MALKIA WA FREEMASON ALIVYOJISALIMISHA KWA KUHANI MUSA

Пікірлер: 454

  • @yustagodfrey1638
    @yustagodfrey16389 күн бұрын

    Kuhani Kazan but wale usikatishwe tamaa na maneno ya watu mtandao dakika wewe ni kitu la mbinguni Kazan but baba Mungu akupe Marsha marefu sana🎉🎉🎉🎉

  • @MmMm-tt1wi
    @MmMm-tt1wi12 күн бұрын

    Mungu tuepushe na kikombe cha dhambi ukayafute makosa yetu ukatulinde na maovu ya shetani 🙏🙏🙏

  • @MteuleMabuku
    @MteuleMabuku2 жыл бұрын

    Huyo ni pepo lililotoka kuzimu,ana mission maalumu km anavyosema apo ,anaishi km mwanadamu lkn kumbe ni pepo. Wapo wengi wengine tupo nao majumbani lkn kuwajua inahtaji Ueza wa Mungu.

  • @anaeltenga123

    @anaeltenga123

    2 жыл бұрын

    Kwer kabsa

  • @gabrielsaelie8091

    @gabrielsaelie8091

    2 жыл бұрын

    Hamna lolote hao ni upuuzi mtupu ni uwongo wa kufunga. Wanaotumia jina la MUNGU ILI wajipatie fedha

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabsa mapepo yanavaa miili ili kutimiza ajenda ambazo Lucifer amewatuma kuzifanya

  • @yosejoseph790

    @yosejoseph790

    2 ай бұрын

    Najiungamanisha kuokoa familiya yangu mume wangu watoto wangu Mungu nisaidie 🙏okoa maisha yangu

  • @user-wi8og3sv4j

    @user-wi8og3sv4j

    Ай бұрын

    Gabriel we umetoa shilingi ngapi?

  • @gabrielsaelie8091
    @gabrielsaelie80912 жыл бұрын

    Uwongo mwingi ambao wanashindwa kuupangilia vizuri. Manabii wauongo UPUUZI MTUPU

  • @tumainichua962
    @tumainichua9622 жыл бұрын

    Mungu najiunganisha na ngome ya yesu mafarakano ya family yetu yaishe niwe na amani na baba yangu na NDUGU zangu tuwe na mafanikio

  • @penuelmmbaga9487
    @penuelmmbaga94872 жыл бұрын

    Yesu anarudi soon, yaliyofichwa yamefichuliwa. Glory to GOD..kama unadhani shetani haupo kazini,ona. We Mungu naomba rehema kwa hawa watesi wetu in Jesus name

  • @therealvoicechurch6855

    @therealvoicechurch6855

    Жыл бұрын

    Yesu

  • @ashamakokha9588
    @ashamakokha95882 жыл бұрын

    Jamani macho za huyo msichana zinaashiria mengi🤔

  • @anaeltenga123

    @anaeltenga123

    2 жыл бұрын

    Umeonae amekaa kama jini yan macho yake

  • @ashamakokha9588

    @ashamakokha9588

    2 жыл бұрын

    @@anaeltenga123 kabisa

  • @stacyomwaki4988

    @stacyomwaki4988

    2 жыл бұрын

    For real anakaa Shetani,,, macho yake yanakaa nyoka

  • @carenhilary8067
    @carenhilary80672 жыл бұрын

    Hakika Bwana Yesu kristo wewe ni MUNGU MKUU

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa61812 жыл бұрын

    Hallelujah 🔥 mungu wetu ni mkuu,🙏.

  • @constantinennonjela3922
    @constantinennonjela3922 Жыл бұрын

    Huyu bint ni jasiri sana Mungu ashukuriwe mno kwa uponyaji wake namuomba Mungu aibariki na Familia yangu

  • @adisabetty2173
    @adisabetty217311 ай бұрын

    Amiiiina Baba endeleya kazi Mungu Amegutuma nachukuru🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙇🙇🙏🏻🙏🏻🙏🏻🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @safiamani7005
    @safiamani70052 жыл бұрын

    This English speaker is making noise . please can you stop it😧

  • @estasage5506

    @estasage5506

    2 жыл бұрын

    I know. Better to use one language if there is no one to interpret

  • @safiamani7005

    @safiamani7005

    2 жыл бұрын

    @@estasage5506 someone close to the ministry should tell them about this, it has become a very big distraction to the viewer.

