EPUKA DHAMBI HII AINA MSAMAHA KWA MUNGU /ASKOFU MOSES KULOLA HUU NI MWISHO WA DUNIA
#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079
Пікірлер: 133
Mungu ni mwema. Mtumishi Kulola hakupenda utani na dhambi
Bwana Yesu asifiwe mm nilkuwa mdogo najitambua kias ila tulikuwa tukienda na bibi angu kwenye mahubiri yake
Lala jemadari wa Bwana. Hakika umeacha alama duniani
@DenisCasey-kh8ub
6 ай бұрын
🎉
Syllas mubarikiwe hii injili ya shujaa huu itaendeleya ku ponya nafsii za watu mpka mwisho ya Dunia n kurudi kwa yesu Kristo mungu atupe mtuu kama n huu mu Afrique
Ee mungu naomba uniwezeshe niwe mwaminifu daima katika wokovu wangu jeanamu inatisha nadunia inawayawaya sioni pakukimbilia yesuulienjia yangu yauzima wamilele nisaidie
Ahsante Sana Sylas TV, kwa kuhubiri Injili kwa njia memories.
Ameni nami ktk ujana wangu niifanye kazi ya Mungu kwa mapenzi ya mungu
Mungu ni Mungu, neno lake ni la milele kinadumu. Wanadamu tunatoweka kimwili lakini neno linasimamia milele.
HAKIKA mungu Ni mungu tu NA atabakia kuwa mungu HAKIKA hiki chuma hakitawah kutokea km kingne labda mungu atukumbuke upya
Mungu nifundishe kukuogopa me peke yangu siwez roho ya kiburi itoke ndani yangu
Amen'Yesu ni Bwana mwenye nguvu
Kweli mzee, umenibariki saaaana. Hakika uli hubiri ukweli
Nawaona wakina musa wakina daniel wakina yakobo nawengine wengi ndani yangu naona uchungu mkubwa mungu tupe kumaliza mwisho mwema
Bwana Yesu unirehemu mimi mwenye dhambi
Hakika ndivyoitakavyokuwa, hizi no nyakati za mwisho tukae na Bwana yesu Kristo,
Shujaa uyu alietumwa na Mungu Ili ahubiriye ulimwengu abari njema ileteyo wokovu kwa mwanadamu Mimi mwenyewe sijaona mtu kama uyo ambaye amehanza na kweli na kumaliza na kweli Mzee alikua wakipekee Tutumiye Imani kama yake Ili tupate kumuona YESU mwanawa Mungu
Mtumishi huyu Mungu ambariki sana, hayupo Duniani lakini Mahubiri yake utadhani anahubiri sasa hivi
@DenisCasey-kh8ub
6 ай бұрын
Kwakweli 😮💨
Mungu asante kwakumleta mtumishi huyukwetu tulijifunza kupitia yeye
Tumpate wapi tena mtu kama huyu alie kuwa na huruma na roho za watu, dah..!!! 😭😭 Ee Mungu naomba unipe roho ya kuthamini roho za watu kama huyu....na kuhubiri Injili ya kweli....
Tumwombe Mungu amwinue mtu kama Dr MCH moses kulola
Mzee huyu mala ya mwisho kumuona akiubili injili viwanja vya biafra km sikosei alichapa injili watu waliokoka watu walilia,mbaka saa moja usku watu walitamani asiondoke nilimpenda ila mungu kampenda zaid 2013 km sikosei mungu akamwitaji mtumishi wake wapendwa fanyeni kazi ya mungu bila kujali mazingila
Je! Ww unaexkia huu ujumbe unajifunza nn ebu mtumikie mung kwa uaminifu jaman mungu yupo
BWANA MUNGU WA MAJESHI NI MUNGU WA MOTO. MUNGU NISAIDIE NIFIKE KWAKO MBINGUNI NIKIWA SHUJAA WAKO. AMENI
Ubarikiwe kwa uamuzi huo,kwakua ulichaguliwa na Mungu
Kweli Amen ah Moses Kills may your soul rest in Peace ha tu. Ta kusahabu Una maliza kasi ya Mungu Veape acha kasi ya Mungu Ulitumika Kasi ya Injili ya Bwana Yesu Ikusindikise kua Baba amen
Nilimjua ushuda waaliye kuwa agent wa shetani kwa sahi ni mtumishi wa mungu saa nilitakujua huyu aliyebeba nguvu zamungu ni yupi.nilimtafuta moses kulola live just to know ashalala usingizi wa milele.God......
MUNGU nifundishe kukuogopa ili nikutumikie vizuri zaidii😔🙏
amini alitenda kazi ya Mungu hakika na kweli
Mungu ni mwema lala pema
Baba nimekukumbuka Sana wasukuma mungu amewajalia sana
Asante Sana MUNGU KWA AJILI YA WEMA WAKO KWETU SS WANADAMU NA PIA MUNGU ASANTE SANA KWA UKUU WAKO NA WW UTABAKI KUWA MUNGU MILELE NA MILELE
Jmn kizur hakidumu tutapata wp tena mafundisho km haya😭😭
Ahsante kwa kutukumbusha kuitafuta uso wa Mungu
👏👏👏👏huyo ndye Mungu tunaye mtumikia Amina🙏
Nimekuwa nakusikia tu Kwa mch.wangu ikabid nitafute alau kumbukumbu ya mahubili Yako......hakika mungu azidi kukupumzisha hatimae tufufuliwe ufufuo wamilele
Mungu wa moses kulola naomba uwe Mungu wangu piah
Nashaghaa jinsi Mungu alivo !! Rev Ben siele kenya
sikumoja kwa machoyangu nitamwona kulola tena; asante yesu weweni mkufunzi wamashujaa.
