Part2_USHUHUDA VICTORIA MSOMALI ALIYEOKOKA KWA MBINDE"Yesu alinitokea,ilibidi aje mwenyewe kuniokoa"

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 741

  • @PromovertvTz
    @PromovertvTz Жыл бұрын

    Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX

  • @PeterNMzee

    @PeterNMzee

    Жыл бұрын

    Nimejifunza mambo mawili. 1 kwamba unaweza ukawa unateswa au unapitia wakati mgumu LAKINI BADO WEWE NI RAFIKI WA MUNGU NA RAIA WA MBINGUNI. 2.Kwamba MAOMBI ni UFUNGUO, kila mara Victoria alipo omba MUNGU alionekana.

  • @winnahdanny5599

    @winnahdanny5599

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe kwa kumkubali YESU was msalaba nitafute nimefurahiya madhihirisho ya R/Mtakatifu

  • @florencewilson162

    @florencewilson162

    Жыл бұрын

    @@winnahdanny5599 karibu kenya kiserian

  • @peterkamau6997

    @peterkamau6997

    Жыл бұрын

    Amen Amen.

  • @emmanuelolemwarabu

    @emmanuelolemwarabu

    Жыл бұрын

    Mungu Akubariky sana Victoria Akusaidie katika maisha yako yote daima na milele Mungu Ako ndugu zangu Akika Aky me ni mtanzania alis nazaliwa Kilimanjaro naishi tanga nafanya biashara Nairobi Kenya

  • @frolasospeter6000
    @frolasospeter600011 ай бұрын

    Hakika Neno la MUNGU halitanguki,alisema kua na Kondoo wengine ninao ambao sio wa zip hili nao imenipasa kuwaleta, Hakika BWANA ni Mwema Amen.

  • @paulnjoroge7586
    @paulnjoroge7586 Жыл бұрын

    Being a Kenyan, I wholeheartedly thank God for granting our sister Victoria victory in her faith- journey.

  • @rachelissa115
    @rachelissa115 Жыл бұрын

    Karibu Sana Dada yangu, huku uko sehemu salama , hata Mimi nilikuwa muislam lakini nimeokoka na nimesha muona Yesu mara nyingi, Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏

  • @sofiasalimchengo3922

    @sofiasalimchengo3922

    Жыл бұрын

    Ulimuona wapi uyo yesu jamanj

  • @evaristamwinuka6494

    @evaristamwinuka6494

    Жыл бұрын

    Waooooo🙏🙏🙏💪🤩🤩🔥🔥

  • @rosemery542

    @rosemery542

    Жыл бұрын

    Otaomba sana sana hao wakiristo hawatakusaidia cho chote. Kweli huna akili unamwacha Mungu ambaye hakuzaa Wala kuzaliwa yuko peke yake. Unamwabudu Yesu aliye zaliwa na mama.Allah akuongoze.

  • @rosekadzonyambukadzo

    @rosekadzonyambukadzo

    Жыл бұрын

    ​@@rosemery542 Wewe uneona hana akili Mungu aliye hai akusamehe na akuguse uone Utukufu wake.

  • @kiddyalite

    @kiddyalite

    Жыл бұрын

    ​@@rosemery542 mmmmh

  • @fadhili2293
    @fadhili2293 Жыл бұрын

    Kuna watu injili tueipata bure bila jasho wala damu, wala maumivu ila bado kama hatuoni thamani ya Neema hii. YESU uturehemu

  • @augenmagabila3081

    @augenmagabila3081

    Жыл бұрын

    Hakika ndugu Fadhili, Injili ni gharama kubwa kuipata na ni kwa sababu ina Thamani kubwa ukiijua tu na kuitenda sawasawa, basi umepata Uzima wa milele hasa pale LUKA 10:26-37.

  • @aliemdogo

    @aliemdogo

    Жыл бұрын

    Amina kaka umeongea kweli maana wengine wanaona niujinga bora aende kusilimu maana pepo yao unapata mabikra 70 nihatar hii

  • @augenmagabila3081

    @augenmagabila3081

    Жыл бұрын

    @@aliemdogo Hayo ni mafundisho ya kipepo, Neno la MUNGU liko wazi. Baada ya kifo au katika kiyama, na kama ni wewe ni mwenye haki; Hakuna kuoa wala hakuna kuolewa Mt 22:30 au Mk 12:25 na LK 20:35 YESU Anafundisha hivyo.