  • @lovenessferdinand3664

    @lovenessferdinand3664

    2 жыл бұрын

    😅

  • @itsmgff1117

    @itsmgff1117

    2 жыл бұрын

    That true

  • @samwelerasto7138

    @samwelerasto7138

    2 жыл бұрын

    😂😂🙌🙌🙌

  • @mjasiriamalishupavulailamu7163
    @mjasiriamalishupavulailamu71632 жыл бұрын

    Sio kweli mungu anawaona

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    2 жыл бұрын

    Na wewe pia unaonwa kwa sabab hujui unachokiongea

  • @nuhumwaisanila2217
    @nuhumwaisanila221720 күн бұрын

    Mungu tusaidie hii Dunia tunateseka watoto wadogo wachawi mungu kwani sisi tumefanyaje kwann tumezaliwa tofauti

  • @allyjumaallyjuma692
    @allyjumaallyjuma6922 жыл бұрын

    Uyo malikia Mashallaaah nataka aje kwangu anitafute tuelewane duuh nikimpata hata sijui kuwa nitalala😂😁😢😅Maana kaumbikkaa

  • @mamakenajma3257

    @mamakenajma3257

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @GracePatrick-zc2eb

    @GracePatrick-zc2eb

    17 күн бұрын

    Hauna akili

  • @emmanuelhakizimana6159
    @emmanuelhakizimana6159 Жыл бұрын

    Mungu akupatiye maisha marefu bishop iri uendereye kusayidiyawatu

  • @jonassilveter2415
    @jonassilveter24152 жыл бұрын

    Wabongo wengi hampendi kusali mnapenda miujiza kwahiyo tulieni muone miujiza hiyo

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣😁Waongo sana

  • @blandinatogolai1620

    @blandinatogolai1620

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @kisaagustino3278

    @kisaagustino3278

    2 ай бұрын

    Kwanza katoto haka nikaongo mnoo

  • @Recho-zs6we

    @Recho-zs6we

    2 ай бұрын

    Wewe usiwe mnafki ninan asie penda kumuomba mung na akajibiwa! Kilamtu anapenda kuomba na apewe wewe hauon kamawatu Wana omba hapo

  • @user-wi8og3sv4j

    @user-wi8og3sv4j

    Ай бұрын

    We hupendi miujiza kwani yesu alijulikana kwajili kama sii miujiza?

  • @dinnahsamwel9607
    @dinnahsamwel96072 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 Nimepigwa na kitu kizito ety sema n mtumishi gani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ni Wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan2 жыл бұрын

    Jamani ugo mwengine mpa unajuwa kama hawa wanaongopa mhh mungu nininusuru na utafutaniji wa kinafiki

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    2 жыл бұрын

    Hujui unachokiongea YESU KRISTO akusaidie sana

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Жыл бұрын

    Mwangu umemtafuna amana wewe dada umenikomesha nawewe utakomeshwa ngome ya yesu amina

  • @busindevyote3519
    @busindevyote35192 жыл бұрын

    Ulimwengu huu una mambo.....

  • @mchemargaret3500
    @mchemargaret35002 жыл бұрын

    Iyo tshat pia si nzuri

  • @hodrammwegalawa7480
    @hodrammwegalawa7480 Жыл бұрын

    Nabii unatisha vibaya maana Una ibua. Mambo yalio jivicha baba MUNGU akuzidishie uwishi miaka mingi zaidi

  • @agathakomba9843
    @agathakomba98432 жыл бұрын

    Ooh a great miracles, almighty to GOD

  • @Adrextvirboxtvivochanel

    @Adrextvirboxtvivochanel

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @princesayi3670
    @princesayi36702 жыл бұрын

    Katoka Marekani....mtu anajua kiswahili kizuri kabisaa.?????Kama katoka Tanga😂😂

  • @kellyngogo3319
    @kellyngogo33192 жыл бұрын

    Mmhhh!! Mnatudhalilisha wakristo😏😏

  • @samwa9496

    @samwa9496

    8 күн бұрын

    Uchawi Haina dini wacha wachawi waumbuliwe

  • @frankmushi8892
    @frankmushi88922 жыл бұрын

    Ila jamaniiii c viini macho iviiii mbona mambo nimengi ivii

  • @anaeltenga123

    @anaeltenga123

    2 жыл бұрын

    Mimi na wewe hatu jui ni mungu mwenyewe

  • @angesramazani233
    @angesramazani2332 жыл бұрын

    Dieu est grand !!! Même en RDC il y a des guerres qui ne finissent jamais

  • @justinehassani3299

    @justinehassani3299

    Жыл бұрын

    Vraiment

  • @gaspardkitoko1910

    @gaspardkitoko1910

    Жыл бұрын

    Dieu existe au delà de nos faiblesse 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @gaspardkitoko1910

    @gaspardkitoko1910

    Жыл бұрын

    Dieu n'abandonnera j'aimais son peuple 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💓💓💓💓🏆🏆

  • @BarakaWilson-ni7qu

    @BarakaWilson-ni7qu

    Жыл бұрын

    utukufu kwa bwana , mchungaji

  • @salha2289
    @salha22892 жыл бұрын

    Bado huu dada azidi kuombewa anaonekana kuna hewa fulani hazija mutoka emo.

