"Wapenda mpira simba na yanga mnashabikia msichokijua,mkijua mtaacha":Mch.Amiel Katekela
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 338
Ameeen! Ubarikiwe sana mtumishi! Wasaidie hawa viongozi wetu wanatupeleka pabaya
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunipa ufunguo Barikiwa sana
Good job. Wanakuelewa ni wale tu walio wateule. Be blessed
Asante YESU kwa mafundisho haya barikiwa Mutumishi na utufungue macho ya kiroho.
Hapo umetusaidia Mimi nilikataa kuwa shabiki hata wa vipindi za television God bless you n promover Tv
@leahjeremiah4157
Жыл бұрын
Asanteeeee mtumishi kwa kujifungua hakika mbingu haiko mbali na mimi
@leahjeremiah4157
Жыл бұрын
Mimi ni Sina timu nashabikia wanao mpenda yesu
@leahjeremiah4157
Жыл бұрын
Mimi ni Sina timu nashabikia wanao mpenda yesu
Safi Sana mtumishi nakuelew vyema
Nachoshukuru MUNGU wangu nilizaliwa sjui mpira hata kuucheza kila nilipokua nkjarb kuucheza nkiwa MDOGO nashndwa😏😏😏😏🤔Sasa ikija kwenye kuuangalia ndo snaga time kabsaaaaaa Kwanza siwez kabsa kwasababu sjui kitu na Sina hata hoby kabsa😜😜😜😜😜😜😜😜😜 Asante Sana YESUKRISTO mwana wa MUNGU
Jamani Yesu tusaidie haya mambo ni mazito Sana, msaidie mtumishi wako uliyemtuma Ili tupone, Mungu wangu nimeogopa sana
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Yesu hajamtuma huyo alivyo andoka alisema kashamaliza kazi hao wamejituma wenyewe
@mathayokaaya4093
Жыл бұрын
Wewe nimfuasi wake tengeneza mipango
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@mathayokaaya4093 yesu mda wake ishaisha na hajatumwa kwetu kabisa amatumwa kwa wana Israel na ushahidi upo
Ubalikiwe sana Mtumishi hayo unayo yaonge ni kweli kabisa
Asante sana kwa ufunuo huo. Mimi binafsi sijawahi kupenda wala kushabikia mpira katika maisha yangu
Yesu ndio njia kweli na uzima. Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Have mercy on me.
Asante Mungu baba kwa kutumia kinywa cha mtumishi wako
Barikiwa sana mtumish wabwana
Kweli kabisa Mtumishi wa Mungu
promover tv mungu awabariki xana kwa kaz kubwa mnayofanya
MUNGU Akubariki Sana Mtumishi binafsi nimepona
Nampenda Katekela🙌🏾
Sema baba mtumishi Amiel tuko pamoja.
@africachulla4361
Жыл бұрын
Blind mind Kila kitu kitakuwa hivyo,am real against on such weak preachings mm nafurahia mpira iliw Kuna ujinga ndani yake anayefanya atajijua nisawa hata biashara tunanunua Kwa wachawi na kuuzia pia Kila mtu,tusichanganye watu
Amen Amen Mtumishi wa Mungu
Amen. Uku kanisani kwetu sikuizi wameanza kuimba na kucheza taarabu na kuvalia vijora na kucheza kisingeli juu madhabahuni askof kaganga ndie mchungaji wangu kiongozi wa makanisa ya t.a.g Zanziba kanisa letu linaitwa ZICC
@prophetnkoronko1990
Жыл бұрын
Ondoka hilo kanisa la tarabu
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Shetani mjanja sana ametuingizia singeli na Taarabu kanisani
@odilomwemeziernest646
Жыл бұрын
Mimi sitaki kuona vitu vya namna hiyo kanisani kwetu
@jonathanntare4787
Жыл бұрын
Kwa Kweli hapa Zanzibar Kwa Kaganga kariakoo ,nyimbo za taarabu na Mavazi ya mashekhe wanavaa wanakwaya wanaimba, Baba Kaganga kemea pepo.
