Part 5_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 242

  • @agnethpaul3596
    @agnethpaul35963 жыл бұрын

    Mungu alikuwa Ana kusudi kukupigisha huko.... Azidi kusifiwa kwani kupitia kwako tumefunguliwa mioyo. Na azidi kukusimika na kukufunika kwa damu ya Yesu .Ameni.

  • @levismike16
    @levismike163 жыл бұрын

    TUMTANGULIZE YESU KWA KILA JAMBO.AMEN

  • @lennykiganga4763
    @lennykiganga47633 жыл бұрын

    Yesu ni njia pekee ya uzima wa milele .sijasikia nkafurah ty bali nimepata fundisho kubwa na Mungu akulinde sana mtumishi

  • @rmaryp6269
    @rmaryp62693 жыл бұрын

    Hata hivyo Mungu alikulinda sana maana wangeweza kukula au wangekugeuza msukule na ungepotea kabisa hapa duniani! Mungu aliruhusu uwe hai ili utujulishe siri zao. Jina la Bwana Yesu libarikiwe!

  • @reubenmureithi6968

    @reubenmureithi6968

    Жыл бұрын

    Swali msukule ni nani?

  • @user-sn2pl9kh9j
    @user-sn2pl9kh9j3 ай бұрын

    Mungu ambariki mtumishi wake musafili kwa neema ya Mungu kwa kumuwezesha kujenga myoyo yetu Burundi kirasiku na promovax

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын

    WOKOVU KATIKA BWANA YESU NI MZURI NA MTAMU HALLELUIYAH 🙏😭😭... JAMANIII KAKA YETU UBARIKIWE SANA .... AMEN

  • @mercyosn7106

    @mercyosn7106

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @Sabriya-ms4ry
    @Sabriya-ms4ry3 жыл бұрын

    Mung awabariki from oman iyi parti nirikua nayingoja sana uyu ushuhuda uko unanifunza mengi sana

  • @paulpaul4551
    @paulpaul45513 жыл бұрын

    Abarikuwe sana Mchungaji alie sema maneno haya " USIOGOPE HAUTA KUFA , NA KAMA UKIFA BASI MIMI NAACHA KUMTUMIKIA HUYU MUNGU WA ALIE HAI , ALIE ZIUMBA MBINGU NA NCHI HATA NA HAO WANAO KUTISHIA NI VIUMBE WA MUNGU TU. hayo naneno yamenitia nguvu sana .

  • @myself4128

    @myself4128

    3 жыл бұрын

    Kuna watumishi wana uhakika

  • @pericykiko6198
    @pericykiko61983 жыл бұрын

    Ubarikiwe Baba yetu hakika msema kweli ni mpenzi wa Mungu

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala60913 жыл бұрын

    Ni kazi ngumu Sana, kupata madhabahu ya kweli,nimeshatafuta mpaka nimechoka,nimeamua kutulia nyumbani.

  • @anneafrica939

    @anneafrica939

    3 жыл бұрын

    Tuko wengi ila usikae nyumbani bila kuomba na kufunga na kutoa sadaka kwa wasiojiweza.

  • @user-ss8mn8wu5r

    @user-ss8mn8wu5r

    Ай бұрын

    Karibu EAGT

  • @Joyjoy-ym6th
    @Joyjoy-ym6th Жыл бұрын

    Mungu akaweze kubariki yule mchungaji ambaye alikushika mukono hakika ni Mtumishi wa Mungu na pia pst Daniel mugogo Mungu akubariki zaidi na mukeo kweli alikuwa mke wakuvumilia Mungu wa mbinguni amuinue sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻naendelea na najifunza mengi zaidi

  • @jerushanyawera4964
    @jerushanyawera49643 жыл бұрын

    🤔Vya Shetani havina maana ni bure kabisa. Mungu nakuomba tafadhali nipe mali yenye unaona yanifa coz sitaki vya Shetani🇰🇪

  • @lucianagadau7563
    @lucianagadau75632 жыл бұрын

    Yesu ndiye mwokozi wetu hallelujah

  • @fatumanaliaka2210
    @fatumanaliaka22103 жыл бұрын

    Ameeeeen and Ameeeeen Mungu ni mwema Kweli tena ni mwesa wa yote aendelee kukupikania akushindie akuweseshe vyema kwa yote katika Jina La YESU KRISTO Aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @carolgitonga1371
    @carolgitonga13713 жыл бұрын

    Have been waiting for this...God bless you....🇰🇪

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista46543 жыл бұрын

    Asante Yesu kwamaana kwako tunaokolewa mchana na usiku,nakwako tunakua salama,shetani hatuogopi sis Bali anakuogopa wewe Bwana Yesu ndani yetu.thanks DAD.

