Part 1_USHUHUDA WA MTANZANIA ALIYEKUFA NA KUFIKA MBINGUNI KISHA KUREJEA DUNIANI

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 334

  • @magrethedson7445
    @magrethedson74453 жыл бұрын

    Mungu baba, wewe uliyetupenda upeo hata kumtoa mwanao Yesu Kristo aje atukomboe, tusaidie tuwe warithi pamoja na mwanao. Tupe kukupenda wewe na kukutumikia. Na utupe neema ya ushindi wa dhambi.

  • @rashidjuma6967

    @rashidjuma6967

    3 жыл бұрын

    Mungu hana mtoto ingia katik uislam

  • @deboramasui6799

    @deboramasui6799

    11 ай бұрын

    Hayajakutokea ndo maana

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai46913 жыл бұрын

    Oh Jesus! Thanks for the testimony may God bless so much. Glory be to God. Heaven is real may everyone seek for forgiveness 🙏🙏

  • @avelinamusungu8142
    @avelinamusungu81423 жыл бұрын

    Ni kweli ukifika hatua ya kufa nikipindi kigumu Sana kila kitu ulichoona cha thaman kwako ikifika siku hiyo hutokumbuk marafik ndugu wazazi n.k ndipo unakumbuka kumbe kuna Mungu ? Nilipitia mm kipind hicho ilibaki robo tu nife kaka unavoshuhudia nikweli Mana da?😫😫 E Yesu ulie niokoa katika mauti nijalie kiumbe wako nisije kukusahau Bali niishi katika njia yako .Amen

  • @anordlaurent8751

    @anordlaurent8751

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @happynjita4290

    @happynjita4290

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Жыл бұрын

    What this gentleman is saying is true i have listened to alot of near death experiences and that is exactly what happens.😅

  • @villagerabroad7703
    @villagerabroad77033 жыл бұрын

    Dakika za mwisho, yesu alimsamehe yule mwizi pale msalabani na aliishi maisha ya kuiba. Someni neno/biblia zenu to know the word. This was his testimony and I am not questioning its validity but rather pointing out the obvious kuwa tunaokelewa kwa Grace (Neema I think). 2010 I had a vision niliapewa tour ya mbingu and nikauliza if nitakwenda kule but nikaambiwa it depends if I live right then nikarudishwa kwenye mwili wangu. Kuna watu wameishi right all their lives but died in sin at the last minute and the opposite is true. Mungu atupe wote neema ya kuuona ufalme wake. Asante kwa ushuhuda mzuri.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa lakini usitembelee Neema ya mwenzako.Mfano rahisi kuna watu wawili wamehukumiwa miaka 10 gerezani lakini mmoja ametoka kwa msamaha wa Rais mwingine kabaki je!unaweza kuhoji hapo?!

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen, barikiwa sana, nimefurahi kusikia hivo

  • @villagerabroad7703

    @villagerabroad7703

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz Nakubaliana na wewe 100% thats why I said its by Grace and nothing else

  • @bmmtv1753

    @bmmtv1753

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @bettynino7354
    @bettynino73543 жыл бұрын

    We love you jacktan thanks for bringing stories that has opened our eyes.

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    3 жыл бұрын

    I love you too, thanks for following

  • @annanduku2835

    @annanduku2835

    3 жыл бұрын

    Wapi wewe hapo alizimia tuu hakufa

  • @stellaakaro1150
    @stellaakaro11503 жыл бұрын

    Asante Sana mtumishi

  • @danielkiponda3419
    @danielkiponda34193 жыл бұрын

    Asnte mungu kwakutukumbusha ukuu wako kupitia wenzetu nakuomba unikumbuke ktk ufalme wako Amen

  • @shukujaibu7143
    @shukujaibu7143 Жыл бұрын

    Wewe Yesu usiniache nishike popote unizingile maadui asinipate katika jina lako Yesu

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Amen asante Mtumishi kwa ushuhuda wako maana unabariki

