Part_2 USHUHUDA WA ALIYEKUTANA NA YESU NA SHETANI LIVE

#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 205

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Жыл бұрын

    Mmh nashukuru Mungu Leo nmeskia kuskiliza haya maono nmejifunza sana apa asante YESU

  • @jeaninekabano9190
    @jeaninekabano91903 жыл бұрын

    Utukufu ni wako Mungu uliye juu tufundishe njia zako Ubarikiwe Sana Prophet kijana ❤️

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga73784 жыл бұрын

    Nakushauri David, ushuhuda ulioutoa unatosha sana anza kuhubiria watu dunia nzima.

  • @allyawadh8492

    @allyawadh8492

    4 жыл бұрын

    Sio anza kuhubiri sema anza kupiga pesa yaani usanii wako wakristo ushawaingia na kwasababu hawana elimu hiyo basi sema upendavyo ila kwasisi wenye kujielewa huwezi kutudanganya kwa njia hiyo,ila nakukumbusha haya maisha ya dunia ni maisha yakupita hiko unachofanya utakuja kujuta siku utakayotolewa roho yako bora uwe maskini hapa nduniani lkn uwe na amani kesho kwa mungu kuliko kuwa tajiri hapa nduniani keaho ukapate taabu,huo ni ukumbusho wangu kwako.

  • @stellandossy8107

    @stellandossy8107

    4 жыл бұрын

    Mi nakuelewa sa na prophet Dev,mungu amekupa kazi ya ziada ya kufanya,usiogope ninaimani na wewe ninaimani ni mungu,

  • @ithedavid8525

    @ithedavid8525

    3 жыл бұрын

    Khaaaa hapo kaniacha hoi we India tena

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    Жыл бұрын

    @@ithedavid8525 MUNGU ni roho, ukiwa katika ULIMWENGU WA KIROHO popote ukitaka kwenda utaenda

  • @cupcakesanddounuts6555
    @cupcakesanddounuts65554 жыл бұрын

    I BELIEVE THIS TESTIMONY AND I KNOW THAT ANGEL MICHAEL IS FIGHTING THE FINAL FIGHT JESUS IS COMING BACK SOON ON EARTH GLORY BE TO GOD

  • @magdalenapeter6106

    @magdalenapeter6106

    3 жыл бұрын

    AMEN

  • @Sarah-joyy
    @Sarah-joyy4 жыл бұрын

    This is a very heavy testimony. God reveals himself to his saints. He doesn’t have to but he does. Pray for the saints, pastors, teachers and prophets. God is great and awesome. And yes there is so much to accomplish!!!

  • @aisharazak3511

    @aisharazak3511

    3 жыл бұрын

    Amen am a believer

  • @alifewithpurpose.360
    @alifewithpurpose.360 Жыл бұрын

    This is so true kabisa.... Mtumishi wa Bwana anasema kweli.... The day I saw him I knew HE IS HIM yaani bila kuambiwa na Mtu unajua THIS IS THE MASTER HIMSELF... Na siku anakuja kwangu alifungua mikono the same na Ndani yake yaani kama kwenye moyo wake kulikuwa yanatoka Yale matunda 9 ya Roho MTAKATIFU (Wagalatia 5:22-23) asee its unforgotable experince na kila nikiwaza huwa najikuta nalia yaani nalia bila sababu... Like wise the day I met Lucifer I know he is lucifer yaani kwenye ulimwengu wa Roho hakuna anayekwambia huyu ni nani, Yaani roho MTAKATIFU anakwambia na ni kwa sababu Roho Mtakatifu yuko ndani yetu so ni YEYE ROHO MTAKATIFU ANAYECHAKATA NA KUKUPA HIZI TAARIFA MNAMAJIBU.. Oooh Lord... Jamani the spiritual ream is so real... Yesu akubariki Jastun na Mtumishi wa Bwana David... Anayosema bi kweli kabisa... Kama hujapatana na hizi experience Mwombe Bwana kuwa ba Kiu taakuja kwako... Wewe ni Mtoto wake.

