HATUA 7 ZA KULIHUSISHA NENO LA MUNGU KATIKA KILE UNACHOKIPITIA|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 30/05/2024

Фильм және анимация

PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
-Safari Com : +254 722 578 776 (Jina : George Stephen Mukabwa)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Пікірлер: 65

  • @floshkitchen3061
    @floshkitchen3061Ай бұрын

    Mwezi wa sita nategemea kibali kilicho toweka kwa maisha yangu kirudi,nategemea milango iliyo fungwa kwenye maisha yangu ifunguke,nategemea kutembea na Mungu na kuongozwa na roho mtakatifu mwezi wote huu wa sita🙏🙏🙏

  • @kareganjagi8640

    @kareganjagi8640

    Ай бұрын

    Amen amen

  • @graceurasa2082

    @graceurasa2082

    Ай бұрын

    Amen

  • @assiasolomon1418
    @assiasolomon1418Ай бұрын

    Mwezi wa 6 ukawe mwezi wa baraka na kupokea ehee Mungu nionekanike naomba nipate vibali na kazi🙏 na nitangulie katika safari ya mwezi wa nane amen 🙏

  • @jacklineumbisa4934
    @jacklineumbisa4934Ай бұрын

    Mwezi wa sita natarajia Uzima,nategemea kuona msaada wa Mungu uningoze nimalize madeni,,Mungu nisaidie kwa neno lako,Mungu nipe uzima katika jina la yesu

  • @teresiadeule3960
    @teresiadeule3960Ай бұрын

    Asante pastor kwa neno zuri,ila pastor ulisema utatufundisha majina ya Mungu na kazi yake nasubiri sana somo hilo kwa hamu

  • @AliceNduku-cx9hm
    @AliceNduku-cx9hm27 күн бұрын

    Naomba roho wa mungu atawele maisha yangu na watoto wangu na masomo yao yajengwe juu yako mungu shetani asipate nafasi katika maisha yao

  • @GloriaMillinga
    @GloriaMillingaАй бұрын

    Hakika mahubiri yako hayochoshi, yamenibadilisha kwa kiasi flani,, MUNGU anisaidie nibadilike zaidi Amina 🙏

  • @MathewSilu-df2ii
    @MathewSilu-df2iiАй бұрын

    Pastor you have been a great blessings to me if it we're not for you i could not be where i am now , Following you keenly in washington state USA

  • @zipporahmuraga4737
    @zipporahmuraga4737Ай бұрын

    Pastor nimembarikiwa sana

  • @gilbertwanje
    @gilbertwanjeАй бұрын

    Amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6wsАй бұрын

    Amen and amen 🙏🙏

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchamiАй бұрын

    Amen

  • @Walumbe
    @WalumbeАй бұрын

    Naomba uponyaji wa mtoto wangu Samuel tukiwa hospitalini

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726Ай бұрын

    Anategemea nione msaada as Mungu nakuona mingi zangu alinifunga...nategemea kuona neema na kubali juu yangu na nipate ndoa nzuri in jesus name ....nategemea nione break through kwa maisha yangu 👋🙏🙏

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957Ай бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @Lusimo1116
    @Lusimo1116Ай бұрын

    Mungu akuinue Sana baba nimemjua mungu zaidi kupitia wewe Mimi ninatoka kwa Familia ya kiislam lakini kupia wewe nimejikuta nanena kwa lugha pasipo kujua imekuaje Tena nikiwa pekeyangu njiani

  • @NijimbereFrancoise
    @NijimbereFrancoiseАй бұрын

    Mwezi WA sita nategemea uwezo WA mungu Uwe juu yangu, unibaliki na watoto baba 👏

  • @bethsebamilinde7113
    @bethsebamilinde7113Ай бұрын

    Nategemea kuhama Kwa uweza wako mungu 2:33

  • @LilianFares-gg7tz
    @LilianFares-gg7tzАй бұрын

    MUNGU akupe maisha marefu pastor maana kila ujumbe unao ongozwa kuhubir unagusa maisha yangu hakika roho wa bwana ameniongoza mahali sahihi pa kukombolewa mwezi wa4 Sasa nafatilia ibada zako nimefunguliwa kwa hatua kubwa Sana siishi kwa kubahatisha tena Wala sipigani na nisicho kijua

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726Ай бұрын

    mwezi as sita Natarajia mabadiliko kwa kiroho changu kiinuke zaidi na mabadiliko kwa maisha na kwa hafya yangu Mungu anjalie neema zaidi