  • @rehemasamson442

    @rehemasamson442

    Жыл бұрын

    yaaani wee acha tu mok naogopa

  • @dicksonkomba8781

    @dicksonkomba8781

    Жыл бұрын

    Umenena kweli ndugu

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb Жыл бұрын

    Isaiah 65:1 “I revealed Myself to those who did not ask for Me; I was found by those who did not seek Me. To a nation that did not call My name, I said, 'Here I am! Here I ...JESUS IS LORD.SHALOM

  • @karispankamzungu5156

    @karispankamzungu5156

    Жыл бұрын

    This one is true she is exactly like that verse

  • @happyhousekeeper

    @happyhousekeeper

    Жыл бұрын

    😢😢😢 May God forgive us and help us, thank you Jesus 🙏

  • @ciruAgneskamande9011

    @ciruAgneskamande9011

    Жыл бұрын

    I came across this chapter yesterday, again am here rereading it, thanks God

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 Жыл бұрын

    Haleluya!!! Bwana YESU Asifiwe!! Tumtazame Yesu aliye chanzo na asili yetu!!

  • @halliganagade9845
    @halliganagade9845 Жыл бұрын

    Such a glorious TESTIMONY. One day we shall write and publish her book in Jesus Name AMEN.

  • @ciruAgneskamande9011

    @ciruAgneskamande9011

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @lydiahnabwire128

    @lydiahnabwire128

    4 ай бұрын

    Ameeen and Ameeen

  • @RamaTraceur
    @RamaTraceur Жыл бұрын

    Ameen Ameen 🙏 Bwana YESU KRISTO wa Nazareth asifiwe, ametenda tena mambo makubwa na ya ajabu ya kushangaza.. Hata mimi na mke wangu tulikua wa islamu, tume mpokea Bwana YESU KRISTO mwaka moja sasa..ametenda mengi sana kwenye maisha yetu. Asante YESU Kwa neema ya wokovu, kupitia mtumishi wa mungu innocent Morris holySpirit connect.. YESU KRISTO ni mwema sana. Jina lake litukuzwe daima milele 🙏🙏

  • @lucymuriuki649

    @lucymuriuki649

    Жыл бұрын

    Amen

  • @sianagodson3690

    @sianagodson3690

    Жыл бұрын

    Glory to GOD

  • @ciruAgneskamande9011

    @ciruAgneskamande9011

    Жыл бұрын

    Glory be to God, Amen 🙏

  • @user-lg5ks6nx8x
    @user-lg5ks6nx8x Жыл бұрын

    Mama jibril mungu akubariki tu sana, maumivi hayo ulipitia imethibitisha kweli YESU alikutokea mwenyewe, ushuhuda wako ni wa kweli kabisa, mimi ni shahidi wa hayo yote ulipitia ukiwa pale mjini Garissa naijuwa. Garissa mjinni ni mahali pangumu niliishi huko miaka 10 niliyapitia kwa kusimama kwa imani yangu ndani ya YESU nikiwa nasoma Young muslim high school. Niko na furaha kumbe yesu anaokoa hata wasomali.

  • @sofiasalimchengo3922

    @sofiasalimchengo3922

    Жыл бұрын

    Anaye okoa wanadamu Ni Mungu sio yesu

  • @rosekadzonyambukadzo

    @rosekadzonyambukadzo

    Жыл бұрын

    According to your ignorance.

  • @salomelonje3087

    @salomelonje3087

    Жыл бұрын

    ​@@sofiasalimchengo3922ukimtumainia Yesu hakika Mkono wa Bwana utakuokoa

  • @salomelonje3087

    @salomelonje3087

    Жыл бұрын

    ​@@rosekadzonyambukadzowapinga kristo siku zote huinuka mpaka siku ya mwisho wa hii dunia

  • @muenikamuti6019
    @muenikamuti6019 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema kila wakati! Kule amekutoa ndiye atakuongoza uendako. I will keep you and your family in prayer always🙏🙏🙏

  • @rebecakigutu
    @rebecakigutu Жыл бұрын

    kaka jactan Mungu wa mbinguni akubariki kwa kazi yako hii ...tukifika mbinguni Mungu atakuvika taji ..Amen

  • @gadyjohn3815

    @gadyjohn3815

    Жыл бұрын

    Hakika, Mungu ambariki saaana, kazi yake ni njema

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Жыл бұрын

    MUNGU akufishe na wabaya wote wadunia utagaze injili kwamataifa yote katika jina la YESU KRISTO

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Жыл бұрын

    Mateso ya mwenye haki ni mengi, Mungu akuinue Zaid,🇰🇪🇰🇪🙏 Amen. Ss tuko dadazako usijali.

