shetani anawezaje kumtumia mtu kupitia ndoto|Vita vya kiroho ni nini|Kuishi chini ya neema ni nini!?

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 26

  • @judithbett420
    @judithbett4203 ай бұрын

    Asanteni sana wachungaji wa Mungu kwa mafunzo mazuri. Mungu aendelee kuwapa nguvu ya kueneza injili.

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m3 ай бұрын

    Huyu baba ni mtumishi wa Mungu wakweli,namuombea kwa Mungu amlinde,shetani asije akamteka,akamuharibu

  • @HappynessMussa-mq6vc
    @HappynessMussa-mq6vc3 ай бұрын

    Hongeraa mtumishii barikiwa

  • @mabulapaul
    @mabulapaul3 ай бұрын

    Amina

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c3 ай бұрын

    Amen MUNGU TUSAIDIE

  • @HappynessMussa-mq6vc
    @HappynessMussa-mq6vc3 ай бұрын

    Tunakupenda mtumishi wetuu

  • @user-pw8nu8gf4m
    @user-pw8nu8gf4m2 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @marywanjiru438
    @marywanjiru4383 ай бұрын

    Siku moja niliota nikaona tuko kwa foleni kubwa sana watu walikuwa wagojwa wanaenda kumwona daktari na meza ya reception ilikuwa nje na daktari yuko ndani ila watu wengine walikuwa wanakufa wakingojea kumwona daktari kwasababu hawakuwa wamefikiwa kuingia lakini receptionist akasema watuwanaruka foleni nawanasababisha fifo katika foleni

  • @user-ce1is6yo9h
    @user-ce1is6yo9h3 ай бұрын

    Amen. Asante kwa mafunzo

  • @livinhillary9804
    @livinhillary98042 ай бұрын

    Amen

  • @musakasingo594
    @musakasingo5943 ай бұрын

    Mungu awabariki sn kwa huduma hii

  • @azizafrancine301
    @azizafrancine3013 ай бұрын

    Mugu abaogezeye nasiye benyegusikiya mungu adukumbuke

  • @KahwegeAimee
    @KahwegeAimee2 ай бұрын

    Mungu akubari na kukutia nguvu

  • @salomekemunto1373
    @salomekemunto13732 ай бұрын

    ANIMA,Mungu wa Mbinguni akubariki sana sana.

  • @MariaMwasyila-mq6yc
    @MariaMwasyila-mq6yc3 ай бұрын

    Amen amen

  • @user-wg7tt9qo2d
    @user-wg7tt9qo2d3 ай бұрын

    Amen 🙏 🙏

  • @user-md7bq3ew4e
    @user-md7bq3ew4e3 ай бұрын

    Amen blessed

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko18752 ай бұрын

    MUNGU nipemwisho mwema

  • @user-wt9kj7gl1i
    @user-wt9kj7gl1i2 ай бұрын

    Na je ukiota unapigana na mtu alafu ukamushida huyo mtu inamanisha nini ama umekiwa kwenye vita na ukamukata kwa panga inamanisha nini

  • @shakilachonya9290
    @shakilachonya929012 күн бұрын

    kwakwel

  • @juniorwiseprophet1240
    @juniorwiseprophet12402 ай бұрын

    Mmmh hapo kwenye sare za kijeshi hapo mtumishi ongelea vizur,sio kila ndoto hizo n hivyo hapna hpana ,biblia inatufaham kama sisi n majeshi ya Bwna inakuaje ukiota iwe uchawi?? Unasema kuota kuruka ni uchawi ,je umesahau bibli inasema wamngojeqo Bwana eatapewqnguvu mpya na wataruka kama tai?? Em jamqn wekeni tafsiri hizo vizuri..

  • @flourishing_wilderness6072

    @flourishing_wilderness6072

    2 ай бұрын

    Ni kweli ukimuona mtu amevaa nguo za jeshi ndotoni either ni mchawi, satanist au Pepo aliye na mwili duniani

  • @Jeremiah_0826

    @Jeremiah_0826

    Ай бұрын

    Hii ni kweli kabisa,, miaka 7 iliyopita (haikuwa ndoto) bali maono ya waziwazi usiku nmelala ila sikuwa usingizini kuna mchawi aliniijia amevaa mavazi ya police nilivyo omba akajidhihirisha na nikamtambua na alikuwa jirani yetu. Hivyo usishangae ndugu,, siku za nyuma nilikutana pia na attack katika ndoto nikawa Nakutania na wanajeshi na wanaanza kunitesa ila katika kuomba ilikuwa ni jeshi la wachawi nikaomba sana hiyo hali ikaisha. Amin mtumishi wa Mungu yuko sahh

  • @flourishing_wilderness6072
    @flourishing_wilderness60722 ай бұрын

    Hii ni kweli nilikuwa naotaga nakula nyama mara juice ya chungwa. Nikaongeza maombi na neno na adui akajiupdate, Wakaacha kunijia kwenye ndoto, wakawa wanakuja kwa njia ya mawazo/imagination za kula chakula. MfanoUmekaa zako unafanya kazi unawaza jinsi soda ya fanta ilivyo tamu au nyama ya kuku uliokula mwezi uliopita ilivyokuwa tamu. Nikajua haya sio mawazo ya kawaida ni wanataka kunichafua Nikatafuta neno la kupinga hiyo hali, nikapata lile neno linalosema kuzitiisha fikra zimtii kristo, kuuvua utu wa kale na kuuvaa utu mpya wa Mungu ulioumbwa katika hali na utakatifu wa kweli. Nikayakariri hayo maandiko nikawa nikiwa sehemu na watu nayakiri moyoni, nikiwa peke yangu nayakiri Kwa mdomo. Hiyo Hali ilikwisha kabisa maana YESU NI NENO ( maandiko naweka under this comment section)

  • @flourishing_wilderness6072

    @flourishing_wilderness6072

    2 ай бұрын

    2 Wakorintho 10:5, Waefeso 4:24 Wakolosai 3:10

  • @AfirenAfiren
    @AfirenAfiren3 ай бұрын

    Amen

Келесі