Part 5_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 242
Mungu alikuwa Ana kusudi kukupigisha huko.... Azidi kusifiwa kwani kupitia kwako tumefunguliwa mioyo. Na azidi kukusimika na kukufunika kwa damu ya Yesu .Ameni.
TUMTANGULIZE YESU KWA KILA JAMBO.AMEN
Yesu ni njia pekee ya uzima wa milele .sijasikia nkafurah ty bali nimepata fundisho kubwa na Mungu akulinde sana mtumishi
Hata hivyo Mungu alikulinda sana maana wangeweza kukula au wangekugeuza msukule na ungepotea kabisa hapa duniani! Mungu aliruhusu uwe hai ili utujulishe siri zao. Jina la Bwana Yesu libarikiwe!
@reubenmureithi6968
Жыл бұрын
Swali msukule ni nani?
Mungu ambariki mtumishi wake musafili kwa neema ya Mungu kwa kumuwezesha kujenga myoyo yetu Burundi kirasiku na promovax
WOKOVU KATIKA BWANA YESU NI MZURI NA MTAMU HALLELUIYAH 🙏😭😭... JAMANIII KAKA YETU UBARIKIWE SANA .... AMEN
@mercyosn7106
3 жыл бұрын
Amina
Mung awabariki from oman iyi parti nirikua nayingoja sana uyu ushuhuda uko unanifunza mengi sana
Abarikuwe sana Mchungaji alie sema maneno haya " USIOGOPE HAUTA KUFA , NA KAMA UKIFA BASI MIMI NAACHA KUMTUMIKIA HUYU MUNGU WA ALIE HAI , ALIE ZIUMBA MBINGU NA NCHI HATA NA HAO WANAO KUTISHIA NI VIUMBE WA MUNGU TU. hayo naneno yamenitia nguvu sana .
@myself4128
3 жыл бұрын
Kuna watumishi wana uhakika
Ubarikiwe Baba yetu hakika msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Ni kazi ngumu Sana, kupata madhabahu ya kweli,nimeshatafuta mpaka nimechoka,nimeamua kutulia nyumbani.
@anneafrica939
3 жыл бұрын
Tuko wengi ila usikae nyumbani bila kuomba na kufunga na kutoa sadaka kwa wasiojiweza.
@user-ss8mn8wu5r
Ай бұрын
Karibu EAGT
Mungu akaweze kubariki yule mchungaji ambaye alikushika mukono hakika ni Mtumishi wa Mungu na pia pst Daniel mugogo Mungu akubariki zaidi na mukeo kweli alikuwa mke wakuvumilia Mungu wa mbinguni amuinue sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻naendelea na najifunza mengi zaidi
🤔Vya Shetani havina maana ni bure kabisa. Mungu nakuomba tafadhali nipe mali yenye unaona yanifa coz sitaki vya Shetani🇰🇪
Yesu ndiye mwokozi wetu hallelujah
Ameeeeen and Ameeeeen Mungu ni mwema Kweli tena ni mwesa wa yote aendelee kukupikania akushindie akuweseshe vyema kwa yote katika Jina La YESU KRISTO Aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Have been waiting for this...God bless you....🇰🇪
Asante Yesu kwamaana kwako tunaokolewa mchana na usiku,nakwako tunakua salama,shetani hatuogopi sis Bali anakuogopa wewe Bwana Yesu ndani yetu.thanks DAD.
Ahimidiwe Mungu wetu Mtakatifu kwa anavyotuokoa na mabaya yote.
Amen mtumishi... Mungu azidi kukutetea Zidi ya haho
Haina tabu kesho nayo ni cku naweza kujiua 😂😂😂😂😂😭😭😭😭😍😍😍😍
Nimefuatilia ushuhuda wa huyu kijana nikagundua ni kweli anayoongea ni ya kweli asilimia mia kwasababu roho wa Mungu ameniongoza kulijua hili... Hajatia chumvi wala kumpromote mtu yeyote wala kanisa lolote kama ambavyo wanatoa shuhuda wengine
IMEANDIKWA " Itamfaidi mtu nini kuupata ulimwengu wote; akapata hasara ya nafsi yake ?" Maana yake ni kwamba, hata upewe Dunia nzima mpaka America na Arabuni na visima vyote vya mafuta, bado Mungu anakwambia havijalipia gharama ya nafsi yako. Ni aibu na ujinga wa kiwango cha shahada ya PHD, kumtumikia shetani kwa mshahara wa kuharibiwa nafsi yako milele, huku ukimwasi Bwana Yesu ambaye ndiye aliyekuumba, Hiyo pesa utaitumia miaka mingapi kabla hujatupwa motoni milele? Hivi watu wanajua maaana ya kuungua milele??? Heri yako wewe ukiyeghairi mabaya na kumrejea Bwana Yesu, naye ni mwaminifu na wahaki, atakusamehe maovu yote na kukuponya.
