Mch.Katekelalla:"Mimi sikumuua Kanumba na wala hajafa ni mchezo tu wa kishetani"
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 263
Nimeelewa, kwamba maisha sahihi ni rohoni tu, ila macho ya nyama hayana uwezo wakutambua rohoni usipotiwa nuru ya yesu baba wa uzima. Ndipo yesu anasema hivi,"Muwe werevu kama nyoka lakini , Muwe wanyenyekevu kama njiwa"
Mungu akubariki mtumishi,funikwa na damu ya Yesu
Amen ushuhuda wako umenifungua macho ni ombi langu mungu akufunike na damu yake ili utufunulie zaidi katika ulimwengu wa kiroho amen
Ushuhuda wa amiel ulinijenga sana, Mwenyezi Mungu akubariki ndugu amiel na familia yako.🙏
Heri mali zilizo halali kuliko Mali za mikataba,Yesu atusaidie sana
Mwenye masikio asikie,wakati ni huu tu wa kumrundia mungu
Hata imeandikwa,ukishatoka duniani baasi hakuna kuabudu,kuokoka wala kumtafuta mungu.Maombi ya wafu nikuamsha mashetani
Duuuh Yesu ni njia ya kweli na uzima
Huu unaweza kuwa ukweli juu hata kifo cha marehemu mdogo wa Kanumba kiliambatanishwa na nguvu za hiki chama kwa jinsi ambavyo kilitokea mwezi, siku, tarehe na saa kama zile zile za Kanumba ndugu yake! Surely damu ya Bwana Yesu Kristo iwafunike waliobakia katika hii familia ya marehemu jameni!! Hii inakaa kuna ukweli ndani yake na ni hatari mno!!!
Wooooi YESU KRISTO tawala tawala Maisha yangu yabadilishe tabia zangu nirehemu eh Yesu Kristo hili nikaione uzima niokoe nafsi yangu Kwa mabaya yote univaishe ushindi na saburi nikakuone Ee Baba yangu
@Mika-hu1yr
7 ай бұрын
Amen
Mungu atusaidie
amina amina, bwana Yesu asifiwe sana, na tuombe neema sana yakufika Mbinguni.. Bwana Yesu mwenye uruma na mwenye mapendo aturehemu sana, na atuepushe na zambi!!
@denismugisha2
Жыл бұрын
Sorry 'Bwana' sio bwana
Ameni amenii,,hakik Mungu amekupa neema tamu mno
Mungu akulinde amieli watu wamwilini hawawez kukuelewa,shuhudia baba.
Mungu anivungue kwajina LA yesu Aame
Ubarikiwe sana mtumishi na mungu akutangulie.
“Mwenye masikio, na asikie. ” - Mathayo 11:15 (Biblia Takatifu)
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kushika dini na kumpokea Kristo Yesu kuwa Bwana wa mwokozi wa maisha yako
Mungu akubaliki mtumishi wa Mungu
Mungu anisamehe dhambi zangu na anipe tumaini la mwisho
Nakuelewa sana mchungaji ubarikiwe sana
Namtumikia mungu tu
Hatari sanaa Mungu atusaidie
Naokoka sasa
Anasema kweli Mungu atusaidie
Shuhuda zako zanijenga akuinue Mungu
Kimbe ilikuwa simple tu kurudisha mali!!!!! Mungu tuondolee roho ngumu pale tunapokosea
Mungu tawala maisha yang
kwakweli MUNGU atusaidie tawala maisha yetu turidhike na maisha yetu tushindie EEBWANA pigana badara yetu tufunike na nguvu zako tufunike na utisho wako EEBWANA YESU 😭😭tunakuomba EEMUNGU mwenye nguvu. tuna jinyenyekeza chini ya mkono wako ulio hodari Ameeni.🙏🙏
Haya ni mambo ya kiroho,Kama hauelewi muomber Mungu neema
Mmh barikiwa kabsa
Amen..a great lesson..be bless man of God.
Mungu akurinde na kukutunza
Mungu akubark mtumish kwa kaz ya mungu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amina kubwa mtumishi 🙏🙌
Mungu tusaidie tumjue mungu
Mungu akubariki mtumishi
Nimekupenda
Hongera RAFIKI yangu
Ubarikiwe
Amina kubwa kwa ukweli huu .
Mungu atusaidie aki
Ubarikiwe, zidi kutufunza
Amina
Ukweli kabisa juu nililetwa kwa maono hiyo siku nikamuka nikasema kutoka injee nikasikia habari so mimi na shidwa mimi ni nani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@lilianmanguya1510
Жыл бұрын
Ulionyeshwa nn?
@MiriamAbdallah
6 ай бұрын
@@lilianmanguya1510MUNGU inusuru nafsi yangu, kuoteshwa si jambo zito mno
Barikiwa
KWELI kabisa katekela
Mungu aibariki kazi yako mtumishi.naomba umwombee kijana wangu Sist Sunday anaumwa.zaidi ya miala 5.asante.