Mungu atuufungue macho ya rohon maana hata walio wateule wengi ni mashabiki wa timu hz
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Sana tena hadi wachungaji tunabishana nao mpira aisee Mungu atusamehe sana
@Ester-fd1wz
Жыл бұрын
Hata watumishi wa mungu ni wa shabiki,jamani mungu aturehem
Ameen mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏
Injili ya namna hii Leo ni nadra sana kusikia lakini Alie jaa roho huweza kusema iliyo kweli
Ulimwengu wa SAsa mpira ndie mungu wa dunia hii watu wametekwa huko ni rahisi mtu kupata uvivu wa kwenda kanisani, kwenye mpira hata kama anaumwa upata nguvu ya kwenda mpirani
@hassanbukambu931
Жыл бұрын
Ni rahisi mtu kushindwa kula timu Yake imefungwa, ila hawezi kufunga sababu ya Mungu
AMEN AMEN BWANA ATUOKOE NA YADUNIA
Asante mchungaji ujumbe mzuri ila ukumbuke hata ibada kuja siku ya jumapili ilikua hiki ulichohubiri tumfuate mungu jua rumi ikabakia hapo ambayo sio siku ya ibada
@phestostanley4019
Жыл бұрын
Mungu hafungwi na siku ,biblia inasema Siku zote ni sawa ,we unafikiri jumamosi ndo imebeba utakatifu tu pekee Basi ingekuwa ivo mtu akienda kuzini siku hiyo anakufa
From burundi mungu akubariki
amina pasta nabalikiwa sana namafundisho yako mungu azidi kukutumia
Mch nimekuelew Mungu akubariki,
Mungu atusaidie
@yohanaswalo4716
Жыл бұрын
🤝 safiii Sana mch sema
Hakika uliyosema ni kweli kabisa na umetufungua macho na ufahamu
Bwana asifiwe mchungaji ubarikiwe Sanaa uko visuri sana mungj akusaidie
Amen amen,najifunza mengi sana kutoka Kwa huyu mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏
Mpira ndie mungu anaeabudiwa, watazamaji ndio waumini, refa ndie mwendesha ibada, wafadhiri ndio wazee wa kanisa, malanzi men ndio Wahudumu wa kanisa, kanisa ni uwanja wa mpira
Haufi ww lazima IELEWEKE KUWA YESU NI MSHINDI
Amina Sana Baba yangu
Kweli Dunia imeisha Mungu nirehemu makosa yangu yote nimepe mwisho mwema
Mtumishi Barikiwa sana,Je kusherekea birthday Kuna uhusiano wowote na kuzimu?
@samwelrobeth7763
Жыл бұрын
Niliiskia kidogo kwa mwakasege afu akakatisha nikahisi Hapo hapo kuwa Kuna kitu hatukijui kuhusu birthday party nikaelewa hii haifai
Pole sana....
Kwa kweli we go wamekufa kwa sababu ya mpira
Hatareeee Sana, kuna siku niliona mchungaji anafupisha ibada Ili kuwahi uwanja wa Taifa
@elishakayagwa9371
Жыл бұрын
Huyo hakujua kusudi lake
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Wameshavulugwa aisee mm naonaga wanahubir kidogo alafu anaingizia na mpira yani huwa sipendag basi tu
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
@@elishakayagwa9371 Wapo wengi na niasilimia kubwa ya wachungaji wetu hawezi kuhubiri akamaliza bila kuingizia Simba na yanga
@elishakayagwa9371
Жыл бұрын
@@consolatamedard6593 Hayo yanaitwa magugu ndani ya shamba la ngano
@luseshelomwashambwa5809
Жыл бұрын
Na waumini Wana shangilia kabisa, mchungaji akawa anasema sisi kanisa letu kuangalia mpira sio dhambi. Hatupangiwi Maisha, nikasema okay
Hawa wahubiri hawa wanaohubiri ndoto, Mbinguni mtafika Lakini mkiwa mmechakaa sana. Maana yeye Mwenyewe shabiki no moja wa mpira. Tena anaonekana wa wekundu wa msimbazi. Poleni sana akina Amen kwa Kila kitu bila kuchunguza. Zichunguzeni hizo Roho.