  • @isaacmaingi9488
    @isaacmaingi9488 Жыл бұрын

    Ahsante Sana ubarikiwe upate maisha mapia na njia ya kupata ajira ya kutosha familia yako,umtumikie yesu,, ushuhunda wako umetuhimiza Sana kuomba na kuwa na ushirika na Roho wa mungu,,Amen,,

  • @user-jw9pd5py2j
    @user-jw9pd5py2j Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana dada kwa yote uliyo pitia kwa ajili ya kumpokea yesu Kis to kuwa bwana na mokozi wako yesu krristo ndiye njia ya uzima wa milele

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 Жыл бұрын

    Wahoooo nmejifunza uvumlivu ukitulia Mungu anajitukuza sana

  • @jessemach4459
    @jessemach4459 Жыл бұрын

    Tupatie namba ya uyu dada...tafadhali. Kidogo kidogo tuchangie,huduma na maisha yake iendelee

  • @maryandason1815

    @maryandason1815

    Жыл бұрын

    Is true

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX

  • @neemajohn4023

    @neemajohn4023

    Жыл бұрын

    Barikiwa @Jesse Mach

  • @michelinamuthoni5845
    @michelinamuthoni5845 Жыл бұрын

    Glory be to Jesus Christ our Lord and our Saviour. Halleluya. All tribes, all nations, all languages will bow before Our Lord Jesus.

  • @joskyshams4758
    @joskyshams4758 Жыл бұрын

    As a Muslim Missionary I'm encouraged and happy.

  • @goodluckmolleltennis5980

    @goodluckmolleltennis5980

    9 ай бұрын

    Hello May I share some with you Please make time to learn about Jesus in the Bible Im not telling you to convert I just wat you to know about Jesus And when your praying Pray in your faith asking God to show you the right path Im sure he will Just say God if your real Reveal your self to me and show me the way

  • @pascalwangira6124
    @pascalwangira6124 Жыл бұрын

    Kwa kweli Mungu anaweza kukuteua miongoni mwa wasiodhania na akakufanya chemichemi na kielelezo kwa walio wengi wasioamini na kulitukuza Jina lake. Jina la bwana lipewe sifa👋🙏🙏🙏Amin.

  • @pudensianamhasi5364
    @pudensianamhasi5364 Жыл бұрын

    Naona imani yangu imezidi kukua kwaajili ta huuu ushuhda .

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Жыл бұрын

    Hakika tunapaswa kuchangia ujenzi ili uwe na pa kuishi. Maana kwakufanya hivyo tutadhibitisha upendo wetu kwa Kristo Yesu.

  • @hansondaniel-nb2jn

    @hansondaniel-nb2jn

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe na hiwe hivyo amina

  • @neemajohn4023

    @neemajohn4023

    Жыл бұрын

    Barikiwa kwa wazo hili @Rube Fabi

  • @joshuamutindia9510
    @joshuamutindia9510 Жыл бұрын

    My lovely sister victoria ubalikiwe sana tena sana mimi nimeisikia ushunda wako mungu akupe nguvu yakutosha ili ushinde mungu uko pamoja na wewe this is Eston from Zambia 🇿🇲 ❤ u

  • @elizabetheliza4751
    @elizabetheliza4751 Жыл бұрын

    akika nimenguswa na huu ushuunda Sana mama uinuliwe na YESU akufanyie Jambo ambalo litakusha gaza nasema nimeamua kuto kurundi nyuma kamwe nilipo sikiza huu ushuunda jamani YESU yupo anaishi you Hai milele barikiwa Sana mama Victoria Nisha Enda Kwa channel yako tayari na Nika kufollow ❤❤❤❤

  • @neemajohn4023

    @neemajohn4023

    Жыл бұрын

    Ameeen Ameen Ameeen

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын

    Yesu kristo aliyekuita hawezi kukuacha kabisa kama alikusaidia tangu mwanzo magumu yote basi utaona akisimama tena na wewe kupitia watu.

  • @harrietkiden7808
    @harrietkiden7808 Жыл бұрын

    GOD Greatly bless you our dear Sister for this Great Testimony 🙏🏽🙏🏽👍🏼

  • @troppe4295
    @troppe4295 Жыл бұрын

    What a testimony. I thank God for preservation and miracles. You've been through so much bcs your future is great. I stayed in Kiserian, Ngong(outer suburbs of Nairobi). God provides where He orders. He's going to make a way for you.

  • @harowario3712
    @harowario3712 Жыл бұрын

    Great testimony. Christ is alive and he continues to reveal himself to people. Iftar, your living testimony will open the eyes of many and draw them to God. Without accepting Jesus Christ no one will get into heaven. The Lord be with you and bless you.

  • @hadasafesto6111
    @hadasafesto6111 Жыл бұрын

    Ushuhuda wa huyu mama umeikuza Imani yangu. Mungu awabariki sana promover tv. Mungu azidi kukubariki sana mtumishi wa Mungu Victoria. Ulinzi wa Mungu na uzidi kukuzingira pande zote.

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta6833 Жыл бұрын

    Very powerful testimony

  • @williammasesya2363
    @williammasesya2363 Жыл бұрын

    Shalom Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo Mbarikiwe Jactani naomba no ya huyu bint yangu. Amina

  • @maryandason1815

    @maryandason1815

    Жыл бұрын

    Ukiandika YESU KRISTO.plzz andka kwa heruf kubwa...not heruf ndgo..ilo n jina kubwa Sana dunian n mbngun

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Namba za Victoria ni:+255 753 351 056 Namba za PROMOVER TV ni: +255766294335 / +255784074462 BONYEZA LINK HII KUJIUNGA NA GROUP LA MARAFIKI WA VICTORIA MSOMALI 👇 chat.whatsapp.com/KWg93F3FpjREH4kyqDaVmX

  • @mackfasonmoshi4629

    @mackfasonmoshi4629

    Жыл бұрын

    ​@@PromovertvTz Ubarikiwe. Mungu azidi kukupigania. Namba yako Pse. Hata kwa kidogo kwetu kije kwakoooo...Amen..

  • @gracekasambala4712

    @gracekasambala4712

    Жыл бұрын

    Pole Sana Victoria na hongera sana kwa kushikilia wokovu. Mungu azidi kukuinua tupo pamoja

  • @jamesluvisha5485
    @jamesluvisha5485 Жыл бұрын

    What a testimony,God will never let his people be forsaken and be let down whatsoever,God bless you Mama Victoria.

  • @martinkimathi4935
    @martinkimathi4935 Жыл бұрын

    What a praising testimony,,have followed your testimony and God our God is faithful..may the name of our Lord bless you for standing with you.. I'm working north Eastern for decade and I can testify how the Muslim work with descrimanation especially to us Christian..may God expand your territories for standing with name of the lord...shalom shalom🙏🙏

  • @apostlezizi
    @apostlezizi Жыл бұрын

    Hallelujah, JESUS is LORD 🙏

  • @esthersamwel8716
    @esthersamwel8716 Жыл бұрын

    Mama Mungu akubariki Sana na akupe nguvu...tumebarikiwa Sana na ushuhuda wako...Bwana hatakupungukia kabisa.

  • @johnallen680
    @johnallen680 Жыл бұрын

    USHUUDA unagusa sanaa ni vzur I kufanya kitu watumishi

  • @samid1937
    @samid1937 Жыл бұрын

    Ameeen mam pole kwa yote uliyopitia Mungu akubariki kwa ushuhuda wako nashukuru Mungu kwa kunitia moyo na azidi kukuinua na kuineza injili yake

  • @rosamuhimpundo4516

    @rosamuhimpundo4516

    Жыл бұрын

    Amen Mungu mkubwa

  • @asaphdaniel260
    @asaphdaniel260 Жыл бұрын

    Lol mama Mungu akubariki sana, Yesu Kristo ni Bwana. Niongee machache tu, maana wewe Bwana pekee Yako ndiye Mwokozi.

  • @adelahaule711
    @adelahaule711 Жыл бұрын

    Shalom nimebarikia na ushuhuda wako ♥️❤️

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 Жыл бұрын

    Asante YESU kwa ukombozi wa kalvaly umetupa kondoo mpya tunaomba no yake angalau kidogo tulixho nacho tushee

  • @neemajohn4023

    @neemajohn4023

    Жыл бұрын

    Barikiwa @Kisa G...utakapotoa Akurudishie. AMEEN

  • @JumaKahili

    @JumaKahili

    Жыл бұрын

    Mungu awe nawe na familia yako kwa ujumula. Hakika Yesu kristo atabaki kuwa MWOKOZI. Ushuhuda wako umenigusa sana. Kwa imani hakuna jambo gumu kwa Mungu kazi yetu tuwaombee watu wengine kwa Mungu awaguse nao siku ile tuwe pamoja.

  • @elizabethmjema1730
    @elizabethmjema1730 Жыл бұрын

    Nimeumia sana kwa ushuhuda huu atupe no yake tumsaidie

  • @mariemerimuluka8096
    @mariemerimuluka8096 Жыл бұрын

    May God bless you Victoria. Mungu yuko nawe

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam241910 ай бұрын

    There is power in the name of Jesus hallelujah hallelujah.

  • @finaflowers7033
    @finaflowers7033 Жыл бұрын

    Ushuhuda wa nguvu, kweli kumfuata yesu kuna garama , nashukuru mungu kwa wale wamekubali kulipa hio garama ingawa hazifanani na si rahisi but rehema na nehema za mungu zinatosha na mungu atabaki kuwa mungu siku zote.

  • @adrianjungu8360

    @adrianjungu8360

    Жыл бұрын

    Hakika Mungu wetu ni Mungu mwenye nguvu astahilie heshima na utukufu

  • @victorianjoki5822
    @victorianjoki58227 ай бұрын

    Such a powerful testimony,jamani mungu yupo💯

  • @shirugaks7464
    @shirugaks7464 Жыл бұрын

    Wow what an amazing testimony. Lord Jesus christ you are indeed wonderful!

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi9746 Жыл бұрын

    Amina Amina MUNGU atukuzwe milele Asante kwa ujumbe

  • @bakarijuma9315
    @bakarijuma931510 ай бұрын

    Mungu akupe nguvu dadangu na akuepushe na mabaya na akufungulie njia

  • @kiokojm
    @kiokojm Жыл бұрын

    Wacha mungu aitwe mungu. Powerful testimony.

  • @festusmulandi4224
    @festusmulandi4224 Жыл бұрын

    Umeninguza mchungaji... MUNGU wako ni mkuu.. Niko Kenya na ningependa kutuma chochote hili upate kununua chakula. 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @felistamushi
    @felistamushiАй бұрын

    Mungu anakupenda dear usikate tamaa muubiri kristo utavuna usipozimia moyo, mungu akutunze my dear.

  • @RamadhanMwinyimvua-ry8yp
    @RamadhanMwinyimvua-ry8yp Жыл бұрын

    Mungu azidi kukuinua Dada yangu

  • @antoinettendayizeye5884
    @antoinettendayizeye5884 Жыл бұрын

    Jamani kweri kabisa umepitiya magumu wokovu siaci amen amen asantee pole sana Yesu akuteteye

  • @josephkarisa6246
    @josephkarisa6246 Жыл бұрын

    God will lead you he is everything. Mama na baba na ndugu ni wale wasikizao neno la mungu.

  • @euniceokello7718
    @euniceokello7718 Жыл бұрын

    You are blessed my dear sister, you are a true servant of God

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 Жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni akubariki dada, from Europe

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Жыл бұрын

    Ubarikiwe dada

  • @sarahkapange252
    @sarahkapange252 Жыл бұрын

    Ameni Mungu akubariki mtumishi

  • @neemaseleman3020
    @neemaseleman3020 Жыл бұрын

    Kweli kabisa acheni kusemanja kwann aliacha vyiyote yesu ninjia kweli nauzima wamilele🙏❤

  • @topistermghoi1130
    @topistermghoi1130 Жыл бұрын

    Oh lord blessed be your name. May you bless your servant

  • @user-zi1go8mp5w
    @user-zi1go8mp5w Жыл бұрын

    Asante Yesu Kwa kuokoa watu Kila siku ,usifiwe msalaba wako Yesu.Mama ubarikiwe sana tukutane mbinguni katika raha ile.

  • @tantinebettynduwimana380

    @tantinebettynduwimana380

    Жыл бұрын

    Mbinguni🤣🤣🤣tenda mema ndio utafika mbinguni

  • @romathosimfukwe4240
    @romathosimfukwe4240 Жыл бұрын

    Jamani wana wa Yesu tumshike mkono huyu mama am so proud of her for sure mjomba nipo hapa dada angu Yesu ni baba yetu .