  • @armindodamiao8729
    @armindodamiao87293 жыл бұрын

    I am mozambican and I will spread this message.amen

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @titinmbega4128
    @titinmbega41284 жыл бұрын

    Ata mm naomba Mungu anijalie kuona ufunuo Kama huu ila kwa mapenzi ya Mungu. Japo mm huona ndoto ila nahitaji kuona kabisa 🙏🙏🙌🏻🙌🏻🤲🌹

  • @lindajohn2156

    @lindajohn2156

    4 жыл бұрын

    Lazima usugue goti sana

  • @gabinessjeniffer653

    @gabinessjeniffer653

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @officialK-looh

    @officialK-looh

    3 жыл бұрын

    Huogopi?

  • @titinmbega4128

    @titinmbega4128

    3 жыл бұрын

    @@officialK-looh Sitaogopa maana yy yu pamoja nami. 🙏

  • @natrinemweha8625
    @natrinemweha86253 жыл бұрын

    Kama mtu hajamjua Kristu hawezi elewa haya mambo, asante David umenielimisha mambo ambayo sikuyajua....Glory be to God.

  • @PatrickMuendo-ur9js
    @PatrickMuendo-ur9js3 ай бұрын

    Devil used to be called morning star, he was very beautiful, Hana pembe jinsi watu wengi wanavyofahamu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @gladysvyagusa3185
    @gladysvyagusa3185 Жыл бұрын

    Amina YESU NI BWANA NA MFALME WA WAFALME KILA ULIMI UTAKIRI YA KUWA NI BWANA NA KILA GOTI LITAPIGWA KUMSUJUDIA.

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra11763 жыл бұрын

    Pia hali ya kuchukuliwa na wati sina usingizi wakt ilinitokea niliogopa sana nilifikiri kwamba na kufa,siku hiyo nilikuwa nilishinda kwenye kifungo bila kula wala kunywa, watoto wa ndugu zangu wakaja wakaniambia eti mama mdogo tunahitaji utiombey ili tulale,niliwaombea watota,nilipo maliza kusali,nilielekea kwenye malazi,wakati bado naweka kichwa kitandani wala sijasinzia,nilichukuliwa ghafla,nilijikuta niko mahali nikitembea pek yangu huo sehemu kulikuwepo majani mengi wala sikuona nyumba ila katikati kuna barabara dogo sana,nilikuwa nikipita kwa hiyo barabara,nikajivuta ili nitok kwa hio hali nikaogopa sana,nilipo rudi nikaanza kusema Mungu hapana Mungu hapana ghafla niliona tena nilinyakuliwa nikajikuta huko,nikasimamama wazo likanijia nikasema,eti mbona duniani kuna madini mengi tena tofauti pia yenye imani tofauti kila dini inaona kuwa yenyewe ndo ya kweli,pia wote wanatarajia kuiona mbingu,nikajikuta nasema eti je wakifika huku itakuwaje!nikatoka kwa hiyo hali,ila nikaanza kujiuliza maswali,sasa ukweli ni upi!

  • @floridamgina7131
    @floridamgina7131 Жыл бұрын

    Ushuhuda huu umenifanya nikupende zaid YESU MFALME WA WA FALME NISAIDIE NIKUISHIE WEWE TAFADHAR

  • @thehumphreyfamily3082
    @thehumphreyfamily30823 жыл бұрын

    praise the Lord man of God, am Margaret Wamaitha from Kenya .I need your prayers.

