Mtoto aliyekulia gamboshi atoboa siri kinachofanyika katika ulimwengu wa roho wa giza
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 60
Pole mtoto Roho Mtakatifu atakusaidia muombe Mungu akujaze Roho Mtakatifu
Njoo kwa YESU....!
Shukran mtumishi wa mungu ubarikiwe sana mimi pia na sumbuliwa mizumu ya manyanya na mababu na madungu na mabibi wa mjomba na dungu yangu shukran mchugaji mungu akubariki sana utuokowe ni weke kwa maobi yako Ameen ❤
YESU KRISTO ANAISHI MILELE NA MILELE AMINA
@GiftMwandosya-uf7pf
6 ай бұрын
Ameeen
Je, wasuka nywele mmesikia kuhusa hizo nywele mnazo suka wananyolewa msukule. Kwahiyo onyo kuhusu marembo.
@geitandelwa299
4 ай бұрын
Wabishi eeee ukweli shetani mubaya anawatia nguvu ya ubishi
Kuamini shuhuda kama hizi ni neema tu ya Mungu, Kwa hivyo si wote wataamini Kwa sababu kijana ametaja mambo ya nywele hasa wanawake na wale wanaume wanaotumia hizo nywele wanachukia kusikia ni vibaya but I know angetaja umuhimu wa kutumia nywele wangekubali na kuukubali ushuhuda huu.
@trophywilson7211
6 ай бұрын
Ni karibu na kweli
Glory to Jesus Christ
Mungu ni mwema kabiza ❤❤❤ hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙌🙌🙌
Amen
YESU KRISTO akubariki
SIKIZENI UMUHIMU WA NGUVU ZA SADAKA.
Dunia hii sijui!!!
Sawa kabisa mtumishi, dini ni vyama
Mutumishi ishi zaidi dunia inahitaji haya mafundisho
Hongera baba jaman
Mchungaji barikwa,wewe ni mchungaji wa kwanza wa haki na kweli kumshuhudia kwa macho yangu na nina miaka 55. Nipo Kenya
Naomba mchungaji afundishe
Amina mchungaji ubarikiwe sana
Mtangajazi wacha maswali mengi! Wacha aogee mwenywe, unaharbu!!
Mungu awabariki
Jamani tueleze jinzi sadaka hii inatolewa
Wale wanasema kijana ana hiyo si poa ..juu hii ushuhuda ni ukweli nakumbuka mchungaji katekela alisema wachawi wanatumia majina ya ukoo ili wakukamate
Ubarikiwe Sana, apewe nafas jmn afundishe
Jamani walianza wakina Gwajima Leo hatuwasikii tena 😂😂😂😂 kazi ipo
@trophywilson7211
6 ай бұрын
Gwajia yupo hufuatilii tu
@ezron_official
6 ай бұрын
We upo duniani kweli humsikii gwajima
@user-rz5ze5me1y
6 ай бұрын
Nafikiri waislam wengu Wana undugu na sheta
@rosecmabula5080
6 ай бұрын
Kila jambo na wakati wake hatua kwa hatua hayupo Kaenda wapi?
TRUE STORY, FROM THE BEGGINING
Mwandishi hata huulizi maswali story hiyo inamambo mengi na maswali mengi ilibidi na baba wauyo mtoto awepo mfano baba wahuyo mtoto alikuwa anadaiwa nini na mzimu? Mtoto huyo anasema baba yake aliambiwa atowe sadaka naakatoa alitoweje na alitoa nini?
Natetemeka naposikiliza haya! Muhimu sana sana kupeana watoto wako wachanga mapama sana kwa madhabau ya Mungu! Yaani ( dedicating your kids to God at the church alter ili wawe wa Mungu, na Mungu awalinde)! Thank you Jesus for the protection you offer us all the time, even when we don't know!
Shuhuda za promover ni sakuaminika lakini huu hunatasuishi jameni
Hiyo sadaka ya kukataa mizimu inatolewaje na wapi?
Ushuhuda huo ni kweli watu wengine ni lizimu linaishi.duniani
Anasema walikuwa wanaiba waiba walikuwa wanaibaje
sielewi kabisa hapa
Tanzania kuna mambo ya ajabu 😂
Bado upon gamboshi,bado upon kwenye ushirikina
Naomba na ya simu ya huyo mchungaji nina shida
5:23
Madili Gani sijaelewa
Ilikuadje wakatoa sadaka kwa miungu tena.
@LilianKhija
5 ай бұрын
Mi pia hapo cjaelewa,na mch simsikii akisema alimuongoza sala ya toba. Kamfungua sawa,why sadaka ikatolewe kwa mizim ili imuachie mtt??shetan anajikataaga mwnyw kweli?km ni sadaka ingetolewa madhabahuni kanisan sio madhabahu za giza.
Naomba namba za huyu mtumishi
Rasta zile Ni plastiki sasa labda hizo za kichawi wanavaa wachawi wenzake prima kiwanda cha Rasta haya nazo zikitoka zikitoka huko jamani wee Husuki Rasta lakini mshirikina Kwa Kila mja hapa duniani ana madhambi yake na dhambi sio Rasta tu
@wilkinssimkoko7920
6 ай бұрын
Huwezi kukubali Kwa vile ni MTU WA mwilini, na mambo ya Rohonii huwezi kuelewa wala kukubali hata.
Story yakutunga inajulikana to 😅😅😅😅
@isabellarkageha7707
6 ай бұрын
Hilo jina lako linatisha
@MwangiChege-nz3oe
6 ай бұрын
Kama ujateuliwa kuona mambo ya rohoni nyamaZa tuu ivi vitu nkweli bro mm vimenitendekea Kuna maisha mengine kando na hi yetu hell and heaven is real😢
@HalenBahati
6 ай бұрын
Kulingana na jina lako,,huezi elewa
@YasminaMkali
3 ай бұрын
Kama hayaja kukuta huwezi kuamini. Kaa kimya @mjukuuwamizimu8524. Jina lako lenyewe ni wale wale walio Gambushi
Hiyo sadaka inatolewa wapi
@dickson1820
6 ай бұрын
Cha shetani mrudishie shetani cha Mungu mpe Mungu
Mbona mmeficha sula mnataka tusimjue mwong0
@RojahKamalza-lw3ls
6 ай бұрын
Huyo bado mdogo anahaki zake kama mtoto
We jamaa hata kuoji hujui