MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.
Жүктеу.....
Пікірлер: 520
@peterkarimu009 ай бұрын
PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.
@catherineawinja7417
9 ай бұрын
Asante
@rakaieva5472
9 ай бұрын
Oho ok Asante sana kwa ufafanuzi nilikuwa najiswali kama piko ni nini. Mubarikiwe sana Watumishi wa Mungu.
@BerylSeer1
9 ай бұрын
Piko kama ni dye si Kuna rangi tofauti, sio tu nyeusi pekee.
@nancymerinashaidi6525
9 ай бұрын
Ubarikiwe
@nancymerinashaidi6525
9 ай бұрын
Jaman up wap
@daudindelembi62065 ай бұрын
Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.
@annethiongo68998 ай бұрын
Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.
@aidaraphael19569 ай бұрын
Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.
@charleskuyeko44005 ай бұрын
Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.
@richmwaij336814 күн бұрын
Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana
@janewaititu80512 ай бұрын
I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana
@jescadeogratias52925 ай бұрын
Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka
@leahenockmrina53819 ай бұрын
Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu
@user-rc1dp6ux3k7 ай бұрын
Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu
@cyprianmwasanga60419 ай бұрын
Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.
@angle36009 ай бұрын
Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia
@christinashaban7262
9 ай бұрын
Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya
@LucyKapinga-fg4dk
8 ай бұрын
Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu
@DominaPatrick-ri8sc5 ай бұрын
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
@charleskuyeko44008 ай бұрын
Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.
@user-mb4lt2cx7j8 ай бұрын
😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤
@user-du2gt8ff1r9 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen
@user-qp6bc2fu6d9 ай бұрын
Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU
@fortunadafura5 ай бұрын
Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏
@doricemrema21779 ай бұрын
Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe
@MamaIbra-kx4hm7 ай бұрын
Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu
@JemaMbwilo3 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila Mungu nisaidie niwe mtii A
@user-dv4ch3sy8l8 ай бұрын
Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele
@consolataanyambililemwakib11119 ай бұрын
Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki
@anithasanga3615 ай бұрын
Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian
@RubaR-nr5wz5 ай бұрын
Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya
@user-eq4hs7xq8u9 ай бұрын
Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema
@mercykibunguchi95819 ай бұрын
Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi
@justinekalunga84889 ай бұрын
Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.
@rebecca-nj6wl9 ай бұрын
Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu
@ErneusMlelwa-vk3pu8 ай бұрын
Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie
@user-wy6cs8kj4y9 ай бұрын
Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe
@RachelThomas-ox3jr9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.
@ernestmshana37529 ай бұрын
Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.
@Farijimvela-fp8jy9 ай бұрын
Amen watumishi wa Mungu
@felicitemihungo36009 ай бұрын
Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba. Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.
@RebekaMwangomale9 ай бұрын
Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi
@kotadapotar50949 ай бұрын
Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe
@user-tx4ze8kq3x9 ай бұрын
Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu
@bajkljs90588 ай бұрын
AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤
@user-yj2dl3cr5o7 ай бұрын
Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga
@user-ot7kw4kl2j9 ай бұрын
Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe
@elizabetheliza47519 ай бұрын
Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama
@user-dc2bt3hy7s5 ай бұрын
Asante sana mama Kwa ushuhuda
@JudithElias-ig5nb8 ай бұрын
Asante YESU KRISTO kutufunulia haya
@NshimirimanaGerardine-xo3ht8 ай бұрын
Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha
@user-vw4te3lq5x9 ай бұрын
Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu
@VioletNamz-tq4tg9 ай бұрын
Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.
@user-dt8ob6yp9n6 ай бұрын
Ameen Ameen Ameen in jesus name mama ubarikiwe sana pamoja n kizazi chako mim ni mkenya acha Mungu aitwe Mungu
@user-rs3ht5wm8p4 ай бұрын
Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana
@DiarraLimited-nt2th8 ай бұрын
Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana
@user-bs2cw8xn6h5 ай бұрын
Mungu atusaidie sana
@maryeer63929 ай бұрын
Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.
@abigaelwamboi81498 ай бұрын
Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu
@mmangasalum21957 ай бұрын
Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea
@joycelongo12138 ай бұрын
Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏
@aloycesilwela34859 ай бұрын
Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana
@liesharehema51939 ай бұрын
Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu
@tumsiimekente16569 ай бұрын
Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.
