MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.

Пікірлер: 520

  • @peterkarimu00
    @peterkarimu009 ай бұрын

    PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.

  • @catherineawinja7417

    @catherineawinja7417

    9 ай бұрын

    Asante

  • @rakaieva5472

    @rakaieva5472

    9 ай бұрын

    Oho ok Asante sana kwa ufafanuzi nilikuwa najiswali kama piko ni nini. Mubarikiwe sana Watumishi wa Mungu.

  • @BerylSeer1

    @BerylSeer1

    9 ай бұрын

    Piko kama ni dye si Kuna rangi tofauti, sio tu nyeusi pekee.

  • @nancymerinashaidi6525

    @nancymerinashaidi6525

    9 ай бұрын

    Ubarikiwe

  • @nancymerinashaidi6525

    @nancymerinashaidi6525

    9 ай бұрын

    Jaman up wap

  • @daudindelembi6206
    @daudindelembi62065 ай бұрын

    Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.

  • @annethiongo6899
    @annethiongo68998 ай бұрын

    Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael19569 ай бұрын

    Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko44005 ай бұрын

    Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.

  • @richmwaij3368
    @richmwaij336814 күн бұрын

    Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana

  • @janewaititu8051
    @janewaititu80512 ай бұрын

    I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias52925 ай бұрын

    Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina53819 ай бұрын

    Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k7 ай бұрын

    Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu

  • @cyprianmwasanga6041
    @cyprianmwasanga60419 ай бұрын

    Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.

  • @angle3600
    @angle36009 ай бұрын

    Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia

  • @christinashaban7262

    @christinashaban7262

    9 ай бұрын

    Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    8 ай бұрын

    Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu

  • @DominaPatrick-ri8sc
    @DominaPatrick-ri8sc5 ай бұрын

    Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko44008 ай бұрын

    Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.

  • @user-mb4lt2cx7j
    @user-mb4lt2cx7j8 ай бұрын

    😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤

  • @user-du2gt8ff1r
    @user-du2gt8ff1r9 ай бұрын

    Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen

  • @user-qp6bc2fu6d
    @user-qp6bc2fu6d9 ай бұрын

    Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU

  • @fortunadafura
    @fortunadafura5 ай бұрын

    Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏

  • @doricemrema2177
    @doricemrema21779 ай бұрын

    Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe

  • @MamaIbra-kx4hm
    @MamaIbra-kx4hm7 ай бұрын

    Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo3 ай бұрын

    Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila Mungu nisaidie niwe mtii A

  • @user-dv4ch3sy8l
    @user-dv4ch3sy8l8 ай бұрын

    Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele

  • @consolataanyambililemwakib1111
    @consolataanyambililemwakib11119 ай бұрын

    Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki

  • @anithasanga361
    @anithasanga3615 ай бұрын

    Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz5 ай бұрын

    Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya

  • @user-eq4hs7xq8u
    @user-eq4hs7xq8u9 ай бұрын

    Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema

  • @mercykibunguchi9581
    @mercykibunguchi95819 ай бұрын

    Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi

  • @justinekalunga8488
    @justinekalunga84889 ай бұрын

    Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl9 ай бұрын

    Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu

  • @ErneusMlelwa-vk3pu
    @ErneusMlelwa-vk3pu8 ай бұрын

    Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie

  • @user-wy6cs8kj4y
    @user-wy6cs8kj4y9 ай бұрын

    Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe

  • @RachelThomas-ox3jr
    @RachelThomas-ox3jr9 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.

  • @ernestmshana3752
    @ernestmshana37529 ай бұрын

    Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.

  • @Farijimvela-fp8jy
    @Farijimvela-fp8jy9 ай бұрын

    Amen watumishi wa Mungu

  • @felicitemihungo3600
    @felicitemihungo36009 ай бұрын

    Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba. Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.

  • @RebekaMwangomale
    @RebekaMwangomale9 ай бұрын

    Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar50949 ай бұрын

    Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe

  • @user-tx4ze8kq3x
    @user-tx4ze8kq3x9 ай бұрын

    Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu

  • @bajkljs9058
    @bajkljs90588 ай бұрын

    AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤

  • @user-yj2dl3cr5o
    @user-yj2dl3cr5o7 ай бұрын

    Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga

  • @user-ot7kw4kl2j
    @user-ot7kw4kl2j9 ай бұрын

    Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe

  • @elizabetheliza4751
    @elizabetheliza47519 ай бұрын

    Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama

  • @user-dc2bt3hy7s
    @user-dc2bt3hy7s5 ай бұрын

    Asante sana mama Kwa ushuhuda

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb8 ай бұрын

    Asante YESU KRISTO kutufunulia haya

  • @NshimirimanaGerardine-xo3ht
    @NshimirimanaGerardine-xo3ht8 ай бұрын

    Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha

  • @user-vw4te3lq5x
    @user-vw4te3lq5x9 ай бұрын

    Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg9 ай бұрын

    Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.