  • @gabinessjeniffer653
    @gabinessjeniffer6533 жыл бұрын

    Mungu akubarki kaka,, Mungu awe na wakati wote Hallelujah Thanks

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird2223 ай бұрын

    Huu ushuhuda ni wa kweli hilo geti nalifahamu linafunguka kwenda juu ukiingia tu linashuka vuup linafunga na huo ukijani ni mzuri sana upo niliuona upande wa kulia kwangu

  • @julianampanduji6000
    @julianampanduji60003 жыл бұрын

    Glory! Glory! Ee Mungu tuhurumie na utuokoe watu wako🙏

  • @suzanakiwele1832
    @suzanakiwele183211 ай бұрын

    Naomba MUNGU manabii wasipende kuishi jijini namaanisha mjini tu,kama itatokea nabii akubali kuzikomboa roho za YESU namaanisha watu wa vijijini sana,huyo nabii kweli MUNGU atammbariki sana, lakini manabii wote mnaishi mjini, naomba MUNGU awaonyeshe vijijini mwa mikoa mbalimbali jinsi watu wanavyohitaji huduma ya MUNGU na SI mjini,🙏 MUNGU awabariki sana 🙏

  • @robsonsadiki
    @robsonsadiki4 жыл бұрын

    Mtumishi daktan ninaomba unipatie namba ya mtoa ushuhuda kwani ninaona kuna kutu amebeba kwa ya watu wangu

  • @prophetesspriscarichard

    @prophetesspriscarichard

    4 жыл бұрын

    Shalom, kuwasiliana na Prophet David Richard piga number hii +255758012068

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia77712 ай бұрын

    THIS TESTIMONY IS TRUE. HALLELUYAH. GLORY TO JESUS CHRIST

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra11763 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana,kuna vitu vingi nilikuwa nikiviona muda mrefu ila nilikuwa sielewi,muda mwingine naona niko kwenye sayali nyingine,kulikuwa watu wa hajabu wenye nguvu sana,nikapambana nao,na mpaka jinsi nilirudi kwenye malazi,

  • @ithedavid8525

    @ithedavid8525

    3 жыл бұрын

    Na we nabiii nakutabilia

  • @damasalfayo9375
    @damasalfayo93754 жыл бұрын

    Sii wote wanaoweza kuyapokea haya madamu hajamsema Yesu vibaya binafsi nimebarikiwa Sana Nabii wa Bwana Mungu akubariki Sana

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai46913 жыл бұрын

    God is powerful and I believe in JESUS. I big testimony. I feel it. Thank you JESUS

  • @akwenyijoan8338
    @akwenyijoan83383 жыл бұрын

    Tumrudie mungu .mwanzo sitaibika kusema dhambi zangu ni nyingi sana. Mtumishi naomba nisaidie. Joan kutoka malaba

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel43884 жыл бұрын

    Utukufu. kwa mungu juu na amani duniani kwa watu wote aliowaridhia.ubarikiwe na Yesu.