@julianawairimu8019 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa
@user-xy7py7up5g6 ай бұрын
Asante Yesu
@user-pv3nt6wd3y
4 ай бұрын
asante yesu
@rebekaadorphine82965 ай бұрын
Mungu atuurumie
@user-sf1xb9kz5n5 ай бұрын
Amina sana dada yangu umenigusa
@gobregobre99649 ай бұрын
Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona
@annijulius49539 ай бұрын
Wamama na wa baba wengi wanapaka piko ili kuficha mvi, tuache na Mungu aturehemu. Mithali 16:31 inasema kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu.
@rerisamba
9 ай бұрын
Mimi nilikua napaka hina sikua najua nikaona mtumishi kutoka kenya kwa promover tv akatufunza nikawacha
@user-is9gg5cg1n8 ай бұрын
Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤
@jacquelinelukambuzi50857 ай бұрын
Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito
@user-wy2bz6tr9s9 ай бұрын
Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai
@user-vz2mu8ze9u9 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake
@deooisso-wv3ex9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie
@user-iz4lp3yd9c9 ай бұрын
Amina sana mtumishi wa Mungu
@RebekaShumbi9 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana 29:50
@AmerdaKavishe-pu3cf9 ай бұрын
Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe
@user-rt2fr3ri6d9 ай бұрын
Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu
@neemamwakasaje2801
8 ай бұрын
Amen
@ElizaMakaranga22 күн бұрын
Amena mama mungu anisaidie na mm
@salomemmari38809 ай бұрын
Amen ubarikiwe mama
@user-jq2ru8kf8x9 ай бұрын
Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie
@dekarisaomiro90099 ай бұрын
Asante mtishi wa Mungu kutuelimmisha kwani hata mimi na uzee wangu natumia rangi kufanya nywele nyeusi, Mungu turehemu na tunaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu ubarikiwe sana mtumishi
@evelinarwabuhaya1803
9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama Mungu twakuomba uturehemu
@margretokuku8220
9 ай бұрын
Amen. Mungu. Akubariki
@PraksedaKweka
9 ай бұрын
Haya jamani
@alicengumi9488
6 ай бұрын
Amen Amen Amen
@UpendoNicholaus5 ай бұрын
Amina kubwa sana
@reginahghati1606 ай бұрын
Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu
@elizakituzaleyaapoline52839 ай бұрын
Mungu akubariki
@user-gh2kk2et5r9 ай бұрын
mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen
@hellen94676 ай бұрын
Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu
@user-hs8zv5ws9s9 ай бұрын
Asante Mungu kwa ujumbe huu
@FatimahAlshehri-gt1gj8 ай бұрын
Amen mungu atusamehe kabisa
@EmmyKanjanja-qi1vl9 ай бұрын
Poleni msioamini ushuhuda huu,
@user-xt3gb3ei7j9 ай бұрын
Mungu naomba unihurumie mm maana nilikua sijui .lakin kwaushuuda huu naogopa naogopa naogopa naomba Mungu unihurumie nikaione mbingu
@bahatikilingo71765 ай бұрын
Ameeni ameeni mungu aturehemu tusimame ktk kristo yesu
@KeziaAbel6 ай бұрын
Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake
@RachelKihombo-qh1jb6 ай бұрын
Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata
@chumamasaka8 ай бұрын
Amina tutatubu ujumbe mzuri
@jeannealmasi95697 ай бұрын
Asante sana ubari kiwe sana
@user-rn9ep9mo4k5 ай бұрын
Amen dada kwa ujumbe
@MasamElisha-zu5ve8 ай бұрын
Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia
@user-dp8qj1gi9x5 ай бұрын
mungu aturehem wamama hakika kwa mungu mimi ni mdhambi na mungu akubariki sana mama kwa hushuuda
@StrongWomen-ob8yq9 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake
@user-fy9zl1oq7x9 ай бұрын
Aisee!! Mungu atusaidie wa mama na wadada tunapenda sana mapambo
@luthgadeschrispin6554
9 ай бұрын
Hongera jamani mch kumbe kuna kanisa takatifu la Mungu kibondo naamini kuna ck litakuwepo hapa morogoro mjini natamani sana
@ChausikuMarko-mt3gl
9 ай бұрын
Mamy MUNGU wa mbinguni akubariki ,,
@geitandelwa2999 ай бұрын
Aaaaa na MUNGU ANISAIDIE MM NI MWENYE DHAMBI TU NA PIA HUU NI USHUUDA WA KUNITAKASA MM AAAA YESU UNANIPENDA MNO
@patriciandeda26479 ай бұрын
Asante mama Kwa ushuhuda ya ukweli na mwenye maskio asikie.
