Part2_USHUHUDA VICTORIA MSOMALI ALIYEOKOKA KWA MBINDE"Yesu alinitokea,ilibidi aje mwenyewe kuniokoa"
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 741
Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX
@PeterNMzee
Жыл бұрын
Nimejifunza mambo mawili. 1 kwamba unaweza ukawa unateswa au unapitia wakati mgumu LAKINI BADO WEWE NI RAFIKI WA MUNGU NA RAIA WA MBINGUNI. 2.Kwamba MAOMBI ni UFUNGUO, kila mara Victoria alipo omba MUNGU alionekana.
@winnahdanny5599
Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kumkubali YESU was msalaba nitafute nimefurahiya madhihirisho ya R/Mtakatifu
@florencewilson162
Жыл бұрын
@@winnahdanny5599 karibu kenya kiserian
@peterkamau6997
Жыл бұрын
Amen Amen.
@emmanuelolemwarabu
Жыл бұрын
Mungu Akubariky sana Victoria Akusaidie katika maisha yako yote daima na milele Mungu Ako ndugu zangu Akika Aky me ni mtanzania alis nazaliwa Kilimanjaro naishi tanga nafanya biashara Nairobi Kenya
Hakika Neno la MUNGU halitanguki,alisema kua na Kondoo wengine ninao ambao sio wa zip hili nao imenipasa kuwaleta, Hakika BWANA ni Mwema Amen.
Being a Kenyan, I wholeheartedly thank God for granting our sister Victoria victory in her faith- journey.
Karibu Sana Dada yangu, huku uko sehemu salama , hata Mimi nilikuwa muislam lakini nimeokoka na nimesha muona Yesu mara nyingi, Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
@sofiasalimchengo3922
Жыл бұрын
Ulimuona wapi uyo yesu jamanj
@evaristamwinuka6494
Жыл бұрын
Waooooo🙏🙏🙏💪🤩🤩🔥🔥
@rosemery542
Жыл бұрын
Otaomba sana sana hao wakiristo hawatakusaidia cho chote. Kweli huna akili unamwacha Mungu ambaye hakuzaa Wala kuzaliwa yuko peke yake. Unamwabudu Yesu aliye zaliwa na mama.Allah akuongoze.
@rosekadzonyambukadzo
Жыл бұрын
@@rosemery542 Wewe uneona hana akili Mungu aliye hai akusamehe na akuguse uone Utukufu wake.
@kiddyalite
Жыл бұрын
@@rosemery542 mmmmh
Kuna watu injili tueipata bure bila jasho wala damu, wala maumivu ila bado kama hatuoni thamani ya Neema hii. YESU uturehemu
@augenmagabila3081
Жыл бұрын
Hakika ndugu Fadhili, Injili ni gharama kubwa kuipata na ni kwa sababu ina Thamani kubwa ukiijua tu na kuitenda sawasawa, basi umepata Uzima wa milele hasa pale LUKA 10:26-37.
@aliemdogo
Жыл бұрын
Amina kaka umeongea kweli maana wengine wanaona niujinga bora aende kusilimu maana pepo yao unapata mabikra 70 nihatar hii
@augenmagabila3081
Жыл бұрын
@@aliemdogo Hayo ni mafundisho ya kipepo, Neno la MUNGU liko wazi. Baada ya kifo au katika kiyama, na kama ni wewe ni mwenye haki; Hakuna kuoa wala hakuna kuolewa Mt 22:30 au Mk 12:25 na LK 20:35 YESU Anafundisha hivyo.
@rehemasamson442
Жыл бұрын
yaaani wee acha tu mok naogopa
@dicksonkomba8781
Жыл бұрын
Umenena kweli ndugu
Isaiah 65:1 “I revealed Myself to those who did not ask for Me; I was found by those who did not seek Me. To a nation that did not call My name, I said, 'Here I am! Here I ...JESUS IS LORD.SHALOM
@karispankamzungu5156
Жыл бұрын
This one is true she is exactly like that verse
@happyhousekeeper
Жыл бұрын
😢😢😢 May God forgive us and help us, thank you Jesus 🙏
@ciruAgneskamande9011
Жыл бұрын
I came across this chapter yesterday, again am here rereading it, thanks God
Haleluya!!! Bwana YESU Asifiwe!! Tumtazame Yesu aliye chanzo na asili yetu!!
Such a glorious TESTIMONY. One day we shall write and publish her book in Jesus Name AMEN.
@ciruAgneskamande9011
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@lydiahnabwire128
4 ай бұрын
Ameeen and Ameeen
Ameen Ameen 🙏 Bwana YESU KRISTO wa Nazareth asifiwe, ametenda tena mambo makubwa na ya ajabu ya kushangaza.. Hata mimi na mke wangu tulikua wa islamu, tume mpokea Bwana YESU KRISTO mwaka moja sasa..ametenda mengi sana kwenye maisha yetu. Asante YESU Kwa neema ya wokovu, kupitia mtumishi wa mungu innocent Morris holySpirit connect.. YESU KRISTO ni mwema sana. Jina lake litukuzwe daima milele 🙏🙏
@lucymuriuki649
Жыл бұрын
Amen
@sianagodson3690
Жыл бұрын
Glory to GOD
@ciruAgneskamande9011
Жыл бұрын
Glory be to God, Amen 🙏
Mama jibril mungu akubariki tu sana, maumivi hayo ulipitia imethibitisha kweli YESU alikutokea mwenyewe, ushuhuda wako ni wa kweli kabisa, mimi ni shahidi wa hayo yote ulipitia ukiwa pale mjini Garissa naijuwa. Garissa mjinni ni mahali pangumu niliishi huko miaka 10 niliyapitia kwa kusimama kwa imani yangu ndani ya YESU nikiwa nasoma Young muslim high school. Niko na furaha kumbe yesu anaokoa hata wasomali.
@sofiasalimchengo3922
Жыл бұрын
Anaye okoa wanadamu Ni Mungu sio yesu
@rosekadzonyambukadzo
Жыл бұрын
According to your ignorance.
@salomelonje3087
Жыл бұрын
@@sofiasalimchengo3922ukimtumainia Yesu hakika Mkono wa Bwana utakuokoa
@salomelonje3087
Жыл бұрын
@@rosekadzonyambukadzowapinga kristo siku zote huinuka mpaka siku ya mwisho wa hii dunia
Mungu ni mwema kila wakati! Kule amekutoa ndiye atakuongoza uendako. I will keep you and your family in prayer always🙏🙏🙏
kaka jactan Mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi yako hii ...tukifika mbinguni Mungu atakuvika taji ..Amen
@gadyjohn3815
Жыл бұрын
Hakika, Mungu ambariki saaana, kazi yake ni njema
MUNGU akufishe na wabaya wote wadunia utagaze injili kwamataifa yote katika jina la YESU KRISTO
Mateso ya mwenye haki ni mengi, Mungu akuinue Zaid,🇰🇪🇰🇪🙏 Amen. Ss tuko dadazako usijali.
Ahsante Sana ubarikiwe upate maisha mapia na njia ya kupata ajira ya kutosha familia yako,umtumikie yesu,, ushuhunda wako umetuhimiza Sana kuomba na kuwa na ushirika na Roho wa mungu,,Amen,,
Ubarikiwe sana dada kwa yote uliyo pitia kwa ajili ya kumpokea yesu Kis to kuwa bwana na mokozi wako yesu krristo ndiye njia ya uzima wa milele
Wahoooo nmejifunza uvumlivu ukitulia Mungu anajitukuza sana
Tupatie namba ya uyu dada...tafadhali. Kidogo kidogo tuchangie,huduma na maisha yake iendelee
@maryandason1815
Жыл бұрын
Is true
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX
@neemajohn4023
Жыл бұрын
Barikiwa @Jesse Mach
Glory be to Jesus Christ our Lord and our Saviour. Halleluya. All tribes, all nations, all languages will bow before Our Lord Jesus.
As a Muslim Missionary I'm encouraged and happy.
@goodluckmolleltennis5980
9 ай бұрын
Hello May I share some with you Please make time to learn about Jesus in the Bible Im not telling you to convert I just wat you to know about Jesus And when your praying Pray in your faith asking God to show you the right path Im sure he will Just say God if your real Reveal your self to me and show me the way
Kwa kweli Mungu anaweza kukuteua miongoni mwa wasiodhania na akakufanya chemichemi na kielelezo kwa walio wengi wasioamini na kulitukuza Jina lake. Jina la bwana lipewe sifa👋🙏🙏🙏Amin.
Naona imani yangu imezidi kukua kwaajili ta huuu ushuhda .
Hakika tunapaswa kuchangia ujenzi ili uwe na pa kuishi. Maana kwakufanya hivyo tutadhibitisha upendo wetu kwa Kristo Yesu.
@hansondaniel-nb2jn
Жыл бұрын
Ubarikiwe na hiwe hivyo amina
@neemajohn4023
Жыл бұрын
Barikiwa kwa wazo hili @Rube Fabi
My lovely sister victoria ubalikiwe sana tena sana mimi nimeisikia ushunda wako mungu akupe nguvu yakutosha ili ushinde mungu uko pamoja na wewe this is Eston from Zambia 🇿🇲 ❤ u
akika nimenguswa na huu ushuunda Sana mama uinuliwe na YESU akufanyie Jambo ambalo litakusha gaza nasema nimeamua kuto kurundi nyuma kamwe nilipo sikiza huu ushuunda jamani YESU yupo anaishi you Hai milele barikiwa Sana mama Victoria Nisha Enda Kwa channel yako tayari na Nika kufollow ❤❤❤❤
@neemajohn4023
Жыл бұрын
Ameeen Ameen Ameeen
Yesu kristo aliyekuita hawezi kukuacha kabisa kama alikusaidia tangu mwanzo magumu yote basi utaona akisimama tena na wewe kupitia watu.
GOD Greatly bless you our dear Sister for this Great Testimony 🙏🏽🙏🏽👍🏼
What a testimony. I thank God for preservation and miracles. You've been through so much bcs your future is great. I stayed in Kiserian, Ngong(outer suburbs of Nairobi). God provides where He orders. He's going to make a way for you.
Great testimony. Christ is alive and he continues to reveal himself to people. Iftar, your living testimony will open the eyes of many and draw them to God. Without accepting Jesus Christ no one will get into heaven. The Lord be with you and bless you.
Ushuhuda wa huyu mama umeikuza Imani yangu. Mungu awabariki sana promover tv. Mungu azidi kukubariki sana mtumishi wa Mungu Victoria. Ulinzi wa Mungu na uzidi kukuzingira pande zote.
Very powerful testimony
Shalom Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo Mbarikiwe Jactani naomba no ya huyu bint yangu. Amina
@maryandason1815
Жыл бұрын
Ukiandika YESU KRISTO.plzz andka kwa heruf kubwa...not heruf ndgo..ilo n jina kubwa Sana dunian n mbngun
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX
@mackfasonmoshi4629
Жыл бұрын
@@PromovertvTz Ubarikiwe. Mungu azidi kukupigania. Namba yako Pse. Hata kwa kidogo kwetu kije kwakoooo...Amen..
@gracekasambala4712
Жыл бұрын
Pole Sana Victoria na hongera sana kwa kushikilia wokovu. Mungu azidi kukuinua tupo pamoja
What a testimony,God will never let his people be forsaken and be let down whatsoever,God bless you Mama Victoria.
What a praising testimony,,have followed your testimony and God our God is faithful..may the name of our Lord bless you for standing with you.. I'm working north Eastern for decade and I can testify how the Muslim work with descrimanation especially to us Christian..may God expand your territories for standing with name of the lord...shalom shalom🙏🙏
Hallelujah, JESUS is LORD 🙏
Mama Mungu akubariki Sana na akupe nguvu...tumebarikiwa Sana na ushuhuda wako...Bwana hatakupungukia kabisa.
USHUUDA unagusa sanaa ni vzur I kufanya kitu watumishi
Ameeen mam pole kwa yote uliyopitia Mungu akubariki kwa ushuhuda wako nashukuru Mungu kwa kunitia moyo na azidi kukuinua na kuineza injili yake
@rosamuhimpundo4516
Жыл бұрын
Amen Mungu mkubwa
Lol mama Mungu akubariki sana, Yesu Kristo ni Bwana. Niongee machache tu, maana wewe Bwana pekee Yako ndiye Mwokozi.
