Part 1_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA

Karibu sana katika ushuhuda mpya wa Usthadh Amir.Yeye alikuwa muislam na kiongozi mkubwa tu wa dini aliyepata kusoma elimu ya dini yake ikiwemo elimu ya ziada kuhusu majini.Kwa sasa ameokoka na amepata nafasi ya kutueleza kuhusu safari yake ya wokovu.Karibu sana
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 416

  • @dokasa9176
    @dokasa91762 жыл бұрын

    From Saudi Arabia,kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri ya kwamba Kristo ni Bwana

  • @vickysteven1172

    @vickysteven1172

    4 ай бұрын

    Ameen

  • @alexndambukiemmanuel3894
    @alexndambukiemmanuel38943 жыл бұрын

    Nimeokoka Kristo ni Bwana wa Maisha yangu...nimekuja kugundua yakwamba, hakuna mtu humtumikia zaidi Yesu, kuliko Muislam aliyeokoka... Muislamu akiokoka , YESU HUJITHIHIRISHA KWELI.... God bless you man of God. Jactan you are a blessing to many nations,,,great is your reward in heaven...

  • @aisharazak3511

    @aisharazak3511

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabs Alex mm pia nmeokoka nimeachwa na mume kwa kufukuzwa mm na watto. Mume wng na wazaz wangu wameungana kwa hasira juu yang kwa uslama Zaid kanisa imenibeba namshukuru mungu sn kipnd nikiwa ktk uislam sikujua jihad inaaply Yan kuua kaafir Ila saivi naelewa hakika dini ya amani na kueneza upendo Ni ukiristo

  • @jackmichael1953

    @jackmichael1953

    3 жыл бұрын

    @@aisharazak3511 Karibu kwa YESU Dadangu

  • @alexndambukiemmanuel3894

    @alexndambukiemmanuel3894

    3 жыл бұрын

    @Aisha Razak wewe u m'barikiwa kiukweli. Uliyoyapitia kwaitwa kuubeba msalaba wako na kumfuata Yesu...Naelewa si rahisi hata kidogo kutengana na wapendwa hasa mchumba,sio wewe wanaokuchukia, wanachukia kile umekibeba ambaye ndiye YESU,, ila, furahia wakati unapopitia magumu sababu ya Mwana Kondoo, kwa ajili dhawabu yako ni kuu mno mbinguni...Mungu akukumbuke daima dadangu... Hakika mji wa mbinguni tutafika na kila chozi, litafutwa.... Amen and amen...

  • @husseinchea5524

    @husseinchea5524

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa kaka hata mimi nmeokoka

  • @nooor1120

    @nooor1120

    3 жыл бұрын

    @@aisharazak3511 uislam ni dini ya haki hayo maelezo unayotoa sio ya kweli kuhusu kumuua kafiri ila hio aya ndio walivo hao makafiri wanaitumilia kutia matope uislam hawaisomi tokea mwanzo ikaleta maana na ikafahamika wanaiacha maneno mengine lkn endeleeni tu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe.

  • @sylvestermhojaaron9659
    @sylvestermhojaaron96593 жыл бұрын

    Bado YESU anaokoa na kuponya, asate jactan kwa shuda zako zinatujenga kiroho.

  • @barakajacobs4539
    @barakajacobs45393 жыл бұрын

    Amen...Mungu aendelee kutoa Siri za yule muovu kabisa ... you will know the truth and the truth Shall set you free.Amen...twasubiri part2 Jacky na Asante kwa kazi hii

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w6 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akubariki mchungaji,ushuhuda wako ulinijenga sana.🙏

  • @morriskazungukarisa9781
    @morriskazungukarisa97813 жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe sana.watumishi mbarikiwe sana kwa kazi njema.(pst Morris) Kenya.

  • @evelyneedward373
    @evelyneedward3732 жыл бұрын

    That's amazing. Karibu katika kristo ❤️

  • @revocatuspaschal4391
    @revocatuspaschal43913 жыл бұрын

    Huyo mtumishi amebarikiwa sana.Niliwahi kumuona live anglican igogo mwanza akipga injili.

