Mm ni mlokole lkn huyu mchungaji nampenda sana. Anafundisha vzr kabisa.
@margaretwanjiru90969 ай бұрын
Jameni Pastor Mbaga.. Mafundisho yako hua unaieka vizuri sana hadi mtu anaelewa Asante kwa kunikuza kila mara kiimani....Barikiwa sana
@user-qd7yw7bi7w2 ай бұрын
May God bless you David for making me to grow spiritual
@luckymsomba48182 жыл бұрын
Kweli hatuokolewi kwa kutii amri.amen tukiokolewa tunatii.aamen
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
ILA WALIOKOLEWA WATAPEWA NEEMA YA KUTII
@dokasa91762 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu,Dorcah Bonareri Kenyan from Saudi Arabia you are always blessing unto me unainua imani yangu kila ujao jameni, May God’s grace be upon you
@estherkusaga91812 жыл бұрын
Mlefi namuona Mungu katika mafundisho haya,ila baba mchungaji hofu yangu ni kwamba wakristo wengi hatüna elimu hii,tunafikiri tunaokolewa kwa kushika amri bila Yesu..mmmh Mungu akupe mafunuo zaidi maana unatusaidiå ili tuokolewe.
@zirhumanafiston67192 жыл бұрын
Amina Mungu akubariki sana pr David Mmbaga na Watumishe wote Muhubiri tv
@shukranisiraji25662 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu akubariki sana.
@estherkusaga91812 жыл бұрын
Namtukuza Mungu anavokupa mafunuo ya kutupa mifaño inayoêndana namaisha yetu ya sasa nakuelewa Sana.
@shodristvtv61212 жыл бұрын
Pastor unaniconvice coz you're so really I wish to worship in your church
@hildapaul54222 жыл бұрын
Amen
@marytamara13232 жыл бұрын
Barikiwa sna mtumishi na mungu azidi kukutumia kma chombo na azidi kukufinyanga
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
@perisbosibori22492 жыл бұрын
Glory be to GOD ALMIGHTY for this awesome teaching. GOD bless you pastor for the good work done.
@ralgmtv54382 жыл бұрын
Amen, be blessed pastor
@zenalzen89972 жыл бұрын
Amen be blessed soo much pastor because since i started following you, you have make me near to God be blessed soo much pastor
@happinessshilie40192 жыл бұрын
Asante sana mtumishi kwa maarifa hayo mungu akubariki
@jacquesmoninga92452 жыл бұрын
Asante sana Mchungaji wangu Mungu awe nasi daima.
@paulinekisorio90982 жыл бұрын
Kwa nini hatuna Malika weusi 🤔🤔🤔🤔🤔🤔 kama Hanna mweuzi I don't want to go to that heaven 🤔🤔 We have been lied to let the truth be told
@dedanimakaka76452 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na hili somo mtu wa Mngu..
@everlyneiminza57222 жыл бұрын
Ni kweli ata mmi hapa naunga uyo mtoto mkono yani saitan akachomwe yeye mwenyewe, kuliko kusabishia watu wengine moto 🤣🤣🤣🤣 ila nimebarikiwa sana na ninaendelea kujifunza mengi kupitia mahubiri TV is the best 👌 my choice barikiwe sana mchungaji 🙏🙏🙏
@thepresenttruthlastdayeven3605 Жыл бұрын
😂😂😂 mchungaji ni psychologist nmekukibali "kwamba back ground yetu ni malaika watatu"
@itrosmgiliwa88302 жыл бұрын
Amina
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@emmamedia81552 жыл бұрын
Kaka mm nakuelewa Sana mungu akubariki sana
@khaldn74092 жыл бұрын
Amina mchungaji
@josephnjiro37122 жыл бұрын
Aminaaa
@alicesidi96012 жыл бұрын
Amen 🙏
@samsonrobert39442 жыл бұрын
AMINA
@zacharianyabayo76572 жыл бұрын
Mchungaji nauliza swali hilo tu Daniel kauliza. Ikiwa ile sehemu ya sadaka yangu nimeamua kuwapa wasiojiweza, bado inahesabiwa ikiwa sadaka?
