Mch.Katekelalla:"Mimi sikumuua Kanumba na wala hajafa ni mchezo tu wa kishetani"

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 263

  • @lilianachayo
    @lilianachayo4 ай бұрын

    Nimeelewa, kwamba maisha sahihi ni rohoni tu, ila macho ya nyama hayana uwezo wakutambua rohoni usipotiwa nuru ya yesu baba wa uzima. Ndipo yesu anasema hivi,"Muwe werevu kama nyoka lakini , Muwe wanyenyekevu kama njiwa"

  • @user-xb7ys5lf4x
    @user-xb7ys5lf4x6 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi,funikwa na damu ya Yesu

  • @feminakidiavai5849
    @feminakidiavai58498 ай бұрын

    Amen ushuhuda wako umenifungua macho ni ombi langu mungu akufunike na damu yake ili utufunulie zaidi katika ulimwengu wa kiroho amen

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w6 ай бұрын

    Ushuhuda wa amiel ulinijenga sana, Mwenyezi Mungu akubariki ndugu amiel na familia yako.🙏

  • @jecinterchemutai2338
    @jecinterchemutai2338 Жыл бұрын

    Heri mali zilizo halali kuliko Mali za mikataba,Yesu atusaidie sana

  • @richardmaina2963
    @richardmaina2963Ай бұрын

    Mwenye masikio asikie,wakati ni huu tu wa kumrundia mungu

  • @carendeborah5687
    @carendeborah5687 Жыл бұрын

    Hata imeandikwa,ukishatoka duniani baasi hakuna kuabudu,kuokoka wala kumtafuta mungu.Maombi ya wafu nikuamsha mashetani

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 Жыл бұрын

    Duuuh Yesu ni njia ya kweli na uzima

  • @kyalomutinda4238
    @kyalomutinda42389 ай бұрын

    Huu unaweza kuwa ukweli juu hata kifo cha marehemu mdogo wa Kanumba kiliambatanishwa na nguvu za hiki chama kwa jinsi ambavyo kilitokea mwezi, siku, tarehe na saa kama zile zile za Kanumba ndugu yake! Surely damu ya Bwana Yesu Kristo iwafunike waliobakia katika hii familia ya marehemu jameni!! Hii inakaa kuna ukweli ndani yake na ni hatari mno!!!

  • @Estherm309
    @Estherm309 Жыл бұрын

    Wooooi YESU KRISTO tawala tawala Maisha yangu yabadilishe tabia zangu nirehemu eh Yesu Kristo hili nikaione uzima niokoe nafsi yangu Kwa mabaya yote univaishe ushindi na saburi nikakuone Ee Baba yangu

  • @Mika-hu1yr

    @Mika-hu1yr

    7 ай бұрын

    Amen

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904Ай бұрын

    Mungu atusaidie

  • @Jesus-saves-today
    @Jesus-saves-today Жыл бұрын

    amina amina, bwana Yesu asifiwe sana, na tuombe neema sana yakufika Mbinguni.. Bwana Yesu mwenye uruma na mwenye mapendo aturehemu sana, na atuepushe na zambi!!

  • @denismugisha2

    @denismugisha2

    Жыл бұрын

    Sorry 'Bwana' sio bwana

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho4 күн бұрын

    Ameni amenii,,hakik Mungu amekupa neema tamu mno

  • @user-up8uq3ih2i
    @user-up8uq3ih2i9 ай бұрын

    Mungu akulinde amieli watu wamwilini hawawez kukuelewa,shuhudia baba.

  • @raelnangila3006
    @raelnangila3006 Жыл бұрын

    Mungu anivungue kwajina LA yesu Aame

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo62627 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi na mungu akutangulie.