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
Nasikia ako mbinguni fanya bidii utamuona tu
Wenzio tuomuona tuliokoka Kila siku alipokuwa anahubiri mwache Mungu aitwe Mungu kwa habari ya mtumishi wa Mungu huyu
Unakumbukwa daima ktk kazi njema ya kueneza habari njema kwa Ulimwengu mzima vijijini na mjini INJILI
Hakika tunaye mungu wa upendo.
Asante sana mtumishi wa Mungu Mungu a tusaidie
Hakika Mungu ni mwenye REHEMA, Ee Mungu nisaidie
Amen shujaa wa Bwana
YESU ni BWANA
Huyu n alikuwa n comando wa yesu
Mungu atusaidie sana
Hakika Mungu ni mwema
Kweli
Mungu atuokowe sisi !!
Mungu ni mwema
Ameen Baba pumzika kwa.amani
Asante mzee wetu wa hekma kwa kazi nzr ya Mungu
Mungu nibariki na ndugu jamaa wte tuishi kwa kukutegemea wewe
@jairoschiute4852
2 жыл бұрын
Bsrikiwa saana kwa Ujumbe
@emmanuelchaplingi9050
2 жыл бұрын
Amina
@daniellalashe623
2 жыл бұрын
Amina mtumish wa mungu mung akutie nguvu
@frankmaige4378
2 жыл бұрын
@@daniellalashe623 Asante
@frankmaige4378
2 жыл бұрын
@@jairoschiute4852 Amina mtumish
Amina alikuwa msafisha njia ya mteule wa bwana Mfalme Zumaridi.
Ameeeeen Ahsante kwaujumbe mzuri
Bishop Joseph at gwajima
AMINA
Ahsanteee Mungu
Kila kunapokucha tujikague nakuchunguza km tunavofanya kwenye magari kabla safari tukifanya hivo tutakuwa na mwisho mwema mungu awabariki
Mungu atuokowe sisi !! 6:09
Amen barikiwa
asante kwa mungu
🙏🙏
Mbona vifupi sana tunataka kijifunza zaidi
BABA yetu tunakukumbuka san
MUNGU NI MWEMA
Nikisikiliza mahubiri haya najawa na hofu
I'm blessed my later father
Amen, asante sana
Eeh MUNGU yaweke haya maneno ya huyu mtimishi wako vizazi Hadi vizazi
Amen🎉🎉🎉
R,I,P
Mungu tumpate wapi mtu Kama huyu? Nimekumis tutaonana kwa Baba mbinguni
@gosbertmuta5421
2 жыл бұрын
😥
Amina
Mungu azidi kukuhifadhi baba uliko tunakumiss sanaa injili za sasa zimezidi mchanganyo
@sarahmaro215
2 жыл бұрын
Ni kweli Leah, tukaze mwendo cku moja tutamwona baba kwa Baba yetu MUNGU aishie
Mbn nusu nusu 😭😭
Mungu ni mungu tu
❤🙏
Bado tunajifunza mengi kutokkwako
🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
❤️❤️❤️
Ameeeen
Cjawai kumuona live huyu Mzee, lakini Kwa injili hii lazima niokoke
@deborahrweyemamu8444
2 жыл бұрын
Amen karibu Sana kwa Yesu
@reilambepela1062
2 жыл бұрын
Unakaribishwa kwa mikono miwili
@sarahmaro215
2 жыл бұрын
Karibu Alpher kwa YESU Ni kuzuri sana ukiabudu ktk Roho na kweli
@johnallen680
2 жыл бұрын
Amen
@angelamvaa2229
Жыл бұрын
Pia sikiliza mahubiri ya Mwakasegr
UKWELI KABISAA PASTOR EZEKIEL WA MOMBASA AMEYAPITIA
🙌
Ijiri kama hii Leo hakuna,
Hii ilikua injili hai,yakweli,sio wachumia tumbo wa Leo, wametukatisha tamaa kwa tamaa zao
@godfreymsembe169
2 жыл бұрын
Safari ya mbinguni ni wewe binafsi unaangalia watu?wanakukatisha tamaa ?acha mara moja kukata tana maana hakuna hata mtummoja mwenye mbingu ndungu yangu mwangalie Yesu Alie kufia
AINA/HAINA MSAMAHA
Rest in peace dady
Z
Ameen
@juliusjohn2085
2 жыл бұрын
Amen
U
@Mbayo-ig6lf
Жыл бұрын
Mungu akumbuke kazi ile uko naifanya
@user-il2ih1gc3r
11 ай бұрын
ameni
Neema na maarifa zikuongoze mtumishi !!?
Injili ya kweli haihitaji kurembaremba. Mzee Moses Kulola alikuwa ananyoosha mstari hata kama mtu hapendi.
@lilianluhasi5053
2 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisa katika jina la Yesu Kristo, hata maneno ya Yesu Kristo yalikuwa hayana majivuno, kujigamba, kujikweza
@danstonecool1734
Жыл бұрын
sasa kuna wakina reality of christ
I don't think Jesus came to bring the Gospel of fear. Something is wrong with these teachings
YESU nisaidie tu nifike mbinguni,,nikupendeze MUNGU na kuwa na amani na watu wote na utakatifuu
Mungu atuokowe sisi !!
Mungu atuokowe sisi !! 6:09
Amen🎉🎉🎉