  • @ndimyakekapala7434
    @ndimyakekapala74343 жыл бұрын

    Ahimidiwe Mungu wetu Mtakatifu kwa anavyotuokoa na mabaya yote.

  • @lucienaya7244
    @lucienaya72443 жыл бұрын

    Amen mtumishi... Mungu azidi kukutetea Zidi ya haho

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco25672 жыл бұрын

    Haina tabu kesho nayo ni cku naweza kujiua 😂😂😂😂😂😭😭😭😭😍😍😍😍

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul246410 ай бұрын

    Nimefuatilia ushuhuda wa huyu kijana nikagundua ni kweli anayoongea ni ya kweli asilimia mia kwasababu roho wa Mungu ameniongoza kulijua hili... Hajatia chumvi wala kumpromote mtu yeyote wala kanisa lolote kama ambavyo wanatoa shuhuda wengine

  • @deomichael4798
    @deomichael47983 жыл бұрын

    IMEANDIKWA " Itamfaidi mtu nini kuupata ulimwengu wote; akapata hasara ya nafsi yake ?" Maana yake ni kwamba, hata upewe Dunia nzima mpaka America na Arabuni na visima vyote vya mafuta, bado Mungu anakwambia havijalipia gharama ya nafsi yako. Ni aibu na ujinga wa kiwango cha shahada ya PHD, kumtumikia shetani kwa mshahara wa kuharibiwa nafsi yako milele, huku ukimwasi Bwana Yesu ambaye ndiye aliyekuumba, Hiyo pesa utaitumia miaka mingapi kabla hujatupwa motoni milele? Hivi watu wanajua maaana ya kuungua milele??? Heri yako wewe ukiyeghairi mabaya na kumrejea Bwana Yesu, naye ni mwaminifu na wahaki, atakusamehe maovu yote na kukuponya.

  • @stephenmwaipembe1568

    @stephenmwaipembe1568

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @annieadaa1620

    @annieadaa1620

    Жыл бұрын

    Ameeeen 🙏🙏

  • @linvi_chemutai

    @linvi_chemutai

    6 ай бұрын

    Amen

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50533 жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo,

  • @penninahngau7399
    @penninahngau73993 жыл бұрын

    Nangalia kutoka nairobi asanti sana nimeelewa kitu God bless you

  • @kithia100

    @kithia100

    3 жыл бұрын

    Penina ngau tuko wengi kutoka Nairobi lowerkabete🇰🇪

  • @daisymuthoni675

    @daisymuthoni675

    3 жыл бұрын

    Am from Nairobi too Kilimani

  • @EliaMtak
    @EliaMtak3 ай бұрын

    Polee sana mtumish

  • @Freaky-Z
    @Freaky-Z Жыл бұрын

    Utajiri mzuri wa Amani Wa toka mbinguni Kwa Baba

  • @stephanoabactor6973
    @stephanoabactor69738 ай бұрын

    Yaliyoshindikana Kwa wanadamu Kwa Mungu yanawezekana

  • @kingmedia756Kviews.3daysag3
    @kingmedia756Kviews.3daysag32 жыл бұрын

    Amen sana sasa nimeokoka

  • @mwajumabulonvu7038
    @mwajumabulonvu70383 жыл бұрын

    Mungu anakupenda kuona alikupa ujasiri ya ku amuwa kutaka katika hali ile ,piya muke wako nimuke ambaye alikuwa musaada kwako.shetani hana kizuri chochote. Tuweke tumaini kwa yesu wetu.