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus66374 жыл бұрын

    Yaani me napenda hiz shuhuda maana namwamin YESU saana

  • @gladnesssidiu8945

    @gladnesssidiu8945

    4 жыл бұрын

    Namwamini Yesu sanaaaaaaa

  • @aisharazak3511

    @aisharazak3511

    3 жыл бұрын

    Me2

  • @SimaoromaojoseSimaoromao
    @SimaoromaojoseSimaoromaoАй бұрын

    Amém 🇲🇿

  • @anaiskafilleaineedejesus3642
    @anaiskafilleaineedejesus36423 жыл бұрын

    Yesu christu nimeku penda sana..ubaki mungu milele

  • @NellyMadeni-yv6fd
    @NellyMadeni-yv6fd11 ай бұрын

    Mungu anisamehe kwa ushuhuda huu hakuna cha kweli hapo. Move ya kihindi tu

  • @robertmansfield331
    @robertmansfield3313 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu!. Kweli you are truly blessed! Kwa vile maono haya na matukio uliyoyapitia ya kushangaza yanaendana na ya nabii Enoch na mitume wengine, ni wazi pasipo shaka yote uyasemayo ni kweli kabisa. nikiwa nimefatilia hatua kwa hatua na kwa makini yale aliyoyapitia Enoch mwenyewe kama yalivyoandikwa kwenye kitabu cha "the book of Enoch" ambacho ni kati ya vitabu vitakatifu vya "The dead sea scrolls" ambazo ni vitabu vinavyosadikika kwa ni vya apocryphal.. Nikimaanisha vilivyofichwa na haviaminiki. huku Wayahudi wakikipinga sana kwa vile mwana wa Adam "son of Man" ametajwa mara nyingi na pia utukufu wake. Kitabu hiki pia hakikuingizwa kwenye kwenye Biblia la agano la kale. Lakini malaika wote wakuu na kazi zao zimetajwa akiwemo archangel Michael, Raphael, Gabriel, Uriel, Saraqael na Raguel, kwa upande mwingine Pia the guardian Angels "watchers" hawa waliokiuka wote wametajwa kwa majina na vyeo vyao wakiongozwa na Samyaza kabla ya gharika ambaye yupo kifungoni akisubiri hukumu. Huyu katika narration yako umemtaja pia. Walioadhibiwa nae wametajwa kwenye kitabu cha Enoch ni malaika wakuu waasi: Azaziyel, Arakaba, Rameel, Kokabiel, Tamiel, Ramiel, Danel, Ezeqeel, Baraqijal, Asael, Armaros, Batarel, Ananel, Zaqiel, Samsapeel, Satarel, Turel, Jomjael, Sariel na wa chini yao kwa maelfu walioanzisha kizazi cha mchanganyiko wa binaadamu na malaika kwa kukufuru Mungu. Hawa kwa kutajwa ni viumbe "giants" wanaotajwa kuwa ni "Nephilims." kwa vile Biblia takatifu ina vitabu vingi na hadi kukamilika ni wazi "it was inspired by The most high God Almighty" hadi itufikie sisi. Swali langu: je hiki kitabu ni kitakatifu au la? kilisahaulika kwa makusudi? Au ni myths mojawapo. Maana kipo very detailed na adhabu zake za kutisha kama wewe mwenyewe ulivyoelezea.

  • @truth7796
    @truth77963 жыл бұрын

    God can reveal to someone both side heaven and hell. God can show someone what is happening in Second heaven. Testimony is here to tech us and change our life

  • @Summertm
    @Summertm2 ай бұрын

    Yesu ni Bwana!

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid26485 ай бұрын

    YESU NAKUPENDA❤

  • @akwenyijoan8338
    @akwenyijoan83383 жыл бұрын

    Asante sana kwa simulizi, inanitia moyo sana, nakuamini sana ila wengi wamesimulia zao pia lakini kila mmoja alionyeshwa mambo tofauti

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird2223 ай бұрын

    Ila Yesu siwezi kuisahau sura yake akiwa ameshika fimbo getini

  • @sallymumia8425
    @sallymumia84254 жыл бұрын

    Hallelujah to the lamb of God, Jesus Christ

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra11763 жыл бұрын

    Naomba prophet azidi kutusaidia watu kama hao tupo,tunaona vitu hatuelewi,ata tunapo ulizia wenye kutusimamia makanisani hatupewi majibu,unaambiwa tu tutaomba,hivio tu,au unaambiwa msg hio si ya kwako,si lazima ufahamu!Tunahitaji msaada kutoka kwa wapakaliwa mafuta na Mungu!Mubarikiwe sana

  • @thewellministry9008

    @thewellministry9008

    3 жыл бұрын

    Nitafute niko moshi nasi tunapata mafunuo kama hayo na kanisa Letu wote tunaonaga maono! Ndoto na mafunuo Mungu yupo nasi ana uwezo wote na nguvu zote !Anatenda hata leo !Tumwamini tu!

  • @nancynancykarimi5593
    @nancynancykarimi55933 жыл бұрын

    I'm much tuned and I'm blessed with the testimony God bless

  • @jacintamakokha1522
    @jacintamakokha15223 жыл бұрын

    Amazing Testimony. Thank you Prophet for sharing this.