  • @radhiahoza8106
    @radhiahoza81062 жыл бұрын

    Yani huyu bint na huyo mtumishi na watu wake wote wapo Kazini nchi zote hizo ndo malkia utafutwe Tanzania

  • @blandinatogolai1620

    @blandinatogolai1620

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂haki mm sielew kabisa hii kwann wao wanaona 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kaz kaz

  • @bonifaceetyang4453

    @bonifaceetyang4453

    Жыл бұрын

    Wacheni kudharau nemo lamungu

  • @fidhamrwahula1790

    @fidhamrwahula1790

    Жыл бұрын

    Malikia ashindwe kuwa Beyonce awe huyu Binti... Mmmmh.

  • @faithfaith-zr6gz

    @faithfaith-zr6gz

    Жыл бұрын

    Tulia hivyohivyo mpendwa, Na kama ujui kuhusu biblia jinyamazie, Au kasome mwanzo mwisho utakutana na hayo mambo, Ukumbuke malkia wa anga yupo na mtandao wake awalali.

  • @faithfaith-zr6gz

    @faithfaith-zr6gz

    Жыл бұрын

    Uenda hata kwenu wapo wenye vyeo hivyo, Ila ipo ck mtaelewa kuwa BIBLE aijawahi kosea...

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry6 күн бұрын

    M,hhhu Uwongo mtupu

  • @mourinisiy5567
    @mourinisiy55672 жыл бұрын

    Amen amen good work more grace

  • @janetkuria7608

    @janetkuria7608

    2 жыл бұрын

    Mungu tusaidie na ututa ututakaze asanti,,

  • @mwendwawilfred6613

    @mwendwawilfred6613

    2 жыл бұрын

    @@janetkuria7608nicest VC mjnbffftuuu.

  • @pendomalisa9308
    @pendomalisa93082 жыл бұрын

    Mbona mnachanganya sauti hatuwasikii vizuri

  • @estasage5506

    @estasage5506

    2 жыл бұрын

    Hata mimi niko confused because this is not interpretation but noises. Sauti zimechanganywa.

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    Sasa hapa unataka kumsikiliza uongo? Uongo mtupu hapo

  • @rorotv4872
    @rorotv48722 жыл бұрын

    Wallai dunia imeisha

  • @user-hp4mo3vv7v
    @user-hp4mo3vv7v Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana kuhani musa

  • @lilianselebo4128
    @lilianselebo41282 жыл бұрын

    Ee mwenyezi mungu tunakuomba uzidi kumpa uhai na nguvu mtumishi wako kuhan musa Richard mwacha amen

  • @monikajuma9012

    @monikajuma9012

    2 жыл бұрын

    Ee mungu wa mdhabahu nifunge nanaomba amani kwenye doa yangu na watoto wangu

  • @Adrextvirboxtvivochanel

    @Adrextvirboxtvivochanel

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-el9pf5kv7y
    @user-el9pf5kv7y Жыл бұрын

    Hv kweli au au biashara..cjaelewa sn bado namwomba Mungu anifunulie haya

  • @pastordan8192
    @pastordan81927 ай бұрын

    Mungu atusaidie

  • @FrankMkome-df9bn
    @FrankMkome-df9bnАй бұрын

    mungu akubariki sana kohani mussa uishi miaka mingi

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv5 ай бұрын

    Yesu Simama Imara Ili Jeshi La shetani Lifie Kuzimu.