  • @samwelaronbarabarabarabara5997
    @samwelaronbarabarabarabara59973 жыл бұрын

    Ushauri wangu kuwako mtangazaji, Ukishamaliza introduction ya ushuhuda na kumruhusu mgeni wako kuanza kutoa ushuhuda wake, kwa ushauri tu ni vyema ukamuacha atoe ushuhuda wake wote wa siku hiyo amalize bila ku interact na maswali mengi katikati ya ushuhuda, maana unampotezea flow ya ushuhuda, ni bora ukaandika maswali yako yote wakati akishuhudia kisha akishamaliza ushuhuda wake, unaanza kipindi cha maswali kulingana na ushuhuda wake, maana akiwa kwenye flow ya ushuhuda ukiingiza maswali anatoka kwenye flow yake na kuanza line nyingine ambayo haikuwepo kwenye flow yake, akisha maliza ushuhuda ni wakati mzuri wa maswali maana anakuwa amepitia point zake zote za msingi kuliko kumfanya aanze kuwaza jinsi ya kujibu maswali katikati ya ushuhuda, Thanks alot bro take it or leave it.

  • @glorynguma3593

    @glorynguma3593

    3 жыл бұрын

    Jmn wala hata haulizi maswali ki hivyo unavyosema ww anauliza kwenye sehemu ya umuhimu

  • @user-wk5tc7pt6m
    @user-wk5tc7pt6m Жыл бұрын

    Mungu nimwema hakika anatenda kweli ushuhuda ni kweli ubalikiwe jacktan

  • @user-wr3ir3yg9m
    @user-wr3ir3yg9m Жыл бұрын

    Mungu ni. Mkuu

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus66373 жыл бұрын

    Oo oh Aleluuuya mme wa Vick barikiwa mnoo kW shuhuda nzr Enginear

  • @FrediMolell-ql9sg
    @FrediMolell-ql9sgАй бұрын

    Nikweli ama mungu akubariki atakufatena

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting37283 жыл бұрын

    Safi sana kaka jactan

  • @mwambakibucheche735
    @mwambakibucheche7353 жыл бұрын

    Huyu kijana atakomboa wengi sana watakao msikiliza kwa umakini na kuamini katika kiristo nikiwemo namimi asanteni sana Mungu atujaalie ss watoto wake tupate kumtumikia kwa nguvu zote na akili zetu zote,Ameen.

  • @shukujaibu7143

    @shukujaibu7143

    Жыл бұрын

    Amini kweli kabisa tuwe 'na nguvu yake Mungu

  • @shukujaibu7143

    @shukujaibu7143

    Жыл бұрын

    Ni kwa vile alikuwa 'na Mungu

  • @dinairenge
    @dinairenge7 ай бұрын

    Amen napokea

  • @rosemwangome8996
    @rosemwangome89963 жыл бұрын

    Mungu ashkuriwe ,aki kama yeye hajapanga ata silaha yoyote inuke kiasi gani haitafaulu maishani

  • @essaumabigi669
    @essaumabigi6693 жыл бұрын

    Mungu atutie nguvu kwakwel kazi bado ipo kubwa tuzidi kumtumikia Mungu #kaka #Jacktan #Mungu #Akubariki 🙏🙏🙏

  • @likatiabunuas2701
    @likatiabunuas27013 жыл бұрын

    Muwe makini na hizi shuhuda za aina hii. Wengi watakuja kuwapotosha.. amekwenda wapi na kurudi?. Mtafakari sana

  • @isaacochieng8460

    @isaacochieng8460

    3 жыл бұрын

    Kuna daut gani kwani

  • @saraakumu3452

    @saraakumu3452

    3 жыл бұрын

    Kwetu Kuna mtu alikufa kwa siku moja aliporudisha fahamu ulimi n mzito haezi ongea chochote ad wa leo kifo n fumbo kwetu iwapo utakufa na kurejea mungu haezi kubali urudi kufafanulia watu siri yake

  • @emmanuelgodwinmollel3714

    @emmanuelgodwinmollel3714

    3 жыл бұрын

    @@saraakumu3452 hahahha hujajua ktu kuhusu Mungu. Kwan huyo aliyeshindwa kuongea unajua siri aliyoona. Au pengine alishindwa kwa kuwa ameshaambiwa hatma yake na ni mbaya.

