Part 15_USHUHUDA WA RACHEL&ZIPPORAH MSHALA(Maono na siri nzito kutoka mbinguni na kuzimu)
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 53
BWANA YESU KRISTO naomba unisamehe Sana dhambi zangu zote
Mungu amenibadilisha sana kupitia hizi shuhuda Mungu akubariki sana Jacktan..
@sophierkhatib1862
2 жыл бұрын
Ameen!
Barikia mutumishi wamungu na ninaomba mungu aniepushe hiyo mahari iri nipate kuyingia ufarume wambingu
Amen Asante Yesu uhuu ni ukweli utupu 😭😭😭Ee Mungu tu saidie
Mungu anipe si kuwa msikiaji Bali mtendaji wa neno. Barikiwa sana kaka Jacktan Tumepewa vingi itatakwa vingi. Mungu hakika hapendi tupotee nimeongezeka sana katika huu ushuhuda
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Mm naogopa kwel jmn mungu tusameee
@preciousmtui366
2 жыл бұрын
Kweli inatisha ila tukiamua kubadilika Yesu Yupo Kutusaidia lazima tuamue kung'ang'ana kutenda mapenzi ya Mungu
@lilianluhasi5053
2 жыл бұрын
@@preciousmtui366 tunaomba Mungu wetu aliye hai katika jina la Yesu Kristo atusaidie, tunaamini katika yeye
Ameen and Ameen Mungu nisaidie kutenda yalio mema🙏🇰🇪
AMEN....following
Mungu nisaidie nitende mema
Mngu akubariki Sana kaka
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Ubarikiwe sana
Naomba niishi Maisha ya kumpendeza Mungu ili niweze kuishi na Mungu milele .Asante Sana mtumishi jactan huu ushuhuda imekuwa wa baraka Sana
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Yesu nitie nguvu baba nimalize mwendo salama sasa hivi kuna hatari sana duniani - wadada wanavaa vimini kanisani na hakuna wa kuwaeleza - wakaka wanasuka rasta na wanapiga vyombo kanisani - wakaka wanajichubua na kupaka poda, - wadada wanavaa suruali halafu wanaimba kabisa kanisani kusifu na kuabudu
Yesu nirehemu nisaidie nipe nguvu ya kushinda dhambi nisije kwama langoni
Mungu nisaidie kuishi katika neno lako na maisha ya kukupendeza ww
EE MUNGU TUREHEMU KWA WINGI WA REHEMA ZAKO TUOSHE TUTAKASE MAOVU YETU
nikitafakari sana kuhusu ushuhuda WA dada zipora na nduguyake NAONA kwamba Mungu niwaajabu kabisa alipenda kutuhakikishiya kwamba USHUHUDA WA Adam mbaya ni WA ukweli kabisa .
Yesu nirehemu
MUNGU nijalie mwisho mwema🙏🙏
Amen 🙏 Mungu niepushe na mitego ya kuzimu
Ameni mungu akubariki Sana mtumishi wamungu
BWANA ni mwema amenizaidia sana kwa mafunuo anaofunulia watumishi wake, barikiwa sana Kaka na uzidi kutafuta shuhuda zaidi
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Mungu akubariki sana Kaka Jacktani,,Kazi yako ni njema,,BWana akubariki zaidi!!!Usiache kujitoa katika Bwana!!!
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
Mungu nisamehe zangu zote niwezeshe kuishi maisha ya kukupendeza wewe Mungu wetu
AMEN AMEN kweli mungu ndiye njia ya uzima milele 🙏🙏
Eeh Yesu tasamehe....
Barikiwaa SANA mtumishii hallelujah God bless you Man of God 🙏🙏🙏
Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen barikiwa sana mtumishi wa Bwana
@victorianchimbi8640
2 жыл бұрын
Mungu tuhurumie na utusaidie
Nashukuru Mungu kwa ajili ya shuhuda hizi
🤦may God help us,hell is real also heaven
Mwokozi wetu Yesu abarikiwe sana kwa kutupenda upeo, hata kutujulisha mambo ambayo hatukuyajua! Pana mtuimshi wa Mungu mmoja; amekua akiwaaminisha washirika kua; kuwasaidia yatima, wajane na wahitaji maana yake ni kwenda kuwahubiri watu waokoke, na si kujitoa kwa kuwawezesha watu hao! Eti Serikali ipo ndo ina hilo jukumu la kuwasaidia hao watu!! Kumbe wana wa Mungu tunapaswa kuwa makini sn na wanaotuongoza makanisani; nao pengine kwa kujua au kutokujua wanatupoteza!! Na mbaya zaidi; hawataki kusikia hizi shuhuda ili nao wajue ili kwa shuhuda waweze kujiponya wao na kanisa; badala yake wanasema, shuhuda hizi ni za uongo tu!
@danielbarasa4919
2 жыл бұрын
Amen
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
" wacha waseme ni uongo....lakini sisi tupo na Yesu kristo na tunazidi kupata maarifa zaidi kupitia ushuhuda u
@magdalenapeter6106
2 жыл бұрын
We muache tu aseme ni uongo ipo siku atatolea hesabu hayo maneno yake
Kujichua kwamaanisha nn?
neno kujichuwa nini ??? yani ina maanisha nini????
television za kidunia ina maanisha nini?
@blessed599
Жыл бұрын
Television zanazoonyesha vipindi visivyo mtukuza Mungu
Amen barikiwa sana mtumishi wa Bwana
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen
@erickmsimbe5424
2 жыл бұрын
Nami namwogopa Bwana Yesu kumbe yapo mambo mengi madogo madogo yatakayotupeleka jehanamu Yesu nisaidie
@robertrugachwa9208
Жыл бұрын
MUNGU akusaidie katika mambo mengi tukeye katika kweli
@DenisCasey-kh8ub
7 ай бұрын
Amen🙏