PARTY.2.MAPITO YA MTUMISHI WA MUNGU ADAM HAJI NA MKE WAKE

Mwendelezo wa Mapito ya Mtumishi wa Mungu Adam Haji na Mke wake

Пікірлер: 88

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690Ай бұрын

    Yesu Kristo ni Mungu.haleluya alie na sikio asikie na afahamu

  • @christabeldorothy8023
    @christabeldorothy8023 Жыл бұрын

    I just love what I'm watching and hearing 🦻😊 Amen. Much more grace man of God 🙏

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba44132 ай бұрын

    Kwa ushuhuda wa huyu msomali nimeamini kweli Yesu amemuokoa nakumpa imani ya kumuamini Mungu wa kweli

  • @peninahmuthoka8667
    @peninahmuthoka8667 Жыл бұрын

    Man of God Go d bless you

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi3112 ай бұрын

    Ashukuriwe Mungu aliye juu katika jina la Yesu Kristo. Okokeni mnaosikia Yesu anawapeda

  • @velmahrukia1558
    @velmahrukia1558 Жыл бұрын

    Haji tunakuombea mungu akuinue zaidi tunaedelea kuinuliwa kwa kweli umenipa kitu or kushika neno la mungu

  • @adamkhamis1973

    @adamkhamis1973

    Жыл бұрын

    Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola

  • @kitwanajohn8237
    @kitwanajohn82372 ай бұрын

    Uzidi kubarikiwa mtumishi wa BWANA wa MABWANA

  • @princessnaomi5644
    @princessnaomi5644 Жыл бұрын

    Thank you Jesus for this man of God he real touches my heart with his teaching may God bless him abounderntly

  • @verasikawa6382

    @verasikawa6382

    Жыл бұрын

    Mungu akulinde na mabaya yote. Nimebarikiwa sana na ujumbe huu.

  • @princessnaomi5644

    @princessnaomi5644

    Жыл бұрын

    Amen

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Жыл бұрын

    Yesu asante kwa wokovu,kukujua wewe ni fahari kubwa sana.Hakuna dini ya hovyo kama ya kiislam, hilo ni lango la kuzimu maana hamna kumkiri Yesu huko.

  • @adamkhamis1973

    @adamkhamis1973

    Жыл бұрын

    Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola

  • @magdalenekatana9500
    @magdalenekatana950011 ай бұрын

    Amen, Mungu akubaribiri mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na mahubiri yako

  • @PokeaUzimatv-hl6fy
    @PokeaUzimatv-hl6fy Жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi hata mawigs ni photo kopy tuache

  • @beatricendikumana8776
    @beatricendikumana8776 Жыл бұрын

    Ninajifunja kitu heee Mungu ukubariki mtumishi

  • @lusekeloandawile6864
    @lusekeloandawile68642 ай бұрын

    Amen

  • @EsnartKayuni-uj5dx
    @EsnartKayuni-uj5dx6 ай бұрын

    Amen 🇲🇼

  • @hukukanairo047
    @hukukanairo0478 ай бұрын

    ❤❤❤❤Amen

  • @omamomanhelena9433
    @omamomanhelena94334 ай бұрын

    ❤Barikiwa mtu mishi wa mungu baba

  • @namanndubi3767
    @namanndubi3767 Жыл бұрын

    God bless you.

  • @hamzalsadiki4284
    @hamzalsadiki4284 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @oscarharagakiza3922
    @oscarharagakiza3922 Жыл бұрын

    Innalilla wainalillah rajiun

  • @lucykatunge4585
    @lucykatunge4585 Жыл бұрын

    Ameeeeeeen

  • @nurusaidi3642
    @nurusaidi3642 Жыл бұрын

    Nihame kwa yesu niende wapi nampenda yesu milele na milele

  • @ludovickmutalemwa7387
    @ludovickmutalemwa7387 Жыл бұрын

    Jamani uisilamu ni utumwa tu

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    Жыл бұрын

    Ukafiri ndio utumwa mana si mnaona mnavovishwa uchi???

  • @mwalimumuhidini1544

    @mwalimumuhidini1544

    Жыл бұрын

    Kweli sisi waislamu Ni watumwa kwa mola wetu tunamtumikia na tunampenda hakika mpenzi kwa anaempenda hujipendekeza

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    ​@@mwalimumuhidini1544huyu ameshuhudia alioa Jini, Yesu aipomtokea jini liikimbia.