  • @user-dt8ob6yp9n
    @user-dt8ob6yp9n6 ай бұрын

    Ameen Ameen Ameen in jesus name mama ubarikiwe sana pamoja n kizazi chako mim ni mkenya acha Mungu aitwe Mungu

  • @user-rs3ht5wm8p
    @user-rs3ht5wm8p4 ай бұрын

    Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana

  • @DiarraLimited-nt2th
    @DiarraLimited-nt2th8 ай бұрын

    Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana

  • @user-bs2cw8xn6h
    @user-bs2cw8xn6h5 ай бұрын

    Mungu atusaidie sana

  • @maryeer6392
    @maryeer63929 ай бұрын

    Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.

  • @abigaelwamboi8149
    @abigaelwamboi81498 ай бұрын

    Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu

  • @mmangasalum2195
    @mmangasalum21957 ай бұрын

    Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea

  • @joycelongo1213
    @joycelongo12138 ай бұрын

    Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela34859 ай бұрын

    Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51939 ай бұрын

    Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu

  • @tumsiimekente1656
    @tumsiimekente16569 ай бұрын

    Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.

  • @julianawairimu801
    @julianawairimu8019 ай бұрын

    Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa

  • @user-xy7py7up5g
    @user-xy7py7up5g6 ай бұрын

    Asante Yesu

  • @user-pv3nt6wd3y

    @user-pv3nt6wd3y

    4 ай бұрын

    asante yesu

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine82965 ай бұрын

    Mungu atuurumie

  • @user-sf1xb9kz5n
    @user-sf1xb9kz5n5 ай бұрын

    Amina sana dada yangu umenigusa

  • @gobregobre9964
    @gobregobre99649 ай бұрын

    Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona

  • @annijulius4953
    @annijulius49539 ай бұрын

    Wamama na wa baba wengi wanapaka piko ili kuficha mvi, tuache na Mungu aturehemu. Mithali 16:31 inasema kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu.

  • @rerisamba

    @rerisamba

    9 ай бұрын

    Mimi nilikua napaka hina sikua najua nikaona mtumishi kutoka kenya kwa promover tv akatufunza nikawacha

  • @user-is9gg5cg1n
    @user-is9gg5cg1n8 ай бұрын

    Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi50857 ай бұрын

    Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito

  • @user-wy2bz6tr9s
    @user-wy2bz6tr9s9 ай бұрын

    Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai

  • @user-vz2mu8ze9u
    @user-vz2mu8ze9u9 ай бұрын

    Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake

  • @deooisso-wv3ex
    @deooisso-wv3ex9 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie

  • @user-iz4lp3yd9c
    @user-iz4lp3yd9c9 ай бұрын

    Amina sana mtumishi wa Mungu

  • @RebekaShumbi
    @RebekaShumbi9 ай бұрын

    Amen ubarikiwe sana 29:50

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf9 ай бұрын

    Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe

  • @user-rt2fr3ri6d
    @user-rt2fr3ri6d9 ай бұрын

    Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu

  • @neemamwakasaje2801

    @neemamwakasaje2801

    8 ай бұрын

    Amen

  • @ElizaMakaranga
    @ElizaMakaranga22 күн бұрын

    Amena mama mungu anisaidie na mm

  • @salomemmari3880
    @salomemmari38809 ай бұрын

    Amen ubarikiwe mama

  • @user-jq2ru8kf8x
    @user-jq2ru8kf8x9 ай бұрын

    Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie

  • @dekarisaomiro9009
    @dekarisaomiro90099 ай бұрын

    Asante mtishi wa Mungu kutuelimmisha kwani hata mimi na uzee wangu natumia rangi kufanya nywele nyeusi, Mungu turehemu na tunaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu ubarikiwe sana mtumishi

  • @evelinarwabuhaya1803

    @evelinarwabuhaya1803

    9 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mama Mungu twakuomba uturehemu

  • @margretokuku8220

    @margretokuku8220

    9 ай бұрын

    Amen. Mungu. Akubariki

  • @PraksedaKweka

    @PraksedaKweka

    9 ай бұрын

    Haya jamani

  • @alicengumi9488

    @alicengumi9488

    6 ай бұрын

    Amen Amen Amen

  • @UpendoNicholaus
    @UpendoNicholaus5 ай бұрын

    Amina kubwa sana

  • @reginahghati160
    @reginahghati1606 ай бұрын

    Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu

  • @elizakituzaleyaapoline5283
    @elizakituzaleyaapoline52839 ай бұрын

    Mungu akubariki

  • @user-gh2kk2et5r
    @user-gh2kk2et5r9 ай бұрын

    mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen

  • @hellen9467
    @hellen94676 ай бұрын

    Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu

  • @user-hs8zv5ws9s
    @user-hs8zv5ws9s9 ай бұрын

    Asante Mungu kwa ujumbe huu

  • @FatimahAlshehri-gt1gj
    @FatimahAlshehri-gt1gj8 ай бұрын

    Amen mungu atusamehe kabisa

  • @EmmyKanjanja-qi1vl
    @EmmyKanjanja-qi1vl9 ай бұрын

    Poleni msioamini ushuhuda huu,

  • @user-xt3gb3ei7j
    @user-xt3gb3ei7j9 ай бұрын

    Mungu naomba unihurumie mm maana nilikua sijui .lakin kwaushuuda huu naogopa naogopa naogopa naomba Mungu unihurumie nikaione mbingu