  • @jesusisthewaytoheaventv5353
    @jesusisthewaytoheaventv5353 Жыл бұрын

    Thank you Jesus for this woman… I don’t know what to say 😢😢

  • @nikkichogo7745

    @nikkichogo7745

    Жыл бұрын

    Neither do I, I've typed and deleted.

  • @ceciliagits4486
    @ceciliagits4486 Жыл бұрын

    Waaaaah I'm from Kenya she has touched my heart tupewe no pls

  • @wangecijosephine423

    @wangecijosephine423

    Жыл бұрын

    Iko hapo juu kw comment

  • @aliemdogo
    @aliemdogo Жыл бұрын

    Yesu anawatu wake jaman mungu akutangulia utashinda yote

  • @selestinamranda3512

    @selestinamranda3512

    Жыл бұрын

    Methali 19:17 Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA Naye atamlipa kwa tendo lake jema.

  • @richysilaha3895
    @richysilaha3895 Жыл бұрын

    God bless for the testimony so touching.mungu awabariki.

  • @karisaasnath2833
    @karisaasnath2833 Жыл бұрын

    Mungu wa neema akubariki na akuzidishie dada

  • @MruuKarisa
    @MruuKarisa Жыл бұрын

    Mtumishi usife moyo endelea kumkiri Kristo atakuvukisha Lila daraja la maisha .mwanadamu akikushikilia siku Moka atashindwa Ila YESU hashindwi .Niko KENYA ,pwani na siku ya MUNGU ikifika utakuka kuhudumu Kwa kanisa ninalolichunga .asante Kwa ushuhuda wako na maombi yako.BARIKIWA.uhauri wangu kwako ni muombe Mwenyezi MUNGU akupe kibali cha kulichunga kanisa(pastor)shalom

  • @rozijackson4467
    @rozijackson4467 Жыл бұрын

    Yesu nisamehe sana kwakutokujali wokovu huu😢😢😢

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oiАй бұрын

    Bwana Yesu asifiwe mateso ya mwenye haki ni mengi sana MUNGU akusaidie kwa Imani uliyo nayo ya kumpenda yesu

  • @johnboscokiringo2398
    @johnboscokiringo2398 Жыл бұрын

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿Mungu akulinde na kukuponya,kukulinda na kukufanikisha.

  • @loisekisanga2754
    @loisekisanga2754 Жыл бұрын

    Huu ushuhuda umejenga Imani yangu Sana, God bless you sister Victoria, endelea kumtumikia Mungu aliyekuita

  • @nananailla7723
    @nananailla7723 Жыл бұрын

    Mungu mwema kweli ❤❤❤❤❤ mama mungu azidi kukulinda pia akujaze nguvu zaidi

  • @MacrinaSalama
    @MacrinaSalama2 ай бұрын

    Utukufu ni kwa Bwana, Amen amen 🙏

  • @reginadavid4454
    @reginadavid4454 Жыл бұрын

    May God bless her more ❤❤

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani59507 ай бұрын

    Amina Sana mama Mungu pia akufungulie milango yako na atushike mkono tumalize mwendo salama🙏

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Жыл бұрын

    Good bless you 🎉🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳mungu adhidi kukutumia na hakutie nguvu ameeeeeen 🙌🙏👏🙏🥰

  • @FouziaFarah-jw5kq
    @FouziaFarah-jw5kq Жыл бұрын

    Hallelujah hallelujah glory to God woman of God may God bless you so much...may God protect you and may your ministry expand In Jesus Christ Amen 🙏

  • @lionofjudah1786

    @lionofjudah1786

    Жыл бұрын

    May God bless you abundantly

  • @rinchozosto5266

    @rinchozosto5266

    Жыл бұрын

    Ata wewe ubarikiwe nu ushare ushuhuda wako

  • @carinelubuy677
    @carinelubuy677 Жыл бұрын

    Amen Amen Amen Amen 🙏 Bwana Mungu asifiwe

  • @josephmutungi3048
    @josephmutungi3048 Жыл бұрын

    Nakuombea baraka tele zake Bwana Yesu,Mungu na Mwokozi wetu

  • @annchanda8074
    @annchanda8074 Жыл бұрын

    May God provide whatever needs you have, what a Testimony, It has really touched my life. You're a winner in Jesus mighty name.

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 Жыл бұрын

    Amen amen!! Hakika Mungu wetu ni mkuu, yeye anasema akiwa upande wetu ni nan aliye juu yetu warumi 8:31, pamoja na mapto magumu yote, tunashinda na zaid ya Kushinda, Mungu aendelee kukutetea dadangu Victoria, ni yeye yule yule hajabadilika aliyekuvusha, anaendelea kukupigania hata sasa! Aisee ndani ya Yesu raha jaman, kikubwa usirud nyuma pamoja na changamoto ita jina la Yesu tuu naye atatatua, namshkru Mungu kwa ajili yako, hakika ushuhuda wako umenivusha mahali ktk maisha yangu ya wokovu! Be blessed

  • @RachaelInyanji-mr8jy

    @RachaelInyanji-mr8jy

    Жыл бұрын

    Amen and Amen hakuna siku mungu atamuacha mja wake mama endelea kusambaza injili wewe n kama Eliah wakati Eliah alikuwa nyikani mungu alimtumia kunguru akamlisha ata wewe utalishwa kama Eliah

  • @sarahmudogo6878
    @sarahmudogo6878 Жыл бұрын

    My sister,asante Kwa ushuhuda wako. Nimetiwa moyo kuzidi kumpenda Mungu na kumtumikia. Mungu hatkuacha kamwe na watoto wako watasoma na kuwa baraka kwako

  • @naomymoraa2611
    @naomymoraa2611 Жыл бұрын

    Kwa hakika mungu n mwaminifu dada atazidi kukulinda,kukujalia na kukuinua zaidi. Amen.

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Жыл бұрын

    Ooh MUNGU MKUU tusamehe sana sisi tunaocheza na injili

  • @neemajohn4023

    @neemajohn4023

    Жыл бұрын

    Yaani tuombe Toba na Rehema na Msamaha kwa kulia TUKIOMBA Toba na Rehema na Msamaha. TUMEZALIWA kwenye UKRISTO na tunaona ni kitu Rahisi. Mungu ATUSAMEHE sana. Tujihoji.

  • @riyadmanfuha9229
    @riyadmanfuha9229 Жыл бұрын

    Glory to God Almighty

  • @user-ts2hf3oe1k
    @user-ts2hf3oe1k6 ай бұрын

    Pole dada mpaka hpo wewe ni zaidi ya mshi ndi ameeen.

  • @jacklinekhayechia4362
    @jacklinekhayechia4362 Жыл бұрын

    Asifiwe yesu yeye ni wa ajabu matendo yake haifananishi n mwanadamu .Dada Mungu ako pamoja na wewe kwa kila kitu

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Жыл бұрын

    Ameeeeeeen Utukufu kwa Yesu . Barikiwa sana dada Victoria. Barikiweni sana Wana Promover tv

  • @livinhillary9804
    @livinhillary9804 Жыл бұрын

    Amen nimebarikiwa sana

  • @mariakalama3014
    @mariakalama30142 ай бұрын

    Mama mungu ni mwaminifu atakuwezesha yote unayohitaji in Jesus Christ!!

  • @lydiahnabwire128
    @lydiahnabwire1284 ай бұрын

    HALLELUJAH 🙌 KARIBU SANA KWA MWANGAZA WA YESU ATLEAST UMEJUA BINGUNI UTAKARIBISHWA NA YESU SIO MUHAMMED AMEEEN

  • @wendynkya1309
    @wendynkya1309 Жыл бұрын

    Ungetoa no ya huyo dada walau kina watu wangempa support

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Жыл бұрын

    nayaona maisha mapya katika Kristo, Amen

  • @williammasesya2363
    @williammasesya2363 Жыл бұрын

    Mungu wa Mbinguni Akubariki Sana Jactan pamoja Promover TV nimefurahi Kwa namba ya Victoria

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever Жыл бұрын

    Victoria sister in christ you're very blessed. Jesus loves you soo much. Karibu sana kwa Jesus He is too faithful to dissapoint you. Much love from Germany 🇩🇪

  • @jacintananzia5659
    @jacintananzia5659 Жыл бұрын

    Powerful testimony mungu akubariki sana ..I am encouraged

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi924311 ай бұрын

    Mungu wetu aendeleye kukutunza dada

  • @fridagodfrey6246
    @fridagodfrey6246 Жыл бұрын

    Thank you Lord😊

Келесі