  • @jackswat
    @jackswat4 ай бұрын

    “Mwenye masikio, na asikie. ” - Mathayo 11:15 (Biblia Takatifu)

  • @silvanusjeremiah8256
    @silvanusjeremiah825626 күн бұрын

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya kushika dini na kumpokea Kristo Yesu kuwa Bwana wa mwokozi wa maisha yako

  • @AbeliSaly
    @AbeliSaly6 ай бұрын

    Mungu akubaliki mtumishi wa Mungu

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar16034 ай бұрын

    Mungu anisamehe dhambi zangu na anipe tumaini la mwisho

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec2 ай бұрын

    Nakuelewa sana mchungaji ubarikiwe sana

  • @Elecovid
    @Elecovid9 ай бұрын

    Namtumikia mungu tu

  • @leonardtesha2291
    @leonardtesha2291 Жыл бұрын

    Hatari sanaa Mungu atusaidie

  • @romanusnjovu6845
    @romanusnjovu6845 Жыл бұрын

    Naokoka sasa

  • @user-bp4wv4jo2i
    @user-bp4wv4jo2i11 ай бұрын

    Anasema kweli Mungu atusaidie

  • @anneokaka8213
    @anneokaka8213 Жыл бұрын

    Shuhuda zako zanijenga akuinue Mungu

  • @vickytango5591
    @vickytango55913 ай бұрын

    Kimbe ilikuwa simple tu kurudisha mali!!!!! Mungu tuondolee roho ngumu pale tunapokosea

  • @OrestaedwadKomba-os7lw
    @OrestaedwadKomba-os7lw8 ай бұрын

    Mungu tawala maisha yang

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын

    kwakweli MUNGU atusaidie tawala maisha yetu turidhike na maisha yetu tushindie EEBWANA pigana badara yetu tufunike na nguvu zako tufunike na utisho wako EEBWANA YESU 😭😭tunakuomba EEMUNGU mwenye nguvu. tuna jinyenyekeza chini ya mkono wako ulio hodari Ameeni.🙏🙏

  • @jecinterchemutai2338
    @jecinterchemutai2338 Жыл бұрын

    Haya ni mambo ya kiroho,Kama hauelewi muomber Mungu neema

  • @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq
    @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq7 ай бұрын

    Mmh barikiwa kabsa

  • @MaryWuantet
    @MaryWuantet Жыл бұрын

    Amen..a great lesson..be bless man of God.

  • @dianamorisi
    @dianamorisi Жыл бұрын

    Mungu akurinde na kukutunza

  • @user-en2gd2zg2o
    @user-en2gd2zg2o Жыл бұрын

    Mungu akubark mtumish kwa kaz ya mungu

  • @leilahassan560
    @leilahassan5607 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 Жыл бұрын

    Amina kubwa mtumishi 🙏🙌

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo886410 ай бұрын

    Mungu tusaidie tumjue mungu

  • @user-fq2ut9ep8r
    @user-fq2ut9ep8r8 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi

  • @user-jv8ev5ol6y
    @user-jv8ev5ol6y6 ай бұрын

    Nimekupenda

  • @DominckKwaya-vv2fd
    @DominckKwaya-vv2fd Жыл бұрын

    Hongera RAFIKI yangu

  • @Shila7230
    @Shila72307 ай бұрын

    Ubarikiwe

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 Жыл бұрын

    Amina kubwa kwa ukweli huu .

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 Жыл бұрын

    Mungu atusaidie aki

  • @euniceokello7718
    @euniceokello7718 Жыл бұрын

    Ubarikiwe, zidi kutufunza

  • @aristidesvedasto7855
    @aristidesvedasto7855 Жыл бұрын

    Amina

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 Жыл бұрын

    Ukweli kabisa juu nililetwa kwa maono hiyo siku nikamuka nikasema kutoka injee nikasikia habari so mimi na shidwa mimi ni nani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @lilianmanguya1510

    @lilianmanguya1510

    Жыл бұрын

    Ulionyeshwa nn?

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    6 ай бұрын

    ​@@lilianmanguya1510MUNGU inusuru nafsi yangu, kuoteshwa si jambo zito mno

  • @RaymondLuhwano
    @RaymondLuhwano2 ай бұрын

    Barikiwa

  • @YekoniaLabani-wn3pq
    @YekoniaLabani-wn3pq Жыл бұрын

    KWELI kabisa katekela

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Жыл бұрын

    Mungu aibariki kazi yako mtumishi.naomba umwombee kijana wangu Sist Sunday anaumwa.zaidi ya miala 5.asante.

