"Wapenda mpira simba na yanga mnashabikia msichokijua,mkijua mtaacha":Mch.Amiel Katekela

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 338

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 Жыл бұрын

    Ameeen! Ubarikiwe sana mtumishi! Wasaidie hawa viongozi wetu wanatupeleka pabaya

  • @JoyceJames-bp6gq
    @JoyceJames-bp6gq Жыл бұрын

    Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunipa ufunguo Barikiwa sana

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Жыл бұрын

    Good job. Wanakuelewa ni wale tu walio wateule. Be blessed

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Жыл бұрын

    Asante YESU kwa mafundisho haya barikiwa Mutumishi na utufungue macho ya kiroho.

  • @miria659
    @miria659 Жыл бұрын

    Hapo umetusaidia Mimi nilikataa kuwa shabiki hata wa vipindi za television God bless you n promover Tv

  • @leahjeremiah4157

    @leahjeremiah4157

    Жыл бұрын

    Asanteeeee mtumishi kwa kujifungua hakika mbingu haiko mbali na mimi

  • @leahjeremiah4157

    @leahjeremiah4157

    Жыл бұрын

    Mimi ni Sina timu nashabikia wanao mpenda yesu

  • @leahjeremiah4157

    @leahjeremiah4157

    Жыл бұрын

    Mimi ni Sina timu nashabikia wanao mpenda yesu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Жыл бұрын

    Safi Sana mtumishi nakuelew vyema

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Жыл бұрын

    Nachoshukuru MUNGU wangu nilizaliwa sjui mpira hata kuucheza kila nilipokua nkjarb kuucheza nkiwa MDOGO nashndwa😏😏😏😏🤔Sasa ikija kwenye kuuangalia ndo snaga time kabsaaaaaa Kwanza siwez kabsa kwasababu sjui kitu na Sina hata hoby kabsa😜😜😜😜😜😜😜😜😜 Asante Sana YESUKRISTO mwana wa MUNGU

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 Жыл бұрын

    Jamani Yesu tusaidie haya mambo ni mazito Sana, msaidie mtumishi wako uliyemtuma Ili tupone, Mungu wangu nimeogopa sana

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    Yesu hajamtuma huyo alivyo andoka alisema kashamaliza kazi hao wamejituma wenyewe

  • @mathayokaaya4093

    @mathayokaaya4093

    Жыл бұрын

    Wewe nimfuasi wake tengeneza mipango

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    @@mathayokaaya4093 yesu mda wake ishaisha na hajatumwa kwetu kabisa amatumwa kwa wana Israel na ushahidi upo

  • @alexseve7720
    @alexseve7720 Жыл бұрын

    Ubalikiwe sana Mtumishi hayo unayo yaonge ni kweli kabisa

  • @PascalSabonga
    @PascalSabonga2 ай бұрын

    Asante sana kwa ufunuo huo. Mimi binafsi sijawahi kupenda wala kushabikia mpira katika maisha yangu

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Жыл бұрын

    Yesu ndio njia kweli na uzima. Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Have mercy on me.

  • @gladnesskombe1664
    @gladnesskombe1664 Жыл бұрын

    Asante Mungu baba kwa kutumia kinywa cha mtumishi wako

  • @MussaFikirini
    @MussaFikiriniАй бұрын

    Barikiwa sana mtumish wabwana

  • @annakaleshu5393
    @annakaleshu5393 Жыл бұрын

    Kweli kabisa Mtumishi wa Mungu

  • @idrisashaban5671
    @idrisashaban5671 Жыл бұрын

    promover tv mungu awabariki xana kwa kaz kubwa mnayofanya

  • @pastorstevenhassam295
    @pastorstevenhassam295 Жыл бұрын

    MUNGU Akubariki Sana Mtumishi binafsi nimepona

  • @MaishaNaAnna
    @MaishaNaAnna Жыл бұрын

    Nampenda Katekela🙌🏾

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Жыл бұрын

    Sema baba mtumishi Amiel tuko pamoja.