  • @emmanuelgodwinmollel3714

    @emmanuelgodwinmollel3714

    3 жыл бұрын

    Likati Abunuasi... inatosa ww kucomment hvo

  • @saraakumu3452

    @saraakumu3452

    3 жыл бұрын

    @@emmanuelgodwinmollel3714 c mmoja wala wawili walikufa wakafufuka bt they're not talking

  • @jacklinejoseph4060
    @jacklinejoseph40603 жыл бұрын

    𝐡𝒐𝒏𝒈𝒆𝒓𝒂 𝒎𝒕𝒂𝒏𝒈𝒂𝒛𝒂𝒋𝒊 𝒉𝒂𝒖𝒏𝒂 𝒑𝒂𝒑𝒂𝒍𝒂 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒌𝒖𝒉𝒐𝒋𝒊....𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒌𝒖𝒕𝒂𝒏𝒈𝒖𝒍𝒊𝒆 💪💪

  • @josephpopoli2303
    @josephpopoli23033 жыл бұрын

    Pole sana kk

  • @samwelyona63
    @samwelyona633 жыл бұрын

    Mungu Akubark

  • @HappyJohn-kk1pr
    @HappyJohn-kk1prАй бұрын

    Jamani Aya Mambo yapo mm mwenyewe yalishanitokeaga

  • @josephinemanyama5329
    @josephinemanyama53293 жыл бұрын

    Mungu yupo na anatupenda

  • @nalulemajorine8917
    @nalulemajorine89173 жыл бұрын

    Brother try to use so that even us who don't know swahili can understand coz I seems that testimony is so massive. Heaven is real.

  • @aswilejoseph502

    @aswilejoseph502

    Жыл бұрын

    Let you WhatsApp me

  • @petermageta4987
    @petermageta49873 жыл бұрын

    Kusema kweli ndugu jactan umekuwa wa baraka kwangu sana.ila naomba uwe makini sana maanake shetani hafurahishwi na namna ambavyo mambo yake yanawekwa hadharani, kwa hiyo atapanda watumishi wake kuja kushuhudia uongo uwe makini you are warned stay blessed

  • @asiasalim4634
    @asiasalim46343 жыл бұрын

    Pole kaka mungu ni mwema sijawahi amini wengi wao kwa huyu hakika ni kweli

  • @nellychamba1507

    @nellychamba1507

    Жыл бұрын

    yesu mwenyew tangu aende safari ajawahi rudi maana muda wake anasema bado, na yeye ndie aliye yafanya yote kuwa sahihi,inakuwa mwanadamu utangulie fufuka kabla yake??? No! Hata shetani hanao uwezo wa kutengeneza ndoto au miujiza ,binafsi naikataa hiyo

  • @slydianamulavu5763
    @slydianamulavu57633 жыл бұрын

    It might be true,I also had a dream of going to heaven twice and back, so I don't question the guy

  • @nalulemajorine8917

    @nalulemajorine8917

    3 жыл бұрын

    Same applies to me dia. But let's us not give up to praise en worship him. Jesus is our source of everything we always seek for. I will never get tired of saying God thank you for everything thing you always give us without ceasing en asking for any perry. Amen

  • @DiorKenneth-oy6ut
    @DiorKenneth-oy6ut Жыл бұрын

    God iis good

  • @hhhghyghgg8640
    @hhhghyghgg86403 жыл бұрын

    Ameen umenitia moyo sana

  • @sabrinalazaro950
    @sabrinalazaro950 Жыл бұрын

    Promover kazi zenu nzuri sana tunabarikiwa sana kwa shuhuda zenu.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Amen

  • @doricemikanga5077
    @doricemikanga50773 жыл бұрын

    Amen

  • @rebeccalaizer4066
    @rebeccalaizer40663 жыл бұрын

    Mungu tusaidie kuishi maisha matakatifu tuwe warithi pamoja nawe.

