Part 1_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 167
YESU ANAOKOA
Part two please usitugawishe jama anajieleza vizuri kabisa na kukanya watu mungu akubariki kaka
Asante kwa kutufunulia siri
Wazazi tuwape watoto wetu majina mazuri.
EMANUEL ...namuomba ALLAH akupe nguvu na afya uendelee kuongoza watu kataika njia ya sawa wewe ni mtu muhimu sana AMIN AMIN AMIN
@emojongtv3995
Жыл бұрын
Allah mbona ni ibilisi?
@happinesskitali164
4 ай бұрын
Allah siyo Mungu mbona Yesu Kristu ndiye Mungu
Mungu Hamjaribu mtu yeyote ni tamaa zetu za mwili ndio tunageuka ushuhuda wa BWANA
@DRIPPINGPAIN
3 жыл бұрын
KWELI KABISA. NA MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI
Wana wa Mungu, duniani mna dhiki lakini nina waambieni mjipe moyo. Tuvumilie kwa safari katika Jina la Bwana Yesu.
@joshuakayuni6120
2 жыл бұрын
Amina
Waah heri kufa maskini nikiwa ndani ya kristo yesu
@happinesskitali164
4 ай бұрын
Kamwe Yesu hawez ruhusu watoto wake tufe maskini hakika yeye n mzur
Nasubiri kwa hamu part 2
Amen mtumishi wa mungu unasema ukweli kabisa mungu akakubariki sana sana
Duniani kuna mambo ya ajabu jamani. Mungu Awabariki Promover tv 📺. Jacktan Barikiwa sana
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
Huu ushuuda ni wakujenga sana tuzidi kumtegemea Mungu licha ya mapito atatengeza njia
Thanks for sharing this testimony to God be the glory sikujua promover TV iko na mafunzo mengi hivi
No doubt huu ushuhda n kwel kabs,asante kwake Mungu,kaka jack ubarikiwe
Hongera Sana mtumishi ubariki
Thank you Jesus
Barikiwa na Bwana YESU ALIE HAI ushuhuda mzuri sana
Duh Mungu atusaidie kwakweli
Damu ya yesu inatenda mema asante yesu
Barikiwa sana kwa ushuhuda
Bora kufa masikini kuliko kujiunga na hicho chama
HAMKUJARIBIWA.. BALI MLISHIKWA NA TAMAA MKASHINDWA KUJIZUIA... 🤦😪😭
Hizo sehemu zenye madini ,migodi ya dhahabu in hatari kwa mambo ya Giza! Maana watu wanashindana kimaisha!
Safi tuambie ili na wengine tupone MUNGU zaidi kukupigania,kukutunza,kukulinda na kukuheshimisha
Kahama pana shuhuda za hatarii!! Barikiba mtumishi wa Mungu.
😂😂😂 huyu dah!ametumwa kweli na waliomtuma anawajua mwenyewe
Vizur
Yesu ni mweza
God forbid. There is no sufferings that will lead me yo the one seek the devil's help in order to get this worldly useless fame, money, and items I can't take with me when I go back home in heaven. I'm a sinner but I love and trust Jesus Christ as the only way to the father. Amen.
Bwana yesu asifiwe sana hata uislam unalaani hicho chama kwa maana ni shetani hao ni wachawi hawezi kutumia msaafu ni kibabu cha mungu
Mungu utuponye
Mungu akutie nguvu kwakurudi kwenye Nuru ya kweli,Wewe Sasa unatufunza kwamba tusiipende dunia na Fahari yake,Barikiwa Sana hawak u wezi hao Mapepo😅😅😅
ALLAH AKUBARIKI AMIN
Mungu atusaidie
Jaman mwisho wadunia unakalibia kila MTU ajinusuru kea imani yake🎉🎉❤❤ 25:38
BWANA YESU ASIFIWE
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
No English subtitles? Please help with subtitles or translation
Mimi huwa siamini nielekeze sehemu hiyo nikathibitishe nami nikapate cha kusimulia kwani TZ pekee ni nchi inayoshangaa sana hbr ya Philimasonic wakt uingereza USA na nchi za NATO Philimason ni kawaida kwao na wanaalika watu kusherekea sawa na Harusi unavyoalikwa na kadi zao.
So.bila kuobewa huwez iacha tu kwa raha zako bora umewapa hela zao.?
Ila waganga washezi sana😀😀😀😀walitaka utembee na miguuu ili wakukomoe shetani aiseee afai..shetani ni baba wa uongo
Amina
Waiting for part 2 .....