  • @shalomkind4575
    @shalomkind45753 жыл бұрын

    I believe so much ..the more we pray the more our angels receive strength ,when we take up the whole armour n live holy in n out,our angels are also dress in full armour ,ameeen

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 Жыл бұрын

    Asante kwa ujumbe prophet nipo kenya would like to speak to you.naomba namba yake promover tv❤️

  • @annamrima5507
    @annamrima55074 жыл бұрын

    Ni neema ilioje jamani .....mungu akubariki kwa ushuhuda na azdi kuilinda karama yko

  • @gracegerson9796
    @gracegerson97963 жыл бұрын

    Naombeni namba ya nabii David Richard. Nashida nae. Kuna vitu huwa sivielewi. Ktk ulimwengu wa roho.

  • @CynthiaAoko-hq1fg
    @CynthiaAoko-hq1fg Жыл бұрын

    Truly God is far beyond our minds

  • @evelynetitus974
    @evelynetitus9742 жыл бұрын

    Asante Sana kwa ushuhuda nimebalikiwa sanaaaaaaa

  • @davidmihambo3051
    @davidmihambo30514 жыл бұрын

    Mpokeeni Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu halafu mjazwe Roho Mtakatifu ambaye atatupa uwezo wa kuishi maisha matakatifu mpaka Yesu atakapo rudi kulichukua kanisa lake. Hayo mengine yote no udanganyifu tu wa siku za mwisho. 8 Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi. Matendo ya Mitume 1 :8 Yesu alisemaje kuhusu unabii kabla ya yeye kurudi kulichukua kanisa lake 18 Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki. Ufunuo wa Yohana 22 :18 19 Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki. Ufunuo wa Yohana 22 :19

  • @essiesqui5545

    @essiesqui5545

    3 жыл бұрын

    May GOD forgive us, for we have sinned.false prophets are all over,

  • @sadikimtega4135
    @sadikimtega41354 жыл бұрын

    Ni kweli ndivyo anavoonekana, nimemuona Kama x2 lakini kivingine so Kama hivyo uoivyoona Nabii

  • @mariamartin422
    @mariamartin4224 жыл бұрын

    I praise you God🙏🏻🙏🏻

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai46913 жыл бұрын

    Truly, truly, I say to you, whoever believes in me will also do the world that I do; and greater works than these will he do, because I am going to the Father. John 14:12.thanks be to God. Thank you JESUS

  • @thel-rdiscomingamen5407
    @thel-rdiscomingamen54072 жыл бұрын

    Glory to the Living God our Father and Jesus Christ our Lord and Savior

  • @designdesign4426
    @designdesign44263 жыл бұрын

    Wavivu wakusoma vitabu vyamungu ndo watakuamini lakini mimi huniongopei ..nilikutana na mikael cjui nilkutanaalaika we nani unaleta usanii kwenye majumba yasanaa...mwisho wasiku unajipa jina prophet mhh mpuuzi mmoja mnakera

  • @tajirikingking2619
    @tajirikingking261910 ай бұрын

    Hapo at 8:13 Angel Micheal is ONLY in charge of his warrior angels & NOT all all the angels

  • @denismugisha2
    @denismugisha211 күн бұрын

    Mimi huyu hanishangazi,..... ila Jactani sasa kwanini usipime shuhuda nyingine kama hizi????

