Pt1_USHUHUDA WA EV.SAMSON SUNGWANA ALIEKUA BAUNSA JAMBANZI YESU AKAMTOKEA KWA CHUMBA CHAKE CHAUCHAWI

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 27

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6wАй бұрын

    Ushuhuda huu ni moto sana,acha Mungu aitwe Mungu,tusimkatie tamaa binadamu yeyote aliye hai Kwa maana hujui siku atakutana na Yesu Kristo,nampenda sana uyu Mwokozi Yesu.🙏❤️

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106Ай бұрын

    YESU ANATISHAAAAAA

  • @EvelinWilson-zx6uq
    @EvelinWilson-zx6uqАй бұрын

    Hakika mungu ni mwomozi acha tu aitwe mungu instosha

  • @user-zw9cd9hc6l
    @user-zw9cd9hc6l9 күн бұрын

    Mungu amekusaidiya sana muheshimiwa Asante sana

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pgАй бұрын

    Kweli Yesu anaokoa

  • @annkim2690
    @annkim2690Ай бұрын

    Wachungaji wako na KAZI kweli tunafaa kuwapenda na kuwa heshimu kweli

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor9991Ай бұрын

    Ufunuo 12:11 Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6wАй бұрын

    Sehemu ya pili Jacktan tunasubiri Kwa hamu kubwa mno.Mwenyezi Mungu Awabariki wote.🙏

  • @evermayala5817
    @evermayala5817Ай бұрын

    Yesu ni mwamba. ❤

  • @josephmuli8300
    @josephmuli8300Ай бұрын

    Namshukuru MUNGU kwa kunifungua macho zaidi, jose kutoka Kenya.

  • @bishopgeorgemusapreacher7374
    @bishopgeorgemusapreacher7374Ай бұрын

    Safi Sana Ubarikiwe Evangelist

  • @samsonsungwana-wz6pq

    @samsonsungwana-wz6pq

    Ай бұрын

    Amen Baba Bishop

  • @user-ep6nl9ph4f
    @user-ep6nl9ph4fАй бұрын

    Chinekemeeoooooh!!!hakika Mungu anatoa watu mbali

  • @xcaliber8300
    @xcaliber8300Ай бұрын

    " ati sijawahi kumkaba mtu halafu asijinyee"😂🤣🤣 duuuuh

  • @magdalenapeter6106

    @magdalenapeter6106

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106Ай бұрын

    Aiseee

  • @Frosita
    @FrositaАй бұрын

    Nlichogundua hadi leo vita ni kubwa lkn vita ya watoto wa watumishi ni kubwa zaidi..

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1xАй бұрын

    Blessd kaka jacktan na Audax n promover tv ❤..the power of testimony

  • @LispafulgenceSimon-rs1zg
    @LispafulgenceSimon-rs1zgАй бұрын

    Jina la Bwana litukuzwe

  • @giffttymlemwa4523
    @giffttymlemwa4523Ай бұрын

    Mungu ni kweli

  • @esterpeter8556
    @esterpeter8556Ай бұрын

    Mungu hataudharau moyo unaomtafta zaburi51:17. Moyo wa mamaake na mtumishi Sam, nawaza ayo machozi ya mamaake

  • @shuhudazakweli3406
    @shuhudazakweli3406Ай бұрын

    Amen

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875Ай бұрын

    MUNGU anaweza yote

  • @PCharlzy-rr2iv
    @PCharlzy-rr2ivАй бұрын

    Pastor una unyakyusa mwingi .... Mbinguni tutafika? Ashukuliwe Mungu aliye hai anayetutoa gizani na kutuweka ktk mwanga wa tumaini la wokovu na utukufu wake

  • @magdalenapeter6106

    @magdalenapeter6106

    Ай бұрын

    Tutafika mpendwa tumuamini MUNGU

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor9991Ай бұрын

    Mushtara ni neno la kiarabu maana yake "mutual"

Келесі