  • @africachulla4361

    @africachulla4361

    Жыл бұрын

    Blind mind Kila kitu kitakuwa hivyo,am real against on such weak preachings mm nafurahia mpira iliw Kuna ujinga ndani yake anayefanya atajijua nisawa hata biashara tunanunua Kwa wachawi na kuuzia pia Kila mtu,tusichanganye watu

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088Ай бұрын

    Amen Amen Mtumishi wa Mungu

  • @conkfabrimendaking7093
    @conkfabrimendaking7093 Жыл бұрын

    Amen. Uku kanisani kwetu sikuizi wameanza kuimba na kucheza taarabu na kuvalia vijora na kucheza kisingeli juu madhabahuni askof kaganga ndie mchungaji wangu kiongozi wa makanisa ya t.a.g Zanziba kanisa letu linaitwa ZICC

  • @prophetnkoronko1990

    @prophetnkoronko1990

    Жыл бұрын

    Ondoka hilo kanisa la tarabu

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    Shetani mjanja sana ametuingizia singeli na Taarabu kanisani

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Жыл бұрын

    Mimi sitaki kuona vitu vya namna hiyo kanisani kwetu

  • @jonathanntare4787

    @jonathanntare4787

    Жыл бұрын

    Kwa Kweli hapa Zanzibar Kwa Kaganga kariakoo ,nyimbo za taarabu na Mavazi ya mashekhe wanavaa wanakwaya wanaimba, Baba Kaganga kemea pepo.

  • @gabriellusinde9263
    @gabriellusinde9263 Жыл бұрын

    Mungu atuufungue macho ya rohon maana hata walio wateule wengi ni mashabiki wa timu hz

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    Sana tena hadi wachungaji tunabishana nao mpira aisee Mungu atusamehe sana

  • @Ester-fd1wz

    @Ester-fd1wz

    Жыл бұрын

    Hata watumishi wa mungu ni wa shabiki,jamani mungu aturehem

  • @rechoemid283
    @rechoemid283 Жыл бұрын

    Ameen mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏

  • @fredbogomba9627
    @fredbogomba9627 Жыл бұрын

    Injili ya namna hii Leo ni nadra sana kusikia lakini Alie jaa roho huweza kusema iliyo kweli

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Ulimwengu wa SAsa mpira ndie mungu wa dunia hii watu wametekwa huko ni rahisi mtu kupata uvivu wa kwenda kanisani, kwenye mpira hata kama anaumwa upata nguvu ya kwenda mpirani

  • @hassanbukambu931

    @hassanbukambu931

    Жыл бұрын

    Ni rahisi mtu kushindwa kula timu Yake imefungwa, ila hawezi kufunga sababu ya Mungu

  • @husseinshemdoe6110
    @husseinshemdoe6110 Жыл бұрын

    AMEN AMEN BWANA ATUOKOE NA YADUNIA

  • @richardmjema8321
    @richardmjema8321 Жыл бұрын

    Asante mchungaji ujumbe mzuri ila ukumbuke hata ibada kuja siku ya jumapili ilikua hiki ulichohubiri tumfuate mungu jua rumi ikabakia hapo ambayo sio siku ya ibada

  • @phestostanley4019

    @phestostanley4019

    Жыл бұрын

    Mungu hafungwi na siku ,biblia inasema Siku zote ni sawa ,we unafikiri jumamosi ndo imebeba utakatifu tu pekee Basi ingekuwa ivo mtu akienda kuzini siku hiyo anakufa