  • @neemakoinasey4298

    @neemakoinasey4298

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @eliemugisa5118
    @eliemugisa51183 жыл бұрын

    Ukweli kabisa

  • @hamishassan5127
    @hamishassan51272 жыл бұрын

    Hadithi nzuri sana

  • @rosepeter8996
    @rosepeter89963 жыл бұрын

    huyu kijana anafungua akili yangu kwa ushuda wake sana🤔kweli dunia mapito tujirekebishe ili tuje kuuona ufalme wa mungu.

  • @angelanyororo2472
    @angelanyororo24723 жыл бұрын

    Acheni uongo mnajiandalia hukumu wenyewe hakuna aliye wahi kufa na akafufuka isipokua Kristo Mwenyewe tajirii katika maandiko alisisitizwa hilo yaani haiwezekani

  • @marthajackson8667
    @marthajackson86672 жыл бұрын

    usi hukum usije ukahukumiwa kama huwamini bora ukakaa kimiya mungu simwana dam kama tunavyo fikilia. ubalikiwe kaka

  • @costamakenebgmalisa3872
    @costamakenebgmalisa38723 жыл бұрын

    Amen barikiwa Sana mtumish kwr Maisha uliyoish Dunian ndo yanaamua unaend wp

  • @AlfaSanga
    @AlfaSanga3 жыл бұрын

    Amen, tunasubir inayofata.

  • @tuzakavera534
    @tuzakavera5343 жыл бұрын

    Yesu ni muweza wa yote

  • @zohoraramadan4540

    @zohoraramadan4540

    3 жыл бұрын

    Mungu ni muweza wa yote

  • @mamymamy7938

    @mamymamy7938

    3 жыл бұрын

    @@zohoraramadan4540 kabisha😍😍😍😍allah

  • @harunikiongozi3831

    @harunikiongozi3831

    3 жыл бұрын

    Bwana Yesu atusaidie

  • @barakaemanuel6638
    @barakaemanuel66383 жыл бұрын

    Urambo sehem gan mtumish

  • @sylviah9666
    @sylviah96663 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂there's a difference between dying and fainting! I only trust in the Lord! Hayo ya kufa na kuingia kwa ulimwengu mie sipo!

  • @lawrenceleonardassenga4457

    @lawrenceleonardassenga4457

    3 жыл бұрын

    Huo ndio ukweli kabisa, aache kutufanya punguani

  • @sylviah9666

    @sylviah9666

    3 жыл бұрын

    @@lawrenceleonardassenga4457 Siku hizi everybody is trying to be famous! So they use every means!

  • @lawrenceleonardassenga4457

    @lawrenceleonardassenga4457

    3 жыл бұрын

    @@sylviah9666 Kuna vitu vya kutafutia umaarufu lakini si kijichuria kifo

  • @hawababuu4350

    @hawababuu4350

    3 жыл бұрын

    Huyu ata asituchanganye kabsa mana naona yuanimalizia wifi yangu bure.. This man fainted akaamka after 10hours ati alikufa akafufuka mutaacha mchezo 😀😀

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi69483 жыл бұрын

    Utopolo mtupu hakuna kama hicho acha kuigiza hayo maigizo

  • @maryanmohamed3615
    @maryanmohamed36153 жыл бұрын

    Siamini

  • @finiasezra7072
    @finiasezra70723 жыл бұрын

    Mtaongopea watumishi adi lini umesoma wapi mtu akifa anaenda mbinguni? Mura oborongo nobobibi

  • @samwelmbahekile8565
    @samwelmbahekile85653 жыл бұрын

    He is really spiritually saved

  • @juliethmayai8134
    @juliethmayai81343 жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @allykinyogori139
    @allykinyogori1393 жыл бұрын

