ASKOFU DR MOSES KULOLA ALIPEWA MAANGIZO HAYA NA MUNGU/ USIPUUZE HAYA LAZIMA YA TOKKEE DUNIANI
#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079
Пікірлер: 70
Hii ndio injiri ya kutukomboa hizi siku za mwisho za unabii wamwisho.Huyu Mtumishi wa Mungu nilianza kumsikiliza miaka mingi tangu nikiwa anamiaka 10 mwaka 1982 mpaka sasanibamiaka 50 hii injiri ndiyo yakubadilisha watu tumwende Mungu.Tumtole Mungu.( Asante Mtumishi wa Mungu unayerusha hii injiri)
@MARYNAGUJustin
2 ай бұрын
Amen
@user-kj7kz7sl9j
Ай бұрын
Amen Yesu atusaidie
Amen baba.mungu akupe Raha ya milele Kwa kazi uliyoitenda hapa dunian.
Moses Kulola hakika Yesu akutunze!! Amen.
Mungu ajarie tupate warumishi waliojikana kama huyu iliwatusaidie kutufundisha kweli
Kaz uliyoifanya ni nzuri, bado inatenda kaz kwetu amen
Mungu atuwezeshe mteule wa mungu sa moses ndiye anaitajika kwa nyakati hii za mwisho
Nimepokea Barikiwa Sanaa Mtumishi wa MUNGU
Bado uko nasi kiroho tuone paradise Rip amen
Mungu anisaidie niwe mtumishi Kama moses
Hii ndio injili ya kweli yesu tusaidie kuliishi neno lako siku zote
Mungu ampe pumziko la mile mtumishi wake,Moses Kulola
Bwana Yesu tusaidie tuishi sawa sawa na Neno lako 🙏.
Nimekubali kwa injili hihi,,Mungu atusaidie sisote wana ruvuma
Asante.kwa.neno.mungu.nimefalijika.sana.kusikia.sauti.ya.askofu.wangu
A true servant of Most High Moses Kulola amen
Asante Sana kwa kutuletea mafundisho, Mungu awabariki
Mungu akutunze Baba
Aminaa baba🎉🥰
Mungu atutetee
Ubarikiwe sana
Amen🙏
kula na raha sasa na BWANA YESU Baba yetu
Kweli Yesu ni mwema
Lala kwa Amani mtumishi mteule wa Mungu❤
A trueee Servant of the Most High GOD
Ni mtakatifu sana huyu baba
Naipenda hii
Bila wewe Yesu hatuwezi!!!
Baba askofu nimekubaliana naalioko ndani yako nitakuona wap baba nashauku yakukuona
Halleluya amen
Ndugu Sylass Tv, nashauri unapoweka mahubiri basi jitahidi kuweka full usikatekate vipande maana inaondoa hitimisho la SOMO lililokusudiwa. By the way unafanya kazi njema Mungu akubariki
God bless you SYLAS TV for bringing to us this wonderful sermons of our legend
Mtumishi wa kweli
Ameen
habari mbona videos zake nyingi mnazikata kata kuna kitu tunapoteza, pia naomba unisaidie kama naweza kupata mafunzo yake mengine yaliyo full sio vipande
Tujifunze hapa watanzania
Wana Raha sana walio kuwa wanahubiliwa live na huyu baba,,du mimi nasikiliza TU napokea uponyaji kwa jina la yesu sipat picha hao walio Kaa apo ulikuaje
Kwakweli hujatutendea haki huu ushuhuda kutofika mwisho, lkn itoshe kusema kuna mambo Mungu amenikumbusha hapa jamani
Eemungu wa IBRAHIMU ISAKA NA YAKOBO kama huyu mtumishi alipita njia yako na umempokea...nakusihi YESU na mimi nipe nafasi ya kuingia paradiso ya MBINGUNI
Amina
Amen
Hallelujah
Injili ya uwamusho wa kiroho kwa kanisa ngazi zote
Injiri isiyo na mawaa
Mungu
Jina raye jesu ribarikiwe
Tupate wapi tena mtu kama huyu
Ubalikiwe wewe unaye lusha injili hii
Huyu ni shujaa wa injili
R I P BABU YETU BABA WA INJILI YA KWELI HAPA TZ UMETUACHIA URITHI MZURI HASA VIJANA SADAKA YA MAISHA YAKO IMETUPONYA WENGI MIMI NI MMOJA WAO
Huyu ni moto wa kuotea mbali.
Vema
Mbona kama umekatiza🤔
Mungu aliye hai atupatie mtumishi mwingine .kuimalisha kanisa LA mwisho maana ss.wamebaki wa.mshahara tu.wanatafuta vya kwao tu.ni.kuuza mafuta na udongo na sadaka ya ukombozi.kumbe sadaka ya ukombozi ni yesu ilisha tolewa msalabani
@sophiamangwela429
8 ай бұрын
Karibu full gospel Bible fellowship
@ivonaevarista4654
5 ай бұрын
tafta tengwa tv mtoto wake wakiroho ana injili km hii
Dunia inapita na mambo yake yote, Yesu naomba unipe nguvu niyaishi na kuyatenda mapenzi yako
@SamwelKipenzi
4 ай бұрын
Bwana akupe hitaji la moyo wako, nikimsikiliza huyu mzee najikita nabadilika san
Kaka tunaomba usikatize mahubiri haya wala usiya edit unatutoa kwenye uwepo wa Mungu, usituache njia panda ututendei haki, acha, tumsikilize Baba mtumishi wa kweli wa Mungu, tunapata faraja, Mungu yupo, sasa hivi wasaka tonge ni wengi, acha kukatisha mahubiri ya kweli pls
Asante kwa kutuletea mafunzo haya. Ila mbona haijakamilika kuna story hapo mwisho nataka kuiskia yote.
@geofreyrungwe9206
2 жыл бұрын
Siku hizi injili za ukweli ni chache mungu nisaidie nihubiri kweli ya injili ni nyakati za mwisho kulola amemaliza kazin kwangu.
@dativajoachimwai1194
Жыл бұрын
Mungu umwema
Kwanini umekatakata mafundisho? ungecha tukaskiliza yote
Ubarikiwe sana
Ameen
Amina
@CassianNziku
8 ай бұрын
Hakika mtu huyu Yuko hai kilichokufa nimwili lakini roho yake ambayo ndiyo mtu ihai Yuko na Bwana mbinguni akistarehe anatusubiri nasisi watoto wake tufike kule aliko yeye bwana atusaidie kuihubiri injili hii ya kweli na tukisha maliza tuka pumzike kwa bwana yesu Amen.