  • @milliardere9177
    @milliardere91775 ай бұрын

    From burundi mungu akubariki

  • @fabianmdachi3560
    @fabianmdachi3560 Жыл бұрын

    amina pasta nabalikiwa sana namafundisho yako mungu azidi kukutumia

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 Жыл бұрын

    Mch nimekuelew Mungu akubariki,

  • @roynamwinuka6391
    @roynamwinuka6391 Жыл бұрын

    Mungu atusaidie

  • @yohanaswalo4716

    @yohanaswalo4716

    Жыл бұрын

    🤝 safiii Sana mch sema

  • @UwepoTv
    @UwepoTv Жыл бұрын

    Hakika uliyosema ni kweli kabisa na umetufungua macho na ufahamu

  • @raphaellaizer7035
    @raphaellaizer7035 Жыл бұрын

    Bwana asifiwe mchungaji ubarikiwe Sanaa uko visuri sana mungj akusaidie

  • @gghh9218
    @gghh9218 Жыл бұрын

    Amen amen,najifunza mengi sana kutoka Kwa huyu mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Mpira ndie mungu anaeabudiwa, watazamaji ndio waumini, refa ndie mwendesha ibada, wafadhiri ndio wazee wa kanisa, malanzi men ndio Wahudumu wa kanisa, kanisa ni uwanja wa mpira

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Haufi ww lazima IELEWEKE KUWA YESU NI MSHINDI

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani59508 ай бұрын

    Amina Sana Baba yangu

  • @LylianeBaumaLyly
    @LylianeBaumaLyly22 күн бұрын

    Kweli Dunia imeisha Mungu nirehemu makosa yangu yote nimepe mwisho mwema

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 Жыл бұрын

    Mtumishi Barikiwa sana,Je kusherekea birthday Kuna uhusiano wowote na kuzimu?

  • @samwelrobeth7763

    @samwelrobeth7763

    Жыл бұрын

    Niliiskia kidogo kwa mwakasege afu akakatisha nikahisi Hapo hapo kuwa Kuna kitu hatukijui kuhusu birthday party nikaelewa hii haifai

  • @ChaSam-fr3pg
    @ChaSam-fr3pg Жыл бұрын

    Pole sana....

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Жыл бұрын

    Kwa kweli we go wamekufa kwa sababu ya mpira

  • @luseshelomwashambwa5809
    @luseshelomwashambwa5809 Жыл бұрын

    Hatareeee Sana, kuna siku niliona mchungaji anafupisha ibada Ili kuwahi uwanja wa Taifa

  • @elishakayagwa9371

    @elishakayagwa9371

    Жыл бұрын

    Huyo hakujua kusudi lake

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    Wameshavulugwa aisee mm naonaga wanahubir kidogo alafu anaingizia na mpira yani huwa sipendag basi tu

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    @@elishakayagwa9371 Wapo wengi na niasilimia kubwa ya wachungaji wetu hawezi kuhubiri akamaliza bila kuingizia Simba na yanga

  • @elishakayagwa9371

    @elishakayagwa9371

    Жыл бұрын

    @@consolatamedard6593 Hayo yanaitwa magugu ndani ya shamba la ngano

  • @luseshelomwashambwa5809

    @luseshelomwashambwa5809

    Жыл бұрын

    Na waumini Wana shangilia kabisa, mchungaji akawa anasema sisi kanisa letu kuangalia mpira sio dhambi. Hatupangiwi Maisha, nikasema okay

  • @JohnMalekela-yk7yk
    @JohnMalekela-yk7yk Жыл бұрын

    Hawa wahubiri hawa wanaohubiri ndoto, Mbinguni mtafika Lakini mkiwa mmechakaa sana. Maana yeye Mwenyewe shabiki no moja wa mpira. Tena anaonekana wa wekundu wa msimbazi. Poleni sana akina Amen kwa Kila kitu bila kuchunguza. Zichunguzeni hizo Roho.

  • @barakangwalo
    @barakangwalo Жыл бұрын

    Upo sahihi sana mambo yaliyo mengi yanayofurahisha macho ya mwanadamu ni mpango wa yule mwovu. Tumwombe YESU kristo atusaidie kizijua siri za mbinguni.

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    Жыл бұрын

    Hasara yako Yesu kiumbe kaumbwa km ulivyo umbwa Wewe Si Mungu

  • @saimonijonas1471

    @saimonijonas1471

    Жыл бұрын

    @@ahmedzahor2975 Mambo usiyo yajua huwezi kuyaelezea.Muelezee sana Mtume Muhamad sio Yesu.Huwezi muelezea.