  • @bahatikilingo7176
    @bahatikilingo71765 ай бұрын

    Ameeni ameeni mungu aturehemu tusimame ktk kristo yesu

  • @KeziaAbel
    @KeziaAbel6 ай бұрын

    Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake

  • @RachelKihombo-qh1jb
    @RachelKihombo-qh1jb6 ай бұрын

    Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata

  • @chumamasaka
    @chumamasaka8 ай бұрын

    Amina tutatubu ujumbe mzuri

  • @jeannealmasi9569
    @jeannealmasi95697 ай бұрын

    Asante sana ubari kiwe sana

  • @user-rn9ep9mo4k
    @user-rn9ep9mo4k5 ай бұрын

    Amen dada kwa ujumbe

  • @MasamElisha-zu5ve
    @MasamElisha-zu5ve8 ай бұрын

    Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia

  • @user-dp8qj1gi9x
    @user-dp8qj1gi9x5 ай бұрын

    mungu aturehem wamama hakika kwa mungu mimi ni mdhambi na mungu akubariki sana mama kwa hushuuda

  • @StrongWomen-ob8yq
    @StrongWomen-ob8yq9 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake

  • @user-fy9zl1oq7x
    @user-fy9zl1oq7x9 ай бұрын

    Aisee!! Mungu atusaidie wa mama na wadada tunapenda sana mapambo

  • @luthgadeschrispin6554

    @luthgadeschrispin6554

    9 ай бұрын

    Hongera jamani mch kumbe kuna kanisa takatifu la Mungu kibondo naamini kuna ck litakuwepo hapa morogoro mjini natamani sana

  • @ChausikuMarko-mt3gl

    @ChausikuMarko-mt3gl

    9 ай бұрын

    Mamy MUNGU wa mbinguni akubariki ,,

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa2999 ай бұрын

    Aaaaa na MUNGU ANISAIDIE MM NI MWENYE DHAMBI TU NA PIA HUU NI USHUUDA WA KUNITAKASA MM AAAA YESU UNANIPENDA MNO

  • @patriciandeda2647
    @patriciandeda26479 ай бұрын

    Asante mama Kwa ushuhuda ya ukweli na mwenye maskio asikie.

  • @user-pf6uo9qm8j
    @user-pf6uo9qm8j8 ай бұрын

    Mtumishi wa Mungu asnte kwa ujumbe huu wa kufikirika sana lkn naomba niseme jambo fulani hivi. Swala la mapambo yote na chakula HAYATUZUII KUINGIA MBINGUNI Wapendwa. Lkn pia kinacholeta shida hapo katika imani ni kuyapa mapambo kipaombele zaidi kuliko Mungu hiyo ndo dhmbi inakuja hapo. Mfano 1Petr 3:2-5 Petro alikimaanisha hapo ni kutokutanguliza mapambo mbele bali anataka waipambe miyoyo yao zaidi kuliko mapambo ya nje. Mpendwa unaposema piko. Cheni nk dhambi sio kabisa ebu tuhubirini injili ya kweliii

  • @lucywilson5875
    @lucywilson58759 ай бұрын

    Hii ni kweli kabisa, nilikuwa nikijua kusuka rasta na mawigi ndio dhambi, basi siku moja nikaenda kunyoa maana nilishaachana na manywele yabandia, nilipomaliza kunyoa kinyozi alinishawishi kuniweka piko ili nipendeze, nilisita sana nikamwambia mimi sibadilishi nywele zangu maana nidhambi, akaniambia hapana dada hii sio dhambi nitakuweka kwa mbali tu utapendeza sana, basi bila kusikiliza sauti iliyokuwa ikisita nikakubali. Usiku nilipolala nikaota niko kanisani na kanisa lote lilikuwa likinishangaa ....yaani nilikuwa nimesuka marasta kichwani mwangu nakuingia Kanisani, watu wakawa wananishangaa hata huyu amesuka rasta wakati anajua nimachukizo kwa Mungu? Asubuhi nilipoamka nikawa naitafakari ile ndoto, nikasikia sauti masikioni mwangu ikiniambia anayepaka rangi nywele hana tofauti na anayesuka rasta!!!!! Aisee Jumapili iliyofuata nilikwenda mbele yakanisa kuomba msamaha nakutubu maana nilimkosea Mungu kwakujibadilisha vile alivyoniumba. Bwana Yesu atusaidie sana tutembee katika njia zake Amen.

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    9 ай бұрын

    Una heri nyingi

  • @ZeraKisonga-jx3zv

    @ZeraKisonga-jx3zv

    9 ай бұрын

    Naomba namba yako

  • @ZeraKisonga-jx3zv

    @ZeraKisonga-jx3zv

    9 ай бұрын

    Naomba namba yako

  • @tinnahagustinolyelu4247

    @tinnahagustinolyelu4247

    9 ай бұрын

    Kwani dhambi Ni hiyo tu mbona zipo za aina nyingi Mungu atusaidie saana

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    9 ай бұрын

    @@tinnahagustinolyelu4247 dhambi ni dhambi