Pt1_USHUHUDA WA EV.SAMSON SUNGWANA ALIEKUA BAUNSA JAMBANZI YESU AKAMTOKEA KWA CHUMBA CHAKE CHAUCHAWI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 27
Ushuhuda huu ni moto sana,acha Mungu aitwe Mungu,tusimkatie tamaa binadamu yeyote aliye hai Kwa maana hujui siku atakutana na Yesu Kristo,nampenda sana uyu Mwokozi Yesu.🙏❤️
YESU ANATISHAAAAAA
Hakika mungu ni mwomozi acha tu aitwe mungu instosha
Mungu amekusaidiya sana muheshimiwa Asante sana
Kweli Yesu anaokoa
Wachungaji wako na KAZI kweli tunafaa kuwapenda na kuwa heshimu kweli
Ufunuo 12:11 Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.
Sehemu ya pili Jacktan tunasubiri Kwa hamu kubwa mno.Mwenyezi Mungu Awabariki wote.🙏
Yesu ni mwamba. ❤
Namshukuru MUNGU kwa kunifungua macho zaidi, jose kutoka Kenya.
Safi Sana Ubarikiwe Evangelist
@samsonsungwana-wz6pq
Ай бұрын
Amen Baba Bishop
Chinekemeeoooooh!!!hakika Mungu anatoa watu mbali
" ati sijawahi kumkaba mtu halafu asijinyee"😂🤣🤣 duuuuh
@magdalenapeter6106
Ай бұрын
😂😂😂
Aiseee
Nlichogundua hadi leo vita ni kubwa lkn vita ya watoto wa watumishi ni kubwa zaidi..
Blessd kaka jacktan na Audax n promover tv ❤..the power of testimony
Jina la Bwana litukuzwe
Mungu ni kweli
Mungu hataudharau moyo unaomtafta zaburi51:17. Moyo wa mamaake na mtumishi Sam, nawaza ayo machozi ya mamaake
Amen
MUNGU anaweza yote
Pastor una unyakyusa mwingi .... Mbinguni tutafika? Ashukuliwe Mungu aliye hai anayetutoa gizani na kutuweka ktk mwanga wa tumaini la wokovu na utukufu wake
@magdalenapeter6106
Ай бұрын
Tutafika mpendwa tumuamini MUNGU
Mushtara ni neno la kiarabu maana yake "mutual"