  • @experiuskamugisha6863
    @experiuskamugisha68632 жыл бұрын

    Ukisema kuwa haya ni maigizo je Yohana 14 ;12 ..je hilo neno lilikomea hapo? Au tumepewa ili litimie ? Hivyo tunatakiwa kujua tunauwezo wakufanya zaidi yayale ambozo yesu hakuyafanya

  • @nyashangondya3660

    @nyashangondya3660

    Жыл бұрын

    Amina mtumishibwangu maana watu wanatumia mazoea kuona kila kit n maigizi ko wanahis mungu wetu hana uwezo

  • @rehemamwakinyaka3167
    @rehemamwakinyaka31672 жыл бұрын

    Yani Uyu mkalimani hafai kabisa Yani auto yake ipo juu Sana mpaka anakela

  • @irenekidada3327

    @irenekidada3327

    Жыл бұрын

    😂🔥

  • @salimmohammad3627
    @salimmohammad36272 жыл бұрын

    Daddy please pray for me my name kikoko polepole Salomon

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Жыл бұрын

    Aminaaa Yesu ni bwana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92182 жыл бұрын

    PARADISE IKO TANZANIA. BWANA MUNGU ATUKUZWE SANAA.

  • @kellyngogo3319

    @kellyngogo3319

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🏃🏃

  • @angelamos2261

    @angelamos2261

    2 жыл бұрын

    Uongo mtupu

  • @ramadhanimsangi8292
    @ramadhanimsangi82922 жыл бұрын

    dar kweli kuhan musa ni shida nakukubali san

  • @naomidamian8737
    @naomidamian87378 ай бұрын

    Nabarikiwa sanaa

  • @nellyingutia3527
    @nellyingutia3527 Жыл бұрын

    Mungu akubariki kuhani niombee mume wangu ahache pombe alirogwa

  • @Adrextvirboxtvivochanel

    @Adrextvirboxtvivochanel

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga438216 күн бұрын

    Sijawahi kuona mutu amekamatwa ameiba alafu akubali ameiba hivyo hivyo hata mchawi siyo rahisi kukubali yeye ni mchawi

  • @reneejollie5117
    @reneejollie51172 жыл бұрын

    The almighty God he will always be the king of all kings ur glory be glorified in all

  • @deborabrown2114
    @deborabrown21142 жыл бұрын

    Jamani ww unaeongea kiingereza unatuchanganya

  • @user-zi1vj7gs8h
    @user-zi1vj7gs8h Жыл бұрын

    Yani mungu tuzidi kumuomba mungu kla siku

  • @SindimwoCesile
    @SindimwoCesile19 күн бұрын

    Muteure uwemacho

  • @emmanuelfredinand3628
    @emmanuelfredinand362813 күн бұрын

    Mwogopeni Mungu jamani,anawaona kwa mambo yenu

  • @joshuamakota6714
    @joshuamakota6714 Жыл бұрын

    Kajisallimisha kwa kuhani badala ya Mungu yani mnamwabudu mtu hapo wazi wazi

  • @elesiathoha8586

    @elesiathoha8586

    10 ай бұрын

    Sio wanamwabudu mtu , MUNGU hufanya kazi akiwa ndani ya mtu hivyo ni MUNGU ndani ya huyo mtumishi

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    10 ай бұрын

    @@elesiathoha8586 nani kapewa utukufu hapo nani kasimama katika nafasi ya ukubwa hapo Kwann usisema ajisalimisha kwa Mungu ? Makosa ya uandishi basi tuseme.

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala19372 жыл бұрын

    Na siyo kila MTU anaweza kuwa MKALIMANI . Huyu mkalimani anapiga zogo tu na anapotosha

  • @irenepaschal8539

    @irenepaschal8539

    2 жыл бұрын

    Me ananikwaz Bora anyamaze

  • @neemamgaya439
    @neemamgaya4392 жыл бұрын

    Ameni

  • @uchebechebe8653
    @uchebechebe86532 жыл бұрын

    Hakuna watu wako serious kwenye kuigiza Kama Wanawake😒Maana wao kwa siku wanabadirika mara sabau ....lazima wengi wapigwe

  • @adamslyo3089
    @adamslyo30892 жыл бұрын

    Mtumishi wa mungu naitwa rehema kati ya watoto kumi na moja naomba uniombee mimi na ndugu zangu na wazazi wangu tuna tezeka na mathabao ya familia baba nisaidie

  • @Adrextvirboxtvivochanel

    @Adrextvirboxtvivochanel

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @tumainichua962
    @tumainichua9622 жыл бұрын

