Mch.Katekela:"Kwa sasa kuna manabii wengi wa mchongo kuwa makini|Sifa za manabii wakweli ni hizi"

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 45

  • @dosialugonda2736
    @dosialugonda273613 күн бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee19 күн бұрын

    Wachungaji wa mchongo wapo pia ingawa biblia imewataja zaidi manabii kuliko wachungaji na ndiyo ilivyo sababu wanaoibuka kizazi hiki ni manabii kuliko wachungaji.

  • @Wamimedia

    @Wamimedia

    16 күн бұрын

    Kabisa wachungaji wapo wengi wa mchongo kasome kitabu cha Ezekiel utajua hao wachungaji wa uongo

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence181218 күн бұрын

    Mchungaji Katekela nakuelewa na Mungu zaidi kukubariki.

  • @user-uq4wg1hm3t
    @user-uq4wg1hm3t19 күн бұрын

    Promover bigger up sana Mungu awepamoja nanyi ameni

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz17 күн бұрын

    Mtumishi ukosawa kabisa mitume manabii Mimi kamamimi siwakubali sitowakubali maana waukweli siwaoni waigizaji tu

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w17 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu atusamehe sana,watu wanachinjwa Kwa sababu ya wokovu katika Kristo ilhali wengine wanachezea wokovu.😢😢

  • @rosejeremiah6936
    @rosejeremiah693617 күн бұрын

    Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana tunaomba no cmu

  • @victorianchimbi8640
    @victorianchimbi864018 күн бұрын

    Sema maana wanawake wengi wanapenda kutabiliwa na ndo wanakutana na manabii wakichawi wanaotumia jina la Yesu kusingizia

  • @fundimwangangi3454
    @fundimwangangi345418 күн бұрын

    Mch Katekella Mungu amekusaidia sana. Tumesaidika pia kujua siri za kuzimu. Sasa nakusihi kama utaona ni vyema, uziangalie jumbe za William Marrion Branham ujue habari za mbingu pia. Hata kuzimu inajua kwamba huyo Branham ndiye Nabii wa Malaki 4:5-6

  • @KALEGORAJABUMBEHO
    @KALEGORAJABUMBEHO16 күн бұрын

    Aminaaaaa mtumishi

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob813717 күн бұрын

    Mimi binafsi mchungaji na kuamini kuhubiri kwako juu ya injili ya YESU KRISTO kwa utukufu wa MUNGU BABA ubarikiwe sana sana BWANA YESU KRISTO aliye hai BWANA wa ma BWANA WOTE akibariki sana sana

  • @user-mp8oy1do7x
    @user-mp8oy1do7x16 күн бұрын

    Amen

  • @SamirBacar
    @SamirBacar16 күн бұрын

    Kweli mungu ni mwanamke anayewapa utajiri sawa sawa na kitabu cha ufunuo, ila Mungu wetu ni Bwana wa mabwana

  • @fitinamarando
    @fitinamarando18 күн бұрын

    Eee Mungu utusaidie sana.

  • @angelamugoywa4917
    @angelamugoywa491719 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb19 күн бұрын

    Yes neno la uzima lipo apa

  • @azizafrancine301
    @azizafrancine30119 күн бұрын

    Amena muguakumbariki

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s19 күн бұрын

    Wachungaji wa mchongo ni 90% kama sio 99%

  • @LucasKaik-xt8qe

    @LucasKaik-xt8qe

    18 күн бұрын

    Naona unatokwa povu

  • @nehemiahmguluka1996

    @nehemiahmguluka1996

    3 күн бұрын

    Sio wachungaji tuu hata waimbaji wa mchongo wapo pia hapo mtumishi ameelezea mtumishi manabii kwasababu context ya SoMo lake imemgusia nabii isaya. Unapo sikiliza na ku comment tuliza ufahamu

  • @SamwelRichard-ep4sd
    @SamwelRichard-ep4sd17 күн бұрын

    Power of God

  • @Gracemsomba-ic2xp
    @Gracemsomba-ic2xp17 күн бұрын

    Nikweli kabisa niwaongo hao manabii wanasaka pesa

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz17 күн бұрын

    Nisawa nawachungaji wapo ilamitume namanabii unatuangamiza wengi nakutupotosha nawananguvu sana manguvu yagiza mafuta yakuzimu bola wachungaji angalau

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s19 күн бұрын

    Wachungaji wa mchongo ndio wengi sana kuliko Ma Nabii

  • @jacobmahona187

    @jacobmahona187

    16 күн бұрын

    Wachungaji wa mchongo unawajua wewe Yesu alionya jjuu ya manabii wa uongo ambao Mungu wao ni tumbo!