  • @haridimpelengana1246
    @haridimpelengana124610 ай бұрын

    Uongezeke katika jina la Yesu

  • @user-fv7ri6mw2n
    @user-fv7ri6mw2n4 ай бұрын

    God bless you

  • @faithwayua-gu3pv
    @faithwayua-gu3pv9 ай бұрын

    Bona unaamini majini sana kuliko kumwaninj yesu naguvu zake kama sinauwezo kuliko majini Paster?

  • @anwarambar6141
    @anwarambar614110 ай бұрын

    Allah ametowa nuru katika sura yako, Subhanallah

  • @ngendakumanalewis1472

    @ngendakumanalewis1472

    10 ай бұрын

    Na YESU KRISTO amemnkarisha kama Nyota kwa Neema yake

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Wakati mbaka mama yake ameokoka

  • @samwelsimon4800
    @samwelsimon4800 Жыл бұрын

    Nakupenda

  • @fatumaali7470
    @fatumaali7470 Жыл бұрын

    Hasara kubwa walahi

  • @phylise3400
    @phylise3400 Жыл бұрын

    Amen.

  • @richardbwire4747
    @richardbwire474711 ай бұрын

    In Jesus there is peace

  • @oscarharagakiza3922
    @oscarharagakiza3922 Жыл бұрын

    Unaonekana hujasoma vuzuli bibiliya'ukishsoma vizuli utajuuuta saaana

  • @emmanuelyambo4143

    @emmanuelyambo4143

    11 ай бұрын

    Hebu tueleze kwa maana nimesoma quaran nika gundua kuwa allah ni shetani.

  • @victorluhata2427
    @victorluhata2427 Жыл бұрын

    Past a ADAM, bona unafika kicho chako ukifudisha? Umesoma biblia?

  • @oscarharagakiza3922
    @oscarharagakiza3922 Жыл бұрын

    Someeni biblia vizuli !hata yes mwenyewe aliwaambia ,mimi naondoka ila nyumayangu kuna mtumwa atakuja mmufuateni huyo nahuo simwengine anaitwa ahmadi .weeneda tu ni kama toone lamaji linadondoka kutoka kwenye pipalamaji

  • @dorothysamwel2648

    @dorothysamwel2648

    11 ай бұрын

    Wewe oscarharagakiza ushindwe kwa jina la Yesu, Adam Hajj ameokolewa wewe unangoja nini?

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    10 ай бұрын

    Uongo 😂mkubwa ulongo 😢 Yesu alimuongelea roho mtakatafu na alisema niroho hakumsema binadamu

  • @peninahmuthoka8667
    @peninahmuthoka8667 Жыл бұрын

    I need your No

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid261410 ай бұрын

    Fir aun alishindwa wacha wewe

  • @adamkhamis1973
    @adamkhamis1973 Жыл бұрын

    نسأل الله رب العرش العظيم أن يأخذك أخذ عزيز مقتدر

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    Жыл бұрын

    Mkubali Yesu uokoke.

  • @adamkhamis1973

    @adamkhamis1973

    Жыл бұрын

    Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola

  • @adamkhamis1973

    @adamkhamis1973

    Жыл бұрын

    @@laurentraphael5470 Yesu yupi? Wa Shakahola Kilifi, Kenya… Waislamu wanamuamini yesu, wanamuenzi na kumuheshimu…. Soma Quran… kuna chapter nzima ya kumsifu yesu kama nabii Quran chapter 19 (chapter mary)… ukifuata maandiko…Torati,Zaburi,Injili na Quran hutadanganywa kama hao mafala wa shakahola. Vipi unakaa njaa wewe na watoto wako mpaka unakufa. Mnarambwa pesa kila siku na wakora kanisani… hakuna miujiza yeyote wako nayo theyre just taking advantage of your ignorance,stress, depression and desperation . Kama kweli wanaponya watu mbona HAWAENDI MA HOSPITALI KUTIBU WAGONJWA. Wake up… YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOMETIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME. Na huyo Adan Wario Jirmo anaejiita Adam Hajj MBONA HAKUWEZA KUJITIBU ALIPOEKEWA SUMU NA WAKRISTO WENZAKE KAMA ANAVYODAI…ALIKIMBIA HOSPITALI… roho mtakatifu na maombi yalikua wapi… wacheni kudanganywa kama watu wa shakahola