  • @Joyjoy-ym6th
    @Joyjoy-ym6th Жыл бұрын

    Mchungaji nimefatilia huu ushuuda ni wakujenga mtu na niwakutoa mtu machozi heri nimtegemee Mungu yale nimesikia nimakuu kwa Mungu hakuna masharti

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel47002 жыл бұрын

    Hakika Mungu akusaidie,ktk kumtumikia Mungu,Bwana asifiwe sana kWa kukuokoa wala hajakosea

  • @rmaryp6269
    @rmaryp62693 жыл бұрын

    Mungu atuponye kwa kweli, hali ni mbaya!

  • @tulisamwel41
    @tulisamwel412 жыл бұрын

    Yesu ndiye jibu la mambo yote. Bora uwe maskini lakini salama kuliko utajiri wa masharti. Mungu hakika anakupenda. Usirudi nyuma.

  • @mmassycharles409
    @mmassycharles4093 жыл бұрын

    Pesa za shetani ni mbaya sana, Hongera kwa kumrudia Bwana YESU.

  • @nadiaaruberi4194
    @nadiaaruberi41942 жыл бұрын

    Asante baba mutumishi wa mungu n'a mimi nirikuwa namupango uo wakujiunga 😢😢Yesu ni samee mimi ni mwenye Zambi Naitaji kukupokea😭😭😭

  • @josephndunda6390

    @josephndunda6390

    2 жыл бұрын

    ingia 2 wacha wasiwasi

  • @kasakimba3547
    @kasakimba35473 жыл бұрын

    Ndo mke mwema uyo mungu aliyekupa

  • @musaluguve3589
    @musaluguve35893 жыл бұрын

    Amina Amina,nabarikiwa sana na ushuhuda huu.!! MUNGU ATUONGOZE SANA katika uchumi wetu,tusitamani maisha ya utajiri bila kujua amepata wapi.!!

  • @mediavumbi9243

    @mediavumbi9243

    Жыл бұрын

    Mungu mwema kweli, ubarkiwe sana 🙏🏻

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats7 ай бұрын

    Imani yangu ni kwa Mungu wa kweli na mwingi wa upendo.❤❤❤

  • @flm1530
    @flm15303 жыл бұрын

    Ubarikiwe servant of God

  • @JonathanKomen-jr5gr
    @JonathanKomen-jr5gr8 ай бұрын

    Mungu akulinde zaidi

  • @josephndunda6390
    @josephndunda63902 жыл бұрын

    Iyo ushuhuda ni zuri inamafunzo mengi xna unasaidia watu xna kaka asante nko kenya

  • @jacintamaingi843
    @jacintamaingi8433 жыл бұрын

    Nani mwingine ameona dungu ana fanana n jactan msafiri,anyway this one as build my faith so much be blessed

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @piusnkwale

    @piusnkwale

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz hili jambo ni kweli kabisa .mm nilikua naombewa naweka hizo ishara za pembe sielewi hata waliniunga lini

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Pole sana, unaendeleaje sasa

  • @piusnkwale

    @piusnkwale

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz naendelea vizuri bado nipo kwenye maombi kwakweli Mungu amekua mwema sana kwangu namshukuru sana Mungu wetu.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24443 жыл бұрын

    YESU KRISTO ndio mkombozi wa kweli,kwa wote wenye mwili.

  • @nicholaskiragu2797
    @nicholaskiragu27972 жыл бұрын

    God bless you Mtumishi.

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo5575 Жыл бұрын

    Hata huyo mkeo ni wakusifiwa sana

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki46793 жыл бұрын

    Watching 🇰🇪

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka62833 жыл бұрын

    Umetufumbua macho, mpendwa wa mungu, mungu wa mbinguni akusaidie

  • @PeterNzinza

    @PeterNzinza

    5 ай бұрын

    Umeona

  • @vomalizavomaliza746
    @vomalizavomaliza7462 жыл бұрын

    Wambie kabisa but ulikuwa na kazi tamaa mbaya

  • @kirshnaindia890
    @kirshnaindia8903 жыл бұрын

    Mtumishi wa mungu ni kweli

  • @josephndunda6390
    @josephndunda63902 жыл бұрын

    mungu akusaidie xna si rahisi kuhusu freemanson shetani ni kitu mbaya xna lakini ni vizuri kupitia vitu zingine ili kusoma somo maisha nikma masomo 2

  • @EsterBernardoVumo
    @EsterBernardoVumo8 ай бұрын

    kweli Mungu Ni Mwema Ndie Mwokozzi Wetu Anatujari Kimbilio Pekee.

