Part 1_JINSI YA KUWASHINDA WACHAWI NA NGUVU ZOTE ZA GIZA || Prf.Iyke Nathan Uzorma

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 49

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Kutembea ktk haki na utakatifu na kweli ya YESU KRISTO kunakufunya ushinde vita ya nguvu za giza na uchawi hilo naamini Maana ulinzi wa Mungu BABA unakuzunguka siku zote.

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oiАй бұрын

    Amen 🙏 MUNGU aniwezeshe kabisa kwa imani yote inawezekana

  • @josephinemsekwahalidkijang5183
    @josephinemsekwahalidkijang51832 жыл бұрын

    Aisee Bwana Yesu asifiwe sana Juzi tu niliota nimekutana na mbwamwitu mkubwa sana wa kipepo nikiwa njiani naelekea mahali kwa mtu ila namshukuru Mungu katika jina na damu ya Yesu nilimshinda.

  • @mlowegb4097
    @mlowegb40972 жыл бұрын

    Somo hili litakuwa na maana kwetu ikiwa mwisho wa siku nasi tutakuwa na uwezo wa kuingia ktk Ulimwengu Wa Roho na kupambania kilicho chetu na kukipata. Nitasema waooo.......! Kwa somo ikiwa litatuwezesha kutumia nguvu za Kimungu mpaka tunajidai nazo ktk Ulimwengu Wa Kimwili. Ahsante

  • @evalynerwegasira7485

    @evalynerwegasira7485

    2 жыл бұрын

    AMEN

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Жыл бұрын

    Ameen,we wrestle not against flesh and blood but against principalities of darkness sitting in high places.

  • @yusufmakokha2320
    @yusufmakokha23202 жыл бұрын

    Nashukuru MUNGU kwa shuhuda hizi kwa maana nimejifunza mengi na pia nahisi kama lmani yangu inaongezeka kila ninaposikiza.

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    Ameeen, Haleluyaaaa litukuzwe milele Jina la BWANA wetu YESU KRISTO

  • @EvangelistMathayo2604
    @EvangelistMathayo26042 жыл бұрын

    Amen kwa nguvu zake Roho Mtakatifu tutashinda vita vya rohoni

  • @oliverbernad5570
    @oliverbernad55702 жыл бұрын

    Nakupata vzr kakayangu

  • @PeninahMwendwa
    @PeninahMwendwa11 ай бұрын

    Amen

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 Жыл бұрын

    From kenya Amen

  • @adelehakizimana1894
    @adelehakizimana18942 жыл бұрын

    Asante.Sana.mungu.abarikisana.akudariki.Sana.unatutarishiya.kipindi.hikimuendereye.kutuerimisha.tuzidi.kupambana.nanguvuzagiza.munguawabariki.Sana.amen

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 Жыл бұрын

    Mungu ni saidie

  • @mildredachiengi4518
    @mildredachiengi4518 Жыл бұрын

    Am seen barikiwa sana kuniongezea maarifa ya kupambana na ibilisi

  • @saveodenyo2931
    @saveodenyo29312 жыл бұрын

    Yesu Christo tuzaidiye, kwa jina lako Ni kuu kushibda ya sheyani. Asanti sana mtetezi wangu, yesu Christo.

  • @modiwelosimsokwe
    @modiwelosimsokwe Жыл бұрын

    Amina mutumishi wa mungu naomba maombi yenu kwangu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @annenice7541
    @annenice75412 жыл бұрын

    Ee Mungu wangu nisaidie ,mimi huota na walio kufa na kukibizwa na ngombe

  • @Iragibarune1.

    @Iragibarune1.

    2 жыл бұрын

    Fanya mahombi sana kwa bidiii namungu atKuhepusha naiyo vita vyagizaa

  • @nzogyamkumbo1654
    @nzogyamkumbo16542 жыл бұрын

    Amen, ubarikiwe jacktan Mungu akulinde na akujaze roho wake uzidi kutuletea shuhuda za kutufunza zaidi

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @linahliz2130
    @linahliz2130 Жыл бұрын

    Hallelujah 🙏🙏

  • @theresiamaganga5075
    @theresiamaganga50752 жыл бұрын

    I you blessed like me (Umebarikiwa Kama Mimi

  • @joshuatai40
    @joshuatai402 жыл бұрын

    Amen ushuhuda mzuri sanaa❤❤❤

  • @aminaally4163
    @aminaally41632 жыл бұрын

    Amen🙏

  • @admerarobert3485
    @admerarobert34852 жыл бұрын

    Asante Sana Mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda huu

  • @victoriaamosi8430
    @victoriaamosi84302 жыл бұрын

    Kwa msaada wa mungu twashinda

  • @dokasa9176
    @dokasa91762 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi Jacktan kwa kuwa unasaidia mioyo yetu na kuinua kila mmoja kiroho

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic53792 жыл бұрын

    Mungu atusaidie sana

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga30422 жыл бұрын

    YESU naomba kaa ndani yangu nami ndani yako nijanze nguvu iliniweze shida maadui maana peke yangu siwezi barikiwa jactan kwa shuhuda unazo tuletea

  • @kmwendemusic5379

    @kmwendemusic5379

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @josephmutemi7494

    @josephmutemi7494

    2 жыл бұрын

    Amen ubarikiwe sana

  • @naomikalinga3042

    @naomikalinga3042

    2 жыл бұрын

    @@josephmutemi7494 amen

  • @charleskilawa4288
    @charleskilawa42882 жыл бұрын

    Baba mm!!!!

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki46792 жыл бұрын

    Ameen

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko96852 жыл бұрын

    Hakika utalipwa jacktan kwa injili unayo ifanya!!! Hakika utalipwa

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @georgebugangazpoa4975
    @georgebugangazpoa49752 жыл бұрын

    AMEN

  • @lilymatoli7117
    @lilymatoli71172 жыл бұрын

    Kukosa amani ya moyo maana yake huwa nini kiroho?

  • @forjesus1382
    @forjesus13822 жыл бұрын

    Amen mimi nasumbuliwa na sex usiku ndotoni nitashinda kwa jina la Yesu

  • @sarahmdindile4301

    @sarahmdindile4301

    2 жыл бұрын

    Tafuta mchungaji akuombee, hata Mimi nilikuwa naota hizo njozi tena cku ambayo nikiomba sana ndo naota nafanya mapenzi,lkn nilipo mtafuta mtumishi was Mungu akaniombea akavunja hayo maagano mpaka Leo sijawahi ota tena

  • @marianachriss2444

    @marianachriss2444

    2 жыл бұрын

    Funga hiyo Roho ya majini mahaba ktk ndoto, kabla ya kulala sema nafunga kila roho za majini mahaba kwa Jina la YESU KRISTO,kwa Damu ya YESU KRISTO na ninajifunika kwa damu ya YESU KRISTO,omba kila siku bila kuchoka.tena toa sadaka kwa ajili ya kuvunja angano hilo la majini mahaba na utubu kwa ajili ya uzinzi huo kwenye ndoto.ukitubu unamnyima shetani nafasi ,

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 Жыл бұрын

    Amen

  • @mildredachiengi4518
    @mildredachiengi4518 Жыл бұрын

    Am seen barikiwa sana kuniongezea maarifa ya kupambana na ibilisi

  • @Queenrinna98
    @Queenrinna982 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @mildredachiengi4518
    @mildredachiengi4518 Жыл бұрын

    Am seen barikiwa sana kuniongezea maarifa ya kupambana na ibilisi

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74942 жыл бұрын

    Amen

Келесі