    Hakuna binadamu anakufa anakwenda binguni alafu akafufuka na kuludi duniani

  • @kadigatanzaniya4792
    @kadigatanzaniya47923 жыл бұрын

    Jamani mungu ni mwema

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar35710 ай бұрын

    wow, anaongea kama wameru hapa kenya

  • @valentinomethod6680
    @valentinomethod66803 жыл бұрын

    Avelina musungu umeandika ujumbe mzuri sn ni kweli kbs ulichosema maneno mazuri an1barikiwa mpendwa

  • @violachelangat7411
    @violachelangat74113 жыл бұрын

    This story is true,, i hope to see part 2,

  • @oswaldmushani2432

    @oswaldmushani2432

    3 жыл бұрын

    Jeee? Huyo aliekuwa anacheka ambae alikuwa pemben hakumuuliza juwa we na??????

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo47233 жыл бұрын

    Uwongo unaitwa ushuhuda siku hizi kazi ipo.

  • @ruu6592

    @ruu6592

    3 жыл бұрын

    Nimecheka

  • @gideonjackson3659
    @gideonjackson36593 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @dolyjinejohn9755
    @dolyjinejohn97553 жыл бұрын

    What next brother Jacktan?? We want to hear the coming episode

  • @cosmaskeya9438

    @cosmaskeya9438

    3 жыл бұрын

    mungu achen aitwe mungu

  • @fistonntakarutimana5387
    @fistonntakarutimana53873 жыл бұрын

    Ongo huo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @valentinomethod6680
    @valentinomethod66803 жыл бұрын

    Hakika nimeguswa sn pole sn hata mm nimepitia mapito magumu naelewa unachokizungumza asante kwa ushuhuda mzuri mbarikiwe sn kwa kipindi hiki

  • @mirriamndunge9444
    @mirriamndunge94443 жыл бұрын

    I confirm this as a true story

  • @yohanamayala2502
    @yohanamayala25023 жыл бұрын

    Wadanganye wasio soma neno la mungu mchezeeni mungu kama shemeji yenu

  • @meresianamuja7684

    @meresianamuja7684

    3 жыл бұрын

    Usihukum usije ukahukumiwa

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally71273 жыл бұрын

    Wewe uluchukuliwa na wachawi hakuna jipya

  • @mwajumamasumbuko2170
    @mwajumamasumbuko21703 жыл бұрын

    Leta nyingine kaka leo jamani

  • @isaacnderitu8664
    @isaacnderitu86643 жыл бұрын

    Wacha Halaka bro utakufa tu.

  • @jumakoga2179
    @jumakoga21793 жыл бұрын

    Huo ni uchawi tu , haiwezekani ufe halafu ufufuke haiwekani, sema ulizimia, tuache uwongo, kama kuokoka ndio kumekufanya ufufuke basi walokole wasingekufa

  • @angelanyororo2472

    @angelanyororo2472

    3 жыл бұрын

    Atakua anajichawia mwenyewe

  • @samwelyona63
    @samwelyona633 жыл бұрын

    Kwahiyo Mpendwa Tufanyej Kuhusumbingun

  • @davidwambura5915
    @davidwambura59153 жыл бұрын

    Amen ushuhuda unajenga Sana, tunaomba muendelezo halaka iwezekanavyo kaka jacktani.

  • @zuhuradanny6307

    @zuhuradanny6307

    3 жыл бұрын

    Ushuhuda mzuri,unajenga kwakweli

  • @isaacochieng8460

    @isaacochieng8460

    3 жыл бұрын

    Watu wa Mungu tujitahidi kumsaport kwa fedha,maombi,mali bwana yesu wa jactani jamn ukweli ubarikiwe sana

  • @danielkiponda3419
    @danielkiponda34193 жыл бұрын

    Da! mtumishi ushuhuda wako unatukumbusha kuwa dunia tunapita. sasa baada ya kufa tunakwenda wapi? kwakweli mungu atusaidie

  • @noelamwitwa7672
    @noelamwitwa76722 жыл бұрын

    Jamani tusitishane

  • @frenkjelad4468
    @frenkjelad44683 жыл бұрын

    Mmm

  • @ciekai7356
    @ciekai73563 жыл бұрын

    Matendo yako ndio yataamua unaenda wapi.