    Asante yesu wa ngomeni

  • @adveraruhere2393
    @adveraruhere2393 Жыл бұрын

    Huyo anayetafsiri anapiga kelele ushuhuda hausikikii

  • @claramwanganikani7069
    @claramwanganikani70692 жыл бұрын

    Amen

  • @beatricedea8485
    @beatricedea84852 жыл бұрын

    Mungu tunusuru

  • @zenahdallactv1799
    @zenahdallactv17992 жыл бұрын

    Hahahahahahaha acheni mikwara bana,

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Жыл бұрын

    Kuhani hakuwezi mchawi Wala freemason

  • @lilianselebo4128
    @lilianselebo41282 жыл бұрын

    Ee mungu tunakuomba uweze kumpa nguvu mtumishi wako kuhani musa Richard mwacha na makuhani wote wa pale ngome ya yesu kristo kimara tembon kwa majina naitwa reyma Khatib zuberi natokea kimara mwisho

  • @zubedarichard2311

    @zubedarichard2311

    Жыл бұрын

    Jmn nahitaji kwenda Hapo Jmn

  • @rispathequeen
    @rispathequeen2 жыл бұрын

    Mtafusri wa kingeleza anangoja kesha anaelezea too much distracted voice one at a time,thank me later.

  • @zaipazzi9490
    @zaipazzi94902 жыл бұрын

    Mimi kuna vitu vingi sana vya kweli nilikuwa nipigia katika maono na nishaenda kwenye nyumba za dini na kukutana na wausika ili kupata majibu ya maono yangu. Nilikuwa nikijipa majibu ya maono yangu lakini majibu ya peka yangu hayatoshi lakini bado sijachoka nitawatafuta kwa mara nyingine

  • @juliahponga2620
    @juliahponga26202 жыл бұрын

    Huyo anayerudia Russia anatuharibia

  • @kazuutzkajuna9627
    @kazuutzkajuna96272 жыл бұрын

    Yesu wangome anatenda kaz kubwa kajuna nip mbez

  • @hynesskatengu1870
    @hynesskatengu18702 жыл бұрын

    Hakuna kitu hapo Jamani Mungu naomba jidhihirishe kwa Hawa watu

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    2 жыл бұрын

    Ajidhihirishe kvp

  • @sarahantony3319
    @sarahantony33192 жыл бұрын

    Mungu tunaomba macho ya rohoni

  • @HappynessMakelesiya-ei3cj

    @HappynessMakelesiya-ei3cj

    Жыл бұрын

    Mungu atuzidishie macho ya rohon

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv7292 жыл бұрын

    Siyo lazima kutumia Visa vya kutunga kuihubiri injili, pesa zitawapeleka jehanamu

  • @PPOJ

    @PPOJ

    2 жыл бұрын

    Life is spiritual

  • @godlivaemmanuel6137
    @godlivaemmanuel61372 жыл бұрын

    Bwana naomba nifungulie faham zangu

  • @yustinahchitema4724
    @yustinahchitema47242 жыл бұрын

    Huyo mtafsiri angenyamaza wakati wa shuhuda

  • @neemajohn1272
    @neemajohn12722 жыл бұрын

    Kwamba alianza tangu tumbon mungu tusaidie...kama umepangwa subir pepo yako utaikuta

  • @manroja6232

    @manroja6232

    2 жыл бұрын

    Mungu akusameee sna masikn so wote wanapangwa 🙏🙏🙏🙏

  • @joycemshai2452
    @joycemshai2452 Жыл бұрын

    Huyo ana ongea na kizungu ana tutatiza...

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405424 күн бұрын

    HUONGO USIOFANANA NA UKWELI KWA KUPEWA NYUMBA YA KUISHI MUĴUE DUNIA INAMWISHO NA MOTO UPO SIKU YA MWISHO WA DUNIA 😢😢😢😢

  • @anethkiritha6933
    @anethkiritha6933 Жыл бұрын

    Yesu wa ngomeni azidi kuabudiwa na kutuokoa Amen 🙏

  • @user-vt3mo2gy1t

    @user-vt3mo2gy1t

    10 ай бұрын

    Ameen

  • @masevelaeva8407
    @masevelaeva84072 жыл бұрын

    Mawnafunzi wangu Mungu akufungue Kwa jina la Yesu Alie hai

  • @dionisiabaynit2916

    @dionisiabaynit2916

    Жыл бұрын

    Pole mwalimu,walimu tunakadi Yesu atulinde

  • @Adrextvirboxtvivochanel

    @Adrextvirboxtvivochanel

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethmwinuka2859

    @elizabethmwinuka2859

    2 күн бұрын

    Pole mwalimu

  • @kiri5807
    @kiri58072 жыл бұрын

    serekali imkamate huyu dada imuweke ndani aweze kuthibitisha anayoyasema km hatosema kapangiwa aseme hayo .