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Жыл бұрын

    @@ahmedzahor2975 Hasara yako Allah Siyo MWENYEZI MUNGU na Muhamad Hakutumwa na MWENYEZI MUNGU.

  • @juniorsamuelsamuel1224

    @juniorsamuelsamuel1224

    Жыл бұрын

    @@saimonijonas1471 umemjibu vizuri sana huyo

  • @juniorsamuelsamuel1224

    @juniorsamuelsamuel1224

    Жыл бұрын

    @@paulmushi2428 Paul usibishane na mpumbavu

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Жыл бұрын

    Ameeeeen

  • @gradyskamwela6163
    @gradyskamwela6163 Жыл бұрын

    Mpira ni agano la kunasa wengi kwenda jehanamu kwa mtu mwenye mpango wa kwenda mbinguni tuachane kabisa na hili Bali tukahubiri injili watu wamjue Mungu

  • @user-jr7kn7sd2y

    @user-jr7kn7sd2y

    8 ай бұрын

    Ye ""! And you agree with his nusinga, he says that they had trouble with the devil,He is the sorcerer, he is a freemason and they met Rusifer,,, Nanyi mnamsikiliza MTU kama uyo anayeongea upumbavu mbele yenu 😂😂😂😂😂😂 poleni sana ndugu yangu wakristo wamefeli wapi kila siku nyinyi ndio mnatoa manabii nyinyi ndio mnatoa mitume And you agree with such people when you mislead so much you look stupid every day, Msikubali kuburuzwa na matapeli kila siku mnatoa sadaka zenu mnampa pesa zenu bila sababu yoyote ile kwa maneno yake, 😂😂😂😂😂😂😂Don't be stupid And someone makes you ignorant with his devilry and you applaud him very politely, my Christian brother, I think the devil has ruled over you and you lack the strength to fight him now he is in your souls,

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Жыл бұрын

    Mungu atusamehe tumeshabikia na kutetemekea timu hadi kulia machozi

  • @mosesmwailenge5192

    @mosesmwailenge5192

    Жыл бұрын

    Sio kulia tuu hadi kufa nakuana 😥😥😥

  • @user-zt8vf9nf3u
    @user-zt8vf9nf3u Жыл бұрын

    Sina timu kuanzia Leo...Eee MUNGU tusaidiye na family yangu na watu wote.

  • @waimani5550

    @waimani5550

    Жыл бұрын

    tatizo sio timu au mpira, tatizo ni kwamba mpira unatumika kwa manufaa ya nguvu za giza.

  • @eliudmaburi4948
    @eliudmaburi4948 Жыл бұрын

    100%

  • @dicksonandrew25
    @dicksonandrew25 Жыл бұрын

    Amen

  • @Grace-lh5rr
    @Grace-lh5rr Жыл бұрын

    Makanisa ya kweli hayana waumini kabisa watu wachache kweli

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Kamati ya ufundi ni mambo ya uchawi

  • @petermalema5702
    @petermalema57027 ай бұрын

    Ameeeeeeen

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Жыл бұрын

    Asiyekuelewa ni mlokole na mfia dini ila wanamcha Mungu tunajua unachokiongea

  • @amyesanga2004
    @amyesanga2004 Жыл бұрын

    Tunakuelewa baba ni sahihi

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34Ай бұрын

    Sina uhakika sana na ukweli unaosema maana Imani na mambo ya Dunia hayana uhusiano na kupenda mpira Haina maana kuabudu mpira.

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v7 ай бұрын

    Uko sahih Mtumishi Watu wanalia kwasababu ya mpira lakini wanashindwa kumulilia ya Mungu Watu wanashindwa kula kwasababu ya mpira lakini wanashindwa kumufungia Mungu. Mungu atusaidie atufunguwe akili

  • @joivon3038
    @joivon3038 Жыл бұрын

    Ndomana mm sipend kushabikia mpira au chochote

  • @alice4720
    @alice4720 Жыл бұрын

    Amen nakumbali kambisa

  • @leahjeremiah4157

    @leahjeremiah4157

    Жыл бұрын

    Lakini si lahisi kwakizazi Cha Sasa kuamini unayo yaongea mtumishi bwana awafungue watu wake

