembeleze Kuna kosa gani,, we mzee unazeeka vibaya,, pia sio lazima nyimbo zifanane, kweli we kichaa,,, pia hata hizo za kitabuni zilitungwa na watu,,, halafu mambo yamebadilika, hata uko zamani hawakuvaa kama ulivyovaa leo, maana ake ata wewe umebadilika, usitake watu wafanye kama zamani ndo ujue watu wanaimba
Ubarikiwe mzee
Wawooohoo najifunza vingi sana kwako
Mchungajo magembe. Natamani utembee Tanzania yote ulifundishe kanisa maana hatujauona utukufu wa hekalu la Kwanza.
@danynishimwe818
3 жыл бұрын
Eee kwasasa okomvu hauna hâta cembe ya utam 🇧🇮
Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.
Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel
Amina mchungaji. Sasa hivi kuna kazi.
Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno
Huyu mzee ana asili ya conedy ndani yake
Ni aibu Tupu sikuhizi.kona Rose mpaka wakakaliwa na mapepo sababu ya mauno utadhania wazaire! Mungu hachezewi hivo huku watu wakikwazika!!
Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.
Ubarikiwe kwa kutukumbusha
Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.
Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.
Nimegundua hii dunia hakuna anayafanya vya kwake bila kumponda cha mwenzake hayo tunayaona kwa kila dini na kila dhebehebu pia tunaona kwa waimba wa aina tofauti tofauti kuwa ili nyimbo yake isikilizwe iwe na vijembe.......... Mbona hata weee naweza kukukosoa.....
Ww ni mtumishi Mungu
Ubarikiwe
Really blessed
Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana. Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana
Good I like that 🙏🙏
Baba barikiwa saaaana
Ooh Mungu nifutie madeni yangu!!
Unaimba vizuri Ila mchungaji. Ila acha kuwaponda waimbaji wengine Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa
@lawrencehezronmwakalebela2738
3 жыл бұрын
Hujamuelewa mchungaji
@WitnessSamson-qc9ie
Ай бұрын
Hujaelewa alichomanisha
@Wamisangi
Ай бұрын
Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.
Mimefutiwa deni futiwa deni nimefutiwa deni mwezenu sidaiwi kabisa
Mmmmmmmh, kila kanisa na majira yake na changamoto zake. Tutembee kwa mguu wakat Mungu ametupa akili ya kurahisisha safari. Kuna tofauti wakat wa Mwanzo na sasahivi, lazma tukubali kuwa kila zama zilikuwa na changamoto zake. Roho mtakatifu tusaidie tusiende kwa mihemko yetu ya miili kwenye kuimba na kuhubiri, tutaharibu kile kitu Mungu amekiweka ndani yetu.
Mbona wimbo wa "chimbua tumtupe shetani" ni wa zamani! Hata sio wa enzi hizi
@sangalothmusicking4292
3 жыл бұрын
hoja ni kuna ujumbe gani wa kitheolojia hapo kwenye chimbua tumtupe shetani na hoja si wimbo gani wa zamani. Mchungaji anatukumbusha uimbaji unastahili kumtukuza Mungu. Kama nitakua nimekosea naomba kusahihishwa tafadhali.
@piustibanga5811
10 ай бұрын
Kwenye Biblia ni wapi Yesu alipowaambia wanafunzi wake waanze kuimba ndipo ibada yao iendelee
huyu mzee ni komedian
Ameeee barikiwa sana
Waaaahoooooo9 Ameizng
Mungu akubaliki
Amin nimebarikwa
Mmmh mchungaji apana huduma haziko hivyo Kwani kila mtu kapewa chake
Wanatukonfuz hawa😂😂😂
Hatali sana moto uliwaka apo
Amina sana barikiwaaaaa
😂😂😂 barikiwa mchungaji
Apo mwisho mzee kazingua kasonya
Safi Sana pastor
Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani
Poleni sana jamani !
Safi sanaaaaaa
Injili iliyohai safi sana baba
Amina sn my pastor
Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi