MAMBO KUMI USIYOYAJUA KUHUSU BABA ASKOFU DR. MOSES KULOLA

Музыка

Christian Online Tumefanya utafiti kutoka vyanzo mbalimbali kuhusu Baba Askofu Moses Kulola na sasa tumekuandalia Mambo Kumi Usiyo yajua kuhusu Baba Askofu.

Пікірлер: 7

  • @KibataDispensary
    @KibataDispensary8 күн бұрын

    Ameni sana mungu amtangulie

  • @evangelismchannel8810
    @evangelismchannel8810 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu kwa mambo haya tusiyoyajua kuhusu Bishop Kulola

  • @nathankulola8348
    @nathankulola8348 Жыл бұрын

    Wajukuu tupooo... 🙏

  • @abrahamelias9665
    @abrahamelias9665 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m5 ай бұрын

    Nampenda sana huyu mtu jmn natamani angekuwa hai. Siku nilipojua amefariki dahh nililia sana!! Hadi leo nikimkumbuka nabakia nalia kwasababu Moses huyu yuko Mbinguni tayari, vp sasa kwangu mimi, naingiaje katika ufalme wa Mungu? Nalia sana!!

  • @EdesiaKatamba-wv7bu
    @EdesiaKatamba-wv7bu2 ай бұрын

    Alikufa akiwa na miaka mingapi?

  • @silasnatir7915
    @silasnatir7915 Жыл бұрын

    Nilisikia ushuhuda kwa wachawi walio pingana naye walishudia kua nimtumishi wa mungu kweli

Келесі