JE WATAKA KUMUONA BWANA - PR. DAVID MMBAGA

JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@HopeforAfricaTv?si=kT3BRCfCh2-xGBXl

Пікірлер: 61

  • @user-jd7lo8bd1e
    @user-jd7lo8bd1e7 ай бұрын

    Mungu unisamehe ,nime shindwa ila niwezeshe, nime guswa na neno lako ulie tuma kutoka kwenye pasta mbanga.

  • @user-nc6ex1kv5v
    @user-nc6ex1kv5v8 ай бұрын

    Amina sanaa Mungu atusaidie sana tuweze kukutana naye ili tupate kubadilishwa

  • @rosenyamstheroses8845
    @rosenyamstheroses88458 ай бұрын

    ASANTE mtumishi natamani sana Nashukuru mungu na wewe pia mtumishi wa mungu. Kwa ombi moja niliomba kwako kwa ajili ya mtoto wa rafiki yangu aliyelazwa hospital ya Eldoret akiugua kutokana na cancer, sasa hivi twashukuru amepata matibabu na amekubaliwa kutoka hospital awe akihudhuria clinic once per month.

  • @eustina0
    @eustina08 ай бұрын

    Mungu wa mbinguni azidi kukutia nguvu Aminaa

  • @jailomhengilolo2898
    @jailomhengilolo28988 ай бұрын

    Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu, Bwana azidi kukutumia ahsante.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 ай бұрын

    Amen

  • @evanskaranja9578
    @evanskaranja95788 ай бұрын

    Amen

  • @christinendayiragije5689
    @christinendayiragije56898 ай бұрын

    Amen amen ❤❤❤.

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb8 ай бұрын

    Amen pastor mungu wa mbinguni akubariki na pia akuzidishee hakima

  • @sarahemukule
    @sarahemukule8 ай бұрын

    Amen,nazidi kubarikiwa na neno la bwana nikuwa Saudi Arabia, MUNGU akubariki pastor,ninajihisi miguuni pa YESU

  • @gerryndyamukama9058
    @gerryndyamukama90588 ай бұрын

    Nabarikiwa sana na mahubiri ya Huyu Mchungaji. Nimesikiliza habari ya Lucifer kwamba alikuwa mmoja wa Makerubi kwa maana ya kwamba alikua karibu sana na Mungu.Swali ambalo waga najiukiza sana na sipati jibu ni kwamba hivi ilikuaje lucifer akapata akili ya kuleta mapinduzi Mbinguni?!! Je hakujua Mungu ana nguvu kiasi gani!! wakati tulitegemea kwamba yeye aliye karibu sana na Mungu ndio angemuogopa zaidi manake anamjua vizuri na angejua kwamba hana uwezo wa kumshinda.Yani kitendo cha kujaribu kuasi ina maana aliona kuna possibility ya kumshinda?!! 🤔 Tukumbuke alipigana vita kabisa,je ina maana alitegemea kwamba angeshinda?!!! Yani alikua ana matumaini!? Hili swala bado ni fumbo sana kwangu.yani SIELEWI KABISA HII SCENARIO

  • @shemi3270

    @shemi3270

    7 ай бұрын

    Mimi pia hua najiuliza sana, yani anashindanaje na aliemuumba? Hivi alikua anawaza nini?

  • @slamafamily5720
    @slamafamily57208 ай бұрын

    Amen Amen barikiwa sana pastor

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru90968 ай бұрын

    Mungu Abariki somo lake na Akubariki sana Pastor Mbaga na atubariki pia 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @dottogatuntu
    @dottogatuntu7 ай бұрын

    ❤❤❤ ahsante sana pastor

  • @user-jh8il3mi4m
    @user-jh8il3mi4m8 ай бұрын

    Amina ,maombiri imeniokowa kabisa Asante sana

  • @josephkamau435
    @josephkamau4358 ай бұрын

    Niombee natamani kuwa mnenaji wa neno la MUNGU

  • @uwezom7914
    @uwezom79148 ай бұрын

    Amen Asante San kwa neno la Leo

  • @joyceokuli2727
    @joyceokuli27278 ай бұрын

    Mimi nasali ludheran lakini nabarikiwa sana na maubiri yako mtumishi barikiwa sana baba

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 ай бұрын

    Amen

  • @josephkamau435

    @josephkamau435

    8 ай бұрын

    Wapi namba ya kutuma sadaka

  • @Kingjapha

    @Kingjapha

    8 ай бұрын

    ​@@josephkamau435nenda peleka mahali unapo abudia

  • @suzanamachango3000

    @suzanamachango3000

    8 ай бұрын

    Barikiwa sana pr.