Upo sahihi sana mambo yaliyo mengi yanayofurahisha macho ya mwanadamu ni mpango wa yule mwovu. Tumwombe YESU kristo atusaidie kizijua siri za mbinguni.
@ahmedzahor2975
Жыл бұрын
Hasara yako Yesu kiumbe kaumbwa km ulivyo umbwa Wewe Si Mungu
@saimonijonas1471
Жыл бұрын
@@ahmedzahor2975 Mambo usiyo yajua huwezi kuyaelezea.Muelezee sana Mtume Muhamad sio Yesu.Huwezi muelezea.
@paulmushi2428
Жыл бұрын
@@ahmedzahor2975 Hasara yako Allah Siyo MWENYEZI MUNGU na Muhamad Hakutumwa na MWENYEZI MUNGU.
@juniorsamuelsamuel1224
Жыл бұрын
@@saimonijonas1471 umemjibu vizuri sana huyo
@juniorsamuelsamuel1224
Жыл бұрын
@@paulmushi2428 Paul usibishane na mpumbavu
Ameeeeen
Mpira ni agano la kunasa wengi kwenda jehanamu kwa mtu mwenye mpango wa kwenda mbinguni tuachane kabisa na hili Bali tukahubiri injili watu wamjue Mungu
@user-jr7kn7sd2y
8 ай бұрын
Ye ""! And you agree with his nusinga, he says that they had trouble with the devil,He is the sorcerer, he is a freemason and they met Rusifer,,, Nanyi mnamsikiliza MTU kama uyo anayeongea upumbavu mbele yenu 😂😂😂😂😂😂 poleni sana ndugu yangu wakristo wamefeli wapi kila siku nyinyi ndio mnatoa manabii nyinyi ndio mnatoa mitume And you agree with such people when you mislead so much you look stupid every day, Msikubali kuburuzwa na matapeli kila siku mnatoa sadaka zenu mnampa pesa zenu bila sababu yoyote ile kwa maneno yake, 😂😂😂😂😂😂😂Don't be stupid And someone makes you ignorant with his devilry and you applaud him very politely, my Christian brother, I think the devil has ruled over you and you lack the strength to fight him now he is in your souls,
Mungu atusamehe tumeshabikia na kutetemekea timu hadi kulia machozi
@mosesmwailenge5192
Жыл бұрын
Sio kulia tuu hadi kufa nakuana 😥😥😥
Sina timu kuanzia Leo...Eee MUNGU tusaidiye na family yangu na watu wote.
@waimani5550
Жыл бұрын
tatizo sio timu au mpira, tatizo ni kwamba mpira unatumika kwa manufaa ya nguvu za giza.
100%
Amen
Makanisa ya kweli hayana waumini kabisa watu wachache kweli
Kamati ya ufundi ni mambo ya uchawi
Ameeeeeeen
Asiyekuelewa ni mlokole na mfia dini ila wanamcha Mungu tunajua unachokiongea
Tunakuelewa baba ni sahihi
Sina uhakika sana na ukweli unaosema maana Imani na mambo ya Dunia hayana uhusiano na kupenda mpira Haina maana kuabudu mpira.
Uko sahih Mtumishi Watu wanalia kwasababu ya mpira lakini wanashindwa kumulilia ya Mungu Watu wanashindwa kula kwasababu ya mpira lakini wanashindwa kumufungia Mungu. Mungu atusaidie atufunguwe akili
Ndomana mm sipend kushabikia mpira au chochote
Amen nakumbali kambisa
@leahjeremiah4157
Жыл бұрын
Lakini si lahisi kwakizazi Cha Sasa kuamini unayo yaongea mtumishi bwana awafungue watu wake
@leahjeremiah4157
Жыл бұрын
Mtumishi muombee mume wangu Yani yuko tayali asile asinywe Ila aende mpilani
Umekosa cha kuubiri? Ubiri neno la mungu ,wanakufa kwa presha yao,hubiri neno
Thanks bro.kemea kabisa.we cannot win for Christ with football. Through spirit and truth we win souls for Christ. Exercise is ok but profiteth litlle if you want exercise,run etc do it appropriately not exposing you body parts in the name exercise. lets be decent and orderly.
