Part 15_USHUHUDA WA RACHEL&ZIPPORAH MSHALA(Maono na siri nzito kutoka mbinguni na kuzimu)

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 53

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24442 жыл бұрын

    BWANA YESU KRISTO naomba unisamehe Sana dhambi zangu zote

  • @frankysteven978
    @frankysteven9782 жыл бұрын

    Mungu amenibadilisha sana kupitia hizi shuhuda Mungu akubariki sana Jacktan..

  • @sophierkhatib1862

    @sophierkhatib1862

    2 жыл бұрын

    Ameen!

  • @beatricebukuru7821
    @beatricebukuru78212 жыл бұрын

    Barikia mutumishi wamungu na ninaomba mungu aniepushe hiyo mahari iri nipate kuyingia ufarume wambingu

  • @janetjanet8669
    @janetjanet86692 жыл бұрын

    Amen Asante Yesu uhuu ni ukweli utupu 😭😭😭Ee Mungu tu saidie

  • @anethgais3213
    @anethgais32132 жыл бұрын

    Mungu anipe si kuwa msikiaji Bali mtendaji wa neno. Barikiwa sana kaka Jacktan Tumepewa vingi itatakwa vingi. Mungu hakika hapendi tupotee nimeongezeka sana katika huu ushuhuda

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @irenewilfred7767
    @irenewilfred77672 жыл бұрын

    Mm naogopa kwel jmn mungu tusameee

  • @preciousmtui366

    @preciousmtui366

    2 жыл бұрын

    Kweli inatisha ila tukiamua kubadilika Yesu Yupo Kutusaidia lazima tuamue kung'ang'ana kutenda mapenzi ya Mungu

  • @lilianluhasi5053

    @lilianluhasi5053

    2 жыл бұрын

    @@preciousmtui366 tunaomba Mungu wetu aliye hai katika jina la Yesu Kristo atusaidie, tunaamini katika yeye

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki46792 жыл бұрын

    Ameen and Ameen Mungu nisaidie kutenda yalio mema🙏🇰🇪

  • @rosepeter8996
    @rosepeter89962 жыл бұрын

    AMEN....following

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala64952 жыл бұрын

    Mungu nisaidie nitende mema

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim55392 жыл бұрын

    Mngu akubariki Sana kaka

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @editarichard3590
    @editarichard35902 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @miria659
    @miria6592 жыл бұрын

    Naomba niishi Maisha ya kumpendeza Mungu ili niweze kuishi na Mungu milele .Asante Sana mtumishi jactan huu ushuhuda imekuwa wa baraka Sana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko96852 жыл бұрын

    Yesu nitie nguvu baba nimalize mwendo salama sasa hivi kuna hatari sana duniani - wadada wanavaa vimini kanisani na hakuna wa kuwaeleza - wakaka wanasuka rasta na wanapiga vyombo kanisani - wakaka wanajichubua na kupaka poda, - wadada wanavaa suruali halafu wanaimba kabisa kanisani kusifu na kuabudu

  • @gradyskamwela6163
    @gradyskamwela6163 Жыл бұрын

    Yesu nirehemu nisaidie nipe nguvu ya kushinda dhambi nisije kwama langoni

  • @marycharlesndulila5061
    @marycharlesndulila50612 жыл бұрын

    Mungu nisaidie kuishi katika neno lako na maisha ya kukupendeza ww

  • @anamariayuba5457
    @anamariayuba54572 жыл бұрын

    EE MUNGU TUREHEMU KWA WINGI WA REHEMA ZAKO TUOSHE TUTAKASE MAOVU YETU

  • @rebecafuraha8051
    @rebecafuraha80512 жыл бұрын

    nikitafakari sana kuhusu ushuhuda WA dada zipora na nduguyake NAONA kwamba Mungu niwaajabu kabisa alipenda kutuhakikishiya kwamba USHUHUDA WA Adam mbaya ni WA ukweli kabisa .