  • @adamkhamis1973

    @adamkhamis1973

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZJin28umkdaTl5s.html

  • @mwalimumuhidini1544

    @mwalimumuhidini1544

    Жыл бұрын

    ادع الله أن يهديه الى صراط المستقيم كل ابن آدم خطاء

  • @coolpara8192
    @coolpara819211 ай бұрын

    Biashara uliyoichaguwa haina faida hiyo

  • @ngendakumanalewis1472

    @ngendakumanalewis1472

    10 ай бұрын

    There is nothing about business ,he is Chosen by the KING OF KINGS

  • @faridarahma4050
    @faridarahma4050 Жыл бұрын

    Furahisha watu na uwongo

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    Жыл бұрын

    Yesu anakupenda, bila Yesu hutoboi. Mkubali Yesu uokoke, Yesu ndio njia kweli na uzima.

  • @mwalimumuhidini1544

    @mwalimumuhidini1544

    Жыл бұрын

    @@laurentraphael5470 Tofauti ya Uislamu na ukristo uislam Ni dini ya Ibada na ukristo Ni dini ya maono na agano jipya

  • @faridarahma4050

    @faridarahma4050

    Жыл бұрын

    @@laurentraphael5470 ww tu upwndwe na huyo yesu wako

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Mwite Yesu nawe utamwona. Ni kweli si ungo.

  • @danielmussa4938

    @danielmussa4938

    2 ай бұрын

    Lipa madeni ya kodi ili uelewe aiseh

  • @oscarharagakiza3922
    @oscarharagakiza3922 Жыл бұрын

    Hakuna anayetoka katika idini ya kislam,dini ndio inakutokamo,kwamaana pumbaza chele lazima zitolewe katika mchele muzuli!wenendatu

  • @emmanuelyambo4143

    @emmanuelyambo4143

    11 ай бұрын

    Uislamu dini ya kutomba wasichana wa miaka tisa!!!!

  • @ngendakumanalewis1472

    @ngendakumanalewis1472

    10 ай бұрын

    Ungelifanya vema kumfwatilia kwa sababu wewe unae mjudge, anakushida Elimu ya dini ya Kiislam A to Z

  • @ngendakumanalewis1472

    @ngendakumanalewis1472

    10 ай бұрын

    Ungelifanya vema kumfwatilia kwa sababu wewe unae mjudge, anakushida Elimu ya dini ya Kiislam A to Z

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid261410 ай бұрын

    Mnafiki mrongo na unakufa vibaya kwa kuusingizia uislam wewe simsomali

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Ni msomali, na alioa Jini, Yesu alipomtokea ndiyo Jini liikimbia, acha kabisa

  • @anwarambar6141
    @anwarambar614110 ай бұрын

    loh, eti ametoka katika uko wa mtume nuhammad, na nyinyi wakristo mwakubali kudanganywa, sawa haji wewe tafuta pesa,

  • @edge6016
    @edge6016 Жыл бұрын

    Huyu ni kadhab anajuwa uislamu ni dini ya ukweli lakini amechagua tama ya Dunia Jahilii mukubwa

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    Жыл бұрын

    Dini ya kuzimu tangu lini itakuwa ya haki. Bila Yesu hamna kuingia mbinguni. Mkubali Yesu uokoke.

  • @adamkhamis1973

    @adamkhamis1973

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZJin28umkdaTl5s.html

  • @princessnaomi5644

    @princessnaomi5644

    Жыл бұрын

    True

  • @princessnaomi5644

    @princessnaomi5644

    Жыл бұрын

    Laurent Raphael umesema ukweli kabxaa yesu pekeake ndio njia ya kwenda mbinguni

  • @mwalimumuhidini1544

    @mwalimumuhidini1544

    Жыл бұрын

    ​Kisha mmesema uongo mitume yote ndio njia ya kwenda huko mnapokudai Kisha sisi waislamu ahadi yetu Ni kwenda peponi mbinguni hatuna haja nako

  • @com_sci123
    @com_sci12310 ай бұрын

    Umbwa wewe

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    2 ай бұрын

    Alioa Jini, Yesu alipomtokea ndiyo Jini liikimbia, sasa umbwa wake nini?

  • @user-uo6me4tx7n
    @user-uo6me4tx7n2 ай бұрын

    Amen

  • @peninahmuthoka8667
    @peninahmuthoka8667 Жыл бұрын

    Amen

Келесі