@rosemneney3244
Жыл бұрын
Hivi waziri Nape upo likizo hii ni hatari kwa kizazi chetu
Maisha ni ya kuishi. Sio ya kutishwatishwa.
Du!! Wakitoka droo wana kufa wa timu Gani? Au nusu Kwa nusu
Oooh jamani PELEKA ujumbe huo kwa manabii wote wenye ushabiki wa mechi za mipira wakijua kumbe kuna makafara huko ya KUZIMU. Tufanyeje wakati ndo tunaingiza pato serkalini na kujenga VIPAJI vya VIJANA duniani. SIJUUI! Eeeh MUNGU NAOMBA usikie kuomba kwangu.
@mosesg.pendael8381
Жыл бұрын
Lakini hujaomba! 🤷♂️. Umeongea tu maneno ya hisia.
@endtimes9850
Жыл бұрын
Usiweke moyo wako huko wala ushabiki
Mmmmh wabishi njooni huku YESU ANANAWA MPILA SIO KWA WALOKOLE
Nashukuru rafiki yangu haya yote nayafahamu!! 1Yohana2:15. Inasema msiipende dunia wala mambo yaliyomo katika dunia, mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani mwake. Hivi kumbe vitu vya dunia karibu zote ni dhambi!!
@joshuamakota6714
Жыл бұрын
Hiki kipengele cha dance za kwaya hua tunajifanya hatukiskii wala kuona. Dance za kuzimu
@dadaz4653
Жыл бұрын
@@joshuamakota6714 yan siku hizi na viduku juu
@joyyjoyy5474
Жыл бұрын
@@dadaz4653 kabisa, waimbaji wengi sàa hii ukiiangalia nyimbo zao kucheza ni Kwa kusifu shetani, ni Mungu tu atusaidie
@dadaz4653
Жыл бұрын
@@joyyjoyy5474 yaan kwakwel Mungu atusaidie wokovu wa sasa iv na wazamani nitofaut kabisa wanaona kila kitu kawaida tuu
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Sanasanasa 😪
Nikwl
Hakuna kitu kama hicho. IPO siku tutaambiwa kuishi duniani ni dhambi. Nyie manabii wa uwongo mnatupotosha. Wachezaji wa Mpira wana vipaji vya kucheza mpira na mashabiki wanapata burudani. Jitahidi kutafsiri vitabu vitakatifu kwa umakini.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Жыл бұрын
Usiseme hakuna kitu jiulize duniani ulikuja na nini utaondoka na nini? Je nini kusudi la aliyekuleta duniani? Je ni kushabikia soka!?
Ni sahihi muda wa ibada umechukuliwa na mpira
Upon sahh mtumishi was MUNGU
Mom
Jamani mpiga kinanda amwache mtumishi, neno lituingie
Ukweli mtupu
Mtumishi samahani nilikuwa ninaomba namba ya katekela Kuna maombi nilitaka nimshirikishe
@PROMOVERTVLive
Жыл бұрын
+255756275511
@nurusaidi3642
Жыл бұрын
Iyo namba wala haipokelewagi kabisa
Ndiyo mtumishi
@churchofrepentanceofchrist139
7 ай бұрын
Sio mpira tu,yaani Dunia imeiva kuzimu au ni mteremko wa kuzimu kwa sasa..
Lete somo zima tupone
Wapenda mpira hawatakuelewa watakutukana
Mm Sina uhakika na ancho Seema huyu pasta Bali inawekana anachosema Maana hata wachezaji waking uwanjani hupitia mlango wa nyuma Pia Kuna mambo yakishitikina unayaona yanafanyika uwanjani Simba ikiwasha Moto gadieli akinyinyiza dawa YAN ushirikina upo KWENYE Mpira upo sana
Mmmmmh yaan kwa kweli..sas tufanye lipi
Jamani tatizo yesu kashuke simuerewi uyu
Hii ni sauti ya Mungu juu ya kupinga juudi za shetani kutumia michezo kulipoteza kundi la watu wa Mungu
Tumbo baya sana
Yaani hapo kwenye Moira SEMA tupone.Maana huo Ni ugonjwa.
