JOKA LENYE VICHWA 7 KWENYE KANISA|Ushuhuda wa Diego Ortiz wa Mexico

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak5W0jXI0M1eX
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 25

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 Жыл бұрын

    Ndio maana saa zingine unataka kuomba unashindwa halafu unaskia kama nafsi imechoka....nimeelewa sasa Shetani ataki watu wamuabudu Mungu. Asanti kwa hii mafunzo

  • @mutiembingi-le6kz

    @mutiembingi-le6kz

    Жыл бұрын

    Bona wengine wanatoa shubuda walienda kuzimu na hata hawajui uyo joka kuu alafu wanamkemea hebron anapoongelea joka kuu kuzimu kina joka kuu la vichwa Saba .

  • @isabellarkageha7707

    @isabellarkageha7707

    Жыл бұрын

    @@mutiembingi-le6kz Hebron ni nani

  • @mutiembingi-le6kz

    @mutiembingi-le6kz

    Жыл бұрын

    @@isabellarkageha7707Nabii Hebron Wilson kisamo Arusha moshono kanisa la yesu ni bwana na mwokozi wa mataifa yote moshono stage pia angalia Kwa KZread

  • @mutiembingi-le6kz

    @mutiembingi-le6kz

    Жыл бұрын

    Mutie mbingi from Kenya

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Жыл бұрын

    Amen BWANA YESU zaidia kanisa lako kusimama vyema katika neno lako, ndugu Msafiri BWANA akubariki na akulinde .

  • @catenzoka2003

    @catenzoka2003

    Жыл бұрын

    Asante

  • @judyokumu8439
    @judyokumu8439 Жыл бұрын

    Asante kwa ujumbe mzuri, Mungu atusaidie tumalize mwendo salama!

  • @elizathomas7442
    @elizathomas7442 Жыл бұрын

    Amen ndugu yangu barikiwa mtumishi wa KIRSTO YESU kwakunena maneno ya MUNGU

  • @jojosky337
    @jojosky337 Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa jamni 😭😭😭naomba Rehema Jehova🙏🏾

  • @catenzoka2003
    @catenzoka2003 Жыл бұрын

    Ee yesu tusaidie Katika nyakatihizi Za mwisho .joka hili kweli limetukamata Kwa njia tofauti tofauti wengi Yuko Katika uzingizi Wa rohokama magonjwa,umaskin vita,nk.tusaidie tutie nguvu tukapate tujitakaza.promover tv msichoke Katika kazi hii yesu awabariki sana.

  • @Mjakazisafi8361
    @Mjakazisafi8361 Жыл бұрын

    Amen Amen 🙏 🙌

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Жыл бұрын

    Amen Asante kwa ujumbe nzuri mtumishi wa Mungu hakika hayo yote umenena niukweli mtupu Eeh Mungu wetu aliye hai tusaidie wanao.. promover TV ndugu Jaktan,

  • @tantinebrijitte6818

    @tantinebrijitte6818

    Жыл бұрын

    Eee Yesu Christo mwanawa Mungu utusaidie Bwana.

  • @mob...321.
    @mob...321. Жыл бұрын

    Amém

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Жыл бұрын

    Nimeelewa,ulicho onyweshwa ni cha ukweli

  • @stellamutembei7567
    @stellamutembei7567 Жыл бұрын

    Be blessed jacktan my brother

  • @user-jo5yw6vt3h
    @user-jo5yw6vt3h4 ай бұрын

    Makanisa yenyewe Sasa MUNGU tusaidie Maana wachungaji wenyewe Ndio maajenti wa shetani..... MUNGU atujaze nguvu za kuwashinda

  • @apostlesammymutachicfc.3744
    @apostlesammymutachicfc.3744 Жыл бұрын

    Jack, barikiwa sana

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Жыл бұрын

    🙏👍🤝

  • @irenewili
    @irenewili Жыл бұрын

    Hi promover tumezoea ku download jamani wengine hatuezi fuatilia live

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Жыл бұрын

    BWANA WETU YESU CHRISTO TUSAIDIYE SAAAANAAAA!!!!!

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Жыл бұрын

    Hata mimi nilioneshwa huyu joka wa vichwa saba nyie linatisha

  • @jastinmkoba

    @jastinmkoba

    Жыл бұрын

    Hongera

  • @elizathomas7442
    @elizathomas7442 Жыл бұрын

    Hii maji na chakula ndo nini