  • @happynicholaus6474

    @happynicholaus6474

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @RIZIKISEMUNAOFFICIAL
    @RIZIKISEMUNAOFFICIAL3 жыл бұрын

    Amen Amen, nasikiliza ushuuda huu nikiwa hapa Australia, sija maliza bado naendelea hadi mwisho

  • @jj.mtambo5754

    @jj.mtambo5754

    3 жыл бұрын

    dahh aya good bhana

  • @davidwambura5915

    @davidwambura5915

    3 жыл бұрын

    Nice

  • @reemamwangi9192
    @reemamwangi91923 жыл бұрын

    Aibu kwa wakristo tulio lewa ndani ya Yesu na twazidi kutumikia maovu 😭😭

  • @qatarmania7598
    @qatarmania75983 жыл бұрын

    Amen amen ninabarikiwa sana sana na huu ushuhuda nikiwa Qatar Mungu awabariki

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68172 ай бұрын

    Subhanallah, Nakuhurumia sana ndugu yangu. Tamaa ya dunia ni mbaya. Nakushauri urudi kwa Allah. Allah atujaalie mwisho mwema Kwani huo ni mwisho mbaya. Mnapenda sana kudanganya. Nakuombea kwa Allah urudi ktk uisilamu, kwani aliekufa ambae sio muisilamu jahannama inamsubiri tena atakaa milele. Utawadanganya hao wakiristo wasiojua kitu

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison2893 жыл бұрын

    Ushuhuda mzuri, tunasubiri part 2, ubarikiwe mtumishi wa Mungu Jactan Msafiri.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/fWmEl8ipXb2enM4.html

  • @deodarius8513

    @deodarius8513

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz Kaka Jacktan, tafadhari naomba umtafute Dr. Paul Hussein Mubarak. Anaushuhuda mkubwa utakao gusa maisha ya watu wengi. Kuna baadhi ya video zake chache humu KZread. Ubarikiwe Sana.

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    3 жыл бұрын

    Ushuhuda gani hatoi andiko hata moja la kuonyesha ukweli wa ukristo

  • @barnabasmboya7688
    @barnabasmboya76883 жыл бұрын

    Nafuatilia Shuhuda hizi zinazonibariki mno kutoka hapa RUSSIA. Kazi yako ni njema mno mtumishi Jacktan Msafiri

  • @merymichael5513

    @merymichael5513

    3 жыл бұрын

    Sawa

  • @mishibaron5021
    @mishibaron50213 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu. ..nimefurahi sana kwa ushuhuda huu. ...bwana yesu asifiwe milele. .Amen

  • @erickouma
    @erickouma3 жыл бұрын

    These testimonies are real hot a, am real blessed

  • @sallygrace1495
    @sallygrace14953 жыл бұрын

    Bwana Yesu Asifiwe Ubarikiwe kaka kwa kumpokea Jesus Christ ni muokovu wetu ambaye katuokoa zambi zetu!! Praise the LORD JESUS 🕆🙏

  • @dodoted5033
    @dodoted50333 жыл бұрын

    Nakupenda sana Amir😍😍😍❤❤❤❤ Mungu akubariki Ushuhuda wako unatoa watu wa Mungu uoga. Hatuogopi majinn Mungu aliye hai anatulinda dhidi ya wote kwa jina la Yesu. Angalia mwislam mwarabu Christian Prince kwa KZread pia ameokoka na anafafanulia Waislam kuhusu Quran ilivyo hadaa wengi.

  • @deodarius8513
    @deodarius85133 жыл бұрын

    Kaka Jacktan, tafadhari naomba umtafute Dr. Paul Hussein Mubarak. Anaushuhuda mkubwa utakao gusa maisha ya watu wengi. Kuna baadhi ya video zake chache humu KZread. Ubarikiwe Sana.

  • @kelvintech3797
    @kelvintech37973 жыл бұрын

    Hongera sana Mr Jacktan, Good job keep it up my brother

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Thanks@kelvin God bless you

  • @RIZIKISEMUNAOFFICIAL

    @RIZIKISEMUNAOFFICIAL

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz ndugu zangu wa PROMOVER TV naomba munisaidie number yenu ya Watsp ,asanteni

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    @@RIZIKISEMUNAOFFICIAL 0784074462

  • @johnzacharia2308
    @johnzacharia23083 жыл бұрын

    Yesu apewe sifa,neema ya mungu ipo kwa wote hata wew anayeangalia kama hujaokoka na unabisha ipo siku Bwana wamajeshi atakutembelea nawe utamjua atakuita mwana nawe utamwita Baba, naiwe hivyo kwako kwajina La YESU.