Ni kwel mtumishi wa MUNGU
Kweliii kanbisaa
Kila naposikia habari hizi namkumbuka mch: Cikopole pale mlowa barabarani Dodoma 2008 alisema haya "hatukumuelewa"
Mi sijaelewa kwa kweli
Icho kiarabu ndiyo Lugha ya kishetani au??
Na siku ya sabato mbona huwa haiubiriwi kwa watu tukajua ukweli?
@christiancharles2967
Жыл бұрын
Sabato ni siku ya saba ya juma angalia Mwanzo 2:1-3; Kutoka 20:8-11. Ambayo ni siku ya jumamosi, angalia, Mathayo 28:1; Marko 16:1; Luka 23:55-56. Mwisho, Sabato ni siku, angalia Ebrania 4:8-9.
Halleluya Kwa kweli Mungu ni mwema sana je wapo vijana waliookokaa wanasikia haya wapate kupona.
Na mtume meshaki alisema mpira niibada ya upande was pili,na Boniface mtumishi alisema wanafurahia machukizo yao,wote ni jehanamu barikiwa mtumishi mbingu si lelemama
@yusafbayu7016
Жыл бұрын
Hakuna mtume bana mtum gan kapewa utume na nani
Sema mtumishi unakuta mchungaji naye mashabiki washirika itakuwaje sasa,.
Ila pamoja na yote mtumishi anaonekana ni mshabiki kindakindaki wa Mnyama Simba
Haaa hapa tumeelewana nabii anapendapila anatabili mipila AAA haya Ni majanga ya kudanganywa nabii wa uongo Ni wengi Ila MUNGU yipo atawaweka peupe aongo wote
Mcheza piano anatatiza ujumbe!
Naaplishert ujumbe huo mt wamungu
Mimi nilikuwa addicted na mpira baada ya kugundua kuwa ni dhambi niliamua kuachana na mpira kabisa. Haikuwa rahisi lakini hivi sasa niko huru sijawahi fuatilia mambo ya mpira wala roho yangu haibabaiki na mambo ya michezo.
@abdimohamed3953
Жыл бұрын
Aisee nami nijitoe kwakweli maana mmmh
@thadeylyimo9772
Жыл бұрын
Apo kwenye kafara eti Mechi yanga akishinda watu 100 wanakufa au Simba akishinda watu 100 wanakufa hapo ndo unatudanganya... Mpira ni afya. Michzo ni afya.. michezo ni ajira, michezo inawapa watoto wa wenzako kipato na wengine wanakuja kuleta sadaka kanisani..
@rubefabi8366
Жыл бұрын
@@thadeylyimo9772 ndugu akina Adam Nuhu Daudi na wengine walikuwa wanacheza mpira wapi? Mbona miaka waliyoishi hata nusu yake hatuwafikii? Unazungumuzia pesa je unajua chanzo cha matumizi ya fedha na mwisho wa matumizi ya fedha duniani? Kizazi cha bongo freva kina fikra finyu sana kuhusu mambo ya Mungu kinatazama mambo kwa macho ya nyama.
@thadeylyimo9772
Жыл бұрын
@@rubefabi8366 Ni sawa na kusema kizazi Cha Adam nuhu daudi hawakuwa na magari basi tuishi Kama wao ... Apo umezungumzia Nyakati tatu tofauti ktk biblia.. "Tambua Nyakati uliyopo" zingatia ni Nyakati gani uliyopo...
@rubefabi8366
Жыл бұрын
@@thadeylyimo9772mfano unaoutoa ni tofauti mambo ya usafiri na mambo ya mpira ni wapi na wapi? Ungesema kusafiri na ungo hapo ungeleta maana.
Naona wazee wa kutumia fursa MMEONA Sasa Kule Kuna watu wengi ambao mkiwapata mtapiga hela mno Kama mtafanikiwa kuwaachisha wasipende Mpira wakaja kwenu hii yote NI janja ya kutafuta maslahi tu.
Dah hao watu wanakufa kimya kimya ama inakuwaje
Unajua watu wangapi wanakufa kwa siku kila siku bila kuwepo mpira
Ndio maana huko waarabu wanaingia wengi ndio wanapata point 3