@stephenmwaipembe1568
2 жыл бұрын
Amina
@annieadaa1620
Жыл бұрын
Ameeeen 🙏🙏
@linvi_chemutai
6 ай бұрын
Amen
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo,
Nangalia kutoka nairobi asanti sana nimeelewa kitu God bless you
@kithia100
3 жыл бұрын
Penina ngau tuko wengi kutoka Nairobi lowerkabete🇰🇪
@daisymuthoni675
3 жыл бұрын
Am from Nairobi too Kilimani
Polee sana mtumish
Utajiri mzuri wa Amani Wa toka mbinguni Kwa Baba
Yaliyoshindikana Kwa wanadamu Kwa Mungu yanawezekana
Amen sana sasa nimeokoka
Mungu anakupenda kuona alikupa ujasiri ya ku amuwa kutaka katika hali ile ,piya muke wako nimuke ambaye alikuwa musaada kwako.shetani hana kizuri chochote. Tuweke tumaini kwa yesu wetu.
Mchungaji nimefatilia huu ushuuda ni wakujenga mtu na niwakutoa mtu machozi heri nimtegemee Mungu yale nimesikia nimakuu kwa Mungu hakuna masharti
Hakika Mungu akusaidie,ktk kumtumikia Mungu,Bwana asifiwe sana kWa kukuokoa wala hajakosea
Mungu atuponye kwa kweli, hali ni mbaya!
Yesu ndiye jibu la mambo yote. Bora uwe maskini lakini salama kuliko utajiri wa masharti. Mungu hakika anakupenda. Usirudi nyuma.
Pesa za shetani ni mbaya sana, Hongera kwa kumrudia Bwana YESU.
Asante baba mutumishi wa mungu n'a mimi nirikuwa namupango uo wakujiunga 😢😢Yesu ni samee mimi ni mwenye Zambi Naitaji kukupokea😭😭😭
@josephndunda6390
2 жыл бұрын
ingia 2 wacha wasiwasi
Ndo mke mwema uyo mungu aliyekupa
Amina Amina,nabarikiwa sana na ushuhuda huu.!! MUNGU ATUONGOZE SANA katika uchumi wetu,tusitamani maisha ya utajiri bila kujua amepata wapi.!!
@mediavumbi9243
Жыл бұрын
Mungu mwema kweli, ubarkiwe sana 🙏🏻
Imani yangu ni kwa Mungu wa kweli na mwingi wa upendo.❤❤❤
Ubarikiwe servant of God
Mungu akulinde zaidi
Iyo ushuhuda ni zuri inamafunzo mengi xna unasaidia watu xna kaka asante nko kenya
Nani mwingine ameona dungu ana fanana n jactan msafiri,anyway this one as build my faith so much be blessed
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
🤣🤣
@piusnkwale
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz hili jambo ni kweli kabisa .mm nilikua naombewa naweka hizo ishara za pembe sielewi hata waliniunga lini
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Pole sana, unaendeleaje sasa
@piusnkwale
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz naendelea vizuri bado nipo kwenye maombi kwakweli Mungu amekua mwema sana kwangu namshukuru sana Mungu wetu.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
YESU KRISTO ndio mkombozi wa kweli,kwa wote wenye mwili.
God bless you Mtumishi.
Hata huyo mkeo ni wakusifiwa sana
Watching 🇰🇪
Umetufumbua macho, mpendwa wa mungu, mungu wa mbinguni akusaidie
@PeterNzinza
5 ай бұрын
Umeona
Wambie kabisa but ulikuwa na kazi tamaa mbaya
Mtumishi wa mungu ni kweli
mungu akusaidie xna si rahisi kuhusu freemanson shetani ni kitu mbaya xna lakini ni vizuri kupitia vitu zingine ili kusoma somo maisha nikma masomo 2
kweli Mungu Ni Mwema Ndie Mwokozzi Wetu Anatujari Kimbilio Pekee.