Revive me once more my Lord
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye Hai Yesu Kristo kwa kuhubiri KWELI isiyogoshiwa Mimi ni Mchungaji Punda wa Yesu Kristo wa Nazareti Napatikana GEITA mjini
Shuhuda hizi zinanijenga kiroho na kimwili❤
Listening from.Kenya, pastor God bless you
Mungu atutie Nguvu
Damu ya yesu iwe juu Yako
Mimi simjui huyu mtumishi but if you know nothing about spiritual world you will think its a cooked story mimi nAmuelewa i lived with someone ambaye alikuwa illuminate
@happinessgeorge
Жыл бұрын
inawezekana spirtual lif ina sir sana
@stephanomaduhu5426
11 ай бұрын
Mungu akuongezee siku mama
AMINA mtumwa wa Bwana
Mchungaj Asante kwa kunifungua nisiyoyajua
It is true story pastor
Ushauli wangu ukiwa kwenye madhabahu ya MUNGU naomba tumtukuze MUNGU tu
@miriamimani4986
4 ай бұрын
Huo sasa ni uoga hahaha
Kweli 👍
Amen 🙏 🙏
Yesu ndiye njia ya usima tu
Siri za Mungu
I receive I receive I receive
Good
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏
Amen amen
Duuuh🙌🙌🙌🙌
Keep Padta
Hakika ulitumwa na Mungu!Wanadamu tunapenda vyaharaka! Ongea mtumishi wa Mungu aliye hai kanisa la Mungu lipone, barikiwe sana shujaa wa Mungu aliye hai Amieli wetu.
Ameeeeeeeen
God bless you pastor nimekuwa katika process ya kutaka kujiunga na freemason ili niwe tajiri ila nimejifunza mengi kutoka kwako naomba unipe appointment ya kuonana na wewe
@martindamas8192
4 ай бұрын
Duh pole sana
Safisana sema fichua ,kwa maana yesu pia aliamuru fichua
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
JINA LA MUNGU LIHIMIDIWE AZID KUTULINDA ATUSAMEHE MAKOSA YETU TULIOTENDA
AMEN AMEN AMEN AMEN
Dunia inatisha jaman
Kwann nyie wachungaji feki mnapenda sana kutumia maudhui kumuhusi kanumba
@nadiaamisha2958
Жыл бұрын
Yaani kaka wa watu miaka yote ila bado tu wanamuongelea😟😟😟😟
Ukipta nafas ya kuwaombeaa,omba tu.maan wengne n huduma, y kuwaombeaa wajeuri walioshindikana😢 nlikumiss my pastor blessed promover tv
Hekima siyo kumponda mhubiri huyu Bali nikifanya utafiti na hata mahojiano naye Najua mnampinga maana hapo hajasoma Bibilia lakini ninani asiejua shetani NI roho na anafanya KAZI mbaya? Je hakuna ulimwengu was roho? Fanyeni reseacrch kabla ya ku crash
@bartsebandwari5365
Жыл бұрын
Asante umenena vyema kwa sababu mtu akiwa na mungu basi atafahamu kile mtumishi wa mungu anamaanisha
ATA mie nimeacha kwenda makaburini
Kama watoto wanaokufa wakiwa bado wadogo je ni mpango wa Mungu
Mutumishi wa mungu aliye hai chums mulingoti
Nimerudia kusikiliza mh
Ebwana hatari sana
Yesu atusaidie
Jesus😮 hiii ilikuwa hatari
😭😭😭😭😭
Bg
Ya hiyo nikwel mu barikiw
Mambo mazito
Niombee ili mungu anipe rehema
Kusema ukweli muacheni kanumba apumzike jamani🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Anapumzika vipi sasa wakati yeye mwenyewe alisema atakufa na alikua anajua itatokea hivyo? Nyie msio amini mtaamini siku mkifa
@user-in6eg5np7l
7 ай бұрын
Aliye waambia ukifa unapumzika ni nani? Matendo yako ndo yataamua upumzike au uendelee kuteseka
@manaseliberatus1347
3 ай бұрын
Apumzike wapi?
Huyu mwongo du😂
Mimi sahii niko Saudi Arabia but nikija nitakuwa nakaa tu kanisa juu vitu huwona ni mingi sana paka nachoka na makanisa juu sio yote yanaogea ukweli kabisa
aliogopa macho ya binadamu ndo madhara yake hayo....
@JELSONMAUKI
2 ай бұрын
Ndio hvo .angeaibika kma alivyokuwa anasema😪😪😪😪😪. Hapa mjini Kuna dharahu sana 😪😪😪😪😪
Waaaaah.....yesu tuokoe
@frankmwinuka3413
3 ай бұрын
Yesu si yesu
Mmm Nimeogopa saana jamani du !
Wueh hii ni kweli tuokokeni kiukweli