Shalom nimebarikia na ushuhuda wako ♥️❤️
Asante YESU kwa ukombozi wa kalvaly umetupa kondoo mpya tunaomba no yake angalau kidogo tulixho nacho tushee
@neemajohn4023
Жыл бұрын
Barikiwa @Kisa G...utakapotoa Akurudishie. AMEEN
@JumaKahili
Жыл бұрын
Mungu awe nawe na familia yako kwa ujumula. Hakika Yesu kristo atabaki kuwa MWOKOZI. Ushuhuda wako umenigusa sana. Kwa imani hakuna jambo gumu kwa Mungu kazi yetu tuwaombee watu wengine kwa Mungu awaguse nao siku ile tuwe pamoja.
Nimeumia sana kwa ushuhuda huu atupe no yake tumsaidie
May God bless you Victoria. Mungu yuko nawe
There is power in the name of Jesus hallelujah hallelujah.
Ushuhuda wa nguvu, kweli kumfuata yesu kuna garama , nashukuru mungu kwa wale wamekubali kulipa hio garama ingawa hazifanani na si rahisi but rehema na nehema za mungu zinatosha na mungu atabaki kuwa mungu siku zote.
@adrianjungu8360
Жыл бұрын
Hakika Mungu wetu ni Mungu mwenye nguvu astahilie heshima na utukufu
Such a powerful testimony,jamani mungu yupo💯
Wow what an amazing testimony. Lord Jesus christ you are indeed wonderful!
Amina Amina MUNGU atukuzwe milele Asante kwa ujumbe
Mungu akupe nguvu dadangu na akuepushe na mabaya na akufungulie njia
Wacha mungu aitwe mungu. Powerful testimony.
Umeninguza mchungaji... MUNGU wako ni mkuu.. Niko Kenya na ningependa kutuma chochote hili upate kununua chakula. 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu anakupenda dear usikate tamaa muubiri kristo utavuna usipozimia moyo, mungu akutunze my dear.
Mungu azidi kukuinua Dada yangu
Jamani kweri kabisa umepitiya magumu wokovu siaci amen amen asantee pole sana Yesu akuteteye
God will lead you he is everything. Mama na baba na ndugu ni wale wasikizao neno la mungu.
You are blessed my dear sister, you are a true servant of God
Mungu wa mbinguni akubariki dada, from Europe
Ubarikiwe dada
Ameni Mungu akubariki mtumishi
Kweli kabisa acheni kusemanja kwann aliacha vyiyote yesu ninjia kweli nauzima wamilele🙏❤
Oh lord blessed be your name. May you bless your servant
Asante Yesu Kwa kuokoa watu Kila siku ,usifiwe msalaba wako Yesu.Mama ubarikiwe sana tukutane mbinguni katika raha ile.
@tantinebettynduwimana380
Жыл бұрын
Mbinguni🤣🤣🤣tenda mema ndio utafika mbinguni
Jamani wana wa Yesu tumshike mkono huyu mama am so proud of her for sure mjomba nipo hapa dada angu Yesu ni baba yetu .
Thank you Jesus for this woman… I don’t know what to say 😢😢
@nikkichogo7745
Жыл бұрын
Neither do I, I've typed and deleted.
Waaaaah I'm from Kenya she has touched my heart tupewe no pls
@wangecijosephine423
Жыл бұрын
Iko hapo juu kw comment
Yesu anawatu wake jaman mungu akutangulia utashinda yote
@selestinamranda3512
Жыл бұрын
Methali 19:17 Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA Naye atamlipa kwa tendo lake jema.
God bless for the testimony so touching.mungu awabariki.
Mungu wa neema akubariki na akuzidishie dada
Mtumishi usife moyo endelea kumkiri Kristo atakuvukisha Lila daraja la maisha .mwanadamu akikushikilia siku Moka atashindwa Ila YESU hashindwi .Niko KENYA ,pwani na siku ya MUNGU ikifika utakuka kuhudumu Kwa kanisa ninalolichunga .asante Kwa ushuhuda wako na maombi yako.BARIKIWA.uhauri wangu kwako ni muombe Mwenyezi MUNGU akupe kibali cha kulichunga kanisa(pastor)shalom
Yesu nisamehe sana kwakutokujali wokovu huu😢😢😢
Bwana Yesu asifiwe mateso ya mwenye haki ni mengi sana MUNGU akusaidie kwa Imani uliyo nayo ya kumpenda yesu
🙏🏿🙏🏿🙏🏿Mungu akulinde na kukuponya,kukulinda na kukufanikisha.