  • @joelfufulu
    @joelfufulu3 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi, God bless you

  • @jumaabduli781
    @jumaabduli7813 жыл бұрын

    Shuhuda zinajenga na zinafariji pia zinatupa tumaini la safari hii

  • @sallygrace1495
    @sallygrace14953 жыл бұрын

    PRAISE THE LORD MOST HIGH ❤ 😇

  • @saralusinde53

    @saralusinde53

    2 жыл бұрын

    AMEN HALELUYA

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын

    Glory to God 🙏🙏

  • @marybukuru165
    @marybukuru1653 жыл бұрын

    Hakika nimejifunza mengi. Yaani nimenogewa na ushuhuda hadi sasa sijalala. Ahsante sana mtumishi wa Mungu. Nimefurahi sana kuona umempokea Bwana Yesu. Umebarikiwa. Nami pia nimebarikiwa na shuhuda

  • @merryn.mwambene2945

    @merryn.mwambene2945

    3 жыл бұрын

    Emeni emen ubarikiwe sana kwakusikiriza no yangu 0624404015

  • @merryn.mwambene2945

    @merryn.mwambene2945

    3 жыл бұрын

    Nitafute

  • @judithauma7833
    @judithauma7833 Жыл бұрын

    Wow Jesus at work

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting37283 жыл бұрын

    Ushuhuda nzuri sana...

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi88723 жыл бұрын

    Nabado nawengine watakuja2 Yesu ni Mungu

  • @shaloboy3861

    @shaloboy3861

    3 жыл бұрын

    Akuji mtu

  • @jocelyneniyonzima6599

    @jocelyneniyonzima6599

    3 жыл бұрын

    @@shaloboy3861 kama huji kuzimu na moto vinakusubili na hamu sana

  • @lubatikoseme6613
    @lubatikoseme66133 жыл бұрын

    Asante sana kwa ushuhuda wa mafunuo

  • @marysteven605
    @marysteven6053 жыл бұрын

    Asante sana Dr wa roho, ki ukwel tunapona,

  • @gracewahu8741
    @gracewahu87413 жыл бұрын

    Ushuhuda unabariki nimesoma mengi part one naedelea kusikiza barikiwa sana 🙏🏽

  • @b.a.m6243
    @b.a.m62433 жыл бұрын

    Ahsante MUNGU kwa kunisaidia kusikia ushuhuda huu na neno lako la ukombozi juu ya kuombea ardhi unayoinunua. Ahsante YESU Kristo. Amen.

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance18333 жыл бұрын

    Amina tunabarikiwa na ufahamu wetu unaongezeka mbarikiwe kwa huduma hii kubwa

  • @frankshalula6504
    @frankshalula65043 жыл бұрын

    Aise Mungu anabadilisha aise huyu mtumishi namfahamu aise

  • @justinecharles5000

    @justinecharles5000

    3 жыл бұрын

    Hakika ushuhuda huu umenijenga Sana kiroho. Barikiwa Sana mtumishi .... please achia mapema part two... By Justine Charles

  • @azizasaid7660

    @azizasaid7660

    3 жыл бұрын

    Pesa mwanaharamu

  • @joycemassawe1946
    @joycemassawe19463 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi kwa ushughuda mzuri

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus66373 жыл бұрын

    Hakuna kukemea cheni kW jina la YESU.ni kuacha mapambo kabisaaaa kW mwanamke haturuhusiwi mapambo,nywele bandia,makeup,hereni YESU anavuzuia saaana,wanawake wengi wanajipamba kuwafurahisha waume but waume hao shangaa wanawaacha kutafuta wengine,jenga uhusiano na YESU,mfurahishe YESU mama,ili upate ufalme wa mbinguni,kujiremba,nguo fupi,haturuhusiwi hataaaaa

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    Ndio

  • @danielmatemu9698

    @danielmatemu9698

    3 жыл бұрын

    Miongoni mwa vitu ambavyo shetani anavitumia kuangamiza roho za watu ni mavazi. Mavazi mengi yanatuacha uchi haswa wanawake. Na tukumbuke Adam na Eva walipojiona uchi, MUNGU MWENYEWE aliwatengenezea nguo kufunika uchi wao. Mungu habadiliki,

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24443 жыл бұрын

    Jesus is the way,Trust and life

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68172 ай бұрын

    Dunia inamwisho kaka yangu. Utapewa cheo hapa duniani tu. Lkn akhera km sio muisilamu utakuwa duni

