Part 1_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA
Karibu sana katika ushuhuda mpya wa Usthadh Amir.Yeye alikuwa muislam na kiongozi mkubwa tu wa dini aliyepata kusoma elimu ya dini yake ikiwemo elimu ya ziada kuhusu majini.Kwa sasa ameokoka na amepata nafasi ya kutueleza kuhusu safari yake ya wokovu.Karibu sana
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 416
From Saudi Arabia,kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri ya kwamba Kristo ni Bwana
@vickysteven1172
4 ай бұрын
Ameen
Nimeokoka Kristo ni Bwana wa Maisha yangu...nimekuja kugundua yakwamba, hakuna mtu humtumikia zaidi Yesu, kuliko Muislam aliyeokoka... Muislamu akiokoka , YESU HUJITHIHIRISHA KWELI.... God bless you man of God. Jactan you are a blessing to many nations,,,great is your reward in heaven...
@aisharazak3511
3 жыл бұрын
Ni kweli kabs Alex mm pia nmeokoka nimeachwa na mume kwa kufukuzwa mm na watto. Mume wng na wazaz wangu wameungana kwa hasira juu yang kwa uslama Zaid kanisa imenibeba namshukuru mungu sn kipnd nikiwa ktk uislam sikujua jihad inaaply Yan kuua kaafir Ila saivi naelewa hakika dini ya amani na kueneza upendo Ni ukiristo
@jackmichael1953
3 жыл бұрын
@@aisharazak3511 Karibu kwa YESU Dadangu
@alexndambukiemmanuel3894
3 жыл бұрын
@Aisha Razak wewe u m'barikiwa kiukweli. Uliyoyapitia kwaitwa kuubeba msalaba wako na kumfuata Yesu...Naelewa si rahisi hata kidogo kutengana na wapendwa hasa mchumba,sio wewe wanaokuchukia, wanachukia kile umekibeba ambaye ndiye YESU,, ila, furahia wakati unapopitia magumu sababu ya Mwana Kondoo, kwa ajili dhawabu yako ni kuu mno mbinguni...Mungu akukumbuke daima dadangu... Hakika mji wa mbinguni tutafika na kila chozi, litafutwa.... Amen and amen...
@husseinchea5524
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kaka hata mimi nmeokoka
@nooor1120
3 жыл бұрын
@@aisharazak3511 uislam ni dini ya haki hayo maelezo unayotoa sio ya kweli kuhusu kumuua kafiri ila hio aya ndio walivo hao makafiri wanaitumilia kutia matope uislam hawaisomi tokea mwanzo ikaleta maana na ikafahamika wanaiacha maneno mengine lkn endeleeni tu kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe.
Bado YESU anaokoa na kuponya, asate jactan kwa shuda zako zinatujenga kiroho.
Amen...Mungu aendelee kutoa Siri za yule muovu kabisa ... you will know the truth and the truth Shall set you free.Amen...twasubiri part2 Jacky na Asante kwa kazi hii
Mwenyezi Mungu akubariki mchungaji,ushuhuda wako ulinijenga sana.🙏
Bwana yesu asifiwe sana.watumishi mbarikiwe sana kwa kazi njema.(pst Morris) Kenya.
That's amazing. Karibu katika kristo ❤️
Huyo mtumishi amebarikiwa sana.Niliwahi kumuona live anglican igogo mwanza akipga injili.
@happynicholaus6474
3 жыл бұрын
Amen
Amen Amen, nasikiliza ushuuda huu nikiwa hapa Australia, sija maliza bado naendelea hadi mwisho
@jj.mtambo5754
3 жыл бұрын
dahh aya good bhana
@davidwambura5915
3 жыл бұрын
Nice
Aibu kwa wakristo tulio lewa ndani ya Yesu na twazidi kutumikia maovu 😭😭
Amen amen ninabarikiwa sana sana na huu ushuhuda nikiwa Qatar Mungu awabariki
Subhanallah, Nakuhurumia sana ndugu yangu. Tamaa ya dunia ni mbaya. Nakushauri urudi kwa Allah. Allah atujaalie mwisho mwema Kwani huo ni mwisho mbaya. Mnapenda sana kudanganya. Nakuombea kwa Allah urudi ktk uisilamu, kwani aliekufa ambae sio muisilamu jahannama inamsubiri tena atakaa milele. Utawadanganya hao wakiristo wasiojua kitu
Ushuhuda mzuri, tunasubiri part 2, ubarikiwe mtumishi wa Mungu Jactan Msafiri.