Me jmn ndio maana nampenda Yesu
Bwana yesu akubariki sana sana mwenye anabishana ni mmuja wao lakini mie mie mtumishi naamini sana
Jamaani tuache kukimbilia miujuza au kutaka Mtumishi akuambie vitu vyakoo kuna madhabahau nyingne mmh watu wanaangamia kwakukosa maarifa,tupende kusoma neno la Mungu hiloo ndo njia tosha
Funga hata siku 30 au 40 ukimuuliza Mungu wapi uende maana mfano Dar asilimia nying yametekwa...yaan Tanzanian nzima.. Mimi sasa siend kichwa kichwa namuuliza Mungu.
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Kanisa Ni moja tu ndg yangu, laitwa jengo la kanisa la YESUKRISTO baaasi halina mambwembwe hayo mnayoyashuhudia huko kanisa hili Ni lile la mitume walilolianzsha mitume sku zile Pentecostal KANISA hili lilipoteza mwelekeo baada Romani empaya kutawala dunia likalipoteza hili kanisa la YESUKRISTO likayumba likapoteza mwelekeo kabsa lkn ashukuriwe mungu lipo na linaendelea na halina mbwembwe kabsaaaa ukiliona unaweza kulitukana Kwanza halivutii na halishawish chchte lkn kumbe mungu Yuko hapo
Kati ya watu waliobarikiwa wake wazuri mtumishi amepata mke mzuri Sana kwa kweli ...mkeo ni mwanamke wapekee sanaaa kwakweli..
Hapo umenifumbua macho sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe kwa Siri hizi
Kwel umeongea me nakaa karibu na kanisa moja hivi mchungaji alikuwa na maisha duni kanisa lake lilikuwa la udongo juu wameezeka makuti na waumin hawapungui 20 lkn hafla mtoto wake alikuwa anacheza nje akafa alikuwa haumwi Wala Hana hata mafua lkn akaanguka akafa wallah baada ya muda mfupi kajenga bonge la kanisa na maarufu wilayan kwetu na anausafiri wamaana mungu anajua alichokifanya huyo mchungaji🙏siku ya mwisho atajibu alichokiuwa
God is watching them my brother have strength
Mungu azidi kukutumiaa
Tunabarikiwa sana
Hakika ni kweli kabisaaa hujaongopa bro
Watching from Kenya.im blessed by this Testimony 🙏
@sifamanyori-kf9vq
Жыл бұрын
Watu wengine ukiwabia kuwa hichi hilishauzwa wanashidwa kukubali kwa sababu wako utumwani kwa wanganga wakienyeji watu wanatumia kimajini baharini
Watching from Kigali Rwanda, trust in Jesus'blood who saves us.
Sijui lini nitakuwa wakwanza
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Mbnguni au hapa duniani
Watu wengine hawaamini mpaka wakajionee wenyewe yawakute ndio wanaamini
Haaaaa pole sana,
Tunakuelewa mwl wanaopinga wafuasi wa shetani wamo kundini wala usihofu toa ushuhuda
Ndio mtumishi wanaweza zuia ukimwi maana ukimwi ni pepo.
Asanteni kutujuza
Mtu wa mungu mathabau ya kweli wadventista peke yao
Jacktan ubarikiwe sana
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
Ubarikiwe umepona kwa kweli
Mtumishi Mungu wa mbinguni akukumbuke sana
Mungu wetu nimkuu hakika hakuna kinacho mshinda
Allah akbar
Ubarikiwe sana kaka maranyingi vyashetani vina masharti siku zote Vyabure viko kwa Muumba wetu tuweni watu wakuridhika na vitu vichache .