  • @ey3022

    @ey3022

    3 жыл бұрын

    Waefeso 2:8-9 [8] Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; [9] wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.

  • @LisaLisa-wd8oy

    @LisaLisa-wd8oy

    3 жыл бұрын

    @@ey3022 ameeeeeeeeeen👏💃💃👏

  • @marthalasoi8253
    @marthalasoi82533 жыл бұрын

    Mm pia nimeshuhudia huku kwetu kuna dada alifariki for 5days na alipofufuka ulimi wake ulikuwa mzito sana. Alikaa for 13yrs but nasikitika sana alifariki mwaka jana

  • @benjoliga1136

    @benjoliga1136

    3 жыл бұрын

    Hizo 5 days ni alizimia tu sio kwamba alikufa, kifo ni kutenganisha mwili na roho/uhai/uwezo wa kuishi Hiyo miaka 13 baadaye alipokufa ndio alikufa haswa

  • @christinajmnkenyi724

    @christinajmnkenyi724

    3 жыл бұрын

    Wengine wanachukuliwa kwa nguvu za giza msisahau kwamba kuna vita ya kiroho ktk ulimwengu wa kiroho ,hamna anaekufa na kurudia maisha ya duniani tena.

  • @christinajmnkenyi724

    @christinajmnkenyi724

    3 жыл бұрын

    Someni maandiko matakatifu vizuri ndugu zangu tunaangamia kwakukosa maarifa.

  • @hassanbinally7127

    @hassanbinally7127

    3 жыл бұрын

    Huyo hakufa alichuliwa tu na wachawi

  • @mwinjilistmariafalagha8328

    @mwinjilistmariafalagha8328

    3 жыл бұрын

    Hasan kwaiyo wachaw wanaeza kuchuku Lkn Mungu hawez au?

  • @user-ys2em5cq9z
    @user-ys2em5cq9z6 ай бұрын

    Alafu watu wanasema asente Jackson kwa kwenda mbinguni😂😂😂😂

  • @shilimaabdallah-mw2bj
    @shilimaabdallah-mw2bj Жыл бұрын

    Hizi shuhuda hizii, zingine ni mipasho

  • @ey3022
    @ey30223 жыл бұрын

    unasema bila kubatizwa huingii mbinguni vipi yule mwizi pale msalabani hakubatizwa Luka 23:42-43 [42] Kisha akasema, Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako. Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi. tusome Bibilia na tuamini NENO LA MUNGU sio ushuhuda wala mafuta ya upako 😎

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa lakini usitembelee baraka za mwenzako.Mfano rahisi kuna watu wawili wamehukumiwa miaka 10 gerezani lakini mmoja ametoka kwa msamaha wa Rais mwingine kabaki je!unaweza kuhoji hapo?!

  • @ey3022

    @ey3022

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz sawa sawa asante kwa jibu pia hongera kwa shuhuda hizi huwa zinajenga Mungu akubaliki

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    @@ey3022 Amen

  • @innocenciamalyawere1503

    @innocenciamalyawere1503

    3 жыл бұрын

    Usikariri mistari mi wili ukatembea nayo

  • @ey3022

    @ey3022

    3 жыл бұрын

    @@innocenciamalyawere1503 nisikariri mistari #miwili #nikatembea nayo?? #Kwani mistari #miwili sio #NENO la MUNGU ? #hata Hii #Nisiikariri YOHANA 3:16-17 [16] Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. [17] Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye. hata hiyo nisiikariri si ndio mpendwa? #hata mstari #mmoja Ni #NENO LA #MUNGU CHA MSINGI NENO LIWE NDANI YAKO Wakolosai 3:16 [16] #Neno la Kristo na #likae kwa wingi #ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

  • @tatualmazrui5945
    @tatualmazrui5945 Жыл бұрын

    Tuache jamani tuacheni jamani anaekufa harudi asilani abadani acheni uongo huyo mwambieni ache uwongo