  • @janeombati2290
    @janeombati2290Ай бұрын

    AMINA 😇😇

  • @user-ld7tp4uc3l
    @user-ld7tp4uc3lАй бұрын

    Amen, Amen 🙏 Nimepokea portion yangu Kwa jina la Yesu Kristo Alie hai 🙏

  • @salma5016
    @salma5016Ай бұрын

    Mwezi huu wa Sita naomba mungu aniwezeshe Malengo yangu yakuekeza pesa yakununua kiwanja ili nijenge eeh mungu niongoze ili nipate Kibali machoni mwako

  • @Daniella249
    @Daniella249Ай бұрын

    Mwezi wa 6 ukawe mwezi wa kupokea baraka zangu na kibali cha Mungu 🙏🙏

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882Ай бұрын

    Nina uimara kwasababu Nina msingi wa Neno. Nina maandiko ambayo nimefunuliwa na nayasimamia kwenye maisha yangu . Lazima nijenge maisha yanayolipenda neno na yanaliitikia neno la Mungu. Luka 6: 47-48 Kila siku ninayosoma neno la Mungu ninachimba msingi wangu.

  • @ConjestaKimario
    @ConjestaKimarioАй бұрын

    Mwenzi wa 6 niuonee wema wako Mungu katika maisha yangu

  • @naomikangangi4480
    @naomikangangi4480Ай бұрын

    Following from Kitui Kenya,am blessed with you message pastor.God bless and your family.natarajia milago yangu ifunguke.

  • @modestermwali
    @modestermwaliАй бұрын

    Nipe neema bwana yakulitendea neno lako kazi 🙏

  • @BlaiseKananemunguiko
    @BlaiseKananemunguikoАй бұрын

    Asante kwa neno la Mungu. Mungu akufunuliye mengi kwa faida ya nafsi za taifalake

  • @DoraMtui
    @DoraMtuiАй бұрын

    Yesu nategemea kibali kikubwa mwezi wa sita na amani kubwa kwenye familia yangu

  • @abigailosoro5640
    @abigailosoro5640Ай бұрын

    Following from Eldoret Kenya 🇰🇪 You have been a blessing to me and my Family

  • @user-th1jb1hb1k
    @user-th1jb1hb1kАй бұрын

    MUNGU naomba mwezi huu wa sita ukawe ni mwezi wa baraka kwangu

  • @user-lu2mc4hq8i
    @user-lu2mc4hq8iАй бұрын

    NAITWA JULIANA MWAIHOJO WATUNDUMA MWAKA NAPOKEA MIMI NAUZAO WANGU NAAMINI MUNGU ATAFANYA.

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882Ай бұрын

    HATUA 7 ZA JINSI YA KULIHUSISHA NENO LA MUNGU KATIKA NINACHOPITIA. Neno la Mungu ni siraha pekee iliyoaminika na Mungu ya kwamba haiwezi ikafeli, Linaweza kupenya popote. Waebrania 4:12 Neno la Mungu sio andiko neno la Mungu ni mtu (hai) ambae ni kristo.

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690Ай бұрын

    Nategemea nione ukombozi wa afya kwa ajili yangu na familia yangu

  • @Judith-mw4ys
    @Judith-mw4ysАй бұрын

    Amen amen and amen God bless you so much the man of God 🙌🙏

  • @naomikyengo2277
    @naomikyengo2277Ай бұрын

    Napenda mafunzo yako nipp msa

  • @byaduniafuraha
    @byaduniafurahaАй бұрын

    Nashukuru Mungu kwa ujumbe huu,Mungu akubariki

  • @ROPHENCEBENDERA
    @ROPHENCEBENDERAАй бұрын

    Ameni naomba Mungu anifungilie milango

  • @linernyambarya6389
    @linernyambarya6389Ай бұрын

    Ameeeeeeeen nabarikiwa mno

  • @LilianWaruguru-il4ls
    @LilianWaruguru-il4lsАй бұрын

    Praise God naomba kuongea na mtumishi George mwenye ako na namba yake anisaidie tafadhali

  • @jacklineumbisa4934
    @jacklineumbisa4934Ай бұрын

    Following from kenya Nairobi

  • @GraceKivolwe
    @GraceKivolweАй бұрын

    Ameen Ameen

  • @rehemaramadhan5043
    @rehemaramadhan5043Ай бұрын

    Nitegemea Kuingia mwezi 6 kwakufunguliwa vyote vinavyofanya nisibarikiwe ktk kila hatua zangu nifunguliwe eee Mungu nitoe kwenye madeni mm niishi kwa amani ,amani yangu imepotea nataka kukutumikia Mungu mwezi wa6.