  • @kelvinramson2164
    @kelvinramson21643 жыл бұрын

    Ubarikiwe sna mtumishi kwa ushuhuda

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily42623 жыл бұрын

    Yesu Ahsant kwa Neema hii🙏🙏🙏

  • @lilianfelekeni7771
    @lilianfelekeni77713 жыл бұрын

    Ameeeen, Mungu akubariki maishani mwako uwe na Yesu Kristo

  • @winniepeter3012
    @winniepeter30123 жыл бұрын

    Asante kwa ushuhuda mzuri

  • @RIZIKISEMUNAOFFICIAL
    @RIZIKISEMUNAOFFICIAL3 жыл бұрын

    YESU KRISTO NIMUWEZA wa yote umetoka mbali kweli Mungu wa mbinguni aendelee kukulinda Amen

  • @medadiissa324

    @medadiissa324

    3 жыл бұрын

    Kristo siyo kristu

  • @henryosoro7696
    @henryosoro76963 жыл бұрын

    From Dubai nimefuatilia vizuri

  • @user-sf5gp5oi5k
    @user-sf5gp5oi5k8 ай бұрын

    ❤❤ Mungu n mwema jmn

  • @habibamrisho6337
    @habibamrisho63373 жыл бұрын

    Namfahamu huyu mt tulifahamiana sehem moja inaitwa kakola bulyanhulu gari ya mume wangu ndiyo nlitumiwa kumbeba ku mpeleka mkutanoni,na alishawahi kufika na kulala kweli tumepotezana miaka mingi sana

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    3 жыл бұрын

    Anatafuta mlo tu ukweli anaujua km ukristo si dini

  • @khantronics

    @khantronics

    2 жыл бұрын

    @hawa kiza usimkashifu mtu….sikiliza ujifunze au pita tembea

  • @godwinkileo7702

    @godwinkileo7702

    2 жыл бұрын

    @@khantronics kweli kabisa

  • @happinescharlesmabeyo9164

    @happinescharlesmabeyo9164

    2 жыл бұрын

    @@hawakiza6067 jinga kweli wewe mmeguswa tu pita kule mwache aihubiri kweli

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    2 жыл бұрын

    @@happinescharlesmabeyo9164 Acha matusi Nipe andiko Ukristo ni dini

  • @tedynotes6148
    @tedynotes61483 жыл бұрын

    Naisubili kwahamu part 2

  • @user-zt1rh3di8y
    @user-zt1rh3di8y10 ай бұрын

    Niko Kenya Taita county nishawaikua muisilamu na sasa pia niliokoka kwa kujua ukweli nami ni muchungaji ( poster) kweli Yesu kristo siku ya kiyama atakujia waliompokea .

  • @annafisoo7200
    @annafisoo7200 Жыл бұрын

    Baba yangu kaniombea nimepon kabisaaaa nimeteseka miak kumi mungu amupe miak mingi

  • @edakiputa1108
    @edakiputa11083 жыл бұрын

    Amina, Amina YESU ni BWANA.

  • @mariamidrisa1359
    @mariamidrisa13593 жыл бұрын

    Wow! Part 2 pls

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum81853 жыл бұрын

    Ee Mungu wangu mimi ni mwenye dhambi unirehemu mimi ee Yesu mwana wa Daudi

  • @hawakiza6067
    @hawakiza60673 жыл бұрын

    Umeokoka ukiwa bado hai hahahahaha pole sana Jackson Isa mpanda

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74943 жыл бұрын

    Amen Amen Amen Mtumishi wa Bwana

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus66373 жыл бұрын

    Jactani lete part 2 mapemaaa,ahsante YESU

  • @rebeccampaki9647
    @rebeccampaki96473 жыл бұрын

    MUNGU akujaalie umhubiri YESUkabla mlango wa rehema haujafungwa, YESU ndio njia ya kweli ya uzima wa milele, amina

  • @Mr.Isayamaziku
    @Mr.Isayamaziku4 ай бұрын

    Jesus Christ is the mighty redeemer ☄️🎷

  • @fatumaadam7970
    @fatumaadam79702 жыл бұрын

    GLORY To GOD 🙏🙏🙏 hallelujah 🙌🙌🙌

  • @petrosamson2024
    @petrosamson2024 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68172 ай бұрын

    Hizi ni mbinu zenu tu za kuwafanya watu wawe wakiristo. Uongo mtupu, na Allah atakuja kukuuliza

  • @ivymedia9921
    @ivymedia99212 жыл бұрын

    Hakika Yesu ni mwokozi..