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/fWmEl8ipXb2enM4.html
@deodarius8513
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz Kaka Jacktan, tafadhari naomba umtafute Dr. Paul Hussein Mubarak. Anaushuhuda mkubwa utakao gusa maisha ya watu wengi. Kuna baadhi ya video zake chache humu KZread. Ubarikiwe Sana.
@hawakiza6067
3 жыл бұрын
Ushuhuda gani hatoi andiko hata moja la kuonyesha ukweli wa ukristo
Nafuatilia Shuhuda hizi zinazonibariki mno kutoka hapa RUSSIA. Kazi yako ni njema mno mtumishi Jacktan Msafiri
@merymichael5513
3 жыл бұрын
Sawa
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu. ..nimefurahi sana kwa ushuhuda huu. ...bwana yesu asifiwe milele. .Amen
These testimonies are real hot a, am real blessed
Bwana Yesu Asifiwe Ubarikiwe kaka kwa kumpokea Jesus Christ ni muokovu wetu ambaye katuokoa zambi zetu!! Praise the LORD JESUS 🕆🙏
Nakupenda sana Amir😍😍😍❤❤❤❤ Mungu akubariki Ushuhuda wako unatoa watu wa Mungu uoga. Hatuogopi majinn Mungu aliye hai anatulinda dhidi ya wote kwa jina la Yesu. Angalia mwislam mwarabu Christian Prince kwa KZread pia ameokoka na anafafanulia Waislam kuhusu Quran ilivyo hadaa wengi.
Kaka Jacktan, tafadhari naomba umtafute Dr. Paul Hussein Mubarak. Anaushuhuda mkubwa utakao gusa maisha ya watu wengi. Kuna baadhi ya video zake chache humu KZread. Ubarikiwe Sana.
Hongera sana Mr Jacktan, Good job keep it up my brother
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Thanks@kelvin God bless you
@RIZIKISEMUNAOFFICIAL
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz ndugu zangu wa PROMOVER TV naomba munisaidie number yenu ya Watsp ,asanteni
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
@@RIZIKISEMUNAOFFICIAL 0784074462
Yesu apewe sifa,neema ya mungu ipo kwa wote hata wew anayeangalia kama hujaokoka na unabisha ipo siku Bwana wamajeshi atakutembelea nawe utamjua atakuita mwana nawe utamwita Baba, naiwe hivyo kwako kwajina La YESU.
Nimejifunza mengi, God bless you
Shuhuda zinajenga na zinafariji pia zinatupa tumaini la safari hii
PRAISE THE LORD MOST HIGH ❤ 😇
@saralusinde53
2 жыл бұрын
AMEN HALELUYA
Glory to God 🙏🙏
Hakika nimejifunza mengi. Yaani nimenogewa na ushuhuda hadi sasa sijalala. Ahsante sana mtumishi wa Mungu. Nimefurahi sana kuona umempokea Bwana Yesu. Umebarikiwa. Nami pia nimebarikiwa na shuhuda
@merryn.mwambene2945
3 жыл бұрын
Emeni emen ubarikiwe sana kwakusikiriza no yangu 0624404015
@merryn.mwambene2945
3 жыл бұрын
Nitafute
Wow Jesus at work
Ushuhuda nzuri sana...
Nabado nawengine watakuja2 Yesu ni Mungu
@shaloboy3861
3 жыл бұрын
Akuji mtu
@jocelyneniyonzima6599
3 жыл бұрын
@@shaloboy3861 kama huji kuzimu na moto vinakusubili na hamu sana
Asante sana kwa ushuhuda wa mafunuo
Asante sana Dr wa roho, ki ukwel tunapona,
Ushuhuda unabariki nimesoma mengi part one naedelea kusikiza barikiwa sana 🙏🏽
Ahsante MUNGU kwa kunisaidia kusikia ushuhuda huu na neno lako la ukombozi juu ya kuombea ardhi unayoinunua. Ahsante YESU Kristo. Amen.
