"Msipende kuombewaobewa ni mtego" Day1_MCH.KATEKELA KATIKA SEMINA YA NENO LA MUNGU KENYA MOMBASA VOK

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak5W0jXI0M1eX
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 60

  • @mabelgreatverypowerfulspir3470
    @mabelgreatverypowerfulspir34707 ай бұрын

    Barikiweni sana watumishi wa Mungu. Tunamgojea Kwa hamu huku Nairobi. Mungu awatende mema mnapo tangaza injili ya Kristo. Mama Mebo MUTUA. Karibu sana Kenya

  • @owikesibonike
    @owikesibonike7 ай бұрын

    Poleni Sana Kwa Changamoto MUNGU asiwaache

  • @user-ey8ug1hg2j
    @user-ey8ug1hg2j4 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi was mungu 13:00

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe48907 ай бұрын

    Poleni kwa safari ndefu .Mungu awatie nguvu.Karibuni Mombasa Kenya

  • @rerisamba
    @rerisamba7 ай бұрын

    Wanaitwa walokole wau wengine wanasema wanalia lia hovyo hovyo lakini wa ni watu walio na amani kweli

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    7 ай бұрын

    Tunalia ili Tuje Tumuone Mungu na Yesu aliyekufa akafufuka na leo Yuko Hai

  • @user-jc3hk9le3c
    @user-jc3hk9le3c6 ай бұрын

    mungu awape nguvu zaidi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72117 ай бұрын

    Ila Kama Mpaka Sasa Unatangaza Falme hazijakuua Basi Yesu anapenda Umtumikie

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial56767 ай бұрын

    Nawaona hapa watishi,Mibarik8we mno

  • @utakatifunahaki5095

    @utakatifunahaki5095

    7 ай бұрын

    ongera dada Rose mhando amazing

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    7 ай бұрын

    Amen amen

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert11717 ай бұрын

    Jamani nampenda Yesu jamani

  • @user-sr2ne3in3l
    @user-sr2ne3in3l7 ай бұрын

    Nimewakaribisha nyumbani Kwa jina la Bwana yesu kristo, jickieni Kaa mko nyumbani kwenu, Bwana wamajeshi mfalme mkuu yesu kristo akatimize malengo yenu.

  • @user-pz4tw8uy4v
    @user-pz4tw8uy4v7 ай бұрын

    Mchungaji Amiel ,Bwana Mungu azidi kukuokoa sana napenda injili yako sana.inagusa Moyo wangi Bwana akubariki sana

  • @alicefikirini6570
    @alicefikirini65707 ай бұрын

    Jacktan mungu awabariki sana kwa kazi nzuri mnayoifanya promover tv

  • @raelnangila3006
    @raelnangila30067 ай бұрын

    Mungu awalinde sana wachungaji wangu nawapenda sana

  • @lydiahnabwire128
    @lydiahnabwire1287 ай бұрын

    Hallelujah Hallelujah 🙌 nimewangoja sana watumishi karibuni sana Kenya na pia poleni kwa tabia ya madereva😢😢 wa Nairobi tusameheni sana

  • @user-zn1vn6hc6j
    @user-zn1vn6hc6j7 ай бұрын

    Mbarikiwe na mungu aliye hai,, Nairobi mtafika?

  • @JacklineMoti
    @JacklineMoti7 ай бұрын

    Poleni Kwa safari ndefu na karibu Sana kenya Mungu awatie nguvu na awatumie kama Chombo toka katika nyumba yake❤❤❤

  • @NaomiMakori
    @NaomiMakori7 ай бұрын

    Nimeelewa mko Mombasa amko Nairobi. Karibu.kenya nielekese jinzi yakutuma sadaka

  • @florencemueni1183
    @florencemueni11837 ай бұрын

    Mungu hawabariki sna kwa kukanyanga undogo wa Kenya tumeshukuru sna ss wana online

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc7 ай бұрын

    Amen nawapenda sana

  • @annajotham9478
    @annajotham94787 ай бұрын

    EMwenyezi Mungu wabariki watumishi wako

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs88147 ай бұрын

    Barikiwa Sana jactani msafiri Kwa KAZI safi

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani61337 ай бұрын

    Karibuni kenya 🇰🇪 tunawapenda sanaaa barikiweni.

