Part 1_JINSI YA KUWASHINDA WACHAWI NA NGUVU ZOTE ZA GIZA || Prf.Iyke Nathan Uzorma
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 49
Kutembea ktk haki na utakatifu na kweli ya YESU KRISTO kunakufunya ushinde vita ya nguvu za giza na uchawi hilo naamini Maana ulinzi wa Mungu BABA unakuzunguka siku zote.
Amen 🙏 MUNGU aniwezeshe kabisa kwa imani yote inawezekana
Aisee Bwana Yesu asifiwe sana Juzi tu niliota nimekutana na mbwamwitu mkubwa sana wa kipepo nikiwa njiani naelekea mahali kwa mtu ila namshukuru Mungu katika jina na damu ya Yesu nilimshinda.
Somo hili litakuwa na maana kwetu ikiwa mwisho wa siku nasi tutakuwa na uwezo wa kuingia ktk Ulimwengu Wa Roho na kupambania kilicho chetu na kukipata. Nitasema waooo.......! Kwa somo ikiwa litatuwezesha kutumia nguvu za Kimungu mpaka tunajidai nazo ktk Ulimwengu Wa Kimwili. Ahsante
@evalynerwegasira7485
2 жыл бұрын
AMEN
Ameen,we wrestle not against flesh and blood but against principalities of darkness sitting in high places.
Nashukuru MUNGU kwa shuhuda hizi kwa maana nimejifunza mengi na pia nahisi kama lmani yangu inaongezeka kila ninaposikiza.
Ameeen, Haleluyaaaa litukuzwe milele Jina la BWANA wetu YESU KRISTO
Amen kwa nguvu zake Roho Mtakatifu tutashinda vita vya rohoni
Nakupata vzr kakayangu
Amen
From kenya Amen
Asante.Sana.mungu.abarikisana.akudariki.Sana.unatutarishiya.kipindi.hikimuendereye.kutuerimisha.tuzidi.kupambana.nanguvuzagiza.munguawabariki.Sana.amen
Mungu ni saidie
Am seen barikiwa sana kuniongezea maarifa ya kupambana na ibilisi
Yesu Christo tuzaidiye, kwa jina lako Ni kuu kushibda ya sheyani. Asanti sana mtetezi wangu, yesu Christo.
Amina mutumishi wa mungu naomba maombi yenu kwangu🙏🙏🙏🙏🙏
Ee Mungu wangu nisaidie ,mimi huota na walio kufa na kukibizwa na ngombe
@Iragibarune1.
2 жыл бұрын
Fanya mahombi sana kwa bidiii namungu atKuhepusha naiyo vita vyagizaa
Amen, ubarikiwe jacktan Mungu akulinde na akujaze roho wake uzidi kutuletea shuhuda za kutufunza zaidi
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Hallelujah 🙏🙏
I you blessed like me (Umebarikiwa Kama Mimi
Amen ushuhuda mzuri sanaa❤❤❤
Amen🙏
Asante Sana Mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda huu
Kwa msaada wa mungu twashinda
Asante sana mtumishi Jacktan kwa kuwa unasaidia mioyo yetu na kuinua kila mmoja kiroho
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Mungu atusaidie sana
YESU naomba kaa ndani yangu nami ndani yako nijanze nguvu iliniweze shida maadui maana peke yangu siwezi barikiwa jactan kwa shuhuda unazo tuletea
@kmwendemusic5379
2 жыл бұрын
Amina
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
@josephmutemi7494
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana
@naomikalinga3042
2 жыл бұрын
@@josephmutemi7494 amen
Baba mm!!!!
Ameen
Hakika utalipwa jacktan kwa injili unayo ifanya!!! Hakika utalipwa
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
AMEN
Kukosa amani ya moyo maana yake huwa nini kiroho?
Amen mimi nasumbuliwa na sex usiku ndotoni nitashinda kwa jina la Yesu
@sarahmdindile4301
2 жыл бұрын
Tafuta mchungaji akuombee, hata Mimi nilikuwa naota hizo njozi tena cku ambayo nikiomba sana ndo naota nafanya mapenzi,lkn nilipo mtafuta mtumishi was Mungu akaniombea akavunja hayo maagano mpaka Leo sijawahi ota tena
@marianachriss2444
2 жыл бұрын
Funga hiyo Roho ya majini mahaba ktk ndoto, kabla ya kulala sema nafunga kila roho za majini mahaba kwa Jina la YESU KRISTO,kwa Damu ya YESU KRISTO na ninajifunika kwa damu ya YESU KRISTO,omba kila siku bila kuchoka.tena toa sadaka kwa ajili ya kuvunja angano hilo la majini mahaba na utubu kwa ajili ya uzinzi huo kwenye ndoto.ukitubu unamnyima shetani nafasi ,
Amen
Am seen barikiwa sana kuniongezea maarifa ya kupambana na ibilisi
Amen 🙏
Am seen barikiwa sana kuniongezea maarifa ya kupambana na ibilisi
Amen