  • @michaelpeter6218
    @michaelpeter62183 жыл бұрын

    Mungu ni mkubwa na hashindwi

  • @mawazobayndulwa1909
    @mawazobayndulwa19093 жыл бұрын

    Asant sana nikonarudiliya rudiliya kwa mahana hushuhuda huu unajenga unafuza hacha niseme hasant kwa mtumishi wa Mungu Eric Mungu hakubariki sana natena natowa shurkani kwa mtumishi wa Mungu Jacktan Asant

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    3 жыл бұрын

    Asante kushukuru na kutazama

  • @didatratranee2531
    @didatratranee25313 жыл бұрын

    Sauti ndogo sana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Sina uhakika na hilo unalosema,angaia vizuri kifaa chako unachotumia kusikiliza kitakuwa ndo kina shida

  • @wilisonjoseph1632
    @wilisonjoseph16323 жыл бұрын

    Pole sana mungu akubariki nakukuepusha mauti

  • @bryanfelix3771
    @bryanfelix37713 жыл бұрын

    Tunaomba muendelezo

  • @charlesmbunda6759
    @charlesmbunda6759 Жыл бұрын

    Shalom shujaa! Naomba namba za Erick

  • @officialK-looh
    @officialK-looh3 жыл бұрын

    Hii ilimtokea marehemu Godzilla #R.I.P_Kingzilla

  • @user-gn1mv7nb6n
    @user-gn1mv7nb6n7 ай бұрын

    Mbona sarakasi mingi za ushuhuda hutoka Tanzania?kweli zatuelimisha lakini poa muwegeukie Mungu maana ye ni warehema

  • @niyonsabasaada7831
    @niyonsabasaada78313 жыл бұрын

    Ivi munawomutazama uy jama munaona anafanana namut aliofufuka?😏 wala maelezoyakigugumiz hayanitish

  • @angelanyororo2472

    @angelanyororo2472

    3 жыл бұрын

    Chizi tu hyo atakua mchawi

  • @godsavethesociety1392
    @godsavethesociety13922 жыл бұрын

    Acheni uongo bana afike mbinguni kabisa ya shetani labda ya shetani hiyo sawa

  • @maryanmohamed3615
    @maryanmohamed36153 жыл бұрын

    Ajakufa ila ameend kwa shetani

  • @debonjango6589
    @debonjango65893 жыл бұрын

    Mmmmmmmmh

  • @husnarajabu4295
    @husnarajabu42953 жыл бұрын

    Haya tuambie ulitolewaje roho? Ulisikia uchungu au

  • @bennymochiwa4800

    @bennymochiwa4800

    3 жыл бұрын

    mi naona km anazingua tu

  • @kuruthumuissa5539

    @kuruthumuissa5539

    3 жыл бұрын

    Mmeonae labda aliwekwa msukule anatudanganya kaenda mbinguni mfyuuuuu

  • @scolastikarajabu8268

    @scolastikarajabu8268

    3 жыл бұрын

    Nimelipenda swali lako

  • @avelinamusungu8142

    @avelinamusungu8142

    3 жыл бұрын

    Ndugu usiseme hivo kaa to kimy Mana kila nafsi itaonja umauti nikipindi kigumu hicho hakin mfano

  • @Milly_tz
    @Milly_tz3 жыл бұрын

    Sasa mbona ulisema usiku umeongea na Kaka ako?? Sasa hv unasema ulikua huwezi kuongea loooo jmn

  • @benjoliga1136

    @benjoliga1136

    3 жыл бұрын

    Shuhuda za namna hii huwa ni za kishetani ndio maana zimejaa uongo ndani yake

  • @edwinnyabikwi560
    @edwinnyabikwi5603 жыл бұрын

    M

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi Жыл бұрын

    Hayo masaa kumi alikuwa mochwari au wapi?Pia mbingu ilivyonzuri mtu anawezakurudi kweli??? sidhani !

