KUHUBIRI NI SWALA LA KIROHO PIA KUHUBIRI NI SHULE-REV.M.MAGEMBE

Kuhubiri ni swala la kiroho pia kuhubiri ni Shule-Rev.Moses Magembe

Пікірлер: 41

  • @aimborannko3728
    @aimborannko37282 ай бұрын

    Yesu mwenyewe alikuwa mwalimu

  • @edimondhatangimana6031
    @edimondhatangimana6031 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana na aendelea kukufunulia ili tuelewe zaidi Mutumishi wa Mungu

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 Жыл бұрын

    Nikusikia leo mzee na nimekubatiza na jina. Wewe ni Mzee wa Busara.

  • @user-ed6hp5bq1n
    @user-ed6hp5bq1n4 ай бұрын

    Barikiwa

  • @johnjasse1171
    @johnjasse1171 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema asante kwa elimu

  • @peterkihongosipeterkihongo1154
    @peterkihongosipeterkihongo1154 Жыл бұрын

    Kweri kabisa baba shule muhimu.sana

  • @EsitaDavid2-wp1uf
    @EsitaDavid2-wp1ufАй бұрын

    Mengine ,kweli,ILA KWA WANAWAKE IMERUDIWA MARA NYINGI,

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 Жыл бұрын

    UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGAJI KWA NENO LA UZIMA!

  • @janenonge8320
    @janenonge83202 жыл бұрын

    Asante kwa elimu baba.

  • @EliyaMalelemba-rx3mf
    @EliyaMalelemba-rx3mf10 ай бұрын

    Yesu hasomewi chuo yuko roho MTAKATIFU, kusoma ni Sawa lakini sio kwamba usipo soma huwezi kumtumikia Mungu,

  • @UfunuoSt
    @UfunuoSt Жыл бұрын

    Theolojia imetusaidia au imetuua Ndg yangu Magembe.

  • @michaelmbura3786
    @michaelmbura3786 Жыл бұрын

    Mtumishi MUNGU akubariki sana.

  • @user-dd8hr5rg7o
    @user-dd8hr5rg7o2 ай бұрын

    Good teachings on hermeneutics mzee. GOD Bless you.

  • @aimborannko3728
    @aimborannko37282 ай бұрын

    Kusoma ni lazima na ni muhimu sana anayebeza Elimu bado hajitambui

  • @user-le3xo7wz5c
    @user-le3xo7wz5c9 ай бұрын

    Ubarkiwe baba,umekuwa baraka kwa taifa🙏

  • @vincentyohanachakupewa2219
    @vincentyohanachakupewa22192 жыл бұрын

    Bwana YESU niepushe na Imani potofu

  • @jacksonwambua5251

    @jacksonwambua5251

    2 жыл бұрын

    Warumi 10:17 Itakusandia

  • @aimborannko3728
    @aimborannko37282 ай бұрын

    Ni muhimu sana wachungaji kusoma kwa kweli kuto kusoma makanisa yanaibuka kila siku na miongozo hakuna akiamka asubuhi anafanya anavyotaka

  • @GregoryRenson
    @GregoryRenson2 ай бұрын

    Good

  • @Kefa649
    @Kefa6495 ай бұрын

    Mungu akikupa amekupa maswala kusoma ni Mambo ya kidunia tu roho mtakatifu hafungwi na kusoma, uwe umsoma au haukusoma Mungu ana weza kukutumia kwa viwango atakavyo yeye🙏🙏🙏

  • @alphoncealphonce5438
    @alphoncealphonce54382 жыл бұрын

    Asante baba

  • @RobertPhilius
    @RobertPhilius2 ай бұрын

    Hakika inastri tubadilike

  • @francismselea8208
    @francismselea8208 Жыл бұрын

    Very true

  • @maswamills3161
    @maswamills31612 жыл бұрын

    MUNGU akikupa ufunua haidhuru ilimradi Ni ufunuo toka MUNGU.

  • @olivaluseno9057
    @olivaluseno90572 жыл бұрын

    🙏

  • @rehemahanti5800
    @rehemahanti58002 жыл бұрын

    Sema Baba tuponee

  • @joelmhina9233
    @joelmhina92332 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @iddanestory5063
    @iddanestory5063 Жыл бұрын

    Balikiwa

  • @EliyaMalelemba-rx3mf
    @EliyaMalelemba-rx3mf10 ай бұрын

    Mapepo hayaogopi kusomea Bible collage umesoma hutoi hata kapepo kamoja, ni kunyenyekea tu mbele ya mkono wa Mungu ulio hodari naroho MTAKATIFU atatufundisha yatupasayo kuya tenda, YESU aliwaambia wanafunza wake kaeni hapa msiondoke mpaka roho atakapowajilia

  • @EliyaJames-fn3dz

    @EliyaJames-fn3dz

    4 ай бұрын

    Jitahidi humwelewa Mzee kijana

  • @EliyaMalelemba-rx3mf
    @EliyaMalelemba-rx3mf10 ай бұрын

    Mapepo hayaogopi kusomea Bible collage umesoma hutoi hata kapepo kamoja, ni kunyenyekea tu mbele ya mkono wa Mungu ulio hodari naroho MTAKATIFU atatufundisha yatupasayo kuya tenda, YESU aliwaambia wanafunza wake kaeni hapa msiondoke mpaka roho atakapowajilia,

  • @innocentndayiragije1151
    @innocentndayiragije11514 ай бұрын

    Mucungaji munawongeya wukweri. sikuyizi nzambi zinamariza dunia kwanini wawubiri wengi wanaharibu washiika oooo munadarisiwa manyumba pesa Nini Nani Yani maneno yawukweri anapoteya

  • @huldamichael4445
    @huldamichael44457 ай бұрын

    Hapo kwenye jiwe mchungaji sijakuelewa,na kwanini unapokrashi mafundisho ya wengine hutumii lugha njema?kwani mafunuo yamefanana??(atakayenijibu asitukane wala kukashfu,koment tu kwa utulivu nitaelewa).Hata hapo kwenye kwenda shule mchungaji wangu sijakuelewa,wapo wengi tu hawajaenda shule na wanafundisha neno na watu wanamjua Kristo,kwa nini unaongea hivi baba?

  • @bsmonline8482
    @bsmonline84824 ай бұрын

    Hahahahahah 😅😅😅

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын

    Je ambao hakusoma chuo cha biblia hafai kuhubiri injili? Mtu aliyefinyangwa na Mungu mwenyewe na yule alifinyangwa na chuo yupi bora? Hapa kwa upande wangu hujanena lolote la uzima ule tunao uchuchumilia.

  • @huldamichael4445

    @huldamichael4445

    7 ай бұрын

    Sijamwelewa kabisa

  • @EliyaJames-fn3dz

    @EliyaJames-fn3dz

    4 ай бұрын

    Mzee uko vizuri sana,tunaokuelewa ni wachache mno😅

  • @aimborannko3728
    @aimborannko37282 ай бұрын

    Yesu mwenyewe alikuwa mwalimu

  • @GregoryRenson
    @GregoryRenson2 ай бұрын

    Good

  • @aimborannko3728
    @aimborannko37282 ай бұрын

    Yesu mwenyewe alikuwa mwalimu

Келесі