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Kazi ya zaka hii hapa Hesabu 18:24 Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote. Msaada kwa maskini huu hapa Kumbukumbu la Torati 15:11 Kwa maana maskini hawatakoma katika nchi milele; ndipo ninakuamuru na kukuambia, Mfumbulie kwa kweli mkono wako nduguyo, mhitaji wako, maskini wako, katika nchi yako. ZAKA UTOE NA MASKINI PIA UWASAIDIE
Пікірлер: 35
Mm ni mlokole lkn huyu mchungaji nampenda sana. Anafundisha vzr kabisa.
Jameni Pastor Mbaga.. Mafundisho yako hua unaieka vizuri sana hadi mtu anaelewa Asante kwa kunikuza kila mara kiimani....Barikiwa sana
May God bless you David for making me to grow spiritual
Kweli hatuokolewi kwa kutii amri.amen tukiokolewa tunatii.aamen
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
ILA WALIOKOLEWA WATAPEWA NEEMA YA KUTII
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu,Dorcah Bonareri Kenyan from Saudi Arabia you are always blessing unto me unainua imani yangu kila ujao jameni, May God’s grace be upon you
Mlefi namuona Mungu katika mafundisho haya,ila baba mchungaji hofu yangu ni kwamba wakristo wengi hatüna elimu hii,tunafikiri tunaokolewa kwa kushika amri bila Yesu..mmmh Mungu akupe mafunuo zaidi maana unatusaidiå ili tuokolewe.
Amina Mungu akubariki sana pr David Mmbaga na Watumishe wote Muhubiri tv
Kwa kweli Mungu akubariki sana.
Namtukuza Mungu anavokupa mafunuo ya kutupa mifaño inayoêndana namaisha yetu ya sasa nakuelewa Sana.
Pastor unaniconvice coz you're so really I wish to worship in your church
Amen
Barikiwa sna mtumishi na mungu azidi kukutumia kma chombo na azidi kukufinyanga
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
Glory be to GOD ALMIGHTY for this awesome teaching. GOD bless you pastor for the good work done.
Amen, be blessed pastor
Amen be blessed soo much pastor because since i started following you, you have make me near to God be blessed soo much pastor
Asante sana mtumishi kwa maarifa hayo mungu akubariki
Asante sana Mchungaji wangu Mungu awe nasi daima.
Kwa nini hatuna Malika weusi 🤔🤔🤔🤔🤔🤔 kama Hanna mweuzi I don't want to go to that heaven 🤔🤔 We have been lied to let the truth be told
Nimebarikiwa sana na hili somo mtu wa Mngu..
Ni kweli ata mmi hapa naunga uyo mtoto mkono yani saitan akachomwe yeye mwenyewe, kuliko kusabishia watu wengine moto 🤣🤣🤣🤣 ila nimebarikiwa sana na ninaendelea kujifunza mengi kupitia mahubiri TV is the best 👌 my choice barikiwe sana mchungaji 🙏🙏🙏
😂😂😂 mchungaji ni psychologist nmekukibali "kwamba back ground yetu ni malaika watatu"
Amina
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Kaka mm nakuelewa Sana mungu akubariki sana
Amina mchungaji
Aminaaa
Amen 🙏
AMINA
Mchungaji nauliza swali hilo tu Daniel kauliza. Ikiwa ile sehemu ya sadaka yangu nimeamua kuwapa wasiojiweza, bado inahesabiwa ikiwa sadaka?
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Kazi ya zaka hii hapa Hesabu 18:24 Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote. Msaada kwa maskini huu hapa Kumbukumbu la Torati 15:11 Kwa maana maskini hawatakoma katika nchi milele; ndipo ninakuamuru na kukuambia, Mfumbulie kwa kweli mkono wako nduguyo, mhitaji wako, maskini wako, katika nchi yako. ZAKA UTOE NA MASKINI PIA UWASAIDIE
GOD bless you pastor
Amen
Amen