USHUHUDA WA MOSES KULOLA ALIVYO KUTANI NA MCHAWI MKUU WA AFRIKA/ SIRI YA WACHAWI ZA FICHUKA TAZAMA
#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079
Пікірлер: 192
Amena sana Ingelikuwa sio mahubiri ni vichekesho watu wangecomment wengi Mungu tuhurumie kwa kuwa na roho ya isiyopenda Mungu
@samwelrobeth7763
Жыл бұрын
Kabisa uko sahihi
@naomichristopher3941
Жыл бұрын
Ahsante kwakutufundisha NENO hili lisilogoshiwa hata SASA mafuta haya tunatembea nayo , pumziko la mile umpe EE BWANA NA MWAMGA WA MLELE UMWANGAZIE .
@wardawarda6109
Жыл бұрын
Mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache.
@sumsum9493
11 ай бұрын
Asante mungu kwamutu mish8 wko
Eeeeh Mungu tusaidie Mtumishi wa Mungu tutakukumbuka kwa mafundisho yako ya kweli
Aminaa tunabarikiwa saaana na mahubili yako Baba tutazidi kuyaishi
Ushuhuda mzuri Sana, watumishi msikatekate , tunajifunza!
Natamani hata Sasa huyu mtumishi angekuwa lkn hata Ivo ushuhuda wake unaishi Amen shujaa wa Yesu huyu
Oooh hallelujah Mungu akubaliki wewe ulie leta habari za Moses kulola barikiwa sana
The choosen servant of The Mighty Living God am sure you are resting in a Glorious pasture waiting for your better pay as per your great work you did
❤naimiss Sana hii injili jamaniiiiiiiii kifo hiki,Mungu tusaidie tupo nyakati za mwisho
Asante Yesu Kwa muda uliotupa huyu mtumishi wako
@HezronMathayo
3 ай бұрын
Mungu uendelee kuumzisha mwiliwa mtumishi wako mahlapema Amen🙏
Mahubiri haya yawe mbegu mpya moyoni mwangu na nikasimame vizuri amen
Asante Yesu kwa kunipa nafasi ya kumsikiliza mtumishi wako, nimejifunza jambo kubwa sana leo, kila jaribu ni kama ugonjwa lazima ujue ni wa aina gani alafu ndo uutibu, naamini naenda kupata majibu ya maswali yangu, usiniache Yesu wangu mi ni udongo kazi ya mikono yako, tena bidhaa iliyonunuliwa kwa damu yako, tena mtumwa wako kwa kuwa umeninunua kwa damu yako nitumikishe kwenye utumwa ule uliokuwa kusudi la kuninunua kwa damu yako, nakuomba Ee YESU wangu.
@dicksontaifagastanzania8310
7 ай бұрын
🙏🙏
@fredrickgureyu2448
7 ай бұрын
Asate yesu napenda nenorako rinanisayindiya
@fredrickgureyu2448
7 ай бұрын
Asate ysu napenda nenorako gupitiya huyu mutumishi wako ninagushukuru sana
@WiliamMlama-my2ib
6 ай бұрын
Amen
@DenisCasey-kh8ub
6 ай бұрын
Amen🙏
Injili iliyo safi kabisa haina mawaaa daaaaa natamaani sana
Mungu akutunze baba, Injli yako ya kweli na ilitufundisha mno nnakumbuka nikiwa mdogo mlikua mnakuja Kijijini kwetu huko masama Mbweera na mchungaji Emanueli lazaro OOO YESU YU HAI LEO HALELUYA. MANENO YENU YANAISHI MBARIKIWE MNO GLORY TO GOD AMEN 🙏 🙌 ❤
@lightnessgamasa6039
8 ай бұрын
🤝🙏pole mpendwa wetu ,hii nikumbukizi tu alishapumzika mtumishi wamungu , barikiwa sàna
@lightnessgamasa6039
8 ай бұрын
Anamiaka mingi kabisa mungu alimchukua mtmish wake ,
Mic u grandpa ❤
MWENYEZI MUNGU ALIRUHUSU KUKUCHUKUA,LAKINI BASI YEYE NDIE MUNGU OOOOOH ALELUYAAAAA MATAKATIFU WA WATAKATIFU
Napenda kumuita PAULO WA nyakati zetu mtu alotoa maisha yke akadharau utajiri maisha na fedha akajifny dhabihu kw Bwn. Injili yke Ina ngv km anahubiri Leo vle na n Bora kuliko maelfu ya wahubiri WA Leo.wahubirio maneno lainilaini kuuteka wengi kw ajl ya ufalme WA shetani Ahsnt Yesu Kwa kutupa Shujaa WA Injili kw nyakati zetu,umemtwaa bc km mbegu ilokufa ARDHINI iinukavyo huja na mbegu NYINGNE za aina yke nyng bc inua maelfu ya watumishi km huyo! 28:50 28:51 28:53 30:19
@angelitapaulo
9 ай бұрын
Hakika
@Vincentsyona-bj6qj
6 ай бұрын
😭😭😭
@user-jt4nx1fi9l
5 ай бұрын
😅😅..... . . .