Amina tunabarikiwa na ufahamu wetu unaongezeka mbarikiwe kwa huduma hii kubwa
Aise Mungu anabadilisha aise huyu mtumishi namfahamu aise
@justinecharles5000
3 жыл бұрын
Hakika ushuhuda huu umenijenga Sana kiroho. Barikiwa Sana mtumishi .... please achia mapema part two... By Justine Charles
@azizasaid7660
3 жыл бұрын
Pesa mwanaharamu
Barikiwa mtumishi kwa ushughuda mzuri
Hakuna kukemea cheni kW jina la YESU.ni kuacha mapambo kabisaaaa kW mwanamke haturuhusiwi mapambo,nywele bandia,makeup,hereni YESU anavuzuia saaana,wanawake wengi wanajipamba kuwafurahisha waume but waume hao shangaa wanawaacha kutafuta wengine,jenga uhusiano na YESU,mfurahishe YESU mama,ili upate ufalme wa mbinguni,kujiremba,nguo fupi,haturuhusiwi hataaaaa
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Ndio
@danielmatemu9698
3 жыл бұрын
Miongoni mwa vitu ambavyo shetani anavitumia kuangamiza roho za watu ni mavazi. Mavazi mengi yanatuacha uchi haswa wanawake. Na tukumbuke Adam na Eva walipojiona uchi, MUNGU MWENYEWE aliwatengenezea nguo kufunika uchi wao. Mungu habadiliki,
Jesus is the way,Trust and life
Dunia inamwisho kaka yangu. Utapewa cheo hapa duniani tu. Lkn akhera km sio muisilamu utakuwa duni
Ubarikiwe sna mtumishi kwa ushuhuda
Yesu Ahsant kwa Neema hii🙏🙏🙏
Ameeeen, Mungu akubariki maishani mwako uwe na Yesu Kristo
Asante kwa ushuhuda mzuri
YESU KRISTO NIMUWEZA wa yote umetoka mbali kweli Mungu wa mbinguni aendelee kukulinda Amen
@medadiissa324
3 жыл бұрын
Kristo siyo kristu
From Dubai nimefuatilia vizuri
❤❤ Mungu n mwema jmn
Namfahamu huyu mt tulifahamiana sehem moja inaitwa kakola bulyanhulu gari ya mume wangu ndiyo nlitumiwa kumbeba ku mpeleka mkutanoni,na alishawahi kufika na kulala kweli tumepotezana miaka mingi sana
@hawakiza6067
3 жыл бұрын
Anatafuta mlo tu ukweli anaujua km ukristo si dini
@khantronics
2 жыл бұрын
@hawa kiza usimkashifu mtu….sikiliza ujifunze au pita tembea
@godwinkileo7702
2 жыл бұрын
@@khantronics kweli kabisa
@happinescharlesmabeyo9164
2 жыл бұрын
@@hawakiza6067 jinga kweli wewe mmeguswa tu pita kule mwache aihubiri kweli
@hawakiza6067
2 жыл бұрын
@@happinescharlesmabeyo9164 Acha matusi Nipe andiko Ukristo ni dini
Naisubili kwahamu part 2
Niko Kenya Taita county nishawaikua muisilamu na sasa pia niliokoka kwa kujua ukweli nami ni muchungaji ( poster) kweli Yesu kristo siku ya kiyama atakujia waliompokea .
Baba yangu kaniombea nimepon kabisaaaa nimeteseka miak kumi mungu amupe miak mingi
Amina, Amina YESU ni BWANA.
Wow! Part 2 pls
Ee Mungu wangu mimi ni mwenye dhambi unirehemu mimi ee Yesu mwana wa Daudi
Umeokoka ukiwa bado hai hahahahaha pole sana Jackson Isa mpanda
Amen Amen Amen Mtumishi wa Bwana
Jactani lete part 2 mapemaaa,ahsante YESU
MUNGU akujaalie umhubiri YESUkabla mlango wa rehema haujafungwa, YESU ndio njia ya kweli ya uzima wa milele, amina
Jesus Christ is the mighty redeemer ☄️🎷
GLORY To GOD 🙏🙏🙏 hallelujah 🙌🙌🙌
Mungu akubariki sana mtumishi
Hizi ni mbinu zenu tu za kuwafanya watu wawe wakiristo. Uongo mtupu, na Allah atakuja kukuuliza
Hakika Yesu ni mwokozi..
Mwendelezo jactani nimejifunza vingi kbsa
Amen.barikiwa
Mungu awafungue akili waislam wote katika jina Yesu. inasikitisha tunapoongelea juu ya wokovu wa Mungu kwa wanadam ,wao wanaongelea juu ya dining ya kweli.