  • @hellen9056

    @hellen9056

    16 күн бұрын

    Unajua jicho la YESU miaka😂2000 iliyo pita liliona manabii wa uongo na likatupa tahadhali Halikutaja wachungaji Wachungaji endeleeni kuhubili injili ya kweli iletayo wokovu

  • @jastinmkoba

    @jastinmkoba

    7 күн бұрын

    Nakupenda sana rafiki

  • @durangobasics6195
    @durangobasics619516 күн бұрын

    Nakwazika na utumiaji wa kelele kwenye kipaza sauti.

  • @DennisWanjala-sy2hl

    @DennisWanjala-sy2hl

    16 күн бұрын

    Hukwasiki na kipasa saudi bali unakwazwa na ukweli unaosemwa

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s19 күн бұрын

    Lkn hata Nabii maarufu alikimbia asiuawe

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba7 күн бұрын

    Ata wa chungaji wa mchongo wapo wewe ulisema Yesu kakutuma kufichua na ukiambiwa uwataje unasema oh unajua aitakiwi kuwataja majina kulingana na hadhi zao🙄 sasa siulisema umetumwa? Wataje ........maana ukiwaambia watu manabii wa mchongo wapo wengi alafu utaji bado ao watu uwasaidii na kama unawapa taaluki........mnanimalizia bundles

  • @nehemiahmguluka1996

    @nehemiahmguluka1996

    3 күн бұрын

    Kwani wewe aliekuleta hapa kwenye hii channel ni Nani? Wasikilize ambao Unaona hawatakumalizia bando, sikio la kufa halisikii dawa😢

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv19 күн бұрын

    Tena Wachungaji wamvhongo ndo wengi

  • @jacobmahona187

    @jacobmahona187

    16 күн бұрын

    Manabii wa uongo na wachungaji wa uongo na wewe unayewatetea ziwa la moto linakusubiri

  • @jacobmahona187

    @jacobmahona187

    16 күн бұрын

    Wachungaji wa mchongo unawajua mwenyewe.

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA17 күн бұрын

    Mchungaji KATEKELA HUBIRI INJILI JIEPUSHE na VIJEMBE AMBAVYO HUJUI UKWELI WAKE.

  • @SamwelRichard-ep4sd

    @SamwelRichard-ep4sd

    17 күн бұрын

    Wewe unajua nn ama mkumbo tyuu

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    17 күн бұрын

    @@SamwelRichard-ep4sd NAJUA NINACHOJUA

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    16 күн бұрын

    Injili ndiyo hiyo ansyoihubiri yaani kweli ya neno la Mungu katika jina la Yesu Kristo. Kukemea dhambi siyo mafanikio peke yake

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    16 күн бұрын

    @@lilianluhasi311 NI VEMA KUJIKITA Kwenye wito wako na hususani mapenzi ya YESU AU MUNGU SAWA NA YOHANA 6:39-40

  • @user-ys8hi7iy5j
    @user-ys8hi7iy5j17 күн бұрын

    Mimi siamini mtumishi yeyote ilatu Nina muachia mungu

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    16 күн бұрын

    Mwenye masikio na asikie

  • @user-ys8hi7iy5j
    @user-ys8hi7iy5j17 күн бұрын

    Kwasababu hata ww unaweza ukawa ni walewaletu kila mtu anakuja kwamisemo

  • @KALEGORAJABUMBEHO
    @KALEGORAJABUMBEHO16 күн бұрын

    Aminaaaaa mtumishi

Келесі