Eeh Yesu wa Nazareth tukomboa thidi ya maangamizi haya ya kidunia ya majini na wachawi
Asante yesu kwakunipa kibali kumsikiliza mtumishi wako kulola amen
Umepumzika Baba mwendo mzuri uliumaliza tuombee kiroho tunaamini mpo pamoja nasi
Aminaaa mungu andelee kunipa kibali Cha kusikiliza mahubiri ya mtumishi kulola kwakua nimejifunza mambo ya mungu
Asante Mungu Kwa mafundisho Jaya ya mtumishi wako nimejifunza mengi
Hakika Mungu Ni Mkuu Sana.
Powerful Message..
MUNGU wa Mbinguni naomba unitengeneze kwa jina la YESU Kristo nimeomba nikiamini Ameeeeeeen Ubarikiwe san
Asnte mungu kwa mutumishi uriye tipa arafu ukamuchukuwa mbinguni ata uko still azidi kutuombea amen
@rebeccanghwasa7387
7 күн бұрын
anayetuombea ni Yesu na Roho Mtakatifu sio watakatifu waliotutangulia. kuwaomba hao watuombee ni ibada ya sanamu na ni machukizo kwa Mungu Baba yetu.
Amina mtumish baba yangu aliponya mimi nilikuwa naumwa aliniponya huy baba
Amen!, Karibu YESU ndani mwangu
Amina sana nmebarikiwa na shuhuda za mosec kulola
Habari njyema ya yesu Kristo hufungua huponya roho n'a mwili
Mungu awalinde,awatuze watu wote wanaosikiliza ujumbe wa mungu
Ingawa umekufa lakin bd unanena hatuta sahau büşra zako
Amen mchungaji naomba uniombee kichwa kina niuma sana
@reginanduku3746
4 ай бұрын
Mtumishi huyu alishakufa atakuombea vipi,
amen muhubiri mungu akubariki, asante sana
Thank Sylas on line tv God bless you...am turning back
Mungu anatupenda hii ni Injili halisi ninaona fukuto la ndani ya Moyo Wangu ninapo sikia Hii injili napata Amani
Amen mtumishi
Ameen mchungaji tuko nyuma yako kuineza injil ya bwana
Our legendary in faith
@faridakigava4904
9 ай бұрын
Exactly
Amen Mungu akubariki mtumishi wetu
Mungu utukuzwe...sana milele na milele...
Amina mtumishi WA MUNGU aliye hai
Ntkukumbuka sana
Ameen..utukumbuke Ee Bwana
Kazi uliifanya baba!🙏
HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA
Mungu ni mkuu🙏🙏🙏🙏
Naima ni kazi hii ,use me God
Ubarikiwe mtumisha mpaka leo nakukumbuk
Barikiwaaa
Eee mtumishi wa mungu ninakukumbuka na nitakukumbuka daima
Injili ya kweli ya kristo yesu
❤❤Mungu awe nawe huko uliko maneno yako yanaishi baba
Amina RIp huko uliko
Nilikuwa mdogo jmn nimisi hii injili pale mby tulikaa chin lkn tulimuona mungu wa kwel
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimebarikiwa
Mungu wetu aliyeiumba mbingu na nainchi tusadie nafamiliya zetu
Dunia ina mambo mungu atuepushe
Mungu nisaidiee nizidi kuyaishi katk maneno yako rest easy pastor hakika umeacha mbegu nzuri dunian zidi kutuombea hk uliko
Yesu Ni BWANA amen
Mungu akupumzishe kwa amani
Upendo wa mungu kwetu ni mkubwa alisema neno lake halito mrudia Bure amedhibitisha.
Amen my dad utukufu kwa bwana
Mungu wangu uliyehai nifinyange unifanye kma upendavyo
Asante Mungu wangu
Asantee Yesuuuu🙌
wisdom
Akika Yesu aliye hai aliishi ndani ya huyu Mtumishi siku za uhai wake
Mungu atusaidie
Ameen ameen God's general
EAGT ipo salama kwa msingi wa baba yetu
@judithbeda1585
7 ай бұрын
Kabisa EAGT ni msingi ulioimara kupitia huyu baba. Mungu atusaidie Daima
BWANA YESU na akukumbuke
Mungu wape hidaya waokowe viumbe wako wanapotea
Amen amen
Amina
Injili isiyo goshiwa, pumzika kwa amani
This comment should be downloaded
Ameeen baba
Yesu mukumbuke mtumishi wako
Kasema Kweli...kuna kitu wanaita Shape Shifting Lizards yaani wanajibadilisha maumbile hawa wapo kama wote Ulaya na marekani ndio usiseme!
amen and Ameeeen
Amen
Watumishi wa kweli ni hawa.ameacha mbegu
Mungu tufungue tuyasikie mafundisho haya
Sylas tv usikatetamaa
True gospel
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Nimemmis sana baba😭😭
Amenn
❤
🙏🙏
Amen amen amen
amen
Fantastic
L.i.p mtumishi wa mungu
Amenii
Kulola nakuelewa Sana sipat mahubiri take nisaidiwe kwa hilo
Daaah tumekumis baba
Maneno ya mtumishi wa kweri wa MUNGU hayajawahi vuja utafikili upo Upumzike kwa aman
Huyu alikua ni mtumishi wa mungu kweri, mafundisho yake yataishi Daima! Yesu nisaidie nisipende fedha kama huyu mtumishi wako!
🙏👍👍