Mch.Katekela:"Kwa sasa kuna manabii wengi wa mchongo kuwa makini|Sifa za manabii wakweli ni hizi"
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 45
Barikiwa sana Mtumishi
Wachungaji wa mchongo wapo pia ingawa biblia imewataja zaidi manabii kuliko wachungaji na ndiyo ilivyo sababu wanaoibuka kizazi hiki ni manabii kuliko wachungaji.
@Wamimedia
16 күн бұрын
Kabisa wachungaji wapo wengi wa mchongo kasome kitabu cha Ezekiel utajua hao wachungaji wa uongo
Mchungaji Katekela nakuelewa na Mungu zaidi kukubariki.
Promover bigger up sana Mungu awepamoja nanyi ameni
Mtumishi ukosawa kabisa mitume manabii Mimi kamamimi siwakubali sitowakubali maana waukweli siwaoni waigizaji tu
Mwenyezi Mungu atusamehe sana,watu wanachinjwa Kwa sababu ya wokovu katika Kristo ilhali wengine wanachezea wokovu.😢😢
Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana tunaomba no cmu
Sema maana wanawake wengi wanapenda kutabiliwa na ndo wanakutana na manabii wakichawi wanaotumia jina la Yesu kusingizia
Mch Katekella Mungu amekusaidia sana. Tumesaidika pia kujua siri za kuzimu. Sasa nakusihi kama utaona ni vyema, uziangalie jumbe za William Marrion Branham ujue habari za mbingu pia. Hata kuzimu inajua kwamba huyo Branham ndiye Nabii wa Malaki 4:5-6
Aminaaaaa mtumishi
Mimi binafsi mchungaji na kuamini kuhubiri kwako juu ya injili ya YESU KRISTO kwa utukufu wa MUNGU BABA ubarikiwe sana sana BWANA YESU KRISTO aliye hai BWANA wa ma BWANA WOTE akibariki sana sana
Amen
Kweli mungu ni mwanamke anayewapa utajiri sawa sawa na kitabu cha ufunuo, ila Mungu wetu ni Bwana wa mabwana
Eee Mungu utusaidie sana.
Amen 🙏
Yes neno la uzima lipo apa
Amena muguakumbariki
Wachungaji wa mchongo ni 90% kama sio 99%
@LucasKaik-xt8qe
18 күн бұрын
Naona unatokwa povu
@nehemiahmguluka1996
3 күн бұрын
Sio wachungaji tuu hata waimbaji wa mchongo wapo pia hapo mtumishi ameelezea mtumishi manabii kwasababu context ya SoMo lake imemgusia nabii isaya. Unapo sikiliza na ku comment tuliza ufahamu
Power of God
Nikweli kabisa niwaongo hao manabii wanasaka pesa
Nisawa nawachungaji wapo ilamitume namanabii unatuangamiza wengi nakutupotosha nawananguvu sana manguvu yagiza mafuta yakuzimu bola wachungaji angalau
Wachungaji wa mchongo ndio wengi sana kuliko Ma Nabii
@jacobmahona187
16 күн бұрын
Wachungaji wa mchongo unawajua wewe Yesu alionya jjuu ya manabii wa uongo ambao Mungu wao ni tumbo!
@hellen9056
16 күн бұрын
Unajua jicho la YESU miaka😂2000 iliyo pita liliona manabii wa uongo na likatupa tahadhali Halikutaja wachungaji Wachungaji endeleeni kuhubili injili ya kweli iletayo wokovu
@jastinmkoba
7 күн бұрын
Nakupenda sana rafiki
Nakwazika na utumiaji wa kelele kwenye kipaza sauti.
@DennisWanjala-sy2hl
16 күн бұрын
Hukwasiki na kipasa saudi bali unakwazwa na ukweli unaosemwa
Lkn hata Nabii maarufu alikimbia asiuawe
Ata wa chungaji wa mchongo wapo wewe ulisema Yesu kakutuma kufichua na ukiambiwa uwataje unasema oh unajua aitakiwi kuwataja majina kulingana na hadhi zao🙄 sasa siulisema umetumwa? Wataje ........maana ukiwaambia watu manabii wa mchongo wapo wengi alafu utaji bado ao watu uwasaidii na kama unawapa taaluki........mnanimalizia bundles
@nehemiahmguluka1996
3 күн бұрын
Kwani wewe aliekuleta hapa kwenye hii channel ni Nani? Wasikilize ambao Unaona hawatakumalizia bando, sikio la kufa halisikii dawa😢
Tena Wachungaji wamvhongo ndo wengi
@jacobmahona187
16 күн бұрын
Manabii wa uongo na wachungaji wa uongo na wewe unayewatetea ziwa la moto linakusubiri
@jacobmahona187
16 күн бұрын
Wachungaji wa mchongo unawajua mwenyewe.
Mchungaji KATEKELA HUBIRI INJILI JIEPUSHE na VIJEMBE AMBAVYO HUJUI UKWELI WAKE.
@SamwelRichard-ep4sd
17 күн бұрын
Wewe unajua nn ama mkumbo tyuu
@YOSHUAMWAMPETA
17 күн бұрын
@@SamwelRichard-ep4sd NAJUA NINACHOJUA
@lilianluhasi311
16 күн бұрын
Injili ndiyo hiyo ansyoihubiri yaani kweli ya neno la Mungu katika jina la Yesu Kristo. Kukemea dhambi siyo mafanikio peke yake
@YOSHUAMWAMPETA
16 күн бұрын
@@lilianluhasi311 NI VEMA KUJIKITA Kwenye wito wako na hususani mapenzi ya YESU AU MUNGU SAWA NA YOHANA 6:39-40
Mimi siamini mtumishi yeyote ilatu Nina muachia mungu
@lilianluhasi311
16 күн бұрын
Mwenye masikio na asikie
Kwasababu hata ww unaweza ukawa ni walewaletu kila mtu anakuja kwamisemo
Aminaaaaa mtumishi