@user-pf6uo9qm8j8 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu asnte kwa ujumbe huu wa kufikirika sana lkn naomba niseme jambo fulani hivi. Swala la mapambo yote na chakula HAYATUZUII KUINGIA MBINGUNI Wapendwa. Lkn pia kinacholeta shida hapo katika imani ni kuyapa mapambo kipaombele zaidi kuliko Mungu hiyo ndo dhmbi inakuja hapo. Mfano 1Petr 3:2-5 Petro alikimaanisha hapo ni kutokutanguliza mapambo mbele bali anataka waipambe miyoyo yao zaidi kuliko mapambo ya nje. Mpendwa unaposema piko. Cheni nk dhambi sio kabisa ebu tuhubirini injili ya kweliii
@lucywilson58759 ай бұрын
Hii ni kweli kabisa, nilikuwa nikijua kusuka rasta na mawigi ndio dhambi, basi siku moja nikaenda kunyoa maana nilishaachana na manywele yabandia, nilipomaliza kunyoa kinyozi alinishawishi kuniweka piko ili nipendeze, nilisita sana nikamwambia mimi sibadilishi nywele zangu maana nidhambi, akaniambia hapana dada hii sio dhambi nitakuweka kwa mbali tu utapendeza sana, basi bila kusikiliza sauti iliyokuwa ikisita nikakubali. Usiku nilipolala nikaota niko kanisani na kanisa lote lilikuwa likinishangaa ....yaani nilikuwa nimesuka marasta kichwani mwangu nakuingia Kanisani, watu wakawa wananishangaa hata huyu amesuka rasta wakati anajua nimachukizo kwa Mungu? Asubuhi nilipoamka nikawa naitafakari ile ndoto, nikasikia sauti masikioni mwangu ikiniambia anayepaka rangi nywele hana tofauti na anayesuka rasta!!!!! Aisee Jumapili iliyofuata nilikwenda mbele yakanisa kuomba msamaha nakutubu maana nilimkosea Mungu kwakujibadilisha vile alivyoniumba. Bwana Yesu atusaidie sana tutembee katika njia zake Amen.
@gosbertmuta5421
9 ай бұрын
Una heri nyingi
@ZeraKisonga-jx3zv
9 ай бұрын
Naomba namba yako
@ZeraKisonga-jx3zv
9 ай бұрын
Naomba namba yako
@tinnahagustinolyelu4247
9 ай бұрын
Kwani dhambi Ni hiyo tu mbona zipo za aina nyingi Mungu atusaidie saana
Пікірлер: 520
PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.
@catherineawinja7417
9 ай бұрын
Asante
@rakaieva5472
9 ай бұрын
Oho ok Asante sana kwa ufafanuzi nilikuwa najiswali kama piko ni nini. Mubarikiwe sana Watumishi wa Mungu.
@BerylSeer1
9 ай бұрын
Piko kama ni dye si Kuna rangi tofauti, sio tu nyeusi pekee.
@nancymerinashaidi6525
9 ай бұрын
Ubarikiwe
@nancymerinashaidi6525
9 ай бұрын
Jaman up wap
Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.
Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.
Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.
Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.
Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana
I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana
Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka
Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu
Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu
Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.
Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia
@christinashaban7262
9 ай бұрын
Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya
@LucyKapinga-fg4dk
8 ай бұрын
Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.
😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤
Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen
Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU
Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏
Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe
Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu
Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila Mungu nisaidie niwe mtii A
Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele
Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki
Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian
Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya
Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema
Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi
Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.
Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu
Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie
Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe
Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.
Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.
Amen watumishi wa Mungu
Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba. Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.
Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi
Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe
Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu
AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤
Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga
Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe
Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama
Asante sana mama Kwa ushuhuda
Asante YESU KRISTO kutufunulia haya
Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha
Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu
Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.
Ameen Ameen Ameen in jesus name mama ubarikiwe sana pamoja n kizazi chako mim ni mkenya acha Mungu aitwe Mungu
Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana
Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana
Mungu atusaidie sana
Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.
Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu
Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea
Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏
Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana
Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu
Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.
Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa
Asante Yesu
@user-pv3nt6wd3y
4 ай бұрын
asante yesu
Mungu atuurumie
Amina sana dada yangu umenigusa
Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona
Wamama na wa baba wengi wanapaka piko ili kuficha mvi, tuache na Mungu aturehemu. Mithali 16:31 inasema kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu.