Atukuzwe mungu Alie kuokoa endelelea kushuhudia ukuu wake
Barikiwe sana tunaelimika
Mungu akulinde
Kweli huu ushuhuda una nguvu asante sana Mtumishi barikiwa
Ubarikiwe
Mwenyezi mungu ni mwema
THE deVIL IS A LAIR MY BROTHER.. DON'T EVER BOW JAMANII😒😪😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🚮🚮 MHHH POLE SAMAHANI KWA YALIYO KUPATA JAMANI MMMM OMBA SANA KWELI.. KUJIUA NI DHAMBI SANA NA NDIYO WALITAKA KUKUCHUKUA KWA NJIA YA ROHO YA FIKRA HIZO... LAKINI WAKAKUAMBIA KUKUTISHA ETI WATAKUFATA BUT BWANA YESU KRISTO TUKIMTUMIA VIZURI KAMA TUNAVYOJITUMA KWENYE MAMBO YA KIDUNIA HATA ZAIDI YA HAPO.. TUTAOKOLEWA SANA KWA WINGI.. AMEN... POLE SANA JAMANII.. NA USIRUDI NYUMA AMEN🔥🔥🔥💪🙏🙏
Amena mungu nimwema kwetu
Amina Yesu ni mambo yote
Ushuhuda ni mzuri sana lakin kasoro ni moja mda mwingi mtumishi anajikuta wanatoa ushauri mpaka anatoka kwenye lengo kuu la ushuhuda, mtangazaji unayemhoji ni jukumu lako kumrudisha kwenye mstari ili ushuhuda Usiwe unaboa, ni ushauri tu, maama tunataman kusikia yaliyomkuta huko alikokuwa halafu ushauri uwe mwishoni
Barikiwa yesu alikusudia uende ili utufindishe
On behalf of them I acknowledge God eyes to see them and know them and there mission and target towards the will of God in us and family in Jesus name Amen and. Lord lead my legs .lighten my legs in Jesus name Amen
@rehemamlowe5104
3 жыл бұрын
Mungu mfunike mtumishi wako huyu kwa dam ya yesu,Amina mtumishi
ASANTE JACKTAN TULIKUA TUNA WASILIANA TU MARA KIDOGO KUKUULIZA PART 5 NIKAIONA KAMA IMEINGIA ASANTE.MFUASI WAKO...KENYA
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen, utaendelea mpaka part7
@sashaomari7987
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz barikiwa sana jac kaz unayofanya ila jmn naomba namba za uyu mtumishi jmn
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
+255674933664
@sashaomari7987
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz mng akubariki sana
@emmanuelmsukuma6099
3 жыл бұрын
@@sashaomari7987 amina
Neno la mwenyezi MUNGU.Linatuongoza tusitamani,manake tamaa inaleta ata umauti.
Barikiwa
Ameeeen
Hii part5 watu wamekuelewa sana
Amena
Watu awachelewi jamani promover TV ongera kwakweli mungu akubariki
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@geraldmakalala6091
3 жыл бұрын
Ushuhuda huu Ni ushuhuda Bora kabisa, kuliko shuhuda zote ulizowahi kutuletea hapa.
Unayoyasema n kwel mtumishi na Kuna siri kubwa ndani ya huislam mbona niseme Hili natokea ugaibuni na nahisi kuwa uislam ndio umebeba freemason kwa Nina sababu ya kuyasema mengi mkubwa na kutokana ambayo nimeyaskia kwako waislam huku n wenye pesa wenye roho ngumu ya kutekeleza mauaji pesa n ngumu sana kifupi nayaona mengi ya Hawa ndugu zetu pole sana mtumishi
From saudia, nimetoka kenya asanti kwa ushuhuda wa kweli
@remmyrehema6755
3 жыл бұрын
Mm piano nko saudia
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Mbarikiwe wote
@peninahmwangi5098
3 жыл бұрын
toboa Siri mtu wa mungu🙏🙏🙏💯
@peninahmwangi5098
3 жыл бұрын
asante mtumishi kunielimisha ni pastor penina kutoka kenya🙏🙏🙏
ASANTE sana kutufunulia mengi mwalimu kwakweli twajifunza mengi barikiwa ndugu JACKTAN hii channel imetufunza mengi
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@mariamswedi1140
3 жыл бұрын
mtumishi mbona vyumba 351 haiendelei?
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Utaendelea
Zijaribuni kila roho ili mjue kama zinatokana na Kweli, Sikuhizi tunaamini amini tu mtu kaibuka mara ana fimbo mara kitambaa kama mwanza kuna jamaa huduma yake anaokoa wachawi na majambazi tu mmmh(maziwa) na anaomba hela tu uwa simuamini kabisaaa