  • @leahjeremiah4157

    @leahjeremiah4157

    Жыл бұрын

    Mtumishi muombee mume wangu Yani yuko tayali asile asinywe Ila aende mpilani

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya42863 ай бұрын

    Umekosa cha kuubiri? Ubiri neno la mungu ,wanakufa kwa presha yao,hubiri neno

  • @naftalimutahi5591
    @naftalimutahi5591 Жыл бұрын

    Thanks bro.kemea kabisa.we cannot win for Christ with football. Through spirit and truth we win souls for Christ. Exercise is ok but profiteth litlle if you want exercise,run etc do it appropriately not exposing you body parts in the name exercise. lets be decent and orderly.

  • @rosemneney3244

    @rosemneney3244

    Жыл бұрын

    Hivi waziri Nape upo likizo hii ni hatari kwa kizazi chetu

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Жыл бұрын

    Maisha ni ya kuishi. Sio ya kutishwatishwa.

  • @nestorygilbert6170
    @nestorygilbert6170 Жыл бұрын

    Du!! Wakitoka droo wana kufa wa timu Gani? Au nusu Kwa nusu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Жыл бұрын

    Oooh jamani PELEKA ujumbe huo kwa manabii wote wenye ushabiki wa mechi za mipira wakijua kumbe kuna makafara huko ya KUZIMU. Tufanyeje wakati ndo tunaingiza pato serkalini na kujenga VIPAJI vya VIJANA duniani. SIJUUI! Eeeh MUNGU NAOMBA usikie kuomba kwangu.

  • @mosesg.pendael8381

    @mosesg.pendael8381

    Жыл бұрын

    Lakini hujaomba! 🤷‍♂️. Umeongea tu maneno ya hisia.

  • @endtimes9850

    @endtimes9850

    Жыл бұрын

    Usiweke moyo wako huko wala ushabiki

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Mmmmh wabishi njooni huku YESU ANANAWA MPILA SIO KWA WALOKOLE

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Жыл бұрын

    Nashukuru rafiki yangu haya yote nayafahamu!! 1Yohana2:15. Inasema msiipende dunia wala mambo yaliyomo katika dunia, mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani mwake. Hivi kumbe vitu vya dunia karibu zote ni dhambi!!

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    Жыл бұрын

    Hiki kipengele cha dance za kwaya hua tunajifanya hatukiskii wala kuona. Dance za kuzimu

  • @dadaz4653

    @dadaz4653

    Жыл бұрын

    @@joshuamakota6714 yan siku hizi na viduku juu

  • @joyyjoyy5474

    @joyyjoyy5474

    Жыл бұрын

    @@dadaz4653 kabisa, waimbaji wengi sàa hii ukiiangalia nyimbo zao kucheza ni Kwa kusifu shetani, ni Mungu tu atusaidie

  • @dadaz4653

    @dadaz4653

    Жыл бұрын

    @@joyyjoyy5474 yaan kwakwel Mungu atusaidie wokovu wa sasa iv na wazamani nitofaut kabisa wanaona kila kitu kawaida tuu

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    Sanasanasa 😪

  • @JohnGamma-qq2gq
    @JohnGamma-qq2gq26 күн бұрын

    Nikwl

  • @alexchengula9874
    @alexchengula9874 Жыл бұрын

    Hakuna kitu kama hicho. IPO siku tutaambiwa kuishi duniani ni dhambi. Nyie manabii wa uwongo mnatupotosha. Wachezaji wa Mpira wana vipaji vya kucheza mpira na mashabiki wanapata burudani. Jitahidi kutafsiri vitabu vitakatifu kwa umakini.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    Жыл бұрын

    Usiseme hakuna kitu jiulize duniani ulikuja na nini utaondoka na nini? Je nini kusudi la aliyekuleta duniani? Je ni kushabikia soka!?

