"Msipende kuombewaobewa ni mtego" Day1_MCH.KATEKELA KATIKA SEMINA YA NENO LA MUNGU KENYA MOMBASA VOK
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak5W0jXI0M1eX
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 60
Barikiweni sana watumishi wa Mungu. Tunamgojea Kwa hamu huku Nairobi. Mungu awatende mema mnapo tangaza injili ya Kristo. Mama Mebo MUTUA. Karibu sana Kenya
Poleni Sana Kwa Changamoto MUNGU asiwaache
Mungu akubariki mtumishi was mungu 13:00
Poleni kwa safari ndefu .Mungu awatie nguvu.Karibuni Mombasa Kenya
Wanaitwa walokole wau wengine wanasema wanalia lia hovyo hovyo lakini wa ni watu walio na amani kweli
@trophywilson7211
7 ай бұрын
Tunalia ili Tuje Tumuone Mungu na Yesu aliyekufa akafufuka na leo Yuko Hai
mungu awape nguvu zaidi
Ila Kama Mpaka Sasa Unatangaza Falme hazijakuua Basi Yesu anapenda Umtumikie
Nawaona hapa watishi,Mibarik8we mno
@utakatifunahaki5095
7 ай бұрын
ongera dada Rose mhando amazing
@PromovertvTz
7 ай бұрын
Amen amen
Jamani nampenda Yesu jamani
Nimewakaribisha nyumbani Kwa jina la Bwana yesu kristo, jickieni Kaa mko nyumbani kwenu, Bwana wamajeshi mfalme mkuu yesu kristo akatimize malengo yenu.
Mchungaji Amiel ,Bwana Mungu azidi kukuokoa sana napenda injili yako sana.inagusa Moyo wangi Bwana akubariki sana
Jacktan mungu awabariki sana kwa kazi nzuri mnayoifanya promover tv
Mungu awalinde sana wachungaji wangu nawapenda sana
Hallelujah Hallelujah 🙌 nimewangoja sana watumishi karibuni sana Kenya na pia poleni kwa tabia ya madereva😢😢 wa Nairobi tusameheni sana
Mbarikiwe na mungu aliye hai,, Nairobi mtafika?
Poleni Kwa safari ndefu na karibu Sana kenya Mungu awatie nguvu na awatumie kama Chombo toka katika nyumba yake❤❤❤
Nimeelewa mko Mombasa amko Nairobi. Karibu.kenya nielekese jinzi yakutuma sadaka
Mungu hawabariki sna kwa kukanyanga undogo wa Kenya tumeshukuru sna ss wana online
Amen nawapenda sana
EMwenyezi Mungu wabariki watumishi wako
Barikiwa Sana jactani msafiri Kwa KAZI safi
Karibuni kenya 🇰🇪 tunawapenda sanaaa barikiweni.
Ubarikiwe sana mtu wa mungu mahubiri na ushuhuda wako umenitoa mahali
Wow my favourite pastor Amieli his in Kenya. Welcome home we Love You be Blessed. Audax Jacktan na hao wengine karibuni Kenya 🇰🇪tunawapenda be Blessed wana Promover wote ❤
@bettytangus
7 ай бұрын
Wako wapi haki niende
@tamarali8325
7 ай бұрын
@@bettytangus ninasikia wako Mombasa
Karibuni Kenya,Injili iendelee,
Karibu Kenya mchungaji❤❤❤❤❤❤
Karibuni Kenya Team Promover
Karibuni kenya watumishi wa MUNGU
Karibuni Kenya tena na tena
Baraka sa bwana siatamane nanyi
❤.. Mungu ni Mwema kweli
Karibuni sana sana kenya❤
Poleni sana
AMEN ,AMEN , AMEN ,
Naomba nijue mnakuja Nairobi Pande gani tafathali
Tupo pamoja
Hki pole sana Kwa safari ndefu na yenye uchovu mwingi, na dhurma za pale stage ya Nairobi, aki poleni.
@upendocd7390
7 ай бұрын
dhuluma zipi mtumishii?
Ibada 5 kama Za Ndugu zetu ,Duhh kweli Shetani alisirimishwa na Wenzetu acha Wawepo Wachawi Wengi na Waganga Wa Kienyeji Wengi huko na Waabudu Miungu wengi
Kenya Kumbe Ovyo
ameeen mtumishi wa mungu yesu abewasifa 🙏🇰🇪
Acha kumzidisha shetani kwenye mahubiri yako, hubiri neno litatusaidia sana
@sophiamakani6133
7 ай бұрын
Acha unafiki umelazimisha na nani kucomment
@LucyKapinga-fg4dk
7 ай бұрын
Yote kwa yote TUNAMSHINDA MAANA AKuna wa kumlinganisha naye kristo atanbaki kuwa JUU
@LucyKapinga-fg4dk
7 ай бұрын
Lazima awafunue watu kwamba ufalme wa mbingu unatekwa na wenye nguvu ,maana kupata iyo neema ni kusimama kisawasawa na sio michanganyo maana pia Hata shetani uwez pigana nae ukiwa legelege maana inaitaji nguvu ya imani kuvadsilaha za MUNGU Ilitupate kumshinda shetani sio wa mchezo mchezoo
@user-sr2ne3in3l
7 ай бұрын
Kwani wwe usiepeda shetani akifunuliwa njia zake, wwe nimuadhiriwa,
Ni Naomi Niko Nairobi mko wapi
Hubiri neno 11
@sophiamakani6133
7 ай бұрын
Wewe kama ulisha sikia ushuhuda wa Muchungaji tulia na wengine wasikize, unadhani wewe ndio uliye mutuma ama ni MUNGU aliye mchagua atangaze injili dunia nzima.
@trophywilson7211
7 ай бұрын
Wamemuita ili wasikie Ushuhuda ,Wahubiri wanao wengi tu mpendwq,Kumbuka wametoa michango yao ,Uwe na Amani usikwazike,Si wote wana Computer au simu
@user-ru7hi7cw5u
6 ай бұрын
Kama utaki kusikia shetani akitajwa chomoka mama pekee yako. Kwani shetani ni nani kwako? Fikira za watu kwa kweli ni tofauti! shida yako nini, ufalme wa giza mpaka usemwe watu wajue kupambana na adui. Mch. anafundisha walokole siri za shetani wajue kupigana vita.
Mchungaji mbona ukii ubiri wapenda taja inalai mambo ya waislamu,nataka kuskiza mahubiri yako lakini nakuu ,shtukia,ebuu kua ndani ya yesu mzima,mzima,
@eliethmwanguya7118
7 ай бұрын
Mmhhhhh,
@trophywilson7211
7 ай бұрын
Na mimi sipendi hilo neno
Poleni Kwa safari ndefu na karibu Sana kenya Mungu awatie nguvu na awatumie kama Chombo toka katika nyumba yake❤❤❤