  • @joyblessed9357
    @joyblessed93574 ай бұрын

    Revive me once more my Lord

  • @KennedyZabron
    @KennedyZabron4 ай бұрын

    Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye Hai Yesu Kristo kwa kuhubiri KWELI isiyogoshiwa Mimi ni Mchungaji Punda wa Yesu Kristo wa Nazareti Napatikana GEITA mjini

  • @OlivreKimario
    @OlivreKimario2 ай бұрын

    Shuhuda hizi zinanijenga kiroho na kimwili❤

  • @ApostleDanielAbukuse
    @ApostleDanielAbukuse Жыл бұрын

    Listening from.Kenya, pastor God bless you

  • @mrrightfaustine
    @mrrightfaustine Жыл бұрын

    Mungu atutie Nguvu

  • @danielkamau2554
    @danielkamau25547 ай бұрын

    Damu ya yesu iwe juu Yako

  • @flaviannanah6240
    @flaviannanah6240 Жыл бұрын

    Mimi simjui huyu mtumishi but if you know nothing about spiritual world you will think its a cooked story mimi nAmuelewa i lived with someone ambaye alikuwa illuminate

  • @happinessgeorge

    @happinessgeorge

    Жыл бұрын

    inawezekana spirtual lif ina sir sana

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Mungu akuongezee siku mama

  • @saramss7262
    @saramss7262 Жыл бұрын

    AMINA mtumwa wa Bwana

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda92238 ай бұрын

    Mchungaj Asante kwa kunifungua nisiyoyajua

  • @armindodamiao3201
    @armindodamiao3201 Жыл бұрын

    It is true story pastor

  • @ZainabuWiliam-tm4iw
    @ZainabuWiliam-tm4iw Жыл бұрын

    Ushauli wangu ukiwa kwenye madhabahu ya MUNGU naomba tumtukuze MUNGU tu

  • @miriamimani4986

    @miriamimani4986

    4 ай бұрын

    Huo sasa ni uoga hahaha

  • @AliceMwendwa-lg4pt
    @AliceMwendwa-lg4pt Жыл бұрын

    Kweli 👍

  • @Hellennafula48
    @Hellennafula48 Жыл бұрын

    Amen 🙏 🙏

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын

    Yesu ndiye njia ya usima tu

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar16034 ай бұрын

    Siri za Mungu

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman164 ай бұрын

    I receive I receive I receive

  • @EmmanuelFute-my3mf
    @EmmanuelFute-my3mf Жыл бұрын

    Good

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman164 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏

  • @user-zm2fi4vu9o
    @user-zm2fi4vu9o9 ай бұрын

    Amen amen

  • @josephinemichael1514
    @josephinemichael1514 Жыл бұрын

    Duuuh🙌🙌🙌🙌

  • @AllyOmali-rh8pf
    @AllyOmali-rh8pf3 ай бұрын

    Keep Padta

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza84346 ай бұрын

    Hakika ulitumwa na Mungu!Wanadamu tunapenda vyaharaka! Ongea mtumishi wa Mungu aliye hai kanisa la Mungu lipone, barikiwe sana shujaa wa Mungu aliye hai Amieli wetu.

  • @annafrank5288
    @annafrank5288 Жыл бұрын

    Ameeeeeeeen

  • @brian20ist
    @brian20ist11 ай бұрын

    God bless you pastor nimekuwa katika process ya kutaka kujiunga na freemason ili niwe tajiri ila nimejifunza mengi kutoka kwako naomba unipe appointment ya kuonana na wewe

  • @martindamas8192

    @martindamas8192

    4 ай бұрын

    Duh pole sana

  • @damianminsno1317
    @damianminsno13179 ай бұрын

    Safisana sema fichua ,kwa maana yesu pia aliamuru fichua

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman164 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏

  • @user-dq5yj9ts4h
    @user-dq5yj9ts4h7 ай бұрын

    JINA LA MUNGU LIHIMIDIWE AZID KUTULINDA ATUSAMEHE MAKOSA YETU TULIOTENDA

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu1067 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN AMEN

  • @isaiahmwasonzwe2486
    @isaiahmwasonzwe2486 Жыл бұрын

    Dunia inatisha jaman

  • @dominickjohn1128
    @dominickjohn1128 Жыл бұрын

    Kwann nyie wachungaji feki mnapenda sana kutumia maudhui kumuhusi kanumba

  • @nadiaamisha2958

    @nadiaamisha2958

    Жыл бұрын

    Yaani kaka wa watu miaka yote ila bado tu wanamuongelea😟😟😟😟

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Жыл бұрын

    Ukipta nafas ya kuwaombeaa,omba tu.maan wengne n huduma, y kuwaombeaa wajeuri walioshindikana😢 nlikumiss my pastor blessed promover tv