  • @cyprianchale602
    @cyprianchale6023 жыл бұрын

    Me jmn ndio maana nampenda Yesu

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi21073 жыл бұрын

    Bwana yesu akubariki sana sana mwenye anabishana ni mmuja wao lakini mie mie mtumishi naamini sana

  • @mahomamahoma1858
    @mahomamahoma18583 жыл бұрын

    Jamaani tuache kukimbilia miujuza au kutaka Mtumishi akuambie vitu vyakoo kuna madhabahau nyingne mmh watu wanaangamia kwakukosa maarifa,tupende kusoma neno la Mungu hiloo ndo njia tosha

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66503 жыл бұрын

    Funga hata siku 30 au 40 ukimuuliza Mungu wapi uende maana mfano Dar asilimia nying yametekwa...yaan Tanzanian nzima.. Mimi sasa siend kichwa kichwa namuuliza Mungu.

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Kanisa Ni moja tu ndg yangu, laitwa jengo la kanisa la YESUKRISTO baaasi halina mambwembwe hayo mnayoyashuhudia huko kanisa hili Ni lile la mitume walilolianzsha mitume sku zile Pentecostal KANISA hili lilipoteza mwelekeo baada Romani empaya kutawala dunia likalipoteza hili kanisa la YESUKRISTO likayumba likapoteza mwelekeo kabsa lkn ashukuriwe mungu lipo na linaendelea na halina mbwembwe kabsaaaa ukiliona unaweza kulitukana Kwanza halivutii na halishawish chchte lkn kumbe mungu Yuko hapo

  • @funnystuffhunter2618
    @funnystuffhunter26183 жыл бұрын

    Kati ya watu waliobarikiwa wake wazuri mtumishi amepata mke mzuri Sana kwa kweli ...mkeo ni mwanamke wapekee sanaaa kwakweli..

  • @annambezi6226
    @annambezi62263 жыл бұрын

    Hapo umenifumbua macho sana mtumishi wa Mungu

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66503 жыл бұрын

    Ubarikiwe kwa Siri hizi

  • @thebosslady9001
    @thebosslady90012 жыл бұрын

    Kwel umeongea me nakaa karibu na kanisa moja hivi mchungaji alikuwa na maisha duni kanisa lake lilikuwa la udongo juu wameezeka makuti na waumin hawapungui 20 lkn hafla mtoto wake alikuwa anacheza nje akafa alikuwa haumwi Wala Hana hata mafua lkn akaanguka akafa wallah baada ya muda mfupi kajenga bonge la kanisa na maarufu wilayan kwetu na anausafiri wamaana mungu anajua alichokifanya huyo mchungaji🙏siku ya mwisho atajibu alichokiuwa

  • @eunicemuigai5384
    @eunicemuigai53842 жыл бұрын

    God is watching them my brother have strength

  • @gradypeter7123
    @gradypeter71233 жыл бұрын

    Mungu azidi kukutumiaa

  • @fei3668
    @fei36683 жыл бұрын

    Tunabarikiwa sana

  • @user-pu5tl1bn9j
    @user-pu5tl1bn9j10 ай бұрын

    Hakika ni kweli kabisaaa hujaongopa bro

  • @marysitati4873
    @marysitati48733 жыл бұрын

    Watching from Kenya.im blessed by this Testimony 🙏

  • @sifamanyori-kf9vq

    @sifamanyori-kf9vq

    Жыл бұрын

    Watu wengine ukiwabia kuwa hichi hilishauzwa wanashidwa kukubali kwa sababu wako utumwani kwa wanganga wakienyeji watu wanatumia kimajini baharini

  • @Kigalipodcast01
    @Kigalipodcast01 Жыл бұрын

    Watching from Kigali Rwanda, trust in Jesus'blood who saves us.

