Mtoto aliyekulia gamboshi atoboa siri kinachofanyika katika ulimwengu wa roho wa giza

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 60

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe48903 ай бұрын

    Pole mtoto Roho Mtakatifu atakusaidia muombe Mungu akujaze Roho Mtakatifu

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika49436 ай бұрын

    Njoo kwa YESU....!

  • @user-ye2pz4lp1u
    @user-ye2pz4lp1u6 ай бұрын

    Shukran mtumishi wa mungu ubarikiwe sana mimi pia na sumbuliwa mizumu ya manyanya na mababu na madungu na mabibi wa mjomba na dungu yangu shukran mchugaji mungu akubariki sana utuokowe ni weke kwa maobi yako Ameen ❤

  • @MariamGodfrey-oe1bn
    @MariamGodfrey-oe1bn6 ай бұрын

    YESU KRISTO ANAISHI MILELE NA MILELE AMINA

  • @GiftMwandosya-uf7pf

    @GiftMwandosya-uf7pf

    6 ай бұрын

    Ameeen

  • @dickson1820
    @dickson18206 ай бұрын

    Je, wasuka nywele mmesikia kuhusa hizo nywele mnazo suka wananyolewa msukule. Kwahiyo onyo kuhusu marembo.

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    4 ай бұрын

    Wabishi eeee ukweli shetani mubaya anawatia nguvu ya ubishi

  • @Dukeswanya-vm7cb
    @Dukeswanya-vm7cb6 ай бұрын

    Kuamini shuhuda kama hizi ni neema tu ya Mungu, Kwa hivyo si wote wataamini Kwa sababu kijana ametaja mambo ya nywele hasa wanawake na wale wanaume wanaotumia hizo nywele wanachukia kusikia ni vibaya but I know angetaja umuhimu wa kutumia nywele wangekubali na kuukubali ushuhuda huu.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    6 ай бұрын

    Ni karibu na kweli

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk6 ай бұрын

    Glory to Jesus Christ

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m4 ай бұрын

    Mungu ni mwema kabiza ❤❤❤ hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙌🙌🙌

  • @josykogei7647
    @josykogei76476 ай бұрын

    Amen

  • @user-rd3hk5qt5p
    @user-rd3hk5qt5p6 ай бұрын

    YESU KRISTO akubariki

  • @dickson1820
    @dickson18206 ай бұрын

    SIKIZENI UMUHIMU WA NGUVU ZA SADAKA.

  • @martindamas8192
    @martindamas81926 ай бұрын

    Dunia hii sijui!!!

  • @lilianachayo
    @lilianachayo6 ай бұрын

    Sawa kabisa mtumishi, dini ni vyama

  • @lilianachayo
    @lilianachayo6 ай бұрын

    Mutumishi ishi zaidi dunia inahitaji haya mafundisho

  • @marthapaul2996
    @marthapaul29963 ай бұрын

    Hongera baba jaman

  • @PtahEnki-go3io
    @PtahEnki-go3io6 ай бұрын

    Mchungaji barikwa,wewe ni mchungaji wa kwanza wa haki na kweli kumshuhudia kwa macho yangu na nina miaka 55. Nipo Kenya

  • @sarabura8933
    @sarabura89336 ай бұрын

    Naomba mchungaji afundishe

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe48903 ай бұрын

    Amina mchungaji ubarikiwe sana

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216Ай бұрын

    Mtangajazi wacha maswali mengi! Wacha aogee mwenywe, unaharbu!!

  • @salhamkally9609
    @salhamkally960925 күн бұрын

    Mungu awabariki

  • @HalenBahati
    @HalenBahati6 ай бұрын

    Jamani tueleze jinzi sadaka hii inatolewa

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha77076 ай бұрын

    Wale wanasema kijana ana hiyo si poa ..juu hii ushuhuda ni ukweli nakumbuka mchungaji katekela alisema wachawi wanatumia majina ya ukoo ili wakukamate

  • @user-fq6ox8ck4p
    @user-fq6ox8ck4p6 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana, apewe nafas jmn afundishe

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula6456 ай бұрын

    Jamani walianza wakina Gwajima Leo hatuwasikii tena 😂😂😂😂 kazi ipo

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    6 ай бұрын

    Gwajia yupo hufuatilii tu

  • @ezron_official

    @ezron_official

    6 ай бұрын

    We upo duniani kweli humsikii gwajima

  • @user-rz5ze5me1y

    @user-rz5ze5me1y

    6 ай бұрын

    Nafikiri waislam wengu Wana undugu na sheta

  • @rosecmabula5080

    @rosecmabula5080

    6 ай бұрын

    Kila jambo na wakati wake hatua kwa hatua hayupo Kaenda wapi?