  • @natrinemweha8625

    @natrinemweha8625

    2 жыл бұрын

    Unasemaje wewe??...Hiyo ni mambo ya kiroho, omba Mungu akufungue macho ya kiroho.

  • @kiri5807

    @kiri5807

    2 жыл бұрын

    @@natrinemweha8625 Hakuna lolote ni usanii tu ina maana kuna watu wanaamini ? 😁😁😁😁

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala19372 жыл бұрын

    Jamani shuhuda hizi zina ukweli au za kugushi? Naomba tuwe makini

  • @adjanihabose1586

    @adjanihabose1586

    2 жыл бұрын

    Ata mimi sikubali Mambo Ayo,tumuwachiye mungu.

  • @jenniffermauta9659
    @jenniffermauta96592 жыл бұрын

    Tumtumikie mungu

  • @makwayabeatusi4285
    @makwayabeatusi42852 жыл бұрын

    Mungu mwema

  • @abouassifmabrouk8110
    @abouassifmabrouk81102 жыл бұрын

    🤩 🤩 🤩 🤩 Uongo mtupu

  • @davidfrancis7325
    @davidfrancis73252 жыл бұрын

    Milioni Naaaa milioni naaaaaa 😆😆😆😆

  • @albelikane7005
    @albelikane70052 жыл бұрын

    Mungu niwamaajabu Kwl sifa na utukufu ni wako Mungu from 🇧🇮

  • @ibrahimdavid4584

    @ibrahimdavid4584

    2 жыл бұрын

    Lov u

  • @dr.benherbals

    @dr.benherbals

    Жыл бұрын

    Mungu wetu mwaminifu

  • @dr.benherbals

    @dr.benherbals

    Жыл бұрын

    Ataendelea kuharibu maanga yote yakichawi

  • @johnkinoti9182
    @johnkinoti91822 жыл бұрын

    Naeza pata number yako ajy Postor?

  • @georgekalalu1310
    @georgekalalu13102 жыл бұрын

    Haleluya

  • @amanitmakese9966
    @amanitmakese9966 Жыл бұрын

    Mungu wewe ndo Alfa na omega nawewe ndo mwanzo na mwisho.

  • @zilpahassan216
    @zilpahassan2162 жыл бұрын

    Jamani mumuogope mungu nawasihi Hilo cio mtu au binadamu wa kuchezea chezea nawapa pole kwa hilo

  • @hajikhatib8840

    @hajikhatib8840

    2 жыл бұрын

    Yaan alijijua Tangia yupo tumboni kwa mama yake?? Mhhh hii ni zakuambiwa changanya na zako ( kikwete alisema)

  • @husseindzimwenga7567
    @husseindzimwenga75672 жыл бұрын

    Maisha ni magumu

  • @gracemsigallah2363
    @gracemsigallah23632 жыл бұрын

    Amenii mungu akusaidie

  • @doramkongwa7177

    @doramkongwa7177

    Жыл бұрын

    ameni

  • @wilsonmkumbo

    @wilsonmkumbo

    Жыл бұрын

    Mmmmh jamani dunia haipo

  • @mnyama8
    @mnyama8 Жыл бұрын

    Shida nnayopataga Mimi kwann anatumia nguvu nyingi kutengeneza mazungumzo yanayoelekea kumpa yeye sifa zaid kuliko watumishi wengine ?hapa ndo imani yangu na hawa wanaojiita manabii hunitoka ?kuna point gan ya kujiona uko vizur kuliko wengine ?tofaut yake na wafanyabiashara wengine wa kidunia ni IPI ?

  • @mtekelechapemba5501
    @mtekelechapemba5501 Жыл бұрын

    Unayetafsiri anachoongea huyo Dada unavuruga hatusikia anachokiongea, ungeongea kwa sauti ya chini kidogo

  • @eliasmushi1098
    @eliasmushi1098 Жыл бұрын

    Duuuh kwenye madactar nimeiishiwa poz

  • @salmaeunicekokiarbogast4678
    @salmaeunicekokiarbogast46782 жыл бұрын

    Mtumishi wa mungu naomba unisaidie please

  • @angelosmund7058
    @angelosmund70582 жыл бұрын

    Amina

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Жыл бұрын

    Huyu kauwa hata mwanangu mchanga pale amana ntamshitakia kwa mungu kupitia kuhani

  • @florasauli9030
    @florasauli90302 жыл бұрын

    Yesu wa ngomeni fichua kwa jina la yesu kristo wa nazaret aliye hai ameen