  • @magoriemmanuel726
    @magoriemmanuel7263 жыл бұрын

    Sijui lini nitakuwa wakwanza

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Mbnguni au hapa duniani

  • @aminaally4163
    @aminaally41633 жыл бұрын

    Watu wengine hawaamini mpaka wakajionee wenyewe yawakute ndio wanaamini

  • @rehemamlowe5104
    @rehemamlowe51043 жыл бұрын

    Haaaaa pole sana,

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi11403 жыл бұрын

    Tunakuelewa mwl wanaopinga wafuasi wa shetani wamo kundini wala usihofu toa ushuhuda

  • @florianruttahindurwa1189
    @florianruttahindurwa1189 Жыл бұрын

    Ndio mtumishi wanaweza zuia ukimwi maana ukimwi ni pepo.

  • @tomodhiambo1113
    @tomodhiambo11132 жыл бұрын

    Asanteni kutujuza

  • @dicksonsomarjosesomarjose3843
    @dicksonsomarjosesomarjose38432 жыл бұрын

    Mtu wa mungu mathabau ya kweli wadventista peke yao

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66503 жыл бұрын

    Jacktan ubarikiwe sana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @koperawasona9551
    @koperawasona95513 жыл бұрын

    Ubarikiwe umepona kwa kweli

  • @lilacjoseph9509
    @lilacjoseph95092 жыл бұрын

    Mtumishi Mungu wa mbinguni akukumbuke sana

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa61813 жыл бұрын

    Mungu wetu nimkuu hakika hakuna kinacho mshinda

  • @user-tz7ib7jf9l
    @user-tz7ib7jf9l6 ай бұрын

    Allah akbar

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph76873 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana kaka maranyingi vyashetani vina masharti siku zote Vyabure viko kwa Muumba wetu tuweni watu wakuridhika na vitu vichache .

  • @saramalila4441
    @saramalila44413 жыл бұрын

    Atukuzwe mungu Alie kuokoa endelelea kushuhudia ukuu wake

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 Жыл бұрын

    Barikiwe sana tunaelimika

  • @mussaabel4221
    @mussaabel42213 жыл бұрын

    Mungu akulinde

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Kweli huu ushuhuda una nguvu asante sana Mtumishi barikiwa

  • @isaacmwaisango1548
    @isaacmwaisango1548 Жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt62493 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu ni mwema

  • @DRIPPINGPAIN
    @DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын

    THE deVIL IS A LAIR MY BROTHER.. DON'T EVER BOW JAMANII😒😪😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🚮🚮 MHHH POLE SAMAHANI KWA YALIYO KUPATA JAMANI MMMM OMBA SANA KWELI.. KUJIUA NI DHAMBI SANA NA NDIYO WALITAKA KUKUCHUKUA KWA NJIA YA ROHO YA FIKRA HIZO... LAKINI WAKAKUAMBIA KUKUTISHA ETI WATAKUFATA BUT BWANA YESU KRISTO TUKIMTUMIA VIZURI KAMA TUNAVYOJITUMA KWENYE MAMBO YA KIDUNIA HATA ZAIDI YA HAPO.. TUTAOKOLEWA SANA KWA WINGI.. AMEN... POLE SANA JAMANII.. NA USIRUDI NYUMA AMEN🔥🔥🔥💪🙏🙏

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi87903 жыл бұрын

    Amena mungu nimwema kwetu

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 Жыл бұрын

    Amina Yesu ni mambo yote

  • @emmanuelkimotoli1939
    @emmanuelkimotoli19393 жыл бұрын

    Ushuhuda ni mzuri sana lakin kasoro ni moja mda mwingi mtumishi anajikuta wanatoa ushauri mpaka anatoka kwenye lengo kuu la ushuhuda, mtangazaji unayemhoji ni jukumu lako kumrudisha kwenye mstari ili ushuhuda Usiwe unaboa, ni ushauri tu, maama tunataman kusikia yaliyomkuta huko alikokuwa halafu ushauri uwe mwishoni