  • @lucyakinyiowino8600
    @lucyakinyiowino86002 жыл бұрын

    Yesu nirehemu

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub7 ай бұрын

    MUNGU nijalie mwisho mwema🙏🙏

  • @marycharlesndulila5061
    @marycharlesndulila50612 жыл бұрын

    Amen 🙏 Mungu niepushe na mitego ya kuzimu

  • @magrethkapusi3463
    @magrethkapusi34632 жыл бұрын

    Ameni mungu akubariki Sana mtumishi wamungu

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74942 жыл бұрын

    BWANA ni mwema amenizaidia sana kwa mafunuo anaofunulia watumishi wake, barikiwa sana Kaka na uzidi kutafuta shuhuda zaidi

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @frolamugurusi9657
    @frolamugurusi96572 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Kaka Jacktani,,Kazi yako ni njema,,BWana akubariki zaidi!!!Usiache kujitoa katika Bwana!!!

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @elizalaya7887
    @elizalaya78872 жыл бұрын

    Mungu nisamehe zangu zote niwezeshe kuishi maisha ya kukupendeza wewe Mungu wetu

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa77582 жыл бұрын

    AMEN AMEN kweli mungu ndiye njia ya uzima milele 🙏🙏

  • @edinakibani8725
    @edinakibani87252 жыл бұрын

    Eeh Yesu tasamehe....

  • @saramss7262
    @saramss72622 жыл бұрын

    Barikiwaa SANA mtumishii hallelujah God bless you Man of God 🙏🙏🙏

  • @tatumluv6054
    @tatumluv60542 жыл бұрын

    Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @mandyaltrfawi6986
    @mandyaltrfawi69862 жыл бұрын

    Amen barikiwa sana mtumishi wa Bwana

  • @victorianchimbi8640

    @victorianchimbi8640

    2 жыл бұрын

    Mungu tuhurumie na utusaidie

  • @naomysamuel6799
    @naomysamuel67992 жыл бұрын

    Nashukuru Mungu kwa ajili ya shuhuda hizi

  • @abbygaelsharon497
    @abbygaelsharon497 Жыл бұрын

    🤦may God help us,hell is real also heaven

  • @rmaryp6269
    @rmaryp62692 жыл бұрын

    Mwokozi wetu Yesu abarikiwe sana kwa kutupenda upeo, hata kutujulisha mambo ambayo hatukuyajua! Pana mtuimshi wa Mungu mmoja; amekua akiwaaminisha washirika kua; kuwasaidia yatima, wajane na wahitaji maana yake ni kwenda kuwahubiri watu waokoke, na si kujitoa kwa kuwawezesha watu hao! Eti Serikali ipo ndo ina hilo jukumu la kuwasaidia hao watu!! Kumbe wana wa Mungu tunapaswa kuwa makini sn na wanaotuongoza makanisani; nao pengine kwa kujua au kutokujua wanatupoteza!! Na mbaya zaidi; hawataki kusikia hizi shuhuda ili nao wajue ili kwa shuhuda waweze kujiponya wao na kanisa; badala yake wanasema, shuhuda hizi ni za uongo tu!

  • @danielbarasa4919

    @danielbarasa4919

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    " wacha waseme ni uongo....lakini sisi tupo na Yesu kristo na tunazidi kupata maarifa zaidi kupitia ushuhuda u

  • @magdalenapeter6106

    @magdalenapeter6106

    2 жыл бұрын

    We muache tu aseme ni uongo ipo siku atatolea hesabu hayo maneno yake

  • @blessed599
    @blessed599 Жыл бұрын

    Kujichua kwamaanisha nn?

  • @deboralumona3375
    @deboralumona33752 жыл бұрын

    neno kujichuwa nini ??? yani ina maanisha nini????

  • @deboralumona3375
    @deboralumona33752 жыл бұрын

    television za kidunia ina maanisha nini?

  • @blessed599

    @blessed599

    Жыл бұрын

    Television zanazoonyesha vipindi visivyo mtukuza Mungu

  • @mandyaltrfawi6986
    @mandyaltrfawi69862 жыл бұрын

    Amen barikiwa sana mtumishi wa Bwana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @erickmsimbe5424

    @erickmsimbe5424

    2 жыл бұрын

    Nami namwogopa Bwana Yesu kumbe yapo mambo mengi madogo madogo yatakayotupeleka jehanamu Yesu nisaidie

  • @robertrugachwa9208

    @robertrugachwa9208

    Жыл бұрын

    MUNGU akusaidie katika mambo mengi tukeye katika kweli

  • @DenisCasey-kh8ub

    @DenisCasey-kh8ub

    7 ай бұрын

    Amen🙏

Келесі