Changamoto za wachungaji:"Nilimwombea mwanamke mgonjwa alipopona akaniangusha mimi dhambini"
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 4
Shetani ana nguvu sana Kwa kuwa alikuwa malaika.mungu atupe mwisho mwema
Wana wa Mungu, tuwe makini sana,mkiachana katika ndoa hairuhusiwi kuoa au kuolewa tena,labda mrudiane
Mungu hutulinda. ila kwa watu wa Mungu, kuna nidhamu ambayo tuwe nayo. ukiwa mwenyewe getoni usikaribishe mtu asiye jinsia yako aje pekeyake. hata kwenye huduma tuwe ajanja. mwanamke anakupigia njoo niombee,au uombee mtoto wangu yuko taabani . ukifika kumbe mtegoni
Ila mtumishi!!!,ulizini?,sikila mtu niwakumuombea,Kuna watu nimtego,ukimuombea unakufa kiroho,unapaswa Kuongozwa na Roho Mtakatifu kwa Kila jambo,Yesu alikatiza talaka,isipokuwa nikama walifumaniana kwa habari ya zinaa