  • @glorianishimwe1587
    @glorianishimwe15873 жыл бұрын

    Mwendelezo jactani nimejifunza vingi kbsa

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv96203 жыл бұрын

    Amen.barikiwa

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai11942 жыл бұрын

    Mungu awafungue akili waislam wote katika jina Yesu. inasikitisha tunapoongelea juu ya wokovu wa Mungu kwa wanadam ,wao wanaongelea juu ya dining ya kweli.

  • @ibnually1512

    @ibnually1512

    Жыл бұрын

    Unatakiwa utafute dini ya haki ukristo sio dini

  • @dativajoachimwai1194

    @dativajoachimwai1194

    Жыл бұрын

    @@ibnually1512 uko sahihi .ukristo sio dini .ukristo ni kuishi maisha yanayo mpendeza Mungu kwa kumwamini kwamba alimtoa yesu aje kwetu ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wamilele. Hakuna dini ya haki.ingekuwepo hiyo dini,waumini wake wote wangekuwa wa haki. lkn utakuta ndo hao wanaongoza kwa ushirikina na mambo yote mabaya. ndo maana dini siyo njia ya kwenda mbinguni. usitetee dini.kama Mungu wako ndo Mungu atajitetea,si yuko hai? kwanini upoteza nguvu nyingi kumtetea mpaka unatukana kwa kumtetea? au amesinzia?msubiri aamke nae atende mambo makuu tusikie watu wakimshuhudia

  • @ibnually1512

    @ibnually1512

    Жыл бұрын

    @@dativajoachimwai1194 mambo keshayatenda zamani miongoni mwa hayo ni kumpeleka mtume na hoja za wazi na miongoni mwa hoja ni hii Qur'an ambayo mpaka kisayansi inakubalika Ila km unasubiri atende mengine ndo uamini basi ww subiri mpaka siku ya kifo na baada kufufuliwa atakutendea

  • @julianamadoshi2455
    @julianamadoshi24553 жыл бұрын

    Ameen!

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Sawa mamaa jj

  • @florachogo5537
    @florachogo55373 жыл бұрын

    Amina hongera sana humtukani mtu

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim283 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @user-te1hd4vv1q
    @user-te1hd4vv1q Жыл бұрын

    Mungu akubariki Zaidi

  • @debbiebambohappy1341
    @debbiebambohappy13413 жыл бұрын

    Barikiwa

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka6273 жыл бұрын

    Aise, asante kunifundisha

  • @SalimaGirusi
    @SalimaGirusi3 ай бұрын

    Tunasoma Coment nyingi waislam mnampinga huyu jamaa sasa yeye anaeleza anachokifahamu ninyi hamuelezi mnachokijua ila mnapinga sasa hatuwaelewi mnazidi kutufanya tuamini kwamba ukweli unawauma angalau jaribuni sasa kutueleza hata kwamfano mmoja mnaelewa nini kuhusu majini? Au elezeni basi ukweli wenu nasio kubishabisha tu mnajichanganya elezeni mnachojua kutetea hoja.

  • @danielsteven88
    @danielsteven883 жыл бұрын

    Yesu ni mfalme

  • @kinotititus8798
    @kinotititus87983 жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi

  • @tabithasangasanga269
    @tabithasangasanga2693 жыл бұрын

    amina

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka62833 жыл бұрын

    Mungu wetu anaye okoa na apewe sifa.

  • @chumachadollar5917
    @chumachadollar59173 жыл бұрын

    Mungu yu mwema sana

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1253 жыл бұрын

    Naskia mbwa wanabweka nadhani jini sharifu alikuja kutaka kuvuruga ushuhuda kakutana na moto katoka nduki.....🤣🤣🤣🤣 Yesu Kristo sio wa mchezo mchezo anabadirisha , nimebarikiwa sana Ushuhuda mzuri

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @mwimblaulenc1730
    @mwimblaulenc17303 жыл бұрын

    Mungu akubarki

  • @glorianishimwe1587
    @glorianishimwe15873 жыл бұрын

    Asante saana mutish wamungu yani nulikuwa nahisubir kwa hamu

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Karibu kwenye group letu la wasap.nitafte wasap no.0784074462

