Pt2_ALIYETENGENEZEWA KIFO CHA UONGO NA WACHAWI•AONEKANE AMEKUFA KWA AJALI KUMBE AMEFANYWA MSUKULE
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 25
Dah hi maisha buna 😢ukitulia wachaw wanakutafuta mara mapepo mara wanadam wenyew roho mbaya kwel nmeamni maisha bila YESU KRISTO n sawa bureee kabsaaa .kuokoka tu n kusmma ktk iman dhabiti .upambaniwe n YESU KRISTO ktka kipind cha majarbu.yko ..power of testimony ❤blessd kaka Audax n promover tv n kaka jacktan
@HappyMwaigwisya
3 ай бұрын
Kwakweli tunapambaniwa na Yesu KRISTO
@user-zb6yn2ou5d
3 ай бұрын
Kweli kabisa... tunaitaji wokovu Yesu Kristu atupambanie katika safari ya maisha.
@elizabethngallaba4422
2 ай бұрын
Bure bure kabisa!! Yesu ndio ufunguo wa kila kitu
Yanajenga imani zetu, yanatusogeza karibu na Mungu na zaidi sana yanatukumbusha ukuu wa Mungu wakati wote kwasababu Mungu habadiliki...Amen kwenu nyote mnaosikiliza Mungu atupe neema tukabadilike
Mungu atusaidiye
Ahsante kwa mwedelezo
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kweli Neema ya Mungu ni Kubwa Sana yeye mda wote anatupigania Rohoni anatuepusha na Mengi tusiweza kuyaona kwa macho ya nyama
Ameeeeeen
Waa napenda Huu ushuhuda.
@FlorenceAkinyi-rq3hx
3 ай бұрын
Niko Makini Sana, hata mm nimefunuliwa Jambo kama Hilo naonyeshwa kitu kama hicho Kwa mume wañgu.nitamtafuta snipe ushauri kid Dogo.
@HappyMwaigwisya
3 ай бұрын
@@FlorenceAkinyi-rq3hxYESU KRISTO akupiganie
Balikiwa mtumishi
Ushuhuda mzuri sanaa mbarikiwe sanaa mtumishi wa Mungu
Hii sio kazi rahisi wanayofanya Promover tv. Mulindwe kwa jina la YESU.
Tuko pamoja katika jina la Yesu christo
MUNGU awabariki sana PROMOVER tv kwa utumishi huu unaotujenga sana kiroho wana wa MUNGU. Nadhani hii ni sehemu ya 3 na si ya 2.
@PromovertvTz
3 ай бұрын
Amen asante.Tuko sahihi hii ndiyo part2
Habari Jack tan na auddax erick naomba mfuatilie unyakuo TV nabii boniface victor
Wachawi jamani viini macho mara wawekee ubwa mara wawekee vigogo mzike mkidhania ni marehemu
Hii sio mambo na near death huyu alikua amekufa
Next tafhathali
@PromovertvTz
3 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/pGdtzq9rkdPIkqQ.html
@jessekusipa7325
3 ай бұрын
@@PromovertvTz