  • @MiriamSando-fe9ll

    @MiriamSando-fe9ll

    8 ай бұрын

    Barikiwa

  • @AgostinoSampala-dr5ml
    @AgostinoSampala-dr5ml8 ай бұрын

    NABARIRIKIWA NIKIWA NCHI YA ISRAEL MUNGU AKUBARIKI SANA PASTOR nimependa sana kuhusu unyenyekevu na ujasiri

  • @user-hw4zn2zy3y
    @user-hw4zn2zy3y8 ай бұрын

    Kiukweli mahubiri yako yamebadilisha siku hata siku Mungu pekee akulipe zaidi

  • @user-jh4io1rc7e
    @user-jh4io1rc7e8 ай бұрын

    Mungu ashukuriwe kwa ujumbe mzuri na azidi kutufundisha vile inavyotakiwa kuwa

  • @rachelsanga7472
    @rachelsanga74728 ай бұрын

    Nimebarikiwa sana na mahubiri hayo Ninawaombea wapakwa mafuta wote mimi ni Rachel Mbeya

  • @andrepiusleo6393
    @andrepiusleo63938 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu, naishi Mozambique nafuatilia sana mahubiri yako na nabarikiwa sana

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi89458 ай бұрын

    Amen mahubiri mazuri barikiwa Pastor

  • @user-dk3xi4pz7o
    @user-dk3xi4pz7o3 ай бұрын

    Amina

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n8 ай бұрын

    Ubarikiwe sana David Mmbaga

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston1168 ай бұрын

    Amina 🇨🇩 Mungu akubariki sana

  • @jamesrugeji
    @jamesrugeji8 ай бұрын

    Amen , Bwana akubariki Sana pastor....

  • @rosejoseph7982
    @rosejoseph79828 ай бұрын

    Zidi kujazwa na roho pastor

  • @user-gs1ld5vd6e
    @user-gs1ld5vd6e8 ай бұрын

    Ahsante sana baba nabarikiwa sana na mahubiri yako nafarijika najikuta mkubwa❤❤

  • @RabanKatula
    @RabanKatula8 ай бұрын

    Nabarikiwa nikiwa Lubumbashi

  • @biwagamoreen
    @biwagamoreen8 ай бұрын

    Praise God man of GOD thank you for the word of lord am moreen from Ugandan but now am in Saudi Arabia a have bad dreams and my legs pain pray for me and my family GOD bless you thank you 🙏🙏

  • @floraflora5717
    @floraflora57178 ай бұрын

    Past unasema ukweli kabisa kuazia leo nimejifuza kitu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma53068 ай бұрын

    NMungu akubariki

  • @rehemaihonde7258
    @rehemaihonde72588 ай бұрын

    Ameen

  • @katotodrivingschool4603
    @katotodrivingschool46037 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @dubajohn2591
    @dubajohn25918 ай бұрын

    Mungu akubariki pastor

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma53068 ай бұрын

    Ungu akulinde na familia Yako mbarikiwe sana

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig8 ай бұрын

    AMINA

  • @raheljose9524
    @raheljose95248 ай бұрын

    Asante Pastor Kwa somo zuri barikiwa sana🙏

  • @biwagamoreen
    @biwagamoreen8 ай бұрын

    A like your voice and your video

  • @queensusany8078
    @queensusany80788 ай бұрын

    Naomba muongozo natoaje sadaka?

  • @user-he7cf3wp2p
    @user-he7cf3wp2p8 ай бұрын

    bwana akubariki paster

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline27518 ай бұрын

    Amen!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @josephkamau435
    @josephkamau4358 ай бұрын

    Wapi namba ya kutuma sadaka

  • @donomondi3409
    @donomondi34098 ай бұрын

    Is this live

  • @255og
    @255og8 ай бұрын

    🙏❤🙏

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka37628 ай бұрын

    Mafundiso matamu sana

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston1168 ай бұрын

    Amina 🇨🇩 Mungu akubariki sana

  • @johnstephano6486
    @johnstephano64867 ай бұрын

    Amina

  • @leilahl7024
    @leilahl70248 ай бұрын

    Amen

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff31198 ай бұрын

    Ameeeeen Ameeeen hapo umesema vijana tuwapishi kupita maelezo Mungu nihurumie mtuwa mimi

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston1168 ай бұрын

    Amina 🇨🇩 Mungu akubariki sana

  • @toshalulinda1493
    @toshalulinda14938 ай бұрын

    Amen

Келесі