@rerisamba
9 ай бұрын
Mimi nilikua napaka hina sikua najua nikaona mtumishi kutoka kenya kwa promover tv akatufunza nikawacha
Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤
Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito
Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai
Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake
Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie
Amina sana mtumishi wa Mungu
Amen ubarikiwe sana 29:50
Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe
Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu
@neemamwakasaje2801
8 ай бұрын
Amen
Amena mama mungu anisaidie na mm
Amen ubarikiwe mama
Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie
Asante mtishi wa Mungu kutuelimmisha kwani hata mimi na uzee wangu natumia rangi kufanya nywele nyeusi, Mungu turehemu na tunaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu ubarikiwe sana mtumishi
@evelinarwabuhaya1803
9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama Mungu twakuomba uturehemu
@margretokuku8220
9 ай бұрын
Amen. Mungu. Akubariki
@PraksedaKweka
9 ай бұрын
Haya jamani
@alicengumi9488
6 ай бұрын
Amen Amen Amen
Amina kubwa sana
Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu
Mungu akubariki
mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen
Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu
Asante Mungu kwa ujumbe huu
Amen mungu atusamehe kabisa
Poleni msioamini ushuhuda huu,
Mungu naomba unihurumie mm maana nilikua sijui .lakin kwaushuuda huu naogopa naogopa naogopa naomba Mungu unihurumie nikaione mbingu
Ameeni ameeni mungu aturehemu tusimame ktk kristo yesu
Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake
Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata
Amina tutatubu ujumbe mzuri
Asante sana ubari kiwe sana
Amen dada kwa ujumbe
Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia
mungu aturehem wamama hakika kwa mungu mimi ni mdhambi na mungu akubariki sana mama kwa hushuuda
Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake
Aisee!! Mungu atusaidie wa mama na wadada tunapenda sana mapambo
@luthgadeschrispin6554
9 ай бұрын
Hongera jamani mch kumbe kuna kanisa takatifu la Mungu kibondo naamini kuna ck litakuwepo hapa morogoro mjini natamani sana
@ChausikuMarko-mt3gl
9 ай бұрын
Mamy MUNGU wa mbinguni akubariki ,,
Aaaaa na MUNGU ANISAIDIE MM NI MWENYE DHAMBI TU NA PIA HUU NI USHUUDA WA KUNITAKASA MM AAAA YESU UNANIPENDA MNO
Asante mama Kwa ushuhuda ya ukweli na mwenye maskio asikie.
Mtumishi wa Mungu asnte kwa ujumbe huu wa kufikirika sana lkn naomba niseme jambo fulani hivi. Swala la mapambo yote na chakula HAYATUZUII KUINGIA MBINGUNI Wapendwa. Lkn pia kinacholeta shida hapo katika imani ni kuyapa mapambo kipaombele zaidi kuliko Mungu hiyo ndo dhmbi inakuja hapo. Mfano 1Petr 3:2-5 Petro alikimaanisha hapo ni kutokutanguliza mapambo mbele bali anataka waipambe miyoyo yao zaidi kuliko mapambo ya nje. Mpendwa unaposema piko. Cheni nk dhambi sio kabisa ebu tuhubirini injili ya kweliii
Hii ni kweli kabisa, nilikuwa nikijua kusuka rasta na mawigi ndio dhambi, basi siku moja nikaenda kunyoa maana nilishaachana na manywele yabandia, nilipomaliza kunyoa kinyozi alinishawishi kuniweka piko ili nipendeze, nilisita sana nikamwambia mimi sibadilishi nywele zangu maana nidhambi, akaniambia hapana dada hii sio dhambi nitakuweka kwa mbali tu utapendeza sana, basi bila kusikiliza sauti iliyokuwa ikisita nikakubali. Usiku nilipolala nikaota niko kanisani na kanisa lote lilikuwa likinishangaa ....yaani nilikuwa nimesuka marasta kichwani mwangu nakuingia Kanisani, watu wakawa wananishangaa hata huyu amesuka rasta wakati anajua nimachukizo kwa Mungu? Asubuhi nilipoamka nikawa naitafakari ile ndoto, nikasikia sauti masikioni mwangu ikiniambia anayepaka rangi nywele hana tofauti na anayesuka rasta!!!!! Aisee Jumapili iliyofuata nilikwenda mbele yakanisa kuomba msamaha nakutubu maana nilimkosea Mungu kwakujibadilisha vile alivyoniumba. Bwana Yesu atusaidie sana tutembee katika njia zake Amen.
@gosbertmuta5421
9 ай бұрын
Una heri nyingi
@ZeraKisonga-jx3zv
9 ай бұрын
Naomba namba yako
@ZeraKisonga-jx3zv
9 ай бұрын
Naomba namba yako
@tinnahagustinolyelu4247
9 ай бұрын
Kwani dhambi Ni hiyo tu mbona zipo za aina nyingi Mungu atusaidie saana
@gosbertmuta5421
9 ай бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 dhambi ni dhambi