  • @marionmuhonja
    @marionmuhonja7 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtu wa mungu mahubiri na ushuhuda wako umenitoa mahali

  • @tamarali8325
    @tamarali83257 ай бұрын

    Wow my favourite pastor Amieli his in Kenya. Welcome home we Love You be Blessed. Audax Jacktan na hao wengine karibuni Kenya 🇰🇪tunawapenda be Blessed wana Promover wote ❤

  • @bettytangus

    @bettytangus

    7 ай бұрын

    Wako wapi haki niende

  • @tamarali8325

    @tamarali8325

    7 ай бұрын

    @@bettytangus ninasikia wako Mombasa

  • @kamendemusyimi9283
    @kamendemusyimi92837 ай бұрын

    Karibuni Kenya,Injili iendelee,

  • @noelsafari7456
    @noelsafari74567 ай бұрын

    Karibu Kenya mchungaji❤❤❤❤❤❤

  • @xstn8
    @xstn87 ай бұрын

    Karibuni Kenya Team Promover

  • @shiass2905
    @shiass29057 ай бұрын

    Karibuni kenya watumishi wa MUNGU

  • @anneokaka8213
    @anneokaka82137 ай бұрын

    Karibuni Kenya tena na tena

  • @fathima7617
    @fathima76177 ай бұрын

    Baraka sa bwana siatamane nanyi

  • @anthonymaina7100
    @anthonymaina71007 ай бұрын

    ❤.. Mungu ni Mwema kweli

  • @amishambar3418
    @amishambar34187 ай бұрын

    Karibuni sana sana kenya❤

  • @phaniceariviza4399
    @phaniceariviza43997 ай бұрын

    Poleni sana

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga7 ай бұрын

    AMEN ,AMEN , AMEN ,

  • @kevoalwodo5655
    @kevoalwodo56557 ай бұрын

    Naomba nijue mnakuja Nairobi Pande gani tafathali

  • @stellapaul2442
    @stellapaul24427 ай бұрын

    Tupo pamoja

  • @user-sr2ne3in3l
    @user-sr2ne3in3l7 ай бұрын

    Hki pole sana Kwa safari ndefu na yenye uchovu mwingi, na dhurma za pale stage ya Nairobi, aki poleni.

  • @upendocd7390

    @upendocd7390

    7 ай бұрын

    dhuluma zipi mtumishii?

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72117 ай бұрын

    Ibada 5 kama Za Ndugu zetu ,Duhh kweli Shetani alisirimishwa na Wenzetu acha Wawepo Wachawi Wengi na Waganga Wa Kienyeji Wengi huko na Waabudu Miungu wengi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72117 ай бұрын

    Kenya Kumbe Ovyo

  • @angelamugoywa4917
    @angelamugoywa49177 ай бұрын

    ameeen mtumishi wa mungu yesu abewasifa 🙏🇰🇪

  • @ElizaberhRobart
    @ElizaberhRobart7 ай бұрын

    Acha kumzidisha shetani kwenye mahubiri yako, hubiri neno litatusaidia sana

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    7 ай бұрын

    Acha unafiki umelazimisha na nani kucomment

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    7 ай бұрын

    Yote kwa yote TUNAMSHINDA MAANA AKuna wa kumlinganisha naye kristo atanbaki kuwa JUU

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    7 ай бұрын

    Lazima awafunue watu kwamba ufalme wa mbingu unatekwa na wenye nguvu ,maana kupata iyo neema ni kusimama kisawasawa na sio michanganyo maana pia Hata shetani uwez pigana nae ukiwa legelege maana inaitaji nguvu ya imani kuvadsilaha za MUNGU Ilitupate kumshinda shetani sio wa mchezo mchezoo

  • @user-sr2ne3in3l

    @user-sr2ne3in3l

    7 ай бұрын

    Kwani wwe usiepeda shetani akifunuliwa njia zake, wwe nimuadhiriwa,

  • @NaomiMakori
    @NaomiMakori7 ай бұрын

    Ni Naomi Niko Nairobi mko wapi

  • @ElizaberhRobart
    @ElizaberhRobart7 ай бұрын

    Hubiri neno 11

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    7 ай бұрын

    Wewe kama ulisha sikia ushuhuda wa Muchungaji tulia na wengine wasikize, unadhani wewe ndio uliye mutuma ama ni MUNGU aliye mchagua atangaze injili dunia nzima.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    7 ай бұрын

    Wamemuita ili wasikie Ushuhuda ,Wahubiri wanao wengi tu mpendwq,Kumbuka wametoa michango yao ,Uwe na Amani usikwazike,Si wote wana Computer au simu

  • @user-ru7hi7cw5u

    @user-ru7hi7cw5u

    6 ай бұрын

    Kama utaki kusikia shetani akitajwa chomoka mama pekee yako. Kwani shetani ni nani kwako? Fikira za watu kwa kweli ni tofauti! shida yako nini, ufalme wa giza mpaka usemwe watu wajue kupambana na adui. Mch. anafundisha walokole siri za shetani wajue kupigana vita.

  • @millyaketch4968
    @millyaketch49687 ай бұрын

    Mchungaji mbona ukii ubiri wapenda taja inalai mambo ya waislamu,nataka kuskiza mahubiri yako lakini nakuu ,shtukia,ebuu kua ndani ya yesu mzima,mzima,

  • @eliethmwanguya7118

    @eliethmwanguya7118

    7 ай бұрын

    Mmhhhhh,

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    7 ай бұрын

    Na mimi sipendi hilo neno

  • @JacklineMoti
    @JacklineMoti7 ай бұрын

    Poleni Kwa safari ndefu na karibu Sana kenya Mungu awatie nguvu na awatumie kama Chombo toka katika nyumba yake❤❤❤