Huu ushuhuda umejenga Imani yangu Sana, God bless you sister Victoria, endelea kumtumikia Mungu aliyekuita
Mungu mwema kweli ❤❤❤❤❤ mama mungu azidi kukulinda pia akujaze nguvu zaidi
Utukufu ni kwa Bwana, Amen amen 🙏
May God bless her more ❤❤
Amina Sana mama Mungu pia akufungulie milango yako na atushike mkono tumalize mwendo salama🙏
Good bless you 🎉🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳mungu adhidi kukutumia na hakutie nguvu ameeeeeen 🙌🙏👏🙏🥰
Hallelujah hallelujah glory to God woman of God may God bless you so much...may God protect you and may your ministry expand In Jesus Christ Amen 🙏
@lionofjudah1786
Жыл бұрын
May God bless you abundantly
@rinchozosto5266
Жыл бұрын
Ata wewe ubarikiwe nu ushare ushuhuda wako
Amen Amen Amen Amen 🙏 Bwana Mungu asifiwe
Nakuombea baraka tele zake Bwana Yesu,Mungu na Mwokozi wetu
May God provide whatever needs you have, what a Testimony, It has really touched my life. You're a winner in Jesus mighty name.
Amen amen!! Hakika Mungu wetu ni mkuu, yeye anasema akiwa upande wetu ni nan aliye juu yetu warumi 8:31, pamoja na mapto magumu yote, tunashinda na zaid ya Kushinda, Mungu aendelee kukutetea dadangu Victoria, ni yeye yule yule hajabadilika aliyekuvusha, anaendelea kukupigania hata sasa! Aisee ndani ya Yesu raha jaman, kikubwa usirud nyuma pamoja na changamoto ita jina la Yesu tuu naye atatatua, namshkru Mungu kwa ajili yako, hakika ushuhuda wako umenivusha mahali ktk maisha yangu ya wokovu! Be blessed
@RachaelInyanji-mr8jy
Жыл бұрын
Amen and Amen hakuna siku mungu atamuacha mja wake mama endelea kusambaza injili wewe n kama Eliah wakati Eliah alikuwa nyikani mungu alimtumia kunguru akamlisha ata wewe utalishwa kama Eliah
My sister,asante Kwa ushuhuda wako. Nimetiwa moyo kuzidi kumpenda Mungu na kumtumikia. Mungu hatkuacha kamwe na watoto wako watasoma na kuwa baraka kwako
Kwa hakika mungu n mwaminifu dada atazidi kukulinda,kukujalia na kukuinua zaidi. Amen.
Ooh MUNGU MKUU tusamehe sana sisi tunaocheza na injili
@neemajohn4023
Жыл бұрын
Yaani tuombe Toba na Rehema na Msamaha kwa kulia TUKIOMBA Toba na Rehema na Msamaha. TUMEZALIWA kwenye UKRISTO na tunaona ni kitu Rahisi. Mungu ATUSAMEHE sana. Tujihoji.
Glory to God Almighty
Pole dada mpaka hpo wewe ni zaidi ya mshi ndi ameeen.
Asifiwe yesu yeye ni wa ajabu matendo yake haifananishi n mwanadamu .Dada Mungu ako pamoja na wewe kwa kila kitu
Ameeeeeeen Utukufu kwa Yesu . Barikiwa sana dada Victoria. Barikiweni sana Wana Promover tv
Amen nimebarikiwa sana
Mama mungu ni mwaminifu atakuwezesha yote unayohitaji in Jesus Christ!!
HALLELUJAH 🙌 KARIBU SANA KWA MWANGAZA WA YESU ATLEAST UMEJUA BINGUNI UTAKARIBISHWA NA YESU SIO MUHAMMED AMEEEN
Ungetoa no ya huyo dada walau kina watu wangempa support
nayaona maisha mapya katika Kristo, Amen
Mungu wa Mbinguni Akubariki Sana Jactan pamoja Promover TV nimefurahi Kwa namba ya Victoria
Victoria sister in christ you're very blessed. Jesus loves you soo much. Karibu sana kwa Jesus He is too faithful to dissapoint you. Much love from Germany 🇩🇪
Powerful testimony mungu akubariki sana ..I am encouraged
Mungu wetu aendeleye kukutunza dada
Thank you Lord😊