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km3 жыл бұрын

    AMEN

  • @tedynotes6148
    @tedynotes61483 жыл бұрын

    Ubalikiwe kazi nzuli Bwana YESU atakulipa kwakuokoa Rooho nyingi za watu

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah33843 жыл бұрын

    Hongera sana sana

  • @magdalenamusa5613

    @magdalenamusa5613

    3 жыл бұрын

    Jaktani..mimi..nimfatliaji..mzuri..wahizi..shuhuda..zikovizuri..maana..nyingi..nimeshazisoma..kwenye..vitabu..vyawatumishi wamungu..hakunatofauti..sasa..naomba..uwage.unawauliza wachawi..wakimchukuwa.MTU..has a..watoto.wadogo..nawenyewe..wanawekwa..msukule..mpaka..awemtumzima..au..wanakula..mwili..tu..lakini..toho..na..nafsiyake..vinakuwa..vimeenda..mbinguni?

  • @godisgreat1845
    @godisgreat18453 жыл бұрын

    Sasa nakuuliza masuali haya ikiwa wewe ni mkweli nambie ulisoma hadi juzuu ngapi na kwa muda gani na katika elimu nyingi za Kiislamu wewe ulisoma elimu gani na ulidumu katika Uislamu hadi miaka mingapi na Yessu alikutokea kama Nani 1 Mungu 2 Nabii 3 Malaika na wewe Imani yako ya sasa Yessu ni Nani 1 Mungu 2. Mtume 3. Mwana wa Mungu au Nani na una muabudu Nani Yessu au Mungu Mathayo 19:23-28 halafu tafuta wewe uko wapi katika hivyo viti 12

  • @annafisoo7200
    @annafisoo7200 Жыл бұрын

    Namupenda San huyu mtumishiiii

  • @enocknicksonmutta4227
    @enocknicksonmutta42273 жыл бұрын

    Always Jesus is the best

  • @aminahassan4642
    @aminahassan46423 жыл бұрын

    Inna lilahi wainna ilayhi rajiun

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Waislamu watasema Hakuwa muislam hawamjui😀😀😀

  • @mohdbest9488

    @mohdbest9488

    3 жыл бұрын

    Yawezakuwa alikuwa mwisilam lkn hakuwahi kuwa sheikh wala ustadh mana hajui kuitama Quran hapo katumia uongo

  • @sifaeliamazia6022

    @sifaeliamazia6022

    3 жыл бұрын

    @@mohdbest9488 atauwoni aibu badilika

  • @mohdbest9488

    @mohdbest9488

    3 жыл бұрын

    @@sifaeliamazia6022 nione aibu wakati nasema ukweli wewe usiyejua Quran unaona kama anasoma sawa ila mimi nijuae ndio najua jamaa hajui Quran Narudia ukristo bila uongo hauendi

  • @azizasaid7660

    @azizasaid7660

    3 жыл бұрын

    @@mohdbest9488 haswaa yan wanatafuta namna za kuukashfu uislam ilimradi tuu kuichafua dini ya Allah iyo siku yakiama haya maneno yao yatawasuta

  • @azizasaid7660

    @azizasaid7660

    3 жыл бұрын

    Huyu alikuwa sio muislam bali alikuwa mchawi ktk kivuli cha uislam sasa kaipata njia ya uchawi ilio sahihi

  • @pastornyundo1835
    @pastornyundo18353 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu

  • @happynessmarki2780
    @happynessmarki27803 жыл бұрын

    Next part

  • @mayaalmahrooqi1345
    @mayaalmahrooqi13453 жыл бұрын

    حسبي الله ونعم الوكيل فيك

  • @weizsymo6257

    @weizsymo6257

    2 жыл бұрын

    Kwa kwenu ninyi Its all about revenge ,ndo mnachofundishwa?