  • @RahelKiswaga
    @RahelKiswaga3 ай бұрын

    Ni sahihi muda wa ibada umechukuliwa na mpira

  • @adamkomba1746
    @adamkomba1746 Жыл бұрын

    Upon sahh mtumishi was MUNGU

  • @japhetgidion5793
    @japhetgidion5793 Жыл бұрын

    Mom

  • @michaelassam5789
    @michaelassam5789 Жыл бұрын

    Jamani mpiga kinanda amwache mtumishi, neno lituingie

  • @user-zn8ne7ll9w
    @user-zn8ne7ll9w11 ай бұрын

    Ukweli mtupu

  • @familyofgodtv1290
    @familyofgodtv1290 Жыл бұрын

    Mtumishi samahani nilikuwa ninaomba namba ya katekela Kuna maombi nilitaka nimshirikishe

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    Жыл бұрын

    +255756275511

  • @nurusaidi3642

    @nurusaidi3642

    Жыл бұрын

    Iyo namba wala haipokelewagi kabisa

  • @churchofrepentanceofchrist139
    @churchofrepentanceofchrist1398 ай бұрын

    Ndiyo mtumishi

  • @churchofrepentanceofchrist139

    @churchofrepentanceofchrist139

    7 ай бұрын

    Sio mpira tu,yaani Dunia imeiva kuzimu au ni mteremko wa kuzimu kwa sasa..

  • @davidjasony8525
    @davidjasony8525 Жыл бұрын

    Lete somo zima tupone

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын

    Wapenda mpira hawatakuelewa watakutukana

  • @andrewmgonja3893
    @andrewmgonja3893 Жыл бұрын

    Mm Sina uhakika na ancho Seema huyu pasta Bali inawekana anachosema Maana hata wachezaji waking uwanjani hupitia mlango wa nyuma Pia Kuna mambo yakishitikina unayaona yanafanyika uwanjani Simba ikiwasha Moto gadieli akinyinyiza dawa YAN ushirikina upo KWENYE Mpira upo sana

  • @deluhdenis6499
    @deluhdenis6499 Жыл бұрын

    Mmmmmh yaan kwa kweli..sas tufanye lipi

  • @siliviamaneno2905
    @siliviamaneno2905 Жыл бұрын

    Jamani tatizo yesu kashuke simuerewi uyu

  • @ignusrwelamila7355
    @ignusrwelamila73556 ай бұрын

    Hii ni sauti ya Mungu juu ya kupinga juudi za shetani kutumia michezo kulipoteza kundi la watu wa Mungu

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu6618 Жыл бұрын

    Tumbo baya sana

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Жыл бұрын

    Yaani hapo kwenye Moira SEMA tupone.Maana huo Ni ugonjwa.

  • @hagaindewario-rd3dr
    @hagaindewario-rd3dr8 ай бұрын

    Ni kwel mtumishi wa MUNGU

  • @user-sm3up2fm5v
    @user-sm3up2fm5v5 ай бұрын

    Kweliii kanbisaa

  • @estermitti7336
    @estermitti73367 ай бұрын

    Kila naposikia habari hizi namkumbuka mch: Cikopole pale mlowa barabarani Dodoma 2008 alisema haya "hatukumuelewa"

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 Жыл бұрын

    Mi sijaelewa kwa kweli

  • @collinscareen7245
    @collinscareen7245 Жыл бұрын

    Icho kiarabu ndiyo Lugha ya kishetani au??

  • @mossesjovenari9457
    @mossesjovenari9457 Жыл бұрын

    Na siku ya sabato mbona huwa haiubiriwi kwa watu tukajua ukweli?

  • @christiancharles2967

    @christiancharles2967

    Жыл бұрын

    Sabato ni siku ya saba ya juma angalia Mwanzo 2:1-3; Kutoka 20:8-11. Ambayo ni siku ya jumamosi, angalia, Mathayo 28:1; Marko 16:1; Luka 23:55-56. Mwisho, Sabato ni siku, angalia Ebrania 4:8-9.

  • @wokovuakarow4909
    @wokovuakarow4909 Жыл бұрын

    Halleluya Kwa kweli Mungu ni mwema sana je wapo vijana waliookokaa wanasikia haya wapate kupona.