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo16053 жыл бұрын

    Mmh husipokuwa makini unaweza ukamkosea Mungu eeh baba nifundishe kunyamaza maana

  • @user-tz9ic7jn4j
    @user-tz9ic7jn4j4 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wamungu

  • @faithkioko5705
    @faithkioko57054 жыл бұрын

    Amen God is faithful

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50534 жыл бұрын

    Ubarikiwe kaka naamini imetokea naomba namba yako Mtumishi katika jina la Yesu Kristo

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra11763 жыл бұрын

    Siku ya kufuata niliona njia ndefu kwa mbele ni kamuona kondoo,kisha nikasikia sauti ikiniambia eti,Yesu ndo njia ya kweli na uzima hakuna afikae kwa baba bila yeye,pia sauti hio ikasema eti yule ambaye atakae weza kuishinda dunia pia atakae vumilia hadi mwisho huyo ndie atakae rithi ufalme wa Mungu!So tunaomba prophet atusaidie kuna watu ambao tulikosa wakutusimamia ktk mambo ya kiroho,na hatujuwi tufanye nini

  • @mercyetago4020
    @mercyetago40203 жыл бұрын

    Malaika hao wrote majina Yao yanaishia El.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55093 жыл бұрын

    GLORY BE TO OUR LIVING GOD

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule51804 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wake

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71583 жыл бұрын

    Jina la movie usisahau mjomba

  • @kijamalale1380
    @kijamalale13804 жыл бұрын

    usijitambulishe acha mungu akutambulishe

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Hakika kwa imani Mungu anatufungua kwa ushuhuda wako

  • @gabinessjeniffer653
    @gabinessjeniffer6533 жыл бұрын

    Ameen

  • @MariaMaria-gq4kd
    @MariaMaria-gq4kd4 жыл бұрын

    Unarikiwe kaka

  • @evelynlehnard3928
    @evelynlehnard39285 ай бұрын

    😅biblia inasema kuwa ni aibu mwanamme kuwa na nywele ndefu...Yesu mwenyewe hawezi kuonekana kinyume na maumbile. Johana na Daniel walieleza kwa maona yao kuwa Yesu ni mweusi na nywele yake kama pamba.

  • @khalidyasinkhalid5944
    @khalidyasinkhalid59442 жыл бұрын

    Hilo ni tatizo lipo ktk ubongo milembe aanze kuisogelea

  • @perismande7759
    @perismande77593 жыл бұрын

    Mtafute prophet Hebron anamatukio kama hayo yako huko Tanzania.

  • @medadiissa324
    @medadiissa3244 жыл бұрын

    Yesu Kristo anarudi

  • @mhandosuzy6790
    @mhandosuzy67904 жыл бұрын

    Ameni

  • @deddyabdullah252
    @deddyabdullah252 Жыл бұрын

    Jesus is Lucifer ... Soma Revalation chapter 22 -16 Na uone ukweli halisi

  • @deboraleonard3441
    @deboraleonard3441 Жыл бұрын

    Zichinguzeni izo roho jamani

  • @user-pe5fx7uu4n
    @user-pe5fx7uu4n3 жыл бұрын

    Amen

  • @tameemothman8192
    @tameemothman81923 жыл бұрын

    God on u

  • @elizachama1229
    @elizachama1229 Жыл бұрын

    Kitabu cha nabii David

  • @benardmbalasi6325
    @benardmbalasi63253 жыл бұрын

    amen

  • @MariaMaria-gq4kd
    @MariaMaria-gq4kd4 жыл бұрын

    Ubarikiwe kaka

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    4 жыл бұрын

    Wewee

  • @magwaza8904
    @magwaza89043 жыл бұрын

    Mimi sjaelewa Kuna ujumbe gani kwenye maneno yoko nijuze tafadhari

  • @rhodachanangula7734

    @rhodachanangula7734

    3 жыл бұрын

    kuna ving vya kujifunza apa ukiachana na ujumbe, kwa mfano kama umesikiliza ushuhuda wake wa kwanza kazungumzia suala la kwamba kuna mbingu ya pili ambayo kazi yao n kuiba maombi ya watu dunian ambapo kabla hayajafika mbingu ya 3 na pia wanaiba majibu yanayotoka kwa Baba Mungu, kwa kwa haraka haraka kumbe ndomana tunayasindikiza maombi yetu na sadaka na n lazma tuyaombee majbu yetu ili iyo mbngu ya pili au anga la pili lisiweze kuiba majb na maombi yetu

  • @credo7837
    @credo78373 жыл бұрын

    Ina maan Mungu anaupendeleo akupe wew tu🤔

  • @nancyazania632
    @nancyazania6323 жыл бұрын

    Mfariji wa ajabu. Kweli ni kwaneema tu. Yesu Kila siku ni Bwana hata leo yeye ni Bwana.

