Pt1_USHUHUDA WA MCHUNGAJI ALIYEKATAA KUJIUNGA KWENYE MTANDAO WA FREEMASON|ASIMULIA KILICHOMPATA
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 21
Kwa kweli Promover na mim nakili hata Mungu aniona nimeokoka kupitia promover nikaponywa magonjwa yote japo kutoka ukatoliki kwenda kwa walokole huwa ni ngumu kidogo ila nilipoamua TU nimeona Miujiza mikubwa so Promover Mungu awabariki endeleeni hivo hivo Sina cha kusema
@CherieDeDieu
3 ай бұрын
Halleluyah!! Hongera! Kwa kweli Promover ni channel ya baraka sana.
Promover please msiwe mnaeka vionjo tunachangnyikiw weken tu ushuhuda moja kwa moja
Yesu niBwana songa mbele mtumishi nakupenda sana
Ubarikiwe mtumishi,ni kama ninavyopitia mim
Mungu mkubwa God bless members of this media
Amina
Thank you🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Shuhuda ninzuri. Ila hatujui tunaanzia wapi nakumalizia wapi. Tafadhali tieni shuhuda zakuenea, hapana kutudokeza katikati. Bora hâta kufanya fupi fupi lakini zianze mwanzo sio Katikati.Maana tunakua tumeshasikia kichwa cha shuhuda and we loose interest in following on with the rest.
@LatiphaMwanga
Ай бұрын
Start where you are my love🎉
Pasto kapola,,prophet Malisa mtachagua wenyewe.
Mbona hammaliz shuhuda zenu, mmeanzisha mpya
Mmmh! Rangi ya nguo yako na rangi za material ulizotumia kwenye kanisa lako mtumishi inaonekana unapendelea sana
Mateso yalikua mengi Sana MTU anachanjwa live ana vuliwa nguo pia live hii nayo kali
Hakuna dola ya elfu kumi
@geofreyjoel
3 ай бұрын
Umesikiliza vizuri?? Kasema "dola, na elfu kumi kumi na elfu tano tano"
@onesmolubinza9207
3 ай бұрын
Hao wapo wengi wanakurupuka tu 😂😂😂
KZread unatumia jina gani mtumishi
Huu ushuhuda siuelewi hi part ngap mbona juzi mlipost
@alfredkuria7673
3 ай бұрын
Nyamasa kama uelewi Wacha kusumbua ;ama vuatilia!
Amina