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Жыл бұрын

    Na mtume meshaki alisema mpira niibada ya upande was pili,na Boniface mtumishi alisema wanafurahia machukizo yao,wote ni jehanamu barikiwa mtumishi mbingu si lelemama

  • @yusafbayu7016

    @yusafbayu7016

    Жыл бұрын

    Hakuna mtume bana mtum gan kapewa utume na nani

  • @ChrisSamson-rr3ns
    @ChrisSamson-rr3nsАй бұрын

    Sema mtumishi unakuta mchungaji naye mashabiki washirika itakuwaje sasa,.

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo1467Ай бұрын

    Ila pamoja na yote mtumishi anaonekana ni mshabiki kindakindaki wa Mnyama Simba

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Haaa hapa tumeelewana nabii anapendapila anatabili mipila AAA haya Ni majanga ya kudanganywa nabii wa uongo Ni wengi Ila MUNGU yipo atawaweka peupe aongo wote

  • @user-os4ve1ez1s
    @user-os4ve1ez1sАй бұрын

    Mcheza piano anatatiza ujumbe!

  • @erastosanga667
    @erastosanga667 Жыл бұрын

    Naaplishert ujumbe huo mt wamungu

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Жыл бұрын

    Mimi nilikuwa addicted na mpira baada ya kugundua kuwa ni dhambi niliamua kuachana na mpira kabisa. Haikuwa rahisi lakini hivi sasa niko huru sijawahi fuatilia mambo ya mpira wala roho yangu haibabaiki na mambo ya michezo.

  • @abdimohamed3953

    @abdimohamed3953

    Жыл бұрын

    Aisee nami nijitoe kwakweli maana mmmh

  • @thadeylyimo9772

    @thadeylyimo9772

    Жыл бұрын

    Apo kwenye kafara eti Mechi yanga akishinda watu 100 wanakufa au Simba akishinda watu 100 wanakufa hapo ndo unatudanganya... Mpira ni afya. Michzo ni afya.. michezo ni ajira, michezo inawapa watoto wa wenzako kipato na wengine wanakuja kuleta sadaka kanisani..

  • @rubefabi8366

    @rubefabi8366

    Жыл бұрын

    @@thadeylyimo9772 ndugu akina Adam Nuhu Daudi na wengine walikuwa wanacheza mpira wapi? Mbona miaka waliyoishi hata nusu yake hatuwafikii? Unazungumuzia pesa je unajua chanzo cha matumizi ya fedha na mwisho wa matumizi ya fedha duniani? Kizazi cha bongo freva kina fikra finyu sana kuhusu mambo ya Mungu kinatazama mambo kwa macho ya nyama.

  • @thadeylyimo9772

    @thadeylyimo9772

    Жыл бұрын

    @@rubefabi8366 Ni sawa na kusema kizazi Cha Adam nuhu daudi hawakuwa na magari basi tuishi Kama wao ... Apo umezungumzia Nyakati tatu tofauti ktk biblia.. "Tambua Nyakati uliyopo" zingatia ni Nyakati gani uliyopo...

  • @rubefabi8366

    @rubefabi8366

    Жыл бұрын

    @@thadeylyimo9772mfano unaoutoa ni tofauti mambo ya usafiri na mambo ya mpira ni wapi na wapi? Ungesema kusafiri na ungo hapo ungeleta maana.

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын

    Naona wazee wa kutumia fursa MMEONA Sasa Kule Kuna watu wengi ambao mkiwapata mtapiga hela mno Kama mtafanikiwa kuwaachisha wasipende Mpira wakaja kwenu hii yote NI janja ya kutafuta maslahi tu.

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc Жыл бұрын

    Dah hao watu wanakufa kimya kimya ama inakuwaje

  • @collinscareen7245
    @collinscareen7245 Жыл бұрын

    Unajua watu wangapi wanakufa kwa siku kila siku bila kuwepo mpira

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa72437 ай бұрын

    Ndio maana huko waarabu wanaingia wengi ndio wanapata point 3

Келесі