  • @imagepower3641
    @imagepower36414 жыл бұрын

    ✅🎧

  • @ithedavid8525
    @ithedavid85253 жыл бұрын

    Kuiona dunia kama mpiraaà

  • @michoumichelle7827
    @michoumichelle78272 жыл бұрын

    Naomba namba yako yasim prophete

  • @kijamalale1380
    @kijamalale13804 жыл бұрын

    hatafu unanitesa unatikisa miguu hujamjua Mungu alivyo

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru71062 жыл бұрын

    This is deep…

  • @matheothomas1891
    @matheothomas18913 жыл бұрын

    Ila jamanii hiii dunia haya banaa

  • @officialK-looh
    @officialK-looh3 жыл бұрын

    Hii story inatisha Sana aisee..hasa ukiwa unalala peke yako

  • @mariannenyiranazemonie1731
    @mariannenyiranazemonie17313 жыл бұрын

    Malaika akikuchukuwa anakueleza ni wapianapokuchuwa akikutowahuku akikuchuwa anaeleza ni wapimunakwenda hatakama mutakutana na Yesu lazima malaika akufahamishembele ya wakati eti wakati wa kukutanana yesu ndiyihi kilaatuwayako malaika Kwanza siowewembele kwa kuwa haujuwi uendapo ni lazima uwena kiongozi ulienda India wewemwenyewe uliona India siyomalaika ndungu ona vizuri yesu hatishi namuna ya gorofa,apana yesu anautukufu no kweli Bwanamurefu tenasimurefusanazaidi tenasimunenezaidi sikama gorofa yeyeakijakwako hatishi fanyaangalisho unapoonamaono amandato kuna wa malaika wawili wa mungu na washetani ndungu shetani ni muongo Sana Sana.usiogope semayote hautakufa ya Toshautubuvizuri usiachenyuma mungu akujali.

  • @jeaninekabano9190

    @jeaninekabano9190

    3 жыл бұрын

    Kabla yakutuma uwe unasoma ili utume mwandishi yanayo eleweka jitahidi 🙏

  • @bonniebaraka
    @bonniebaraka4 жыл бұрын

    Huyu "Prophet" anasema anaweza tuma kimbunga kinachoambatana na radi na ngurumo na upepo n.k. Nadhani hapo watu wengi ndio wanapata hofu wameingia mitini, wanamuogopa, Nadhani itabidi aanzie kwangu hicho kimbunga chake amenichefua sana. Huyu ni mchumia tumbo tu, macho ku mchuzi. Kwanza napoteza muda hata kukaa hapa. Kuna mama mmoja hapa mtaani kwetu amepotelewa na Mama yake Mzazi na alienda kwa Nabii mmoja maarufu sana hapa DSM (sio huyu dogo) akaambiwa kwanza atoe elfu 20 kwa ajili ya appointment akatoa, halafu siku nyingine ili kumuona akatoa elfu 20 tena akaambiwa mama yake yuko hai ila ili amrudishe zinatakiwa atoke laki mbili (200,000/=) Huyu mama kazi yake ni kutembeza mboga kichwani mitaani kila siku na ananunua mchai chai kwangu anaenda kutembeza, mme wake nae yupo yupo tu. Hawa watu ni hatari, Hii ni comment yangu ya mwisho, hawa watu hawana huruma hatari sana. Hallo Jactan ebu mpe asome hapa huyu Bwana Mdogo, apate "Feed back"