  • @DominckKwaya-vv2fd
    @DominckKwaya-vv2fd Жыл бұрын

    Hekima siyo kumponda mhubiri huyu Bali nikifanya utafiti na hata mahojiano naye Najua mnampinga maana hapo hajasoma Bibilia lakini ninani asiejua shetani NI roho na anafanya KAZI mbaya? Je hakuna ulimwengu was roho? Fanyeni reseacrch kabla ya ku crash

  • @bartsebandwari5365

    @bartsebandwari5365

    Жыл бұрын

    Asante umenena vyema kwa sababu mtu akiwa na mungu basi atafahamu kile mtumishi wa mungu anamaanisha

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Жыл бұрын

    ATA mie nimeacha kwenda makaburini

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo3 ай бұрын

    Kama watoto wanaokufa wakiwa bado wadogo je ni mpango wa Mungu

  • @GisubizoTheddy-xg3mh
    @GisubizoTheddy-xg3mh7 ай бұрын

    Mutumishi wa mungu aliye hai chums mulingoti

  • @vickytango5591
    @vickytango55913 ай бұрын

    Nimerudia kusikiliza mh

  • @aristidesvedasto7855
    @aristidesvedasto7855 Жыл бұрын

    Ebwana hatari sana

  • @saidmatikiti1566
    @saidmatikiti1566 Жыл бұрын

    Yesu atusaidie

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki Жыл бұрын

    Jesus😮 hiii ilikuwa hatari

  • @adamoman4966
    @adamoman4966 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @EmmanuelFute-my3mf
    @EmmanuelFute-my3mf Жыл бұрын

    Bg

  • @pastorsdcgom6634
    @pastorsdcgom66344 ай бұрын

    Ya hiyo nikwel mu barikiw

  • @wanyumbanitv1220
    @wanyumbanitv1220 Жыл бұрын

    Mambo mazito

  • @fidesndunguru8605
    @fidesndunguru86057 ай бұрын

    Niombee ili mungu anipe rehema

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 Жыл бұрын

    Kusema ukweli muacheni kanumba apumzike jamani🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️

  • @charlesmapunda5905

    @charlesmapunda5905

    Жыл бұрын

    Anapumzika vipi sasa wakati yeye mwenyewe alisema atakufa na alikua anajua itatokea hivyo? Nyie msio amini mtaamini siku mkifa

  • @user-in6eg5np7l

    @user-in6eg5np7l

    7 ай бұрын

    Aliye waambia ukifa unapumzika ni nani? Matendo yako ndo yataamua upumzike au uendelee kuteseka

  • @manaseliberatus1347

    @manaseliberatus1347

    3 ай бұрын

    Apumzike wapi?

  • @smadon5638
    @smadon56382 күн бұрын

    Huyu mwongo du😂

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 Жыл бұрын

    Mimi sahii niko Saudi Arabia but nikija nitakuwa nakaa tu kanisa juu vitu huwona ni mingi sana paka nachoka na makanisa juu sio yote yanaogea ukweli kabisa

  • @gracewaryoba6863
    @gracewaryoba6863 Жыл бұрын

    aliogopa macho ya binadamu ndo madhara yake hayo....

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    2 ай бұрын

    Ndio hvo .angeaibika kma alivyokuwa anasema😪😪😪😪😪. Hapa mjini Kuna dharahu sana 😪😪😪😪😪

  • @diananaswa4842
    @diananaswa48424 ай бұрын

    Waaaaah.....yesu tuokoe

  • @frankmwinuka3413

    @frankmwinuka3413

    3 ай бұрын

    Yesu si yesu

  • @adventinandyanabo9358
    @adventinandyanabo9358 Жыл бұрын

    Mmm Nimeogopa saana jamani du !

  • @mercykasyoka4007
    @mercykasyoka4007 Жыл бұрын

    Wueh hii ni kweli tuokokeni kiukweli

Келесі