@ibnually1512
Жыл бұрын
Unatakiwa utafute dini ya haki ukristo sio dini
@dativajoachimwai1194
Жыл бұрын
@@ibnually1512 uko sahihi .ukristo sio dini .ukristo ni kuishi maisha yanayo mpendeza Mungu kwa kumwamini kwamba alimtoa yesu aje kwetu ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wamilele. Hakuna dini ya haki.ingekuwepo hiyo dini,waumini wake wote wangekuwa wa haki. lkn utakuta ndo hao wanaongoza kwa ushirikina na mambo yote mabaya. ndo maana dini siyo njia ya kwenda mbinguni. usitetee dini.kama Mungu wako ndo Mungu atajitetea,si yuko hai? kwanini upoteza nguvu nyingi kumtetea mpaka unatukana kwa kumtetea? au amesinzia?msubiri aamke nae atende mambo makuu tusikie watu wakimshuhudia
@ibnually1512
Жыл бұрын
@@dativajoachimwai1194 mambo keshayatenda zamani miongoni mwa hayo ni kumpeleka mtume na hoja za wazi na miongoni mwa hoja ni hii Qur'an ambayo mpaka kisayansi inakubalika Ila km unasubiri atende mengine ndo uamini basi ww subiri mpaka siku ya kifo na baada kufufuliwa atakutendea
Ameen!
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Sawa mamaa jj
Amina hongera sana humtukani mtu
Mungu akubariki sana
Mungu akubariki Zaidi
Barikiwa
Aise, asante kunifundisha
Tunasoma Coment nyingi waislam mnampinga huyu jamaa sasa yeye anaeleza anachokifahamu ninyi hamuelezi mnachokijua ila mnapinga sasa hatuwaelewi mnazidi kutufanya tuamini kwamba ukweli unawauma angalau jaribuni sasa kutueleza hata kwamfano mmoja mnaelewa nini kuhusu majini? Au elezeni basi ukweli wenu nasio kubishabisha tu mnajichanganya elezeni mnachojua kutetea hoja.
Yesu ni mfalme
Mungu akubariki mtumishi
amina
Mungu wetu anaye okoa na apewe sifa.
Mungu yu mwema sana
Naskia mbwa wanabweka nadhani jini sharifu alikuja kutaka kuvuruga ushuhuda kakutana na moto katoka nduki.....🤣🤣🤣🤣 Yesu Kristo sio wa mchezo mchezo anabadirisha , nimebarikiwa sana Ushuhuda mzuri
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
😂😂
Mungu akubarki
Asante saana mutish wamungu yani nulikuwa nahisubir kwa hamu
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Karibu kwenye group letu la wasap.nitafte wasap no.0784074462
AMEN
Ubalikiwe kazi nzuli Bwana YESU atakulipa kwakuokoa Rooho nyingi za watu
Hongera sana sana
@magdalenamusa5613
3 жыл бұрын
Jaktani..mimi..nimfatliaji..mzuri..wahizi..shuhuda..zikovizuri..maana..nyingi..nimeshazisoma..kwenye..vitabu..vyawatumishi wamungu..hakunatofauti..sasa..naomba..uwage.unawauliza wachawi..wakimchukuwa.MTU..has a..watoto.wadogo..nawenyewe..wanawekwa..msukule..mpaka..awemtumzima..au..wanakula..mwili..tu..lakini..toho..na..nafsiyake..vinakuwa..vimeenda..mbinguni?
Sasa nakuuliza masuali haya ikiwa wewe ni mkweli nambie ulisoma hadi juzuu ngapi na kwa muda gani na katika elimu nyingi za Kiislamu wewe ulisoma elimu gani na ulidumu katika Uislamu hadi miaka mingapi na Yessu alikutokea kama Nani 1 Mungu 2 Nabii 3 Malaika na wewe Imani yako ya sasa Yessu ni Nani 1 Mungu 2. Mtume 3. Mwana wa Mungu au Nani na una muabudu Nani Yessu au Mungu Mathayo 19:23-28 halafu tafuta wewe uko wapi katika hivyo viti 12
Namupenda San huyu mtumishiiii
Always Jesus is the best
Inna lilahi wainna ilayhi rajiun
Waislamu watasema Hakuwa muislam hawamjui😀😀😀
@mohdbest9488
3 жыл бұрын
Yawezakuwa alikuwa mwisilam lkn hakuwahi kuwa sheikh wala ustadh mana hajui kuitama Quran hapo katumia uongo
@sifaeliamazia6022
3 жыл бұрын
@@mohdbest9488 atauwoni aibu badilika
@mohdbest9488
3 жыл бұрын
@@sifaeliamazia6022 nione aibu wakati nasema ukweli wewe usiyejua Quran unaona kama anasoma sawa ila mimi nijuae ndio najua jamaa hajui Quran Narudia ukristo bila uongo hauendi
@azizasaid7660
3 жыл бұрын
@@mohdbest9488 haswaa yan wanatafuta namna za kuukashfu uislam ilimradi tuu kuichafua dini ya Allah iyo siku yakiama haya maneno yao yatawasuta
@azizasaid7660
3 жыл бұрын
Huyu alikuwa sio muislam bali alikuwa mchawi ktk kivuli cha uislam sasa kaipata njia ya uchawi ilio sahihi
Mungu akutie nguvu
Next part
حسبي الله ونعم الوكيل فيك
@weizsymo6257
2 жыл бұрын
Kwa kwenu ninyi Its all about revenge ,ndo mnachofundishwa?