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.50384 ай бұрын

    TRUE STORY, FROM THE BEGGINING

  • @beastforever734
    @beastforever7346 ай бұрын

    Mwandishi hata huulizi maswali story hiyo inamambo mengi na maswali mengi ilibidi na baba wauyo mtoto awepo mfano baba wahuyo mtoto alikuwa anadaiwa nini na mzimu? Mtoto huyo anasema baba yake aliambiwa atowe sadaka naakatoa alitoweje na alitoa nini?

  • @kimsi682
    @kimsi6826 ай бұрын

    Natetemeka naposikiliza haya! Muhimu sana sana kupeana watoto wako wachanga mapama sana kwa madhabau ya Mungu! Yaani ( dedicating your kids to God at the church alter ili wawe wa Mungu, na Mungu awalinde)! Thank you Jesus for the protection you offer us all the time, even when we don't know!

  • @NaomiMakori
    @NaomiMakori4 ай бұрын

    Shuhuda za promover ni sakuaminika lakini huu hunatasuishi jameni

  • @annaandrea2812
    @annaandrea28126 ай бұрын

    Hiyo sadaka ya kukataa mizimu inatolewaje na wapi?

  • @NaomiMakori
    @NaomiMakori4 ай бұрын

    Ushuhuda huo ni kweli watu wengine ni lizimu linaishi.duniani

  • @beastforever734
    @beastforever7346 ай бұрын

    Anasema walikuwa wanaiba waiba walikuwa wanaibaje

  • @florakwayu5646
    @florakwayu56466 ай бұрын

    sielewi kabisa hapa

  • @MadrineMurugi
    @MadrineMurugi3 ай бұрын

    Tanzania kuna mambo ya ajabu 😂

  • @hafidhali3020
    @hafidhali30206 ай бұрын

    Bado upon gamboshi,bado upon kwenye ushirikina

  • @EuphrasiaFundi
    @EuphrasiaFundi6 ай бұрын

    Naomba na ya simu ya huyo mchungaji nina shida

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu17206 ай бұрын

    5:23

  • @JoramKasenga-ig2gk
    @JoramKasenga-ig2gk6 ай бұрын

    Madili Gani sijaelewa

  • @alexdominic9201
    @alexdominic92016 ай бұрын

    Ilikuadje wakatoa sadaka kwa miungu tena.

  • @LilianKhija

    @LilianKhija

    5 ай бұрын

    Mi pia hapo cjaelewa,na mch simsikii akisema alimuongoza sala ya toba. Kamfungua sawa,why sadaka ikatolewe kwa mizim ili imuachie mtt??shetan anajikataaga mwnyw kweli?km ni sadaka ingetolewa madhabahuni kanisan sio madhabahu za giza.

  • @user-ws8yj2bj8u
    @user-ws8yj2bj8u6 ай бұрын

    Naomba namba za huyu mtumishi

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu42476 ай бұрын

    Rasta zile Ni plastiki sasa labda hizo za kichawi wanavaa wachawi wenzake prima kiwanda cha Rasta haya nazo zikitoka zikitoka huko jamani wee Husuki Rasta lakini mshirikina Kwa Kila mja hapa duniani ana madhambi yake na dhambi sio Rasta tu

  • @wilkinssimkoko7920

    @wilkinssimkoko7920

    6 ай бұрын

    Huwezi kukubali Kwa vile ni MTU WA mwilini, na mambo ya Rohonii huwezi kuelewa wala kukubali hata.

  • @mjukuuwamizimu8524
    @mjukuuwamizimu85246 ай бұрын

    Story yakutunga inajulikana to 😅😅😅😅

  • @isabellarkageha7707

    @isabellarkageha7707

    6 ай бұрын

    Hilo jina lako linatisha

  • @MwangiChege-nz3oe

    @MwangiChege-nz3oe

    6 ай бұрын

    Kama ujateuliwa kuona mambo ya rohoni nyamaZa tuu ivi vitu nkweli bro mm vimenitendekea Kuna maisha mengine kando na hi yetu hell and heaven is real😢

  • @HalenBahati

    @HalenBahati

    6 ай бұрын

    Kulingana na jina lako,,huezi elewa

  • @YasminaMkali

    @YasminaMkali

    3 ай бұрын

    Kama hayaja kukuta huwezi kuamini. Kaa kimya @mjukuuwamizimu8524. Jina lako lenyewe ni wale wale walio Gambushi

  • @kellieemil4475
    @kellieemil44756 ай бұрын

    Hiyo sadaka inatolewa wapi

  • @dickson1820

    @dickson1820

    6 ай бұрын

    Cha shetani mrudishie shetani cha Mungu mpe Mungu

  • @AbeliEsau-sr6gy
    @AbeliEsau-sr6gy6 ай бұрын

    Mbona mmeficha sula mnataka tusimjue mwong0

  • @RojahKamalza-lw3ls

    @RojahKamalza-lw3ls

    6 ай бұрын

    Huyo bado mdogo anahaki zake kama mtoto

  • @InnoRwabutit-wh7du
    @InnoRwabutit-wh7du8 күн бұрын

    We jamaa hata kuoji hujui

Келесі