  • @narcisrandrianasolol6980
    @narcisrandrianasolol6980 Жыл бұрын

    Barikiwa yesu alikusudia uende ili utufindishe

  • @mwikalijoeephine1522
    @mwikalijoeephine15223 жыл бұрын

    On behalf of them I acknowledge God eyes to see them and know them and there mission and target towards the will of God in us and family in Jesus name Amen and. Lord lead my legs .lighten my legs in Jesus name Amen

  • @rehemamlowe5104

    @rehemamlowe5104

    3 жыл бұрын

    Mungu mfunike mtumishi wako huyu kwa dam ya yesu,Amina mtumishi

  • @levismike16
    @levismike163 жыл бұрын

    ASANTE JACKTAN TULIKUA TUNA WASILIANA TU MARA KIDOGO KUKUULIZA PART 5 NIKAIONA KAMA IMEINGIA ASANTE.MFUASI WAKO...KENYA

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen, utaendelea mpaka part7

  • @sashaomari7987

    @sashaomari7987

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz barikiwa sana jac kaz unayofanya ila jmn naomba namba za uyu mtumishi jmn

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    +255674933664‎‎

  • @sashaomari7987

    @sashaomari7987

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz mng akubariki sana

  • @emmanuelmsukuma6099

    @emmanuelmsukuma6099

    3 жыл бұрын

    @@sashaomari7987 amina

  • @gratianmugumya1952
    @gratianmugumya19523 жыл бұрын

    Neno la mwenyezi MUNGU.Linatuongoza tusitamani,manake tamaa inaleta ata umauti.

  • @lispamagu5810
    @lispamagu58103 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @eliasmyamba4767
    @eliasmyamba47672 жыл бұрын

    Ameeeen

  • @PeterNzinza
    @PeterNzinza5 ай бұрын

    Hii part5 watu wamekuelewa sana

  • @onlyfavorite5754
    @onlyfavorite57542 жыл бұрын

    Amena

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli56163 жыл бұрын

    Watu awachelewi jamani promover TV ongera kwakweli mungu akubariki

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @geraldmakalala6091

    @geraldmakalala6091

    3 жыл бұрын

    Ushuhuda huu Ni ushuhuda Bora kabisa, kuliko shuhuda zote ulizowahi kutuletea hapa.

  • @estherrobi8558
    @estherrobi85582 жыл бұрын

    Unayoyasema n kwel mtumishi na Kuna siri kubwa ndani ya huislam mbona niseme Hili natokea ugaibuni na nahisi kuwa uislam ndio umebeba freemason kwa Nina sababu ya kuyasema mengi mkubwa na kutokana ambayo nimeyaskia kwako waislam huku n wenye pesa wenye roho ngumu ya kutekeleza mauaji pesa n ngumu sana kifupi nayaona mengi ya Hawa ndugu zetu pole sana mtumishi

  • @kirshnaindia890
    @kirshnaindia8903 жыл бұрын

    From saudia, nimetoka kenya asanti kwa ushuhuda wa kweli

  • @remmyrehema6755

    @remmyrehema6755

    3 жыл бұрын

    Mm piano nko saudia

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Mbarikiwe wote

  • @peninahmwangi5098

    @peninahmwangi5098

    3 жыл бұрын

    toboa Siri mtu wa mungu🙏🙏🙏💯

  • @peninahmwangi5098

    @peninahmwangi5098

    3 жыл бұрын

    asante mtumishi kunielimisha ni pastor penina kutoka kenya🙏🙏🙏

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55093 жыл бұрын

    ASANTE sana kutufunulia mengi mwalimu kwakweli twajifunza mengi barikiwa ndugu JACKTAN hii channel imetufunza mengi

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @mariamswedi1140

    @mariamswedi1140

    3 жыл бұрын

    mtumishi mbona vyumba 351 haiendelei?

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Utaendelea

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Zijaribuni kila roho ili mjue kama zinatokana na Kweli, Sikuhizi tunaamini amini tu mtu kaibuka mara ana fimbo mara kitambaa kama mwanza kuna jamaa huduma yake anaokoa wachawi na majambazi tu mmmh(maziwa) na anaomba hela tu uwa simuamini kabisaaa

Келесі