  • @issanurukawishe554
    @issanurukawishe5543 жыл бұрын

    Hakika mna mambo nyie wongo mtupu hizi muvi zenu haziishi

  • @sarahmdindile4301

    @sarahmdindile4301

    3 жыл бұрын

    Hamjalazimishwa kuangalia wala kuamini jaman

  • @teresiakwambo9018
    @teresiakwambo90183 жыл бұрын

    Shuhuda zingine azieleweki..

  • @williamsville3493

    @williamsville3493

    2 жыл бұрын

    Mbona wewe hueleweki?

  • @gdhdgshe3182
    @gdhdgshe31823 жыл бұрын

    Kweli imeandikwa kuwa mtu azaliwe Mara ya pili, kumbuka yesu kamwambia Nicodemas razima azaliwe Mara ya pili ,soma bblia💯

  • @strongweakpriceactiontradi9761

    @strongweakpriceactiontradi9761

    3 жыл бұрын

    Azaliwe mara ya pili kwa ubatizo...kuzaliwa kwa mwili na kuzaliwa kiroho(kuokoka) vyote ni hapa duniani

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    Nakubali

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga83843 жыл бұрын

    Katika watu wanaoongoza kukubari kudanganywa ni wakristo.

  • @gwishtztz8784

    @gwishtztz8784

    3 жыл бұрын

    Etii tufafanulie naskia kuna majn wema na wabayaaa

  • @salimchimwaga8384

    @salimchimwaga8384

    3 жыл бұрын

    @@gwishtztz8784 Majini ni kama unavyoona binadamu tu kuna wabaya na wazuri, ndio maana Allah anasema sikuwaumba majini ni binadamu ispokuwa waniabudu Mimi tu ,kwa hiyo majini ambao watamuas Mungu hao ni wabaya kama binadamu wanaomuas Mungu.

  • @gwishtztz8784

    @gwishtztz8784

    3 жыл бұрын

    Ndo unaferi hapo ndo maana unayaomba pesa mwisho wa sku yanataka kafara ujue nawe umedanganywa sana kwa hilo tangu lini shetani awe malaika

  • @salimchimwaga8384

    @salimchimwaga8384

    3 жыл бұрын

    @@gwishtztz8784 Sasa we kama unasema majini hakuna mwema ila ni wabaya tu lete andiko maana unaazisha mada,nimekupa andiko kuwa majini ni sawa na binadamu kwa mujibu wa Quran, sasa kama bible inasema majini ni wabaya lete andiko usiwahukumu wewe Mungu ndiye mtoa hukmu.

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Жыл бұрын

    Huyu mwamba alioteshwa ndoto na mang'amu ng'amu ya kuugua! Anadai alikufa akarudi, acheni mzahaa na umauti nyie

  • @niyonsabasaada7831
    @niyonsabasaada78313 жыл бұрын

    Mb zangu tu . Ivinyiye mbingun mwafikiria nirahisisana kufika. Eti nilienda nikarud uwemakin wew naizo iman zakijinga sana .iy 2020 itacha meng acha tuon 2021 italetanini.

  • @orverfredy2694

    @orverfredy2694

    3 жыл бұрын

    Ufunuo wa yohana unajieleza hata yeye alipata maono ya mbinguni..pia biblia imesema vijana watapata maono, wazee wataota ndoto etc. omba Mungu akupe masikio ya rohoni.

  • @adamfundikira4588

    @adamfundikira4588

    3 жыл бұрын

    @@orverfredy2694 ubarikiwe umemjibu vizuri nami ninacho kitabu kinaitwa wengi watatamani kuingia lakini hawataweza

  • @ruthstephen2791

    @ruthstephen2791

    3 жыл бұрын

    Tupe uzoefu wako wa mbinguni. Unaonekana unajua zaidi.

  • @penuelfullsalvationchurch3350
    @penuelfullsalvationchurch33502 жыл бұрын

    Brother itapendza km utamtfta mkalimani wa kiingereza il n wenzetu wajifunze kitu

Келесі