Pt1_USHUHUDA WA ALIYETENGENEZEWA KIFO CHA UONGO NA WACHAWI•AONEKANE AMEKUFA KUMBE AMEFANYWA MSUKULE

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 27

  • @MamasIslandKitchen
    @MamasIslandKitchen3 ай бұрын

    Ushuhuda huu nimeusubiri. Thanks promover tv.❤❤

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z3 ай бұрын

    Mungu ni wa Rehema na neema. Apewe sifa milele, mbarikiwe sana kwa ushuhuda huu. Waiting for parts 2 soon please.

  • @veronicanyamsusa4974

    @veronicanyamsusa4974

    2 ай бұрын

    😢❤😢

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55093 ай бұрын

    Barikiweni sana watumishi wa Mungu kwa shuhuda hizi hakika twajifunza mengi..

  • @user-fg6xi3xu6t
    @user-fg6xi3xu6t3 ай бұрын

    Ameen,, Mungu yupo Mchungaj huyu kwel kabisa amepita hyo majaribu lakn Mungu alimtetea,hakika tumtegemee Mungu.

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki23763 ай бұрын

    Mungu ni waajabu sana. Hongera mtumishi

  • @NathanaelMadihi-zu6hl
    @NathanaelMadihi-zu6hl3 ай бұрын

    Bwana Yesu ni Mwema Sana. Ubarikiwe Sana Mtumishi

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw3 ай бұрын

    Ushuhuda mzuri mtumishi wa mungu hayo yapo ukiwa haujakuna na majanga hayo utadhani story tu lakini dunia hii inawachawi tena wamebunda kimywa kimywa wanawafanyia ubaya watu na kuwauwa na wana maroho ya kinyama

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c3 ай бұрын

    Amen Watumishi wa Mungu

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja47292 ай бұрын

    Bwana Yesu Asifiwe

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z3 ай бұрын

    Parts 2 please. Ushuhuda mzuri sana🙏🙏

  • @denisbongore3098
    @denisbongore30983 ай бұрын

    Dunia inatisha sana bila Yesu sisi atuwezi

  • @Glorytv5111
    @Glorytv51113 ай бұрын

    Amen amen

  • @lovenessmjaka9754
    @lovenessmjaka9754Ай бұрын

    Nyumbni kwetu itabagumba

  • @rerisamba
    @rerisamba3 ай бұрын

    Yani saanzingine unamwelewa Mungu usimwache mwanamke mchawi aishi yani hii michawi siipendi kabisa yani hawataki kushindwa kabisa

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor99913 ай бұрын

    Yn 10:10 SUV Mwizi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai26043 ай бұрын

    Mungu ni mkuu kila wakati siri ya shatani zote hanajui

  • @DicksoniOmond
    @DicksoniOmond3 ай бұрын

    Mungu wa maajabu sana jamani

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822Ай бұрын

    Ni kwel hayo mamb yapo

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori99112 ай бұрын

    Interviewer unaongea sana. Mwache muhusika aongee mwenyewe.......yule mwingine/Joctan anafanya interviews nzuri sana. Haongei mengi zaidi ya kumtambulisha muhusika.

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya3 ай бұрын

    Tupo tunafuatilia promover tv

  • @rerisamba
    @rerisamba3 ай бұрын

    Sasa mko kwa class mkifa msije mkasumbuwe watu mkishika shika watu coz hawashikiki wako mwilini na wewe upo rohoni

  • @rerisamba
    @rerisamba3 ай бұрын

    Uko ushuhuda wa mtu mmoja anaitwa Zablon alipitia hii hali mpaka akaishi gambosh hata kivuli alikua hana

  • @elizabethngallaba4422

    @elizabethngallaba4422

    2 ай бұрын

    Umenkumbusha mbali sana kwa story ya Zablon!!

  • @rerisamba

    @rerisamba

    2 ай бұрын

    @@elizabethngallaba4422 alipitia sana lakini apo mzima

  • @annkim2690
    @annkim26903 ай бұрын

    Yupo mwanaume anaitwa Jeremy yeye alikua mkulima siku moja alikua kibarua cha kulima bibi akipita akamuuliza wewe ndio umelima hapa kote akasema eeh ungependa ukanilimie akaitika badae alimuona huyo bibi alikuja rohoni akampiga kichwa nahivyo kichwa kikauma akaaguka chini akapelekwa hospital na ndio kufa na kuzikwa lakini hakua amekufa alichukuliwa na bibi akapelekwa porini nandio hivyo akawa misukule ameishi huko miaka 10

  • @NeemaMngongo-fw3ku

    @NeemaMngongo-fw3ku

    2 ай бұрын

    Jeremy namafahamu kabisa yuko ufufuo na uzima ni.mtumish na alishaniombe na toka anarudishwa nikikuwepo .

Келесі