  • @edithmchenditsi3318
    @edithmchenditsi3318Ай бұрын

    Natekemea nione kibali kwa jina la yesu kristo

  • @user-sd2cb3wr8x
    @user-sd2cb3wr8xАй бұрын

    Amen 🙏

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268Ай бұрын

    Yani ukweli baba wewe umenifundisha kusoma neno na nimeona utamu wa kusoma kimenipa kujinasua hata nikivamiwa

  • @janesamwel7376
    @janesamwel7376Ай бұрын

    NAMSHUKURU MUNGU NIMEWEZA KULIJUA NENO KUPITIA KWAKO,KILASIKU LAZIMA NOPAYE FOSE YA SOMO LAKO.MUNGU AZIDI KIKUFUNULIA NA KUKUPA MADINI MAPYA

  • @annadaffi2023
    @annadaffi2023Ай бұрын

    Nategemea kufanikiwa mwezi wa sita Uwe mwezi wa kubaki Kibali kwa watoto Kibali ktk familia,ndoa,biashara

  • @MercylineAoko
    @MercylineAokoАй бұрын

    amen🙏🙏

  • @evalynependo3824
    @evalynependo3824Ай бұрын

    Ameeeeeeeennnnnn

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882Ай бұрын

    3. Neno la Mungu ndilo linaloumba na kutunza uhai wa Mungu ndani yangu. Kuna aina tatu za uhai; -Uhai wa mwanadamu without divine in me. -Uhai wa shetani . Anakuwa hana moyo wa huruma wala moyo wa kufanya vitu vitakatifu. 1petro 1:23-25 -Uhai wa Mungu. Ndio kinga niliyonayo mimi .

  • @janeombati2290
    @janeombati2290Ай бұрын

    Wabie wanje Jordan watanjuwa juwa 😂😂 AMINA 🙏🙏

  • @user-rh6lc3wo6k
    @user-rh6lc3wo6kАй бұрын

    BABA NAOMBA UREJESHO WA NYOTA YANGU ILIO IBIWA NA MUOVU SHETANI

  • @bethsebamilinde7113
    @bethsebamilinde7113Ай бұрын

    Mwezi wa sita nategemea Kuona uzima,afya mafanikio ya Yale yaliyochelewa niyapokee

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagainАй бұрын

    Fundi mitambo, KZread audio ya video hii iko chini sana. Tafadhali unaweza kuongeza kidogo?

  • @user-gs4fz8nt2q
    @user-gs4fz8nt2qАй бұрын

    Mimi naota ndoto moja inajirudia kila siku nna ota nasafiri nini maana yake ? Au niombe maombi gani wapendwa

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3emАй бұрын

    Mwezi wa sita natengemea hekima ulinzi pia Baraka

  • @user-mq6iq6zk7g
    @user-mq6iq6zk7gАй бұрын

    Ubalikiwe mutumish wa Mungu

  • @user-lu2mc4hq8i
    @user-lu2mc4hq8iАй бұрын

    NAJIUNGAMANISHA NA HUDUMA HII NIMETUMA SADAKA YANGU YA KUINULIWA NAKULINDWA NATEGEMEA NIONE UZAO WANGU WAONE MEMA NAKUFANIKIWA NAAFYA TELE

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882Ай бұрын

    HATUA 7 ZA JINSI YA KULIHUSISHA NENO LA MUNGU KATIKA NINACHOPITIA. 1. Lazima nitambue ninataka nini kutoka kwa Mungu . 2. Nikashajua ninachokitaka , Niende kwenye neno la Mungu nipate neno la Mungu linaloendana na ninachokitaka. Isaya 34:16 3. Nihakikishe nimejaza fikira zangu kwa kulitafakari hilo neno mpaka litengeneze picha katika ufahamu wangu. Yoshua 1:8 4. Kulichukua hilo neno na niliweke kwenye maombi. Isaya 43:26 5. Niamini ya kwamba nimepata bila ya kuwa na hofu. Nijitengenezee mazingira ya kumuamini Mungu wangu. 6. Natakiwa kushikilia ujasiri wangu. 7. Nichukue hatua ya imani inayodhihirisha imani niliyonayo. Yakobo 2:17 8. Nimkemee na kumpinga shetani.

  • @PriscillaKazungu
    @PriscillaKazunguАй бұрын

    Amen

  • @BONIFACEMUSAU-do9oh
    @BONIFACEMUSAU-do9ohАй бұрын

    Amen

Келесі