CV Mwa
Hooo my God
Na subiri part 2
Mungu azidi kukulinda
My brother ukitaka kujiunga unalazimika kufanya nini?
Pesa daaaaa
@wigomwenyeflevazake7913
3 жыл бұрын
Kaka hadii hukuu upoooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mashramadhani1989
3 жыл бұрын
@@wigomwenyeflevazake7913 nipo kaka 😀😀😀
@mashramadhani1989
3 жыл бұрын
@@wigomwenyeflevazake7913 nipo kaka 😀😀😀
Amen be blessed,,next Part 2...
Inakuwaje muweze kutoroka huyu ibiilisi?
Hee mpungula nimeikumbuka ukiwa unaelekea Lowa au Wigehe haha long time
Amn
That water is from mortuary and blood of the dead
Watoke tu tuko siku za mwisho
Aaah, hizo habari za freemason siziamini. Haya mambo hayapo. Nipelekeni huko nijiunge
thank you jesus
Mimi nilikua na Hali hii. Huyu JAMAA atume namba yake
Ndio SEMA
Jacktan vp mbona hujamalizia ushuhuda wa anton mbaya?
Waongo ao wanashida naela tuu ao acheni kupotosha watu nyie ela tunaIacha hapahapa
Naitaji namba yako mtumishi
Thengs god
being a teacher you were not poor ...
🙏🙏🙏
Waliyemtuma aende kule ni nani na alikuwa na akili timamu watu kama hao hatuna muda nao ilikuwa tamaa zao kwanza wamshukuru Mungu ilikuwa inatakiwa wafe maana ilikuwa ni tamaa zao
Hiyo siyo FREEMASON, NI UCHAWI, ILLUMINAT
@davidamwai2478
3 жыл бұрын
Zote kitu moja
@tiamo726
3 жыл бұрын
Illuminati huezi ingia na salary wale kwa hivi vyama ndio waku matajiri
@emilyotika394
3 жыл бұрын
@@davidamwai2478 apana tena sana, utafauti upo mkubwa, illuminati karafara na damu, Freemason hawana hiyo, hakuna pesa yoyote unayopewa ukijiunga na Freemason, wale husaidiana kwa kuchangiana wenyewe kwa wenyewe moja wao akiwa na tatizo, ni watu tuu wakawida wanao fanya kazi kawada wala hamna utajiri wowote, naongea hivyo nina majirani, marafiki na shemiji yuko Freemason
@charlesmapunda5905
3 жыл бұрын
@@emilyotika394 Kwanini wewe hujajiunga? Kwani Kuna tatizo gani?
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
@@emilyotika394 nenda USA utawajua
Mh! Duniani kuna mambo ya ajabu kweli! Laiti macho yetu ya rohoni yangefunguliwa tukaona jinsi shetani alivo busy na ma agent wake, wanadamu tusingecheza na wokovu, Mungu tusaidie
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Nasi hatuko busy hata kidogo,atatuacha kweli??
Hao ni uchawi wakiafrika Hakuna ufreemason hapo unafiki mkubwa alafu unaaribu dini ya wenzako
@motelutula3380
2 жыл бұрын
Inaonekana ww ndo kiongozi wa freemason had unajua taratibu zao
Ninaweza sema huyu jamaa anakipaji sana maana uongo anautengeneza unaonekana kama ni ukweli
@elizabethkamangala9396
2 жыл бұрын
Pesa inatafutwa kwa njia nyingi sana.
@graceshayo5763
3 ай бұрын
Yan mtu mzm awadanganye ili afaidike na nan km naww unawez kutunga jalibuni na nyie mtuletee story zenu
Unasema umeambiwa uchague jina la kiislam Kwanza Freemanson hawana dini kama dini basi wawe wakristo maana Freemanson asili yake ni wazungu hata Marekani ushawahi kuona wanapga vita ukristo lakn dunia nzima wanajua Marekani hapgi vita dini yoyote isipokuwa uislam tu
@moreenwangari3707
2 жыл бұрын
Kwani ushawai jiunga nao?