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    4 жыл бұрын

    Daah jmni...sasa mume wa huyo mama aliepotelewa na mzazi je? anafanya shughuli gani? alafu, mzazi wa huyu mama kesha patikana boss wangu? au bado

  • @boneface8311

    @boneface8311

    Жыл бұрын

    Umekuwa na muono kama wangu. Mm nimefuatilia ibada zake ni yale yale... Jactan shuhuda zingine muwe mnazipembua kwanza. Zinatutia moyo saana shuhuda mnazoziandaa lakini pia a angalieni msituchanganye. Huyu ndio wale wale tu. MUNGU BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU wanisamehe katika hili maana nimeingiwa na mashaka saana.

  • @bethuelchrist1633
    @bethuelchrist16334 жыл бұрын

    Hivi hiyo miguu...

  • @sarahmwakagugu6556

    @sarahmwakagugu6556

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @godisgreat1845
    @godisgreat18454 жыл бұрын

    Ni wakati wa mama na mwana maana hata ndoto huwezi I kumbuka kama hivi nafkiria ni tafsiri ya movies za kihindi

  • @emanuelelisante4324

    @emanuelelisante4324

    4 жыл бұрын

    Hahahahha

  • @emmanelly6864
    @emmanelly68644 жыл бұрын

    Nikafika mbele ya Yesu vile anifungulie mikono kunipokea sidhani nawezataka kurudi.

  • @esterelias8189

    @esterelias8189

    4 жыл бұрын

    Mimi nilivyomuelewa alienda kiroho sio mwili mzima live

  • @mariannenyiranazemonie1731
    @mariannenyiranazemonie17313 жыл бұрын

    Yesu haumwone uso unawezakumwona kifuwa hadiminguuni na kwa unyumawake yanimugongo utamwona muzama lakini uso la

  • @esaumahundi5076

    @esaumahundi5076

    3 жыл бұрын

    Ktk kumona inategemrana amekutokea ktk mwonokano gani Kama atakupokea ktk utukufu utafanana na mwili wa mungu I ili huu wa asili usitiwe shoku inategemrana namwili ulionao

  • @magdalenapeter6106

    @magdalenapeter6106

    3 жыл бұрын

    Kuna wanaopata neema hiyo usikatae lolote yeye apendalo hulifanya

  • @yussufomar6531
    @yussufomar65313 жыл бұрын

    Were umuonho sana

  • @gilbertbada8385
    @gilbertbada83854 жыл бұрын

    search the kingdom of God and evrything else will be addedan to you. Thats what you get. you searched God in your room for 6 months

  • @leahorito6949
    @leahorito69493 жыл бұрын

    I need to speak to you because I have something to share plz...

  • @janegachiegachie6912

    @janegachiegachie6912

    3 жыл бұрын

    Follow prophet David richard on KZread

  • @praywithahishatv
    @praywithahishatv3 жыл бұрын

    Uwongo

  • @allyawadh8492
    @allyawadh84923 жыл бұрын

    Hayo ni mapepo eti malaika kapitia ukutani we jamaa ni muongo sana harafu ni msanii sana, mimi ninachosema kinachokufa uonge vitu ambavyo ndani ya nafsi yako hakika unajua kuwa ni uongo lkn kwasababu punzi ulionayo ndio inakufanya udanganye kumbuka miaka yoyote utakayo ishi duniani iko siku utakuga kujuta juu ya uongo wako wewe endelea kupoteza watu kwa hadith zako ukweli wake au uongo wake uko moyoni mwako.

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50534 жыл бұрын

    Kanisa lako liko wapi? Barikiwa sana

  • @marymwikali1456

    @marymwikali1456

    4 жыл бұрын

    Very very true

  • @prophetesspriscarichard

    @prophetesspriscarichard

    4 жыл бұрын

    Shalom,Kanisa liko sinza kilimani barabara mpya inyotokea Tandale kuelekea big brother Kwa mawasiliano zaidi piga +255758012068

Келесі