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Amna mponyaji mwingine duniani na mbinguni zaidi ya Yesu kristo...at mkikataa ukweli ndo uhuu na mwisho itajulikana

  • @preciousgrayson2021

    @preciousgrayson2021

    3 жыл бұрын

    Ndugu yangu upo na huku, tupo pamoja YESU ndo mpango mzima waamini wasiamini

  • @euniceeunice7680

    @euniceeunice7680

    3 жыл бұрын

    @@preciousgrayson2021 yan Sisi watoto wa Yesu tupo kila sehemu ndugu kama alivyo yy king wetu...tuendelee kutangaza injili

  • @allyawadh8492

    @allyawadh8492

    3 жыл бұрын

    Kwasababu wakristo elimu yenu ni ndogo ya kumjua mungu ndomana hawa watu kwao inakuwa ni rahisi sana kuwadanganya, ndomana zama zetu hizi kumekuwa na mitume na manabii wengi feki ambao hawana idadi tena cha kushangaza toka mungu kuwaleta mitume na manabii tangu mtume wa kwanza mbaka wakati huu hakuna dhama zenye mitume na manabii wengi kama zama zetu hizi, Sasa ikiwa ukristo wenyewe mafundisho yake yanafundisha yesu ni mungu yanafundisha mariamu ni mama wa mungu harafu huyo mungu mwenyewe yaani yesu alikufa harafu binadamu walioumbwa na huyo mungu yesu wakawa hai kwakweli dini Kama hiyo ni mashaka Sana ni bora usiwe na dini sababu ikiwa mungu alieumba mbingu na ardhi anakuwa na mama hapa duniani ni shida, kwahiyo huyo jamaa ni njaa tu inamuangaisha.

  • @preciousgrayson2021

    @preciousgrayson2021

    3 жыл бұрын

    @@allyawadh8492 Mariam ni mama wa YESU sio Mungu, alafu kuhusu hao manabii feki biblia inasema watakuja wengi kwa kutumia jina la YESU na watawadanganya wengi, kwa hiyo basi kila kinachofanyika tayari kilishatabiriwa, kuhusu ELIMU ya kumjua Mungu hatuna ELIMU ndogo kama ulivyosema isipokuwa tunaongozwa na Roho mtakatifu kumjua Mungu huwezi tumia akili za kibinadamu hadi Mungu mwenyewe atake umjue kwa kutumia Roho mtakatifu ambaye sio kila aitwaye mkristo anaye huyo Roho bali kila aliyeamini kuwa Yesu Kristo ni Bwana na kukubali kuokoka na kuishi maisha matakatifu. N.B jina la YESU NI JINA KUU LIPITAYO MAJINA YOTE LINAWEZA LINAPONYA LINANGUVU TENA KWA JINA LA YESU KILA GOTI LITAPIGWA KILA ULIMI UTAKIRI NA HAO WANAOTUMIA JINA HILI KWA KUDANGANYA WATU WASIPOTUBU NA KUACHA BASI SEHEMU YAO NI KATIKA ZIWA LIWAKALO MOTO

  • @Mr.Isayamaziku

    @Mr.Isayamaziku

    4 ай бұрын

    ​@@preciousgrayson2021hallelujah 🙏🙌

  • @kiemenasensey8407
    @kiemenasensey84072 жыл бұрын

    Ujiji unakaa sehemugani mtaagani nauyo mwalimuwako omari ninanimbona muongo hanaubini alafu ulisomamwakagani apo adhari etitulikuwa wanafunzi 600 mbonamuongosanawewe weweni mbembe kutokakongo atarafuziyako inaonekana ujiji hakunamtuwaivyo miminakaa hapo adhari uyomwalimu omari ninani nahana ubini nawewe unakaa ujiji kwamzenani

  • @ramadabasi3145
    @ramadabasi31453 жыл бұрын

    hakika YESU ni mwema

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Mbona kwangu notification inachelewa ndo Leo nimeipata kumbe imepita week sasa

  • @estheremmanuel4305
    @estheremmanuel43053 жыл бұрын

    𝑱𝒊𝒏𝒂 𝒍𝒂 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒍𝒊𝒏𝒂 𝒏𝒈𝒖𝒗𝒖 𝒌𝒖𝒃𝒘𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂,𝒖𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊𝒘𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒖𝒔𝒉𝒖𝒉𝒖𝒅𝒂 𝒎𝒛𝒖𝒓𝒊 𝒖𝒕𝒂𝒘𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒈𝒊

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy24842 жыл бұрын

    Ameeeeen

  • @timothywambua9811
    @timothywambua98113 жыл бұрын

    Nikifurahia kuwa na yeye leo katika kanisa la RGC Ukunda

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla89964 ай бұрын

    Unatoka sana kwenye pont kaka elezea story

  • @hamisingala1251
    @hamisingala12513 жыл бұрын

    Hellaaa

  • @azizasaid7660

    @azizasaid7660

    3 жыл бұрын

    Ndugu yangu njaa mbayaaa

Келесі