@marychristiansen2990
6 ай бұрын
@@moreenwangari3707good question 😊
@oddball5786
4 ай бұрын
Huyu Anaitwa Emanuel Katika Bible Jina Emanuel ni Jina alilopewa yesu likiwa na maan ya 'Mungu Nasi' Hivyo basi Yesu au Emanuel Ni Majina pekee ambayo huogopwa na Lusifa Yaani ukiwa HQ ya freemason pale Posta Mule Ndani Huruhusiwi kusema Neno yesu au Emanuel Koma kabisa, Huyo Agent alimbadili kijanja Sana Ili asisituke, Karibu kufatilia Sana Hata hizi interview ni sijawahi Kuona mtu katoka katika chama cha Lusifa alaf Akawa muislam NEVER, They're Christians May almighty God Bless you in Jesus Name
@davidfumbi7870
4 ай бұрын
Mimi niko marekani na wengi wao hata walio weusi huku dini yao uislam huamini angalia wafuasi wa 2pac wako Saudia tunavoongea wanakimbilia huko wanapovunja masharti na kujibadili waislamu
@fizomc8811
3 ай бұрын
Aaamina
Acheni kutoa ushuhuda wa uongo Hakuna freemason kama wewe
Uyo muongo , bado haja jitowa mwenyewe uso wake una fanana na mchawi Wakristo mu muogope Mungu Drama zenu zimekuwa nyingi,
MWENYEZI MUNGU ATUSAIDIE JAMANI ESPECIALLY SISI VIJANA.. MIMI KIJANA UROHO WA VITU VISIVYO NA MAANA KABISA... MHH😒😪😭😭😭🚮 WE MUST LEARN AND PRACTICE DAILY TO FEAR THE LIVING GOD IN HEAVEN AMEN 🙏🔥🔥🔥🕊️ 2TIMOTHY CHAPTER 4 VERSE 7 GOING ON... I HAVE FIGHT A GOOD FIGHT.. I HAVE FINISHED MY COURSE... THE REST WE LEAVE FOR JESUS CHRIST THE RIGHTEOUS JUDGE TO JUDGE AMEN 🙌💞💞🔥🙏🙏..
It's not my potion
MAGUMU HAYA NDUGU JACKTAN
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Kabisa
Hakuna Free masons Tanzania kuna Chama cha wachawi au washirikina! Hayo majina tuu shetani anachakachua wasishitukie,
@winniesalum483
3 жыл бұрын
Umeona eeh ata masharti Aya yamekaa kiuganga Uganga sio kifreemason
@rehemaabinelynyagawa2878
2 жыл бұрын
@@winniesalum483 na wewe umewahi kwenda huko?
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
uchawi wa kiafrika wanachomekeaga freemason
@motelutula3380
2 жыл бұрын
Uchawi ni uchawi tu! Iwe ni freemason au africa! Shetani ni yule yule na utendaji ni ule ule! Tatizo nyie mmeharibiwa na elimu ya kidunia kwamba wazungu wamestaarabika kuliko sisi! Tofautisheni ulimwengu wa kiroho na wa mwili!
Hivi watu wanajua maana ya freemason? Au illuminat
@seasonepisode3328
3 жыл бұрын
Ata ww ni mmoja ya watu jee unajua maana yke???
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Wajue wapi wana wapiga mchanga wa macho waafrika wenzao
Sasa hivi wanadamu wengine mnaweza kuelezea Mahali ambayo mtu ametoka ama yeye ajieleze alikotoka na alikuwa akifanya nn huko na kunaitwaaje. Mwenye macho utazama na masikio usikia, mkiachiwa muelezee story ya mtu mimalize mtafunga vinywa,.ingia mtandaoni jielezee yako ukitaka kutuambia jinzi unavyojua.
Kwa nini mhusika abatizwe jina la Kiislamu ndio aingie Freemason???
@ikabako2454
3 жыл бұрын
Akili za kuambiwa changanya na za kwako. Hata mie nnajiuliza hilo swali maana qitan imekataza hayo yote lakini hawa hawa wakristo na waislamu ndio wachawi.
@LOGOSNew
3 жыл бұрын
@@ikabako2454 Chunguza kwa undani zaidi!
@ikabako2454
3 жыл бұрын
@@LOGOSNew mie nnaongea nnachokijua. Kuna uislamu na waislamu hali kadhalika ukristo na wakristo. Mashaka na ya watu sio ya dini.
@ikabako2454
3 жыл бұрын
@@LOGOSNew mimi nazungumza kwa mujibu wa kitabu cha kitukufu cha Quran. Quran tukufu imekataza hayo yote. Ni dini ambayo imekamilika na inafundisha tabia njema. Kama una maswali yoyote uliza nitakujibu ili upate kufahamu.
@LOGOSNew
3 жыл бұрын
@@ikabako2454 Niko na swali : Dua Albadr ni nini? Si uchawi? Mbona huhusu kuita mapepo yapiganie mtu?