Amna mponyaji mwingine duniani na mbinguni zaidi ya Yesu kristo...at mkikataa ukweli ndo uhuu na mwisho itajulikana
@preciousgrayson2021
3 жыл бұрын
Ndugu yangu upo na huku, tupo pamoja YESU ndo mpango mzima waamini wasiamini
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
@@preciousgrayson2021 yan Sisi watoto wa Yesu tupo kila sehemu ndugu kama alivyo yy king wetu...tuendelee kutangaza injili
@allyawadh8492
3 жыл бұрын
Kwasababu wakristo elimu yenu ni ndogo ya kumjua mungu ndomana hawa watu kwao inakuwa ni rahisi sana kuwadanganya, ndomana zama zetu hizi kumekuwa na mitume na manabii wengi feki ambao hawana idadi tena cha kushangaza toka mungu kuwaleta mitume na manabii tangu mtume wa kwanza mbaka wakati huu hakuna dhama zenye mitume na manabii wengi kama zama zetu hizi, Sasa ikiwa ukristo wenyewe mafundisho yake yanafundisha yesu ni mungu yanafundisha mariamu ni mama wa mungu harafu huyo mungu mwenyewe yaani yesu alikufa harafu binadamu walioumbwa na huyo mungu yesu wakawa hai kwakweli dini Kama hiyo ni mashaka Sana ni bora usiwe na dini sababu ikiwa mungu alieumba mbingu na ardhi anakuwa na mama hapa duniani ni shida, kwahiyo huyo jamaa ni njaa tu inamuangaisha.
@preciousgrayson2021
3 жыл бұрын
@@allyawadh8492 Mariam ni mama wa YESU sio Mungu, alafu kuhusu hao manabii feki biblia inasema watakuja wengi kwa kutumia jina la YESU na watawadanganya wengi, kwa hiyo basi kila kinachofanyika tayari kilishatabiriwa, kuhusu ELIMU ya kumjua Mungu hatuna ELIMU ndogo kama ulivyosema isipokuwa tunaongozwa na Roho mtakatifu kumjua Mungu huwezi tumia akili za kibinadamu hadi Mungu mwenyewe atake umjue kwa kutumia Roho mtakatifu ambaye sio kila aitwaye mkristo anaye huyo Roho bali kila aliyeamini kuwa Yesu Kristo ni Bwana na kukubali kuokoka na kuishi maisha matakatifu. N.B jina la YESU NI JINA KUU LIPITAYO MAJINA YOTE LINAWEZA LINAPONYA LINANGUVU TENA KWA JINA LA YESU KILA GOTI LITAPIGWA KILA ULIMI UTAKIRI NA HAO WANAOTUMIA JINA HILI KWA KUDANGANYA WATU WASIPOTUBU NA KUACHA BASI SEHEMU YAO NI KATIKA ZIWA LIWAKALO MOTO
@Mr.Isayamaziku
4 ай бұрын
@@preciousgrayson2021hallelujah 🙏🙌
Ujiji unakaa sehemugani mtaagani nauyo mwalimuwako omari ninanimbona muongo hanaubini alafu ulisomamwakagani apo adhari etitulikuwa wanafunzi 600 mbonamuongosanawewe weweni mbembe kutokakongo atarafuziyako inaonekana ujiji hakunamtuwaivyo miminakaa hapo adhari uyomwalimu omari ninani nahana ubini nawewe unakaa ujiji kwamzenani
hakika YESU ni mwema
Mbona kwangu notification inachelewa ndo Leo nimeipata kumbe imepita week sasa
𝑱𝒊𝒏𝒂 𝒍𝒂 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒍𝒊𝒏𝒂 𝒏𝒈𝒖𝒗𝒖 𝒌𝒖𝒃𝒘𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂,𝒖𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊𝒘𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒖𝒔𝒉𝒖𝒉𝒖𝒅𝒂 𝒎𝒛𝒖𝒓𝒊 𝒖𝒕𝒂𝒘𝒂𝒃𝒂𝒅𝒊𝒍𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒈𝒊
Ameeeeen
Nikifurahia kuwa na yeye leo katika kanisa la RGC Ukunda
Unatoka sana kwenye pont kaka elezea story
Hellaaa
@azizasaid7660
3 жыл бұрын
Ndugu yangu njaa mbayaaa