Pt1_USHUHUDA WA ALIYETENGENEZEWA KIFO CHA UONGO NA WACHAWI•AONEKANE AMEKUFA KUMBE AMEFANYWA MSUKULE
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 27
Ushuhuda huu nimeusubiri. Thanks promover tv.❤❤
Mungu ni wa Rehema na neema. Apewe sifa milele, mbarikiwe sana kwa ushuhuda huu. Waiting for parts 2 soon please.
@veronicanyamsusa4974
2 ай бұрын
😢❤😢
Barikiweni sana watumishi wa Mungu kwa shuhuda hizi hakika twajifunza mengi..
Ameen,, Mungu yupo Mchungaj huyu kwel kabisa amepita hyo majaribu lakn Mungu alimtetea,hakika tumtegemee Mungu.
Mungu ni waajabu sana. Hongera mtumishi
Bwana Yesu ni Mwema Sana. Ubarikiwe Sana Mtumishi
Ushuhuda mzuri mtumishi wa mungu hayo yapo ukiwa haujakuna na majanga hayo utadhani story tu lakini dunia hii inawachawi tena wamebunda kimywa kimywa wanawafanyia ubaya watu na kuwauwa na wana maroho ya kinyama
Amen Watumishi wa Mungu
Bwana Yesu Asifiwe
Parts 2 please. Ushuhuda mzuri sana🙏🙏
Dunia inatisha sana bila Yesu sisi atuwezi
Amen amen
Nyumbni kwetu itabagumba
Yani saanzingine unamwelewa Mungu usimwache mwanamke mchawi aishi yani hii michawi siipendi kabisa yani hawataki kushindwa kabisa
Yn 10:10 SUV Mwizi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
Mungu ni mkuu kila wakati siri ya shatani zote hanajui
Mungu wa maajabu sana jamani
Ni kwel hayo mamb yapo
Interviewer unaongea sana. Mwache muhusika aongee mwenyewe.......yule mwingine/Joctan anafanya interviews nzuri sana. Haongei mengi zaidi ya kumtambulisha muhusika.
Tupo tunafuatilia promover tv
Sasa mko kwa class mkifa msije mkasumbuwe watu mkishika shika watu coz hawashikiki wako mwilini na wewe upo rohoni
Uko ushuhuda wa mtu mmoja anaitwa Zablon alipitia hii hali mpaka akaishi gambosh hata kivuli alikua hana
@elizabethngallaba4422
2 ай бұрын
Umenkumbusha mbali sana kwa story ya Zablon!!
@rerisamba
2 ай бұрын
@@elizabethngallaba4422 alipitia sana lakini apo mzima
Yupo mwanaume anaitwa Jeremy yeye alikua mkulima siku moja alikua kibarua cha kulima bibi akipita akamuuliza wewe ndio umelima hapa kote akasema eeh ungependa ukanilimie akaitika badae alimuona huyo bibi alikuja rohoni akampiga kichwa nahivyo kichwa kikauma akaaguka chini akapelekwa hospital na ndio kufa na kuzikwa lakini hakua amekufa alichukuliwa na bibi akapelekwa porini nandio hivyo akawa misukule ameishi huko miaka 10
@NeemaMngongo-fw3ku
2 ай бұрын
Jeremy namafahamu kabisa yuko ufufuo na uzima ni.mtumish na alishaniombe na toka anarudishwa nikikuwepo .