Freemason hawana utaratibu huo hao ni waganga wa kienyeji. Freemason ni taasisi kubwa
@messimessi7255
3 жыл бұрын
Umewahi kujiunga utupe muongozo kidogo?
@egospeltz9486
3 жыл бұрын
@@messimessi7255 kwakweli atusaidie kutueleza inaonyesha anajuwa zaidi kuhusu freemason maana habishi bure. Amcheki jactain basi kwa ushuhuda.
@sarahmichael7538
3 жыл бұрын
Ni taasisi kubwa kwani ni ya babaako?!
@chuggapjt3782
3 жыл бұрын
Huko aliko enda alienda kutafuta pesa za majini kwa waganga wa kienyeji sio freemason bab. Halafu freemason hawatoagi pesa za namna hiyo huwa wanakupa formula ya kukufanya uwe tajiri pili freemason wanahitaji watu wenye ushawishi katika jamii, wafanya biashara au watu wenye vipaji ndio wanakupandikiza nyota ya kukuongezea mvuto. Freemason hawapokei mtu asiye na nyuma wala mbele ndio maana wanaitwa wajenzi huru.
@davidamwai2478
3 жыл бұрын
@@chuggapjt3782 nyota ya huyu ni uhubiri
Uyu baba Muongo kabisa ...uyu alikua illuminati
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Mbona ni mtandao ule ule nenda USA ndo utaelewa
Hivi nyie wachimbaji .tatudanganya mpaka lini? Acheni uongo muogopeni mungu uchawi upo lakini kutumia jina free mason ni utapeli. Kwavile WA tz wengi hawajui maana ya neno free mason free ni huru mason ni ujenzi ndugu zangu tusiwe wajinga huu ni utapeli watu wametafuta njia za kutapeli watu , uchawi upo lakini sio free mason
@ferotial4659
2 жыл бұрын
Pole njoo kwa Yesu ili uijue kweli itakuweka huru
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@ferotial4659 Mnaongopeana sana , Yesu yupo kweli lakin Yesu hapendi UNAFIKI
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Wote ni wale wale tu
@ishipalemypasco2567
Жыл бұрын
We ndo hujui kaa kimya
Wongo
@victorianchimbi8640
3 жыл бұрын
Si lazima kusikiliza
@sarahmichael7538
3 жыл бұрын
😬
@myself4128
3 жыл бұрын
Kakojoe ulale mtoto wa mama huna cha kuongea kwa Wanaume! Acha watu wasimulie maisha walopitia we muulize mama Chakula kipo wapi kafunue ule ulale,
@rabilubinza7661
3 жыл бұрын
Nina mashaka na wanaokataa.Barikiwa mtumishi tufungue akili na Mungu awabariki sana
@davidamwai2478
3 жыл бұрын
Leta wako ukweli
Asalam Aleikum ni lugha ya kiarabu kumaanisha “amani iwe juu yako” na hujibiwa “Waleikum Salaam” yaani “iwe juu yako pia” Na kwa lugha ya kiebrani salamu hii ni “Shallom Aleichem” ila wengi huifupisha na kusema “Shallom” yaani “amani iwe juu yako” na hujibiwa “Aleichem Shallom” yaani “iwe juu yako pia”. Salamu hizi haizihusiani na ushetani wa mtu.
@marinahonest5759
3 жыл бұрын
BARIKIWA Sanaa kwa kutufundisha juu ya it salamu coz itasiadia kuondoa tofaut Kati ya wakrist na waislam
@ikabako2454
3 жыл бұрын
@@marinahonest5759 naam na hivyo ndiyo Yesu alivyokuwa akisalimia. Yesu katika biblia hajawahi kusema bwana asifiwe.
@gmdecoration6044
2 жыл бұрын
@@ikabako2454 aise kunamambo unayajua unatujuza 🙌🙌
@bonifasemmanuel4700
2 жыл бұрын
Mbona kuzimu wanaitumia,hiyo salaam
@bibisaidkhamis6227
Жыл бұрын
Wewe pastor nimuongo tena muogope mungu nyinyi pastor mbona hua muna penda kutoa ushuhuda WA uwongo alafu huogopi na umemueka mungu mbele kwazungumzia uwongo mungu ana kuona ww shauriako
Amina
@pluss1289
5 ай бұрын
Wewe sheh othmani unamatatizo maana jina lako hulipendi ullilipenda LA watu. Kuna %100 ata dini yako ukiambiwa ubadilishe pia utabadilisha kwa tamaaa yako
Amina
@janethmichael6103
2 жыл бұрын
Amina